UTUMISHI News Toleo Na.9 Januari-Juni, 2019

SERIKALI YAWATAKA WATANZANIA WOTE KUSHIRIKI KATIKA KUIMARISHA UTAWALA BORA ILI KUTOA MCHANGO KATIKA MAENDELEO YA TAIFA uk.1

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George Mkuchika (Mb)

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro Mhe.Dkt. Mwanjelwa aelekeza kusimamisha mishahara ya waajiri na maafisa utumishi Serikali yawataka wakuu wa idara watakaowasilisha taarifa zisizo sahihi kwenye za Utawala na Usimamizi wa mfumo wa malipo ya mishahara (HCMIS)uk.10 Rasilimaliwatu serikalini kusimamia vizuri rasilimaliwatu uk.5

Hutolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini , Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Barabara ya Mkalama, S.L.P 670, 40404,Dodoma, Barua Pepe:[email protected] Tovuti:www.utumishi.go.tz YALIYOMO uk. 1.Serikali yawataka watanzania kuimarisha utawala bora...... 1-2

2. Watendaji katika sekta ya umma watakiwa kujiepusha na mgongano wa maslahi ili kujenga uchumi imara wa taifa...... 3-4

CHUMBA CHA HABARI 3. Serikali yawataka Wakuu wa Idara za Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu Serikalini kusimamia Vizuri rasilimaliwatu...... 5

4. Wakuu wa Idara za Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu Bodi ya Uhariri: serikalini watakiwa kuwatumikia watumishi wa umma wanaowasimamia ili kuwajengea ari ya utendaji kazi..6-7

Dkt. Laurean Ndumbaro 5. TAKUKURU yaelekezwa kuweka mkakati madhubuti kupambana Dkt. Francis Michael na rushwa kipindi cha uchaguzi wa serikali za mitaa...... 8

Bi. Mary Mwakapenda 6.Ofisi ya Rais-Utumishi yakabidhi Kiwanja kwa TBA ili kuanza Bw. James Katubuka ujenzi wa ofisi...... 9 Bi.Happiness Shayo 7.Dkt. Mwanjelwa aelekeza kusimamisha mishahara ya waajiri na maafisa utumishi watakaowasilisha taarifa zisizo sahihi kwenye mfumo wa malipo ya mishahara (HCMIS) ...... 10-11 Dira 8. Serikali yawapongeza wanufaika wa miradi ya maendeleo mkoani iringa kwa kutumia vizuri fedha za miradi ya Ofisi ya Rais- Menejimenti ya Utumishi wa maendeleo kujikwamua kiuchumi...... 12-13 Umma na Utawala bora (OR-MUUUB) kuwa Taasisi itakayowezesha kuwa na Utumishi 9. Wakala wa Majengo yatakiwa kumaliza kwa wakati ujenzi wa kituo cha Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa wa Umma uliotukuka kwa kutoa huduma cha kanda ya ziwa kinachojengwa Jijini Mwanza...... 13-14 bora kwa Umma na hivyo kuchangia katika kukuza uchumi, kupunguza umaskini na 10. Serikali yawapatia huduma ya usafiri wajane wa aliyekuwa Makamu wa Rais wa Tanzania, Hayati kuleta maisha bora kwa kila Mtanzania Alhaji Aboud Mwinyi Jumbe...... 15 ifikapo mwaka 2025. 11. Utumishi yaunga mkono kwa Vitendo kampeni ya Makamu wa Rais, Mhe. Samia Suluhu ya kulifanya jiji la Dodoma kuwa kijani kwa kupanda miti...... 16 Dhamira 12. Serikali yawapandisha madaraja watumishi wa umma Kuhakikisha kuwa utumishi wa umma nchini 113,520 walioajiriwa tangu mwaka 2012...... uk.17

unasimamiwa vizuri na kwa ufanisi kupitia 13. Wanufaika wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini usimamizi wa rasilimaliwatu, mifumo na mkoani Kilimanjaro watakiwa kutumia Vizuri fedha miundo ya kiutumishi za ruzuku ili Kuboresha maisha yao...... 18-19

14. Uzingatiaji wa maadili na nidhamu ya kazi ndio msingi na nyenzo ya utendaji kazi kwa watumishi wa umma nchini.20-21

15. Serikali yawataka watumishi wa umma wilayani Kilolo kuishi maeneo wanayofanyia kazi ili kutekeleza Majukumu yao ipasavyo..22

16. Watumishi wa Umma watakiwa kuwa tayari kufanya kazi mahali popote nchini ili kuwahudumia wananchi...... 23-24

17. Naibu Katibu Mkuu-UTUMISHI aomba ushirikiano kutoka kwa watumishi wa ofisi yake ili kufikia malengo ya Mhe. Rais ya kutoa huduma bora kwa wananchi...... 25

18. Matukio katika picha...... 26-27 1 Serikali yawataka watanzania wote kushiriki katika kuimarisha utawala bora ili kutoa mchango katika maendeleo ya taifa

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George Mkuchika (Mb) akisoma Kauli Mbiu ya Siku ya Maadili na Haki za Binadamu Kitaifa mara baada ya kuzindua rasmi siku hiyo jijini Dodoma. Kushoto kwake ni Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb). na kifikra kuhusu uzingatiaji wa maadili, erikali imewataka watanzania wote kushiriki nidhamu ya kazi, vita dhidi ya rushwa, katika kuimarisha utawala bora nchini ili haki za binadamu, uwazi na uwajibikaji, kutoa mchango wenye tija kwa maendeleo S na kusisitiza kuwa mabadiliko haya yawe ya taifa badala ya kuviachia jukumu hilo vyombo ndio utamaduni wa mtanzania wa kila siku. vinavyosimamia masuala ya utawala bora. Mhe. Mkuchika alifafanua kuwa, duniani Wito huo ulitolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya kote, suala la utawala bora linapewa Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na kipaumbele, kwasababu bila nchi kuwa na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George Mkuchika mfumo madhubuti wa maadili kuanzia ngazi wakati akizindua maadhimisho ya Siku ya Maadili ya familia haiwezi kufanikisha vita dhidi ya na Haki za Binadamu Kitaifa, jijini Dodoma. mmomonyoko wa maadili. Aidha, alitoa wito kwa watanzania wote nchini kuwa waadilifu Mhe. Mkuchika alisema, ili kuwa na utawala bora ili kuwa mfano wa kuigwa na vizazi vijavyo. katika nchi yetu, watanzania wote wanahusika kwa maana ya wale waliopewa dhamana ya Naye, Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya kusimamia utawala bora na wananchi wa kawaida, Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. kwani wenye dhamana ya kusimamia utawala Mary Mwanjelwa (Mb) aliwataka watanzania bora wanahitaji ushirikiano kutoka kwa wananchi kuwa wazalendo kwa kutanguliza masilahi ili waweze kutekeleza majukumu yao kikamilifu. ya umma kwa ajili ya maendeleo ya taifa. Mhe. Mkuchika aliongeza kuwa, mtanzania Mhe. Dkt. Mwanjelwa alisema, kupitia kauli wa kawaida anatakiwa abadilike kimtazamo 2

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George Mkuchika (Mb), akizungumza na wadau wa maadili na haki za binadamu wakati wa uzinduzi wa maadhimisho ya Siku ya Maadili na Haki za Binadamu Kitaifa, jijini Dodoma.

mbiu ya maadhimisho ya Siku ya Maadili na Haki za Binadamu ya mwaka huu inayosema “Udhibiti wa Mgongano wa Masilahi-Nguzo ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Mamlaka ya Muhimu Kujenga Utawala Bora” ni vema kwa Udhibiti wa Manunuzi ya Umma, Ofisi ya Taifa kila mtanzania kutanguliza masilahi ya umma ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali, Tume ya mbele badala ya masilahi binafsi ili kufikia Utumishi wa Umma, Tume ya Haki za Binadamu lengo la uchumi wa kati wa viwanda kama na Utawala Bora na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu inavyohimizwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Serikali, lengo likiwa ni kuhamasisha uadilifu, wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli. uwazi, uwajibikaji na utawala bora nchini.

Mhe. Dkt. Mwanjelwa aliongeza kuwa, utekelezaji wa kauli mbiu hii ni muafaka kwasasa kwani taifa liko katika utekelezaji wa miradi mikubwa ya maendeleo ambapo uzalendo na uadilifu ni nguzo kuu itakayowezesha utekelezaji wa miradi hiyo.

Awali, akitoa neno la utangulizi, Kamishna wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Mstaafu Harold Nsekela alisema, maadhimisho ya Siku ya Maadili na Haki za Binadamu Kitaifa ni muhimu kwani yanahimiza na kutukumbusha kuzingatia misingi ya maadili, haki za binadamu, uwajibikaji, mapambano dhidi ya rushwa hasa kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George Mkuchika (Mb) na Naibu watumishi wa umma ambao jukumu lao Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala kubwa ni kutoa huduma kwa wananchi. Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) wakimkabidhi zawadi Mlezi wa Klabu ya Maadili wa shule ya Sekondari Dodoma, Mwalimu Marco Maadhimisho ya Siku ya Maadili na Haki Benedict Magwa, mara baada ya kuzindua maadhimisho ya Siku za Binadamu Kitaifa huratibiwa na Ofisi ya Maadili na Haki za Binadamu Kitaifa, jijini Dodoma. Kushoto ni Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Patrobas Katambi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, Sekretarieti 3 Watendaji katika sekta ya umma watakiwa kujiepusha na mgongano wa maslahi ili kujenga uchumi imara wa taifa

Jaji Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Mhe. Mohamed Chande Othman, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George Mkuchika (Mb) na Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) wakifuatilia mada wakati wa mjadala kwenye maadhimisho ya Siku ya Maadili na Haki za Binadamu Kitaifa, uliofanyika jijini Dodoma. Wa kwanza kulia ni Kamishna wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Mhe. Jaji Mstaafu Harold Nsekela. iongozi, watumishi na kwani unailetea sifa mbaya atakaloenda kulitolea maamuzi wataalam mbalimbali serikali, taasisi, idara na sekta badala ya kungoja kuambiwa Vnchini, wametakiwa binafsi ambazo mgongano ajiuzulu na kushutumiwa kujiepusha na mgongano wa maslahi unajitokeza, na kuwa na mgongano wa wa maslahi kwa kutotumia kuongeza kuwa unamletea maslahi kwenye suala nyadhifa zao au ofisi zao pia sifa mbaya ya kiutendaji aliloshiriki kutoa maamuzi. kujinufaisha wao wenyewe, kiongozi au mtumishi kwenye kuwanufaisha ndugu zao au fani au taaluma aliyobobea. Naye, Waziri wa Nchi, Ofisi ya jamaa zao na watu wengine Rais, Menejimenti ya Utumishi ili waweze kutekeleza wajibu Mhe. Othman aliainisha njia wa Umma na Utawala Bora, wao ipasavyo katika ujenzi za kuweza kuepukana na Mhe. Kapt (Mst) George wa uchumi imara wa taifa. mgongano wa maslahi, njia Mkuchika alisema, moja kati ya hizo ni kujiuzulu au kujitoa mambo ambayo ofisi yake Wito huo ulitolewa na Jaji endapo kiongozi anaona kuna inapambana nayo ni kuhakikisha Mkuu Mstaafu wa Tanzania, maslahi binafsi kwenye jambo inaondoa uwezekano wa Mhe. Mohamed Chande Othman atakalolitolea maamuzi kwa kuwepo kwa mgongano wa wakati akifungua mjadala ajili ya kulinda maslahi ya umma. maslahi katika taasisi za umma. kwenye maadhimisho ya Siku ya Maadili na Haki za Binadamu Mhe. Othman alisisitiza Mhe. Mkuchika alifafanua Kitaifa, jijini Dodoma. kuwa, ni jukumu la mtendaji kuwa, kiongozi au mtumishi mwenyewe kutamka mapema, yeyote katika sekta ya umma Mhe. Othman alisema, kukiri kwa hiari na kwa uwazi hatakiwi kufanya biashara mgongano ya maslahi ni lazima kwamba ana mgongano na taasisi yake kwasababu udhibitiwe kwa nguvu zote wa maslahi kwenye suala kuna uwezekano mkubwa 4 wa kupendelea kampuni yake kuipatia zabuni na kuiongezea malipo ili aweze kujinufaisha na hatimaye kuitia hasara serikali.

Aidha, Mhe. Mkuchika alitoa wito kwa washiriki wa mjadala kuhakikisha wanatoa maoni na mapendekezo ambayo yataondoa changamoto ya mgongano wa maslahi katika sekta ya umma.

Kwa upande wake, Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na (Mb) alisema, viongozi na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George Mkuchika (Mb), akizungumza na watumishi ambao wanasimamia washiriki wa mjadala kwenye maadhimisho ya Siku ya Maadili na Haki za maadili wanapaswa kuyaisha yale Binadamu Kitaifa, kabla ya kumkaribisha Jaji Mkuu Mstaafu wa Tanzania, wanayoyasema, na ni muhimu Mhe. Mohamed Chande Othman kufungua rasmi mjadala huo jijini pia ni wajibu wao kuonyesha njia Dodoma. katika uzingatiaji wa maadili ili wanapohubiri maadili mema wawe na ushawishi kwa umma.

Mhe. Dkt. Mwanjelwa aliongeza kuwa, vitendo vya mmomonyoko wa maadili vinatakiwa kukemewa bila kusita wala kuonewa haya kuanzia kwenye ngazi ya familia ili kujenga taifa lenye uadilifu.

Mada zilizojadiliwa katika mjadala huo ni pamoja na, Mgongano wa masilahi katika utumishi wa umma, Ulinzi wa haki za binadamu na mgongano wa maslahi na matumizi mabaya ya madaraka Jaji Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Mhe. Mohamed Chande Othman yanayopelekea mgongano wa akifungua mjadala kwenye maadhimisho ya Siku ya Maadili na Haki za Binadamu Kitaifa, jijini Dodoma. maslahi na uwepo wa rushwa nchini. Mkurugenzi wa Idara ya Ukuzaji Maadili, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bw. Fabian Pokela akitoa mchango wa Idara yake katika ukuzaji wa maadili kwenye sekta ya umma. 5 Serikali yawataka Wakuu wa Idara za Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu serikalini kusimamia vizuri rasilimaliwatu wa Idara za Utawala na Rasilimaliwatu kuzingatia maadili katika utendaji kazi ili wawe mfano wa kuigwa na watumishi wengine.

Naye aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bi.Dorothy Mwaluko aliwaasa watendaji hao kuwa washauri wazuri, walezi bora, walimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Dkt. wazuri na watatuzi wa Laurean Ndumbaro akiongoza kikao kazi cha Wakuu wa Idara za changamoto zinazowakabili Utawala na Rasilimaliwatu kinachofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini (IRDP) jijini Dodoma. Kushoto ni watumishi wa umma aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais ,Menejimenti ya Utumishi wanaowasimamia ili wawe na wa Umma na Utawala Bora Bi. Dorothy Mwaluko. tija katika maendeleo ya Taifa. erikali imewataka Wakuu kushuka kwa utendaji kazi, wa Idara za Utawala na na utendaji kazi ukishuka Bi. Mwaluko aliwataka SRasilimaliwatu katika unasababisha uchumi wa Watendaji hao kuhakikisha Taasisi za Umma nchini nchi kutokukua inavyotakiwa, wanasimamia vema nidhamu kuhakikisha rasilimaliwatu hivyo Taifa kushindwa ya watumishi wa umma inasimamiwa vizuri ili kufikia lengo lake la kutoa ili kujenga taswira nzuri kuwezesha utoaji wa huduma bora kwa wananchi. ya utumishi wa umma. huduma bora kwa wananchi. Dkt.Ndumbaro aliwasisitiza Mkutano kazi huo wa Wito huo ulitolewa na Wakurugenzi wanaosimamia Wakuu wa Idara za Utawala Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, rasilimaliwatu katika Wizara, na Rasilimaliwatu katika Menejimenti ya Utumishi Idara Zinazojitegemea, Wakala Utumishi wa Umma wa Umma Dkt. Laurean na Mashirika ya Umma kuwa ulilenga kuwakumbusha na Ndumbaro wakati akifungua taasisi zote za Umma zifanye kuwahimiza watendaji hao kikao kazi cha siku mbili cha kazi kwa pamoja ili kutekeleza utekelezaji wa masuala Wakuu wa Idara za Utawala na vipaumbele vya Taifa. mbalimbali ya kiutendaji, Rasilimaliwatu kwa niaba ya uendeshaji na usimamizi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Aidha, Dkt.Ndumbaro wa rasilimaliwatu kwa Menejimenti ya Utumishi wa aliwakumbusha Wakuu hao kuzingatia malengo,shabaha Umma na Utawala Bora, na vipaumbele vya kitaifa. Mhe. Kapt (Mst) George Baadhi ya Wakuu wa Idara za Utawala na Rasilimaliwatu H. Mkuchika (Mb) wakimsikiliza aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu Ofisi kinachofanyika ukumbi ya Rais, Menejimenti ya wa Chuo cha Mipango Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bi.Dorothy ya Maendeleo Vijijini Mwaluko (hayupo pichani) (IRDP) jijini Dodoma. wakati akiwasilisha mada kuhusu Wajibu na Majukumu ya Wakuu wa Idara za Utawala na Rasilimaliwatu katika Dkt.Ndumbaro alisema kikao kazi cha watendaji kuwa, rasilimaliwatu hao kinachofanyika katika ukumbi wa Chuo cha ikisimamiwa vibaya Mipango ya Maendeleo matokeo yake ni Vijijini (IRDP) jijini Dodoma. 6 Wakuu wa Idara za Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu serikalini watakiwa kuwatumikia watumishi wa umma wanaowasimamia ili kuwajengea ari ya utendaji kazi Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro akizungumza na waandishi wa habari, alisema mkutano huo ulikuwa na lengo la kuwaelimisha watendaji hao masuala ya kiutawala na usimamizi wa rasilimaliwatu ili waweze kutimiza majukumu yao kikamilifu kwa kuzingatia Sheria, Kanuni, Taratibu na Miongozo ya kiutumishi. Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bi.Dorothy Mwaluko akizungumza na Wakuu wa Dkt.Ndumbaro aliongeza Idara za Utawala na Rasilimaliwatu waliohudhuria kikao kazi kilichofanyika kuwa, kupitia mkutano ukumbi wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini (IRDP) jijini Dodoma. huo serikali imewasisitiza akuu wa Idara kwa kuzingatia weledi, kauli viongozi hao kuwajibika za Utawala na nzuri na bila chuki ya aina yoyote. ipasavyo kwa umma na kwa WRasilimaliwatu watumishi walio chini yao. kutoka katika Wizara, Idara Bi. Mwaluko aliwaelekeza Zinazojitegemea, Wakala, watendaji hao, kuwahudumia Aidha, Dkt.Ndumbaro Mamlaka za Serikali za vizuri Watanzania hususani aliwataka viongozi hao Mitaa na Mashirika ya Umma wanyonge kama ambavyo kuwaelimisha watumishi wa wametakiwa kuhakikisha Rais wa Jamhuri ya Muungano umma walio chini yao kuhusu wanawahudumia vema wa Tanzania Mhe. Dkt. umuhimu wa kudai risiti pindi watumishi wanaowasimamia John Pombe Magufuli wanapofanya manunuzi ili ili kuwajengea ari ya utendaji anavyosisitiza mara kwa mara. kuiongezea serikali mapato kazi kwa watumishi hao. yatakayoiwezesha kuongeza Naye, Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, mishahara na kuboresha Wito huo ulitolewa na aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bi. Dorothy Mwaluko wakati akifunga kikao kazi cha siku mbili cha Wakuu wa Idara za Utawala na Rasilimaliwatu serikalini kwa niaba ya Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Dkt. Laurean Ndumbaro kilichofanyika ukumbi wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini (IRDP) jijini Dodoma. Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Dkt. Laurean Ndumbaro akizungumza na waandishi Bi. Mwaluko aliwasisitiza wa habari mara baada ya kikao kazi cha Wakuu wa Idara za Watendaji hao, kutojifanya Utawala na Rasilimaliwatu kilichofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini (IRDP) jijini Dodoma. miungu watu na badala yake wawahudumie watumishi wote 7

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Dkt. Laurean Ndumbaro (katikati mstari wa mbele), akifuatilia moja ya mada zilizowasilishwa katika kikao kazi cha Wakuu wa Idara za Utawala na Rasilimaliwatu kilichofanyika ukumbi wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini (IRDP) jijini Dodoma.Kushoto kwake ni aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bi.Dorothy Mwaluko na kuli kwake ni Mkurugenzi wa Idara ya Utawala wa Utumishi wa Umma Bw.Mathew Kirama. maslahi ya watumishi wa umma.

Sanjari na hayo, Dkt. Ndumbaro aliwashauri watumishi wa umma nchini kujiendeleza katika kada walizoingilia katika utumishi wa umma ili elimu watakayoipata iwe na manufaa kwao na tija katika utumishi wa umma.

Mkutano kazi huo ulihusisha jumla ya washiriki 456 kutoka katika Wizara, Idara Zinazojitegemea, Wakala, Mamlaka za Serikali za Mitaa na Mashirika ya Umma ambao walipata Baadhi ya Wakuu wa Idara za Utawala na Rasilimaliwatu serikalini fursa ya kujifunza masuala wakimsikiliza aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti mbalimbali ya kiutendaji, ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bi.Dorothy Mwaluko (hayupo uendeshaji na usimamizi pichani) wakati akifunga kikao kazi cha watendaji hao kilichofanyika wa rasilimaliwatu kwa ukumbi wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini (IRDP) jijini Dodoma. kuzingatia malengo,shabaha na vipaumbele vya kitaifa. 8 TAKUKURU yaelekezwa kuweka mkakati madhubuti utakaodhibiti vitendo vya rushwa katika kipindi cha uchaguzi wa serikali za mitaa erikali imeiagiza Taasisi imeshinda kesi 178 kati ya kesi iliingilia kati kuzuia malipo ya Kuzuia na Kupambana 296 zilizoamuliwa mahakamani hayo batili yasifanyike. Sna Rushwa (TAKUKURU) na kuokoa kiasi cha shilingi kuweka mkakati na mbinu mpya bilioni 70.3 zilizokuwa ziingine Mhe. Mkuchika alisema, za kisasa za kuhakikisha kuwa kwenye mifuko ya mafisadi serikali inazitumia fedha wanadhibiti vitendo vya rushwa wanaolihujumu taifa letu. hizo zilizookolewa kuboresha katika kipindi cha uchaguzi wa huduma za kijamii hususan serikali za mitaa ili kupata Mhe. Mkuchika alifafanua za afya kwani zimewezesha viongozi waliochaguliwa kuwa, mara baada ya kununua vifaa tiba na kwa haki bila rushwa.

Hayo yalisemwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George Mkuchika (Mb) wakati akifungua mkutano mkuu wa mwaka wa watumishi wa TAKUKURU nchini uliofanyika katika ukumbi wa Bunge wa Pius Msekwa, jijini Dodoma.

Mhe. Mkuchika alisema wakati wa kipindi cha uchaguzi kunakuwa na malalamiko yanayotolewa na baadhi ya wagombea na wananchi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa kuhusu uwepo wa vitendo Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George Mkuchika (Mb), vya rushwa hivyo ni jukumu akifungua mkutano mkuu wa mwaka wa viongozi wa TAKUKURU la TAKUKURU kuhakikisha uliofanyika katika ukumbi wa Bunge wa Pius Msekwa, jijini Dodoma. mchakato wa uchaguzi unakuwa huru na wa haki. TAKUKURU kupata taarifa za dawa katika hospitali zetu. ubadhirifu wa fedha za umma, Aidha, Mhe. Mkuchika Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa aliipongeza Umma na Utawala Bora, Mhe. TAKUKURU kwa Kapt (Mst) George Mkuchika kushinda kesi kwa (Mb) na Naibu Waziri, Ofisi ya kiwango kikubwa, Rais, Menejimenti ya Utumishi na kuokoa fedha wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa za umma katika (Mb) wakiwa katika mkutano kipindi cha mwaka mkuu wa mwaka wa viongozi 2017/2018. wa TAKUKURU uliofanyika katika ukumbi wa Bunge wa Mhe. Mkuchika Pius Msekwa, jijini Dodoma. aliainisha kuwa katika kipindi cha mwaka ilifuatilia na kubaini taratibu 2017/2018 TAKUKURU za malipo zikiendelea, hivyo 9 Ofisi ya Rais-Utumishi yakabidhi kiwanja kwa TBA ili kuanza ujenzi wa ofisi katika mji wa serikali jijini Dodoma

Naye, Mkurugenzi wa Kitengo cha Manunuzi na Ugavi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bw. Peter Mabale aliitaka TBA kufanya mawasiliano haraka iwezekanavyo na Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora pindi kunapotokea changamoto yoyote itakayokwamisha Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa shughuli ya ujenzi badala Rasilimaliwatu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na ya kusubiri vikao ili Utawala Bora, Bw. Musa Joseph akiwasisitiza Wataalam wa Wakala kutatua changamoto hizo. wa Majengo Tanzania (TBA) kukamilisha ujenzi wa ofisi kwa wakati katika Mji wa Serikali ili iweze kutumika kuwahudumia wananchi. Makabidhiano ya Kiwanja fisi ya Rais, Menejimenti hicho yalifanyika baada ya ya Utumishi wa Umma Bw. Joseph aliongeza kuwa, Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Ona Utawala Bora Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Menejimenti ya Utumishi wa imekabidhi kiwanja kwa Utumishi wa Umma na Utawala Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro Wakala wa Majengo Tanzania Bora tayari imeshaingiza fedha na aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa (TBA) ili wakala hiyo ianze kwenye Akaunti ya Wakala Wakala wa Majengo Tanzania, ujenzi wa Ofisi katika Mji wa Majengo Tanzania kiasi Arch. Elius Mwakalinga kusaini wa Serikali jijini Dodoma. cha shilingi 700, 000,000/= mkataba wa ujenzi wa Ofisi ili kuiwezesha TBA kuanza hizo Novemba 22, 2018 ikiwa Akikabidhi kiwanja hicho kwa ujenzi na kuongeza kuwa nia ni utekelezaji wa agizo la niaba ya Katibu Mkuu, Ofisi ya ya kufanya malipo mapema Rais wa jamhuri ya Muungano Rais, Menejimenti ya Utumishi ni kuwezesha ukamilishaji wa Tanzania Mhe. Dkt. John wa Umma, Kaimu Mkurugenzi wa ujenzi kwa wakati. Pombe Magufuli la kuhamishia wa Idara ya Utawala na Shughuli za Serikali makao Usimamizi wa Rasilimaliwatu Akipokea kiwanja hicho, Kaimu makuu ya nchi Dodoma. Bw. Musa Joseph alisema Meneja wa Wakala wa Majengo ujenzi wa Ofisi hiyo ni Tanzania mkoani Dodoma, muendelezo wa utekelezaji Mhandisi David wa maagizo ya Mhe. Rais, H. Shunu Dkt John Pombe Magufuli ya aliishukuru kuhamishia shughuli za Serikali Ofisi ya Rais, Makao Makuu ya nchi Dodoma. Menejimenti ya Utumishi Bw. Joseph alifafanua kuwa, wa Umma na kiwanja kilichokabidhiwa Utawala Bora kina ukubwa wa ekari 5.7 na kwa kuiamini kuwataka TBA kuanza ujenzi TBA na kuahidi kukamilisha mara moja ili kuwawezesha Kaimu Mkurugezi wa Huduma za Ushauri wa Wakala wa watumishi wa Ofisi ya Rais, ujenzi wa Majengo Tanzania (TBA) Dodoma, akiahidi kutimiza jukumu Menejimenti ya Utumishi ofisi hizo kwalake ili kuhakikisha ujenzi wa Ofisi ya Rais, Menejimenti wa Umma na Utawala Bora wakati na kwa ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora unakamilika kwa kuwahudumia wananchi kiwango bora. wakati katika Mji wa Serikali uliopo Ihumwa jijini Dodoma. wakiwa katika mji wa Serikali. 10 Dkt. Mwanjelwa aelekeza kusimamisha mishahara ya waajiri na maafisa utumishi watakaowasilisha taarifa zisizo sahihi kwenye mfumo wa malipo ya mishahara (HCMIS) ishahara ya Waajiri zikielekezwa Ofisi ya yao pale inapobidi, lengo na Maafisa Utumishi Rais-Utumishi hata kosa likiwa ni kurejesha nidhamu ya Mwatakaobainika linapokuwa kwa waajiri, kazi na kuimarisha uwajibikaji kuwasilisha taarifa za hivyo aliwataka waajiri wote katika Utumishi wa Umma. kiutumishi zisizo sahihi kupitia nchini kuhakikisha wanatenda Mfumo wa Taarifa za Kiutumishi haki kwa kuwasilisha taarifa Mhe. Dkt. Mwanjelwa na Mishahara Serikalini sahihi na kwa wakati ili alihuzunishwa na kitendo cha (HCMIS) itasimamishwa mara ziweze kufanyiwa kazi. watumishi wa umma kudai moja na Idara ya Usimamizi malimbikizo ya mishahara ya wa Rasilimaliwatu Serikalini, Aidha, Mhe. Dkt. Mwanjelwa muda mrefu wakati maafisa Ofisi Rais, Menejimenti ya alihoji kuwa, inawezekanaje utumishi wanaowahudumia Utumishi wa Umma na Utawala mtumishi wa umma kukatwa wapo, na amehoji uhalali wa Bora ili kuwakumbusha mshahara wake kwa madai uwepo wao wakati malalamiko waajiri na maafisa hao ya kukopa kwenye taasisi ya mengi kuhusu malimbikizo ya kuhakikisha wanawasilisha kifedha wakati hajakopa? na mshahara (arreas) yamekuwa taarifa sahihi na kwa wakati. ni kwanini mtumishi husika yakiendelea kuwasilishwa asiarifiwe na mwajiri au afisa kwa wingi Ofisi ya Rais, Hayo yalisemwa jijini Dodoma utumishi juu ya makato hayo? Menejimenti ya Utumishi wa na Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Umma na Utawala Bora kwa Menejimenti ya Utumishi wa Mhe. Dkt. Mwanjelwa alieleza kuchelewa, hivyo aliwataka Umma na Utawala Bora, Mhe. kuwa, kuna uwezekano wa kuwajibika ipasavyo ili Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) baadhi ya waajiri na maafisa kupunguza malalamiko hayo. alipokutana na watumishi utumishi kushiriki katika wa Idara ya Usimamizi wa mchezo mchafu wa kutumia Naye, Mkurugenzi wa Idara ya Rasilimaliwatu Serikalini, mishahara ya watumishi Usimamizi wa Rasilimaliwatu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya kujinufaisha, hivyo alisisitiza Serikalini, Ofisi Rais, Utumishi wa Umma na Utawala watakaobainika wachukuliwe Menejimenti ya Utumishi Bora kwa lengo la kuhimiza hatua za kinidhamu, kisheria wa Umma na Utawala Bora, uwajibikaji na kufahamu vema na kusimamishiwa mishahara Kamishna Msaidizi wa Polisi majukumu ya idara hiyo.

Ili kuimarisha nidhamu ya utendaji kazi, Mhe. Dkt. Mwanjelwa aliwataka watumishi wa Idara ya Usimamizi wa Rasilimaliwatu Serikalini kutosita hata mara moja kusimamisha mshahara wa mwajiri au afisa utumishi yeyote atakaebainika kuwasilisha taarifa zenye udanganyifu na kuwataka kutozifanyia kazi na kuzirejesha mara moja Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala kwa waajiri na maafisa hao. Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) akizungumza na watumishi wa Idara ya Usimamizi wa Rasimaliwatu katika Utumishi wa Umma, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora alipoitembelea idara hiyo jijini Dodoma Mhe. Dkt. Mwanjelwa kwa lengo la kufahamu majukumu ya idara na kuhimiza uwajibikaji. aliainisha kuwa, lawama nyingi zimekuwa 11

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) akizungumza na watumishi wa Idara ya Usimamizi wa Rasimaliwatu katika Utumishi wa Umma, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora (hawapo pichani) alipoitembelea idara hiyo jijini Dodoma kwa lengo la kufahamu majukumu ya idara na kuhimiza uwajibikaji. (ACP) Ibrahim B. Mahumi ni kuandaa Ikama na Bajeti hatua kwa kuwasimamishia alisema kuwa, majukumu ya Mishahara ya Serikali. mishahara maafisa utumishi ya msingi ya Idara hiyo ni zaidi ya 56 walioshindwa kuimarisha uwajibikaji na ACP Mahumi alifafanua kuwa, kutekeleza wajibu wao, na ufanisi katika usimamizi wa pia Idara yake ina jukumu la watumishi wengine zaidi ya 500 rasilimaliwatu, kuratibu malipo kutoa vibali vya ajira mpya na wenye dhamana ya kufanya kazi ya mishahara ya watumishi mbadala Serikalini, kuhakiki kwenye Mfumo wamefikishwa wa umma kupitia Mfumo wa uhalali wa sifa za watumishi kwenye vyombo vya kisheria Malipo ya Mshahara (HCMIS) wa umma wanaoajiriwa kwa kwa makosa mbalimbali na kuhakikisha utumishi wa kuzingatia Sheria, Kanuni yanayohusu kuchezea mfumo umma nchini unakuwa na na Taratibu za Utumishi wa ikiwa ni pamoja na baadhi watumishi wenye sifa stahiki. Umma na kuidhinisha taarifa ya waajiri waliohusika. hizo pamoja na nyingine ACP Mahumi aliainisha kuwa, za kiutumishi na mishahara Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Idara ina sehemu kuu tatu zinazowasilishwa na waajiri Menejimenti ya Utumishi wa zinazotekeleza majukumu, kwa usahihi kupitia Mfumo Umma na Utawala Bora, Mhe. ambazo ni eneo la usimamizi wa Taarifa za Kiutumishi na Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) wa rasilimaliwatu, eneo Mishahara Serikalini (HCMIS). aliitembelea Idara ya Usimamizi la Usimamizi wa Orodha wa Rasilimaliwatu Serikalini, ya Malipo ya Mishahara Kuhusu utekelezaji wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya (Payroll) na eneo la Uhakiki maelekezo yaliyotolewa na Utumishi wa Umma Utawala wa Rasilimaliwatu na Malipo Mhe. Dkt. Mwanjelwa, (ACP) Bora ili kuhimiza uwajibikaji. ya Mshahara na kuongeza Mahumi alithibitisha kuwa, kuwa, kazi kubwa ya eneo la Idara yake itatekeleza na Usimamizi wa Rasilimaliwatu tayari imeshaanza kuchukua 12 Serikali yawapongeza wanufaika wa miradi ya maendeleo mkoani Iringa kwa kutumia vizuri fedha za miradi ya maendeleo kujikwamua kiuchumi kununua sare za shule za watoto, shajala na kufanya mambo mengine ya maendeleo yanayowawezesha kujikwamua kiuchumi.

“Nawapongeza sana akina mama kwani pamoja na fedha kidogo za miradi mnazozipata lakini mmekuwa mkifanya shughuli mbalimbali za ujasiliamali na kuongeza thamani ya bidhaa mnazozalisha ambazo Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawalazinawaongezea Bora, Mhe. Kapt (Mst) George H. Mkuchika (Mb) akiangalia moja ya bidhaa kipato mambo.” Mhe. iliyotengenezwa na mnufaika wa Mfuko wa Rais wa Kujitegemea (PTF) wa Mkuchika ameongeza. kikundi cha Pamoja, kata ya Gangilonga mkoani Iringa wakati wa ziara yake ya kikazi mkoani humo yenye lengo la kuzungumza na watumishi wa umma na kutembelea miradi inayotekelezwa na taasisi zilizo chini ya ofisi yake. Aidha, Mhe. Mkuchika aliwataka vijana erikali imewapongeza na Igumbilo mkoani Iringa. nchini kuiga mfano wa akina wanufaika wa miradi ya mama wanavyojishughulisha maendeleo mkoani Iringa Mhe. Mkuchika alisema, fedha S na masuala ya ujasiliamali hususani akina mama kwa za miradi zimekuwa zikitolewa ili waweze kubadilisha kutumia vizuri fedha za miradi “Nawapongeza sana maisha yao na kuwa na tija ya maendeleo wanazozipata akina mama kwani kwa maendeleo ya taifa. kwa kufanya shughuli pamoja na fedha kidogo mbalimbali za kiuchumi ikiwa za miradi mnazozipata Katika hatua nyingine, Mhe. ni hatua ya utekelezaji wa lakini mmekuwa mkifanya Mkuchika alikabidhi hati sera ya uchumi wa viwanda. shughuli mbalimbali za tatu (3) za umiliki wa ardhi ujasiliamali na kuongeza kwa wananchi wa Kata ya Pongezi hizo zilitolewa na thamani ya bidhaa Igumbilo, hati hizo ni miongoni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, mnazozalisha ambazo mwa hati 59 zilizo tayari Menejimenti ya Utumishi wa zinawaongezea kipato.” kukabidhiwa kwa wananchi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. kata hiyo ikiwa ni utekelezaji Kapt (Mst) George H. Mkuchika wa Mpango wa Urasimishaji (Mb) wakati akikagua miradi -Mhe.Mkuchika. Ardhi Manispaa ya Iringa. ya maendeleo ya Mfuko wa Rais wa Kujitegemea (PTF), kwa akina mama na vijana Aliongeza kuwa Serikali Mpango wa Kunusuru Kaya lakini akina mama wamekuwa imerahisisha utoaji wa hati Maskini (TASAF) na Mpango wakijiongeza zaidi kwa kidogo hizo za umiliki wa ardhi kupitia wa Kurasimisha Rasilimali wanachokipata na kufanya MKURABITA ili wananchi waweze na Biashara za Wanyonge mambo ya maendeleo kama vile kupata fursa ya kukopa katika Tanzania (MKURABITA) katika ufugaji, ushonaji, usindikaji taasisi za kifedha kwani hati kata za Gangilonga, Kihesa wa vyakula, ujenzi wa nyumba, 13 hizo zinatambulika kisheria. (MKURABITA) ambapo aliweza za maendeleo zinazotekelezwa kujionea shughuli mbalimbali na wanufaika wa miradi hiyo. Mhe. Mkuchika aliwasifu wakazi wa kata hiyo kwa hatua nzuri ya urasimishaji wa ardhi kwani kwa kufanya hivyo kutasaidia mali zao kutambuliwa na kuwawezesha kupata mitaji kupitia mikopo hiyo.

Jumla ya viwanja 1,287 vimepimwa katika kata ya Igumbilo mitaa ya Mlangali na Igumbilo kupitia utekelezaji wa mradi wa MKURABITA.

Mhe. Mkuchika alifanya ziara ya kikazi ya siku mbili mkoani Iringa kwa lengo la kuzungumza na Watumishi wa Umma na kutembelea utekelezaji wa miradi ya Mfuko wa Rais wa Kujitegemea Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na (PTF), Mpango wa Kunusuru Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George H. Mkuchika (Mb) akikabidhi Kaya Maskini (TASAF) na hati ya umiliki wa ardhi kwa mmoja wa wanufaika wa mradi wa MKURABITA, kata ya Igumbilo mkoani Iringa wakati wa ziara yake ya Mpango wa Kurasimisha kikazi mkoani humo yenye lengo la kuzungumza na watumishi wa umma Rasilimali na Biashara na kutembelea miradi inayotekelezwa na taasisi zilizo chini ya ofisi yake. za Wanyonge Tanzania

Wakala wa Majengo Tanzania yatakiwa kumaliza kwa wakati ujenzi wa kituo cha Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa cha Kanda ya Ziwa kinachojengwa Jijini Mwanza akala wa Majengo Bi. Mwaluko aliitaka itolewe kwa Kamati ya Kudumu Tanzania (TBA) Wakala hiyo kuhakikisha ya Bunge ya Utawala na Serikali Wimetakiwa kukamilisha inakamilisha ujenzi kwa za Mitaa iliyopanga kutembelea kwa wakati mradi wa ujenzi wakati ili kuiwezesha Serikali kituo hicho hivi karibuni wa Kituo cha Kumbukumbu kukusanya, kuchambua, kwa lengo la kujiridhisha na Nyaraka za Taifa cha kutunza na kuhifadhi na ujenzi uliofanyika. Kanda ya Ziwa uliopo katika kumbukumbu mbalimbali Halmashauri ya Manispaa kutoka katika Taasisi za Umma Naye, Kaimu Mkurugenzi, Idara ya Ilemela mkoani Mwanza. zilizopo kanda ya Ziwa kwa ya Kumbukumbu na Nyaraka lengo la kulinda urithi andishi za Taifa, Bw. Firimin M. Wito huo, ulitolewa na na historia ya Taifa letu. Msiangi alisema, kituo hicho aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu, kitakapokamilika kitakuwa Ofisi ya Rais, Menejimenti Bi. Mwaluko aliielekeza Idara ni kitovu cha mafunzo ya ya Utumishi wa Umma na ya Kumbukumbu na Nyaraka namna bora ya utunzaji wa Utawala Bora, Bi. Dorothy za Taifa kuzungumza na Kumbukumbu na Nyaraka za Mwaluko wakati wa ziara ya Wakala wa Majengo Tanzania Taifa katika kanda ya Ziwa kikazi kuangalia maendeleo na kukubaliana tarehe rasmi kwa watumishi wa umma na ya ujenzi wa kituo hicho. ambayo jengo litakuwa wanafunzi wa vyuo wanaosoma limekamilika ili taarifa hiyo masuala ya utunzaji wa 14 kumbukumbu na nyaraka.

Kwa upande wake, Kaimu Meneja wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) mkoani Mwanza, Bi. Doreen Swai alisema ili kukamilisha ujenzi kwa ubora unaotakiwa, TBA inategemea kukabidhi kituo hicho mwakani mwezi Februari, 2019.

Serikali katika bajeti ya fedha mwaka 2018/19, iliiidhinishia Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa jumla ya shilingi 2,000,000,000/= za kitanzania ili kukamilisha ujenzi wa kituo Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma kitakachokuwa na uwezo wa na Utawala Bora, Bi. Dorothy Mwaluko akitazama ramani ya mradi wa ujenzi kuhifadhi makasha (archival wa Kituo cha Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa Kanda ya Ziwa mkoani Mwanza boxes) 15,000 ya kumbukumbu wakati wa ziara ya kikazi kuangalia maendeleo ya ujenzi wa kituo hicho. tuli yenye uwezo wa kubeba jumla ya majalada 150, 000 kwa wakati mmoja. Aidha, kituo kitatumika kama kituo mbadala cha Mifumo ya TEHAMA ya kuhifadhi kumbukumbu iliyopo katika Kituo cha Taifa cha Kumbukumbu Dodoma.

Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bi. Dorothy Mwaluko akitoa maelekezo ya kuboresha ujenzi wa Kituo cha kumbukumbu na Nyaraka za Taifa Kanda ya Ziwa mkoani Mwanza kwa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) wakati wa ziara ya kikazi kuangalia maendeleo ya ujenzi wa kituo hicho.

Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bi. Dorothy Mwaluko akizungumza na Wataalam wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) mara baada ya kutembelea mradi wa ujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa Kanda ya Ziwa wakati wa ziara ya kikazi kuangalia maendeleo ya ujenzi wa kituo hicho. 15 Serikali yawapatia huduma ya usafiri wajane wa aliyekuwa Makamu wa Rais wa Tanzania, Hayati Alhaji Aboud Mwinyi Jumbe Kitaifa Wastaafu ni pamoja na malipo ya

pensheni, malipo ya posho ya matunzo ya kila mwezi, gharama za matibabu katika hospitali zilizomo nchini na kupatiwa huduma ya usafiri.

Akizungumzia mchango wa Hayati Alhaji Aboud Mwinyi Jumbe, Mhe. Mkuchika alisema, alikuwa ni kiongozi mahiri, jasiri na mchapakazi aliyeweza kutuliza machafuko yaliyowahi kutokea na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. amefanya kazi Kapt (Mst) George H. Mkuchika (Mb) akikabidhi funguo ya gari kwa wajane wa aliyekuwa ya kuwaunganisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Alhaji Aboud Mwinyi Jumbe, watanzania. Bi.Zeyana Rashid (kushoto) na Bi. Fatma Mohammed Hassan (kulia) jijini Dar es Salaam.

erikali imewapatia huduma ya usafiri wa Kwa upande wake, mmoja wa mke wa Hayati gari wajane wa aliyekuwa Makamu wa Rais Alhaji Aboud Mwinyi Jumbe, Bi. Zeyana Rashid Swa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, aliishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Hayati Alhaji Aboud Mwinyi Jumbe ikiwa ni Tanzania kwa kuendelea kuihudumia familia sehemu ya kutekeleza Sheria ya Mafao ya hiyo kwa kuipatia mahitaji yote muhimu. Hitimisho la Kazi kwa Viongozi wa Kisiasa Na. 3 ya mwaka 1999 na Marekebisho yake ya Ziara za Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti mwaka 2005 inayoelekeza utoaji wa stahili ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt. kwa wajane wa viongozi wa Kitaifa Wastaafu. (Mst) George H. Mkuchika (Mb) kuwatembelea wastaafu ilikuwa ni mwendelezo wa kuwajulia Akikabidhi gari hilo kwa wajane hao jijini hali viongozi wa Kitaifa Wastaafu kwa lengo la Dar es Salaam, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, kuboresha huduma wanazopatiwa na Serikali. Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George H. Mkuchika (Mb) alisema licha ya kuwa ni utekelezaji wa sheria lakini pia ni sehemu ya kuuenzi mchango wa wastaafu katika ujenzi wa taifa letu.

Mhe. Mkuchika alifafanua kuwa, kwa mujibu wa sheria hiyo, stahili za wajane kwa viongozi wa 16 Utumishi yaunga mkono kwa vitendo kampeni ya Makamu wa Rais, Mhe. ya kulifanya Jiji la Dodoma kuwa kijani kwa kupanda miti aliongeza kuwa, watumishi wa Ofisi ya Rais - Utumishi wameitikia wito wa Makamu wa Rais, Mhe. Samia Suluhu Hassan wa kupanda miti ili kulifanya jiji la Dodoma kuwa kijani na kuishukuru menejimenti ya ofisi kwa kusimamia vema zoezi hilo ambalo kila mtumishi amelifanya kwa hiyari na kwa moyo mkunjufu.

Bi. Koka aliahidi kuwa, atahakikisha mti alioupanda anauhudumia vizuri kwa kuumwagilia maji ya kutosha ili uweze kustawi vizuri na kuwa ni miongoni mwa miti iliyopandwa na kufanikiwa kukua vizuri na hatimaye Baadhi ya watumishi wa Ofisi ya Rais, Menejimentikuchangia ya jiji la Dodoma kuwa kijani. Utumishi wa Umma na Utawala Bora, wakiwa tayari kupanda miti katika ofisi inayojengwa Ihumwa kwenye mji wa serikaliMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano jijini Dodoma ili kuunga mkono kwa vitendo kampeni ya wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kulifanya jiji la Dodoma kuwa la kijani, iliyozinduliwa na Makamu wa Rais, Mhe. Samia Suluhu Hassan Julai 21,2017. alizindua kampeni za kulifanya jiji la Dodoma fisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa kuwa kijani Julai 21, 2017 kwa kuongoza Umma na Utawala Bora imeunga mkono zoezi la upandaji wa miti ikiwa ni sehemu ya kwa vitendo kampeni iliyozinduliwa na kuunga mkono kwa vitendo uamuzi wa Rais wa O Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ya kulifanya John Pombe Magufuli wa kuhamishia shughuli jiji la Dodoma kuwa kijani kwa kupanda miti za serikali makao makuu ya nchi jijini Dodoma. katika ofisi yake inayojengwa Ihumwa jijini Dodoma kwenye mji wa serikali.

Hayo yalisemwa na Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Dkt. Laurean Ndumbaro mara baada ya watumishi wa ofisi yake kukamilisha zoezi la upandaji wa miti katika mji wa serikali Ihumwa, eneo ambalo Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora inajengwa ili kutoa huduma kwa umma.

Dkt. Ndumbaro alisema kuwa, zoezi la upandaji wa miti katika eneo hilo ni endelevu na kuongeza kuwa, Ofisi yake itahakikisha miti hiyo inatunzwa kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, kuimwagilia maji ili hatimaye kuwe Dkt. Laurean Ndumbaro akizungumza kuhusu ofisi yake kuunga na mandhari ya kijani pindi ofisi yakemkono kwa vitendo kampeni ya kulifanya jiji la Dodoma kuwa itakapokamilisha ujenzi wa jengo kubwa. la kijani iliyozinduliwa na Makamu wa Rais, Mhe. Samia Suluhu Hassan mara baada ya watumishi wa ofisi yake (hawapo pichani) kukamilisha zoezi la upandaji miti katika ofisi Naye, mmoja wa watumishi wa Ofisi yainayojengwa Ihumwa kwenye mji wa serikali jijini Dodoma. Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bi. Menyeaichi Koka 17 Serikali yawapandisha madaraja watumishi wa umma 113,520 walioajiriwa tangu mwaka 2012 erikali imewapandisha hewa na uhakiki wa vyeti, majina yao yapo UTUMISHI madaraja watumishi hivyo mara baada ya kwa ajili ya kupitia taarifa Swa umma 113,520 kukamilika kwa zoezi hilo zao kabla ya kuwabadilishia walioajiriwa mwaka 2012 Serikali ilianza kuwapandisha mishahara na watumishi katika awamu tatu, ambapo watumishi hao kwa awamu 1,064 waliopandishwa vyeo ya kwanza walipandishwa wamebainika kuwa na hoja vyeo Watumishi mbalimbali ambazo waajiri 28,049 waliokuwa wanapaswa kuzikamilisha wameidhinishiwa vyeo na kurejesha majina yao kabla ya zoezi la uhakiki wa UTUMISHI kwa ajili ya watumishi hewa na uhakiki kuwaidhinishia mishahara, wa vyeti kuanzia mwezi watumishi 4,552 hawapo Juni, 2016, awamu ya pili tena katika Utumishi wa ilianza mwezi Novemba, Umma na watumishi 6,903 2017 na ilihusisha bado hawajapandishwa vyeo watumishi 59,967 ambao ambapo Serikali inatarajia taarifa zao zilikuwa kuwapandishwa vyeo wakati kwenye Mfumo Shirikishi wowote katika mwaka wa Taarifa za Kiutumishi na huu wa fedha 2018/19. Mishahara (HCMIS) kabla ya zuio na awamu ya tatu Suala la upandishwaji ilianza mwezi Aprili, 2018 vyeo kwa Watumishi na ilihusisha Watumishi wa Umma linazingatia 25,504 ambao barua zao vigezo mbalimbali ikiwa zilikuwa hazijaingizwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishini pamoja na utendaji wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary M. kwenye Mfumo. Mwanjelwa (Mb) akijibu swali la Mhe. Joram kazi mzuri, kukidhi sifa Hongoli (Mb) Bungeni , kwa niaba ya Waziri wa Nchi, zilizoainishwa katika Ufafanuzi huo, ulitolewa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma naMiundo ya Maendeleo ya Bungeni na Naibu Waziri, Utawala Bora lililohusu upandishwaji wa madaraja Utumishi, uwepo wa nafasi Ofisi ya Rais, Menejimentikwa watumishi wa umma walioajiriwa mwaka 2012. wazi na bajeti iliyotegwa. ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.Dkt. Mary hizo tatu kwa kuzingatia Kwa mujibu wa Miundo ya M. Mwanjelwa (Mb) wakati vigezo stahiki na kuongeza Maendeleo ya Utumishi, akijibu swali la Mhe. Joram kuwa watumishi wengine mtumishi anapaswa kutumikia Hongoli (Mb) kwa niaba ya ambao wamekidhi vigezo cheo kimoja si chini ya miaka Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, wataendelea kukasimiwa mitatu kabla hajafikiriwa Menejimenti ya Utumishi katika bajeti ya mishahara kupandishwa cheo. Aidha, wa Umma na Utawala ili waweze kupandishwa iwapo mtumishi ameajiriwa Bora lililohusu watumishi vyeo katika mwaka huu kwa mara ya kwanza atapaswa wa umma walioajiriwa wa fedha 2018/2019. kumaliza mwaka mmoja wa 2012 kutopandishwa kuthibitishwa kazini kisha madaraja mpaka hivi sasa. Aidha, Mhe. Dkt. Mwanjelwa ndipo atumikie cheo hicho si aliainisha kuwa, watumishi chini ya miaka mitatu, hivyo Dkt. Mwanjelwa alisema, 31,188 walioajiriwa na kwa kuzingatia sifa mtumishi watumishi walioajiriwa Mwaka TAMISEMI mwaka 2012, kati anaweza kupandishwa 2012 walistahili kupandishwa ya hao watumishi 15,320 cheo baada ya miaka 3, 4, madaraja kuanzia mwaka wamepandishwa vyeo na 5 au hata saba kutegemea 2016/2017 kipindi ambacho kubadilishiwa mishahara, na na kukidhi vigezo stahiki. Serikali ilikuwa ikifanya zoezi watumishi 3,349 waajiri wao la uhakiki wa watumishi wamewapandisha vyeo lakini 18 Wanufaika wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini mkoani Kilimanjaro watakiwa kutumia vizuri fedha za ruzuku ili kuboresha maisha yao erikali imewataka vizuri fedha za Mpango wa wa fedha taslimu za kitanzania wanufaika wa mpango Kunusuru Kaya Maskini katika shilingi 200,000/= Bi. Swa kunusuru kaya kijiji cha Njoro wilayani Same Safiyuna Hasani wa kijiji cha maskini mkoani Kilimanjaro na kijiji cha Kileo wilayani Kileo ili aweze kumsomesha kutumia vizuri fedha za mwanga kwa kujenga nyumba vema mwanae mwenye ruzuku zinazotolewa na bora za kuishi, kuwanunulia ulemavu wa ngozi (albino) na Serikali ili kuondokana watoto mahitaji muhimu ya kumnunulia mahitaji muhimu. na umaskini na hatimaye shule ikiwa ni pamoja na kuboresha maisha yao. kujishughulisha na ufugaji wa Mhe. Muchika alisisitiza mbuzi, kondoo, kuku na bata. kuwa, Serikali ina lengo Wito huo ulitolewa na Waziri la kuhakikisha inawasajili wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mhe. Mkuchika aliguswa na wananchi wote wenye sifa ya Menejimenti ya Utumishi wa jitihada za wanufaika wawili kunufaika na fedha za Mpango Umma na Utawala Bora, Mhe. katika kijiji cha Njoro Bi. wa Kunusuru Kaya Maskini Kapt (Mst) George H. Mkuchika Salome Athumani na Bw. katika vijiji vyote nchini, (Mb) alipowatembelea Jumanne Muhamed Idafu na kuongeza kuwa mpaka wanufaika wa Mpango wa na kuwapatia msaada wa sasa Serikali imefanikiwa

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George H. Mkuchika (Mb) akizungumza na wananchi na wanufaika wa fedha za Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini katika kijiji cha Njoro wilayani Same (hawapo pichani) katika siku ya kwanza ya ziara yake ya kikazi mkoani Kilimanjaro, yenye lengo la kufanya ufuatiliaji wa maendeleo ya utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini nchini.

Kunusuru Kaya Maskini katika fedha taslimu za kitanzania kuwafikia wanufaika wa Halmashauri za Wilaya ya Same shilingi 300,000/= ili waweze mpango kwa asilimia sabini tu. na Mwanga mkoani Kilimanjaro kukamilisha ununuzi wa bati ikiwa ni siku ya kwanza ya ziara za kuezekea nyumba zao Kwa upande wa wanufaika, Bi. yake ya kikazi mkoani humo. walizozijenga kupitia fedha Salome Athumani mkazi wa za Mpango wa Kunusuru Kaya kijiji cha Njoro, alimshukuru Mhe. Mkuchika alifurahi Maskini, sanjali na hao, Mhe. Mhe. Mkuchika kwa msaada kuona wanufaika wametumia Mkuchika alimpatia msaada wa kifedha aliompatia na 19 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George H. Mkuchika (Mb) akizungumza na mmoja wa wanufaika wa fedha za Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini, Bi. Salome Athumani wa kijiji cha Njoro wilayani Same mara baada ya kutoa msaada wa fedha kwa mnufaika huyo katika siku ya kwanza ya ziara yake ya kikazi mkoani Kilimanjaro, yenye lengo la kufanya ufuatiliaji wa maendeleo ya utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini nchini. Serikali kwa ujumla kupitia cha shilingi 91,280,000/= Menejimenti ya Utumishi wa Mpango wake wa Kunusuru ikiwa ni pamoja na shilingi Umma na Utawala Bora, Mhe. Kaya Maskini uliomuwezesha 1,705,843/= za usimamizi Kapt (Mst) George H. Mkuchika kutimiza ndoto yake ya ujenzi wa mpango,na kaya maskini (Mb) mkoani Kilimanjaro, wa nyumba na kujishughulisha 197 katika kijiji cha Kileo ni kufuatilia maendeleo ya na ufugaji wa mbuzi na kuku. wilayani Mwanga zimenufaika utekelezaji wa Mpango wa na shilingi 132,719,000/= Kunusuru Kaya Maskini ikiwa ni Naye, Bi. Salima Abdallah pamoja na shilingi 2,287,386/= sehemu ya utekelezaji wa ilani Mzirai mkazi wa kijiji cha za usimamizi wa mpango. ya uchaguzi ya chama tawala Kileo, alishukuru uwepo wa ya mwaka 2015 katika eneo la fedha za Mpango wa Kunusuru Lengo la ziara ya kikazi ya kupambana na umaskini nchini. Kaya Maskini zilizomuwezesha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, kupata matibabu ya kiafya, kukarabati nyumba yake, kujenga choo, kufuga kuku na kulima bustani.

Aidha, mkazi mwingine wa kijiji hicho, Bw. Daudi Hassan Kalili aliishukuru Serikali kumnufaisha na fedha za mpango zilizomuwezesha kuachana na maisha ya kuishi kwenye nyumba ya nyasi na kuanza shughuli ya ufugaji wa kuku.

Jumla ya kaya maskini Baadhi ya wananchi na wanufaika wa fedha za Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini katika kijiji cha Kileo wilayani Mwanga wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya 144 katika kijiji cha Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) Njoro wilayani Same George H. Mkuchika (Mb) (hayupo pichani) katika siku ya kwanza ya ziara ya zimenufaika na fedha kikazi ya waziri huyo mkoani Kilimanjaro, yenye lengo la kufanya ufuatiliaji za Mpango wa Kunusuru wa maendeleo ya utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini nchini Kaya Maskini kiasi 20 Uzingatiaji wa maadili na nidhamu ya kazi ndio msingi na nyenzo ya utendaji kazi kwa watumishi wa umma nchini

atumishi wa umma nchini Mhe. Dkt. Mwanjelwa aliisisitiza Idara ya Ukuzaji wametakiwa kuzingatia maadili Maadili kutengeneza mkakati madhubuti wenye Wna nidhamu ya kazi kwani ndio ubunifu utakaowezesha kutoa elimu ya maadili msingi na nyenzo kuu itakayowawezesha kwa umma ili jamii itambue umuhimu wa kutekeleza majukumu yao kikamilifu. maadili mema mahala pa kazi, na ameongeza kuwa Idara hiyo iweke utaratibu wa kuzitambua Hayo yalisemwa na Naibu Waziri, Ofisi ya Taasisi na watumishi wa umma wanaozingatia Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na maadili ya kazi kwa kuwapa tuzo lengo Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa likiwa ni kuwapa motisha ya utendaji kazi. (Mb) alipokutana na watumishi Mhe. Dkt. wa Idara ya Mwanjelwa Ukuzaji Maadili, aliainisha kuwa, Ofisi ya Rais, watumishi wa Menejimenti umma wakiwa ya Utumishi waadilifu na wa Umma na wazalendo, Utawala Bora watawezesha kwa lengo kupunguza la kufahamu malalamiko ya majukumu wananchi dhidi ya idara hiyo ya huduma na kuhimiza zinazotolewa na uwajibikaji. Taasisi za Umma.

Mhe. Dkt. Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Aidha, Mhe. Mwanjelwa Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) akizungumza na Dkt. Mwanjelwa alisema, maadili watumishi wa Idara ya Ukuzaji Maadili, Ofisi ya Rais, Menejimentialiitaka Idara mema kwa ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora alipoitembelea idara hiyo hiyo kuunga kwa lengo la kufahamu majukumu ya idara na kuhimiza uwajibikaji. watumishi wa mkono jitihada umma ndio kitovu za Rais wa cha utumishi wa umma hivyo ameitaka Idara Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. ya Ukuzaji Maadili kuhakikisha watumishi wa Dkt. John Pombe Magufuli kwa vitendo umma wanazingatia misingi ya maadili mema katika kuhimiza uadilifu na uwajibikaji kwa na nidhamu katika utendaji ili waweze kutoa watumishi wa umma nchini ili utumishi wao huduma bora na kwa wakati kwa wananchi. uwe na tija katika maendeleo ya Taifa.

Mhe. Dkt. Mwanjelwa alifafanua kuwa Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Idara ya mtumishi wa umma akiwa na maadili mema, Ukuzaji Maadili, Bw. Fabian Pokela alisema utendaji kazi wake utaimarika pia utii, kuwa, majukumu ya Idara hiyo yamegawanyika heshima na adabu vitaongezeka hivyo atakuwa katika sehemu kuu mbili ambazo ni Ukuzaji mchapakazi hodari na anayezingatia weledi. Maadili katika utumishi wa umma na Ufuatiliaji wa Uzingatiaji wa Maadili katika utumishi Mhe. Dkt. Mwanjelwa aliongeza kuwa, wa umma sanjari na ushughulikiaji wa mtumishi wa umma anatakiwa ajitambue malalamiko ya wananchi yanayohusu ukiukwaji katika mwenendo wake, azingatie mavazi wa maadili katika Utumishi wa Umma. ya heshima mahala pa kazi, awe na lugha nzuri yenye staha kwa wateja ili awe kioo Bw. Pokela alifafanua kuwa, jukumu la na mfano mzuri wa kuigwa katika jamii. sehemu ya Ukuzaji Maadili ni kuhakikisha kuwa watumishi wa umma na wananchi kwa 21 Bw. Pokela alisema Idara yake pia imeandaa vipindi vya redio na televisheni vitakavyotoa elimu kwa umma juu ya maadili mema mahala pa kazi na kuhimiza uadilifu kwa Watendaji Wakuu wa Taasisi na mtumishi wa umma mmoja mmoja.

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Mkurugenzi wa Idara ya Ukuzaji Maadili, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi Umma na Utawala wa Umma na Utawala Bora Bw. Fabian Pokela (kulia) akifafanua majukumu ya Idara yake kwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma naBora, Mhe. Dkt. Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) (hayupo pichani) alipoitembelea Mary Mwanjelwa idara hiyo kwa lengo la kufahamu majukumu ya idara na kuhimiza uwajibikaji. (Mb) aliitembelea ujumla wanapata uelewa kuhusu maadili Idara ya Ukuzaji ya utumishi wa umma kupitia kampeni Maadili ikiwa ni mwendelezo wa ziara za uhamasishaji, maonesho mbalimbali, yake katika Idara na Vitengo vya Ofisi ya vipeperushi, majarida mbalimbali, semina, Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma warsha, mikutano na mafunzo ya muda mfupi. na Utawala Bora ili kuhimiza uwajibikaji.

Baadhi ya watumishi wa Idara ya Ukuzaji Maadili, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakipokea maelekezo kutoka kwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) (hayupo pichani) alipoitembelea idara hiyo kwa lengo la kufahamu majukumu ya idara na kuhimiza uwajibikaji. 22 Serikali yawataka watumishi wa umma wilayani Kilolo kuishi maeneo wanayofanyia kazi ili kutekeleza majukumu yao ipasavyo “Ninatoa muda wa miezi miwili kwa watumishi hao kuweka makazi yao Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo haraka iwezekanavyo na asiyetaka aandike barua ya kuacha kazi,” Mhe. Mkuchika alisisitiza.

Mhe. Mkuchika aliongeza kuwa lengo la Serikali la kutaka Kilolo kuwa Makao Makuu ya Halmashauri ni kuwawezesha wananchi kupata huduma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George H. Mkuchika (Mb) bora na kwa wakati. akizungumza na watumishi wa umma wilayani Kilolo wakati wa ziara yake ya kikazi mkoani Iringa yenye lengo la kuwasikiliza, kupokea Mhe. Mkuchika alihitimisha changamoto zinazowakabili na kuzitafutia ufumbuzi ili kuboresha ziara yake ya kikazi ya siku utumishi wa umma na kuongeza tija katika kuwahudumia wananchi mbili mkoani Iringa ambayo ililenga kuzungumza na erikali imewataka Mhe. Mkuchika alimuagiza watumishi wa umma, kusikiliza Watumishi wa Umma Mkuu wa Wilaya ya Kilolo changamoto zinazowakabili katika Halmashauri ya kuhakikisha ifikapo S na kuzitafutia ufumbuzi, Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa Januari, 2019 wote wawe pamoja na kukagua miradi ya kuishi maeneo wanayofanyia wameshahamishia makazi yao maendeleo inayotekelezwa na kazi yaani katika wilaya hiyo katika Halmashauri ya Wilaya taasisi zilizo chini ya ofisi yake. kwa lengo la kutekeleza ya Kilolo na asiyefanya hivyo majukumu yao ipasavyo. atakuwa amejifukuzisha kazi.

Kauli hiyo ilitolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt (Mst) Mhe. George H. Mkuchika (Mb) wakati wa kikao kazi na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kikazi katika mkoa wa Iringa.

Mhe. Mkuchika alisema kuna baadhi ya watumishi wameajiriwa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo lakini wanaishi Baadhi ya watumishi wa umma wilayani Kilolo wakimsikiliza Waziri Iringa mjini jambo ambalo wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na ni kinyume na taratibu za Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George H. Mkuchika (Mb) (hayupo kiutumishi na pia linasababisha pichani) wakati akizungumza nao kwa lengo la kuwasikiliza, kupokea watumishi hao kutokuwa makini changamoto zinazowakabili na kuzitafutia ufumbuzi ili kuboresha katika utendaji kazi wao. utumishi wa umma na kuongeza tija katika kuwahudumia wananchi. 23 Watumishi wa umma watakiwa kuwa tayari kufanya kazi mahali popote nchini ili kuwahudumia wananchi atumishi wa umma wametakiwa inatakiwa kujiridhisha na hoja zinazowasilishwa kuwa tayari kufanya kazi mahali kuombea vibali vya uhamisho kama hoja hizo Wpopote na katika mazingira zina tija na manufaa katika maendeleo ya Taifa. yoyote nchini ili waweze kuwahudumia wananchi ambao ndio walengwa wakuu wa Mhe. Dkt. Mwanjelwa alisisitiza kuwa, huduma zinazotolewa na Taasisi za Umma. watanzania wote wana haki sawa ya kupata huduma bora bila kujali mazingira Hayo yalisemwa na Naibu Waziri, Ofisi ya waliyopo hivyo, ni wajibu wa Idara hiyo Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na kuhakikisha kuwa uhamisho wa watumishi Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa hauathiri mahitaji ya huduma kwa wananchi. (Mb) alipokutana na watumishi wa Idara ya Utawala wa Utumishi wa Umma, Ofisi ya Rais, Awali, akielezea majukumu ya idara yake, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Mkurugenzi wa Idara ya Utawala wa Utumishi Bora kwa lengo la kufahamu majukumu wa Umma, Bw. Mathew Kirama alisema, Idara ya Idara hiyo na kuhimiza uwajibikaji. hiyo ina Sehemu ya Utawala wa Utumishi wa Umma, Sehemu ya Watumishi Waandamizi na Mhe. Dkt. Mwanjelwa alisema, kitendo cha Sehemu ya Huduma na Ushauri wa Kisheria watumishi wa umma kuwa tayari kufanya ambazo kwa pamoja zinalenga kufanikisha kazi mahali popote na katika mazingira uendeshaji wa utumishi wa umma kwa yoyote bila kujali maslahi binafsi kinaashiria kuwezesha Taasisi za Serikali kupata watumishi uzalendo kwa Taifa na kinatoa haki kwa wenye sifa na weledi unaohitajika kulingana wananchi katika maeneo yote hususan ya na malengo yanayotekelezwa na Taasisi hizo. pembezoni kupata huduma bora wanayostahili. Bw. Kirama alifafanua kuwa, idara hiyo ina Mhe. Dkt. Mwanjelwa aliitaka Idara ya Utawala jukumu la kutoa ushauri wa kitaalamu kwa wa Utumishi wa Umma kutorubuniwa na waajiri na watumishi kuhusu sera, sheria, baadhi ya watumishi na waajiri wanaoomba kanuni na nyaraka mbalimbali za masuala vibali vya uhamisho kwa maslahi binafsi ya ajira katika Utumishi wa Umma, kutoa hivyo kuathiri utoaji huduma kwa umma. ushauri wa kitaalamu kuhusu masuala ya sheria ikiwa ni pamoja na kusimamia taratibu Mhe. Dkt. Mwanjelwa aliongeza kuwa, Idara hiyo mbalimbali zinazotawala utumishi wa umma.

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) akisisitiza uwajibikaji kwa watumishi wa Idara ya Utawala wa Utumishi wa Umma, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora (hawapo pichani) alipoitembelea idara hiyo kwa lengo la kufahamu majukumu ya idara na kuhimiza uwajibikaji. 24

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) akizungumza na watumishi wa Idara ya Utawala wa Utumishi wa Umma, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora alipoitembelea idara hiyo kwa lengo la kufahamu majukumu ya idara na kuhimiza uwajibikaji.

Akizungumzia suala la uhamisho, Bw. Kirama yenye upungufu wa watumishi. alisema, katika kuleta tija na ufanisi kwenye utumishi wa umma, watumishi wa umma Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya wanaruhusiwa kuhama ikiwa wamezingatia Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. sheria, kanuni, taratibu na miongozo iliyopo Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) aliitembelea Idara likiwemo sharti la kukaa kwenye kituo kimoja ya Utawala wa Utumishi wa Umma ikiwa ni cha kazi si chini ya miaka mitatu na uwepo wa mwendelezo wa ziara yake katika Idara na Vitengo nafasi iliyotengewa fedha kwenye kituo husika. vya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora ili kuhimiza uwajibikaji. Aidha, Bw. Kirama alieleza kuwa, Serikali inaweza kumhamisha mtumishi kwa sababu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuboresha huduma katika maeneo Mkurugenzi wa Idara ya Utawala wa Utumishi wa Umma, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bw. Mathew Kirama (wa pili kutoka kulia) akifafanua majukumu ya Idara yake kwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) (kulia) alipoitembelea idara hiyo kwa lengo la kufahamu majukumu ya idara na kuhimiza uwajibikaji. 25 Naibu Katibu Mkuu-UTUMISHI aomba ushirikiano kutoka kwa watumishi wa ofisi yake ili kufikia malengo ya Mhe. Rais ya kutoa huduma bora kwa wananchi watumishi wa umma nchini.

Dkt. Michael aliongeza kuwa, kazi ya kuwahudumia watumishi ni ngumu sana lakini Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora imekuwa ikifanya vizuri sana na hii imejidhihirisha pale alipopata huduma inayostahili kupitia wawakilishi aliokuwa akiwaagiza mara kwa mara.

Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Dkt. Francis Michael akisalimiana na Mkurugenzi wa Kitengo cha Ununuzi na Dkt. Michael aliitaka Ugavi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bw. Peter menejimenti ya ofisi Mabale mara baada ya kuripoti ofisini kwake jijini Dodoma leo kwa ajili ya kuanza hiyo kuendelea kutoa kazi rasmi. ushirikiano kwake kama aibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, ilivyokuwa ikifanya kwa Menejimenti ya Utumishi wa Umma Naibu Katibu Mkuu aliyepita ili kufikia malengo Nna Utawala Bora, Dkt. Francis Michael ya Mheshimiwa Rais. ameomba kupewa ushirikiano na watumishi wa ofisi yake ili kuhakikisha huduma bora inatolewa kwa wadau na wananchi. Naye, Mkurugenzi wa Idara ya TEHAMA Serikalini, Bw. Priscus Kiwango akitoa neno la shukrani kwa niaba ya menejimenti ya Ofisi ya Dkt. Michael alisema hayo wakati akizungumza Rais, Utumishi na Utawala Bora, aliahidi kutoa na watumishi wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ushirikiano mzuri na kuendelea kufanya kazi ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora mara kwa bidii ili kufikia malengo yaliyokusudiwa ya baada ya kuripoti ofisini kwake jijini Dodoma kuwahudumia wananchi. kwa ajili ya kuanza kazi rasmi. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Michael alisema, watumishi wa ofisi yake Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli alimteua Dkt. wana uelewa mkubwa kuhusiana na masuala Francis K. Michael kuwa Naibu Katibu Mkuu, ya kiutumishi hivyo, ushirikiano atakaoupata Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa utamsaidia kutekeleza majukumu yake Umma na Utawala Bora, tarehe 08 Januari, kikamilifu na kutimiza malengo ya Mhe. Rais 2019 na kumuapisha tarehe 09 Januari, 2019. wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Michael amechukua nafasi ya Bi. Dorothy Dkt. John Pombe Magufuli ya kuwahudumia Mwaluko ambaye ameteuliwa kuwa Katibu wananchi. Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uwekezaji).

Aidha, Dkt. Michael aliipongeza menejimenti ya Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, kwa kazi nzuri wanayoifanya ya kuwahudumia 26 MATUKIO KATIKA PICHA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George wa Umma na Utawala Bora, Kapt. (Mst) Mhe. George Mkuchika (Mb) na Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti H. Mkuchika (Mb) akimtunuku cheti Katibu Mkuu wa ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Doto James baada Mwanjelwa (Mb) wakionyeshwa mipaka ya kiwanja na ya kuhitimu kozi fupi ya tano ya Viongozi iliyofanyika Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa katika Chuo cha Taifa cha Ulinzi, jijini Dar es Salaam. Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro ya eneo linalojengwa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora katika mji wa Serikali Ihumwa jijini Dodoma.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma H. Mkuchika (Mb) akisalimiana na Makamu wa Rais na Utawala Bora, Kapt. (Mst) Mhe. George H. Mkuchika (Mb) Mstaafu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa akifafanua jambo kwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Tanzania, Dkt. alipomtembelea Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Cleopa D. nyumbani kwake jijini Dar es Salaam kumjulia hali. Msuya alipomtembelea nyumbani kwake jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt. (Mst) Mhe. George H. Mkuchika (Mb) akiwa katika picha ya pamoja na familia ya aliyekuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Marehemu Dkt. Omar Ali Juma alipowatembelea nyumbani kwao, jijini Dar es Salaam. 27 MATUKIO KATIKA PICHA

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Ardhi, Nyumba na wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro akimtunuku cheti Maendeleo ya Makazi, Bw. Mathias Kabunduguru, ambaye mmoja wa wahitimu wa Chuo cha Utumishi wa Umma alikuwa Mkurugenzi wa Sera, Ofisi ya Rais-Utumishi Tanzania (TPSC) wakati wa mahafali ya 29 ya Chuo akimkabidhi nyaraka za kiutendaji Mkurugenzi wa cha Utumishi wa Umma Tanzania, jijini Dar es Salaam. Sera, Bi Agnes Meena wakati wa hafla fupi ya kumuaga iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Utumishi.

Naibu Waziri , Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Baadhi ya Watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) wakimsikiliza Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Ardhi, Nyumba akihimiza usimamizi mzuri wa Mfumo wa Wazi wa Mapitio na Maendeleo ya Makazi, Bw. Mathias Kabunduguru, na Tathmini ya Utendaji Kazi (OPRAS) kwa Mkurugenzi (hayupo pichani) ambaye alikuwa Mkurugenzi wa Sera, wa Idara ya Mikataba ya Utendaji Kazi Serikalini, Bw. Ofisi ya Rais-Utumishi wakati wa hafla fupi ya kumuaga Hassan Kitenge, alipoitembelea Idara hiyo kwa lengo la iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Utumishi. kufahamu majukumu ya idara na kuhimiza uwajibikaji.

Baadhi ya watumishi wa umma mkoani Iringa wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George H. Mkuchika (Mb) (hayupo pichani) wakati akizungumza nao kwa lengo la kuwasikiliza, kupokea changamoto zinazowakabili na kuzitafutia ufumbuzi ili kuboresha utumishi wa umma na kuongeza tija katika kuwahudumia wananchi. utumishiweek utumishiweek Ofisi ya Rais Utumishi Ofisi ya Rais Utumishi

Tovuti:www.utumishi.go.tz