Gazeti la kwanza la Kiislam kutolewa kwa lugha ya Kiswahili - mwaka 1936 Nukuu ya Qur’an Tukufu Enyi mlioamini! Watu wasiwadhihaki watu wengine huenda wakawa ni bora kuliko wao; wala wanawake (wasiwadhihaki) wanawake huenda wakawa bora kuliko wao. Wala msisingiziane wala msiitane Mapenzi ya Mungu kwa majina mabaya. Ni jambo baya sana kujichumia sifa mbaya baada ya imani; Mapenzi kwa wote bila chuki kwa yeyote na wale wasiotubu hao ndio wadhalimu. (49:12) JUZU 76 No. 188 SAF./RAB1. 1438 AH JANUARI 2017 SULH 1396 HS BEI TSH. 500/= Khalifa Mtukufu awatanabahisha wapinzani: Islam Ahmadiyya Ishara ya Mbinguni Katika kipindi cha kudhihirisha mara nyingi, alitaja miujiza Na Mwandhisi wetu, ukweli wa Mitume wa Allah, mbalimbali na Ishara za Dar es Salaam Allah anawafaya watu hawa Allah ambazo zitadhirika juu kuwa ishara ya kuasa na onyo ya ukweli wa Ahmadiyya. Hadhrat Khalifatul Masih V kwa watu. Wapinzani wa Alipokuwa anazitaja Ishara (atba) alitoa hotuba katika Masih Aliyeahidiwa(a.s) nao hizi alikuwa anasema kwamba msikiti wa Baitul Futuh pia walikuwa kama hivi. Watu ishara hizi zilielezwa na mjini London, ambapo hawa pamoja na kuona Ishara kutabiriwa na Mtukufu aliwatahadharisha wapinzani nyingi za kweli za Masih Mtume(s.a.w) miongoni ya Jamaat Ahmadiyya juu ya Aliyeahidiwa(a.s) lakini bado mwa hizo ni kupatwa kwa upinzano wao usio wa haki. hawamuamini kwa sababu jua na mwezi. Kama ishara Baada ya Salamu, Tashahhud, ya ukaidi na ubishi wao. Au hii isingetimia viongozi wa Taaudh na kusoma Suratul wanaenda kinyume kabisa dini wangeonyesha hamaki Faatiha, Huzur Aqdas a.t.b.a. na zile ishara ambazo Allah na vurugu. Lakini pale alisema: amewaonyesha, basi Allah kwa ilipoonekana, sio mara moja Wako watu ambao hakika anawafaya wachache tu bali ni mara mbili, mara ya macho yao yamefungwa miongoni mwao kwa Ishara ya kwanza ilikuwa India na mara na ambao wameamua onyo. ya pili ilikuwa Marekani, watu kwamba hawataamini wala Masih Aliyeahidiwa(a.s) hawa walionyesha kuipuuza. hawatashuhudia juu ya aligusia ishara nyingi kuwa Masih Aliyeahidiwa(a.s) Ishara za kweli za Allah. Kwa zilikuwa zinahusu ukweli alisema mmoja wa rafiki zangu hakika hizi ni sifa na tabia wake na pia zilidhihirika alinieleza kuwa wakati Ishara za watu wasioamini mitume. kwa watu sawa na zile Ishara hii ilipotimia, Ghulam Murtaza Watu hawa hata baada ya za Masih Aliyeahidiwa(a.s) ambae alikuwa ni mmoja wa kushuhudia Ishara lakini bado ambazo zilielezwa na Mtume viongozi wa dini alionyeshwa wataendelea kutaka ushuhuda Mtukufu(s.a.w). Lakini kukatishwa tamaa sana na zaidi ambao utakuwa sawa viongozi mbalimbali wa dini alionyesha kuumizwa sana na na fikira zao. Kwa sababu ya wao wenyewe hawaziamini alitoa maoni yake kwamba sasa kuvuka kwao mipaka basi Allah Hadhrat Mirza Masroor Ahmad, na pia wanawazuia watu dunia inaenda kupotoka. Masih ameifunga mioyo yao. Na kisha Khalifatul Masih V a.t.b.a. wengine kuamini ukweli. Aliyeahidiwa(a.s) akasema wameshindwa kuifikia imani. Na wanaendelea kufanya hivi. Masih Aliyeahidiwa(a.s) Endelea uk. 3 Lukuvi: Naifahamu Jumuiya Ahmadiyya Na Jamil Mwanga, “Mwaka 1996 nikiwa Wizara Dar es Salaam ya Kazi nilikuja na marehemu Kinyondo, mlimpatia vitabu Waziri wa Ardhi, Nyumba vingi ambapo alichukua na Maendeleo ya Makazi, likizo na vilimchukua siku William Lukuvi amesema saba kuvisoma vitabu kuwa anaifahamu Jumuiya vya Ahmadiyya, kisha ya Waislamu Ahmadiyya akawaalika ofisini kwake kwa tangu mwaka 1996 wakati majadiliano akidai kuwa sasa alipohudhuria moja ya hafla ameshawafahamu” alisema, iliyoandaliwa na Jumuiya huku akicheka na kutabasamu. Ahmadiyya ambapo marehemu Kwa upande wake, Amir Sebastian Kinyondo alialikwa na Mbashiri Mkuu, Sheikh kama mgeni rasmi. Mahmood Tahir Chaundry Waziri Lukuvi aliyasema hayo akiielezea Jumuiya ya Waislam ofisini kwake hivi karibuni Ahmadiya, alisema kuwa alipokutana na uongozi ni Jumuiya ya kidini yenye wa Jumuiya ya Waislamu kiongozi mmoja duniani. Ahmadiyya ukiongozwa na “Ahmadiyya sio Jumuiya ya Amir na Mbashiri Mkuu, Sheikh kisiasa, hatufanyi biashara Mahmood Tahir Chaundry na tunatii sheria za nchi”, uliofika ili pamoja na mambo alisema na kuongeza kuwa mengine, kumsalimia na Jumuiya Ahmadiyya imekuwa kueleza shughuli zinazofanywa ikifanya mikutano ya mwaka na Jumuiya ya Ahmadiyya Amir na Mbashiri Mkuu Sheikh Tahir Mahmood Chaudhry akikabidhi vitabu kwa Mh. William nchini. Lukuvi wakati alipomtembela ofisini kwake, Dar es Salaam Endelea uk. 2 2 Mapenzi ya Mungu Januari 2017 Rabiu Thani 1438 AH Sulh 1396 HS MAKALA / MAONI Mapenzi ya Mungu Naifahamu Jumuiya Ahmadiyya Kutoka uk. 1 alisema kwa takriban miaka Lukuvi ambaye pia ni mbunge sita sasa Jumuiya imekuwa wa jimbo la Ismani mkoani Maoni ya Mhariri (Jalsa Salana) kwa lengo la ikiandaa mikutano ya amani Iringa alisema hata katika kukutana na kukumbushana nchini sawa na kauli mbiu jimbo lake eneo la Izazi wapo masuala ya imani ambapo isemayo: Amani kwa Wote bila waahmadiyya na kuiomba KARIBU MWAKA 2017 pia viongozi wa Serikali chuki kwa yeyote. Jamaat iangalie uwezekano wa wamekuwa wakialikwa. Kuhusu shughuli za kijamii kufikisha huduma za visima Hotuba ya Ijumaa iliyotolewa na kiongozi wetu Alisema kwa mfano, mwaka zinazofanywa na Jamaat vya maji katika eneo hilo. mpendwa Hadhrat Mirza Masroor Ahmad (atba) jana katika mkutano wa Ahmadiyya nchini, Amir Sahib Mwishoni, Amir na Mbashiri tarehe 30/12/2016 bila shaka itajipatia nafasi ya mwaka uliofanyika Kitonga, alisema kuwa mbali na huduma Mkuu alimkabidhi Waziri Dar es Salaam, rais mstaafu wa kipekee na ya kiheshima katika historia ya Jumuiyya za afya na elimu kwa msaada Lukuvi vitabu mbalimbali vya awamu ya pili, Mzee Ali Hassan wa taasisi ya ‘Humanity First’, Jamaat Ahmadiyya ikiwemo ya Ahmadiyya. Kila neno la hotuba hiyo ni lulu yenye Mwinyi pamoja na Naibu Jumuiya Ahmadiyya imesaidia tafsiri ya Qurani Tukufu kwa thamani na tunaomba kwa unyenyekevu mkubwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya kuchimba visima na kuweka lugha ya Kiswahili kabla ya kila Muaminio atafute fursa ya kuisoma kwa makini Nchi Mhandisi Hamad Yussuf pampu za maji katika maeneo kupata picha ya pamoja na na atafakari juu ya matone hayo ya asali yaliyomo Masauni walikuwa miongoni mbalimbali nchini. ujumbe wa Jamaat Ahmadiyya. mwa wageni waalikwa. Aidha, katika hotuba hiyo. Kuhusu huduma ya maji, Waziri

Ni desturi ya binadamu kuanza mwaka mpya kwa mbwembwe na shamra shamra nyingi hadi kuwa kero na usumbufu kwa watu wengine. Furaha yako ikiwaletea maumivu watu wengine hiyo si furaha bali kayaya. Kiongozi wa Waaminio anataka tupeleke fikra zetu miezi 12 iliyopita. Je tulitimiza wajibu wetu sawasawa? Tulitekeleza masharti yaliyomo katika Baiat? Na kama tulipatikana na upungufu tumefanya nini ili kurekebisha upungufu huo? Mwanzo wa mwaka ni muda wa fikra nzito. Ni muda wa kujuta na kutathmini kuhusu ile shabaha kuu ambayo ni kumwabudu Allah na kutimiza wajibu wetu kwa viumbe wake. Mwanzoni mwa mwaka ni kukumbuka mahali gani tulipojikwaa. Na ni mahali gani tulipotumbukia katika shimo. Mwanzoni mwa mwaka unatakiwa uvae ile kanzu ya Mwaminio ambaye haanguki katika shimo lilelile mara mbili. Ukisha tathmini hayo yaliyopita kama anavyoshauri Picha ya pamoja kati ya Mh. Lukuvi na Amir Jamaat Ahmadiyya pamoja na msafara wake kiongozi wetu wa Waaminio ni jukumu lako kupiga walipomtembelea moyo konde na kuahidi kuwa yaliyopita si ndwele tugange yajayo. Sehemu ya pili ya hotuba hiyo muhimu ni kujipanga Makatibu wa Tahrik Jadid wa ili uweze kufanya vizuri zaidi na kuhakikisha kuwa kila hatua yako ni ya kuelekea kwenye kutafuta radhi ya Allah. Katika kuelekea kwenye shabaha hiyo matawi ya Dar wajiwekea mikakati kiongozi wa Waaminio ametushauri yafuatayo:- • Kujiwekea ahadi ya kutofanya jambo lolote la Na mwandishi wetu, na Aman lssa Mwakitalema kishirikina Dares Salaam. Sahib (Amani). Wengine ya Kinondoni). Picha ya pamoja ni ya washiriki hao na • Kila siku iwe dhihirisho ya mfano bora wa Mtukufu ni Nassir A Ndembo Sahib Baada ya kupata idhini ya (Mnazi Mmoja), Jalaluddin picha zingine ni za washiriki Mtume Muhammad (saw). Mheshimiwa Amir na Mbashiri M. Mbawala Sahib (Qadian), wakifuatilia kwa makini • Kutangaza umoja wa Allah Mkuu kikao cha makatibu Ridhiwani A Muhimu Sahib mjadala wa kikao hicho. • Kujilinda na uongo na kutembea kwenye njia ya wa Tahrik Jadid wa matawi (Temeke Mikoroshini), Ahmad Hali ya washiriki ilionekana ukweli. ya Mkoa wa Dar es Salaam Abdul Nasib Sahib (Magomeni wazi kuwa ni watu wenye kilifanyika Kaluta House kutafuta Radhi ya Allah • Kujikinga na aina zote za uonevu. Mikumi), Yahaya Mpate Sahib tarehe 14 Januari 2017 chini (Tabata). Fadhili A. Mshamu pekee kwa namna ya utulivu • Kusimamisha sala tano kila siku. ya Uenyekiti wa Naib Raisi Sahib (Kitanga), Muhsin A. walikokuwa nao na jinsi ya • Kusali sala za Tahajjudi kila siku wa Mkoa Bwana Mustafa Kaye Sahib (Mabibo). uzungumzaji wao. Karibu • Kumsalia sana Mtukufu Mtume Muhammad (saw) Abdu lmran. Makatibu kutoka Viongozi wengine kila mmoja alikuwa na jambo (Darood) matawi 16 walihudhuria kikao waliohudhuria ni Omari Mrisi Ia kuchangia. Hakukuwa na hicho ikiwa ni 59% ya matawi posho ya kikao wala fedha ya • Kuendelea kuomba maghofira Sahib (Naazim Tahrik Jadid yote ya Dar es Salaam. Dar Khudamul usafiri kila mmoja alijitolea • Kufuata amri zote za Qur’an Tukufu na mafundisho es salaam ina matawi 27 ya Ahmadiyya llaqa DSM), muda wake na fedha zake. ya Mtukufu Mtume Muhammad (saw). Jamaat. Pamoja na hao pia Mustafa Abdul lmran Allah Awe radhi nao, Amin. • Kujiepusha na maneno ya kuudhi walihudhuria Naazim Tahrik Sahib (Naib Raisi Mkoa wa Mkutano ulianza saa 11. 15 • Kujiepusha kusambaza siri za wengine Jadid Khudammul Ahmadiyya DSM), Amiri K. Abedi Sahib jioni kwa usomaji wa Kuruani llaqa DSM, Mwalimu wa Zone Tukufu na tafsiri iliyosomwa • Kuwasamehe waliotukosea (Katibu Taifa Tahrik Jadid} na na Katibu Taifa Tahrik Jadid. Mwalimu Ali Salehe Hassan na Mwalimu Ali Salehe • Kila kazi ianze kwa kumtukuza Allah Makatibu waliohudhuria na Sahib ( Mwalimu wa Zoni Endelea uk. 5 • Kujitolea kwa kazi za Jamaat matawi yao kwenye mabano • Kujikinga kutazama mambo machafu kwa njia za ni:- Luqmaan Jafar Malik Sahib BODI YA UHARIRI mitandao na Runinga. (Magomeni Kagera). Mhando Mhina Sahib {Manzese Msimamizi: Sheikh Tahir M. Chaudhry - Amir Jamaat, Tanzania. • Kuwakumbusha watoto wetu wawe watiifu kwa Uzuri), Swalehe Kigumi Sahib Mhariri: Mahmood Hamsin Mubiru. Masihi Aliyeahidiwa (as) na kushikamana na kamba (Mbagala Nzasa), Rahim Kompyuta: Abdurahman M. Ame. ya ukhalifa. Mwanga Sahib (Tegeta), Mchapishaji: Sheikh Bashirat Rahman Msambazaji: Omar Ali Mnungu Hata hivyo utamu wa dafu unywee maji humo Abdul Razzack Shoo Sahib Wajumbe: 1. Abdullah Khamis Mbanga humo kwenye dafu. Na utamu wa hotuba hii uisome (Safina), Kassim M. Maftah 2. Swaleh Kitabu Pazi Sahib (Gongo Ia Mboto), 3. Jamil Mwanga. mwenyewe na kuzingatia yaliyomo. Mapenzi ya Said Salim Mustafa Kapulilo 4. Abdillah Kombo Mungu inawatakia kheri ya mwaka mpya na mafanikio Sahib (Kiwalani), Mohammed Makao Makuu - Ahmadiyya Muslim Jamaat Tanzania, katika kutimiza hayo tuliyoagizwa na kiongozi wetu Mpambije Sahib (Chanika) Mtaa wa Bibi Titi Mohammed, S.L.P. 376. Simu 022 - 2110473, Fax 022 - 2121744, Dar es Salaam, Tanzania. mpendwa. Email: [email protected] MAKALA / MAONI Sulh 1396 HS Rabiu Thani 1438 AH Januari 2017 Mapenzi ya Mungu 3 Ahmadiyya Ishara ya Mbinguni Kutoka uk. 1 inaendelea kutimia. Maendeleo halisi wanavunja mizizi ya Masihi Aliyeahidiwa (as) hivyo hebu fikirieni kwamba, je yeye ya jamaat zenu na kukua kwa imeendelea kujipambanua amani ya nchi kwa kuteka watu na yeye wamfuate na awe wa ndiye anayewatakia watu utoaji wa michango ni moja sawa na muda. Masih nyara, badala ya kuwakamata muhimu hivyo hivyo. Hazrat wema zaidi kuliko Allah? kati ya njia kubwa kabisa Aliyeahidiwa(a.s) katika wakati Waahmadiyya ambao ni watu Musleh Maud (ra) anatoa Vilevile, tauni ni moja kati ya zinazoonyesha ukweli wa ule hakuwa na mtu hata mmoja wa kupenda amani, na ambao mfano wa Muajemi anayesema Ishara nyingi za adhabu ambazo Masih Aliyeahidiwa(a.s). Lakini aliyemuamini lakini Allah s.w. ni watu wakweli wanaoitakia ‘uwezo wa kila mtu wa kuwaza zilitabiriwa. Pia kuna ishara Ishara hizi zinaweza kuonwa alimwabia Jamaat yako itapata mema nchi yao na watu wa na kutafakari ni sawa na nguvu za kutengenezwa kwa njia za na wale tu ambao macho yao maendeleo makubwa sana kutii sheria. Waahmadiyya zake na mtizamo wake’. usambazwaji wa maji, kukua yapo wazi na sio vipofu. kiasi ya kwamba mataifa ya wanatakiwa kuomba kwamba Anasema kwamba Hadhrat kwa mawasiliano, kutawanywa Hazrat Musleh dunia yatakuja kwako kama Allah ailinde Pakistan na Mirza Ghulam Ahmad (as) kwa milima, taarifa nyingi Maud(r.a) alisema Masih wahamiaji katika zama hizi. ailinde dhidi ya dhulma na alisema kwamba nimetumwa za uchapishaji wa vyombo Aliyeahidiwa(a.s) aliambiwa Sisi ndio ambao tunashuhudia tabu dhidi ya viongozi hao kuwa mtawala wa dunia yote vya habari na maendeleo na Allah mara nyingi kwamba Ishara na Baraka za Allah kila (Ameen). Kama ilivyo katika na siyo kwamba inahitajika ya njia mpya za usafirishaji. Jamaat yako pia inatakiwa siku na In Shaa Allah siku hali ya kujitolea, Waahmadiyya kwa watu masikini peke Ingawa kuna bishara nyingi ijitolee katika njia kama zile zinakuja ambazo tutapata wameendelea kujitolea na yao kuniamini bali pia kwa ambazo zilielezwa na Masih zilizotumiwa na masahaba maendeleo kiasi ya kwamba wataendelea kujitolea na Allah wafalme. Yule ndugu aliyedai Aliyeahidiwa(a.s) zipo pia wa Mtukufu Mtume(s.a.w). Jumuia nyingine zitaonekana muda si mrefu atatupatia kuwa ni imam mahdi alisema ambazo hazikutabiriwa na Hivyo kujiona kwa Masih kuwa ndogo, lakini ili kufikia matunda yake. Vilevile katika kwamba ametumwa kuwa kuelezwa na Qurani tukufu Aliyeahidiwa(a.s) anaingia maendeleo hayo ni lazima pia nchi ya Algeria Waahmadiyya kiongozi wa tabaka fulani na Mtukufu Mtume(s.a.w). katika nyumba iitwayo kuzalisha mageuzi ya kiroho wamekuwa wanatendewa la watu lakini Hazrat Mirza Hazrat Musleh Maud(r.a) ‘Nizaamu-ddin, maana ya na ya dini kwetu sisi wenyewe dhulma. Mwenyezi Mungu Ghulam Ahmad (as) alitaka hata alisema kwamba watu Nizaamu-ddin ni njia ya dini. na vizazi vyetu. Tangu awali, awalinde na awape uvumilivu mfalme wa Uingereza amfuate hawa badala waangalie Njozi hii ilikuwa ina maanisha jumuia za manabii wa Allah dhidi ya ukatili huu na Allah na hata alimuandikia barua. namna ambavyo ishara hizi kuwa Jamaat Ahmadiyya siku zinapata upinzani wa aina aiwezeshe serikali yao kuelewa Yule ndugu aliyetoa madai ya zinavyotimia, wao wanaleta moja itakuwa ndio njia ya hii. Lakini upinzani huu lengo la Waahmadiyya ambao uongo kuwa Imamu Mahdi upinzani wa uongo dhidi pekee ya dini na itasimama na hautufanyi sisi kuwa na hofu kwa hakika ni watu wa amani alipopelekwa kituo cha polisi ya Masih Aliyeahidiwa(a.s). kuongoza mifumo mingine bali unatuongezea uimara na raia wazuri wanaotii na kuulizwa kuhusu madai Baadhi ya watu wanakuja yote ya Dunia. In Shaa Allah. katika imani zetu. sheria za nchi. Wanadaiwa hayo aliruka kabisa madai hayo na kusema kwamba Masih Lakini maendeleo haya Siku chache zilizopita, kuwa wavunjifu wa amani na na akasema kwamba kuna Aliyeahidiwa(a.s) kilemba yatapatikana vipi? Kuhusiana viongozi wa Ofisi za Tahrik wanapanga mipango kinyume mtu amemzushia hilo. Kwa chake hakikuwa sawa sawa na hili ilielezwa katika njozi Jadid na Ziaul Islam press cha serikali, lakini katika dunia hiyo, ndugu wa karibu ndio hivyo anawezaje kuwa Masih kwamba baadhi yetu wataingia walivamiwa ghalfa na kitengo yote hakuna hata Ahmadiyya wapinzani wabaya zaidi kupita Aliyeahidiwa(a.s)? Hazrat nyumba hii ya ‘Nizaamu- cha polisi kinachoshughulika mmoja ambae ataonekana wote. Baada ya kusimulia tukio Musleh Maud(r.a) alisema ddin’ kupitia njia ya ‘Hassan’ na maswala ya Ugaidi huko anapambana dhidi ya sheria hili Hazrat Musleh Maud (ra) Masih Aliyeahidiwa(a.s) na baadhi wataingia katika Rabwah. Wabashiri wawili na za nchi. Sisi ni watu wa anasema kwamba tulikuwa aliwaonyesha watu hawa nyumba hii kupitia njia maofisa wengine walikamatwa. kusambaza amani, mapenzi na na ndugu wengi ambao Ishara juu ya Ishara lakini watu ya ‘Hussein’. Kila mmoja Kuhusiana na tukio hili kuna huruma na hatutasita kujitolea walitususa kwa sababu ya hawa wanakuja na visingizio anafahamu kuwa mafanikio ya baadhi ya watu wachache endapo kutahitajika ili kutimiza Ahmadiyyat. Sio kwa sababu visivyokuwa na maana kabisa, Hazrat Hassan(r.a) yalipatikana kutoka Rabwah wakiwemo malengo haya. In Shaa Allah. hatukutaka kuonana nao lakini kama vile hawezi kutamka kupitia maelewano na kina mama waliniandikia Hazrat Musleh Maud (ra) ni kwa sababu hawakupenda vizuri herufi ya kiudru ya mapatano na Hazrat kuwa ‘Hatuhofii chochote alisema kwamba hatari kubwa kuwasiliana nasi. neno “Qaaf”. Aliwaonyesha Hussein(r.a) yalipatikana kuhusu tukio hili bali tukio kupita zote na upinzani Ndugu zetu walikuwa aya za Qurani tukufu juu kupitia mateso. Hivyo, Masih hili limetuongezea uimara mkubwa kupita yote vinakuja wakitutukana. Shangazi yetu ya aya lakini watu hawa Aliyeahidiwa(a.s) aliambiwa katika imani zetu na imani kutoka kwa wenzetu na wenyeji. ambaye baadae aliikubali wakasema atakuwaje Masih kuwa Jamaat itafikia katika zetu zimeongezeka zaidi baada Hawawezi kuvumilia kwamba Ahmadiyya alikuwa Aliyeahidiwa(a.s) kwa sababu kiwango cha ‘Nizaamu-ddin’ ya tukio hilo na tuko tayari mtu fulani kutoka miongoni akitunyanyasa. Hazrat Musleh yeye alimtengnezea mke wake lakini wapo baadhi watafika kutoa chochote na kukabiliana mwao aweze kupata heshima Maud(as) anasema kwamba dhahabu na anatumia mafuta kwa njia ya maelewano, na ugumu wowote. Hii ndio kiasi hicho na umuhimu katika ninakumbuka kwamba wakati ya mti wa lozi. Kisha Hazrat mapatano na mapenzi na hali inayotakiwa kuwepo kwa dunia. Wale wanaopigana fulani nilipokuwa na umri Musleh Mad(a.s) akasema baadhi watafika kwa njia ya wanajamaat wetu. kwa ajili ya kila chembe ya wa miaka sita au saba hivi msifumbe macho yenu katika kujitoa na mateso. Ikiwa yupo Haya ni mambo ambayo mali dhidi yake, wanawezaje na nilikuwa napanda ngazi bishara za kweli za Allah. mmoja wetu anayedhani kuwa yalielezwa na Masih kuvumilia hali kwamba watu aliposema kwa kurudiarudia Watu wengi walikuwa wakija Jumuia hii itapata maendeleo Aliyeahidiwa(a.s). Kwa hakika wengi kiasi hicho wanamfuata kwa kipanjabi ‘mtoto kama kwa Masih Aliyeahidiwa(a.s) kupitia njia ya maelewano, ushindi wa mwisho utakuwa na kumuheshimu. Kwa hiyo baba kwa ubaya’. Alisema hayo na kumuuliza juu ya Ishara mapatano na upendo tu basi ni wa Jamaat ya Masih wanajribu kila wanaloweza mara nyingi sana kiasi kwamba zake. Naye Alikuwa anawajibu huyo hayupo sahihi. Na Aliyeahidiwa(a.s). Upinzani kumzima. Wale wanaokuwa ninayakumbuka vizuri na kwamba: Je, ulishawahi ikiwa yupo anaefikiria kuwa na uhasama, ulikuwepo na hawajiwezi na hawawezi nikayasimulia nilipofika kufaidika na Ishara zangu Jamaat itaendelea bila ya watu utaendelea kuwepo. Watu hawa kufanya lolote, hata watu wa nyumbani na kuulizia maana za hapo kabla, mpaka sasa kuteswa na kujitoa basi huyo wajinga ambao walianzisha aina hiyo wanajaribu kutoa nje yake. Huko Qadian Masihi uhitaji ishara nyingine? pia hayupo sahihi. Maendeleo mashambulio dhidi ya Jamaat ya mioyo yao chuki kwa namna Aliyeahidiwa (as) alipingwa. Ikiwa hukufaidika na Ishara yetu yatapatikana kupitia njia ni kweli kabisa walifanyiwa moja au nyingine. Hakuna mtu aliyeruhusiwa yoyote kati ya ishara elfu za amani, mapenzi na pia kwa ugaidi na Waahmadiyya Hazrat Khalifatul Masih I (ra) kwenda nyumbani kwake nilizozionyesha hapo kabla, upande mwingine kupitia kwa sababu Waahmadiyya anasema kwamba mtu mmoja kwa ajili ya kazi yoyote au je utafaidikaje ikiwa nitakupa mateso. Hii inamaanisha walikuwa wanawaambia wawe tajiri kutoka Shahpur alipata shughuli. Kaka zake wa karibu ishara sasa hivi? Watu hawa kwamba tutajitolea maisha na hofu ya Allah. Na ni nani cheo cha ‘Khan Bahadur’. Baada sana, shemeji na binamu wa watabakia kunyimwa baraka yetu (uhai wetu) lakini kamwe ambaye anafanya ugaidi zaidi ya hapo mama mmoja masikini kwa mama aliyeitwa Ali Sher hadi mwisho wao. tusikate tamaa dhidi ya Imani kuliko Yule anaewakumbusha kutoka katika familia hiyo walikuwa wakimjeruhi vibaya Kuhusiana na ishara moja yetu. Tunatakiwa tukanyage wengine kuwa na hofu ya Allah. hiyo alimpa mtoto wake wa sana. kubwa kabisa ambayo kila katika njia ya katikati. Baadhi Hivyo wanataka kuwakamata kiume jina la ‘Khan Bahadur’. Siku moja katika eneo la siku tunaishuhudia, Masih ya maendeleo yatapatikana Waahmadiyya na kuwaua. Alipoulizwa sababu alijibu Gujrat, marafiki wa Masihi Aliyeahidiwa(a.s) alisema kwa njia ya amani na baadhi Allah awapatie busara ya kwamba sijui mtoto wangu Aliyeahidiwa (as) ambao katika kitabu chake cha kwa njia ya mateso. Baadae kuelewa ukweli na Mwenyezi atakuwa na utaalamu gani walikuwa ni ndugu saba wote Barahin Ahmadiyya kuwa Jamaat itaingia katika Nyumba Mungu ailinde nchi dhidi ya atakapokuwa mkubwa lakini walikuja Qadian. Walikwenda Allah amemfunulia dua hii ya ‘Nizaamu-ddin’ na itapata watu hawa wenye misimamo angalau ataitwa kwa jina lile lile kwenye bustani ya Masihi “Usiniache peke yangu na mafanikio. Hali zote hizi mikali ya dini na viongozi wa kama la yule mtu tajiri. Hivyo Aliyeahidiwa (as). Njiani utengeneze Jumuiya”. Ufunuo zinashuhudiwa na Jamaat. dini ambao kusema haki ndio watu ambao hawawezi kufanya ndugu yetu mmoja ambaye mwingine uliotimia ni huu Amani, mapenzi na uvumilivu wamebeba maana ya ugaidi. makubwa lakini wanapenda alikuwa anafanya kazi katika unaosema ‘Allah atatimiza ndio ujumbe ambao Jamaat Hawa ndio wanaosambaza kuitwa kama wengine. Wakati bustani yake aliuliza kuhusu haja zako zote na watu inausambaza na wakati huo dhulma katika nchi na hakuna Hazrat Mirza Ghulam Ahmad kuja kwao Qadian. Walijibu watakujia kutoka sehemu za huo Jamaat inajitolea. aliye salama kwa ajili yao. (as) alipodai kuwa ni Masihi kwamba tumekuja kutokea mbali’. Ufuno huu ulifunuliwa Hazrat Musleh Maud(r.a) Allah awawezeshe kuwapa Aliyeahidiwa wa zama hizi, Gujrat kwa ajili tu ya Hazrat takribani miaka 26 iliyopita na alisema mimi binafsi uimara kikosi hiki cha mmoja kati ya ndugu zake pia Mirza Sahib. Yule ndugu unaendelea kutimia hadi leo hii nilimuuliza maana ya ndoto usimamizi wa Maswala ya alidai kuwa ni imamu Mahdi. aliwaambia kwamba mimi ni kwa shani kubwa kabisa. Ishara hii Masih Aliyyeahidiwa(a.s) Ugaidi kupambana dhidi ya Alifanya hivyo baada ya kuona binamu upande wa mama wa hii ni Ishara ya mandeleo ya lakini alisema hajui kwa watu wale ambao ni hatari kwa kuwa watu wengi wanamfuata wakati ule, lakini maana yake ajili ya taifa, ambao kiukweli jamaat ambayo mpaka sasa Endelea uk. 4 4 Mapenzi ya Mungu Januari 2017 Rabiu Thani 1438 AH Sulh 1396 HS MAKALA / MAONI Ahmadiyya Ishara ya Mbinguni Kutoka uk. 3 wowote kwa sababu ndugu kwake kwamba amuoe mpwa Kwa hiyo, ilikuwa ni ishara Lakini kuna upinzani pia mara nyingi huwa wanakuja. Hazrat Mirza Sahib na ninajua wake. Kwa kuwa alikuwa ndiye kubwa sana kuthibitisha ukweli kutoka kwa Waislam wengine, Katika familia yetu, hata wazee fika ni mbaya kiasi gani alivyo! mkubwa katika familia basi wa Masihi Aliyeahidiwa (as) na hivyo bado kuna haja ya wengi huwa wanamuita mke Aliposikia hivyo mmoja kati ilimpasa kulipinga suala hilo utabiri huu una ishara nyingi kueneza ujumbe huu kwao. Na wa kaka mkubwa wa Hazrat ya wale ndugu alimbana na kupita yeyote. Katika wakati zilizojificha ndani yake. Baada jambo la muhimu kupita yote Mirza Sahib(as) kuwa ‘Tayee’. aliwaita ndugu zake wengine. ule, upinzani ulikuwa umefikia ya kuikubali Ahmadiyyat, ni ‘Dua’ na jambo hili linahitaji Hivyo jina lake lilikuwa ni Yule ndugu akapata mashaka kilele chake. Ndugu wa Masihi ‘Tayee’ pia alifanya ‘Wasiyyat’. kutupiwa macho sana. ‘Tayee’. Watu waliosoma sana alipoona hivyo lakini yule Aliyeahidwa (as) walimtelekeza Hazrat Musleh Maud (ra) vitabu kuhusiana na muahmadiyya aliyembana na kamwe hakuweza kukutana anasema kwamba kwa Kisha Hazrat Musleh Maud (ra) Ahmadiyya wanaujua ukweli akamwambia sitokupiga kwa nao. Hazrat Amma Jaan kuangalia aina ya tamaduni na pia alielezea njozi ya Masihi kwamba ‘Tayee’ alikuwa sababu wewe ni ndugu wa (ra) anasimulia kwamba hisia zilizopatikana miongoni Aliyeahidiwa (as) ambamo ni mpinzani mkali wakati Hazrat Mirza sahib. Ninataka upinzani ulikuwa mkubwa mwa watu wa familia za aliona kwamba kuna korongo wa utabiri wa ‘Mohammad tu kuwaonyesha ndugu zangu sana kiasi hiki kwamba fasheni za kizamani kwa hakika refu sana ambamo kondoo Begum’. Kwa kuwa alikuwa uso wako kwa sababu hata sasa kulikuwa na mwanamke ni badiliko kubwa kwamba wengi wamelazwa na kila ni mkubwa katika familia na tunasikia kuwa Shetani yuko mzee katika upande wa mama aliamua kufanya Wassiyyat. kondoo alikuwa na mchinjaji utabiri ulimuhusu mpwa wake lakini hatujawahi kuuona uso wa Masihi Aliyeahidiwa Kwanza kabisa alipinga mwenye kisu mkononi mwake (binti ya dada yake), kwa hiyo wake. (as) ambaye alikuwa analia kwamba kwa nini Masihi na walikuwa wakiangalia aliona ni lazima kwake kuvunja kwa sababu hakuna hata Aliyeahidiwa (as) azikwe mbinguni kana kwamba undugu huu kwa kuwa aliona Kisha Hazrat Musleh Maud mmoja anayeturuhusu hata kwenye makaburi ya familia na wanasubiri amri ya Kimbingu. hilo ni fedheha kwa familia (ra) anasema kwamba Masihi kumuona mtoto Chiragh Bibi. kwamba azikwe katika sehemu Masihi Aliyeahidiwa (as) hiyo. Kwa mtazamo wake Aliyeahidiwa (as) aliambiwa Masihi Aliyeahidiwa (as) nyingine. Lakini baadae anasema kwamba katika ilikuwa ni lazima kwake na Allah kwamba ni nasaba alitengwa kama majambazi alifanya Wasiyyat na alizikwa wakati ule nilikuwa natembea kuufanyia kazi. Hazrat Musleh yake tu ndiyo itaendelea na wanavyofanyiwa kwa kwenye ‘Bahishti Maqbara’. kuzunguka katika sehemu hii. Maud (ra) anasema kwamba wengine wataisha. Hivi ndivyo sababu alikuwa anaonekana Kwa mtu mwenye busara Niliwasogelea na kuwasomea kutokana na asili ya wanawake, hasa ilivyotokea. Sasa kutoka aibu kwa familia. Katika ni ishara yenye umuhimu aya hii ya Kuruani Tukufu kwa mwanamke mkubwa katika familia yake ni wale zama hizo, kutegemea mkubwa. Inaweza kuonekana inayosema ‘Waambie, Mungu katika familia, heshima ya tu walioingia Ahmadiyya kwamba ‘Tayee’ angeweza kuwa ni kitu kidogo lakini ina wangu Atawajalije, kama familia na hadhi ni ya juu ndio wanaishi na vizazi vya kuikubali Ahmadiyya ishara nyingi za ukweli wa hamumuabudu na kutii Amri kushinda masuala yote ya wengine wote vimekoma na ilikuwa ni kutegemea kitu Masihi Aliyeahidiwa (as). Zake’ kidini na kwa kweli masuala kuisha. Wakati Hazrat Mirza kisichowezekana na si cha Hazrat Musleh Maud (ra) yote ya kisiasa. Wakati huo, dai Sahib (as) alipodai kuwa Imam kweli. Mioyo ya watu inaweza alipokuwa akielezea tukio la Mara tu niliposema hayo, la Hazrat Sahib (as) kuwa ni Mahdi wa zama, kulikuwa na kubadilika lakini tunahitaji safari ya Masihi Aliyeahidiwa wachinjaji ambao kwa hakika Masihi Aliyeahidiwa halikuwa takriban wanaume 70 kwenye kuliangalia suala lenyewe. kuelekea Delhi anasema walikuwa ni malaika walielewa la muhimu kama ilivyo ‘Tayee’ familia. Lakini sasa kwa kuacha Masihi Aliyeahidiwa (as) kwamba mtu anaweka kwamba wamepewa ruhusa na kwa familia. ‘Tayee’ sahiba wale wanaohusiana na Masihi aliupokea utabiri huu wa tegemeo lake kwa Allah walichinja shingo za kondoo alijiona kuwa yu mkarimu Aliyeahidiwa (as) kibaolojia au ‘Tayee Ayee’ katika muda ule kamwe hawezi kufikiri wakisema ‘ Nyie siyo zaidi kwa Masihi Aliyeahidiwa kiimani, hakuna hata mmoja maalum. Utabiri pia ulionyesha kwamba kazi zinazofanywa ya kondoo walao uchafu’. kwa sababu alikuwa mkubwa wao aliye mtoto yeyote. Hawa kwamba ataingia Jamaat katika na Allah hazitakuwa na Masihi Aliyeahidiwa (as) ki umri na pili alikuwa ndio watu ambao walijitahidi wakati ambapo uhusiano matokea yaliyojaa matunda. anasema kwamba aliitafsiri akimpelekea chakula cha kadri ya uwezo wao kulizima wake kwa mtu atakayechukua Kama unamtegemea Allah pia hii kumaanisha kwamba mchana na cha usiku kwa jina la Hazrat Sahib lakini baiat utakuwa wa ‘Tayee’ utakuwa na imani kwamba kutakuwa na ugonjwa mkali kuwa hakudai sehemu yake ya matokeo yake wao wenyewe au shangazi. Kama itambidi Allah Ataleta matukio yaliyojaa sana wa kuambukiza na hakika mali. Wanawake kwa kawaida wameangamizwa na vizazi kuipokea Ahmadiyya wakati matunda katika kazi Zake. watu 70,000 walikufa kwa huwa wana hisia za aina hii vyao havikukua. Hii pia ni moja wa Masihi Aliyeahidiwa (as) Hazrat Musleh Maud (ra) ugonjwa wa kuambukiza wa kwa hiyo anajiona kuwa yeye ya ishara kubwa sana za ukweli basi utabiri ungekuwa wa anasema kwamba wakati huo kipindupindu. Hivyo kama ndiye mwenye kumlea Masihi wa Masihi Aliyeahidiwa(as). maneno tofauti ya ‘Bhawaj nilikuwa mvulana mdogo mtu haangalii basi Allah Aliyeahidiwa (as). Wakati Hazrat Musleh Maud Ayee’ (shemeji amekuja). wakati Masihi Aliyeahidiwa Hamjali na hakuna yeyote (ra) alipokuwa akisimulia tukio Kama ingembidi aipokee (as) aliposafiri kuelekea Delhi. anayeweza kuzuia Kazi za Masihi Aliyeahidiwa anasema la baiyati ya ‘Tayee Sahiba’ Ahmadiyya kwa mikono ya Alisafiri kuelekea kwenye Allah. katika moja ya beti zake za anasema kwamba kuna baadhi Khalifatul Masih I (ra) basi madhabahu ya watakatifu ushairi za kiarabu kwamba ya tabiri na ushahidi ambao utabiri ungekuwa na maneno tofauti tofauti na akaomba dua Anasema kwamba baada ya ‘kulikuwa na wakati ambapo unawezekana kuonekana ni kama ‘Mwanamke kutoka kwa muda mrefu na akasema miaka 300 ya Yesu Kristo (as) nilikuwa nawategemea mdogo lakini unapofikiriwa familia ya Masihi Aliyeahidiwa kwamba nimefanya hivyo Ukristo ulikuzwa. Lakini kama wengine kwa ajili ya chakula kwa makini, maana zilizofichika amekuja’ lakini neno maalum kwa sababu sitaki vizazi vyao tunatafakari hali zetu itachukua lakini sasa Allah Amenibariki ndani yao zinamsaidia mtu ‘Tayee’ linaashiria kwamba vinyimwe ukweli wa Maishi muda mfupi sana kushinda huo kwa ile hadhi kwamba watu kukuza imani yake kwa kiasi ataipokea Ahmadiyya katika Aliyeahidiwa(as) ambaye wakati Ahmadiyyat itabarikiwa wengi wanakula chakula kikubwa. Hazrat Musleh Maud mikono ya mtoto wa kiume ametumwa katika zama hizi kwa ukuaji mkubwa sana na kutoka katika jiko langu’. (ra) anasema kwamba nilikuja wa Masihi Aliyeahidiwa kwa ajili ya kuwarekebisha. upanuzi InShaAllah. Awe Katika ubeti huu ni dhahiri pia jua kuhusu utabiri huu jana (as). Kama kusingekuwa na Zaidi ya hayo (Masihi Mulla yeyote wa Pakistani au kwamba Masihi Aliyeahidiwa tu wakati wengine waliujua mtoto yeyote wa kiume wa Aliyeahidiwa AS) alisema kiongozi yeyote wa dini au (as) sio tu kwamba hakudai kabla. Jana wakati wa kifo cha Masihi Aliyeahidiwa ambaye kwamba bila shaka siku itakuja iwe serikali yeyote kubwa ya sehemu yake ya mali bali alimpa ‘Tayee Sahiba’, Sheikh Yakuub angekuwa Khalifa basi neno ambapo Allah Ataiangazia kidunia, kwa Allah hawana hiyo kaka yake. Baba wa Masihi Ali Sahib alieleza kwamba ni ‘Tayee’ lingekuwa halina mioyo yao na wataupokea umuhimu wowote. Hao ni tu Aliyeahidiwa (as) pia alikuwa tabiri ya siku nyingi ya Masihi maana. Utabiri huu kwa ukweli. Hazrat Musleh Maud kama wale kondoo. Na watu akisema kuwa hataweza Aliyeahidiwa (as) kumhusu hakika una mambo matatu. (ra) anasema kwamba nilikuwa hawa hawawezi kuzuia kukua kuihudumia mali. Kwa hiyo ‘Tayee Ayee’ . ‘Tayee Ayee’ 1) Mtoto wa kiume wa Masihi kivulana kidogo sana wakati kwa maendeleo ya Ahmadiyyat. kwa kuangalia hali zote za alikuwa ni shangazi wa hazrat Aliyeahidiwa atakuja kuwa haya yanasemwa lakini bado Lakini kwa hili hatuwezi kifamilia, ilikuwa haiwezekani Musleh Maud (ra). Alikuwa Khalifa. 2)Ataingia Jamaat yana athari katika moyo kuwategemea wabashiri wetu kwa ‘Tayee’ kuingia duara la ni mke wa kaka mkubwa wa wakati ambapo mtoto wa wangu. pekee kwamba ni jukumu lao Ahmadiyyat. Baadae alikuja Masihi Aliyeahidiwa (as). kiume wa Masihi Aliyeahidiwa kueneza Ahmadiyyat. Kama kuikubali Ahmadiyyat. Waahmadiyya wa zamani ni Khalifa na uhusiano wake Hivyo kama Jamaat ya Delhi unataka kuwa ni sehemu ya Hazrat Musleh Maud (ra) wanasimulia kwamba wakati na yeye utakuwa wa shangazi inataka kuona matokeo maendeleo haya na ni lazima anasema kwamba haikuwa hii inafunuliwa kwa Masihi na 3) atakuwa hai kwa muda yaliyojaa matunda kwa jitihada tuwe sehemu basi nasi pia kwa hoja au sababu za kidini Aliyeahidiwa (as) ilikuwa mrefu. Hii ni kwa sababu zao basi waweke tegemeo lao tujielekeze kwenye dua. Ni bali kutokana na hali ya ni vigimu kuelewa maana wakati Masihi Aliyeahidwa kwa Allah. Siku itakuja ambapo lazima tuongeze ucha Mungu kifamilia, alijiona yeye kuwa yake. Lakini maana nyepesi alipoupokea utabiri huu, kitu ambacho Allah Anataka wetu. Ni lazima tuimarishe ndiye mmiliki na Masihi inayoweza kupatikana kutoka alikuwa na miaka 70 na utabiri kishinde kitashinda. Alisema uhusuiano wetu na Allah. Aliyeahidiwa (as) kuwa huo ni kwamba bibi ambaye ulikuwa kumhusu mtu ambaye yote haya wakati akiwahutubia Haya ndio mambo yatakayo mtumishi (audhubiLlallah). ni shangazi yako (Tayee) alikuwa mkubwa kwake. Ni Jamaat ya Delhi. Kwa hiyo, hata komesha upinzani dhidi ya Alimuona (Masihi AS) kuwa kiundugu anakuja. jambo kubwa kuwa na umri leo ni jukumu la Jamaat ya Delhi Ahmadiyya na yatatusaidia ni mtu masikini ambaye Maana ya kuja inaweza mkubwa kiasi hicho kwa kusambaza ujumbe wa Masihi kuweka hisa zetu katika asingeweza kufanya kazi na kuwa na tafsiri mbili. Moja ni sababu ubongo wa binadamu Aliyeahidiwa(as) kwa kutumia maendeleo ya dini yetu, In sha kwamba (Masihi AS) ataishi kwamba anakuja karibu au hauwezi hata kutabiri hilo kwa busara ya hali ya juu kabisa. Allah. Allah Atubariki tupate kwa chakula chake (huyo nyingine ni kwamba anajiunga mtu kijana kwamba atakuwa MashaaAllah harakati hizi za hali hiyo, Amiin. bibi). Katika hali za namna hii, na Jamaat Ahmadiyya. Kuja hai kwa muda mrefu. Tayee kueneza ujumbe zimeshika ilikuwa kamwe haikubaliki tu hakuwezi kuwa ni utabiri alifariki katika mwaka 1927. kasi kwa kupitia maonyesho. MAKALA / MAONI Sulh 1396 HS Rabiu Thani 1438 AH Januari 2017 Mapenzi ya Mungu 5 Makatibu wa Tahrik Jadid wa matawi ya Dar wajiwekea mikakati Kutoka uk. 2 matumizi mengine. 14. Mali zingine zisizo pesa zinaweza Hassan kisha yakafuata maombi ya kutolewa kama michango na Makatibu kimya yaliyoongozwa na Mzee Fadhili waweke Mshamu na mwisho mkutano ulifungwa mikakati ya kuzigeuza mali hizo kuwa saa 2.20 usiku kwa kwa maombi ya peasa. Mfano mayai, mifugo, mazao, kimya yaliyoongozwa na Mwalimu Ali vyombo n.k. Salehe Hassan. Baada ya hapo ilisaliwa sala ya Magharibi na lsha kwa pamoja. 15. Kwa wale wanaolipwa mishahara Wakati wa mkutano Mheshimiwa Naib kwenye benki watoe michango yao Raisi wa Mkoa, Bwana Mustafa lmrani, kupitia makato ya moja kwa moja benki aliwasomea washiriki kwa muhtasari kwenda akaunti ya Jumuiya. hotuba ya Hazur (atba) ya tarehe 11 16. Kuwe na mawasilian ya kutosha na Novemba wakati akitangaza mwaka wanajumuiya wote katika tawi. Namba mpya wa Tahrik Jadid katika msikiti za simu wa Baitul Nuur huko Calgary Canada. Naye Katibu Taifa Tahrik Jadid Bwana zijulikane. Amiri Kaluta aliwasomea washiriki kwa 17. Kuhakikisha Mkuu wa Kaya anakuwa muhtasari hotuba ya ljumaa ya Hazur na faili Ia kutunza kumbukumbu za (atba) ya tarehe 6 Januari 2017 aliyoitoa michango. katika msikiti wa Baitul Futuh huko Makatibu wa Tahrik jadid wa matawi ya Mkoa wa Dar es Salaam London Uingereza wakati akitangaza wakiwa kwenye picha ya pamoja na Katibu wa Tahrik jadid Taifa bw. 18. Kuwe na mahusiano mazuri na wanajumuiya. mwaka mpya wa Waqfu Jadid. Kwa Amiri Abedi kaluta mara baada ya kumalizika kwa kikao chao cha kuzingatia maelekezo hayo ya Hazur pamoja. 19. Watu wanaoshindwa kutimiza ahadi (atba) washiriki walipanga mikakati zao waendelee kusisitiziwa kutoa ahadi ifuatayo:- mpya. 1. Kuunda Kamati maalum ya mkoa ya kiasi walichotoa na kiasi kilichobaki. Jadid. 20. Wanajumuiya wahimizwe kumaliza Tahrik Jadid iii kufuatilia maelekezo ya 5. Watu waelimishwe kuhusu yakini na 9. Viongozi wa Mkoa wawatumie ahadi zao kabla ya mwisho wa mwezi Hazur(atba). imani. Elimu isisitizwe. makatibu wa Tahrik Jadid katika mtukufu wa Ramadhani iii majina llipendekezwa kuwa makatibu wote 6. Makatibu wawe makini kuangalia kufanikisha zoezi zima. yao yapelekwe kwa Hazur (atba) kwa wa Tahrik Jadid wa matawi wawe ndio ahadi zinazotolewa kama kweli 10. Kutofaya uzembe wa a ina yoyote maombi maalum. kamati hiyo. zinalingana na hali ya mtu ya kipato. katika suala Ia Tahrik Jadid wala kuto 2. Kuhakikisha kuwa kila mtu analipa Asiahidi kikubwa zaidi wala asiahidi kula Ia au kusinzia kama Hazur (atba) 21. lazima tushindane na nchi zilizo mchango wake wa Tahrik Jadid katika kidogo sana. alivyoagiza. mbele yetu katika Afrika. tawi lake, sio kulipia kwingine iii 7. Kuwasisitiza watu kutoa michango ya 11. Vikao vya Makatibu wa Tahrik Jadid 22. Jitihada ifanyike kuhakikisha kuwa kurahisisha ufuatilaji. Tahrik Jadid kila mwezi na sio kusubiri viendelee. Hiki kisiwe cha mwisho. idadi ya washiriki katika mchango wa 3. Kutunza vizuri kumbukumbu za mwisho wa mwaka ndio kufanya 12. Wanajumuiya wawe Tahrik jadid inaongezeka kila mwaka. wanajamati kuanzia ahadi na ulipaji. msisitizo. wanakumbushwa kwa wema na upole. 4. Kuwakumbusha wanajumuiya kila 8. Matumizi ya mitandao kuhusu 13. Wanajumuiya wahimizwe kutoa 23. Matawi kumi yanayoongoza katika mwezi kuhusu kiasi walichoahidi na kupeana taarifa. Kuwe na website ya michango kwanza wakipata pato kabla Tahrik Jadid yawe yanatangazwa. Mkoa ya Tahrik ya kuanza Rambirambi kwa kifo cha Sheikh Salehe Mbaruku Na Sheikh Jamil Rahman ilikuwa imekuja kwa kishindo. Rabwah Pakistan Huko Morogoro, tulipokabiliana na Imeniwasilia habari ya kusikitisha sana Padre Bendar, Mkuu wa Kanisa la Sabato, ya kwamba, ndugu yetu, Sheikh Swaleh marehemu naye alishughulika sana Mbaruku wa Duthumi, ametuaga. Sisi pamwe na ndugu wengine. Siku hizo ni wa Mwenyezi Mungu na kwake hizo nililazimika kuondoka Morogoro tutarejea. kwenda Dar-es-Salaam kushika hatamu Marehemu Sheikh alikuwa mshupavu ya Jumuiya kwa sababu ya Maulana mno katika kuhubiri. Niliona kwamba, Sheikh Munawwar kuelekea Pakistan. yeye na mahubiri walikuwa ni kama Nyuma yangu, huko Morogoro, Shiekh chanda na pete. Alikuwa na mbinu Swalehe na vijana wengine waliendelea zake za pekee za kuwafikishia ujumbe kumshughulikia Bwana Bendar. wasiojua habari za Jumuiya. Nafikiri Ndugu zetu walikaribishwa kanisani Warufiji wanajua sana habari hii. kuongea juu ya masuala ya dini, lakini Alikuwa msomi mzuri. Akapenda kwa masikitiko walitendewa vibaya, kujipatia magazeti na vitabu vya hata wakasukumwa pia. Basi katika Jumuiya na kuvitalii barabbara. Muda siku chache tu Mungu akaonyesha niliokuwa Tanzania, aliwahi kunijia ishara. Bwana Bendar ghafula akasikia Mwamerika mmoja, Earl Martin, Sheikh Jamil Rahman Rafiq Sheikh Saleh Mbaruku maumivu makali tumboni ― kama aliyenuia kuandika makala maalum nilivyoambiwa ― akapelekwa hospitali kuhusu Jumuiya Ahmadiyya katika ya Morogoro, kisha akaletwa Dar-es- Afrika Mashariki ya kupatia shahada za Mapenzi ya Mungu zisizopatikana Jumuiya ya hapo pamwe na mke wangu Salaam na akafia mezani pa opereshani ya Uzamivu (Phd). Akaniuliza maswali popote, Sheikh alikuwa nazo. na watoto. Pengine sasa barabara huko Mhimbili. mengi, nami nikamjibu vya kutosha. Mwanzoni mwa mwaka 1967, iendayo Duthumi ni ya lami, kwani Akaniomba nimwazime nakala zote nilipowasili Tanzania kwa mara ya pili siku hizo haikuwa ya lami. Basi likipitia Bwana Bendar alitokea Afrika Kusini; za Mapenzi ya Mungu tangu lianze. nikitokea Pakistan, Maulana Shiekh sehemu hiyo ya barabara likafika salama alikuwa kijana mwenye afya nzuri. Alitaka kutayarisha mikrofilamu Muhammad Munawwar alinituma Duthumi, kijiji cha Skeikh Swaleh Mimi na yeye tulikuwa rika moja. yake huko Chuo cha Dar-es-Salaam. niende Morogoro kuwa Mbashiri Mbaruku. Mkutano ulifanyika msikitini, Wakati huo nilikuwa mwenye umri wa Akaahidi kunipatia miye pia nakala wa hapo. Wanajumuiya wachahe uliohutubiwa na Mwalimu Abdu Imrani miaka 28, wakati sasa nikiwa mzee wa ya mikrofilamu hiyo. Tulikuwa hatuna walikuwepo huko lakini hawakuwa na Mganda na baadhi wengine; sikumbuki zaidi ya miaka 80. nakala hizo, lakini nilijua kwamba Sheikh kama Sheikh marehemu pia alihutubia, Mbashiri. Katika zama hizo walionisaidia Marehemu Sheikh Swaleh Mbaruku Swaleh Mbaruku anazo. Nikamwambia lakini hawezi kubaki nyuma. Miye sana katika shughuli za Jumuiya ni alikuwa ananitembelea mara kwa aniletee hizo, naye akazileta kwa vilevile niliongea mkutanoni. Tulilala Marehemu Mzee Chamchuwa, Sheikh mara, tulikaa pamoja, tukala pamoja, furaha. Yule Mwamerika, sawa na usiku kijijini katika tembe. Ahali zangu Swaleh Mbaruku na Bwana Said Lone. tukaongea kuhusu mambo ya dini. Hae, ahadi yake, akarudisha baadaye nakala wakajifurahia kuitembelea Duthumi. Dakta Tufail Ahmad Dar, Mwenyekiti ametuaga! Allah Amweke pema Peponi. hizo pamwe na nakala ya mikrofilamu Mvua pia ilinyesha kidogo. Tuliliweka wa Jumuiya ya hapo naye alisaidiana Nawapa jamaa zake na wanajumuiya yake. Hiyo mikrafilamu nikaiacha sanduku la nguo chini ya kitanda, nami sana. wote mkono wa tanzia. Aliyemwita ni ofisini nilipohamishwa kwenda Kenya. lisije likaloa; nasi tulifurahia matone Mpendwa kuliko wote, ee moyo ujitolee Shabaha ni kueleza kuwa nakala zote Marehemu Sheikh aliishi huko Duthumi ya mvua yaliyopenya makuti. Lakini tu kwake. ― ama Duthumi. Niliwahi kuitembelea mvua ikakatika katika muda mfupi japo 6 Mapenzi ya Mungu Januari 2017 Rabiu Thani 1438 AH Sulh 1396 HS MASHAIRI • • • • • • • • • • • • • • • • • • • • • • • • Bustani ya Washairi SHEHE AMETANGULIA Ampende kweli kweli Mtafutaji elimu Lakini hawakusika Na Mahmood Hamsin Mapenzi yalo makali Kwa bidii na kwa hamu Mashaka kuvumilia Mubiru (Wamamba) Huo ndio urasuli Na mengi kayafahamu Ambao umebakia. Rusende pakawa joto Kwa jinalo nabutadi Sababu ya kubukua. Pigo zaidi ya fito Muumba wetu wadudi Mapenzi kwa Muhammadi Rafiki yake vitabu Hiyo ni kubwa zawadi Kila kona kuna moto Wa milele na abadi Alivipenda ajabu Wa kuweza kubabua Uloiumba dunia. Hufurahisha Wadudi Alisoma taratibu Mengi Atakupatia. Ni kazi ya Kapilima Na kwa kila jambo jema Mambo kuyazingatia. Nabii alo kivuli Aliyewapa uzima Bismillahi lazima Kaweka na maktaba Cha Muhammad Rasuli Kwenye haki kusimama Ili kupata rehema Yenye vitabu si haba Hilo ni jambo halali imani kuitetea Ameagiza Rasua Akisoma kwa ratiba Linaweza kutokea Akawapata vijana Vitabu alonunua. Ndiwe wa tangu na tangu Ni Nabii mfuasi Tena vijana mwanana Na ni wewe wetu Mungu Kiswahili kiarabu Aloipata nafasi Wao wakashikamana Kwa furaha na machungu Lugha aliziratibu Kwa mapenzi yenye kasi Haki kuishikilia Kwako tunakimbilia Kuzisoma pasi tabu Muhammad kumwendea. Ikastawi jamati Kusoma na kuongea. Sifa zote bora bora Mtunzi na mtungiwa wakiwa kwenye jamvi moja Nabii Isa afile Ni Lusende katikati Kwako zimetia for a Katika kwake kusoma Hawezi dumu milele Wakaja wengi umati Hilo halitotokea. Tunaziona ishara Kawakuta maulama Qur’ani walijua Amezikwa nchi ile Jamatini kuingia Mambo yanavyotokea. Walojawa na hekima Na hadithi za Rasua. Kila neno lina shani Inayoitwa India. Ikapata washairi Habari kumpatia. Humo kwenye Furqani Sifa zimekamilika Mantiki na bayani Aliyedumu daima Watunzi wa tabasuri Ni lulu zenye thamani Kwako ulotakasika Masihi ameshafika Yaliyomo vitabuni Pasi dunia kuhama Wakaeneza habari Kila neno nakwambia. Ni zako Mola Rabukka Ewe kijana pulika Akawapa kwa yakini Na ni huyo Muadhama Za dini yake Jalia Ni mali zake sikia. Ni amri ya Rabuka Dini yao kuijua. Kitabu kimejigamba Nina hamu kumjua. Mbungiro Watachoka Masihi kumpokea. Hakuwa nayo haraka Kama hicho kukiumba Kalamu akaishika Uwezo wote ni wako “Rabbi uliponifisha” Bila kufanya ajizi Kuwapa yenye baraka Kusanyikeni miamba Gazetini akawika Kwa hakika ni chimbuko Kwanini sasa wabisha Wala bila pingamizi Kwamba Nabii kafika Aya moja kuitoa. Ujumbe kutuletea Unapotoa tamko Mwenyewe kathibitisha Akafanya maamuzi Yabidi kumpokea. Jambo hilo hutimia. Hamuwezi abadani Rabbi Amemchukua. Khamisi bini Wamwera Kujiunga Jumuia Jambo haliwezekani Wema na mahali pake Kafariki Muhammadi! Beti nyingi alichora Si usiku si mchana Basi jua kwa yakini Kisha kuipata sudi Taratibu si makeke Nani tena ni zaidi? Za kuwafanya imara Uwezoo tunaona Nae kafanya juhudi Ujue wapi uweke Ni andiko la Jalia. Jamaat waloingia Kushindikana hakuna Yeye aishi abadi? Aifikishe junudi Wema ulokumbatia. Hakuna jama ukweli Kifo kumuepushia? Na watunzi kina mama Ambalo wakusudia. Ujumbe wake Nabia. Nje ya hino Jamali Katu haina baraka Na mitume wamepita Kidete wakasimama Ameeleza Jalali Kwako kun faya kuni Muumini wake uturi Kufanya kitu haraka Hakuna aliyesita Mariam wetu mama Hakuna kilopungua. Inasema Qur’ani Siku zote kuhubiri Mambo yataharibika Wote iliwakamata Beti akatutungia. Hayo ni yako Manani Taji lake ubashiri Subira inavutia. Hakika kina hekima Amri yake Jalia. Hayo yote ni matunda Ya uzito kuzidia. Watu kuwafikishia. Hiyo njia alishika Ukijaribu kuzama Sheikh aliyoyapanda Kila unachokiona Mapenzi yake ya d hati Ndiyo ya kati hakika Utaipata lazima Kila iliyo nafusi Wakashiba na kuwanda Cha leo hata cha jana Tena ya kila wakati Yenye wingi wa baraka Mola Ametuwekea. Inayo yake nafasi Wazawa wa Rufijia. Huonja pasi na wasi Umeviumba Rabuka Kuwahubiri umati Na kuleta manufaa. Cha pili kushikamana Kisha kenda Mchotike Mauti ametwambia Sivyo visingetokea. Ili wapate rejea. Alisuburi wakati Maendeleo bayana Waliko ahali zake Na hiyo ndio safina Kaburi la Kashmiri Vya dhahiri na ghaibu Warejee kwa Manani Mzuri na hasanati Rijali na wanawake Ya kuweza tuokoa. Si uficho ni dhahiri Vyote ni vyako Wahabu Waondoke maasini Ili afungue nati Habari kawapatia Amesikwa ni hayati Muumbaji ya ajabu Na kushika kwa makini Ukweli kuutongoa. Tutende aliyotenda Ilikuwa patashika Isa mwanae Maria Yote yanayotokea. Maagizo ya Jalia Bila ya matayarisho Na Rabbi Atatupenda Hadi nguo kuchanika Mawaidha kwa hekima Shambalo la korosho Mitihani tutashinda Ili kuuziba ufa Wengi walikasirika Rabbi umekamilika Ndio ndia ya neema Mbaya ni wako mwisho Shetani kumkimbia Twahitaji Ukhalifa Ni nini katuletea? Wahadahu la sharika Taratibu kwa heshima Kwanza ni kupalilia. Hiyo ni kubwa raufu Ni wewe ulotukuka Hakika mfano mwema Vipi tutaacha mila Bila bughuda kutia. Ya sisi kuendelea Yailahi ya Jalia. Matayarisho muhimu Kama twataka uzima Za baba waliolala Na hiyo yao miungu Na hiyo hasa nidhamu Ama sivyo ni dhahama Ukhalifa ndio nguzo Tuishike shelabela Kisha zishuke salamu Usitukane Warungu Katu hutakula tamu Na motoni kuingia Ya shughuli mzo mzo Hino alotuletea? Muhammad Muungamu Usijezua vurungu Lino ukipuuzia. Sheikh akaendelea Bila khalifa uozo Muongozaji kaumu Mipango ilifanyika Wako kukutukania. Mambo kuyafafanua Nani wa kutangulia Ili tusiache ndia. Ukisikia mgeni Ili apate dhurika Usemayo na vitendo Anakujia nyumbani Ili wapate kujua Lini dini Islamu Hata kwa roho kutoka Rehema kwa walimwengu Sambamba huja uhondo Unapata umakini Mambo ya kuwaokoa. Kuipata hitiramu Hili walidhamiria. Pasipokuwa Imamu Tulokuwa kwenye pingu Na ushindi wa kishondo Mambo kuweka sawia. Sunna ni yake matendo Nusura yake Rabana Khalifa wake Jalia Juu pametanda wingu Waweza ushuhudia. Huwezi kukurupuka Kaonesha kwa vitendo Sheikh hapo akatoka Ikanyesha ile mvua. Huo ndio mwendo wake Mambo yataharibika Hayo kwetu ni uhondo Kwa sasa tuna Khalifa Hijira ikafanyika Akavijaza visima Sheikh asiye makeke Upange bila haraka Muhimu kuzingatia. Mfufuo walokufa Pengine kukimbilia. Kwayo maji ya neema Wala hajui mateke Mazuri tajichumia. Sunna ni jambo muhimu Ili waipate sifa Huko kawa muhubiri Akina baba na mama Hiyo ni yake tabia. Dini yetu Isilamu Labeka kuitikia Maisha bila mipango Wa dini yake Kahari Vyomboni kujitwalia. Salehe wa Kapilima Kwenda mbele ni uongo Tamu na hata la sumu Watu waliathirika Hayo aliyotamka Kila siku ni safari Wakajawa na imani Amefanya mambo mema Ni sawasawa na jengo Waweza kulitambua. Bayati wakazishika Dini kuilingania. Na mapenzi ya manani Ya kueneza neema Ramani kujichorea. Yafata masimulizi Na kundini kuingia Hata kule utamboni Ujaji wa Masihia. Kawaambia namba wani Aliyosema Azizi Pembe zote amefika Wakaweza jitolea. Kapita kugawa mali Ni kushika Qur’ani Mambo kuyaweka wazi Hapo ikazuka shari Sheikh wetu msifika Kauli yake Rasuli Ni maneno ya Manani Yale yenye manufaa. Maisha yenye khatari Kila sehemu kashuka Muhammad Muokozi Na mali hasa ya kweli Yalonyooka sawia. Ya kuchimbiwa kaburi Nchi yetu Tanzania. Ang’arae kama mwezi Hadithi yakubalika Ukweli kuupokea. Wapate kuwafukia Mpenzi wetu azizi Kitabu hakina shaka Isipovuka mipaka Katu hakuajiriwa Wanapotoa salamu Utumwani katutoa. Kaenda dari ma dari Maneno yamenyooka Aloiweka Rabuka Mshahara kumegewa Kuzieneza habari Tena yamekamilika Kwa sisi sote insia. Msiijibu salamu Akatupa na ahadi Ndio kwanza amekuwa Za ufikaji Bashiri Kuwaongoza insia. Kinyume cha Qur’an Makadiani ni sumu Ya kutujia Mahadi Sheikh wa kujitolea. Nabii bila sheria. Haifai asilani Ukae nao khatua Kwa jina la Ahmadi Rabbi kakipa ulinzi Si hadithi ni utani Na kilimo cha pamoja Mjazie ya Manani Vumbi kuja iondoa. Utume bila sheria Ni kitabu kakienzi Huo unaendelea Kitadumu hadi enzi Vigumu kuipokea. Msiwete hao waja Sheikh awe kivulini Kwetu kafika Sayidi Ni ya nini hiyo haja Firdausi peponi Hadi mwisho wa dunia Atapopenda Jalia Kisha kawapa habari Masihi tena Mahadi Hadi kuwakumbatia Nae apate tulia. Nuru kutuangazia. Kimeleta uokovu Za Muhammad Bashiri Kwetu ni kubwa zawadi Kwanza kaenda Rufiji Na mapenzi lovulovu Ametumwa na Kahari Kuwauzia samaki Inayozidi rupia. Ni pepo ya watu wema Huko akawapa maji Ni kitabu kina nguvu Kukamilisha sheria Nyote mseme sitaki Waloshika mwendo mwema Itakuwa sio haki Kumpokea lazima Si zani ya mfereji Maasi kuyazuia. Hatokuja asilani Mjalie ya Karima Wao kuwahudumia Agizo la Muadhamu Ya kiroho nakwambia. Na furaha ya rohoni Wa sheria kusaini Matunda kujichumia. Ujahili utazama Maneno ya ufunuo Ile ya ndani kwa ndani Sheria ni Qur’ani Haifai kuwasika Katu asiwe baidi Bila yeye kupokea. Yaangaza ja kiroho Chimbuko ni Qur’ani Iso shaka wala doa. Jeneza lao kushika Hilo ni kosa hakika Na Mtume Muhammadi Kwisha kwa utangulizi Yanayopenya uzio Kukufanya kutulia. Kwa kueleza sheria Dhambini kutoingia Vibaya kuwasalia Nae Masihi Mauudi Ninalo jambo la wazi Bila ya macho huoni Huyo ameshatokea Aweze wakumbatia. Ametawafu mjuzi Rusende huko Nyipara Husikii asilani Wala hakuna udhia Kuwaoza makafiri Shekhe wetu wa uluwa. Kote akatia fora Neno ni masikioni Ni tamu kama halua. Hilo chungu ja shubiri Tamati nahitimisha Na mafunzo bora bora Hapo waweza sikia. Laondoa zetu khari Utungo kukamilisha Msiba umetufika Sharti awe mpenzi Vijana kawapatia. Na kuleta mabalaa Twamuombea maisha Katutoka Mubaraka Kama hiyo ni kanuni Wa Muhammad kuenzi Hii ilikuwa vita Yale ya kuendelea. Shekhe aliheshimika Darasa alifungua Huwezi ona Manani Kwa kilio na majonzi Nivute nami navuta Watu kuwahubiria. Elimu kuwapatia Pasina na Qur’ani Dini aweze tetea. • • • • • • • • • • • • • • • • • • • • • • • • MAKALA / MAONI Sulh 1396 HS Rabiu Thani 1438 AH Januari 2017 Mapenzi ya Mungu 7

AHMADIYYA MUSLIM JAMAAT TANZANIA P.O. Box 376, Dar es Salaam. Bibi Titi Mohammed Street, Opp. Mnazi Mmoja Garden. Tel: 2110473, Fax: 2111031. Web: www.alislam.org, www.ahmadiyyatz.org. Email:[email protected]

KHALIFA MTUKUFU WA V, HADHRAT MIRZA MASROOR AHMAD (atba) AKIHUTUBIA TAFRIJA MAAULUM ILIYOANDALIWA KWA HESHIMA YAKE CHUO KIKUU CHA YORK NCHINI CANADA 28 OKTOBA 2016 WAKATI WA ZIARA YAKE YA WIKI SITA NCHINI HADHRAT MIRZA GHULAM AHMAD QADIANI A.S. HUMO. MWANZILISHI MTUKUFU WA JUMUIYA YA WAISLAMU WAAHMADIYYA 2017 1438-1439 AH 1397 HS

VIONGOZI WA JUMUIYA YA WAISLAMU WA AHMADIYYA BAADHI YA VIONGOZI WA SERIKALI WALIOHUDHURIA TANZANIA PAMOJA NA WAZIRI MKUU MH. JALSA SALANA YA 47 YA TANZANIA MWAKA 2016 WALIPOMTEMBELEA OFISINI KWAKE JANUARY/SULH FEBRUARY/TABLIGH MARCH/AMMAN APRIL/SHAHADAT Mon Tue Wed Thu Fri Sat Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat Sun 1 1 2 3 4 5 1 2 3 4 5 1 2

2 3 4 5 6 7 8 6 7 8 9 10 11 12 6 7 8 9 10 11 12 3 4 5 6 7 8 9 9 10 11 12 13 14 15 13 14 15 16 17 18 19 13 14 15 16 17 18 19 10 11 12 13 14 15 16 16 17 18 19 20 21 22 20 21 22 23 24 25 26 20 21 22 23 24 25 26 17 18 19 20 21 22 23 23 24 25 26 27 28 29 27 28 27 28 29 30 31 24 25 26 27 28 29 30 30 31 13 - 20 AHADI MPYA ZA W/JADID 20 MWANA ALIYEAHIDIWA 23 MASIHI ALIYEAHIDIWA 29 - 30 SHURA YA KITAIFA 22 MTIHANI WA KITABU: TOENI FATWA 9 MTIHANI WA KITABU: KIGEZO CHA DINI MAY/HIJRAT JUNE/IHSAN JULY/WAFA AUGUST/ZAHOOR Mon Tue Wed Thu Fri Sat Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat Sun 1 2 3 4 5 6 7 1 2 3 4 1 2 1 2 3 4 5 6

8 9 10 11 12 13 14 5 6 7 8 9 10 11 3 4 5 6 7 8 9 7 8 9 10 11 12 13 10 11 12 13 14 15 16 15 16 17 18 19 20 21 12 13 14 15 16 17 18 14 15 16 17 18 19 20 17 18 19 20 21 22 23 22 23 24 25 26 27 28 19 20 21 22 23 24 25 21 22 23 24 25 26 27 24 25 26 27 28 29 30 29 30 31 26 27 28 29 30 31 28 29 30 31 25 RAMADHAN* 23 EID UL FITR* 7 MAONYESHO YA SABASABA 30 EID UL ADHA* 27 SIKU YA UKHALIFA 21-23 IJTIMAI YA KHUDDAM&ATFAL 23 MTIHANI WA KITABU: HOTUBA YA LAHORE 28-30 JALSA SALANA UINGEREZA SEPTEMBER/IKHA OCTOBER/TABOOK NOVEMBER/NUBUWWAT DECEMBER/FATAH Mon Tue Wed Thu Fri Sat Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat Sun 1 2 3 1 1 2 3 4 5 1 2 3

4 5 6 7 8 9 10 2 3 4 5 6 7 8 6 7 8 9 10 11 12 4 5 6 7 8 9 10 9 10 11 12 13 14 15 11 12 13 14 15 16 17 13 14 15 16 17 18 19 11 12 13 14 15 16 17 16 17 18 19 20 21 22 18 19 20 21 22 23 24 20 21 22 23 24 25 26 18 19 20 21 22 23 24 23 24 25 26 27 28 29 25 26 27 28 29 30 30 31 27 28 29 30 25 26 27 28 29 30 31 29-1 JALSA SALANA TANZANIA 27 SIKU YA WAANZILISHI WA DINI IJTIMAI YA ANSARULLAH** UPENDO KWA WOTE BILA CHUKI KWA YEYOTE 8 Mapenzi ya Mungu Januari 2017 Rabiu Thani 1438 AH Sulh 1396 HS MAKALA / MAONI Niliyojifunza katika Ibada ya Hija Hotuba iliyotolewa na Abdulrahman ya Allah Kaaba - bila shaka M. Ame sahib katika Jalsa Salana ya kuonesha upana wa somo hili. mwaka 2016. Masihi Aliyeahidiwa mwenyewe amesema katika moja ya ufunuo Kutoka Toleo lililopita alioupata kutoka kwa Allah: “Yeyote atakayetambua kwamba Hapo Arafa kama maana ya neno msingi wa Kaaba uliwekwa lilivyo ni utambuzi wa kina, kwa hekima ya Mungu huyo ni mahujaji wanatarajiwa wapate mwenye hakima, kwa sababu kumtambua au wapate maarifa huyo anayo njia ya kutambua zaidi juu ya Allah na sifa zake maajabu ya ulimwengu. na utukufu wake. Kila hujaji ni Moja ya masharti ya kwenda lazima afike Arafa angalau kabla kuhiji ni kwa: “Mwenye Kuweza” ya jua kupinduka vinginevyo hija Na hii ina maana ya uwezo wa yake haitokamilika. mali, afya pamoja na usalama. Mahujaji hukaa hapo hadi Hivyo Mwanzilishi Mtukufu mchana na husali Adhuhuri wa Jamaat Ahmadiyya pamoja na Alasiri na kabla ya kusali na sababu zingine zinazoweza Magharibi huondoka kueleka kuwepo ambazo zilimzuia Muzdalifah – (maana yake ni kuwa asiweze kwenda kuhiji binafsi karibu zaidi). Ikimaanisha hapa (kama vile afya yake) lakini pia hujaji hutakiwa kuwa karibu suala la usalama wake lilikuwa zaidi na Allah au kupata maarifa tete. Hasa baada ya yeye kutangaza ya kumtambua Allah. ujumbe wake, masheikh wa Hapo Muzdalifa pia pana muinuko wakati wake walitangaza fulani uitwao Al-Mash‘arul-Haram. fatwa ya ukafiri dhidi yake na Ambapo Mtukufu Mtume kwamba anastahili kuuwawa, s.a.w. alichanganya sala yake na hata huko India wako wengi ya Maghrib na Isha hapo na waliojaribu kumuuwa kila nafasi akatumia usiku wote katika ilipopatikana kiasi hiki kwamba kumkumbuka na kumuomba baadhi ya safari ilibidi kupata Allah sana sana na kwa moyo Msikiti wa Makka (Masjidul Haraam) ukionekana kwa upana wake kutokea juu. ulinzi au kutembea kwa hadhari. wote kama neno Mash‘arul-Haram Hivyo asingeweza kusafiri kwa linavyomaanisha kwamba ni amani hadi Makka, lakini sawa na kumuomba Allah na hivyo yako mbali kufikiwa. Mfano hata fikra takatifu. shirki badala ya kukuza Umoja na njia nyingine ya kufanya hijja kumbukumbu ya matendo ya katika tukio hili la hija inaonekana Kutoka Muzdalifa siku ya mwezi wa Allah ambalo ndilo lengo kuu - Hajj-e-Badal - inayoruhusiwa kujitolea kwa Allah yaliyofanywa bayana kwamba hakuna umoja 10 Dhulhija mahujaji baada la Hija. Mfano kwenye kutufu na kisheria, Hadhrat Hafiz na Hadhrat Ibrahimu na miongoni mwa Waislam. ya kusali alfajiri au hata kabla kwenye kuzuru kaburi la Mtume Ahmadullah alifanya hija kwa ahali zake yametumika kama - Ingawaje yupo Imam huelekea tena Mina. Inasimuliwa s.a.w. Madina, kuna baadhi ya niaba ya Masihi Aliyeahidiwa a.s. kichocheo cha kufikia malengo anayesalisha msikiti wa Makka kwamba hapo Mina ndipo nabii watu wanaojisugua kwenye hayo. lakini kwa ujumla kunaonekana Ibrahim alipojaribiwa mara 3 kuta za Kaaba au mlango wa Pamoja na kwamba Jalsa Sawa na kauli ya Mtukufu ombwe la uongozi na na shetani ili kwamba asimtoe kuingilia chumba cha kaburi haisimami mahala pa hija, hata Mtume s.a.w. hujaji anayefanya mgawanyiko, kwani ukimaliza mtoto wake dhabihu kwa ajili ya la Mtume s.a.w. pamoja na hivyo kuna mahusiano maalum haya yote kwa moyo wote tu mzunguko wa Haram kuna Allah, lakini shetani akashindwa. kufanya mambo mengine kwa kati ya Hija na Jalsa. kwa ajili ya kutafuta radhi za misikiti inayoonekana kuwa ni Basi hapo pana nguzo 3 ambazo namna inayoonesha ‘mapenzi Maneno yaliyotumika kutoka Allah madhambi yake yote ya madhehebu tofauti. mahujaji hutupa vijiwe kwa yasiyozingatia tawhidi.’ kwa Allah katika kuamuru husamehewa, hupata ukaribu - Ni shida kuweza kuyaona idadi maalum kama ishara Hija kwa Nabii Ibrahim a.s. na wa Allah, kwa maana nyingine mapenzi na udugu wa kweli ya kumfukuza / kumpinga MFANANO WA HIJA NA Mtukufu Mtume s.a.w. ndiyo hufikia lengo la kuumbwa kwake. wa Kiislamu. Kwa mfano ni shetani. Nguzo hizo Jamrah Ula, JALSA hayo hayo yaliyotumika katika Anakuwa mtu mwema, mtawa, jambo nililolishuhudia kwamba Jamrah Wusta, Jamrah ‘Aqabah, kuamrishwa Jalsa kwa Masihi asiyeleta madhara kwa viumbe unaweza kumsalimia mtu na (ya kwanza, ya kati na kubwa) Kuna tuhuma kwamba sisi Aliyeahidiwa a.s. wa Allah, mpole na mwenye asijali kukuitikia. Mtu anaweza zinamaanisha kwamba kwa kadri Waahmadiyya hatuhiji Makka msaada na manufaa makubwa kukuona upo mbele yake mtu anavyomshinda shetani badala yake eti Jalsa kwetu ndio “Na Uwatangazie watu habari za kwa ubinadamu. lakini akatema makohozi au kwenye hatua za kumwendea Hija. Hajj, watakufikia kwa miguu na kupuliza moshi wa sigara bila Mungu, shetani naye huongeza Tuhuma hiyo si ya kweli, lakini juu ya kila mnyama mkondefu, YALE NILIYOJIFUNZA kujali kwamba hayo ni maudhi. juhudi zake, lakini mtu hatakiwi Wanajumuiya tunatakiwa tuijibu wakija kutoka kila njia ya mbali” KWA JUMLA Watu wanagombea chakula kukata tamaa kwani mwisho tuhuma hii sio kwa maneno tu (22:28). Kwa upande wa Serikali ya kinachogawiwa kama sadaka. shetani hurudi nyuma na mtu bali kwa matendo, kwa maana ya Maneno haya: “wakija kutoka Saudia, imejitahidi vya kutosha n.k. hupata ushindi. kwenda kuhiji kwa wale tulio na kila njia ya mbali” yametumika kuboresha mazingira ya Hija. Kwa ujumla kinachoonekana ni Kwenye siku hiyo ya 10th Dhul uwezo. Sisi Waahmadiyya kwa pia kwa Masihi Aliyeahidiwa a.s. Allah Awabariki na Awasaidie kana kwamba kila mtu ana lengo Hijjah, baada ya kurusha vijiwe fadhili za Allah tunayo nafasi kuihusu Jalsa salana. zaidi. lake, wengi wakiwa wamezama kwenye Jamrah ‘Aqabah mahujaji kubwa ya kufikia malengo ya Hija Kwa hakika bishara hizi zote Ingawaje zipo pia changamoto kwenye kuitumia hija kwa huchinja wanyama wao wa kuliko watu wengine kwa sababu zinatimia. Kama vile zinavyotimia za kiutendaji kama inavyoweza malengo ya kidunia au biashara. dhabihu. Kama nafasi inaruhusu tumepewa mwanga wa kutosha katika Hija, zinatimia pia katika kufikiriwa mkusanyiko wa watu Ingawaje ni kweli biashara Mahujaji hutakiwa kwenda wa kuielewa ibada ya hiyo na Jalsa. zaidi ya milioni 3, si jambo dogo. haijakatazwa lakini inapopewa Kaaba kwa ajili ya tawaful falsafa zake kupitia mafundisho Hii pia inadhirisha kwamba Kwa upande mwingine kipaumbele kuliko hata matendo Ifaadha (Tawafu ya Nguzo) ya Masihi Aliyeahidiwa a.s. Masihi Aliyeahidiwa a.s. changamoto zinatokana na yenyewe ya hija, hapo inakuwa si pamoja na Kusai na baadae Kwa mfano Hadhrat Khalifatul ameletwa ili kuondoa yale mahujaji wenyewe ambao sawa. wananyoa na kufanya mambo Masih III r.a. kuanzia tarehe mapungufu yanayoonekana leo wanatokea mazingira tofauti, - Kwa kushindwa kuelewa mengine waliyokatazwa kabla 31/3/1967 hadi 16/06/1967 alitoa kwa wale wanaoihudumia hija na wakiwa na uelewa na malengo falsafa ya Hija, mahujaji wengi isipokuwa makutano ya kijinsia, hotuba za Ijumaa ambazo ndani mahujaji wenyewe - hasa ukosefu tofauti. wanaonekana kufanya matendo huoga na kuvaa nguo zao za mwake alielezea malengo 23 wa umoja, udugu wa mapenzi, Hivyo kama mtu anakwenda yanayoweza kupelekea kwenye kawaida. ya kujengwa kwa nyumba hii nidhamu ya uongozi n.k. kuhiji akijielewa anakwenda Iwapo hali hairuhusu kwenda Hali ya mazingira ya Jalsa kwa kufanya nini, ibada ya Hija kwake Kaaba kwa ajili ya Tawafu ya leo yanavutia zaidi upande wa itakuwa na maana kwa sababu Nguzo, mahujaji wanaruhusiwa kiroho kuliko vile ionekanavyo Ishara zote zilizotajwa na Allah kunyoa na kuvua Ihramu zao kwenye hija kupitia matendo ya kama alama Zake, atazishuhudia. mara baada ya dhabihu, na Waislamu. Hali kame ya mji wa Makka, baadae wanakwenda Kaaba kwa Hivyo kuna haja kubwa ya sisi Kaaba, kisima cha Zamzam, n.k. ajili ya tawafu ya Nguzo wakiwa Waahmadiyya kujilinda na pamoja na mkusanyiko wa watu na nguo zao za Kawaida baada tuhuma zinazoweza kuletwa wengi kunadhihirisha uwepo wa ya kukaa siku mbili au tatu hapo kupitia Jalsa iwapo hatutozingatia Allah na kwamba amri hii hasa Minaa kwa ajili ya Ibada ya lengo la kuanzishwa kwake. inatoka Kwake, kwani mazingira kupiga vijiwe. Ni lazima tuje kwenye Jalsa hayo yasiyo rafiki yasingeweza Hatima ya yote mahujaji huzuru tukiwa na dhamira ndani yetu ya kutembelewa na watu wengi tena Kaaba kwa ajili ya tawaful kufikia malengo ya Jalsa tu na sio kiasi hicho kama si kwa matakwa widaa, yaani tawafu ya kuaga. vinginevyo. Yake Mungu. Hapo kimsingi hija inakuwa Hata hivyo kwa upande Tujitahidi kuyafikia malengo imeisha, wengine hutembelea mwingine kwa kuziangalia hali hayo, na mtu ajione Jalsa kwake Madina na wanaotaka kubaki za Waislamu tu mtu anaweza haikukamilika iwapo hakufikia Minaa wanaweza kufanya hivyo hata kukata tamaa na ibada hii, malengo yaliyotajwa na Masihi hadi 12 Dhulhijaa. Msikiti wa Madin (Masjidun Nabiyy) ukionekana kwa kwa sababu kwa sura ya nje, yale Aliyeahidiwa a.s. juu ya Jalsa. Kwa ujumla ibada nzima ya Hija malengo ya Hija yanaonekana upana wake kutokea juu. Allah Atusaidie sana. Amin. ni kumkumbuka, kumtukuza MAKALA / MAONI Sulh 1396 HS Rabiu Thani 1438 AH Januari 2017 Mapenzi ya Mungu 9 Ahmadiyya yabisha hodi Mkoani Mwanza Na Mahmood Hamsin Mubiru wa Tanzania alimtuma mwaka liliendelea na Mwalimu kazi Lint and Seed marketing imekuwa ikikabiliana na – Dar es salaam. 1966 Sheikh Hafidh Muhammad Ng’ambage alipopewa uhamisho Board. Mahali pa kusalia kukosekana kwa mahala pa Suleiman kuwa Mbashiri wa akabaki Mwanajumuiyya palikuwa hapatoshi na hivyo kusalia. Ufumbuzi uliojitokeza Sheikh Inayatullah Ahmad Kwanza wa Mkoa wa Mwanza. aliyekuwa Mwalimu Mjini fikra zao, mazungumzo yao ulikuwa ni wa muda na si wa kabla ya kujiunga na jeshi la Hafidh Muhammad Suleiman Mwanza Bw. Mukhtari Ahmad na usumbufu wao ilikuwa ni kudumu. Kwa mathalani Dr. Iddi Masihi Aliyeahidiwa Hadhrat alipata bahati kujua Kurani Ayyaz. Bw. Ayyaz ana historia namna ya kupata pahala pa Mwanga alipokuwa hospitali Mirza Ghulam Ahmad (as) Tukufu kwa moyo tangu utoto ndefu ya kuitumikia Ahmadiyya kusalia. Wanajumuiyya hao ya Bugando sala ya Jamaat alikuwa katika jeshi la Malkia wake. Alijiunga na Jumuiyya katika Afrika Mashariki. waliendelea na maombi na ilikuwa inafanyika nyumbani wa Uingereza. Huko alijifunza mwaka 1949 na kuhitimu elimu Ikumbukwe kwamba yeye ndiye kufunga saumu. Allah alipokea kwake. Na alipoondoka nidhamu, ukakamavu, kufanya ya Sarf Nahau, Fiqh na Mantiq na aliyeanzisha shule ya BASHIRI maombi yao na mwaka 1976 sala ilikuwa inafanyika kule kazi bila kuchoka na kutembea baadae alipata Shahada ya H.A HIGH SCHOOL huko Kampala Mwalimu Ramadhani Khalfan Nyamanoro alikokuwa anaishi kwa miguu masafa marefu. Sifa (Honours in Arabic) na Shahada – Uganda ambayo kwa hivi sasa alifanikiwa kupata kiwanja Mwalimu Saidi Mgeleka. Hata hizi muhimu kwa muhubiri ya SHAHID. Baadae alitoa inajulikana kama Ahmadiyya kizuri tena katikati ya jiji la hivyo vitimbi vilifanyika na alikuja nazo alipokubaliwa maisha yake yote kuitumikia High School. Kwa miaka Mwanza. Kiwanja kipo mtaa wa wakazuiwa kusali Jamaa. Kutoka kuwa Mbashiri a Dini ya Islam Jumuiyya ya Ahmadiyya. alikuwa Katibu wa Ahmadiyya Rufiji na Unguja. Kwa haraka, hapo ilionekana ya kwamba na Khalifatul Masih –II Hadharat Tarehe 20 Marchi 1959 aliwasili mjini Tanga. Akiwa Mjini ushujaa na jazba kubwa Sheikh ni vizuri kwenda kusali katika Mirza Bashiruddin Mahmood mjini Mombasa nchini Kenya Tanga Bw. Mukhtari Ahmad Yusuf Athumani Kambaulaya nyumba za Wanajamaat. Kwa Ahmad (ra). kutoka Pakistani kwa meli ya Ayyaz alimuhimiza Bw. Ally alikishughulikia kiwanja hicho mfano walikwenda kusali kwa SS –Kampala. Alifanya kazi Sachak wa Tanga kutoa msaada na hatimaye Jumuiyya ya Bw. Matimbwa na nyumbani Furaha ya Sheikh Inayatullah Mombasa, Kisumu na baadae wa mali kuchapisha Kurani Ahmadiyya kukimiliki kwa kwa Bw. Idrisa Sengoga. Sheikh Ahmad sawa na wale waliofanya aliletwa nchini Tanzania ambapo Tukufu iliyotafsiriwa na Sheikh halali. Matukio ya baadae hata Daud Mmoto alipohamishiwa kazi naye ilikuwa siku zote Mbashiri mkuu alimpangia Mubarak Ahmad katika lugha ya hivyo ni ya kusikitisha kwani Mwanza alipangiwa huko kuwaendea watu walipo; Mwanza na Bukoba. Akiwa Kiswahili. Bw. Sachak aliendelea kama tutakavyoona kuwa Bugando na hivyo huko pakawa mashambani, mijini, mashuleni, Mwanza alifanya kazi kubwa ya kutoa fedha hadi kufikia zaidi kiwanja hicho kilivamiwa. Kuna mahala pa kusalia. Kutokana viwandani na maofisini na kueneza mafundisho ya Islam. ya Shilingi laki moja. Na Kurani haja hasa ya kueleza kwa ufupi na usumbufu huo wa muda wa huko kote alifikisha ujumbe wa Alipendwa na kuheshimiwa Tukufu ilipochapishwa mwaka mgogoro wa kiwanja hicho mrefu Mzee Thani alitoa sehemu Masihi Aliyeahidiwa (as). Toka sana hususan kwa upole wake. 1953 Bw. Ayyaz akiongozana Msikiti. ya kiwanja chake ili ujengwe mwaka 1948 Sheikh Inayatullah Alikuwa ni Mbashiri wa mwanzo na Sheikh Jalaludin Qamar Msikiti. Na huo ndio Msikiti Ahmad alizunguuka Afrika huko Mwanza kujiwekea walimkabidhi Sultani wa Mwaka 1970 baada ya ambao unatumika kwa hivi Mashariki akihubiri. Miaka ya utaratibu wa kuwatembelea wa wakati huo Sultani mahangaiko makubwa, Jamaat sasa. Msikiti huo umetokana na 50 na 60 alikuwa Tanzania na wafungwa gerezani. Khalifa bin Kharoub tafsiri ya ya Mwanza ilifanikiwa kupata juhudi hiyo ya Mzee Thani. Baaa alifanikiwa kutembelea sehemu Kurani Tukufu katika lugha ya kiwanja cha kujenga Msikiti ya kutolewa eneo hilo Mzee nyingi za Taifa hili. Moja katika Mwaka 1968 aliletwa Mwalimu Kiswahili. Sultani Khalifa bin kama tulivyotangulia kusema Thani na Bw. Yahya Kambaulaya safari zake alifika mjini Mwanza. Abdallah Ng’ambage ambaye Kharoub alitoa shukrani kubwa hapo juu kiwanja hicho kipo walishughulika kwa hali na Na kama ilivyo desturi yake alikuwa Mbashiri mjini Tanga sana na akasifu kazi nzuri mitaa ya Rufiji na Unguja. mali katika ujenzi wa Msikiti. alitembelea Ofisi, viwanda, na huko alifanya urafiki na inayofanywa na Jumuiyya ya Kiwanja hiki kilivamiwa na Hawakupumzika wala kusinzia mashule, mashamba n.k akieleza yule Mshairi Maarufu Sheikh Ahmadiyya katika kueneza nuru kundi la Waislam na kujenga hadi Msikiti ulipokamilika. ujumbe wa Masihi Aliyeahidiwa Shaaban Robert hadi kufikia ya Islam. shule iliyoitwa jina la SAKAFA Wanajamaat wa Mwanza kwa (as). Mjini Mwanza alikutana na hatua ya watu wa Tanga HIGH SCHOOL. Jamaat ya ujumla wao walishiriki katika Wanasiasa ambao tayari alikuwa kumuhesabu Sheikh Shaaban Mwaka 1958 wakati wa uchaguzi Mwanza ilipeleka malalamiko ujenzi wa Msikiti huo. amekutana nao sehemu zingine Robert kuwa ni Ahmadiyya. Kwa wa kura tatu, Bw. Ayyaz Mahakamani. Kwa ushujaa na h za Tanzania. Wepesi wake bashasha zake na uchangamfu akiungwa mkono na TANU ekima kubwa kesi ilisimamiwa Mahali hapo ni pazuri na wa kuchanganyika na watu, Mwalimu Ng’ambage alifanya ( African National na Sheikh Ahmad Daud Mmoto palipo wazi karibu na kituo bashasha, kulimfanya asipate mahubiri yashike kasi sana mjini Union) aligombea Ubunge akishirikiana na Wanajamaat kikuu cha mabasi. Kwa hakika tabu popote alikokwenda. Mwanza. Aliamsha mapenzi mjini Tanga. Huko Mwanza Bw. wafuatao:- Bw. Idrisa Sengoga, ni Msikiti ambao unatoa faraja Kwani viongozi wengi wa makubwa kwa Jamaat hususan Ayyaz alieneza vitabu na katika Mwalimu Omari Matimbwa, kubwa kwa watu waliokuwa nchi hii walikuwa ni marafiki kwa uhodari wake wa kueneza shule alizofundisha aliacha Bw. Ismail Doto, Bw. Juma wanatangatanga jangwani kwa zake. Alijuana na Mwalimu magazeti. Kwa kutumia umahiri athari kubwa. Amezikwa katika Ngayapula, Mzee Salum Thani miaka twende miaka rudi. Julius Kambarage Nyerere, wake wa kutunga mashairi makaburi ya Jamaat Ahmadiyya na Mzee Saidi Bakari Sasamka. Rashidi Mfaume Kawawa, aliwakusanya Washairi na Wailes – Temeke. Kwa msaada mkubwa wa Allah Mwaka 2015 aliwasili Mjini Abdallah Saidi Fundikira, Mwanza ukawa mji wa Washairi. Jamaat ilishinda na Mahakama Mwanza Sheikh Waseem Ahmad Haruna Rugusha, Chifu Kidaha Walikuwepo Mwalimu Khalfan, Mwaka 1975 Sheikh Yusuf ikaamua kuvunjwa majengo Khan ili kushughulika na ujenzi Makwaia, Maqaidi na wengineo Bw. Iddi Juma Maganga (Joka Kambaulaya akitokea mjini yao. Hata hivyo Makao Makuu wa Msikiti mkubwa wa Mkoa. wengi. kuu) na katika harakati hizo Tanga alianza kutumikia ya Jumuiyya ya Waislam wa Kiwanja kile kilichotolewa akampata Mwanajeshi Ahmad mikoa miwili ya Mwanza na Ahmadiyya Dar es salaam na Mzee Thani na Bw. Yahya Alipofika Mwanza mwaka Ray Makanda ambaye alijiunga Kagera. Mungu bariki katika yalitoa rai kuwa badala ya Kambaulaya kilibadilishwa 1960 mwaka mmoja kabla ya na Jumuiyya na kuleta msisimko miaka hiyo ya 70 Wanajamaat kuvunjwa wapatiwe kiwanja matumizi yake katika vyombo uhuru wa Tananyika aligawa mkubwa. Bwana Ray alipojiunga wengi walipatikana kwa kuja mbadala. Kimsingi wenye shule vinavyohusika na kiwanja magazeti ya Mapenzi ya Mungu na Ahmadiyya hakuficha furaha Mwanza kikazi. Na kama ilivyo walikubali rai hiyo lakini miaka hicho kikakubaliwa kuwa kiwe na kuuza vitabu vingi. Ingawaje yake bali aliimba; desturi ya Wanajamaat wakifika mitano ilipita bila jambo lolote cha ujenzi wa Msikiti. Kazi hii hakuanzisha kituo lakini athari Taa inajiwakia, kiza kujikimbilia mahala wanakusanyika na kufanyika. Kesi ikaenda tena wakati nikitembelea Mwanza za Jumuiyya ziliendelea kutikisa Imekuwa kama jua, limulikapo kuanza mahubiri. Waliofika mahakamani safari hii kesi mwezi July, 2016 nyumba ya Mwanza kutokana na magazeti dunia Mwanza mwaka 1970 ni pamoja ilisimamiwa na Bw. Ahmad Mbashiri ilikuwa tayari na m na vitabu. Kutoka Mwanza Naiona kila njia, wapi kwa na Bw. Mbwana Mgunda – thani, Yahya Kambaulaya na ipango ilikuwa mbioni ya ujenzi Sheikh Inayatullah Ahmad kuelekea mwanajumuiyya shupavu Yusuf Kachima. Kwa msaada wa Msikiti. alikwenda mkoani Mara ambako aliyeanzisha kiwanda cha mkubwa wa Allah Jumuiyya ya alifanikiwa kuanzisha Jamaat Vuguvugu hilo la kutumia Kengele za Baiskeli na kuwaajiri Ahmadiyya kwa mara nyingine Jamaat ya Mwanza ni mfano pale Nyamuswa – Ikizu ambako ushairi kueneza ukweli wa Wanajamaat. Pia alijitolea pesa ikashinda. Mgogoro huo wa unaong’aa kwa Wanajamaat walipatikana Wanajamaat imara Jumuiyya lilitumiwa vizuri na ili gazeti la Mapenzi ya Mungu kiwanja cha Msikiti Mwanza ambao wako tayari kujitolea kwa akina Hemed Neema, Rashidi Bw. Iddi Juma Maganga (Joka liendelee kuchapishwa. ndivyo ulivyo kwa hivi sasa. hali na mali. Kujitolea kiwanja Sumwe na Abdallah Sindoma. kuu) ambaye Oktoba 1967 katika cha Msikiti ni ishara ya watu Hemed Neema alifanya kazi gazeti letu la Mapenzi ya Mungu Mwalimu Ramadhani Khalfan Wakati tunazungumzia mgogoro wanaotanguliza dini mbele ya kubwa ya mahubiri na kwa aliimba; alikuwa Mwalimu maarufu huu inatubidi kuwakumbuka dunia. Mapokezi niliyoyapata sababu alikuwa na mahusiano na Wakristo na Sunni, wenye imani wa Kiswahili katika shule ya Wabashiri waliofanya kazi mimi ndugu yao wa kiroho Mwalimu Nyerere kila alipofika hafifu, Lake Sec, School. Abdulrahman kubwa Mjini Mwanza. Na hao hayawezi kufutika moyoni. Dar es salaam alibeba vitabu vya Chekeni au lieni, hadi mvimbe Nyamihasi, Dr. Iddi Mwanga – ni pamoja na Sheikh Hafidhi Sheikh Waseem, Mwalimu Jumuiyya kumpelekea Mwalimu mapafu, Daktari mashuhuri aliyekuwa Muhammad Suleiman, Mwalimu Nyamihasi, Mwalimu Yasini Nyerere nyumbani kwake Katu haji duniani, Issa hospitali ya Muhimbili na Abdallah Ng’ambage, Sheikhi ukweli walinionesha mapenzi Msasani. Itakumbukwa ya aliyetawafu akiwashangaza watu waliokuwa Yusuf Athumani Kambaulaya, makubwa. Msaada mkubwa kwamba Hemed Neema alikuwa Lieni kiomboleza, Issa haji wanamfahamu walipomuona na Mwalimu Saidi Mgeleka, Sheikh niliopewa na Bw. Yahya mtetezi mkuu wa Mwalimu duniani. kapo la vitabu huko Kariakoo Ahmad Daud Mmoto, Sheikh Kambaulaya umeniwezesha Julius Kambarage Nyerere akiuza vitabu vya Dini na Abutalib Iddi Sandi, Mwalimu kufanya kazi yangu ya utafiti katika ile kesi iliyomkabili Itakumbukwa kwamba Bw. walipokuwa wanamuuliza vipi? Mubarak Nyamihasi, Mwalimu kwa wasaa na utulivu. Allah Mwalimu Nyerere mwaka 1958 Iddi Juma Maganga (Joka kuu) Muhimbili natibu maradhi ya Ramadhani Mahmood, Amzidishie moyo wa kuipenda aliposhutumiwa kuwatukana aliwahi kuchaguliwa kuwa mwili, hapa natibu maradhi ya Mwalimu Yusuf Gesonko na na kuithamini Jamaat. Ma-DC. Mshairi bora katika miaka ya kiroho. Mussa Nyengo aliyekuwa Sheikh Waseem Ahmad Khan. Tutaendelea kuzungumzia juu 1980. anafanya kazi Tanzania Elimu ya yale niliyoyaona Mwanza Wakati Sheikh Muhammad Supply na Bw. Kassim Mrisho Kwa miongo mitatu Jamaat katika makala zinazofuata. Munawwar ni Mbashiri Mkuu Vuguvugu la Jumuiyya Maftah aliyekuwa anafanya ya Ahmadiyya mjini Mwanza Inshallah. 10 Mapenzi ya Mungu Januari 2017 Rabiu Thani 1438 AH Sulh 1396 HS MAKALA / MAONI Mahafali ya Kidato cha Nne Ahmadiyya Sekondari Yafana

Kutoka uk. 12 wadogo zenu kama ambavyo ya waislam wa Ahmadiyya Inshallah tutaendelea kutatua Mwisho aliwaasa wanafunzi watu walijitolea kwa ajili yenu Tanzania, sheikh Tahir changamoto hizo kadri kushikamana na elimu. Kwa shule alisema kuwa, Tayari hadi leo hii nanyi mnahitimu. Mahmood Choudhry kabla itakavyo wezekana. sababu elimu ndio inayoweza shule imeisha jenga Maktaba ya kutoa nasaha zake alitoa kutoa tofauti kati ya anayejua na Maabara kubwa ili kukidhi Shamra shamra za mahafali Pia aliwapongeza kamati vyeti kwa wahitimu wote. na asiyejua. Mtume s.a.w haja ya serikali ambayo haya ziliongezwa nakshi ya shule, mkuu wa shule, pia alitoa vyeti maalum na alisema tuitafute elimu hata imetangaza kuwa, kuanzia na viburudisho vya aina meneja na walimu kwa kwa mwanafunzi mwenye uchina. Hivyo wanafunzi mwaka kesho (2017) wanafunzi mbalimbali. Mashairi ya jitihada walizozifanya katika nidhamu, aliyeongoza kwa walio hitimu, leo isiwe mwisho wote watasoma masomo ya kuwaaga wahatimu vidato kuisimamia shule. usafi, aliyeongoza kwa taaluma wa masomo yao bali hapa ni sayansi. Changamoto sasa ni mbalimbali yalighaniwa katika kipindi chote cha Alisema shukrani za dhati ni kama mwanzo. Wazazi wenye kuhakikisha vifaa kwa ajili kwa ufundi mkubwa ulio masomo yao. kwa waalimu wote waliotumia uwezo wasisite kuwaendeleza ya maabara vinapatikana ili yeyusha nyoyo za wasikilizaji. muda wao kwa kujitolea kwao. pale panapo wezekana wao kukidhi haja ili kuleta ufanisi Bashiruddin shaib mbawala na Mgeni rasmi alianza kuelezea Hakika nawashukuru sana kuendelea na masomo. katika masomo. Twahil Bilal ambao ni wanafunzi historia fupi ya ujenzi wa kwani ni kwa ushirikiano wao wa kidato cha tatu walighani shule zinazo endeshwa na Amir Sahib aliiombea Mwenyekiti wa kamati ya shule ndio shule yetu leo imefikia shairi lenye kibwagizo “wacha Jumuiya. Alisema miaka ya shule yetu kwa Allah ipate Sheikh Abdulrahman Ame hapa. ibaki stori, kwa form 4 ya 70 khalifa wa tatu wa Masihi mabadiliko makubwa ili iwe akiongezea katika maelezo tatu”. Wasichana wa kidato Aliyeahidiwa alianzisha Wazazi na wanafunzi ni chachu ya vijana watakao ya Meneja wa shule alisema, cha tatu nao walighani shairi mpango wa Nusrat Jahan mashahidi juu ya shule itumikia nchi na Jumuiya yetu. ni kweli yapo maendeleo lenye kibwagizo kisemacho (huduma kwa ulimwengu) ilivyoanza kwa udhalili sana. kadhaa yaliyopatikana hapa Baada ya maombi na kufunga “Tuwaombee salama, kwa ajili ya kuwasaidia Lakini leo Alhamdulillah. tangu tulivyoanza hadi hapa shughuli za jukwaani, kumbukeni mambo mema”. walimwengu. Katika upande Anatambua pia mchango tulipo. Pamoja na hayo ni ulifunguliwa uwanja wa Kidato cha kwanza waliwaaga wa Afrika Magharibi huduma wa wazazi kwa ushirikiano mpango wa kamati ya shule kupiga picha na pia wazazi ndugu zao kwa shairi lilosema hii imeendelea sana kwa walioutoa katika shule kuwa ni hapo baadae kuwa shule yetu kuwapongeza wanawao kwa “ Twawaombea Baraka, kujenga shule nyingi kinyume moja ya chachu ya mafanikio iwe na kidato cha tano na sita zawadi na mashada, shamra wapendwa msibadilike”. Na na Afrika ya Mashariki. yetu. ili kuwaendeleza vijana wetu shamra ambazo ni vema kama upande wa wahitimu Bilal katika elimu ya kiwango juu Shule hizi hazikuanzishwa kwa Aidha aliwashukuru utabahatika kusikia mahafali Kaluta alighani shairi la Inshallah. ubaguzi wa aina yoyote, iwe wanafunzi kwa kukaa shuleni mengine uhudhurie ili uwe kuwaaga waliobaki akisema dini au vinginevyo. Hatufanyi kwa nidhamu katika kipindi shuhuda wewe mwenyewe. Akitoa nasaha zake kabla ya “Tunawatakia heri, tunawaaga biashara katika shule zetu bali chote cha masomo yao. Hali Mahafali yaliandamana na kumkaribisha Mgeni Rasmi , kwa heri” na wasichana Zabib tunatoa huduma. Gharama hiyo imekuwa ni moja ya jambo maakuli,uwanja huu nao huwa Katibu wa Elimu wa jumuiya S.kazema na sharifa A.Ng’amilo tunazo toza ni kwa ajili ya linayo ipatia sifa njema shule ni vigumu kuelezea ladha tamu ya Waislama wa Ahmadiyya waliimba wimbo mzuri kwa huduma kwa wanafunzi yetu Alhamdulillah. ya vinywaji na vyakuwa vilivyo nchini Bw, Badru Musoke lugha ya kiingereza kuwaaga wenyewe. Maendeleo mengine andaliwa. aliwakumbusha wahitimu wadogo zao. Amir Sahib alisema amepokea yote hayafanyiki kutokana na jukumu kubwa lililo mbele pongezi kwa mzazi ambaye Baada ya mahafali, Kulikuwa pia na vijana wa vyanzo vya shule bali kutoka yao ni kufanya biashara na mtoto wake anasoma shuleni tunawaombea matokeo mazuri skauti ambao walitoa burudani mifuko yetu mingine ya Mwenyezi Mungu. Alisema hapa kwa kusema kuwa wahitimu hawa ili waweze nzuri kwa michezo mbalimbali Jamaat. hadi kuona shule hii imefikia mwanae amebadilika sana kuendelea mbele katika na pia kuonesha umahiri wao hapa, kuna juhudi kubwa Akijibu risala kuhusu tangu alipotoka shuleni petu. masomo. Amin . upande wa gwaride. Hakika zilozofanywa na vijana kama changamoto zinazo ikabili shule Alhamdulillah. mahafali yalifana kwa kiwango ninyi. Hivyo kuhitimu kwenu alisema, nimepokea matatizo kilicho stahili. kuwe ni mwanzo na chachu yaliyo katika risala kama Mgeni wa heshima Amir na ujenzi wa uzio na upungufu ya kuitumikia Jamaati yetu ili mje kuwasaidia ndugu zenu na Mbashiri mkuu wa Jumuiya wa makazi ya wanafunzi, Mzee Yusuf Kumbukumbu kwa rafiki yangu anayeteswa kwa ajili ya Imani Ngarombe Ametutoka

Wewe ni rafiki yetu Waishi moyoni mwetu E Saba Zafari wetu Sisi twakupenda sote

Wewe ni habibu wetu Mkazi wa macho yetu E Saba Zafari wetu Tunakukumbuka sote

Ewe mbashiri wetu Wewe ni fahari yetu E Saba Zafari wetu Mzee Yusuf Ngarombe ameaga dunia tarehe 10 Januari Sisi tunalia sote 2017 huko nyumbani kwake Nachingwea, Lindi.

Jambo ambalo hatuwezi katu kusubiri kuwaambia ni Leo wanacheka sana kwamba mzee Ngarombe alikuwa ni shujaa na mtetezi Polisi wa Pakistana wa imani yake. Vitisho vingi alivipata alipompokea E Saba Zafari wetu Masihi Aliyeahidiwa - Hadhrat Mirza Ghulam Ahmad Ukadhulimiwa sana a.s. lakini kama ilivyo ada kwa wale waliopata ‘ilmul yaqiin’ bw. Ngarombe kwa vitendo alionyesha kuithamini Tusubiri na onana imani yake kuliko kitu kingine chochote kile. Kwa mathalan uamuzi wa kaumua kutoka kilipo kitovu chake Kesho watalia sana sio uamuzi mdogo. Yeye alichukua hatua hiyo na kuwa E Saba Zafari wetu miongoni mwa Muhajrina wa mwanzo katika Jumuiya ya Mungu Anaona sana Ahmadiyya Tanzania. Kushoto ni Sheikh Saba Zafar ambaye amekamatwa na Habari zaidi kuhusu Mzee Yusuf Ngarombe zitaandikwa polisi nchini Pakistan kwa ‘kosa’ la ‘kufanya kazi kwenye kwenye toleo lijalo. Inshallah. ofisi ya tahrik Jadid’ mjini Rabwah. Kulia ni sheikh Ansar Hussain aliyepo hapa Tanzania (mtumzi wa shairi hili) MAKALA / MAONI Sulh 1396 HS Rabiu Thani 1438 AH Januari 2017 Mapenzi ya Mungu 11 Kumalizika na kuanza kwa mwaka wanyenyekevu kwa Allah katika kwamba kwa kufanya hivyo Kutoka uk. 12 Swali lingine ambalo tunahitaji katika mabishano au mjadala nyakati zote za furaha, misiba, wapate vitendo vyema na kujiuliza ni kwamba je wa kidini basi fanyeni hivyo kwa ajili ya kuwoanesha watu. ufaulu na umaskini badala ya wafikie kiwango cha juu tumejizuia dhidi ya vitendo vya kwa upole sana na staha. Kama Je matamanio yaliyojificha kuwa watovu wa nidhamu? kabisa cha Ucha Mungu na usaliti? Mtukufu Mtume s.a.w. mtu akiwatendea vibaya au ndani ya nyoyo zetu yako dhidi Iwapo ulimhoji Allah katika utawa na kusiwe na fitina wala alisema Usimfanyie hila hata akiwatukana basi semeni tu ya Allah. Masihi Aliyeahidiwa matatizo yaliyokufika basi matendo mabaya yanayoweza mtu yule ambaye anakuasi. Hiki Salaam na ondekeni katika a.s. ametupatia maelezo ya kina huwezi kuwa mwaminio wa kuwasogelea. Wawe ni watu ni kiwango kilicho mbele yetu. kikao hicho. Na msiwe wenye juu ya hili kwa kusema: kweli. Je tumejilinda dhidi ya ambao wanasali Sala tano Kisha, Je sisi tulijilinda na aina kwa siku, wanajiepusha na matusi au wenye tabia mbaya Kutangaza umoja wa Mungu tabia chafu na mila zisizofaa? zote za uovu? Mtukufu Mtume kutokuwa waaminifu, kamwe katika kujibu vinginevyo hakufikiwi kwa kutamka tu Mtukufu Mtume s.a.w. alisema s.a.w. alisema kwamba watu hawamdhuru yeyote kwa kutakuwa hakuna tofauti. ‘Lailaha ilAllah’ lakini mtu mila za namna hiyo na uzushi waovu kabisa ni wale wasio ulimi wao, kamwe hawafanyi Allah Anataka kuwafanyeni akabaki na kundi la masanamu (bidaa) zinapelekea kwenye watii. Kuna watu wanaopenda jambo lolote la kosa, na wawe nyote kuwa ile Jamaat ambayo moyoni mwake. Kila mtu upotevu, hivyo jiepusheni nazo. uwepo mtengano kupitia wasio na hata wazo la kufanya mnakuwa ni mfano wa anayetoa umuhimu zaidi masengenyo. Wanapenda Je tumejibidiisha kufuata amri tendo lolote la madhara, hivyo uchaMungu na wema kwa kila kwa kazi yake, kwa mipango kusambaza siri za watu na za Quran tukufu na mafundisho wanajizuia na vitendo vyote vya mtu. Humo muwaondoe watu yake na mbinu zake kuliko kuwaleza wengine. Watu ambao ya Mtukufu Mtume s.a.w. ? jinai, maneno mabaya, vitendo wote miongoni mwenu ambao ambavyo anatoa kwa Allah wanasababisha watu wengine Je tumejitahidi kujiepusha vyenye madhara, na hamasa ni mfano wa fitina, tabia mbaya au anamtegemea mtu fulani wasielewane hao ni waovu. moja kwa moja au angalau mbaya na matendo yasiyo ya na maovu. Mtu ambaye yumo zaidi kuliko anavyomtegemea Watu ambao wanawakwepesha kujaribu kujiepusha na kiburi kiuchaMungu. Na alisema katika Jumuiya yetu asiyeweza Allah kwa hitajio lake lolote, au watumishi wema wa dini na na kujionyesha? Baada ya shirk kwamba wawe ni watu wa kuishi ki kawaida, kiwema, anajitukuza zaidi mwenyewe Jamaat kutoka kwenye utii hao kosa kubwa kinalofuata ni kiburi Allah wenye moyo safi ambao kudumu katika matendo mema, kwa namna ambayo utukufu kwa hakika ndio watu waovu. na majivuno. Mtukufu Mtume hawaenezi mgogoro wowote na laini katika uzungumzaji na tabia huo alitakiwa autoe kwa Allah s.a.w. alisema mtu mwenye ambao ni wapole, watu wema za kiuchaMungu haruhusiwi basi katika hali hizi zote mtu Kisha kuna haja ya kujitathmini; kiburi hawezi kuingia peponi, na wasiwe na aina yoyote ya kuwa miongoni mwetu. Kwa huyo anafanya Shirki. Basi kuna Je tumesimamisha sala zetu na kiburi ni pale mtu anapokataa mawazo mabaya katika roho sababu Mungu wetu Hahitaji haja ya kuviangalia viwango tano kila siku kwa kudumu ukweli, anapowadhani wengine zao. Ni lazima iwe kanuni yao mtu wa aina hiyo aishi miongoni hivi kwa kina na kisha tujifanyie kwa mwaka mzima uliopita? kuwa duni na kuwatendea kwa kuwasaidia binadamu na wawe mwetu. Na mtu huyo bila shaka tathmini Allah ametuamrisha juu ya ubaya. wenye kumuogopa Allah na hatakuwa na Akhera nzuri kwa hilo sehemu kadhaa katika Kisha baada ya hayo kuna haja ya wailinde mikono yao na ndimi sababu hakufuata Quran tukufu. Mtukufu Mtume Na je tumejitahidi kufikia kutafakari iwapo kwamba katika zao na mioyo dhidi ya utovu s.a.w. alisema mtu kuacha viwango vya juu vya tabia Hivyo kaeni kwa hadhari na mwaka uliopita tumejilinda wa uchaMungu na ni lazima sala kunampelekea kwenye njema? Je tumejitahidi kushika kuweni na moyo mweupe na na uongo na tumetembea juu wasali mara tano kwa siku ushirikina na ukafiri. unyenyekevu na unyonge? asili ya upole na mtatambulika ya njia ya ukweli? Kwa mfano, Umuhimu wa kuwa mnyonge kwa unyenyekevu wa hali ya kwa kusali kwa wakati na iwapo tulikutana na mazingira Kisha kuna haja ya kujiuliza, unaweza kuonekana katika juu kabisa na wajilinde dhidi kwa khulka njema. Yeyote ambayo kusema ukweli Je tumesali sala za Tahajjud? dua ya Mtukufu Mtume s.a.w. ya kuwatendea watu vibaya, mwenye mbegu za maovu zilizo kungetuweka kwenye kupata Mtukufu Mtume s.a.w. alisema ambayo alikuwa akiomba: O uharamu, rushwa na upendeleo. kwenye moyo wake hatoweza hasara za kidunia, je hatukusema jitahidini kusali sala ya tahajjud Allah nijaalie niishi miongoni Wasikae na makundi mabaya. kujiunga nasi kwa muda mrefu. uongo. Masihi Aliyeahidiwa a.s. kwa kudumu kwani hiyo ni mwa wanyonge, unifishe nikiwa Na kwa hiyo hampaswi Inatakiwa kwamba mioyo yenu amesema: Kusema ukweli kuna njia ya kufikia utawa na wema. miongoni mwa wanyonge na mnatakiwa msiwe na uhusiano iwe haina taka za udanganyifu, gharama kubwa na ushahidi Kufanya hivyo kutakusaidia ukanifufue miongoni mwa wowote na mtu ambaye hatimizi mikono yenu ilindwe dhidi ya wake wa kweli ni ule wakati kupata mapenzi ya Allah. Pia wanyonge. Amri za Allah au ambaye hajali tendo lolote baya na macho ambapo maisha ya mtu, mali kusali tahajjud kunakukinga kutimiza haki za watu, au yenu yawe salama dhidi ya Kisha, je tuliendelea kuomba yake na heshima yake vipo na kufanya maovu, kunafuta ambaye tabia yake ni ya kifitina uchafu wowote na ndani yenu na kuwakumbusha watoto hatarini. makosa na kunaleta afya ya au ambaye hana uchaMungu kusiwe na chochote isipokuwa wetu wawe watiifu kwa kimwili pia. katika vitendo vyake au ambaye ucha Mungu na uwezo wa Kisha kuna swali jingine, je Masihi Aliyeahidiwa a.s. na hana fikara nzuri kuhusu Masihi kuhisi mahitaji ya viumbe wa tumejiepusha na yale mambo Kisha kuna swali lingine la kuzidi kuboreka kila siku? Aliyeahidiwa (as) na ambaye Allah. Ninategemea kutoka ambayo yanaingiza mawazo kujiuliza. Je tumeleta Durood Je tumefikia kiwango cha anawadhuru watu wengine kwa kwa marafiki zangu wote maovu nyoyoni? Kwa mfano (kumsalia Mtukufu Mtume kumtii Masihi Aliyeahidiwa matendo mabaya. wanaoishi pamoja nami hapa katika dunia ya leo kuna s.a.w.) kwani hiyo ni moja a.s. kiasi hiki kwamba mambo Qadian kwamba watakuwa ni televisheni na intaneti ambazo ya amri za Allah na ni njia mengine yanakuja baadae? Je Hivyo jitengeni na kuwa na mfano bora katika shughuli kuna vipindi vingi sana ambavyo ya kuyafanya maombi yetu tumeomba ili tuendelee kubaki urafiki wa aina yoyote au zao zote na watu. Sitaki mtu kwa kuviangalia vinapelekea yakubaliwe. Mtukufu Mtume kuwa watiifu kwa Ukhalifa? Je uhusiano na mtu ambaye yeyote awe ni sehemu ya Jamaat kwenye mawazo machafu, je s.a.w. alisema iwapo utaomba wazazi wote wamewaelekeza hana heshima kwa Masihi hii ambaye tabia zake ni za tulijikinga na kuangalia vipindi lolote bila ya kuleta Durood watoto wao juu ya umuhimu Aliyeahidiwa (as). Lakini hii mashaka mashaka, au ana aina hivyo? Iwapo tunaangalia basi ombi hilo linabaki baina ya wa Ukhalifa na wamewaongoza haina maana kuwa muache nyingine yoyote ya uchafu. michezo michafu na vipindi mbingu na ardhi. Hivyo maombi ili wabaki kuwa watiifu kwa kueneza neno la Allah. Jilindeni Hivyo kama tukipata lalamiko ambavyo vinayapeleka mawazo yenu hayawezi kufika mbele ya Ukhalifa, na je tumeomba ili tu na watu ambao wanamtukana dhidi ya yeyote kwamba kwa yetu mbali na ahadi tuliyofunga Allah iwapo hamkuyapa nguvu Allah awape mwelekeo huo. Masihi Aliyeahidiwa (as) na makusudi anaacha majukumu basi hali yetu inatakiwa itutie kwa Durood. Je tumemuombea Khalifa wanaitukana Jamaat na ambao hofu. Mambo haya humsukuma wanakaidi ukweli kwamba yake kwa Allah, au ni sehemu Pia inabidi tujiulize iwapo kwa kudumu na tumeiombea mtu kwenye ‘Zina’ Masihi Aliyeahidiwa (AS) ndiye ya mikusanyiko michafu au tumeendelea kuomba maghofira Jamaat? Masihi wa zama. kama ana aina nyingine za Kisha kuna swali jingine, sana. Mtukufu Mtume s.a.w. Basi iwapo majibu ya maswali tabia mbaya basi ataondolewa Je tumejilinda dhidi ya alisema mtu ambaye anaomba hayo ni Ndiyo, basi pamoja Masihi Aliyeahidiwa (AS) katika Jamaat yetu. Shamba kutazama kusikoruhusiwa na maghofira na kutubu kwa na madhaifu na mapungufu kisha anasema kwamba kamwe ambalo limeandaliwa kwa bado tunaendelea kujilinda? Allah kwa kudumu Allah tuliyonayo tutakuwa tumepata usinuie kumdhuru yeyote juhudi kubwa kabisa na baadae Kuhusiana na kuyalinda macho, Anamfanyia njia za kuepukana faida kwa mwaka uliopita lakini kutoka katika dini yoyote au mimea yake inamea, miongoni hii ni amri kwa wanaume na na ugumu katika mambo yake iwapo majibu ya baadhi ya taifa lolote au kabila lolote. mwao kunapatikana baadhi ya wanawake pia. Wanaume na na Anamrahisishia njia zake maswali ni Hapana basi hiyo Kuwa msaidizi wa kweli kwa nyasi pia ambazo zinapaswa wanawake wote wanaamriwa za kupata riziki kwa namna ni hali ya kutisha na inatubidi kila mtu na kamwe usimruhusu kuondolewa. Kama hivyo kuinamisha macho yao chini na ambayo mwenyewe hawezi tutafakari sana juu ya hali zetu. yeyote miongoni mwa aina ile mfanyiko wa aina hiyo wa kiasili kulinda heshima zao. kuwaza kwamba inaweza ya watu wenye tabia mbaya umewekwa. Lakini Jamaat yetu kutokea hivyo. Allah Atusaidie ili tuweze waingie kwenye kundi lenu kamwe haiwezi kuangamizwa Kisha kuna swali jingine, Je kuyajenga maisha yetu sawa au majumbani kwa sababu Pia kuna haja ya kutafakari na ninajua kwamba watu ambao tumejilinda dhidi ya migogoro na mafundisho haya ya Masihi kama watakuwa karibu yenu, iwapo tumeendelea kuzama kweli ni sehemu ya Jamaat ya kijamii na machafuko? Aliyeahidiwa a.s. Ameen. mtateseka. Haya ni masharti katika kumkumbuka na yetu mioyo yao imefinyangwa Mtukufu Mtume s.a.w. alisema ambayo nimekuwa nikiyarudia kumtukuza Allah. Mtukufu Allah Atusaidie kutimiza ahadi na Allah kwa namna ambayo kutumia maneno ya kuudhi tokea mwanzoni. Kila Mtume s.a.w. amesema kazi zetu tulizofanya na Atujaalie kwamba kwa ukweli wanajizuia dhidi ya mwaminio ni “Fisq” mwanajumuiya katika Jumuiya yoyote ambayo inafanywa bila kuutumia umri wetu kwa kupata na maovu na wanapenda (Uovu). yangu anatakiwa kuyafuata na ya kumtukuza na kumsifu Allah radhi za Allah na Atujaalie uchaMungu. Na ninategemea Kisha kuna haja ya kujiuliza sisi mikutano yenu isiwe na uchafu inabaki na upungufu. Inakosa tuweze kuishi sawa na matarajio kwamba wataacha mfano mzuri wenyewe iwapo tumejikinga na wowote au porojo au dhihaka baraka na uzuri ndani yake. ya Masihi Aliyeahidiwa a.s. na kwa watu wengine. aina zote za uonevu. Mtukufu na tembeeni mkiwa na mioyo Atufanye tuwe mifano mema Allah Atusamehe madhambi Mtume s.a.w. alisema kuchukua Pia, Je tumebaki na hadharai kwa wengine, Ameen. safi na mawazo safi. Kumbukeni ardhi ya mtu mwingine hata ya kutokuwaudhi wengine kwamba kila fitina isijibiwe na yetu na Atushushie baraka Zake. kwa upana wa kiganja au hata wawe ni jamaa zetu au laa. Je Masihi Aliyeahidiwa (AS) jaribuni kuacha baadhi ya hali Allah Atufanye tushuhudie kuchukua sehemu iliyo kama mikono yetu na ndimi zetu alisema: ‘Jamaat yangu yote zijipitie na jifunzeni kusamehe mafanikio yaliyokadiriwa kwa kijiwe kidogo ni kinyume na zimejizuia kuwaudhi wengine? waliopo hapa na wengine na kuonyesha subira. Jamaat ya Masihi Aliyeahidiwa Je tumewasamehe waliotukosea wausikilize ushauri huu kwa a.s. Allah Aujaalie mwaka ujao sheria ni ukatili na ni kumuumiza Kamwe msifanye shambulio kwa mwaka uliopita? Je umakini sana kwamba wale uwe wa baraka tele na mipango mwingine. Hivyo hivi ni kwa yeyote kwa njia zisizo za unyenyekevu na upole walioingia katika Jamaat hii na ya maadui isifanikiwe. Ameen. viwango ambavyo tunatakiwa halali. Na jaribuni kuzidhibiti vimekuwa ni sehemu kubwa ya wanahusiana nami wakiwa ni tujipime sisi wenyewe. jazba zenu. Kama mkiwa tabia zetu? Je tumebaki kuwa wafuasi wangu, inakusudiwa The First Muslim Newspaper in Kiswahili Language since 1936

Kutoka Hadithi za Mtume Mtukufu s.a.w Imesimuliwa na Hadhrat Abu Dharr r.a. ya kwamba Mjumbe wa Allah s.a.w. alimwambia: Usiudharau Mapenzi ya Mungu wema wowote ule hata kukutana na nduguyo kwa uchangamfu. (Muslim). Rabiu Thani 1438 AH JANUARI 2017 Sulh 1396 HS Kumalizika na kuanza kwa mwaka kutupatie tafakuri - Khalifa Mtukufu kama vile Wachina na Wahindu. tunaweza kutathmini matendo Na Mwandishi Wetu, Vinginevyo kila hatua yetu iwe Inaonekana kutumika katika Hivyo siku ya mwisho ya yetu na hali zetu za kiroho. ni kuelekea kwenye kutafuta Dar es Salaam dini nyingi pia. Kabla ya Islam mwaka huagwa kwa maovu na Iwapo viwango hivi vitawekwa radhi za Allah. Kila siku yetu iwe Waarabu walitumia kalenda ile ya mwanzo hukaribishwa kwenye mizani basi kwa hakika ni dhihirisho la mfano bora wa Hadhrat Khalifatul Masih V ya kimwezi kuhesabu idadi ya kwa maovu. Watu walio wengi tutaweza kufikia viwango vya Mtukufu Mtume s.a.w. Mausiku (atba) alitoa hotuba katika siku. Duniani leo kalenda ya hawajali maswala ya dini hivyo kuwa waumini wa kweli kabisa. yetu na michana yetu itumike msikiti wa Baitul Futuh kijua inatumika zaidi na hivyo hawawezi kutarajiwa kufikia vile kwa namna ambayo itatusaidia mjini London, ambapo Kila Ahmadiyya amechukua karibu kila taifa na kila nchi viwango ambavyo mwaminio kutimiza ahadi zetu kwa Masihi aliwakumbusha wanajumuiya Bait na kupitia hiyo Masihi imeamua kuitumia hiyo katika wa kweli anaweza kuvifikia. Aliyeahidiwa a.s. kwamba kumalizika na kuanza Aliyeahidiwa a.s. ametupatia kuhesabu siku. Adhama ya mwaminio wa kweli masharti ya kufuata na pia kwa mwaka kutupatie nafasi ya haimo katika kukata kwake Ahadi ile ambayo inatuuliza: Hivyo kwa kufuata hiyo alitarajia kutoka kwa kila kujirekebisha zaidi. tamaa juu ya hali hii ya dunia Je hatukutenda jambo lolote la Disemba 31 ni siku ya mwisho Ahmadiyya kujitathmini tu bali hasa ni kujitathmini kishirikina? Na hii sio shirki ile Baada ya Salamu, Tashahhud, wa kila mwaka na Januari 1 mwenyewe kila siku, kila wiki, na kujikagua juu ya mwaka ya kuabudu sanamu tu bali sawa Taaudh na kusoma Suratul inasherehekewa kama siku ya kila mwezi na kila mwaka. uliopita. Ni kipi tumepata na na kauli ya Mtukufu Mtume Faatiha, Huzur Aqdas a.t.b.a. kuanza mwaka mpya. Hata kipi tumekikosa katika mwaka Lakini iwapo nasi tutajiingiza s.a.w.; hii ni hata shiriki ile ya alisema: hivyo, miaka inakuja, miezi huu? kwenye matamanio na mapenzi kudunisha matendo mema au Mwaka mpya InshaaAllah kumi na mbili inapita ama iwe ya kidunia basi hapo tutapoteza kutokutenda matendo mema. Je utaanza siku mbili zijazo. Sisi kwa hesabu ya kimwezi au kijua Sisi Waahmadiyya ni wenye mengi na hatutopata chochote. Sala zetu, Saumu zetu, kujitolea Waislamu tunaanza mwaka lakini watu wa kidunia hutumia bahati kwamba kwa kumfuata Iwapo madhaifu yetu bado kwetu kifedha, kazi zetu za mpya kwa kutumia kalenda siku zao, miezi yao na miaka Masihi Aliyeahidiwa a.s. yametuzidi nguvu na tathmini kuuhudumia ubinadamu na ya kimwezi na pia kalenda yao kwa mambo ya kidunia na Allah ametupatia maelezo ya binafsi haitupatii utulivu muda wetu tunaoutumia katika ya kijua. Hesabu ya mwaka starehe za kidunia tu. muhtasari wa mafundisho nyoyoni basi tunahitajika kazi za Jamaat, je vyote hivyo Yake na mafundisho ya Mtume inayotumia mwezi haifuatwi na Watu hukesha usiku kucha tumuombe sana Allah kwamba tulivifanya kwa ajili ya kupata Wake s.a.w. na Ametuonyesha Waislamu tu bali tangu zama za wakipitisha muda wao kwa mwaka ujao Atujaalie tusiwe radhi za Allah tu au tulivifanya viwango vya hali ya juu kale ilifuatwa na mataifa mengi sherehe na kunywa pombe. miongoni mwa wale ambao kabisa ambavyo kupitia hivyo wameanguka chini kiroho. Endelea uk. 11 Mahafali ya Kidato cha Nne Ahmadiyya Na Mwandishi Wetu, Sekondari Yafana Dar es Salaam Akigusia ufaulu wa shule , Mkuu wa shule alisema, Tarehe 13 November, 2016 kwetu ni jambo la kujivunia katika eneo la Jumuiya ya pale tunapoona vijana wetu Waislam wa Ahmadiyya wakichaguliwa kujiunga na lililopo nje kidogo ya Jiji la Dar kidato cha tano katika shule es salaam ambapo ndipo ilipo zenye majina makubwa kama shule ya Ahmadiyya Sekondari vile Iyunga, Songea girls, - Kitonga, kulirindima hoi Loleza, Tambaza, Benjamin hoi, nderemo na vifijo katika William Mkapa na kadhalika kusherehekea kuhitimu kwa bila shaka ni viashiria bora vya wanafunzi wa kidato cha nne. ufaulu mzuri wa wanafunzi Alhamdulillahi. wetu na pia Baraka za Katika ukumbi yalipofanyika Ahmadiyya. mahafali hayo, kulisheni Akimalizia kwa kuwaasa Wanaume kwa wanawake, wanafunzi alisema, sisi walimu wazee kwa vijana, watoto kwa ni matumaini yetu makubwa wakubwa . Alimuradi watu wa sasa kuwa mtaenda kuwa kila rika walihudhuria kushiriki mfanobora kwa jamii kwa hafla hiyo. Haya ni mahafali ya sababu mnatoka Ahmadiyya tatu tangu kuanzishwa kwa Sekondari. Hatutegemei shule hii mnamo mwaka 2011. Wanafunzi waliohitimu Kidato cha Nne 2016 Katika shule ye Ahmadiyya Kitonga wasichana kuziona nyuso zenu Ufunguzi wa shughuli hii wakiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya walimu wao mara baada ya mahafali. mitandaoni, bali mkajiendeleze ulianza kwa usomwanji wa kusoma msiishie hapa ili Quran tukufu iliyosomwa na tuje kupokezana vijiti katika Mmoja wa wahitimu Fadhlillah shukrani walizozitoa , walieleza shule Mwalimu Issa Kayombo, niwashukuru wadau wote kulitumikia taifa na Jumuiya A. Ame na kufuatiwa na shairi changamoto kadhaa walizo kwanza aliwashukuru wadau wa Elimu kwa michango yao yetu. kabiliana nazo katika kipindi wote wa elimu alisema, sisi lakini kwa umuhimu niwataje zuri lililosomwa na wanafunzi Pamoja na mengi aliyo wasichana wa kidato cha tatu chote cha masomo na kuomba kama walimu tumefana kamati ya shule, Meneja zitatuliwe ili ndugu zao wanao kazi mliyotukabidhi kwa wa shule, wazazi, walimu, yaeleza Meneja wa shule Bw, ikiwa ni shairi la kuwaaga Musa Mgeleka kuhusiana ndugu zao kidato cha nne. baki, wapate maridhawa bora kiasi kikubwa na tunaamini watumishi wengine wa shule ya masomo ili kuongeza ufanisi Mwenyezi Mungu atabariki na wanafunzi kwa ushirikiano na maendeleo ya ujenzi wa Katika risala ya wanafunzi kwa wao. kazi ya mikono yetu. wao, lakini hasa wewe mgeni mgeni wa heshima, pamoja na rasmi kwa jitihada zako. Katika salamu zake mkuu wa Katika hili, naomba Endelea uk. 10