Nakala Ya Mtandao (Online Document)
Total Page:16
File Type:pdf, Size:1020Kb
Load more
Recommended publications
-
Majadiliano Ya Bunge ______
NAKALA YA MTANDAO (ON LINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ___________ MAJADILIANO YA BUNGE ______________ BUNGE LA KUMI NA MOJA ___________ MKUTANO WA KWANZA Kikao cha Kwanza - Tarehe 17 Novemba, 2015 (Bunge lilianza Saa Tatu Asubuhi) DKT. THOMAS D. KASHILILAH - KATIBU WA BUNGE: Naomba tukae. TANGAZO LA RAIS LA KUITISHA MKUTANO WA BUNGE DKT. THOMAS D. KASHILILAH - KATIBU WA BUNGE: Waheshimiwa Wabunge, kwa mujibu wa masharti ya Katiba, Mkutano huu wa Kwanza unaanza kwa Rais kuuitisha. Naomba kuchukua nafasi hii kusoma Tangazo la Rais kama ambavyo tumelipokea. Tangazo la Serikali Na. 513 la tarehe 6 Novemba, 2015. Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Sura ya Pili, hati iliyotolewa kwa mujibu wa Ibara ya 90(1). Hati ya Kuitisha Mkutano wa Bunge Jipya. KWA KUWA, Uchaguzi Mkuu ulifanyika tarehe 25 Oktoba, 2015 katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977; NA KWA KUWA, masharti ya Ibara ndogo ya kwanza ya Ibara ya 90 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, yanamtaka Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuitisha Mkutano wa Bunge Jipya kabla ya kupita siku saba tangu Tume ya Uchaguzi kutangaza matokeo ya Uchaguzi Mkuu; NA KWA KUWA, matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika tarehe 25 Oktoba, 2015 yalitangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi tarehe 29 Oktoba, 2015; HIVYO BASI, mimi John Pombe Joseph Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa mamlaka niliyonayo chini ya Ibara ya 90(1) ya 1 NAKALA YA MTANDAO (ON LINE DOCUMENT) Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, naitisha Mkutano wa Bunge Jipya la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ufanyike katika ukumbi wa Bunge uliopo Mjini Dodoma tarehe 17 Novemba, 2015 kuanzia saa tatu asubuhi. -
Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA BUNGE LA TANZANIA MKUTANO WA KUMI NA SITA NA KUMI NA SABA YATOKANAYO NA KIKAO CHA NNE (DAILY SUMMARY RECORD OF PROCEEDINGS) 7 NOVEMBA, 2014 MKUTANO WA KUMI NA SITA NA KUMI NA SABA KIKAO CHA NNE – 7 NOVEMBA, 2014 Kikao kilianza saa 3:00 Asubuhi kikiongozwa na Mhe. Job Y. Ndigai, Mb Naibu Spika ambaye alisoma Dua. MAKATIBU MEZANI 1. Ndg. Charles Mloka 2. Ndg. Lina Kitosi 3. Ndg. Hellen Mbeba I. MASWALI YA KAWAIDA Maswali yafuatayo yaliulizwa na wabunge na kupitia majibu Bungeni:- 1. Ofisi ya Waziri Mkuu – swali na. 38 la Mhe. Anne Kilango 2. Ofisi ya Waziri Mkuu – swali na. 39 la Mhe. Salum Khalfan Barwary 3. Ofisi ya Waziri Mkuu – swali na. 40 la Mhe. Moses Joseph Machali 4. Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi – swali na. 41. La Mhe. Omar Rashid Nundu 5. Wizara ya Maendeleo ya Mifungo na Uvuvi – swali na. 42. La Mhe. Hilda Ngoye 6. Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi – swali na. 43. La Mhe. Zitto Kabwe Zuberi 7. Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Tecknolojia – swali na. 44 –la Mhe. Murtaza Mangungu 8. Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia - swali na. 45-la Mhe. Godfrey Mgimwa 9. Wizara ya Katiba na Sheria - swali na. 46 – la Mhe. Neema Mgaya Hamid 2 10. Wizara ya Katiba na Sheria- swali na. 47 – la Mhe. Assumpter Mshana 11. Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo – swali na. 48 la Mhe. Khatib Said Hji. 12. Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo - swali na. 49 la Mhe. -
NCT NEWSLETTER Final Design
ISSN: 2683-6564 NATIONAL COLLEGE OF TOURISM NCTNEWSLETTER VOL 1 JULY - SEPT 2019 WELCOME NATIONAL COLLEGE OF TOURISM “A Ladder to Excellence” TABLE OF CONTENTS Greetings from NCT’s CEO 2 NCT Long Courses 4 NCT Certified Apprenticeship 5 NCT Short Courses 6 NCT Services 7 NCT Stakeholders Involvement 8 NCT Sta Engagement 9 NCT Technology 10 NCT Future Plans 11 NCT Board Members 12 GREETINGS FROM NCT’s CEO 1 The National College of Tourism (NCT) is a public institution under the Ministry of Natural Resources and Tourism with the mandate to oer training, research and consultancy services in hospitality and tourism. To enhance communication with stakeholders, NCT is delighted to introduce its quarterly newsletter, in which we shall be sharing insights and news regarding our guests and activities to improve Tourism and Hospitality through training and best practices. With more than 50 years of experience, we continue to be committed to oering high quality educa- tion and training to everyone wishing to take up a lucrative career in the Hospitality and Tourism industry. It is in this spirit that we thank you for your interest in joining the National College of Tourism and welcome you to experience Tanzania like never before. It still feels like my first month at work with all this enthusiasm, growth and creativity within me. This has been supported endlessly by the NCT staff as well as the Ministry of Natural Resourc- es and Tourism. Image We stand prepared to improve the training environment for our students, offer quality education and to provide the industry with able minded and well groomed candidates. -
TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2013: Who Will Benefit from the Gas Economy, If It Happens?
TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2013: Who will benefit from the gas economy, if it happens? TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2013: Who will benefit from the gas economy, if it happens? TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2013 Who will benefit from the gas economy, if it happens? Supported by: 2 TANZANIA GOVERNANCE REVIEW 2013: Who will benefit from the gas economy, if it happens? ACKNOWLEDGEMENTS Policy Forum would like to thank the Foundation for Civil Society for the generous grant that financed Tanzania Governance Review 2013. The review was drafted by Tanzania Development Research Group and edited by Policy Forum. The cartoons were drawn by Adam Lutta (Adamu). Tanzania Governance Reviews for 2006-7, 2008-9, 2010-11, 2012 and 2013 can be downloaded from the Policy Forum website. The views expressed and conclusions drawn on the basis of data and analysis presented in this review do not necessarily reflect those of Policy Forum. TGRs review published and unpublished materials from official sources, civil society and academia, and from the media. Policy Forum has made every effort to verify the accuracy of the information contained in TGR2013, particularly with media sources. However, Policy Forum cannot guarantee the accuracy of all reported claims, statements, and statistics. Whereas any part of this review can be reproduced provided it is duly sourced, Policy Forum cannot accept responsibility for the consequences of its use for other purposes or in other contexts. ISBN:978-9987-708-19-2 For more information and to order copies of the report please contact: Policy Forum P.O. Box 38486 Dar es Salaam Tel +255 22 2780200 Website: www.policyforum.or.tz Email: [email protected] Suggested citation: Policy Forum 2015. -
Ruaha Journal of Arts and Social Sciences (RUJASS), Volume 7, Issue 1, 2021
RUAHA J O U R N A L O F ARTS AND SOCIA L SCIENCE S (RUJASS) Faculty of Arts and Social Sciences - Ruaha Catholic University VOLUME 7, ISSUE 1, 2021 1 Ruaha Journal of Arts and Social Sciences (RUJASS), Volume 7, Issue 1, 2021 CHIEF EDITOR Prof. D. Komba - Ruaha Catholic University ASSOCIATE CHIEF EDITOR Rev. Dr Kristofa, Z. Nyoni - Ruaha Catholic University EDITORIAL ADVISORY BOARD Prof. A. Lusekelo - Dar es Salaam University College of Education Prof. E. S. Mligo - Teofilo Kisanji University, Mbeya Prof. G. Acquaviva - Turin University, Italy Prof. J. S. Madumulla - Catholic University College of Mbeya Prof. K. Simala - Masinde Murilo University of Science and Technology, Kenya Rev. Prof. P. Mgeni - Ruaha Catholic University Dr A. B. G. Msigwa - University of Dar es Salaam Dr C. Asiimwe - Makerere University, Uganda Dr D. Goodness - Dar es Salaam University College of Education Dr D. O. Ochieng - The Open University of Tanzania Dr E. H. Y. Chaula - University of Iringa Dr E. Haulle - Mkwawa University College of Education Dr E. Tibategeza - St. Augustine University of Tanzania Dr F. Hassan - University of Dodoma Dr F. Tegete - Catholic University College of Mbeya Dr F. W. Gabriel - Ruaha Catholic University Dr M. Nassoro - State University of Zanzibar Dr M. P. Mandalu - Stella Maris Mtwara University College Dr W. Migodela - Ruaha Catholic University SECRETARIAL BOARD Dr Gerephace Mwangosi - Ruaha Catholic University Mr Claudio Kisake - Ruaha Catholic University Mr Rubeni Emanuel - Ruaha Catholic University The journal is published bi-annually by the Faculty of Arts and Social Sciences, Ruaha Catholic University. ©Faculty of Arts and Social Sciences, Ruaha Catholic University. -
Issued by the Britain-Tanzania Society No 124 Sept 2019
Tanzanian Affairs Issued by the Britain-Tanzania Society No 124 Sept 2019 Feathers Ruffled in CCM Plastic Bag Ban TSh 33 trillion annual budget Ben Taylor: FEATHERS RUFFLED IN CCM Two former Secretary Generals of the ruling party, CCM, Abdulrahman Kinana and Yusuf Makamba, stirred up a very public argument at the highest levels of the party in July. They wrote a letter to the Elders’ Council, an advisory body within the party, warning of the dangers that “unfounded allegations” in a tabloid newspaper pose to the party’s “unity, solidarity and tranquillity.” Selection of newspaper covers from July featuring the devloping story cover photo: President Magufuli visits the fish market in Dar-es-Salaam following the plastic bag ban (see page 5) - photo State House Politics 3 This refers to the frequent allegations by publisher, Mr Cyprian Musiba, in his newspapers and on social media, that several senior figures within the party were involved in a plot to undermine the leadership of President John Magufuli. The supposed plotters named by Mr Musiba include Kinana and Makamba, as well as former Foreign Affairs Minister, Bernard Membe, various opposition leaders, government officials and civil society activists. Mr Musiba has styled himself as a “media activist” seeking to “defend the President against a plot to sabotage him.” His publications have consistently backed President Magufuli and ferociously attacked many within the party and outside, on the basis of little or no evidence. Mr Makamba and Mr Kinana, who served as CCM’s secretary generals between 2009 to 2011 and 2012-2018 respectively, called on the party’s elders to intervene. -
Majadiliano Ya Bunge ______
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ___________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA NANE Kikao cha Thelathini na Tisa – Tarehe 2 AGOSTI, 2012 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) DUA Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati ifuatayo iliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI: Randama za Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa Mwaka wa Fedha 2012/2013. SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, naomba mzime vipasa sauti vyenu maana naona vinaingiliana. Ahsante Mheshimiwa Naibu Waziri, tunaingia hatua inayofuata. MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Leo ni siku ya Alhamisi lakini tulishatoa taarifa kwamba Waziri Mkuu yuko safarini kwa hiyo kama kawaida hatutakuwa na kipindi cha maswali hayo. Maswali ya kawaida yapo machache na atakayeuliza swali la kwanza ni Mheshimiwa Vita R. M. Kawawa. Na. 310 Fedha za Uendeshaji Shule za Msingi MHE. VITA R. M. KAWAWA aliuliza:- Kumekuwa na makato ya fedha za uendeshaji wa Shule za Msingi - Capitation bila taarifa hali inayofanya Walimu kuwa na hali ngumu ya uendeshaji wa shule hizo. Je, Serikali ina mipango gani ya kuhakikisha kuwa, fedha za Capitation zinatoloewa kama ilivyotarajiwa ili kupunguza matatizo wanayopata wazazi wa wanafunzi kwa kuchangia gharama za uendeshaji shule? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (ELIMU) alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Vita Rashid Kawawa, Mbunge wa Namtumbo, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Spika, Serikali kupitia Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) imepanga kila mwanafunzi wa Shule ya Msingi kupata shilingi 10,000 kama fedha za uendeshaji wa shule (Capitation Grant) kwa mwaka. -
Issued by the Britain-Tanzania Society
Tanzanian Affairs Issued by the Britain-Tanzania Society No 119 Jan 2018 President Magufuli cites successes, while activists cry foul Peacekeepers killed in Eastern DRC Action in Maasai land dispute Ben Taylor: PRESIDENT MAGUFULI CITES SUCCESSES, WHILE ACTIVISTS CRY FOUL President Magufuli marked his first two years in office by celebrating ten key achievements. The Director General of Tanzania Information Services and Chief government spokesman, Hassan Abbasi, listed these as: •Restoration of discipline among public servants resulting in an increase of productivity in service delivery. •Control of government expenditure and enhancemant of value for money in all state funded projects. This included the removal of 32,000 names from the government payroll who were either ghost workers or public servants holding fake academic certificates, saving a total of TShs 378 billion. •The anti-corruption war, including the establishment of an anti-graft court, the dismissal of dishonest public officials and the arrest of the alleged masterminds behind the Escrow case. Tundu Lissu is greeted in hospital by fellow Chadema member Edward Lowassa. cover photo: UN memorial ceremony in Beni, eastern Congo for Tanzanian peacekeepers killed by rebels (Al-Hadji Kudra Maliro) President Magufuli cites successes... 3 •Increased control on the protection of natural resources such as minerals, including the signing of three mineral laws and changes which laid reforms in the extractive industry. •Cost cutting measures that saw fewer foreign trips by government officials and cuts in the budgets for unnecessary workshops. •Moving the government capital to Dodoma; Mr Abbasi described this as “a dream for a long time, at the beginning no one expected it would be possible, but the dream has become true.” •Reduced dependency on donors when it comes to implementing development projects. -
CCM Imefeli Visiwani
Mpenzi msomaji kuanzia Februari 19, 2015 ANNUUR litapatikana kwa Shs 800/= tu Sauti ya Waislamu JINAMIZI LA UDINI TANZANIA: Sheikh Suleiman Takadir, “Askofu Makarios” ISSN 0856 - 3861 Na. 1164 RABIUL THANI 1436, IJUMAA , FEBRUARI 13-19, 2015 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Uk.14 Al-Shabaab asilimisha wafungwa Segerea Aliingia Collins atoka akiwa Muhammad Sheikh Msellem ampa ‘Kalima Shahada’ MUHAMMAD Javan Omundi, Mkenya aliyesilimu akiwa gerezani Segerea Jijini Dar es Salaam. Ghasani, hili ndio kosa la Wazanzibari…. Kila uchochoro Mji Mkongwe akina ‘William’ wanaona gaidi Ila kama ni balaa wataleta Wazungu na… Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpa zawadi mwenyeji wake Sultani wa Oman Qaboos bin Said Al Said katika kasri ya AL Alam jijini Muscat Oman, wakati Wanaopiga kampeni za chuki kanisani wa ziara yake nchini humo mwaka jana. Sio hizi porojo za Waarabu wa Oman CCM imefeli Visiwani CUF yahitaji kubadilika haraka La sivyo itakuwa haichaguliki IPO haja kwa CUF Wanahitaji na kutaraji vipande vya kupigia kubadilika haraka vyama vyao vya siasa kura kwa vyama iwezakanavyo, la wanavyoviamini na vyengine. sivyo, wafuasi wake kuvikubali kuwa Maana vyama wataikimbia, ingawa vitawafikisha pazuri. vyote viwili, CUF hawatarejea CCM. Lakini huenda na CCM, vyaelekea Zanzibar wanahitaji watakubali wasipige kufanana kwa kila MMOJA wa waliokuwa mabadiliko. kura au wauze hali! (Soma Uk.8) MHE. William Lukuvi Masultan wa Zanzibar. AN-NUUR 2 Tahariri/Makala ya Mtangazaji RABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 13-19, 2015 AN-NUUR Palestine opens first Western Europe embassy in Sweden S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786 Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. PALESTINE has opened its www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected] first embassy in Western Ofisi zetu zipo: Manzese Tip Top Europe in the Swedish Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam capital city of Stockholm amid Israel’s anger. -
Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Bunge La Tanzania
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA BUNGE LA TANZANIA MKUTANO WA KUMI NA SITA NA KUMI NA SABA YATOKANAYO NA KIKAO CHA KUMI NA TISA (DAILY SUMMARY RECORD OF PROCEEDINGS) 28 NOVEMBA, 2014 MKUTANO WA KUMI NA SITA NA KUMI NA SABA YATOKANAYO NA KIKAO CHA KUMI NA TISA (SUMMARY RECORD OF PROCEEDINGS – NINETEENTH SITTING) TAREHE 28 NOVEMBA, 2014 I. DUA: Mhe. Spika Anne S. Makinda alisoma Dua saa 3.00 asubuhi na Kikao kiliendelea. MAKATIBU MEZANI: 1. Ndg. Theonest Ruhilabake 2. Ndg. Lawrence Makigi 3. Ndg. Neema Msangi II. MASWALI Maswali yafuatayo yaliulizwa na kujibiwa; 1. OFISI YA WAZIRI MKUU Swali Na. 229: Mhe. Hamoud Abuu Jumaa Nyongeza: (i) Mhe. Hamoud Abuu Jumaa (ii) Mhe. Murtaza Ally Mangungu Swali Na. 230: Mhe. Suzan A. J. Lyimo Nyongeza: (i) Mhe. Suzan A. J. Lyimo (ii) Mhe. Michael L. Laizer (iii) Mhe. Mch. Peter Msigwa Swali Na. 231: Mhe. Ismail Aden Rage [kny: Mhe. Dkt. Hamis Kigwangalla] Nyongeza: (i) Mhe. Ismail Aden Rage (ii) Mhe. Ezekia Dibogo Wenje 2 2. WIZARA YA NISHATI NA MADINI Swali Na. 232: Mhe. Faith Mohammed Mitambo [kny: Mhe. Fatma Mikidadi] Nyongeza: (i) Mhe. Faith Mohammed Mitambo Swali Na. 233: Mhe. John Paul Lwanji Nyongeza: (i) Mhe. John Paul Lwanji (ii) Mhe. Joseph Osmund Mbilinyi Swali Na. 234: Mhe. John Damiano Komba [kny. Mhe.Juma Abdallah Njwayo] Nyongeza: (i) Mhe. John Damiano Komba (ii) Mhe. Mtutura Abdallah Mtutura (iii) Mhe. Moshi Selemani Kakoso 3. WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI Swali Na. 235: Mhe. AnnaMaryStella John Mallac Nyongeza: (i) Mhe. AnnaMaryStella John Mallac (ii) Mhe. Rukia Kassim Ahmed Swali Na. -
MAJADILIANO YA BUNGE ___MKUTANO WA TATU Kikao Cha
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ________ MAJADILIANO YA BUNGE _________ MKUTANO WA TATU Kikao cha Arobaini na Tatu – Tarehe 3 Juni, 2021 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, naomba tukae. Waheshimiwa Wabunge, tunaendelea na Mkutano wetu wa Tatu, leo ni Kikao cha Arobaini na Tatu. Katibu NDG. NENELWA MWIHAMBI, ndc – KATIBU WA BUNGE: HATI ZA KUWASILISHA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII: Randama za Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa Mwaka wa Fedha 2021/2022. SPIKA: Ahsante sana Mheshimiwa Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, aah sasa hivi unavaa sketi ndefu, hataki ugomvi na Mgogo. (Kicheko) Tunaendelea, Katibu. 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) NDG. NENELWA MWIHAMBI, ndc – KATIBU WA BUNGE: MASWALI KWA WAZIRI MKUU SPIKA: Maswali kwa Mheshimiwa Waziri Mkuu, Mheshimiwa Waziri Mkuu karibu sana. (Makofi) Waheshimiwa Wabunge, nawakumbusha tena kuhusu maswali ya kisera sio matukio, sio nini, ni ya kisera. Tunaanza na Mheshimiwa Mbunge wa Liwale, Mheshimiwa Zuberi Mohamed Kuchauka, maswali kwa kifupi. MHE. ZUBERI M. KUCHAUKA: Mheshimiwa Spika, ahsante kwa kunipa nafasi ya kwanza kuuliza swali kwa Mheshimiwa Waziri Mkuu. Mheshimiwa Spika, swali langu litahusu sekta ya korosho. Mwaka huu tumepata taarifa kwamba Serikali ilijipanga kutupatia pembejeo wakulima wa zao la korosho kwa maana kwamba waje kuzilipa baadaye kwenye mjengeko wa bei. Hata hivyo, kuna taharuki kubwa kwa wakulima wetu wa korosho baada ya Bodi ya Korosho kuleta waraka kwenye Halmashauri zetu, wakiwaambia kila mkulima akipeleka zao lile kwenye mnada kila kilo moja itakatwa shilingi 110 bila kujali kwamba mkulima yule amechukua pembejeo kwa kiwango gani. -
Tarehe 6 Novemba, 2018
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA KUMI NA TATU Kikao cha Kwanza – Tarehe 6 Novemba, 2018 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) WIMBO WA TAIFA (Hapa Wimbo wa Taifa Uliimbwa) D U A Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua SPIKA: Tukae. Karibuni sana. Waheshimiwa tusikilizane. Brass Band tunawashukuru sana, mnafanya kazi nzuri sana, karibuni sana Bungeni. Katibu! NDG. STEPHEN KAGAIGAI – KATIBU WA BUNGE: Kiapo cha uaminifu. KIAPO CHA UAMINIFU Wabunge wafuatao waliapa Kiapo cha Uaminifu:- 1. Mhe. Julius Kalanga Laizer; 2. Mhe. Mwita Mwikwabe Waitara; 3. Mhe. Timotheo Paul Mnzava; na 4. Mhe. Zuberi Mohamed Kuchauka. SPIKA: Katibu 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) NDG. STEPHEN KAGAIGAI – KATIBU WA BUNGE: TAARIFA YA SPIKA SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, katika Mkutano wa Kumi na Mbili wa Bunge, Bunge lilipitisha Miswada mitano ya Sheria ya Serikali ifuatayo:- Kwanza, Muswada wa Sheria ya Kulitangaza Jiji la Dodoma kuwa Makao Mkuu ya Nchi ya Mwaka 2018 (The Dodoma Capital City (Declaration) Bill, 2018). Pili, Muswada wa Sheria ya Bodi ya Kitaalam ya Walimu Tanzania wa Mwaka 2018 (The Tanzania Teachers’ Professional Board Bill, 2018). Tatu, Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali Na. 02 wa Mwaka 2018 (The Written Laws (Miscellaneous Amendments) (No. 2) Bill, 2018). Nne, Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali Na. 3 wa Mwaka 2018 (The Written Laws (Miscellaneous Amendments) (No. 3) Bill, 2018). Tano; Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi wa Mwaka 2018 (The Public Private Partnership (Amendment) Bill, 2018). Kwa taarifa hii napenda kuliarifu Bunge hili Tukufu kwamba tayari miswada hiyo mitano imepata kibali cha Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuwa sheria za nchi zinazoitwa:- Kwanza, Sheria ya Kulitangaza Jiji la Dodoma Kuwa Makao Makuu ya Nchi Na.