Mpenzi msomaji kuanzia Februari 19, 2015 ANNUUR litapatikana kwa Shs 800/= tu Sauti ya Waislamu JINAMIZI LA UDINI : Sheikh Suleiman Takadir, “Askofu Makarios”

ISSN 0856 - 3861 Na. 1164 RABIUL THANI 1436, IJUMAA , FEBRUARI 13-19, 2015 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Uk.14 Al-Shabaab asilimisha wafungwa Segerea Aliingia Collins atoka akiwa Muhammad Sheikh Msellem ampa ‘Kalima Shahada’

MUHAMMAD Javan Omundi, Mkenya aliyesilimu akiwa gerezani Segerea Jijini Dar es Salaam. Ghasani, hili ndio kosa la Wazanzibari…. Kila uchochoro Mji Mkongwe akina ‘William’ wanaona gaidi Ila kama ni balaa wataleta Wazungu na… Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpa zawadi mwenyeji wake Sultani wa Oman Qaboos bin Said Al Said katika kasri ya AL Alam jijini Muscat Oman, wakati Wanaopiga kampeni za chuki kanisani wa ziara yake nchini humo mwaka jana. Sio hizi porojo za Waarabu wa Oman CCM imefeli Visiwani CUF yahitaji kubadilika haraka La sivyo itakuwa haichaguliki IPO haja kwa CUF Wanahitaji na kutaraji vipande vya kupigia kubadilika haraka vyama vyao vya siasa kura kwa vyama iwezakanavyo, la wanavyoviamini na vyengine. sivyo, wafuasi wake kuvikubali kuwa Maana vyama wataikimbia, ingawa vitawafikisha pazuri. vyote viwili, CUF hawatarejea CCM. Lakini huenda na CCM, vyaelekea Zanzibar wanahitaji watakubali wasipige kufanana kwa kila MMOJA wa waliokuwa mabadiliko. kura au wauze hali! (Soma Uk.8) MHE. Masultan wa Zanzibar. AN-NUUR 2 Tahariri/Makala ya Mtangazaji RABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 13-19, 2015 AN-NUUR Palestine opens first Western Europe embassy in Sweden S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786 Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. PALESTINE has opened its www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected] first embassy in Western Ofisi zetu zipo: Manzese Tip Top Europe in the Swedish Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam capital city of Stockholm amid Israel’s anger. According to official Swedish sources, Palestinian President Mahmoud Abbas and Swedish Foreign Minister Valentine, ni ufuska, uovu mtupu! Margot Wallstrom attended wamekuwa ndio wapiga the inauguration ceremony KILA ifikapo tarehe 14 of the Palestinian embassy in Februari ya kila mwaka, debe wakubwa wa mambo Stockholm on Tuesday night. watu sehemu mbalimbali kama haya, ambayo ilikuwa Earlier in the day, Sweden duniani wamekuwa si maarufu miongoni announced its decision to wakisherehekea ama mwa Watanzania wengi. increase financial aid to kuadhimisha siku Watangazaji wanashinikiza Palestinians, but also urged Palestine by 1.5 billion crowns major European countries, iliyobuniwa na kubatizwa dhana hii kwa kuwaambia the Palestinian authorities to ($179.74 million) over the next including Spain, France, na kuitwa siku ya “wapendanao” hawa carry out reforms, epically five years. Britain, Ireland and Portugal wapendanao (Valentine yanayofanywa wakati wa with regard to women’s Some 135 governments as well as the European Day). siku hizi hapa kwetu, nayo situation in the country. have so far announced their Parliament have symbolically ni kwa ‘wapenzi’ kwenda Sweden reportedly plans to official backing for Palestine’s endorsed Palestine’s bid to be Historia inatueleza sovereignty. Parliaments in recognized as a state. kuwa asili ya sherehe ufukweni kupunga upepo increase its financial help to hiyo ya wapendanao ni au kwenda kwenye majumba yanayoitwa ya sherehe ya wapagani wa starehe. Abbas Hopes Swedish Recognition to Influence International Community Kirumi, wakati dini yao ya Wanaongea katika STOCKHOLM (WAFA) – European countries to follow Last October, the parliament upagani ilikuwa ndio dini hali ya kuamsha hisia of Sweden recognized the state iliyotapakaa kwa Warumi President Mahmoud Abbas suit. fulani miongonni mwa Tuesday expressed hope that Abbas confirmed that of Palestine and concluded karne zaidi ya kumi na wasikilizaji wao, na ni the Swedish recognition of Sweden’s recognition of that 'the international law saba zilizopita, na fikra zao hisia hizo hizo za uzinifu. criteria for the recognition of the state of Palestine will Palestine and the United Palestine have been met.' ilikuwa ni kuelezea hisia ya Wakiongea upuuzi na leverage the international Nations Secretary General’s mambo yasiyo na faida The Swedish government ‘mapenzi ya kiroho’. community’s support of the membership will support has also decided to increase Tunafahamishwa kwa jamii. Palestinians' just cause. peace negotiations and will Siku hizi jamii imefikia aid and adopt a five-year kwamba siku hii iliwekwa Abbas commended not replace such efforts. aid strategy including hatua ya kuhamisha Sweden’s recent recognition During his visit to na watu fulani kwa ajili ya uhalisia wa maadhimisho substantially increased kumkumbuka mtu mmoja of Palestine as in independent Stockholm, Abbas signed with support to Palestinian state- ya siku za kiimani na state, which, according to Lofven several agreements on kwa jina la Mtakatifu kuzigeuza kuwa siku za building; aid to Palestine will Valentino, ambaye him, bolsters the Palestinian cooperation and development. increase from SEK 500 million kufanya upuuzi zaidi. people’s struggle toward The agreements would be to SEK 1.5 billion ($67.8 tunaelezwa kuwa aliuawa Hakuna tofauti ya sikukuu freedom and independence. effective starting from 2015 million to $203.4 billion) over kwa kukiuka matakwa ya au maadhimisho kwa watu He called upon other until 2019. the next five years. watawala wa wakati wake, wa imani moja na nyingine, kwa sababu alikemea japo kuna tofauti ya namna baadhi ya mila zao na ya kufanya maadhimisho akawa anafungisha ndoa na hata makusudio ya kuadhimisha au UN Calls to Lift Israeli Siege on Gaza zilizopigwa marufuku kusherehekea. katika wakati huo. GAZA (WAFA) - The United Kwa kushindwa Nations’ Coordinator of Tuseme tu kwamba kukabiliana na mwenendo Humanitarian Affairs in the siku hizi watu wamekuwa huu, jamii sasa imebadilika Palestinian Territories, James hodari wa kutunga na kupoteza mwelekeo. Rowley Tuesday called for na kuidhinisha siku za Mambo ya upuuzi ndiyo lifting the siege imposed maadhimisho na kuzipa yanayoonekana ya msingi by Israeli on the Gaza Strip, tafsiri na matumizi tofauti na muhimu kuliko yale ya starting the reconstruction kiasi cha kukidhi matakwa kiungwana. Upuuzi ndio process to repair the yao. Watu wengi huzipa umekuwa fasheni, kwa destruction caused by the siku matumizi kwa jinsi sababu sehemu kubwa ya latest Israeli war as well as wanavyoona wao. Kwa jamii imebadili mwelekeo opening the Rafah border na kuegemea katika crossing. mfano, kuna siku huwa Rowley said in a press zinaitwa za ‘vunja jungu’ mambo ya kipuuzi. Tukitizama kwa makini, conference held in al-Shifa ambazo zimetungiwa hospital in Gaza city that kipindi chake. Nacho ni utagundua kuwa watu Evacuating survivors after an Israeli airstrike hits the Al wanaisubiri kwa hamu the siege has greatly affected Ghoul family building in Rafah, August 3, 2014. kabla ya kuanza mfungo health and humanitarian hiyo siku ya Valentine, ili the strip and the restrictions of the war, as they have no wa Mwezi Mtukufu wa washawishike kupendana Services and the blockade Ramadhani na baada ya should be lifted to end the on the unilaterally-imposed other choice after losing their zaidi, lakini si mapenzi fishing zone off Gaza’s coast. residences. kumaliza funga. halali, bali uzinzi. Vyumba suffering of Gaza’s patients. He demanded donor Egyptain authorities are Israel has however failed Siku hizi zimefanywa vya mahoteli na nyumba also closing the Rafah border to adhere to its agreement, kuwa siku maalum kwa za kulala wageni vitajaa, countries which pledged to reconstruct the war-weary crossing between Gaza and repeatedly violating the wachafuzi kutenda kiasi baa zitatapika, kumbi Egypt almost entirely and ceasefire deal through opening za dansi zitafura huku Strip to fulfill its obligations. cha kukinahi maasi. Watu Rawley said the international are only opening it for those fire on Palestinian fishermen huzamia kisawasawa ‘wapendanao’ wakiwa deemed as humanitarian within the fishing zone and katika mavazi mekundu! community that pledged katika maasi na kuogelea to fund the reconstruction cases. hindering the reconstruction Kuna haja kama Taifa The most pressing key issue process. katika mambo maovu. kuyatizama mambo haya process must meet its Kibaya zaidi, hata vyombo promises and turn them into is the Gaza reconstruction. Continuing the Cairo- kwa mtizamo mwingine, Whole neighborhoods across brokered talks on other vya habari hupamba siku sio huu wa kuvamia kila commitments. the strip have been flattened key issues was repeatedly hizo, utafikiri za maana kijacho. Hivi sisi utamaduni Israel and the Palestinian and reduced to rubble by postponed in the wake of the sana. wetu ni upi. Maadili yetu ni factions inked a ceasefire Israeli airstrikes, leaving November attacks against Ukisikiliza stesheni deal on August 26, ending the about 475,000 Palestinians Egyptian soldiers in the Sinai yapi. Katika makabila na 2014 deadly Israeli onslaught za redio hapa nchini, tamaduni zetu, hakuna refugees displaced for yet Peninsula. on Gaza that claimed the another time. Israel has imposed a watangazaji hawawezi namna ya kuonyeshana lives of over 2,200 people, kuanza na kumaliza According to UN tightened blockade since upendo kati ya mke na overwhelmingly civilians. institutions’ statistics, around 2007 after Hamas won vipindi bila kuchombeza mume, wazazi na watoto au The ceasefire deal 15,000 Gaza refugees are still the democratic legislative masuala ya mapenzi ndugu kwa ndugu na hata stipulated that Israel must living in UN-run schools elections and took over power kuelekea Valentine. Wao marafiki kwa marafiki? ease the blockade imposed on seven months after the end in the strip. AN-NUUR 3 Habari RABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 13-19, 2015 Al-Shabaab asilimisha wafungwa Segerea Na Bakari Mwakangwale kwa jina la Al-Shabab, na yanayohusu Uislamu. kumueleza rafiki yake kwa ubora wa nyimbo kwa kuwa kwao Kenya Alisema, katika muda (Al-Shabab) kuwa akirudi zao na mama yangu ni MFUNGWA aliyeingia watu hao ni hatari, ni aliokaa na Masheikh Kenya, atafanya kazi ya Mchungaji mpaka sasa”. gerezani Segerea akiitwa magaidi, ilimpelekea wanaotuhumiwa kwa kuelimisha watu juu ya Anaeleza bw. Omundi. Collins Javan Omundi, kustuka na kupatwa na ugaidi, walimfundisha nini propaganda inayopigwa Kwa mujibu wa Bw. ametoka akibeba jina la hofu kuwa na mtu wa aina Uislamu na kuzidi kubaini dhidi ya Uislamu ili watu Omundi, amedai kuwa Muhammad. hiyo humo gerezani. kiundani kuwa Uislamu wasijue ukweli wa Dini hii. kwa muda wa mwezi Neno, Al-Shabaab, Alishangaa ni kwa ni dini nzuri kinyume na “Najua nitawashangaza mmoja aliokaa gerezani ndio limekuwa sababu ya nini uongozi wa gereza inavyochafuliwa kupitia watu huko nyumbani humo amebaini kuwa mfungwa huyo kusilimu, uwaweke na mtu ‘gaidi’, propaganda. (Kenya), lakini lengo langu wapo wafungwa na akiacha imani yake ya awali al-Shabaab huyo. “Nimesilimu nikiwa ni kutoa elimu.” Alisema. mahabusu wengi ambao ya Kikristo. “Nilimuuliza kwa nini gerezani, sasa nimetoka Bw. Mohammed wamesilimu na kujifunza Akisimulia kisa cha anaitwa Al-Shabab, badala nataka niusome zaidi Omundi, anasema yeye Uislamu wakiwa humo kusilimu kwake, Omundi ya Shabani, alinieleza Uisamu ili nipate kuwa ni mkazi wa Komorrock, gerezani. anasema kuwa, alivyokuwa kuwepo kwake humo muelimishaji kuhusu Embakasi Nairobi Kenya, “Wapo wengi ambao akifahamu ni kuwa Al- gerezani ni kutokana na Uislamu. Nataka nije na amezaliwa na kulelewa nimewakuta wamesilimu Shabaab, ina maana ya kukamatwa na maafisa nikutane tena na ndugu katika dhehebu la Sabato. kabla yangu kupitia kwa gaidi hatari na katili. uhamiaji mpakani mwa zangu niliowaacha “Mimi nimezaliwa Waislamu wanaotuhumiwa Kwa tafsiri na ufahamu Kenya na Somalia akielekea gerezani na mimi nikiwa katika familia ya Kikristo, kwa ugaidi humo gerezani, huo, anasema, ilikuwa ni Sudani, akitokea Tanzania Muislamu haswa”. Alisema baba kafa akiwa ni Mkristo na wengine wameendelea jambo la kushtua kwake na kutuhumiwa kuwa yeye Bw. Mohammed. na alikuwa mwimba kwaya zaidi kielimu wakiwa alipoingia gerezani na ni Al-Shabab.” Alisema Alisema, baada ya maarufu na walikuwa humo humo gerezani”. kukutana na mtu anaitwa Bw. Mohammed. kusilimu alifurahi na wakishinda Kenya nzima Amefafanua. ‘Al-Shabaab’. Alisema, baada ya kupata Mfungwa huyo raia wa kisa hicho alipata shauku Kenya, ambaye baada ya ya kujua undani wa neno kusilimu alichagua jina la hilo ambapo aliambiwa Muhammad, akiongea na kuwa al-Shabaab ni neno mwandishi wa habari hizi la Kiarabu/Kiswahili muda mchache baada ya lenye maana ya kijana, kutoka gerezani, alisema madhubuti, mwenye nchini Kenya, neno Al- nguvu, imara. Shabab ni kitu hatari sana Baada ya kujua kuwa kutokana na matukio Al-Shabab lina maana ya yanayohusishwa na kundi ‘kijana mwenye nguvu’ hilo. na si gaidi, na kuwa na Bw. Mohammed alisema, ukaribu huo, akasema, ndio akiwa gerezani humo waliingia katika kupeana alisilimishwa na Masheikh elimu kwa kutumia Biblia Mselem na Farid, baada ya na Qur’an. kukutana na kijana mmoja Alisema, akiwa katika wa Kiislamu, maarufu Ukristo alikuwa anauchukia gerezani humo kwa jina sana Uislamu kutokana la Al-Shabab, ambaye na jinsi unavyohusishwa waliingia naye katika na masuala ya kigaidi, mjadala wa hoja kuhusu lakini akadai, angalau kwa Dini ya Uislamu na Ukristo. kukaa jela na kukutana Anasema, ule ukaribu na akina Sheikh Msellem, wake na Shabani akitaka amejua kuwa kumbe SHEIKH Ponda Issa Ponda akiongozwa na makachero wa polisi muda mfupi baada kujua ni kwa nini alijiita kilichokuwa kikimuathiri ya kesi yake kusikilizwa. jina baya kama hilo, ndio ni propaganda na sio kukazaa urafiki uliokuja ukweli juu ya Uislamu kuibua mjadala wa mambo wenyewe. ya kidini na hatimaye “Mimi nimekulia katika kusilimu. Ukristo na kuusoma Bw. Mohammed, ambaye vizuri, kwa kuwa nilikuwa alijikuta anahukumiwa nauchukia Uislamu huko kwenda jela kwa kosa nyuma, nilikuwa na uwezo la kupatwa na hatia ya wa kumshawishi mtu kuwepo nchini kinyume aachane na Uislamu na cha sheria, alisema baada aingie katika Ukristo.” ya kuingia gerezani humo “Hata Al-Shabab kwa mara ya kwanza akiwa (Shabani) kule gerezani mahabusu, alistuka kusikia ananielewa nimemsumbua kijana huyo akiitwa Al- sana, ili aachane na Shabab na wenzake na Uislamu, ila yeye amekuwa huku akifurahia jina hilo. na hoja zinazoingia akilini Anasema, alisilimu nikabaini kumbe Uislamu Januari 7, 2015, baada ya ni mzuri ila kuna watu kuwa mahabusu na kujikuta wanautumia vibaya tu, anaanza kudadisi mambo nikakata shauri kuingia ya kiimani baada ya kusikia katika Uislamu.” Alisema kijana mmoja aliyemkuta Bw. Mohammed. humo mahabusu, akiitwa Alisema, baada ya Al-Shabab. hapo, alimfuata Sheikh Bw. Mohammed, alisema Mselem kuwaeleza nia huyo kijana jina lake halisi yake na alisilimishwa na ni Shaban, lakini humo kuanza kufundishwa Qur WAUMINI wa dini ya Kiislamu wakiswali katikati ya barabara jirani na Mahakama gerezani anajulikana zaidi an na masuala mengine ya mjini Morogoro. Makala AN-NUUR 4 RABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 13-19, 2015

MTU yoyote hii leo ikiwa ataingia na watoto wawili Bi. Habiba na katika mitandao ya kijamii na Mwajuma. Bi Habiba alikuwa na kusoma mjadala unaofanyika umri sawa na mama yangu na kuhusu Mahakama ya Kadhi, alikuwa ‘’nurse’’ Princes Princess ni lazima atapata mshtuko Margret Hospital (sasa Muhimbili mkubwa kutokana na lugha Hospital) lakini Mwajuma yeye kali na wakati mwingine matusi alikuwa makamu ya dada yangu kati ya hao wanaojadiliana. Kila mkubwa. Mwajuma akisoma St. upande ukitupa shutuma na Joseph’s Convent School (sasa maneno makali dhidi ya upande Forodhani). Sheikh Abdallah mwingine. Ukipitia majadiliano Simba alikuwa akihukumu yote kitu kimoja kinachojitokeza katika mahakama huko Songea wazi na dhahiri kabisa ni kuwa kwa sheria za Kiislamu na kuna mpasuko mkubwa kati ya akifahamiana na babu yangu Waislamu na Wakristo kuhusu Salum Abdallah toka ujana wao Mahakama ya Kadhi. Chuki na katika Dar es Salaam ya 1920. uadui sasa upo wazi bila kificho. Sheikh Abdallah Simba akiishi Hili linawezekana vipi wakati Songea lakini alikuwa na nyumba viongozi wetu wanatuambia mbili moja Mtaa wa Kipata (sasa kuwa Baba wa Taifa alituachia Mtaa wa Kleist Sykes) nyingine misingi imara ya umoja? Wahenga Mtaa wa Somali (Sasa Mtaa wa wamesema dalili ya mvua ni Omari Londo). Majina ya mitaa mawingu. Suali la kujiuliza ni hili, hii ilibadilishwa kuwaenzi wazee wapi sisi kama taifa tumejikwaa? hawa Kleist Sykes na Omari Wengi katika hao wanaojadili Kadhi Sheikh Ali bin Hemed Al-Buhr Londo walioacha alama katika hiyo Mahakama ya Kadhi historia ya uhuru wa . ukweli ni kuwa hawaijui vyema Kulikuwa na Sheikh Said historia ya Tanzania au ukipenda Chaurembo akihukumu katika Tanganyika. Wengi katika hawa Mahakama ya Kariakoo. Sheikh waliojizinga katika malumbano Said Chaurembo alikuwa katika haya, baadhi ni watu wazima Mahakama ya Kadhi: Kamati Ndogo ya Siasa ya TAA walio na umri zaidi ya miaka 50 (TAA Political Subcommittee) na vijana ambao wamezaliwa mwaka 1950. Kamati hii chini baada ya Tanganyika kupata ya Mufti Sheikh Hassan bin uhuru wake mwaka 1961. Mjadala Amir ilifanya makubwa katika unafanyika katika mazingira ya kujenga mazingira ya kuunda ujinga wa kutojua historia. Sasa Tanzania inavuna matunda TANU mwaka 1954 na kumweka hapa linakuja swali, imekuwaje Mwalimu Nyerere katika uongozi kuwa watu hawa ambao kwa sasa wa kudai uhuru lakini hapa si ndiyo wengi katika jamii yetu hii mahali pake kuyaeleza hayo. leo hawaijua historia ya nchi yao? Huyu Sheikh Said Chaurembo Vipi tumekuwa na Chuo Kikuu ya kuikataa historia ya kweli alikuwa na nduguye akiitwa Iddi kwa karibu ya nusu karne na sasa ule usiri uliogubika mpango Ukweli ni kuwa ukoloni Chaurembo huyu ndiye baba vimeongezeka vingine vingi, mzima na pili ni kuwa ulitiwa umeingia Tanganyika umekuta yake Sheikh Abdallah Chaurembo lakini hadi sasa ikawa historia sahihi bila ya kuwashirikisha au Waislamu wakijihukumu kwa na wakati ule Sheikh Abdallah yetu ni ya kubabaisha haijakaa kuwafahamisha Waislamu. kitabu chao. Mmishionari Chaurembo alikuwa mwanafunzi sawa hadi leo? Mimi sitatoa jibu Ili makubaliano haya yaweze Johan Krapf kaja Tanganyika na katika chuo cha Mufti Sheikh kwa sasa ingawa jibu ninalo. kutekelezeka, serikali ilibidi alipokelewa na Chifu Kimweri Hassan bin Amir. Huko vyuoni ni historia gani ifanye marekebisho kifungu 30 wa Usambaa mwaka 1848. Krapf Sheikh Said Chaurembo ndiyo inasomeshwa ambayo inawafanya cha Education Act No. 25, 1978. alipokelewa kwa ukarimu wa aliyekuwa na lile ghorofa maarufu watu wasijijue? Katika mabadiliko haya kuletwa hali ya juu na alimkuta Chifu Mtaa wa Msimbazi na Congo Baadhi ya wachangiaji katika Bungeni ndipo Waislamu wakajua Kimweri Muislamu, anajua linalojulikana hadi leo kama hiyo mitandao ya kijamii kuhusu hii MoU kati ya Serikali na kusoma na kuandika kwa herufi Ghorofa la Chaurembo. Kwa na inaelekea hao ni Wakristo, Makanisa. za Kiarabu akihukumu katika kumalizia kuhusu hizi mahakama wanasema iweje Mahakama ya Suali lingine la kujiuliza ni, barza yake iliyokuwa Vuga. hapa Dar es Salaam napenda Kadhi igharimiwe na serikali ilhali inakuwaje jambo zito kama hili Ni wazi kuwa Chifu Kimweri kueleza kuwa katika miaka ya serikali hii haina dini? Waislamu lilipitishwa na Bunge letu bila hakuwa anahukumu kutoka, 1960 baada ya uhuru, Sheikh wanaleta jibu wakisema mbona kipingamizi? Suala hili limepita “Order in Council,” kutoka India Kassim Juma alikuwa akihukumu serikali inatoa mabilioni kila kwa kuwa Waislamu Bungeni kwani Waingereza walikuwa bado katika Mahakama ya Kadhi mwaka kwa makanisa kuhudumia waliamini kuwa uamuzi huo una hawajafika. Mkwajuni hadi mahakama hizo taasisi zao kupitia “Memorandum maslahi na taifa letu? Au limepita Chifu Kimweri alikuwa zilipovunjwa na serikali mwaka of Understanding (MoU)?” Kwa kwa kuwa Waislamu katika Bunge anahukumu kwa sheria kama 1963. Sheikh Kassim Juma na yeye wale ambao labda hawaujui huu ni wachache wameelemewa na walivyohukumiana Waislamu ana historia kubwa katika siasa za mkataba ni kuwa mwaka wa 1992 ndugu zao Wakristo kupelekea katika ukanda wa pwani ya Afrika Waislamu, BAKWATA na serikali Serikali ya Tanzania ilitiliana kuwa sasa hawana sauti kwa Mashariki kwa miaka mingi. Mimi baada ya uhuru. sahihi mkataba na makanisa, uchache wao? Ikiwa huu ndiyo nimekuwa na kupata fahamu Sheikh Abdallah Chaurembo mkataba uliokuja kujulikana kama ukweli wenyewe, tumefikaje hapa katika Tanganyika ya 1950/60 akiwa msomi wa dini ya Kiislamu, Memorandum of Understanding. na nini athari ya jambo hili kwa na nina kumbukumbu za hizi alihusika sana katika harakati Makubaliano ambayo serikali mustakbali wa taifa letu? mahakama za kadhi na baadhi za kudai uhuru wa Tanganyika. iliridhia na kuidhinisha elimu, Kwa uchache unaweza mtu ya hawa mahakimu nimewaona Sheikh Abdallah Chaurembo huduma za jamii na afya ukajiuliza kwa nini basi serikali kwa macho yangu ama wakiwa alikuwapo katika mkutano wa ziendeshwe na Christian Council hiyo hiyo haikuja na mpango katika mahakama wakihukumu TANU uliofanyika Mtaa wa Pemba of Tanzania (CCT) na Tanzania wowote hata kama si sawa na na wengine nimewaona mitaani usiku mmoja mwaka 1955 agenda Episcopal Conference (TEC) kwa ule wa Makanisa wakatoa fedha na wengine nimewaona kuu ikiwa vipi TANU itapunguza kushirikiana na serikali. Mkataba kwa taasisi za Kiislamu na wao wakisuhubiana na wazee wangu. joto kali la Uislamu ndani ya chama huu ulitayarishwa na Dr. Costa wajiletee maendeleo kama hayo Namkumbuka Sheikh Abdallah ili kupunguza ile taswira kuwa Mahalu, wa Kitivo cha Sheria ya Makanisa? Mimi sitatoa jibu Simba kutoka Songea. Nikifumba TANU ni chama cha Waislamu. Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam ingawa majibu ninayo. Kwa macho ni kama vile namuona Jambo hili lilikuwa muhimu ili na ukatiwa sahihi na Waziri kuhitimisha hebu tujiulize Sheikh Abdallah Simba. Alikuwa kumwezesha Mwalimu Nyerere wa Nchi katika Ofisi ya Waziri kwani Mahakama ya Kadhi ni kija Dar es Salaam na Land Rover kuongoza harakati za kudai uhuru Mkuu, wakati huo Mheshimiwa kitu kipya katika nchi hii kiasi yake mwenyewe na siku zote kwa utulivu. . Kikubwa cha kusababisha mtafaruku huu akivaa kanzu, koti na tarbush. Pamoja na Sheikh Abdallah katika mkataba huu kwanza ni ambao hivi sasa tunaushuhudia? Sheikh Abdallah Simba alikuwa Inaendelea Uk. 12 AN-NUUR 5 Makala RABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 13-19, 2015 Jaji aituhumu Vatican kuhusika mauaji ya kimbari Rwanda Elizabeth Shoo/KNA hawakuwahi kufikishwa Alielezea kushangazwa Hakimu mmoja wa mahakamani au kufunguliwa kwake na ukweli kwamba Mahakama Maalumu ya mashtaka. hakuna Mfaransa hata mmoja kusimamia kesi ya mauaji Jaji Schomburg aliyefunguliwa mashtaka, ya kimbari ya mwaka 1994 amekumbusha kuwa bila licha ya kwamba baadhi ya nchini Rwanda, ameulaumu kuwepo kwa mahakama Wafaransa walituhumiwa uongozi wa Kanisa maalumu ya Umoja wa kuuza silaha nchini Rwanda Katoliki kwa kuwalinda Mataifa, watu wengi katika miaka ya 1990s na watuhumiwa waliohusika waliosababisha maafa ya kwamba, wakati mwingine ambao ni viongozi wa dini. Wanyarwanda wapatao hata walizigawa silaha hizo Katika mahojiano 800,000 wangeweza kwa Wahutu. aliyoyafanya na gazeti kuukwepa mkono wa sheria. Alisema wakati fulani la ‘Badisches Tagblatt’ la Pamoja na hayo, Jaji huyo serikali ya Rwanda ilijaribu Ujerumani, Jaji Wolfgang wa zamani amekosoa pia kuwafungulia mashtaka Schomburg, amewanyooshea namna ambavyo Jumuiya ya wahusika, lakini bila viongozi wengi wa Kanisa Kimataifa ilichelewa kuingilia mafanikio. Jaji Schomburg kidole kuhusiana na mauaji kati mgogoro wa Rwanda anasema Ufaransa haina hayo. hadi pale ambapo mamia nia ya kweli kufanya Jaji Schomburg aliyekuwa kwa maelfu ya raia, wengi uchunguzi wa kipindi hicho sehemu ya jopo la Majaji wao Watutsi, walipokuwa kilichogubikwa na giza. lililosimamia kesi ya mauaji tayari wameuliwa. Hata hivyo Jaji Schomburg ya kimbari ya Rwanda ya "Hata mahakama ya Umoja ameisifu mahakama ya Umoja mwaka 1994, amewataka wa Mataifa inayoshughulikia wa Mataifa ya kushughulikia Mapadri wa Kikatoliki mauaji ya kimbari ya Rwanda mauaji ya kimbari ya waliohusika katika mauaji ilianzishwa kwa kuchelewa. Rwanda, kwa kupiga hatua hayo ya kinyama wafikishe Mahakama hiyo ilipaswa za haraka kuwawajibisha mahakamani. iundwe mwishoni mwa wahusika na kuwapatia Jaji huyo ameukosoa mwaka 1993 au mwanzoni haki wale walioonewa na uongozi wa Kanisa Katoliki- mwa 1994", alikosoa Jaji hii imekwenda haraka Vatikan, kwa kuwalinda Schomburg. hata kuliko vile ambavyo Mapadri hao, ambao Jaji huyo, ambaye alifanya Ujerumani ilivyoendesha wanapaswa kufikishwa kazi kwenye mahakama kesi za waliohusika katika mbele ya sheria. hiyo kuanzia mwaka 2001 mauaji ya Wayahudi chini ya PAPA Francis. Imeelezwa kwamba kuna hadi 2008, hakuishia hapo. utawala wa Wanazi. (DW). ukweli kwamba, vipo visa ambapo uongozi wa Kanisa Katoliki uliamua kuwapatia hifadhi viongozi wa kiroho ambao walihusika moja Rais Obama azua mtafaruku kusema hata Ukristo kuna ugaidi kwa moja kwenye mauaji ya MATAMSHI ya Rais wa kikatili. Asema vita vya msalaba sawa na Ugaidi Marekani, Barack Obama, Mmoja wao ni Padri ya kuwataka Wakristo Wenceslas Munyeshyaka, kutambua kwamba Uislamu yeye alielezwa kuwa mwaka si dini pekee inayohusishwa 1994 alibeba bunduki kama na vurugu na mauaji, na mwanajeshi na kupanga kwamba Vita vya Msalaba njama na waasi wa Kihutu. na vitendo vya ugaidi Waasi hao waliwaua vinavyofanywa na vikundi mamia ya watu waliokuwa vyenye misimamo mikali. wakitafuta hifadhi ndani ya Rais Obama alitoa kauli Kanisa la Padri Munyeshyaka. hiyo wiki iliyopita, katika Padri huyo baadaye alihamia siku ya taifa ya maombi, Ufaransa. alipofananisha Vita vya Mahakama moja ya nchini Msalaba na vitendo vya Rwanda ilimhukumu adhabu ugaidi vinavyofanywa na ya kifungo cha maisha, vikundi vyenye misimamo lakini Kanisa Katoliki nchini mikali. Ufaransa lilimtetea na Rais Obama aliongeza kusema kuhukumiwa kwa kuwa, wakati wa vita Padri Munyeshyaka kwa vitakatifu, watu walifanya mauaji ya kimbari, si sababu vitendo vya kutisha kwa jina ya kumfanya asiendelee na la Kristo. Alisisitiza kuwa kazi yake ya upadri. nchini Marekani, utumwa Hata hivyo imeelezwa na sheria za kibaguzi, zote kuwa Padri Munyeshyaka pia zilihalalishwa kwa jina hakuwa pekee yake. Mapadri RAIS Barack Obama (kulia) akiwa na Rais wa Iran Hassan Roham. la Kristo. na Masista waliofahamika Kauli hiyo imezua kuhusika katika mauaji ya mtafaruku duniani na baadhi Rwanda walipelekwa Ulaya wameanza kuhoji kama na kupatiwa hifadhi huko. kiongozi huyo wa kwanza Miongoni mwao alikuwa Iran kuzindua meli mpya ya kivita mweusi wa Marekani ni Padri Athanase Seromba, Mkristo. KAMANDA wa Jeshi la ya Mapinduzi ya Kiislamu yaliyokuwa yakilikabili Kwenye hotuba yake hiyo, aliyeruhusu Kanisa lake Wanamaji la Jamhuri ya jeshi la Iran katika kipindi libomolewe likiwa na ya nchini Iran, Kamanda Rais Obama alilitaja kundi la Kiislamu ya Iran, Admeli Habibullah Sayyari, alisema cha utawala wa Shah, Daesh kuwa limeasi Uislamu Watutsi 2,000 ndani. Wale Habibullah Sayyari, kuwa, hivi sasa taifa la Iran kutokana na kufuata waliopona katika ubomoaji amesema kuwa karibuni linajivunia juhudi za wasomi kibubusa siasa za Marekani kwa kutenda jinai na vitendo huo walifyatuliwa risasi na hivi jeshi la wanamaji la Iran na vijana wake, ambao na kuongeza kuwa, wakati vya kikatili katika eneo la kuuliwa. Kanisa Katoliki litazindua meli ya kisasa wameweza kuzalisha aina ule maamuzi na mipango Mashariki ya Kati. lilimsaidia kukimbilia Italia aina ya ‘Damavand’ ambayo mbalimbali za silaha na zana yote yaliyokuwa yakihusu Makundi kama ya Daesh na hata kuhakikisha kwamba imeundwa na wataalamu wa za kisasa kabisa kwa kiwango zana, silaha, mazoezi ya yamekuwa yakitekeleza jinai anapewa jina jipya na pasipoti ndani nchini humo. cha kimataifa. kijeshi na mambo mengine na mauaji dhidi ya watu wasio Akiashiria uwezo wa Aliyataja mafanikio yalikuwa yakichukuliwa na hatia kwa kupata misaada mpya. jeshi la Iran na juhudi na Washington bila ya Imeelezwa kuwa mbali na hayo kuwa ni mwiba ya kifedha na kisilaha kutoka zake za kujilionda dhidi kwenye macho ya maadui kuwahusisha wataalamu wa nchi za Magharibi na baadhi viongozi hao wa dini, bado ya chokochoko zozote za wasiolitakia mema taifa na Iran, suala ambalo liliifanya wapo wanasiasa na wanajeshi adui katika sherehe za watu wa Iran ya Kiislamu. Iran kubakia tegemezi wakati ya nchi za Kiarabu za Ghuba waliohusika, ambao kamwe kuadhimisha kumbukumbu Aidha ameelezea matatizo wote. ya Uajemi. (irib). AN-NUUR 6 Makala RABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 13-19, 2015

QUR’AN tukufu ni kitabu kwetu na yasiyoonekana cha Mwenyezi Mungu katika ulimwengu. Nayo kilichoteremshwa juu inatufundisha kwamba, ya moyo wa Mtume yule ambaye hakuwa Muhammad (S.A.W.) ili Mwangaza wa Qur’an mmoja katika dhati yake, aiongoze kwayo jinsi ya hakuungana katika fikra wanadamu na ili utulizane yake hakukusanyika juu yake ulimwengu. Kwa katika hisia yake hatakuwa hiyo Qur’an juu yake na fungu lolote katika kutasimama kiyama cha maonekano ya nuru za ulimwengu. Na kwa hiyo umoja na upweke kwa Qur’an anapozwa mwenye sababu imani ya kweli ni kupozwa na anafanikiwa ile ambayo inachimbuka mwenye kufanikiwa. kutoka katika uwepo wa Qur’an inatunyanyua juu binadamu kwa ujumla ya ulimwengu. Isipokuwa wake. Na Qur’an baada ni kwamba haitaki ya hapo, ni chemchem ya kwetu kujitoa katika huo nguvu yenye kumiminika ulimwengu. Inapanda na kutokana na nguvu sisi juu ya ulimwengu, zisizoonekana ili wapate wakati ambapo inataka nguvu kwa hiyo Qur’an kwetu tuzinduke kwa wanyonge na wapate yaliyo madogo sana uhai kwayo wafu, na hiyo katika mafungu yake, kwa Qur’an ndiyo akili ambayo kawaida na mazoea, na imepelekwa kwa ajili ya inazama na sisi kutupeleka wazimu wa nyakati zote na kwenye vina vilivyo zama ni mionzi ya roho ya tangu sana kwa binadamu ili juu ya viza vya nyoyo tusikilize pamoja kwenye na nafsi kwani matamko maungulio ya raho yake yake yamebebeshwa ambayo yamejificha Mwanamke wa Kiislamu (kulia) akitoa Da'awah kwa asiye Muislamu. mawingu ya uhai na aya sana na maumivu yaliyo zake zinatona umande manyonge sana ya moyo kizunguzungu na huenda na inakata pamoja nasi Kutapanyika kwa roho wa uzuri na utukufu. wake. tukaporomoka kutoka vipeo vya zama na mahali na kugawanyika kwa Na kwa kiasi ambacho Qur’an inatuchukua sehemu ya juu ambayo mpaka tunakaribia kuhisi nafsi na kutawanyika kwa mwanadamu anakosa na kutupeleka kwenye tumefika mpaka chini ya mawimbi ya milele yakiwa fikra na kupotoka kwa kuijuwa Qur’an, kunakuwa maeneo mapya ambayo sehemu tuliyokuwa katika yanapiga katika fukwe za mtazamo, tunapata katika kutoijuwa kwake nafsi hayajagunduliwa katika majangwa. roho zetu na yanateremka Qur’an kinachokusanya yake na ulimwengu ulio maeneo ya roho, na Qur’an inapanda juu kwenda ndani yetu, mtapanyiko na pambizoni mwake. inakwenda na sisi kwenye na sisi kwa hisia zetu, na katika kizuizi kati kinachofanya Kwa hakika hiyo vipeo vyenye kutisha na juu ya akili, isipokuwa ya kuwa tuwe watu magawanyiko. Inayarushia Qur’an, ndiyo uamsho wa vilele vya juu sana kisha inabaki ikitukumbusha tuliyokamilika au tusiwe. macho umoja wa mtazamo, utashi wa upwekeshaji inatutahadharisha na kwamba hiyo akili ndiyo Inatusimamisha Qur’an ili uliozidi ukali wa kuona na maumbile yake kugeuka nyuma. Na kama ngazi yetu pamoja na hisia tuyatazame maono yetu, na nguvu ili kuweza kutoka katika maficho ya si hivyo, tutapatwa na katika kwenda huko juu na tuliheshimu jambo letu. kuyaona yasiyoonekana Inaendelea Uk. 7 SAHABA mmoja right hand sent a fiery law aliwahi kumwomba for them.” Mtume (s.a.w.) awape Ambayo tafsiri yake taarifa kumhusu yeye halisi ya Kiswahili ni kama Nabii aliyekuwa akingojewa ifuatavyo: mwenyewe. Naye akawaambia hivi: "Kumbukumbu la "Mimi ndiye mtu ambaye Zisemavyo Taurati na Zaburi za Mayahudi na Wakristo Torati 33:2 naye (Musa) Ibrahim (a.s.) aliomba nije, (Muhammad)! Lakini juu yenu mumuamini na akamwondokea kutoka alikuja kutoka Sinai, na ambaye Yesu (Nabii alipowaletea hoja zilizo mumsaidie. Akasema: Je, Seiri, aliangaza kutoka akawaondokea kutoka Isa ibn Maryam) (a.s.) wazi, walisema: Huu ni mmekiri na mmekubali kilima cha Paran, akaja Seiri kuja kwao; Aliangaza alitangaza hahari njema uchawi ulio dhaahiri!" kushika agizo langu juu Meribath-kadeshi. Upande kutoka kilima cha Parani, za ujio wangu.” (Surat As-Saff, 61:6). ya hayo? Wakasema: wa mkono wake wa kuume na alikuja na watakatifu Usemi huu unadokeza Mtume (s.a.w.) wa Tumekubali. Akasema: palikuwa na sheria moto elfu kumi. Kutoka katika aya zifuatazo za Qur an: Allah (s.w.t.) alikuwa Basi shuhudieni, na Mimi moto kwao.” mkono wake wa kuume “Ewe Mola mlezi akitazamiwa au akingojewa ni pamoja nanyi katika [NB. Tafsiri hii ni ya ilikuja sheria motomoto wetu! Waletee Mtume kuwa atakuja. Manabii kushuhudia. (Surat Aali Biblia ya Kiswahili ya kwa ajili yao”. anayetokana na wao, wote waliomtangulia 'Imran, 3:81). "Bible Societies of Kenya and Aya hii ya Torati awasomee aya zako, walimwongelea Mtume Makala ya sasa (ya Tanzania, Union Version, inaongelea kwa pamoja na awafundishe Kitabu (s.a.w.) na walitabiri ujio Biblia za Wakristo) ya 1952". juu ya Nabii Musa, Nabii (chako) na hikima wake. Taurati, Injili, na Zaburi, Tafsiri hii inakanganya Isa (Yesu, na Muhammad (nyingine) na awatakase Aya ya Qur'an 3:81 mpaka hivi sasa (baada ya makusudi hapo inapotaja (a.s.). Kwa mfano ikitaja (na kila mabaya). Hakika inataja waziwazi kuwa kukarabatiwa), zinazo aya 'Merebath Kadesh na Sinai kule ndiko Nabii wewe ndiwe mwenye Mola (s.w.t.) Alifanya zinazozungumzia Nabii kutowataja masahaba au Musa (a.s.) alikoongea nguvu, mwenye hekima” Kiaga (covenant) Muhammad (s.a.w.) na hata watakatifu 10,000 kama na Mwenyezi Mungu (Surat Al-Baqarah, 2:129). maalum na Manabii Maswahaba . Marehemu ziandikavyo tafsiri nyingi (s.w.t.) akapewa Kitabu Na Isa bin Mariamu kwamba watamwamini Husayn Jisri alizitambua za Kiingereza (na za lugha cha Taurati (Torati). aliposema: Enyi Wana na watamsaidia Mjumbe jumla ya aya 114 za aina zingine za kigeni) kama Inapoitaja Seiri, pale wa Israili! Hakika mimi huyo atakayekuja baada hii na akazinukuu katika Biblia hii "Authorized ni mahali huko Palestina, ni Mtume wa Mwenyezi yao na atakayethibitisha kitabu chake Risalat Al- King James Version, 1979", ambako Yesu (a.s.) Mungu kwenu, ujumbe waliouleta wao. Hamidiya. Hapa chini ambayo imeandika hivi: alipokea Wahyi (Ufunuo ninayethibitisha yaliyo Na pale Mwenyezi tunanukuu baadhi ya "Deuteronomy 33:2 ‘And wa Kiungu). Na ikitajwa kuwa kabla yangu katika Mungu Alipochukua aya hizo (kama Biblia he (Moses) said, The Lord Paran, ndiko ambako Taurati, na mwenye ahadi (kiaga) kwa Manabii: zao Wakristo wenyewe came from Sinai and rose Mwenyezi Mungu kubashiria habari njema za Nikisha kukupeni zinavyoandika). up from Se'ir unto them; (s.w.t) Alikojidhihirisha kuja Mtume atakayekuja Kitabu na hikima, kisha “Kumb. La Taurat he shined forth from mount Yeye Mwenyewe kwa baada yangu; ambaye jina akakujieni Mtume mwenye 33:2 (Musa) Akasema: Paran, and he came with ten walimwengu kwa mara ya lake litakuwa ni Ahmad kusadikisha mliyonayo, ni ‘Bwana alitoka Sinai, thousand saints: from his Inaendelea Uk. 7 AN-NUUR 7 Makala RABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 13-19, 2015

Inatoka Uk. 6 kushughulika na mambo mwanadamu. Na hiyo ya imani na masuala ya Qur’an, ndiyo dhati ya Uislamu hapa Uturuki na ulimwengu na moyo wake. Mwangaza wa Qur’an huko katika ulimwengu Ni akili ngapi imepanda waliyoyamiminiwa juu baaada ya miaka mingi katika mawazo yake wa Kiarabu. juu nazo? Hakika kanuni Ninamuomba za maumbile na taratibu za yao miongoni mwa uovu ya mapambano yenye fikra na maana mapya na adhabu. kuendelea kwa kuungana yaliyoongezwa ambayo Mwenyezi Mungu amlipe ulimwengu, zinaungana kutokana nasi Al-Ustadh katika mbingu ya matamko Kwa hakika ametikisa upya. aya zinayachukua Muhammad (s.a.w.) kwa Hizi – ee ndugu yangu kutokana na muundo wake aliye mbora Fethullah yake na aya zake na Gullen malipo na rehma katikati yake inalala akili ulingano wake moyo wa msomaji ni baadhi ya wa kilugha na wakifasihi mbingu zikakung’utika fikra na hisia na maana yote na kutokana nayo na hazivuki mpaka kabisa ya Mwenyezi Mungu inanusa pumzi za maisha mpaka zikawa ni ziaka mbalimbali yaliyokuja mwenye uwezo mkubwa la mishale ya moto katika kurasa za kitabu katika kuwa mbali na na ndani yake zinaungana misingi ya tafsiri na nguzo sana, ayaweke malipo nguvu za maumbile inayochomoka iliyozipata hiki na ninataka kufanya hayo katika madaftari ya nyoyo za mashetani uzindushi kwenye zake zenye kujulikana. na ubora na vyote Hapana shaka kwamba matendo yake katika siku hivyo vinazama katika na wafuasi wao katika kwamba, mtungaji wa mushirikina popote kitabu Mwanachuoni mawazo haya yalitolewa ambayo hayatafaa mali mmiminiko la mapenzi ya wala watoto isipokuwa Mwenyezi Mungu nayo watakapokutwa na Mkubwa sana Al- na mazingira ya wakati wa vyovyote watakavyokuwa. Ustadh Fethullah Gullen wakati huu na yaliyafunua kwa atakayemwendea inazitia nguvu, nguvu za Mwenyezi Mungu na vitambuzi na inafungua Kati ya moyo wa hakudai kwamba yeye hayo maarifa ya wakati Muhammad (s.a.w.) na yuko katika uwanja wa huu na elimu zake na moyo uliyosalimika. madirisha ya fikra na Yaelewe hayo, na inawasha mageuzi ya moyo wa Al-Kaaba, pana tafsiri kutokana na zile maelekezo yake ya kifikra ambazo amezishughulikia hamu katika shina la nyoyo hamu yenye kubadilishwa na ya kiroho na Mwenyezi sifa njema anazistahiki na roho. Ama wabora wa ya ndani na yenye kina miongoni mwa aya za Mwenyezi Mungu Qur’an pamoja na Mungu amrehemu An- fikra, wao wanakuta humo sana. Imezama katika Nours ambaye alisema: mwanzo na mwisho. ubora wote na ushujaa kuyamiliki kwake masharti uzamani, hiyo Al-Kaaba “Hakika zama ni mfasiri Arehemu Mwenyezi wote, na ukubwa wote. Ni ni pacha wake katika yote ya maarifa ya kutafsiri Mungu na aokoe na fikra ngapi imezifitini? Na na zana zake na yote mkubwa sana wa Qur’an”. kupatikana. Nayo ni nusu Na mimi nina matumaini abarikiwe juu ya mwisho muonjaji sana imemathiri? ya dhati yake na ni baadhi ambayo ameyafanya. Ni wa Manabii na Bwana Na ufasaha umepiga na kwamba yeye amesajili makubwa sana kwamba umeinama kwa sababu ya ya mafungu ya johari mawazo haya kuhusiana wa Mitume Muhammad ya hakika yake katika katika kitabu hicho yale ufasaha wake? aliyoyapokea miongoni na baadhi ya aya za Qur’an (s.a.w.) aliye mwaminifu Kwa hakika Qur’an vioo vya ulimwengu wa mwa miwako na ming’ao tukufu yatapata mwangwi na juu ya jamaa zake na imechanachana sanda mfano. Na siku ambayo na ishara mbalimbali mpana sana katika fikra maswahaba zake wote. za ukimya kuhusiana Makkah iliweka amana kutokana na baadhi ya ya msomaji wa Kiarabu (Huu ni utangulizi na utume uliopita, na yake iliyo ghali mbele ya yale yanayomeremeta na hisia yake, kwani kama ulivyoandikwa na imewasimamisha Mitume ulimwengu, yaliifinika katika mbingu ya hisia kuyafasiri haya matendo Adib Ibrahim A-Dabbaqh waliyotangulia kutoka Al-Kaaba maungu ya yake yenye nguvu kutoka ya wito na ya kifikra ya wa Kitabu “Miyangaza katika malazi yao na huzuni kwa sababu ya katika nyota za Qur’an. Al-Ustadh Fathullah ya Qur’an katika mbingu imewatamkisha ili waseme yale yatakayoletwa na Na pamoja na hayo, kwa kwenda kwenye lugha ya hisia” kilichotungwa tamko la ukweli kuhusu masiku yajayo huko hakika yeye hakughafilika na Muhammad Fethullah Muhammad (s.a.w.) na ili mbele miongoni mwa ya Kiarabu ni kitendo cha kabisa na maoni ya wafasiri Gullen. Kimefasiriwa aliwazike kwa pumzi zao kufariqiana na kutengana wengine katika aya kuzichangamsha fikra na na aufuate mwenendo wao kulikopangwa, ambako ambazo amezizungumzia, kazi hizi ni kubadilisha kutoka Lugha ya Kiarabu na kwa yale waliyoyapata hapana makimbilio yoyote isipokuwa yeye katika uwanja wa maarifa kuja katika Kiswahili na miongoni mwa ushupavu na kutuka kwake kabla ya amejipanua kidogo katika ambako ni kuzuri sana Sheikh Suleiman Amran wa watu wao na yale makadirio kutoa nafasi na aya hizo na zimeweka kali ya akili za wenye Kilemile.)

Inatoka Uk. 6 Hiyo aya ya mwisho kwa Wahyi Wake Kumbukumbu la Torati Aliyompelekea Nabii (Deuteronomy), kwa Muhammad (s.a. w). Nabii aliyekuwa akingojewa mujibu wa Makala ya Paran ni safu ya milima Kiarabu iliyopigwa chapa kule Makka. Imetajwa haq (Isaka) ni ndugu, 17: Mungu akasikia sauti ya (Mwa 21:15) jijini London mnamo katika Taurat na Torati ya kwa kuwa wote ni vizazi kijana (Ishmaeli). Malaika Na kama tujuavyo, mwak wa 1944, imeandika Biblia katika aya nyingi vya babu yao mkuu nabii wa Mungu akamwita kisima cha Zamzam pia kama hivi: pamoja na aya hii ifuatayo: Ibrahim (a.s). Hajiri kutoka mbinguni, kiko katika eneo lile Parani “Deuteronomy 33:2 He Mwanzo 21:19,21, kuwa Yaani Waarabu akamwambia una nini (yaani kule Makka), kama came with myriads of holy mahali pale ni jangwani walitokana na Nabii Ismail Hajiri? Usiogope, maana ilivyosema Qur'an: ones, in his right hand was ambako Hajiri (Hagar) (Ishmael), na Wayahudi Mungu amesikia sauti ya “Mola wetu Mlezi! an axe of fire with two edges”. alikoachwa na mume walitokana na nabii Is- kijana (Ishmaeli) huko Hakika mimi nimewaweka Ambayo maanaye haq (Isaac). Kwa hiyo aliko 18: (Ewe Hajiri, hebu) baadhi ya dhuriya zangu kwa Kiswahili ni kama wake, lbrahimu (a.s.) ili (Hajara na Ismaili) katika aishi na mwanawe, Ismail Waarabu ni mabinamu ondoka ukamwinue kijana ifuatavyo: “Alikuja wa Wayahudi. Isikilize (Ishmaeli), ukamshike bonde (hili la Makka) lisilo na watakatifu wengi ( au Ishmael) aliyekuwa kuwa na mimea, kwenye mwana wa kwanza wa Biblia inavyotuarifu juu mikononi mwako, Kwa (maswahaba) na katika ya ndugu hawa-Waarabu Nyumba yako takatifu mkono wake wa kuume Nabii Ibrahim na mkewe kuwa nitamfanya kuwa (ya Al- Kaaba), ewe Mola Hajiri, na kwa kuwa wote na Wayahudi: taifa kubwa (la Waarabu). akiwa na shoka (jambia) wawili, hususani mwanae “Yale maji, ambayo 19: Mungu akamfumbua wetu Mlezi, ili washike lenye ncha mbili.” Ismail, walikuwa na kiu Ibrahimu alimuachia macho, naye akaona swala, Basi zijaalie nyoyo (Kumbukumbu la Torati sana, Mwenyezi Mungu Hajiri (Hagar) na mwana kisima cha maji (Zamzam) za watu zielekee kwao, 33:2) (s. w.t) akamtengenezea wao Ishmaeli yakaisha akaenda akakijaza kiriba na waruzuku matunda, Aya hii inaongelea juu ili wapate kushukuru.” ya Nabii aliyetabiriwa kisima (cha maji ya katika kiriba, akamlaza maji, akamnywesha kijana. (Surar Ibrahim, 14:37). Zamzam). kijana (Ishmaeli) chini 20: Mungu akawapa na Ni kwa sababu ya tabiri ambaye atakuja na Kumbuka kuwa ya kijiti kimoja. 16: huyo kijana (Ishmaeli), za dhahiri kama hizi maswahaba wengi ambao Muhammad (s.a.w) ni (Hajiri) Akaenda akakaa naye akakua, akakua, ndani hata ya Taurati (ya ni watakatifu sana, na kizazi cha Nabii Ismail akimkabili (Ishmael) mbali akakaa katika jangwa, watu wa Kitabu, yaani ataruhusiwa na ataamriwa (Ishmael), wakati Yesu ni naye kadiri ya mtupo wa akawa mpiga upinde. 21 Mayahudi na Wakristo), kupigana na maadui zake kizazi cha Is-haq (Isaka mshale, maana (Hajiri) : (Ishmael) Akakaa katika ndiyo Mayahudi walimjua wakimchokoza. au Isac) na wote wawili, alisema, Nisimwone kijana jangwa Ia Parani, mama na kumtazamia kuja Nabii (Uchambuzi wa Maisha Muhammad na Yesu na (lshmaeli) akifa (kwa kiu), yake (Hajiri = Hajara = wa Mwisho, na wakajua ya Nabii Muhammad, babu zao wakuu (wahenga naye akakaa akimkabili, Hagar) akamtwalia mke kwamba atatokezea kule kama ilivyoandikwa na wao), yaani Ismail na Is- akapaza sauti yake, akalia. katika nchi ya Misri.” Parani, yaani Makka. M. Fetullah Gulen.) AN-NUUR 8 Makala RABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 13-19, 2015 CCM na CUF Zanzibar: Viwili visivyochagulika! Na: Mwandishi Maalum mzigo usiobebeka tena kwa wananchi wa Zanzibar. KUNA msemo maarufu Utawala wa mabavu, wa Kiswahili usemao; siasa mbaya za muungano ‘Viwili vyachagulika!’. unaolenga kuibana na Naam! Swadakta kwa kuifuta Zanzibar katika kiasi fulani. Lakini kwa ramani ya dunia ni sehemu upande mwengine, usemi ya makununu yaliyoibwaga huu una mapungufu au chali CCM visiwani. Pamoja labda tuite mipaka yake. na hayo na zaidi ya habari, Kwamba licha ya usemi huu sera ambazo zilipelekea kuwa na ukweli kwa kiasi udumavu mkubwa wa kikubwa, ikumbukwe kuwa maendeleo ya kiuchumi na sio kila siku, kila wakati na kijamii Zanzibar na ubaguzi kila mahali kuwa msemo wa wazi wazi wa kuibeba huu utasadifu na kusibu Tanganyika na Watanganyika muktadha unaoaminiwa na kwenye kila nafasi ya kukubaliwa na walio wengi uongozi na kuwadharau – tukiwemo mimi na wewe! Wazanzibar ni chache tu Mfano ulio hai kuthibitisha ya sababu zilizoiuwa CCM mapungufu ya usemi huu visiwani mpaka kufikia hali ni ule wa vyama vikuu ya kusimamiwa na nguvu viwili vya siasa Tanzania, za dola ili kubakia kwenye hasa hasa kwa upande wa hatamu hadi hivi leo. Zanzibar, yaani vyama vya Wakati CCM ikikosa nguvu CCM na CUF. Tukiipigia visiwani, CUF iliibuka kwa kishindo na kuungwa mkono RAIS wa Zanzibar, Dkt. akihutubia katika viwanja wa kijicho cha historia, siasa ya Kibandamaiti, Zanzibar. vyama vingi nchini iliingia nchi nzima. Uchaguzi wa mwaka 1995 ukawa shahidi rasmi mwaka 1992. Kwanini leo. lakini hawakupewa kula majani na kufuja nianzie mwaka huo? Naam! wa haya. Kilichotokea, kimezaa utamaduni ulioweza CCM Zanzibar wao ushindi – yaani waliibiwa mpunga wa wanyonge. Na Nataka nipime uhai na umri wanajua fika kuwa hawana na kuporwa ushindi wao. ni kwa utamaduni huu huu, wa neema hiyo ya vyama kuipa CCM thubutu na nguvu ya kujinyakulia nafasi kwa wananchi hata Tangu hapo hadi leo, huo ndio ulioibwaga CCM ambao vingi ambayo pamoja na wakifanya sarakasi za aina ndio umekuwa wimbo wao leo hii CUF imeona ni njia kuwa lengo lake kuu ni madaraka kiubwete na kubaki madarakani bila gani na usanii wa kiwango cha wa kuwadanganya wananchi nzuri kwao kuifuata. Njia kukuza demokrasia, kijuu miujiza, wanajua hawashindi. ambao hadi sasa hawajaamka iliyomtia kipofu shimoni, juu ifahamike kuwa lengo pia kupingwa hadi leo. Kuna habari, toba sikio, kuwa Lakini watafanyeje wakati kuwa CUF ni chama cha akiipita tena mwenye macho ilikuwa ni kuwapa wananchi huyo ambaye wananchi watu tu wenye kuwachezea yake akatumbukia humo fursa ya kujichagulia kile katika uchaguzi wa 1995, dunia nzima ilishakuwa na wanamtaka hajawa tayari mchezo fulani wa kisanii ili pia, huyo huitwa ujinga au waonacho chafaa! kuchukuwa nchi? kupata maslahi yao binafsi na juha kalulu. Maafa yakimfika Ikumbukwe hapo awali, taarifa za kuaminika kuwa CUF kupitia mgombea wake Tumeambiwa na maandiko hata sio ya kichama angalau. huwa ni maafa ya kujitakia enzi ya chama kimoja kuwa historia inajirudia. CCM, ilikuwa na iko kama na haambiwi pole asilani. Na kushika hatamu, kwenye Maalim Seif Sharif Hamad, ilishinda uchaguzi huo wa Na kama hayo ni kweli, hivyo tangu zamani. Na kwa hapo ndipo CUF inapojikwaa karatasi ya kura tulikuwa ni yumkini kusema kuwa bahati mbaya, CUF imefuata ikaingia mkumbo mmoja na tukiwekewa ukuta na mtu urais. Taarifa za habari za siku CUF kama ilivyokuwa ASP, nyayo hizo hizo. CCM ya leo shimo moja na CCM! kama mgombea. Hapa haikuwa na nia ya kuiongoza imejaa viongozi wabinafsi. Kwa kufunga mjadalala, ilikuwa huna hiari – ama moja kabla ya matokeo rasmi ya uchaguzi wa urais nchi kiudhati. Kwani haingii Ubinafsi huzaa ufisadi. labda niseme kuwa pamoja upige ngumi ukuta uumize akilini hata kidogo kuwa CCM imejaa watu wasio mkono wako, au umchaguwe Zanzibar kutangazwa, na yote hayo, hoja inabaki zilishatangaa habari zikitoa chama ambacho kinaungwa na uchungu na nchi yao na kiongozi aliyepitishwa na mkono na asilimia sabiini ya hata hawawaonelei huruma kuwa wananchi wa Zanzibar wenye nguvu. Chaguo ni bishara ya ushindi huo. wanahitaji mabadiliko. Na Maalim Seif, akijua wazi wapiga kura au zaidi, kiwe wananchi wanaowaongoza. lako – kusuka au kunyoa. hakishiki hatamu daima. Nayo CUF imefuata nyayo mabadiliko hayo yanatokana Kimantiki, huu haukuwa ameshinda, alijifungia na vyama na sio UAMSHO nyumbani kwake Mtoni Tena kwa visingizio tu vya hizo hizo tena. Kwa mfano, uchaguzi wa kidemokrasia kuwa keli ‘tumeibiwa’, kelije mchakato wa kuwapata kamwe. Wanahitaji na kwani haukumpa mwananchi Kidatu akisubiri kisakina cha CCM kikamchukuwe ‘hatukupewa’ au hanrere wabunge na wawakilishi kutaraji vyama vyao vya sauti na fursa ya kuchagua kimpeleke Ikulu akawe Rais. hanrere za ‘wenzetu wana wa CUF umejaa ukiritimba. siasa wanavyoviamini kile akipendacho. Sasa hivi ni Ajizi nyumba ya njaa! Wazee nguvu ya dola watatuuwa Na hata hao viongozi na kuvikubali kuwa miaka ishirini na mbili tangu wa CCM wakakutana usiku sote tubebe jukumu ahera!’ wenyewe wa majimbo vitawafikisha pazuri. kuja kwa demokrasia ya kabla ya matokeo na mmoja Siasa si mchezo wa bao, wakishapatikana, huoni Hofu yangu, baada ya vyama vingi nchini. Ni muda kati ya viongozi mashuhuri kuwa usafiri na utakase kisha wanachokifanya majimboni miaka ishirini ya danganya muafaka ambao unatupasa zaidi wa Tanzania wakati ulale kwenye kishimo bila zaidi ya ujasiriamali wao ya kutoa gharama na hata binafsi. toto ya CUF kwa wananchi tuyahakiki na tuyatathmini huo alisema; ‘Hajawa tayari waliokwisha ikacha CCM mafanikio tuliyoyapata kwa kuwa Rais. Msimtangaze!’. kuondoka wala kutoka jasho. Ndani ya CUF kuna watu Siasa yataka ujasiri wakati ambao ndio “nguzo ya iliyokwishafeli kabla ya kuwa na mfumo huo nchini. Na ilikuwa kweli tupu. Siku kuzaliwa CUF, naona ipo haja Ukiuangalia umri fulani. kipembe ya CUF”. Lakini iliyofuata jioni Komandoo Ila ni kweli pia kuwa kwa CUF kubadilika haraka wa kile kiitwacho vyama akatangzwa! Kilichotokea kisichojulikana ni kuwa vingi nchini, na ukiangalia siasa yahitaji busara. Watu nguzo hiyo haimaniki wala iwezakanavyo ili kurudisha baada ya hapo ndicho wapatane bila kumwaga mabadiliko ya kimaendeleo tunachokiona hadi hivi leo. haitegemeki kwa sababu ni matumaini ya wananchi na matarajio ya mwananchi, damu. Lakini iwapo tu mbovu na ndio chanzo cha ambao nayo muda si mrefu Sina haja ya kukumbusha watu wote wa pande mbili utakuta hayaridhishi ingawa kilio matangani. chama cha CUF kubwagwa yatapotea. Pemba itaacha hatua japo ndogo imepigwa. watakuwa na misingi Ukweli usio chenga chenga ya kutendeana haki na hata kikishinda uchaguzi kuiamini tena CUF ingawa Mambo hayaridhishi ni kwamba Maalim hakuwa kuheshimiana. Kinyume na kwa asilimia mia ngapi! haitaiunga mkono tena CCM. kinamna gani? Kuna sababu tayari. Na kwa vile hakuwa Tusiwasahau na wale Itakubali isipige kura au nzima hapa! Sababu yenyewe tayari hakutangazwa kuwa hapo, inakuwa ngumu. waliojivisha mbawa ili wakale Chakushangaza siku hizi iuze vipande vya kupigia ni kwamba baada ya CCM mshindi wa Urais mwaka karamu ya ndege angani. kura kwa vyama vyengine, kukosa umashuhuri na CUF hufanya manyanga ule, na uchaguzi uliofata wa Shiba ilipowazidia mbawa kwa kuonyesha kukata kwao kupoteza nguvu ya umma 2000 akaambulia ngangari yake kwenye uchaguzi kisha zikapapatuka wakaanguka hasa visiwani, vyama feki, na uchaguzi mwengine, kikishapoteza, badala yake chini. Ukweli ukafichuka. tamaa kulikotokana na vyama vilivyojitokeza kuipinga na uliofata. Uchaguzi ujao, hushikilia dharura za kujitoa Tukawajuwa kuwa walikuwa vyao walivyovipenda kuishia CCM, licha ya kupata nguvu hatujui hali itakuwa vipi! kimaso maso na kuwapaka wanafiki ndani ya chama. Na kuwasaliti – yaani CCM na kubwa ya kuungwa mkono Huo ndio ukweli ambao wananchi mafuta kwa nyuma mifamo haiishii hapa tu. Kuna CUF. Na ikifikia hatua hiyo, na wananchi, vilirejea makosa wananchi, hasa hasa, ya chupa kwa kuwaambia makobe wengi ndani ya CUF wananchi watashindwa yale yale yaliyoiangusha wafuasi wa chama cha CUF uongo huu na ule. Mathalan, waliojivalisha mbawa ili kuila kuamua wachaguwe kipi, CCM visiwani. wanaoamini siasa za chama walipokosa kushika hatamu karamu ya ndege angani. maana vyama vyote viwili Nakumbuka hadi kufikia chao kibubusa wanakuwa katika uchaguzi wa kwanza, Wakishashiba tu, warudi CUF na CCM vimefanana miaka 25 tu, CCM ilishakuwa wagumu kuuamini hadi hii CUF walisema walishinda chini makwao waje waongeze kwa kila hali! Havichaguliki! AN-NUUR 9 Makala RABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 13-19, 2015 Imekuwa hamkani sio shwari tena Na Ben Rijal Kisiwandui. Kituo Kikuu cha Daladala Kuhamia Kiswandui Kama wakuu wa Baraza HAMKANI sio shwari la Mji wangefanya utafiti, tena. Kumekuwa hakukai ingebidi kubakia na kituo sawa na kila kukicha kile na huku wanatafuta yanakuwa hayo kwa njia nyengine ya kudumu. hayo maji ya futi na Lazima mwenye kuhusika nyayo. Kusema kweli na watu ajuwe hao watu tunaambiwa kuwa ili wapo idadi ngapi na tuweze kuendelea na wangapi wenye vipando kujua hapa tulipo kama vyao hawategemei kuna mustakbala mwema vipando vya Umma na huko mbele, ni muhimu wangapi wanatumia kuzingatia kufanya utafiti magari ya serikali n.k. katika nyanja mbalimbali Aidha, mtafiti kuanzia kilimo, afya, anaangalia kukua na kijamii, mazingira, elimu, kuongezeka kwa watu nini mawasiliano, n.k. kinahitajika kufanyika, Tafiti nyingi za Afrika kwa mfano kisiwa cha zinakosa kupatiwa fedha Zanzibar katika mwaka za kutosha na matokeo wa 1964 idadi ya watu yake huwa kinyume na wake ilikuwa ni watu laki matarajio na inaelezwa tatu (300,000) laki mbili kuwa kila kukicha katika ikiwa imestakimu Unguja nchi za Afrika, badala ya na laki moja ipo Pemba kuongezewa bajeti za tafiti na kutokana na Sensa matokeo yake huwa fedha iliopita ya mwaka wa 2012 za tafiti hupunguzwa. inatueleza kuwa idadi ya Kwa mfano nchini Afrika watu wa Zanzibar kwa Kusini nchi ambayo ina sasa ni Milioni moja na laki uchumi imara kati ya nchi Jengo la Kiswandui na Kituo cha mabasi ya Kiswandui. tatu (1,300,000) ongezeko za Ki-Afrika mwaka wa hili la watu linaingia 2014 iliripotiwa kuwa katika masafa yale yale fedha za kufanyiwa utafiti ya kisiwa ambacho watu zimeporomoshwa na wameongezeka lakini serikali kuu kwa asilimia masafa ya kisiwa ndio yale 0.71 kutokana na pato la yale au unaweza kusema kila mtu (GDP) unaposikia hata yanapungua kwani haya unapata kiwewe na tunaelezwa kuwa kuna kujiuliza Afrika inaelekea maeneo yasiopungua 125 wapi? yamevamiwa na maji ya Najaribu kuzungumzia chumvi baadhi ya maeneo tafiti kijuu juu kwasababu hayo yalikuwa ni ya mengi yanayotupeleka kilimo, mengine ni makazi kombo nikutokana ya watu. kuwa hatufanyi tafiti, Katika miaka ya sitini tunaulizana kwanini siku kituo hicho cha Darajani hizi Polisi wamekuwa kilikuwa kinapokea wakimkamata mtu huanza magari kwa siku nzima kumtwanga vya kutosha magari yasiozidi 15 hata akifika kituoni huwa yakiwa ya Makunduchi yupo hoi au kama huku mawili, Fuoni moja, tusemavyo chicha kabisa. Jumbi mawili, Nungwi Kuna sababu ya haya moja, Mkokotoni moja, kutendeka na ili tuweze Kizimkazi moja, Chwaka kupata jawabu kunatakiwa moja, Ndijani moja, kufanya utafiti. Bumbwini, Mangapwani Suala la magari ya moja, Bwejuu moja, daladala kupiga nyimbo Matemwe moja n.k Hio ni kwa sauti kubwa na miaka ya sitini kwa mfano madereva wake kuwa gari kutoka Makunduchi uhuni upo mbele koliko SEHEMU ya kuegesha magari Darajani. likiingia mjini linabakia ustaarabu, kwanini hapo hadi mchana ndio yanakuwa hayo? Kuna vyote vilikuja kutokomea kukuweko kwa vyura. na eneo hilo lilokuwa kituo linarudi huwa na safari sababu na Kenya waliwahi katika mashamba ya Tafiti ni muhimu sana cha daladala hivi sasa moja tu kwa siku. Leo gari kufanya utafiti katika mpunga, wakulima sana na kukosekana ni sehemu ya kuegesha hizo zinafanya hata safari makondakta na utingo walipata tija ya muda kufanyika tafiti matokeo magari ambao watu tatu kwa siku kutokana wao kujua kwanini mfupi, baada ya mwaka yake ni kuendelea kuwa hutozwa ada. Nitanena na mahitaji ya watu. wanafanya mambo yalio tu, uliingia ugonjwa wa na kilema kisichoponyeka kama wanenavyo wengine Magari yameongezeka sio ya kikawaida, tafiti mpunga kukunyaa na ikiwa kilema hicho kunena kuwa kuondolewa kutokana na idadi ya ilikuja kufichua kua zaidi kushindwa kuvuna, utafiti kinaponyeka. kwa kituo cha Darajani watu kuongezeka ambao ya asilimia 80 kati ya ulipofanyika kujulikana Nimejaribu kujenga kulifanyika pasi na wanahitajia usafiri madereva na utingo wa sababu ya maradhi hayo, hizi hoja kutokana na kufanywa utafiti ila tu jazba nathubutu kusema kwa matatu huwa wanavuta ilikuja kugundulikana kua azma ya makala haya juu na utashi wa wahusika siku ingia toka ya magari bhangi. vyura walikuwa wakila ya kituo cha Daladala ndio walikurukupa na hapo Darajani yanafikia Nchini India walikuja bakteria ambao bakteria kilichohamishwa kutoka matokeo yake kwa sasa idadi ya kuingia na kupata soko la kuuza vyura hao ndio waliokuja kuleta hapo Darajani na kuwa na kila aina ya adha kutoka kwa magari mia nchini Sweden na vyura madhara, kwa kukosekana kuhamishiwa Kisiwandui na baa na belwa mtaa wa Inaendelea Uk. 13 AN-NUUR 10 Makala RABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 13-19, 2015

Na Omar Msangi hawana wasiwasi huo kwa sababu Wazanzibari HIVI karibuni mwandishi wenyewe wanaimba Mohammed Ghasani Ghasani, hili ndio kosa la Wazanzibari…. wimbo huo huo, wagawe aliandika makala uwatawale-Hawana ndani yake akahoji, agenda ya Uzanzibari kosa la Wazanzibari wala ya Uislamu. Lao ni nini hata ‘Tanganyika’ Pemba Vs Unguja na hofu iwang’ang’anie hivyo Kila uchochoro Mji Mkongwe ya kurudi Muarabu!!! na kutowapa fursa ya Inalillahi waina ilaihir kupumua na kuamua aina rajiuun! ya muungano wanaotaka. Maadhali hiyo ndiyo Jibu la swali hilo hali ya Wazanzibari, sina analieleza vizuri Waziri akina ‘William’ wanaona gaidi haja ya kuwazungumzia Mheshimiwa William hapa. Agenda yangu Lukuvi wakati akiongea Ila kama ni balaa wataleta Wazungu na… itakuwa pana zaidi. Hili na waumini wenzake la ‘Waislamu siasa kali’ Wakristo kanisani. ambao Mheshimiwa Anaeleza Mheshimiwa Wanaopiga kampeni za chuki kanisani Lukuvi anadai kuwa Lukuvi akianza kwa watazalishwa Zanzibar kuwahoji Wakristo kukiwa na serikali ya wenzake: Sio hizi porojo za Waarabu wa Oman Kiislamu. “Eti tuwaache Japo suala la Zanzibar/ Wazanzibari Tanganyika na mfumo wajitawale wenyewe wa Muungano lina na Watanganyika… historia ndefu toka wakati Wazanzibari kule waliko, wa Mwalimu, lakini asilimia 95 ni Waislamu. anachozungumza hapa Tunataka wajitangazie Mheshimiwa Lukuvi, serikali ya Kiislamu kule!” ni propaganda ile ile “Hapana.” Sauti iliyobuniwa na mabeberu inasikika baadhi ya katika kutekeleza malengo waumini wakijibu. Kisha yao. Naye sasa anaitumia anaendelea kuuliza kufanikisha siasa za Lukuvi: Tanzania katika suala “Mnajua madhara la muungano, lakini pia yake?” Inasikika sauti katika kuendeleza ile ya waumini wakijibu: Crusade aliyotangaza “Makubwa sana.” Bush. Waziri Lukuvi Kama walivyosema anaeeleza: “Wale Waarabu wataalamu mbalimbali watarudi. Watazalisha kuwa hakuna mtu siasa kali kule watakuja mwenye akili yake timamu kutusumbua.” anayeweza kuamini kuwa “Mimi najua, kabisa. kuna gaidi anayeweza Kwa hiyo ndugu zanguni, kutoka Afghanistan au mnaposikia mjadala kule, Uarabuni na kufanya kuna watu unaweza kuona gharika kama ile ya kama wana nia njema Septemba 11, Marekani, wanataka kuwasemea hakuna pia mtu mwenye wale wanaoitwa akili yake timamu Tanganyika, lakini wana anayeweza kuamni kuwa siri yao moyoni. Kwamba SULTANI wa Oman,Qaboos bin Said Al Said akimtunuku Rais Dkt.Jakaya Mrisho Waarabu wa Oman au labda ikipatikana hii Kikwete nishani ya juu ya heshima, Taifa la Oman wakati wa dhifa ya kitaifa Wafursi wa Iran, wana serikali na sisi tutashinda iliyoandaliwa kwa heshima ya Rais Kikwete na ujumbe wake jana jioni katika kasri mpango wa kuja kuikalia tutatawala.” ya AL Alam jijini Muscat Oman. Zanzibar. Lakini ni “Zanzibar ni nchi ndogo uwongo tu unaozuliwa, sana. Ina watu milioni ikapigwa propaganda na moja na laki tatu. Sisi tuna wakapatikana wajinga wa milioni arobaini. Unaweza kuamini propaganda hiyo ukauliza, kwa nini sisi ili yatimie yanayotakiwa tunaing’ang’ania sana ile? katika siasa. Lakini sisi tunaangalia Kama ni kuvamia nchi, mbele. Madhara ni na kama ni kuvurugwa makubwa kuicha Zanzibar nchi zetu, zitavurugwa na kama ilivyo….bora tuwe Wazungu wanaoivuruga nao.” Ukraine hivi sasa kwa Bwana Ghasani, hilo sababu ya kupigania ndio jibu. Zanzibar mafuta na gesi na kusimika ikiachwa, Waarabu hegemonia (hegemony) watarudi, watazalisha yao katika eneo hilo. “Waislamu siasa kali”, Inayoitwa vita dhidi ya wataisumbua Tanganyika. ugaidi, vita dhidi ya ‘siasa Labda sasa swali ni je, kali’ hivi sasa ina miaka kwa nini Zanzibar nao 14. Ilianza rasmi mwaka wasiwe na wasiwasi kuwa 2001 baada ya Sepetmba 11 wakiwa chini ya makucha ikafuatiwa na uvamizi Iraq. ya ‘Watanganyika’, Kwa muda huo wa miaka Wakristo watawapa tabu 14 wa kuunda majinamizi Waislamu wa Zanzibar? na mazimwi kwa jina la Mheshimiwa William Taliban, Osama bin Laden, Lukuvi na wale aliokuwa MHE. William Lukuvi akiwa Loliondo enzi za 'kikombe cha babu'. Saddam Hussein, Gaddafi, akiwahubiria kanisani, Inaendelea Uk. 11 AN-NUUR 1111 Makala RABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 13-19, 2015

Inatoka Uk. 10 kote. ((SFRC Testimony Assad, Al-Shabaab, ISIS, -- Zbigniew Brzezinski, IS, Boko Haram n.k, nchi February 1, 2007.) zaidi ya saba zimevamiwa, Kila uchochoro Mji Mkongwe Katika makala “Putting kupigwa mabomu na the Terror Threat In kushambuliwa kwa Perspective” iliyowekwa makombora ya drones. katika mtandao wa Hawa akina Karl Peters Washingtons Blog, wanaofanya haya, ndio akina ‘William’ wanaona gaidi inaelezwa kuwa matukio wa kuhofiwa kuwa wana mengi ya ugaidi na kitisho mpango wa kurudi cha ugaidi kwa ujumla, kutukalia au kutuletea kinafanya kupandikizwa machafuko tuuwane ili kutimiza malengo wenyewe kwa wenyewe ya kisiasa na kiuchumi. kisha wajifanye wasamaria Ikafafanuliwa kuwa nchi wema wa kutusaidia za kibeberu zimekuwa kijeshi na kikachero. zikitumia kitisho cha Na wakifanikiwa hilo, ugaidi katika nchi machafuko hayaishi. Ndio zinazolengwa kupandikiza hali ya Nigeria, Yemen na machafuko, uvamizi na kwingineko. kisha kufanikisha uporaji Mamilioni ya Waislamu wa rasilimali. wameuliwa kwa sababu ya Zaidi ya kutumia uwongo na propaganda ‘usanii’ wa kitisho cha zao, mamilioni wakatiwa ugaidi kuvamia na kupora vilema na mamilioni hivi nchi tajiri kwa rasilimali tunavyoandika, wamebaki kama mafuta, kitisho hicho kuwa wakimbizi. hutumika pia kuwasaidia Kwa wenye chuki na watawala kudumu Waislamu, mara nyingi madarakani. Aliyekuwa huwa hawaangalii athari WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Mkuu wa Usalama ya machafuko, vita na (kushoto) akikabidhiana mkataba na Afisa mmoja wa Oman. wa Ndani (Secretary of kuangamizwa kwa Homeland Security), Tom nchi wala ile agenda ya Ridge wakati wa George ujumla ya mabeberu. W Bush, akatoa mfano Wanachotizama ni kuwa ambapo alilazimishwa Waislamu wameuliwa, kupandisha kiwango wanabamizwa. Wanameza cha kitisho cha ugaidi ili propaganda ya ugaidi kumsaidia Bush kushinda na kuhalalisha kuuliwa uchaguzi awamu ya pili. Waislamu. Kwamba awatishe Ukirudi nyuma wananchi kuwa magaidi kulikuwa kuna kitu wa A-Qaidah karibuni kinaitwa Operation Gladio tu wataiangamiza (Italian: Operazione Marekani huku Gladio) au "stay-behind". wakipewa kumbukumbu Walikufa sana Wazungu ya Septemba 11, halafu wa Ulaya. Na hawa ionyeshwe kuwa Bush walikuwa ni Wakristo. ndiye mwenye mipango Mabeberu katika “Stay- sahihi ya kukabiliana na behind operations” kitisho hicho hivyo apewe zao ndani ya nchi za muda. NATO, hawakujali kuwa Ndio haya anayosema wanaokufa ni Wazungu Mheshimiwa Waziri, wenzao na Wakristo Bwana William Lukuvi. wenzao pia. Kwamba, maadhali kuna Hivi sasa Ukraine agenda ya kuidhibiti kuna zogo kubwa. Watu Zanzibar na maadhali wanauliwa. Kisa! Wenye hivi sasa bado kitisho cha uchu wa mafuta wanataka ‘Waislamu siasa kali na kuitia katika makucha ugaidi’ ni “dili”, kinafanya yao nchi hiyo bila kujali kazi; basi kinatumika watakufa watu wangapi kuwaunganisha Wakristo au nchi kuharibikiwa kiasi kupinga mabadiliko ya gani kama ilivyoharibikiwa mfumo wa muungano. Iraq na Syria. Kwa upande mwingine, Hatukuwahi kuwa na kinatumika kuwagawa ugomvi na wananchi wa kuwa Mshauri wa Mambo ya roho za watu wasio na kuwa kuna magaidi wa Wazanzibari, wabaki Somalia wala kuwa na ya Usalama wa Marekani hatia (collateral damage), Al-Qaida na ‘Muslim wakiogopa kitisho cha adui anaitwa ‘magaidi wa (National Security anasema hiyo ni dhambi Fundamentalists’ ambao kurudi ‘Muarabu’, badala Kiislamu’ kutoka Somalia Adviser), Zbigniew kubwa kwa Marekani ni maadui hatari kwa ya kusimama katika (Al-Shabaab). Lakini Brzezinski, anasema ambayo inaiondolea usalama wa Marekani. agenda moja ya Uislamu mabeberu kwa masilahi kuwa msamiati ugaidi heshma iliyo nayo duniani Akasisitiza kuwa uwongo na Uzanzibari. Lakini kwa yao wameivuruga nchi ile na magaidi, umekuwa kama taifa kubwa. Katika huo wa kusingizia kitisho hapo hawezi kulaumiwa wamezalisha Al-Shabaab, ni simulizi ya kutunga maelezo yake marefu cha ugaidi wa A-Qaidah Lukuvi. Kama Wazanzibari wamewatangaza kuwa ni ya tangu zama ambayo kwa Kamati ya Seneti, katika nchi za Kiarabu wenyewe hawajitambui, magaidi wa Kanda hii ya hutumiwa na wanasiasa Brzezinski anasema ili kusimika alichokiita Mheshimiwa William Afrika na sisi kama vipaza kisanii. kuwa, awali Marekani “U.S. regional hegemony”, Lukuvi yeye afanye nini! sauti vinavyotumia betri Brzezinski akieleza ilitumia uwongo wa utaleta madhara makubwa Mwezi Mei mwaka badala ya akili, tumekuwa jinsi sababu za uwongo Silaha za Maangamzi ikiwa ni pamoja na 2008 Chuo cha Kijeshi tukiimba wimbo huo huo. kuisingizia Iraq ugaidi (WMD) kuivamia Iraq. machafuko, mauwaji (United States Army War Akizungumzia vita na silaha za maangamizi Baada ya hapo inakuja na kuifanya Marekani College) kule Carlisle, dhidi ya ugaidi, aliyewahi zilivyoangamiza maelfu tena na uwongo mwingine kuchukiwa duniani Inaendelea Uk. 13 AN-NUUR 1212 MAKALA/SHAIRI RABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 13-19, 2015

UPOGO WA 'VALENTINE DAY' ! (SIKU YA WAPENDANAO AU YA WADANGANYANAO?)

Kalamu nimeishika, kuwauliza VIJANA, Majibu yenu nataka, msijefanya khiyana, Tanzania inavuna matunda Uhuni sitautaka, nijibuni kiungwana, SIKU hii VALENTINA, ASILIYE hasa NINI ? Amama mlojiweka, WAPAMBE wa VALENTINA, Nipeni basi hakika, nini hasa VALENTINA, Yu dada anotajika, au SIKU ya FITINA, ya kuikataa historia ya kweli SIKU hii VALENTINA, MUASISIWE yu NANI ? Inatoka Uk. 4 Rashid Makoko. Hali ilikuwa hivi ARUBASHARA 'kifika, FEBRUARI kwa sana, Chaurembo katika Kulikuwa na Sheikh Tanganyika nzima na Siku hii hunadika, eti ya wanopendana! mkutano ule, alikuwapo Seif Nassor Alhinawy Mahakama ya Kadhi Kwayo SHAKA ninaweka, na ninahoji bayana, ambae alikuwa Akida haikupata kuwa katika SIKU hii VALENTINA, TAREHE hii KWANINI ? Sheikh Nurdin Hussein na Rajab Diwani lakini pale Tanga na akihukumu agenda ya kufutwa uhuru LIBASI zinovalika, ni NYEKUNDU tena sana, mzungumzaji mkuu na kwa sheria. (Akida Seif utakapopatikana. Nini DUKUDUKU lanishika, kunako yake MAANA, ndiye baba ya wachezaji kilifanya serikali mwaka Kwa wale mnojivika, tafakarini kwa kina, aliyesukuma agenda hii SIKU hii VALENTINA, WEKUNDU huu wa NINI ? ikakubaliwa na TANU mpira mashuhuri katika 1963 ivunje mahakama na kutoa azimio alikuwa miaka ya 1960 hadi 1970, hizi? Jibu ninalo lakini Na NDEREMO huibuka, za MABIBI na MABWANA, Hemed Seif, Marshed Seif sitalitoa kwa sasa. Zinaa hukurubika, si usiku si mchana, Mufti Sheikh Hassan bin Kwa jozi kuchanganyika, hizo na kutomasana, Amir. Azimio lenyewe na Rashid Seif, ambao Kuna watu wanasema SIKU hii VALENTINA, MSETO huu KWANINI ? lilikuwa yeyote atakaeleta ukimtoa Marshed wote ati kuwa na Mahakama ya ndugu zake walivaa jezi Kadhi itavunja umoja wa MAHABA yanosifika, katu si ya kiungwana, udini katika TANU NDUNIYE yatambulika, ni UZINIFU kufana, “atatoswa.” Ningependa ya taifa). Kwa kuthamini taifa letu. Hapa linakuja Mwisho ni kuathirika, kwa GONJWA lile VIJANA, taasisi hizi za Kiislamu, swali, kwani Tanzania huo SIKU hii VALENTINA, HATIMA yake ni NINI ? sana kueleza historia hii lakini nachelea itakuwa kuna mtaa Waingereza umoja unaozungumziwa VIJANA mnopendeka, WAPENZI wa VALENTINA, nje ya maudhui. Lakini waliupa jina Akida Road tunao hivi sasa? Mbona Nyote ninawaalika, mlo na hoja mwanana, mtu unaweza ukajiuliza, (sasa Mkwakwani Road) kumekuwa na malalamiko Wazi mpate niweka, kwa marefu na mapana, kwa heshima ya Akida mengi tu kutoka kwa SIKU hii VALENTINA, WALENGWA hasa ni NANI ? vipi katika historia ya uhuru wa Tanganyika Seif Nassor. Waislamu kuwa serikali Kichwani natatizika, nahitaji mbayana, majina haya hayasikiki Katika Tanganyika, mji ina udini na inawabagua Mwenye HOJA za hakika, ZA mambo ya VALENTINA, wa Tanga ndiyo moja ya Waislamu? Mezani hoja naweka, niaunini VIJANA, kutajwa? SIKU hii VALENTINA, wa KUNIFUNDA yu NANI ? Haiyumkiniki hata miji iliyokuwa na historia Hii ilianza kama kidogo kuwa wazalendo nzuri sana ya Mahakama manung’uniko ya Upambe sitautaka, uso na hoja za ma'na, ya Kadhi. Mwanzo wa chinichini kwa miaka Japo utoke kwa kaka, au kwa dada Amina, hawa walipigania uhuru Sitaupa mlahaka, nakujuzeni bayana, wa Tanganyika ili waiweke miaka ya 1900 kulikuwa mingi na mwisho ikaibuka SIKU hii ni NAGONA, kama sio MZINGILE. kwenye madaraka serikali na Kadhi Omar Stambuli kwa sauti kubwa kuwa kisha akaja Kadhi Ali bin nchi yetu inatawaliwa na ABUU NYAMKOMOGI ambayo itakuja kuvunja MWANZA. misingi ya dini yao. Hemed Al-Buhry, Liwali “Mfumokristo” yaani nchi Tanga kulikuwa na Abdulrahman bin Ali inaendeshwa kwa maslahi UVIVU WA KUFIKIRI ! Mahakama ya Kadhi na Diwani, Liwali Rished ya Kanisa. Mwaka wa Hodi hodi mhariri, si wa gazeti la giza, mahakama hii ilikuwa Abdallah, Omar Stambuli, 2012 Waislamu walifanya Bali ni wa AN-NUUR, lenye angavu mwangaza, Juma Mwindadi , Said Kuna jambo nafikiri, naomba kulidokeza, katika jengo la TAA mikutano nchi nzima Uvivu wa kufikiri, utajatuangamiza. Barabara ya 7 ambako bin Ali Al-Buhry (OBE), wakitahadharisha kuhusu Mohamed bin Ali Al- Uvivu niwape siri, tunaouendekeza, Kadhi, Sheikh Ali hili. Video za mikutano hii Wa kushindwa kufikiri, hali ya kuwa twaweza, bin Hemed Al-Buhry Buhry. zimezagaa nchi nzima na Nd'o unotuathiri, pamwe na kutudumaza, Masheikh hawa baadhi Uvivu wa kufikiri, utajatuangamiza. alihukumu jamii ya kwenye mtandao. Bahati Waislamu kwa kutumia yao walifanya kazi ya mbaya hadi leo serikali Wengi likizo nadhari, zetu tumeziwekeza, ukadhi Tanga na wengine Wachache wanatughuri, kadiri wanavyoweza, Sharia. Huyu Sheikh Ali imekuwa kimya. Badala wanafikiri, yetu nasi twafatiza, bin Hemed Al Buhry walikuwa Moshi, Arusha, Labda mtu unaweza Uvivu wa kufikiri, utajatuangamiza. ndiye baba yake Sheikh Mwanza na kwengineko kujiuliza kwa nini serikali Kheri wakiita shari, nasi nyuma twafatiza, Mohamed Ali Al-Buhry Tanganyika. imekuwa kimya kwa Shari wakiwamba kheri, kadhalika twachagiza, Tabora Sheikh Bilali Kwa mgando tafakuri, vyovyote watugeuza, na yeye ndiye alikuwa shutuma nzito na za hatari Uvivu wa kufikiri, utajatuangamiza. hakimu wa mwisho Mshorwa alikuwa kama hizi? Imekaa kimya Waizushapo habari, papo hapo twaimeza, kwenye mahakama hiyo. akihukumu kwa sheria kwa kuwa yanayosemwa Mia kwa mia twakiri, pasi hata kuchunguza, Sheikh Mohamed Ali mahakamani. Huyu na Waislam hayana Kadhalika kufikiri, twameza na kueneza, Al-Buhry alikuja baadae Uvivu wa kufikiri, utajatuangamiza. Sheikh Bilali Mshorwa ukweli na ithibati yoyote katika miaka ya 1968 akifahamiana vizuri Twajiona maayari, kwa puya kuhanikiza, au iko kimya kwa kuwa Sote yatatuathiri, madharaye nawajuza, kuhusika sana katika sana na babu yangu, Kwazo ikifuka nari, sote yatuteketeza, BAKWATA na kuna kisa Salum Abdallah pale inaogopa kulifungua Uvivu wa kufikiri, utajatuangamiza. cha kusisimua sana kati Tabora kwani wao ndiyo Sanduku la Pandora? Jibu Tuchukue tahadhari, kwa kutokuhanikiza, yake na serikali katika walikuwa wanamji na la swali hili vilevile ninalo. Tumezeshwazo habari, pasi kwanza kuchunguza, Nadhani msomaji Kwanini zetu fikari, likizo twaziwekeza, siasa za Waislamu na wazee wa mjini wakati Uvivu wa kufikiri, utajatuangamiza. BAKWATA, lakini hapa wao. Moshi kwa Wachagga wangu angalau kwa mbali umeweza kusoma angalau Kwa uvivu kukhitari, wa kutokujizoeza, si mahali pake kueleza alikuwapo Liwali Mussa Kila mtu kufikiri, kadiri anavyoweza, mkasa huu. Mwinjanga akihukumu kwa muhtasari historia ya Taifa la tafakuri, muhali kutengeneza, nchi yetu ilivyokuwa. Vipi Uvivu wa kufikiri, utajatuangamiza. Hapo Tanga kulikuwa Bomani. Liwali Mussa na Liwali Abdallah alikuwa akifahamiana tumejikuta katika huu Ni yako sasa hiari, kujali au kubeza, uhasama tunaoushuhudia Dhamira kukushauri, na si kukung'ang'aniza, Rished na mtaa aliokuwa na baba yangu na mtaa Ila ni kubwa hatari, falau utapuuza, akikaa ulipewa jina la aliokuwa akiishi Liwali hivi sasa, hii ni mada ya Uvivu wa kufikiri, utajatuangamiza. Liwali Street kwa heshima Mussa Mwinjanga toka kujitegemea na In Sha Kaditamati akhiri, nimefika kueleza, yake. Baada ya uhuru enzi hizo za ukoloni Allah tutaizungumza. Akali ya kufikiri, leo yanatosheleza, Makala hii kwa Kalamu ya tafakuri, haina la nyoongeza, ukaitwa Makoko Street ulikuwa ukijulikana kama Utaja tuangamiza, uvivu wa kufikiri. kwa heshima ya mpigania Liwali Street na jina hili hisani ya Mohamed ABUU NYAMKOMOGI Said kupitia blog:www. MWANZA. uhuru na mwanachama limebaki hivyo hadi hii shupavu wa TANU leo. mohammedsaid.com AN-NUUR 13 Makala RABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 13-19, 2015 Imekuwa hamkani sio shwari tena na khamsini au nazaidi. kinyesi. Ikiwa ilikuwa utafiti ni kuona kuwa kama pishi ya mchele iwe kwa kuwa havina vyo Kituo cha Darajani kupunguza kelele na adha baada ya kuchwa jua bado SUZA, Chuo cha Fedha vya haja ndogo watu kilikuwa kinachukua kwa skuli za Darajani na watu hao wa Baraza la Mji Chukwani, Zanzibar hujikojolea ovyo. Wakazi abiria wa Bububu, Vikokotoni, basi kituo katika eneo la Forodhani University watafiti wa Kiswandui hujiuliza Saateni, Mwanakwerekwe, hicho kimehamishiwa wanaendelea kukusanya mmoja mmoja, jambo hili “tumekosa nini?” Mie Kiembe Samaki, kwenye skuli ya fedha za maegesho pamoja linahitajia kuangaliwa. nitawambia hamjakosa Chukwani, Mombasa, Kiswandui ambayo hapo na siku za mapumziko Wakazi wa Kiswandui kitu wala hamtiwi adhabu, Amani, Daraja bovu n.k. ndipo panapotakiwa jambo hilo halipo popote hawana raha kuanzia bali tafiti zimeonekana sio Kwa mtafiti atapotaka kuwepo utulivu wa hali pale duniani. Ndio asubuhi ya saa moja lolote wala sio chochote kukiondosha kituo kama ya juu kwani wale watoto nikasema Hamkani Sio hadi nne ya usiku kwa taahira (Mongoose) ndipo Shwari Tena mambo yapo makelele na moshi wa kile. Amua, amua twende hicho cha Darajani, mbele. kwanza atatafakari wanaposoma aidha mchafu koge. magari. Wanajiuliza kujua anahamisha Makao Makuu ya Chama Tatizo la kuegesha hayo yataendelea mpaka Tabu ya watu wetu nayo kukipeleka wapi? Atataka cha CCM ndipo yalipo. magari katika maeneo ya lini? Watoto wao wamo nikuwa wanashindwa kujua kwa wastani wa Sasa la kujiuliza ndio kipi mjini na Darajani ni adha kujifundisha matusi kuhoji kila kitu. Utasikia magari mangapi kwa kilichofanyika? tupu. Bado nawanasihi yanayoporomoshwa na kimeandikwa sijui siku yanaingia hapo Jengine ambalo wakuu wa Baraza la Mji madereva na utingo. kimeandikwa na nani na kituoni, ataangalia katika linawapa watu mashaka kufanya utafiti wa juu Wanapambana na hio kamwe sio Tawhidi. saa magari mangapi nikuona kituo kilekile sasa ya suala hili. Watafiti uchafuzi wa mazingira Aaah Hamkani Sio Shwari yanaingia na ni wakati kinaegeshwa magari ya Alhamdulillahi wamejaa ya moshi na maeneo hayo Tena. gani kunakuwa na abiria watu binafsi na kutozwa wengi wanaovutana shilling alfu moja kwa saa, kutaka usafiri. aah, hii ni Hamkani Sio Baada ya kujiuliza hayo Shwari Tena. anakuchukua takwimu Abiria wa daladala Kila uchochoro Mji Mkongwe na kuzichambua na wapo tafshanini hawajui jawabu atakayoipata la kufanya hawajui la atachokifanya ni kujaribu kutenda, wamegubikwa na kukihamisha gari la maudhi ambayo hawajui eneo moja tuseme jawabu yake litatokana na akina ‘William’ wanaona gaidi Mwanakwerekwe nini? Inatoka Uk. 11 Narudia tena utafiti ni atakihamishia kwa muda Pennsylvania, kiliandaa sehemu moja kisha atapima jambo la muhimu, ikiwa watu wataongezeka kitu kilichojulikana kama adha na urahisi wa abiria “Unified Quest 2008” na atapata sura halisi bada kila kitu cha mahitaji juu ya watu hao nacho (war games test). Katika ya majaribio hayo kusema ‘gemu’ hiyo ya siku tano, kupunguza msongamano kitaongezeka. Sasa watu wameongezeka na magari iliyohudhuriwa pia na wa Darajani itakuwa makamanda wa kijeshi vyema kuhamisha magari yameongezeka, afana alek unaingia mjini hujui wapi kutoka nchi za NATO na yaendao Kiembesamaki, Israel, walisema kuwa Mwanakwerekwe na uegeshe gari lako utapata upenyu uliweke utakuja walikuwa wakijiandaa ni Chukwani kuwahamishia kwa jinsi gani watalinda sehemu ya iliopata kuwa kukuta umeshatiliwa chuma na hao hao watu masilahi ya Marekani Baraza la Wawakilishi ndani ya nchi ya Nigeria au tuite jina lilozoeleka wa Baraza la Mji ulipe alfu kumi ndio ufunguliwe ifikapo mwaka 2015. Peoples Club. Walisema kuwa Mtafiti huyo hatosita gari yako upate kuondoka na wiki iliopita magari inatarajiwa mwaka huo Mhe. William Lukuvi. hapo, bali atatoa na Dodoso nchi hiyo itasambaratika au Hojaji (Questionnaire) yakibebwa juu kwa Jeshi la Marekani (Private SULTANI wa juu sijui yakipelekwa kutokana na machafuko Military Contractors) Oman,Qaboos bin Said kuwauliza abiria (vitendo vya kigaidi) na wanaokusanyika hapo wapi? Unajiuliza hawa anayefanya kazi kwa Al Said. wahusika wamefanya kwamba hata uchaguzi maelekezo na kwa kulipwa nini mapendekezo yao wa mwaka huo itabidi 28. Sababu zilizotolewa juu ya kuhamishwa kituo. tafiti? Wametembea na serikali. ni za kiusalama, kwamba nchi za visiwa kama uahirishwe. Na kwamba Kilichokuwa Zaidi ya hapo wahusika kuna uwezekano mkubwa vyombo vya usalama ambao ni wa Baraza la Mauritius na Seychelles kikitizamwa katika ‘bao’ vinahitaji muda zaidi wa wakaona taratibu za Nigeria kugawanywa hilo, ni namna ya kulinda Mji watatakiwa wakae na kutoka katika hali yake ya kujiandaa kukabiliana na watu wa Mipango Miji wenzetu wazifanyazo? masilahi ya kibeberu ya kitisho cha Boko Haram. Nimeshuhudia kule sasa ya kuwa nchi kubwa Marekani, ikiwa ni pamoja na Vijiji kuangalia njia Afrika yenye idadi kubwa Haijulikani iwapo ahadi iliokuwa mbadala. Isitoshe Mauritius hata hizo sehemu na kupeleka jeshi na namna hiyo itatekelezwa au ndio za pembeni ambazo ya watu na utajiri mkubwa AFRICOM itakavyofanya watatakiwa wafanye wa mafuta. Pengine iwe hatari ya kitisho itakuwa vipindi vya Radio na TV huku kwetu ni dhambi kazi ikifika mwaka 2015 kubwa zaidi. kuegesha gari huko wao Kaskazini na Kusini kwa Zipo taarifa nyingi juu kuwaelimisha wananchi Wakristo. ambapo ilitabiriwa kuwa kuweza kufahamu sababu huegesha na zimeekewa nchi hiyo itasambaratika ya Boko Haram kwamba michoro wa ukomo wa Akizungumzia suala hilo na wenyewe ni katika zile ya kuhamishwa kwa kituo Februari 4, 2012, Balozi wa kutokana na machafuko. “Intelligence Assets” za hicho na wao watasema gari za kuegeshwa. Wao (Tazama: United States walikuja na fikra hio kujua Marekani nchini Nigeria mabeberu. nini kuhusu uamuzi huo? Bwana Terence McCulley, Army Allegedly Preparing Kwa hakika kama yapo Watafiti hao hapo tena wao ni watu wa visiwa For A Possible Break-Up na vipi ardhi ilivyokuwa alitetea serikali yake mambo ya kustahiki ndipo watapokuja na akisema kuwa, waliofanya Of Nigeria, Nigeria: U.S. kuwashughulisha suluhisho ambalo litakuwa inapungua, kwa hio vipi Speaks On Nigeria’s Break- wanasiasa wetu, ni haya ya wataweza kuondoa adha utabiri huo kuwa Nigeria la kisayansi kabisa na itasambaratika ifikapo up. Na Cia And Mossad To hawa wanaotuwangia na litalokuwa sio la kuleta na kuwa na matumizi bora Divide Nigeria Soon) “war games test” pamoja na ya sehemu ndogo ya ardhi mwaka 2015 haikuwa adha. serikali ya Marekani bali Mapema wiki hii, “Intelligence Assets” zao Waswahili wana walionayo. imetangazwa kuwa wakitutabiria machafuko Hapa Unguja imekuwa taasisi binafsi ikijulikana msemo wao ambao mie kwa jina la Rand uchaguzi mkuu wa Nigeria huku wakiweka mikakati nitausema kwa njia ya mashaka na adha baina ya umeahirishwa. Uchaguzi watakavyotukalia wenye vipando na watu Corporation and Booz- tarwia nayo ni unaruka Allen. huo ambao ilikuwa kikachero na kijeshi. Sio kukimbia kukanyaga haja wa Baraza la Mji. Jengine ufanyike Februari 14, hizi porojo za kurudi ambalo halijafanyiwa Hata hivyo, taasisi hizo ndogo huku unakanyanga ndio wakala wa serikali na umeahirishwa hadi Machi Muarabu wa Oman. Makala AN-NUUR 14 RABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 13-19, 2015 JINAMIZI LA UDINI TANZANIA: Sheikh Suleiman Takadir, “Askofu Makarios” Na Mohamed Said lolote alikuwa akipiga Utabiri wake ‘ipo siku mtanikumbuka’ watimia “fat’ha,” wananchi JINA la Sheikh Suleiman wakaitika na kwa umoja Takadir, halijapatwa wao wakasoma, “Surat kutajwa popote katika Fat’ha,”sura ya ufunguzi historia ya kupigania katika Qur’an Tukufu, uhuru wa Tanganyika kisha Sheikh Takadir wala katika historia akaomba dua na wananchi ya TANU. Hatajwi na wakawa wanaitika kwa hakupata kutajwa baada pamoja, “Amin,” Amin, ya uhuru kupatikana Amin.” Baada ya hapo mwaka 1961 na sidhani ndipo atapanda Nyerere hata kama atakuja na kuanza kuhutubia. kutajwa au kukumbukwa Picha za mwanzo za na hawa viongozi walio mikutano hii zipo na katika madaraka hivi zilipigwa na Mzee Shebe sasa. ambae katika miaka ile Lakini naamini viongozi ya 1950 alikuwa na studio hawa walio madarakani yake Mtaa wa Livingstone hivi sasa ambao wakati na Kipata. Picha hizi wa kudai uhuru walikuwa baadhi nimepata kuziona. watoto wadogo lazima Mzee Shebe ndiye alinipiga watakuwa wamesikia jina picha yangu ya kwaza hili likitajwa na wazee nikiwa na umri wa mwaka wao. Sheikh Suleiman mmoja au miwili hivi na Takadir hutajwa kila picha hii ninayo hadi hii linapotokea jambo ambalo leo. Inaaminika Mzee Waislamu huonekana Shebe ndiye mpiga picha wanadhulumiwa na wa kwanza wa TANU na serikali kwani ilikuwa Nyumba ilipoasisiwa TANU imevunjwa. Nyerere. Sheikh Suleiman Takadir Nyumba hii ilijengwa kwa kujitolea na wanachama wakati wa uongozi wa Kleist Huyu ndiye Sheikh ndiye aliyeweka agenda Sykes akiwa katibu muasisi na ilifunguliwa 1933 na Gavana Donald Cameroon. Picha Suleiman Takadir na ya hali ya baadae ya kwa hisani ya www.mohammedsaid.com. huyu ndiye Nyerere kama Waislamu na Uislamu alivyokuja kutambulishwa katika Tanganyika huru kwa watu wa Dar es Salaam mwaka 1958. na Sheikh Suleiman Jambo hili alipolileta Takadir kwa mara ya lilitishia kuigawa TANU kwanza mwaka wa 1954. katika misingi ya dini Kabla ya hapo Nyerere katika wakati ambapo alikuwa akijulikana na umoja wa Waafrika watu wachache katika ulikuwa unahitajika sana. TAA. Sheikh Takadir Mwaka wa 1958 TANU alimpenda sana Nyerere ilikuwa imeenea nchi kiasi kuwa mwaka 1957 nzima na tayari iko katika katika hotuba aliyotoa barabara ya kuelekea katika tafrija moja ya kuchukua madaraka ya taarab Mtaa wa Mvita, ndani na kisha Tanganyika alimwita Nyerere, “Mtume kupata uhuru wake kamili. wa Afrika,” aliyetumwa Sheikh Suleiman na Mungu kuwaokoa Takadir alikuwa nani na Waafrika. nini ulikuwa umaarufu Baraza la Wazee wa TANU. Sheikh Suleiman Takadir wa pili chini kulia, wa pili Maneno yale ya wake? Sheikh Suleiman waliosimama Dossa Aziz, wa sita , wa saba John Rupia, wa tisa Said Sheikh Suleiman Takadir Takadir kwanza alikuwa Chamwenyewe, anayefuatia Jumbe Tambaza, Mshume Kiyate. alikuwa kama anamtabiria ‘’alim,” mwanazuoni Nyerere makubwa katika kisha alikuwa Mwenyekiti mustabali wa Afrika, muasisi wa Baraza la Askofu Makarios wa siasa Mnazi Mmoja mbele hajapanda juu kwenye kwani miaka mingi baadae Wazee wa TANU kuanzia za ukombozi za Cyprus ya baadae ilipojengwa jukwaa kuzungumza Nyerere alikuja kusimama TANU ilipoundwa mwaka na Ugiriki aliyekuwa Taasisi ya Elimu ya Watu na wananchi alikuwa mstari wa mbele katika 1954 hadi “alipotoswa” anapambana na ukoloni wa Wazima. Wakati ule kwanza anatangulia kuikomboa Afrika kutoka mwaka 1958 kwa kosa Waingereza wakati yeye pale palikuwa hakuna Sheikh Suleiman Takadir, makucha ya wakoloni. la “kuchanganya dini na alipokuwa anapambana jengo lolote, palikuwa na kusawazisha uwanja na Nyerere akawa hapungui siasa.’’ Sheikh Takadiri na Waingereza katika kiwanja kitupu na ardhi kuwaweka wananchi nyumbani kwa Sheikh alishiriki vilivyo ndani ya ardhi ya Tanganyika. ile ilikuwa mali ya Mzee tayari kumsikiliza Takadir Mtaa wa Swahili. Baraza la Wazee wa TANU Sasa kwa kuwa Suleiman John Rupia, Makamu wa kiongozi wao. Kama Nyumba hii iko jirani na katika kutayarisha safari Takadir alikuwa Sheikh Rais wa TANU. Kiwanja alivyokuwa Nyerere, kilabu ya mpira ya Pan ya Nyerere kwenda UNO na mpambanaji ndipo hiki baaadae Mzee Rupia Sheikh Suleiman Takadiri Africa. Kutembelewa na mwaka 1955. walimpa jina hilo la aliwapa TANU na TANU alikuwa na kipaji cha Nyerere pale nyumbani Wapenzi wake “Makarios” na kwa wakaanzisha Chuo Kikuu kuongea. Leo hii huenda kwake ikapelekea baba katika harakati za hakika jina hili lilimkaa, pale mara baada ya uhuru. baadhi ya wasomaji mwenye nyumba, Jumbe kupigania uhuru likamwenea vyema na Mikutano ya kwanza wangu wasiamini lakini bin Jumaa wa Digosi walimpachika jina la utani yeye akalipenda. ya TANU ikifanyika ukweli ni kuwa Sheikh amuhamishe nyumba wakimwita “Makarios,” Mikutano ya mwanzo ya pale Mnazi Mmoja Suleiman Takadir alikuwa Sheikh Takadir asije TANU ilikuwa ikifanyika na kabla Nyerere kabla hajazungumza wakimlinganisha na Inaendelea Uk. 16 Makala AN-NUUR 15 RABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 13-19, 2015 tumetakiwa amchinjie Kondoo au mbuzi wawili kwa mtoto wa kiume na Kondoo au mbuzi mmoja Adabu ya kumkaribisha mtoto kwa mtoto wa kike. Aqeeqah hufanywa siku ya saba sambamba na kutoa jina na kunyolewa kwa mtoto. Nyama ipikwe anayezaliwa katika Uislamu kisha igawiwe. Itakuwa kututaka tunapowaendea kuzalishia kumuangalia hapo, jina la Ebrahim na vyema ikiwa mafupa wake zetu, tuwaendee mke wake anavojifungua, kusema kuwa hilo ni jina hayatavunjwa. kwa maneno mazuri na kwa hio kama mzazi la babu wa babu wangu.’ Tendo la tano kumnyoa kutofanya vishindo na atakuwa na nguvu Muslim [E.T. 4/1243/No. mtoto nywele : Ni Suna tusikupurukike kama za kufanya hivyo, basi 733]. kunyoa watoto siku punda pale tunapomaliza amuadhinie mwenyewe au Kwa hivyo ni suna ya saba. Kunyoa ni unyumba. Aidha tume azungumze na wakunga. kuwapa majina watoto kwa mwanamume na Na Ben Rijal Suniwa pale tutapokuwa Tendo la pili/ kwa siku ya kwanza au mwanamke. Nywele tunakaribiya kutoa maji Tahneek : ‘Tahneek’ ni ya saba. Bwana Mtume zipimwe kisha uzani TUNAAMBIWA kuwa ya uzazi tusiseme maneno kumrambisha Tende mara ametueleza: ‘Siku ya wake utiwe thamani ya Uisalamu ni mfumo ya ajabu ajabu nakupiga tu mtoto anapozaliwa. kufufuliwa tutaitwa kwa fedha na thamani ya pesa wa maisha. Kwahakika makelele, lakini tuseme Kurambishwa tende majina yetu na ya baba wapewe maskini. Syd Ali maisha yote ya Muislamu maneno yafwatayo: watoto Bwana Mtume zetu, basi toweni majina (RA) alifanya hivyo kwa yameratibiwa katika “Kwa jina la Mwenye amelifanya mara nyingi mazuri”. (Ahmad /94.) watoto wake, na ni vizuri program maalumu, iwe enzi Mungu, Ewe Mola tu. Ni vyema ‘tahneek’ Vyema tutowe majina baada ya kumnyoa mtoto ya siku, wiki, mwezi tulinde na Shetani na akaifanya baba au mama yenye kuanza na Abd, apakwe mafuta. Siku au mwaka. Maisha utuhifadhi na chochote au mtu wa familia ya mtoto. mfano wa Abdullah, hizi hasa sisi wazee wa ya Muislamu tangu utachoturuzuku na huyo Nini Falsafa na hikma ya Abdur-Rahmaan, Abdul- Kiafrika husita kuwanyoa anapozaliwa hadi shetani.” Taratibu hii Tahneek ? Anapozaliwa Lateef n.k. Bwana Mtume mtoto eti nyewele za anapokufa, kuna taratibu haipatikani kwenye dini mtoto huwa hana nguvu, amependekeza tuwaite mtoto anapozaliwa huwa mbalimbali katika yoyote ile wala kwenye na sukari mwilini mwake watoto majina ya Mitume, laini basi ukimnyoa huja Uislamu, taratibu ambazo falsafa yoyote ile ila katika ‘blood sugar’ huwa ipo mfano wa Ebrahim, Musa, za kawaida kasumba hutakiwa muumini Uislamu. chini hypoglacymia Issa, Ismael, Yakoub, hizi tuzitie mvunguni kuzifwata. Hakuna dini Tunatakiwa tufanye kuna hatari ya kuweza Younus, Saleh, Yousuf, tushikamane na Suna za ambayo ina programu nini mara tu mtoto kufa mtoto sukari ikawa Suleyman, Daud, Nouh, Bwana Mtume SAW. kamili ya matendo kama anapozaliwa?. Tendo la chini. ‘Tahneek’ husaidia Lout n.k. Ahmad (4/34), Tendo la sita ni kutahiri dini ya Kiislamu. Angalia kwanza ni kuadhiniwa misuli za mdomo. Tende aidha vizuri tukawaita : Atahiriwe mtoto siku ya mifano hii michache, mtu kwa mtoto. Mara tu mtoto ni chakula chenye faida watoto wetu majina ya 7, 14 au 21. bada ya hapo anapokuwa Muislamu atapozaliwa, ni vyema kubwa sana mwilini. Suna masahaba kama Abubakar, atahiriwe siku yoyote ile Baligh mwenye akili achukuliwe na baba yake tuliotakiwa kuitekeleza Umar, Othman, Ali, bali asifike hata kubalighi. kila siku atatakiwa amuelekeze kibla kisha ni tende na siku hizi hiyo Khalid, Hamzah, Abou Kwa wanawake sio lazima asali vipindi vitano amuadhinie kwenye shikio tende hupatikana kila Horera n.k (Radhiyallahu wala Uislamu hausisitizi kuanzia asubuhi hadi la kulia la mtoto. Mtume mahali, verejee ‘glucose’ anhum). mwanamke kutahiriwa. Isha na anaposhikamana Muhammad S.A.W na chokleti ? Tusiiwache Baadhi ya Majina mazuri Mila za wenzetu kumtahiri na salaa basi anakuwa alimuadhinia mjuukuu Sunna hii kwa watoto wetu kuwaita watoto wetu wa mwanamke ni kumtoa yupo kwenye program wake Sayidna Hussein wanapokuja duniani. kike: Aminah, Asmah/ matamanio. maalumu kwani sala r.a kama anavyoeleza Tendo la tatu ni kutoa jina Asmaah, Asiah, Atiyah, Baadhi ya makosa haisaliwi anapotaka Aboo Raafi, «Nilimuona : Tunavielewa vitu vinavyo Aishah, Aminah, Batul, wayafanyao watu mtu kusali, lakini sala Bwana Mtume S.A.W tuzunguka kutokana na Bilqis, Fatimah, Faridah, kutomuadhinia mtoto, inasaliwa kwa wakati akimuadhinia Hussein bin kuvipa majina. Majina Fauziah, Fadhillah, kuwacha tahneek yaani maalumu uliowekwa. Ali baada ya kujifungua yanatusaidia kuelewa vitu. Habibah, Hafidhah, kutomrambisha mtoto Hayo ni kwa kila siku na kwa Bibi Fatmah ». Miti, wanyama na wadudu Hafsah, Hajerah, tende na inapokosekana katika wiki unatakiwa Kuna wengine husema mbalimbali wanaadamu Halimah, Hanifah, tende badala yake iwe kujipanga kusali kwa kuwa baada ya adhana wameyaita majina ili Hawa, Hadiyah, Jamilah, kitu kitamu, kutotoa sala ya Ijumaa. Kisha ifuwatie Ikama (Iqama) kuweza kuwatambua. Juwayriyah, Khadijah, jina hata baada ya wiki, katika mwaka kuna kwa shikio la kushoto, Kuna somo zima la elimu Kulthum, Laila, Latifah, kuwa na khofu ukimwita funga ya Ramadhani, kauli hii haina nguvu. ya viumbe ‘taxonomy’ Maryam, Masudah, majina ya wazee wake kuna kwenda kutimiza Nini Falsafa na hikma ambalo kazi yake ni kutoa Nafisah, Naimah, Rafiah, waliohai basi itacahangia nguzo ya Hijja kwa ya kuadhiniwa mtoto? majina ya viumbe kwa Rashidah, Ridhwanah, wao kufa haraka-hii ni mwenye uwezo. Hio yote Tumboni, mtoto huwa njia za kisayansi. Kuwa Raisah, Sadeqah, Salmah, shirki, kutochinja, badala ni program Muislamu hasikii chochote kile, na na majina kuna hikma Sarah, Saudah, Shahedah, yake kutoa thamani ya ameekewa katika maisha mara tu anapozaliwa kubwa. Sharrifah, Safiyah, mnyama, kutomchinjia yake. huanza kusikia sauti, ni Wakati gani wa kutoa Shafiqah, Yasmin, Zaynab, mtoto wa kike, kumchinjia Maudhui ya makala vyema asikie maneno majina? Kuna kauli mbili Zakkiyah, Zubaidah, kondoo au mbuzi mmoja hii nikuangalia namna mazuri, ikiwa moja la hilo na zote zinakubalika, Zulekha, Arafah. tu kwa mtoto wa kiume, tulivyofundishwa ni adhana. nazo ima tuwape majina Majina yaliyokatazwa: kutochinja kupindukia kumpokea mtoto Falsafa ya kuadhiniwa watoto wanapozaliwa kwa Tusiwape watoto majina siku 21 ilhali mtu ana anapozaliwa nini mtoto ni kusikia maneno siku ya kwanza au siku ya Mwenye enzi Mungu, uwezo, kuchinja mnyama anachohitajia kufanyiwa. ya adhana maneno ya saba. Bwana Samurah majina ya kizungu kina mmoja kwa mtoto zaidi Ukweli kinachotakikana ambayo yanamtaja Mola anaeleza, “Bwana Mtume Joseph, John n.k. Majina ya mmoja, kupinga kule sio tu kumpokea, lakini na Mtume wake, lakini leo Muhammmad S.A.W ya watu wabaya kama kuelezwa tusivunje huanza tangu mume na anazaliwa mtoto na huku ametutaka tuchinje, Firaun, Qaroon, Abou Jahl mifupa. mke wanapofanya kitendo anasikia majimbo ya ajabu tunyoe na kutoa majina na mijambazi mengineo Kumnyoa mtoto upande cha ndoa. Leo wana ajabu. Nimezungumza siku ya saba.’ Ahmad (/7, iliyo jaa duniani, na pia mmoja na kuuwachia Saikolojia hutueleza kuwa baba amchukue mtoto 17), Abou Dawood E.T. tusitowe majina kwa upande mwengine hii pale tunapotaka kwenda amuadhinie kwa hospitali 2/797/No 2831). lugha zetu yenye kutoa inaitwa ‘al-qaz”, kumnyoa kufanya unyumba, basi za kwetu ni ngumu Naye Anas (RA) maana mbaya mfano wa mtoto wa kiume wala sio twende kwa utartibu wala mwanamume kuingia anaeleza: ‘Kuna mtoto Chausiku, Biwi, Panya, wa kike kwa kuhofia kuwa tusikurupuke tu pale wodi ya wanawake, alizaliwa na siku hiyo Mkasi, Dude, Kipande, mtoto wa kike atalingana tunapomaliza tendo au kwa Ulaya hilo ni jambo hiyo hiyo akapelekwa Matata, Kijitu, Kishonde, na mtoto wa kiume, kuwa ngono. Kwa kweli Bwana la kawaida mume kwa Bwana Mtume n.k. na imani kuwa baadhi Mtume Muhammad anaruhusika na anabakia Muhammad S.A.W, na Tendo la nne-Aqiqah: ya watoto wakizaliwa S.A.W ameyaeleza hayo na kwenye chumba cha Bwan Mtume akampa jina Aqeeqah ni kuchinja hawahitajiwi kutahiriwa. Makala AN-NUUR 16 RABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 13-19, 2015 Sheikh Suleiman Takadir, “Askofu Makarios” Inatoka Uk. 14 katika Tanganyika huru. Katika mkutano wa kumponza kwa kwani Halmashauri Kuu Makao Nyerere alijulikana kama adui Makuu ya TANU, New Street mkubwa wa Waingereza. Hii Sheikh Takadir alimkabili kwa muhtasari ndiyo historia ya Sheikh Suleiman Takadir Nyerere akamshutumu na Nyerere. Lakini usuhuba kuwa hakuwa na nia nzuri huu ulikuja kuvunjika na na Waislamu, atakuja watu wawili hawa wakawa wapendelea ndugu zake mahasimu wakubwa, Sheikh Wakristo katika Tanganyika Suleiman kafa hasemi na huru. Sheikh Takadir Nyerere na Nyerere kwa akawageukia wenzake katika upande wake hakupata hata Baraza la Wazee wa TANU siku moja kumtaja Sheikh akasema, “Tuzibe ufa tusije Takadir popote hadi anaingia tukajenga ukuta.” Jambo kaburini. Inaaminika Sheikh Takadir lile lilikuwa zito. Nyerere alikufa kihoro baada ya alijiinamia na aliponyanyua kupigwa pande na TANU uso wake machozi yalikua na wakazi wote wa Dar yanambubujika. Mkutano es Salaam na wanachama haukuweza kujadili jambo wa TANU kwa kosa la lile na kikao kile kikavunjika “kuchanganya dini na siasa.” pale pale na wajumbe Ikiwa msomaji wangu wakawatawanyika. ulisoma makala yangu ya Sheikh Takadir juma lililopita utakuwa “akatoswa,’’ kwani alikuwa umeona kuwa TANU ikiongozwa na Mufti Sheikh HAYATI Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Akihutubia Mkutano wa TANU Siku amevunja mwiko mkubwa Hassan bin Amir ilipitisha za Mwanzo. katika TANU. Mzee Iddi azimio la kupiga vita hisia Tulio akachaguliwa kushika zozote na chembechembe nafasi yake. Huku kutoswa za Uislamu ndani ya TANU. na kutengwa na jamii ndiko Hakika Uislamu ulikuwa kulikosababisha kifo cha na nguvu ndani ya TANU Sheikh Takadir. Alikuwa lakini haukuachiwa uvuke hata akitoa salamu hakuna mipaka kuwabagua wengine aliyeitika. Akienda sokoni waliokuwa si Waislamu. Kariakoo kununua chochote Kilitokea nini hadi kile hakuna aliyekuwa tayari kupelekea Sheikh Suleiman kupokea hela yake. Takadir agombane na Haikuchukua muda Nyerere? Chanzo cha mrefu Sheikh Takadir akaaga mtafaruku huu ni Uchaguzi dunia. Kabla Sheikh Takadir wa Kura Tatu wa mwaka hajafa, TANU ilifanya 1958. Waingereza waliweka mkutano mkubwa sana na masharti ambayo kwa hakika Nyerere akamshambulia yalikuwa ya kibaguzi na Sheikh Takadir kwa kutaka yalifanya wananchi wengi kuwagawa Watanganyika wasiweze kukidhi sifa katika misingi ya dini. Baada zilizowekwa za kuweza mtu ya mkutano kundi kubwa kupiga au kupigiwa kura. lilikwenda nyumbani kwa Kulikuwa na sifa ya elimu, Sheikh Takadir Mtaa wa kipato na kazi ya kukubalika Msimbazi kuzomea huku na kupiga kura kwa tabaka Nyerere Akitia Sahihi Azimio la Tabora wakiimba, “Takadir Mtaka za rangi. Dini.” Mpiga kura Mwafrika uongozi wa TANU. Hapa Mkutano Mkuu wa TANU Dar es Salaam) Sheikh Sheikh Takadir alitoka alitakiwa ampigie kura ndipo lilipokuwa tatizo. wa mwaka 1958 uliopangwa Suleiman Takadir na baadhi nje akasimama kizingitini Mzungu, Muasia na Ilibidi TANU sasa kufanyika Tabora. ya wazee katika Baraza la akasema maneno haya, Mwafrika. Masharti haya iwalete watu wenye sifa Mpinzani mkubwa wa Wazee wa TANU walikuwa “Ndugu zangu, In Sha yalikuwa kisiki kigumu nje yake na wengi wa Kura Tatu alikuwa Zuberi wajumbe katika mkutano Allah iko siku mtakuja kwa uongozi wa TANU na watu hawa walikuwa Mtemvu, Katibu Mwenezi wa Tabora. Kufupisha kisa kunikumbuka.” Haukupita wanachama wake kutimiza. Wakristo waliosomeshwa wa TANU kwa wakati ule. TANU ilipiga kura kukubali muda mrefu Sheikh Takadir TANU na viongozi wake na wamishionari. Jambo Ukweli ni kuwa Kura Tatu kuingia kwenye Uchaguzi akatangulia mbele ya haki wengi hawakuwa na hiyo hili lilimkera sana Sheikh ilitishia uhai wa TANU na wa Kura Tatu na manusruna na kwa kipindi kirefu elimu iliyokuwa ikitakikana Takadir na wanachama kura zifungane kati ya wale katika historia ya uhuru zilikuwapo dalili za chama wa Tanganyika hakuna wala kipato cha maana. wengi wa TANU kwa ujumla kumeguka pande mbili. wanaounga mkono na wale Ili mtu asimame kama aliyemkumbuka Sheikh wao na kwa hakika TANU Kulikuwa na uwezekano waliokuwa wakipinga. mgombea kuingia katika nzima hawakutaka kabisa Suleiman Takadir, Askofu mkubwa sana kuwa Zuberi TANU iliingia katika Makarios wa Tanganyika. Baraza la Kutunga Sheria kuingia uchaguzi ule kwa Uchaguzi wa Kura Tatu na au awe angalau mpiga kura masharti yale waliyoyaona Mtemvu na Sheikh Takadir Hivi sasa Sheikh Suleiman ilibidi azikusanye sifa zote ya kibaguzi. Wanachama wa wangelikuwa upande ikapata ushindi mkubwa. Takadir anatajwa sana na hizo mahali pamoja. TANU walikuja na kauli mbiu mmoja na wangeweza kuja Hofu aliyokuwanayo Sheikh kizazi cha leo. Utabiri wake Wapiga Kura na wagombea isemayo, “Kuingia Kura Tatu na chama kingine ingawa Takadir ilikuwa kuwa watu kuwa ndugu zake watakuja walitakiwa wawe na kisomo ni sawa na kujipaka kinyesi.” walioingia katika TANU kumkumbuka umetimia. Ilikuwapo minong’ono agenda zao zilikuwa tofauti. cha darasa la 10 au kipato Mtemvu yeye alisimama kuchukua uongozi ni Swali la kujiuliza ni iweje kuwa Wakristo wataichukua hii leo baada ya miaka 57 cha pauni 400 kwa mwaka kwenye Afrika kwa Waafrika Wakristo. Sheikh Takadir na kuwa na kazi ya maana. nchi lakini kwa muda mrefu kupita, Sheikh Suleiman hofu hii ilizuiwa kwenye na Sheikh Takadir kwenye alikuwa anajua nguvu ya Waafrika waliokuwa na madaraka waliyokuwa Takadir anarejeshwa upya sifa hizi hawakuwa wengi vifua hakuna aliyekuwa Uislamu. katika historia ya kupigania na ujasiri wa kulisema hilo Mkutano wa Tabora ni wanakabidhiwa akawa uhuru wa Tanganyika? Hiki katika TANU. Wengi katika na hofu kama uongozi TANU kama walivyokuwa waziwazi kwani jambo la kisa kirefu In Sha Allah ni kitendawili kinachongoja wakipenda kujiita wenyewe dini lilikuwa mwiko mkubwa tutakitafutia wakati wake huu mpya utakuja kutoa kuteguliwa. walikuwa, “Baba Kabwela.” katika TANU. Ikawa tatizo makhsusi tukizungumze. haki kwa Waislamu uhuru Makala hii kwa hisani Ikawa sasa ili TANU iweze lile la kushiriki kwa TANU Nimekiandikia kitabu utakapopatikana. Sheikh ya Mohamed Said kupitia kuweka wagombea ilibidi katika Uchaguzi wa Kura kizima “Uamuzi wa Busara,” Takadir alitaka uhakika wa blog:www.mohammedsaid. iwatafute watu nje ya Tatu lijadiliwe kwenye (Abantu Publishers 2007, hali ya baadae ya Waislamu com Makala AN-NUUR 17 RABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 13-19, 2015 protini aina ya collagen ambayo ni muhimu katika uundaji wa ngozi, kucha na tishu zinazounganisha misuli. Husaidia kuimarisha siha Timamu Tea inawafaa watu wote-4 za watu wanaoishi na virusi vya mwili vinavyozuia utendaji kazi ni nyingi. Miongoni mwa faida ukimwi. Husaidia kupunguza mfuro wa hivi vioksidishaji, kunaweza hizi ni pamoja na: Huhusishwa na (inflammation) wa kongosho yaani kusababisha hali inayoiitwa ‘msongo kusaidia sana kuzuia mlundikano wa pancreatitis. Husaidia kupunguza wa uoksidishaji’ (oxidative stress), mafuta mwilini. Hushusha kiwango dalili za ugonjwa wa Parkinson. hali ambayo husababisha seli za cha lehemu katika damu. Huzuia Husaidia kukabiliana na maambukizi mwili kuharibiwa na hata kufa. Tafiti ongezeko la shinikizo la damu. katika njia ya mkojo. zinaonyesha kuwa huu msongo wa Huzuia ongezeko la sukari ya kwenye Kama tulivyosema huko nyuma, uoksidishaji ni chanzo cha magonjwa damu. Husaidia kuzuia kupatwa na siku zote kinga ni bora kuliko tiba. mengi ya kimfumo ikiwa ni pamoja ugonjwa wa mafua. Hupambana Kutokana na faida nyingi zinazoletwa na saratani. dhidi ya maambukizi ya bacteria; na na viini lishe vilivyoko katika Haiiba Baadhi ya vizuia vioksidishaji Huzuia harufu mbaya kutoka katika Timamu Tea kama tulivyozielezea muhimu vilivyoko kwa wingi kinywa. hapo juu, ni wazi kabisa kuwa kila katika chai hii ni Curcumin; Flavonids: Flavonoids ni mtumiaji wa Haiiba Timamu Tea, bila Catechines, Flavonoids, Piperine, na mkusanyiko mwingine wa vizuia kujali hali yake ya kiafya, anaweza Cinnamaldehyde. vioksidishaji ambavyo kutokana na kunufaika sana. Curcumin: Curcumin ni kemikali maumbo yao kufanana kwa karibu KWA MAELEZO ZAIDI ya kiorganiki ambayo iko katika na tabia zao za kikemia kufanana WASILIANA NA WATENGENEZAJI WA CHAI HII, YAAINI HERBAL Na Juma Killaghai kundi pana la kemikali zinazojulikana pia, vimewekwa katika kundi moja kitaalamu kama polyphenols. la kemikali za kiorganiki. Kama IMPACT, KWA SIMU NAMBA: Polyphenols ni kemikali za kiorganiki ilivyo kwa curcumin na catechins, 0754281131; 0655281131; 0686281131; MAKALA ya leo ni ya nne na ambazo sehemu fulani katika maumbo vizuia vioksidishaji hivi pia viko NA 0779281131 AU WATEMBELEE ya mwisho, kati ya mfulululizo yao kuna mkusanyiko wa viasili katika kundi pana zaidi la kemikali za OFISINI KWAO: wa makala tulizodhamiria kutoa ulioko katika mpangilio maalum kiorganiki za polyphenols. Faida za MOSQUE STREET, NO.1574/144, kwa malengo ya kujenga hoja unaosababisha sehemu kubwa flavonoids ni nyingi. Miongoni mwa KITUMBINI, DAR ES SALAAM juu ya chai ya Haiiba Timamu ya tabia za kikemia za kundi hilo faida hizi ni pamoja na: Inaaminika (MKABALA NA LANGO KUU LA kuhitajiwa na kila mtu. Hoja ya unaoitwa ‘phenol’. Mkusanyiko wa kuwa zina uwezo mkubwa sana wa KUINGILIA MSIKITI WA SUNNI) msingi iliyotawala makala zote tatu aina hii katika kemikali za kiorganiki kupambana na saratani. Inaaminika Chai ya Timamu sasa inapatikana zilizopita, na ambayo tunaiendeleza zinazounda kundi lolote huitwa kuwa zina uwezo mkubwa sana katika baadhi ya mikoa. Mawakala katika makala hii, ni kuwa tiba ya FUNCTIONAL GROUP kwa lugha ya katika kukabiliana na magonjwa wetu katika mikoa husika ni: chai hii inatokana na kumrejeshea kikemia. FUNCTIONAL GROUP kwa mbalimbali yanayohusiana na moyo; TANGA muhusika viini lishe mbali mbali tafsiri isiyo lazima ni MKUSANYIKO na inaaminika kuwa zina uwezo ABDALLAH MWARABU muhimu vilivyopungua mwilini WA VIASILI ambavyo husababisha mkubwa sana wa kukabiliana na SIMU: 0783-290921/0658-290921 mwake. Katika makala zilizotangulia tabia ya kikemia ya kundi zima. Faida mfuro wa seli. BARABARA YA 12, JIRANI NA tulizungumzia makundi matatu za curcumin ni nyingi. Miongoni Piperine: Piperine ni miongoni mwa MSIKITI WA IBAADH ya viini lishe vilivyomo kwenye mwa faida hizi ni pamoja na: kemikali za kiorganiki zinazoitwa TANGA MJINI chai ya Haiiba Timamu. Tuliyataja Kutakasa majeraha dhidi ya bacteria alkaloids. Alkaloid ni kemikali yoyote makundi haya kuwa ni yale ya na kuharakisha uponaji wake. Ina ya kiorganiki ambayo umbile lake MOROGORO vitamini, madini lishe na tindikali uwezo mkubwa wa kudhibiti ukuaji linajumuisha ‘nyongo’ (base) yenye DOTTO MALENDA za amino, au vijenzi vya protini. wa saratani ya tezi dume. Ina uwezo kiasili cha nitrogen. Faida za piperine 0715-282331 Makala yetu ya leo itataja kundi mkubwa wa kudhibiti ukuaji wa ni nyingi. Miongoni mwa faida hizi MTAA WA KARUME (MKABALA la nne na la mwisho; hili si lingine saratani ya matiti. Ni kizingiti kikubwa ni pamoja na: Husaidia kuongeza NA MASJID HAQ) bali ni kundi la vizuia vioksidishaji dhidi ya (melanoma); ambayo ni aina uwezo wa mwili kwa kiasi kikubwa MOROGORO MJINI (anti-oxidants). ya saratani ya ngozi inayoanzia wa kufyonza na kutumia viini VIZUIA VIOKSIDISHAJI NI NINI? Vizuia kwenye chembechembe zinazotia lishe mbalimbali vinavyopatikana MWANZA vioksidishaji ni molekuli (molecule) rangi kwenye ngozi (melanine) kabla kwenye vyakula. Inaaminika kuwa SUBIRA OMAR MIDOLE zinazozuia mchakato wa kuoksidisha ya kusambaa katika maeneo mengine. inachochea ongezeko la kasi ya ujenzi 0716969494 molekuli nyingine. Kuokisidisha ni Hupunguza uwezekano wa kupata na uvunjifu wa kemikali ndani ya YOTE MAISHA STORE, PENDA muingiliano wa kikemia (chemical saratani ya damu kwa watoto. Ni mwili (accelerates metabolism) na STREET, KIRUMBA SOKONI reaction) unaopelekea molekuli kitakasaji cha asili cha ini. Inaweza hivyo kusaidia katika harakati za MWANZA MJINI iliyookisidishwa kupoteza chembe kuzuia au kusimamisha kukua kudhibiti uzito wa mwili. Inasaidia yenye/zenye umeme hasi (electron), zaidi kwa ugonjwa wa kupoteza kudhibiti mfuro (inflammation) ZANZIBAR au kupoteza kiasili cha hydrogen kumbukumbu (Alzheimer’s disease). wa seli. Inapunguza kasi ya ukuaji SULEIMAN KHAMIS katika umbile lake, au umbile lake Inazuia aina mbalimbali za saratani wa seli za saratani, hususan zile 0777867178 kuongezewa kiasili cha oxygen. kusambaa kutoka eneo moja la mwili zinazohusiana na saratani ya mapafu; MASJID MUZHAMIL, DARAJANI Mchakato wa uoksidishaji ndani hadi jingine. Ni kituliza maumivu cha na inachagiza mwili kuzalisha homoni ZANZIBAR ya mwili hutokea muda wote. Huu asili. Inaratibu ujenzi na uvunjifu wa ya serotonin ambayo husaidia sana ni sehemu ya mchakato wa ujenzi kemikali mwilini na kusaidia katika kujenga hali ya kujisikia furaha na ARUSHA na uvunjifu wa kemikali ndani ya kuondoa unene. Imekuwa ikitumika hivyo ni nzuri katika kukabiliana na MZEE MAGOMBA mwili, yaani metabolism. Mchakato katika baadhi ya nchi, mathalani msongo na mfadhaiko. 0764006630/0784546581 wa kuoksidisha unaweza kuzaa China, kama tiba ya mfadhaiko. Ni Cinnamaldehyde: AL MUNAWAR SHOPPING chembechembe zenye umeme pozo dhidi ya maradhi ya baridi Cinnamaldehyde ni miongoni mwa CENTER chanya zinazoitwa free radicals. ya yabisi na jongo. Inatibu saratani kemikali za kiorganiki zinazoitwa BONDENI ROAD, Kwa upande wake hizi free radicals ya tezi ya thyroid. Inaharakisha cinnemaldehydes. Cinnemaldehydes ARUSHA MJINI. ni chembe zenye uwezo mkubwa kupona kwa majeraha na kuirejesha ni kemikali za kiorganiki ambazo hutoa wa kuoksidisha, na hivyo kuwepo ngozi iliyoumizwa katika hali yake harufu (mara nyingi ya kupendeza) KILIMANJARO kwake kunaweza kuzaa ‘gharika’ ya kawaida ndani ya muda mfupi; na ambazo FUNCTIONAL GROUP MAMA ASHA KILLAGHAI (chain reaction) ya uoksidishaji ndani na inasaidia katika matibabu ya yake ni ile inayokusanya viasili MSHANA ya seli za mwili. Hali hii inaweza ugonjwa wa psoriasis (ugonjwa katika mpangilio unaojulikana kama 0754309908/0784309908 kusababisha uharibifu mkubwa wa unaosababishwa na kukua kwa kasi ALDEHYDE. Cinnamaldehyde ni SOWETO (KARIBU NA BIBLE seli au hata kifo cha seli husika. kwa baadhi ya seli za ngozi kupelekea kemikali ya kiorganiki ambayo ina SCHOOL), Vizuia vioksidishaji huzuia hizi ngozi kuwa na mabaka ya rangi faida kubwa mwilini. Inafanya kazi MOSHI MJINI gharika kutokea ndani ya seli. Badala tofauti tofauti), pamoja na magonjwa kwa kuzuia kuganda kwa damu yake hivi vioksidishaji huoksidisha mengine ya ngozi yanayotokana kunakoweza kupelekea damu IRINGA hivi vizuia vioksidishaji na kwa hivyo na mfuro (inflammation) wa seli za isitembee mwilini inavyopasa. SHAIBU DADI NDINDA kuacha seli za mwili zikiwa katika ngozi. Inasaidia sana kupambana 0787-007218 hali ya salama. Kwa kawaida mwili Catechins: Huu ni mkusanyiko na mfuro wa seli na kwa hivyo MSIKITI WA IJUMAA, unamiliki na kuendeleza mifumo wa vizuia vioksidishaji ambavyo husaidia sana katika magonjwa yote MIYOMBONI, kadhaa ya vizuia vioksidishaji kutokana na maumbo yao kufanana yanayosababishwa na mfuro. Inazuia IRINGA MJINI. mbalimbali. Vizuia vioksidishaji hivi kwa karibu na tabia zao za kikemia mlundikano wa mafuta kwenye ini na ni pamoja na glutathione, Vitamini kufanana pia, vimewekwa katika hivyo kutoa kinga dhidi ya ugonjwa RUVUMA C, Vitamini A, na Vitamini E; pamoja kundi moja la kemikali za kiorganiki. wa ini bonge (fatty liver disease). MAMA ZABIBU NANDANJE na vimeng’enya mbalimbali kama Hata hivyo kama ilivyo kwa Inahitajika katika utengenezaji 0782-247101 catalase, superoxide dismutase curcumin ambayo tumetangulia wa creatine. Creatine ni kiini lishe SONGEA MJINI na peroxidases mbalimbali. kuitaja, catechins ni sehemu ya kinachohitajika katika uzalishaji wa PEMBA Kuwepo kwa kiwango kidogo cha kundi kubwa zaidi la kemikali za nishati inayohitajika katika kuifanya SALIM JUMA HARUNI vizuia vioksidishaji au kuwepo korganiki zinazojulikana kama misuli ifanye kazi zake kwa ufanisi. 0777-432331 kwa vimeng’enya ndani ya polyphenols. Faida za catechins Inahitajika katika uzalishaji wa WETE, PEMBA. Makala AN-NUUR 18 RABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 13-19, 2015

Na Bakari Mwakangwale kihistori, pale wanaharakati wakati huo walipofanikiwa UNAPOZUNGUMZIA kuichukua Bakwata Makao wanaharakati wa miaka ya Makuu, Kinondoni, Jijini Dar hivi karibuni ambao wana es Salaam, wakati wa Umufti Ustadh Amani Saad Fundi wa Sheikh Hemed Bin Jumaa, mchango mkubwa katika kwa uso shurti akukwepe na kufanikiwa kuiteka baada kuwaamsha Waislamu kidogo akulenge katika ya purukushani kubwa. nchini, huwezi kulikosa sehemu ndogo inayoona, Anasema hali ilibadilika jina la Amani Saad Fundi. jambo ambalo pia linamfanya baada ya Rais wa wakati huo Ustadhi Fundi, kwa sasa apate msaada wa kutembea Mzee Ally Hassan Mwinyi, amekuwa haonekani kwa na mtu kwa ajili ya usalama kuingilia kati ndipo ikaja muda mrefu katika harakati, hoja ya kuwataka Waislamu wake njiani na barabarani. kuunda Baraza linguine, japo hali hii ipo miongini Pamoja na kwamba macho mwa wengine wengi wa waachane na harakati za yamekufa, lakini anasema kuichukua Bakwata. Ndio mfano wake na wa wakati bado anajiamini kuwa akili hili Baraza Kuu la Jumuiya wake. na ufahamu wake bado na Taasisi za Kiislamu Hii huenda ni kutokana ni mzuri tu, hivyo kama unaloliona leo, kwa wasiojua na sababu mbalimbali, ataajaliwa kupata msaada historia nyake. ambazo zimekuwa wa matibabu na kurudisha “Sasa hivi kuna watu zikiwakabili wanaharakati nuru ya macho yake anaweza wanasema kwamba watu hao wa enzi zake, yakiwemo hawana habari na Baraza kuendelea na harakati za Kuu la Jumuiya na Taasisi maradhi au kuwepo katika kuhuisha Uislamu hususani harakati hizo kwa sura za Kiislamu na kwamba shughuli za kufasiri vitabu Bakwata ndio chomba cha nyingine kutokana na wigo vya dini kwani hivi sasa kuna Waislamu na maswala yote wa harakati za kuhuisha vitabu ambavyo amekwama ya Waislamu nchini lazima Uislamu kupanuka hivi kuvifasiri, kwa sababu ya yaamuliwe na Bakwata, hilo sasa kulinganisha na wakati kuharibikiwa na macho. si kweli, hawa watakuwa uliopo. “Kuna vitabu vizuri hawajui tofauti ya kuundwa An nuur, imekutana ninavyo, kwa mfano kuna Bakwata na uundwaji wa na Ust. Fundi, lakini kitabu kinaitwa ‘Adab il- Baraza Kuu la Jumuiya ukimwangalia tu, utabaini Kadhi’ ukizingatia huu na Taasisi za Kiislamu.” kuwa huyu si Amani ndio muda muafaka, hiki ni Anasema Ust. Fundi. Saad Fundi, yule ambaye kitabu kizuri kimeandikwa Anafafanua, kuwa Baraza kwa Kiarabu kimefasiriwa Kuu la Jumuiya na Taasisi za alikuwa kamanda wa vijana Kiingereza, sasa mimi nataka Kiislamu, kuundwa kwake aliyepewa majukumu ya kukifasiri kwa Kiswahili, limezishirikisha Taasisi kudhibiti ofisi za Bakwata, USTAADH Amani Saad Fundi. ili Waislamu wapate za Kiislamu kwa vitendo, Jijini Dar es Salaam, katika elimu kuhusu masuala kwa maana hiyo Baraza miaka ya 1992. yamefanya apoteze nuru kwa kuwasha alikwenda ya Mahakama ya Kadhi.” hili lina muundo shirikishi Ustadh Fundi, hivi na kushindwa kufanya au hospitali ndogo na kupewa Anasema Ust. Fundi. ya makundi ya Waislamu sasa ukikutana naye Anasema, katika ufasiri kuliko lilivyo Bakwata, kushiriki, katika harakati dawa za kunyunyiza za kwani hata kuundwa kwake anakuangalia kwa shida za pamoja, Mwanaharakati matone baadae yaliacha ameshiriki kufasiri vitabu huku akigeuza uso wake ili vingi anakitaja kitabu cha lilipata upinzani nchi nzima huyo anajieleza kuwa ni kuwasha isipokuwa ‘Muslim Guide for Islamic kutoka kwa Waislamu, aipate taswira yako vizuri mwandishi, mfasiri, mshairi akiandika ubaoni hali Workers’ (Mwongozo wa kama si nguvu ya Julius aweze kukutambua, hapo lakini anasema kwa sasa ilikuwa tofauti na kawaida. Mafunzo kwa Watumishi wa Nyerere na Serikali hivi sasa hapo akitegea kukupa anashindwa kuandika. Ilimlazimu aende hospitali Uislamu) kilichotungwa na lisingekuwepo. Limeundwa mkono kama ilivyo ada “Naomba msaada kwa ya Taifa ya Muhimbili, Dkt. Hisham Yahya Altalib, kwa nguvu za serikali na ya Waislamu katika ndugu zangu, wanaharakati akitumaini kupata tiba na kwamba yeye ni miongoni linaendelea kuwepo kwa kusalimiana ili wewe wenzangu, wanaonifahamu alipoeleza tatizo lake hali mwa wafasiri wa kitabu nguvu za dola. uufate mkono wake ulipo, niliokuwa nao wakati hicho. Kitabu hicho ambacho Katika harakati zake huo na hata hawa wa sasa ya kupata huduma ilikuwa kuleta mwamko wa elimu na pengie ujitambulishe ngumu kutokana na kupewa hivi sasa kinapatikana nchini kwake wewe ni nani. ambao hawanifahamu kwa Kiswahili, kikiwa kwa umma wa Kiislamu wanikumbuke na miadi ya muda mrefu ili kimechapwa na Taasisi nchini, mwaka 1994, Ust. Fundi, enzi za harakati wanihurumie, ili niweze aweza kuonana na madaktari ya Kimataifa ya Fikra za Fundi, alianzisha harakati za miaka hiyo, alikuwa kupata tiba ya macho.” bingwa wa matatizo yake. “Mara waniambie Kiislamu-International za usomeshaji, vijana anaweza kuongoza Anasema Ust. Fundi, Institute of Islamic Thought kupitia Misikitini, ambapo mapambano akiwa mstari akiongea na An nuur. nirudi baada ya Mwaka na nusu, miaka miwili ili (IIIT), katika neno lake la alianzisha Taasisi ya Islamic wa mbele huku umma wa Fundi ambaye kitaaluma shukrani wameshukuriwa Consultancy Center, katika Kiislamu ukiwa nyumba ni mwalimu, anasema wanichunguze wabaini walioshiriki kukifasiri kitabu alianza kusumbuliwa na tatizo, kwa upande wangu Msikiti wa Manyema. yake ukiwa na matumaini nilikuwa naendelea hicho wakitajwa kwa majina Taasisi hiyo ndiyo kuwa mbele kuna macho mwanzoni mwaka kuwa ni Zahaqi Rashid, Ally 2000, yakianza kwa kuwasha kuumia. Ikanibidi niliende ilikuwa ya kwanza kuandaa kamanda,‘Shabaab.’ hususan jicho la upande wa hospitali ya Regency na S. Kilima, Hassan Mnjeja, na kusomesha watoto wa Hivi sasa Ust. Fundi, kushoto na kufikia kuwa baadae Hindumandal, Amani S. Fundi na Idris A. Kiislamu wanaomaliza anatembea kwa msaada jekundu. lakini mwishio wa siku Khatri. nikashindwa gharama zao”. darasa la saba na kuwashauri wa mtu pembeni ili aweze Anasema, baada ya Ustadh Fundi, ambaye kujiunga na Shule za kufika mahali anapopahitaji. Anasimulia Ustadh Fundi. anaeleza kuwa yeye ni kuhangaika katika hospitali Sekondari za Kiislamu na Ukimuona Mwanaharakati Anasema, alifanikiwa miongoni mwa wanafuzi wa mbalimbali nchini na kuonana na Daktari mmoja kuleta tija na mwamko huyu, hakika utapata ‘Ibra’ kukwama kutokana na hali mwanzo wa Profesa Malik, bingwa wa magonjwa ya mkubwa kwa wazazi wa ya kuutumikia uzima wako, ya gharama zilizokuwa pia alikuwa katika timu ya macho ndipo alipomwambia Kiislamu Jijini Dar es Salaam nguvu zako na elimu yako, zikihitajika, na kufikia hatua Warsha ya Waandishi wa kwamba ana matatizo na kisha mikoani. katika kuupigania Uislamu ya kushindwa kutibika, ya presha ya macho na Kiislamu, akiwataja baadhi kabla maradhi hayaja kufika. hivyo alishauriwa kwenda anatakiwa afanyiwe upasuaji yao aliokuwa nao wakati Hivi sasa Ust. Fundi, Ni nini kimemsibu Ustadh kuonana na watu wa tiba kisha alipewa gharama zake. huo kuwa ni Omari Msangi, anasimamia Taasisi ya Fundi? Mwanaharakati mbadala. “Nilipopata pesa ya Mtengwa Buruhan, Mussa Al-Miftahu Charitable huyu, amepatwa na mtihani “Miongoni mwa matabibu matibabu na kurudi, Mdidi, Mohammed Kassim, Foundation (ACF), akiwa wa maradhi ya shinikizo la hao wamenipa matumaini nilipimwa tena, kwa kuwa Hashim Meena n.k ni Katibu Mtendaji, ambayo damu katika macho -presha kuwa matatizo yangu muda ulikuwa umepita Lakini pia anasema aliiunda kabla hajapatwa na ya macho, maradhi ambayo yaweza kutibika, kwa kuwa walinieleza kwamba awali alishiriki kuandikia maradhi ya macho. Ndani yamepoteza nuru yake ya tayari wana orodha ya haiwezekani tena kufanyiwa magazeti ya An nuur, Mizani, ya Taasisi hiyo kuna kitengo kuona. wagonjwa ambao walikuwa upasuaji kwani tatizo lilizidi mwazoni mwa miaka ya 1991 cha Ustawi wa Jamii kwa Hadi sasa Ustadh Fundi na tatizo kama langu na kuwa kubwa na endapo na kuendelea sambamba na madhumuni ya kulea na amebakia na jicho moja wamejaaliwa kupona. watafanya upasuaji sitaweza gazeti la Baraza Tanzania. kuhudumia watoto yatima tu ambalo linamwezesha Pamoja na kunipa kuona hata kwa kiasi hiki Ust. Fundi, anakumbuka waliopo majumbani na kuona kwa tabu, tena mpaka matumaini hayo sambamba kidogo nilichonacho kwa na kusimulia kuwa mwaka wajane. ageuze shingo kwa maana na kunipa gharama za tiba sasa, wakanipatia dawa za 1991 kuelekea 1992, katika Ustadhi Fundi, kwa sasa eneo analotumia kuona ni zao, tatizo linarudi pale kupaka tu”. Alisema Ust. vuguvugu au harakati anapatikana Manzese Uzuri, sehemu ya mwisho ya jicho pale sina pesa, gharama zao Fundi. za Waislamu kuamua Masjid Rahiim, karibu na huku jicho la pili likiwa zimekuwa kikwazo kwangu Anasema, kwa sasa hali kuichukua Bakwata, yeye kituo cha daladala cha limepoteza nuru ya kuona na wala sina nafuu yoyote ilivyo ni kwamba jicho lake alikuwa kamanda wa kikosi Friends Conner, Jijini Dar kabisa. ya macho”. Alisema Ustadh moja halioni kabisa na hata cha udhibiti Ofisi za Bakwata es Salaam. Ama unaweza Ustadh Fundi, anasema Fundi. hilo moja lililobaki anaona Mtaa wa Lumumba, kuwasiliana naye kwa kutokana na maradhi ya Fundi, anasema awali kwa shida, hawezi kuongea Kariakoo Jijini Dar es Salaam. namba za simu:- 0689 44 61 macho aliyonayo sasa maradhi hayo yalipoanza na mtu kwa kuangaliana uso Fundi anakumbuka tukio la 66/0652 97 97 66. AN-NUUR 19 Tangazo RABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 13-19, 2015 ISLAMIC PROPAGATION CENTRE • P.O Box 55105,Phone: 0222450069, 0784 267762, 0755 260087 & Fax 022 2450822, Dar es Salaam website :www.ipctz.org NAFASI ZA KIDATO CHA TANO – 2015/2016 Waislamu kote nchini mnatangaziwa nafasi za kidato cha Tano kwa shule zifuatazo: • KIRINJIKO ISLAMIC SECONDARY SCHOOL – SAME – KILIMANJARO • NYASAKA ISLAMIC SECONDARY SCHOOL – MWANZA • UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOO L – DAR ES SALAAM 1. Shule hizi ni za Kiislamu zenye lengo la kuwapa wanafunzi taaluma ya hali ya juu na malezi bora ya Kiislamu. 2. Shule hizi ni za bweni za mchanganyiko wa wavulana na wasichana . 3. Zipo tahasusi za masomo (Subject Combinations) ya SAYANSI, ARTS na BIASHARA. 4. Wanafunzi wote wanafundishwa Islamic Knowledge,Introduction to Arabic na matumizi ya compyuta pamoja na kutumia mtandao (internet) katika kujifunza. 5. Muombaji anatakiwa awe na sifa za kujiunga na kidato cha tano kwa mujibu wa wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi. 6. Fomu za Maombi zinapatikana kwa gharama ya shilingi 10,000/= katika vituo vilivyoorodheshwa hapa chini. • Arusha - Ofisi ya Islamic Education Panel, Jambo Plastic, Ghorofa ya 2 mkabala na msikiti Mkuu Bondeni : 0783552414/0762817640. • Kilimanjaro - Moshi: Msikiti wa Riadha :712 216490 - Same Juhudi Studio mkabala na Benki ya NMB Same: 0757 013344. - Same: Kirinjiko Islamic Secondry School: 0784 296424/0655 697 075 - Usangi- Falhum Kibakaya : 0787 142054. - Ugweno – Kifula Shopping Centre- Yusuph Shanga : 078458776. • Tanga - Twalut Islamc Centre – Mabovu Darajani : 0715 894111 - Uongofu Bookshop: 0784 982525 - Korogwe: SHEMEA SHOP : 0754 690007/071569008. - Mandia Shop - Lushoto: 0782257533. -Handeni –Mafiga -0782 105735/0657093983 • Mwanza - Nyasaka Islamic Secondary School : 0717 417685/0786 417685. - Ofisi ya Islamic Education Panel – Mtaa wa Rufiji mkabala na Msikiti Al-Amin 0785 086 770/0714097362.

• Musoma - Ofisi ya Islamic Ed Panel -Mtaa wa Karume,Nyumba Na. 05 : 0765024623 • Shinyanga - Msikiti wa Majengo karibu na Manispaa ya Shinyanga Mjini :0752180426 - Kahama ofisi ya AN –NUUR Karibu na msikiti wa Ibadhi : 0753 993930/0688794040 • Dar es Salaam - Ubungo Islamic High School : 0756584625/0657350172 - Ofisi ya Islamic Ed. Panel –Temeke -Msikiti wa Nurul Yakin : 0655144474/0787119531 • Morogoro - Wasiliana na Ramadhani Chale : 0715704380. • Dodoma - Hijra Islamic Primary School : 0716 544757/0718661992 • Singida - Ofisi ya Islamic Education. Panel – karibu na Nuru snack Hotel : 0786 425838/0784 928039. • Manyara - Ofisi ya Islamic Ed. Panel – Masjid Rahma: 0784491196 • Kigoma - Msikiti wa Mwandiga: 0714717727 - Kibondo – Islamic Nursery School: 0766406669. - Kasulu: Murubona Isl.SS: 0714710802. • Lindi - Wapemba Store: 0784 974041/0783 488444/0653 705627. • Mtwara - Amana Islamic S.S: 0715 465158/0787 231007. • Songea - Kwa Kawanga Karibu na Msikiti wa NURU : 0713249264/0683670772. - Mkuzo Islamic High School :0717 348375. • Mbeya - Ofisi za Islamic Education Panel Uhindini – 0785425319. - Rexona Video mkabala na Mbeya RETICO: 0713 200209/0785425319. . • Rukwa - Sumbawanga:Jengo la Haji Said –Shule ya Msingi Kizwike 0717082 072. • Tabora - Kituo cha Kiislamu Isevya: 0784 944566/0787237342 Nzega -Dk Mbaga-0754 576922/0784576922. • Iringa - Madrastun – Najah: 0714 522 122.

• Pemba -Wete: Wete Islamic School : 0777 432331/0712772326. • Unguja - Madrasatul – Fallah: 0777125074. - PANDU BOOKSHOP 0777462056 karibu na uwanja wa Lumumba • Mafia - Ofisi ya Ust. Yusufu Ally jirani na msikiti mkuu : 0773580703. USIKOSE NAFASI HII ADHIMU – WAHI KUCHUKUA FOMU SASA! MKURUGENZI WABILLAH TAWFIIQ MAKALA AN-NUUR 2020 MpenziRABIUL msomaji THANI 1436, IJUMAA kuanziaFEBRUARI 13-19, 2015 Februari 19, 2015 ANNUUR litapatikana kwa AN-NUUR Shs 800/= tu 20 RABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 13-19, 2015 Dk. Shein ahimiza ubora wa vyakula vinavyouzwa nchini RAIS wa Zanzibar na Mahonda, hivyo ipo haja ya cha maziwa, sabuni, samani ya mitaa hasa ile mitaa za kawaidia na maendeleo Mwenyekiti wa Baraza kuongozeka zaidi. pamoja na kiwanda cha iliyosahauliwa katika kwa kuzingatia Dira ya la Mapinduzi Dk. Ali Sambamba na hayo, sukari Mahonda. zoezi la kuweka majina Taifa ya Maendeleo (Vision Mohamed Shein, amehimiza Dk. Shein alieleza kuwa Wakati huo huo, Dk. Shein ya mitaa lililofanywa na 2020), Mkakati wa Kukuza umuhimu wa kuzingatia bado Baraza la Biashara la alifanya mkutano na uongozi Wizara hiyo, hasa katika Uchumi na Kupunguza ubora wa bidhaa na vyakula Zanzibar linaonekana kuwa wa Wizara ya Miundombinu mitaa ya Mji Mkwongwe Umasikini (MKUZAII), vinavyouzwa nchini. ni Baraza la Serikali hali na Mawasiliano juu ya na baadhi ya mitaa ya Sera ya Usafiri Zanzibar Aidha, ili kufikia azma ambayo sio sahihi katika Utekelezaji wa Malengo ya Ng’ambo. (2008), Mpango Mkuu hiyo, Rais Shein amesema kutekeleza majukumu na Wizara hiyo kwa robo mbili Nae Waziri wa Wizara wa Usafiri pamoja na Sera kuwa umefika wakati wa azma ya kuliimarisha Baraza (Julai-Disemba) 2014/2015 hiyo Mhe. Juma Duni Haji nyenginezo zinazohusika kuiimarisha Taasisi ya hilo. ambapo miongoni mwa alisema kuwa Wizara hiyo (Habari kwa hisani ya Viwango Zanzibar (ZBC) ili Pia, Dk. Shein alisisitiza maelezo yake alieleza imeendelea kusimamia Rajab Mkasaba, Ikulu iweze kutimiza wajibu wake haja kwa bidhaa za haja ya kuwekwa majina utekelezaji wa kazi zake Zanzibar) ipasanyo. maonyesho kufanyiwa Dk. Shein aliyasema hayo utafiti vizuri kwa lengo la mwanzoni mwa wiki hii kukinga afya za wananchi huko Ikulu mjini Zanzibar badala ya hali inayojitokeza katika mkutano kati yake hivi sasa ya baadhi ya na uongozi wa Wizara wafanyabiashara wanaouza ya Biashara, Viwanda biashara zao katika na Masoko kwa lengo la maonesho hayo zikiwemo kuangalia Utekelezaji wa dawa za asili kutokuwa na Malengo ya Wizara hiyo kwa kiwango kwa watumiaji. robo mbili (Julai-Disemba) Nae Makamu wa Piliwa 2014/2015. Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Katika maelezo yake Dk. Ali Idd alisisitiza umuhimu Shein alisema kuwa Taasisi wa usimamizi wa viwango hiyo ina umuhimu mkubwa vya bidhaa na ubora wake katika kuimarisha sekta sambamba na kukidhi haja ya biashara sambamba na kwa wananchi. kukinga afya za wananachi. Alisema kuwa Wizara Alisema kuwa Serikali husika inakila sababu ya ya Mapinduzi ya Zanzibar kuhakikisha hakufanyiki kwa upande wake imeweka udanganyifu kwa wale mikakati maalum katika wanaouza bidhaa, ambao kuhakikisha Taasisi hiyo hivi sasa wamejitokeza inaimarika zaidi ikiwa ni wafanyabiashara ambao pamoja na azma ya kununua huuza vitu vilivyokwisha vifaa maalum kwa ajili ya mda au kuwa chini ya uchunguzi na kuitaka Wizara viwango. husika pamoja na Bodi yake Aidha, alisema haja kukaa pamoja ili kufanya ya kusaidiwa kwa maamuzi ya kuiimarisha wafanyabiashara wadogo sekta hiyo. wadogo ili bidhaa zao ziweze Aidha, Dk. Shein alisisitiza kuvutia. haja ya kuharakishwa kwa Mapema Waziri wa utafiti wa karafuu na ule Wizara hiyo Mhe. Nassor utafiti wa mwani wa aina Ahmed Mazrui, akisoma ya Cottoni kwa kutambua taarifa ya Wizara yake kuwa aina hiyo ya mwani bei alisema kuwa kwa kutumia yake ni ni nzuri sambamba twakwimu za uingizaji wa na kupata matokeo na bidhaa za mchele, unga mwelekeo wa haraka juu ya ngano na sukari, katika kuendelea na kilimo hicho. kipindi cha Julai-Disemba, Pamoja na hayo, Dk. Shein 2014, Zanzibar iliendelea alisisitiza haja ya kuimarisha kuwa na chakula cha kutosha sekta ya viwanda kwa cha aina hizo. kutambua umuhimu wake Alidha, alisema kuwa katika uchumi wa nchi kwani mwenendo wa bei za viwanda vitasaidia kujenga bidhaa muhimu hapa uchumi na kupanua soko la nchini uliendelea kuwa wa ajira huku akisisitiza haja ya utulivu kutokana na Serikali kufanya kazi kwa pamoja kuendelea kuchukua hatua kati ya sekta ya uma na sekta maalum za kisera za kudhibiti binafsi. bei zake kwa kushirikiana na Alisisitiza kuwa umefika wafanyabiashara. wakati wa kuwa na mipango Pamoja na hayo, Waziri maalum juu ya mwelekeo wa Mzrui alisema kuwa hivi sekta ya viwanda ambapo karibuni mchnago wa hivi sasa tayari baadhi ya sekta ya viwanda utaanza viwanda vimeshaanza kuimarika kutokana kuleta mafanikio kikiwemo na juhudi za kuanishwa MKE wa Rais wa Ujerumani Bi Daniela Gauck akishiriki ufunguzi wa kiwanda cha maziwa na viwanda mbali mbali hapa shule ya Kanisa katika ziara yake Kisiwani Zanzibar hivi karibuni. kile cha sukari kiliopo Zanzibar vikwemo kiwanda Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.