Tarehe 9 Septemba, 2019
Total Page:16
File Type:pdf, Size:1020Kb
Load more
Recommended publications
-
Majadiliano Ya Bunge ______
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ___________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA NANE Kikao cha Thelathini na Tisa – Tarehe 2 AGOSTI, 2012 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) DUA Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati ifuatayo iliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI: Randama za Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa Mwaka wa Fedha 2012/2013. SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, naomba mzime vipasa sauti vyenu maana naona vinaingiliana. Ahsante Mheshimiwa Naibu Waziri, tunaingia hatua inayofuata. MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Leo ni siku ya Alhamisi lakini tulishatoa taarifa kwamba Waziri Mkuu yuko safarini kwa hiyo kama kawaida hatutakuwa na kipindi cha maswali hayo. Maswali ya kawaida yapo machache na atakayeuliza swali la kwanza ni Mheshimiwa Vita R. M. Kawawa. Na. 310 Fedha za Uendeshaji Shule za Msingi MHE. VITA R. M. KAWAWA aliuliza:- Kumekuwa na makato ya fedha za uendeshaji wa Shule za Msingi - Capitation bila taarifa hali inayofanya Walimu kuwa na hali ngumu ya uendeshaji wa shule hizo. Je, Serikali ina mipango gani ya kuhakikisha kuwa, fedha za Capitation zinatoloewa kama ilivyotarajiwa ili kupunguza matatizo wanayopata wazazi wa wanafunzi kwa kuchangia gharama za uendeshaji shule? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (ELIMU) alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Vita Rashid Kawawa, Mbunge wa Namtumbo, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Spika, Serikali kupitia Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) imepanga kila mwanafunzi wa Shule ya Msingi kupata shilingi 10,000 kama fedha za uendeshaji wa shule (Capitation Grant) kwa mwaka. -
Two Ideas for Cash on Delivery Aid for Education in Tanzania: a Briefing Note Nancy Birdsall, Rita Perakis and William Savedoff1
Two ideas for Cash on Delivery Aid for Education in Tanzania: A Briefing Note Nancy Birdsall, Rita Perakis and William Savedoff1 Introduction This note outlines two possible ways for Tanzania and its development partners to implement a new foreign aid mechanism, Cash on Delivery Aid (COD Aid),2 that puts greater attention on outcomes and country ownership. Based on our research, the Government of Tanzania is in a good position to request support for its education sector in the form of a COD Aid agreement. The ideas presented here are meant to serve as a starting point for discussions in the hope that they might facilitate the design and implementation of such pilots. I. COD Aid for increased learning in primary education (early grades) Background In the past decade Tanzania has made tremendous strides in expanding primary and secondary schooling, and is on track to achieve the education Millennium Development Goal. However, assessments of school age children indicate alarmingly low levels of learning in Tanzania’s public primary schools. A majority of students cannot pass an assessment of basic literacy and numeracy – in Kiswahili, English and arithmetic, at the Standard II level. 3 For instance, 71.7 percent of Standard III students could not read a basic story in Kiswahili in 2011 (see table below). 1 This note is based on a visit to Tanzania from March 12 to 16, 2012, in collaboration with CGD partner Twaweza. It reflects discussions and inputs from a wide range of actors from government, civil society, universities and think tanks who were kind enough to take the time to meet with us. -
Land Tenure Reforms and Investment in Tanzania
LAND TENURE REFORMS AND INVESTMENT IN TANZANIA Suzana Sylivester M.A. (Economics) Dissertation University of Dar es Salaam September, 2013 LAND TENURE REFORMS AND INVESTMENT IN TANZANIA By Suzana Sylivester A Dissertation Submitted in (Partial) Fulfillment of the Requirements for the Degree of Master of Arts (Economics) of the University of Dar es Salaam University of Dar es Salaam September, 2013 i CERTIFICATION The undersigned certifies that he has read and hereby recommends for the acceptance by the University of Dar es Salaam a dissertation entitled: Land Tenure Reforms and Investment in Tanzania, in partial fulfillment for the degree of Masters of Arts (Economics) of the University of Dar es Salaam. ……………………………………………… Dr. Razack B. Lokina (Supervisor) Date: ………………………………….. ii DECLARATION AND COPYRIGHT I, Sylivester Suzana, declare that this dissertation is my own original work and that it has not been presented and will not be presented to any other university for a similar or any other degree award. Signature ………………………………………….. This thesis is copyright material protected under the Berne Convention, the copyright Act 1999 and other International and national enactments, in that behalf on intellectual property. It may not be produced by any means, in full or in part, except for short extracts in fair dealings, for research or private study, critical scholarly review or discourse with an acknowledgement, without the written permission of Director of Postgraduate Studies, on behalf of both the author and the University of Dar es Salaam. iii ACKNOWLEDGEMENT I would like to give my special thanks to Almighty God for the Gift of life. My study has been successful by his Grace “I will glorify his name” This study could not have been written without the help of so many people and institutions, beginning with the UDSM-Sida Natural Resources and Governance Program, Department of Economics and EFD-Tanzania for their financial support. -
Annual Report 2016
ECONOMIC AND SOCIAL RESEARCH FOUNDATION (ESRF) Annual Report 2016 Economic and Social Research Foundation (ESRF) 51 Uporoto Street, off Ali Hassan Mwinyi Road P.O. Box 31226, Dar es Salaam, Tanzania Tel: (255-22) 2926084-9 Fax: (255-22) 2926083 E-mail: [email protected] Website: www.esrftz.org ESRF Managed Websites: (Tanzania Online): www.tzonline.org Tanzania Knowledge Network (TAKNET): www.taknet.ortz ESRF ANNUAL REPORT 2016 i TABLE OF CONTENTS LIST OF ABBREVIATIONS .................................................................................................v ACKNOWLEDGEMENT .....................................................................................................vi NOTE FROM THE EXECUTIVE DIRECTOR.......................................................................1 1. INTRODUCTION ..........................................................................................................4 1.1 About the Economic and Social Research Foundation ......................................... 5 1.2 The Mandate of ESRF ........................................................................................................ 5 1.3 ESRF’s Strategic Objectives .............................................................................................. 6 1.4 Country Context in 2016 .................................................................................................. 6 2. THE MEDIUM TERM STRATEGIC PLAN 2016-2020 .............................................8 2.1 Inclusive growth, employment and industrialization ............................................. -
Unlikely Allies? the Intersections of Conservation and Extraction in Tanzania
Unlikely Allies? The Intersections of Conservation and Extraction in Tanzania Devin Holterman A DISSERTATION SUBMITTED TO THE FACULTY OF GRADUATE STUDIES IN PARTIAL FULFILLMENT OF THE REQUIREMENTS FOR THE DEGREE OF DOCTOR OF PHILOSOPHY Graduate Program in Geography York University Toronto, Ontario October 2020 © Devin Holterman, 2020 Abstract Tanzania is largely considered the epicenter of the Second Poaching Crisis, having experienced dramatic declines in wildlife populations, in particular elephants. In response, the country has established a new (para)military wildlife authority, enhanced international partnerships and projects aimed at curbing illegal elephant killings, and embarked on widespread anti-poaching operations as part of the country’s so-called “war on poaching.” Attuned to these characteristics of green militarization and the conditions of biodiversity crisis in Tanzania, this dissertation examines the emergence of anti-poaching partnerships between conservation and extractive industry actors. Based on 11 months of research in Tanzania, focusing specifically on the Selous Game Reserve, I illustrate that mainstream state and non-state conservation efforts, under the conditions of biodiversity crisis, enable the expansion of the mining, oil and gas industries. Building on this argument, the dissertation offers three contributions to political ecological and broader critical geographical scholarship. First, I show how Tanzania’s categorization of the poacher as an “economic saboteur” who threatens the national economy forms one aspect of a broader economic rationale directing the country’s increasingly militarized approach to conservation. Such an economic rationale, utilized by both state and non-state conservation actors, authorizes controversial partnerships with the extractive industries. Second, I show how Tanzania’s militarization of conservation is enabled in part by extractive industry actors who, in addition to securing access to its desired mineral deposits, temporarily “fix” the broader social and political crises facing the industry. -
Towards Responsible Democratic Government
TOWARDS RESPONSIBLE DEMOCRATIC GOVERNMENT Executive Powers and Constitutional Practice in Tanzania 1962-1992 Jwani Timothy Mwaikusa Thesis Submitted to the University of London for the degree of Doctor of Philosophy 1995 Law Department School of Oriental and African Studies ProQuest Number: 11010551 All rights reserved INFORMATION TO ALL USERS The quality of this reproduction is dependent upon the quality of the copy submitted. In the unlikely event that the author did not send a com plete manuscript and there are missing pages, these will be noted. Also, if material had to be removed, a note will indicate the deletion. uest ProQuest 11010551 Published by ProQuest LLC(2018). Copyright of the Dissertation is held by the Author. All rights reserved. This work is protected against unauthorized copying under Title 17, United States C ode Microform Edition © ProQuest LLC. ProQuest LLC. 789 East Eisenhower Parkway P.O. Box 1346 Ann Arbor, Ml 48106- 1346 ABSTRACT With independence in 1961, the British system of Parliamentary government, incorporating the principle of responsible government, was formally adopted in Tanzania. But within only one year that system was discarded first, by adopting a Republican Constitution with an executive President in 1962, and then by adopting a one-party state system of government in 1965. The one-party system reached the height of prominence through the concept of "Party Supremacy", and dominated constitutional practice for a whole generation before giving way to demands for greater freedom and democracy through competitive politics in 1992. Throughout this time, however, the preambles to successive constitutions proclaimed that the government in Tanzania was responsible to a freely elected Parliament representative of the people. -
Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Bunge La Tanzania
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA BUNGE LA TANZANIA MKUTANO WA SABA YATOKANAYO NA KIKAO CHA THELATHINI NA MBILI 23 MEI, 2017 MKUTANO WA SABA KIKAO CHA THELATHINI NA MBILI TAREHE 23 MEI, 2017 I. DUA: Mwenyekiti (Mhe. Mussa A. Zungu) alisoma Dua Saa 3.00 Asubuhi na kuongoza Bunge. Makatibu mezani: 1. Ndugu Joshua Chamwela 2. Ndugu Neema Msangi II. HATI ZA KUWASILISHA MEZANI (1) Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii – Mhe. Ramo Makani aliwasilisha Mezani:- - Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018. (2) Kaimu Mwenyekiti wa Kamati ya Ardhi, Maliasili na Utalii – Mhe. Khalifa Salum Suleiman aliwasilisha Mezani:- - Taarifa ya Kamati ya Ardhi, Maliasili na Utalii kuhusu utekelezaji wa Majukumu ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa Mwaka wa Fedha 2016/2017 pamoja na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018. (3) Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani kwa Wizara ya Maliasili na Utalii – Mhe. Roman Selasini aliwasilisha Mezani:- - Taarifa ya Upinzani kuhusu Wizara ya Maliasili na Utalii juu ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018. 1 III. MASWALI Maswali yafuatayo yaliulizwa na kujibiwa:- WIZARA YA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO Swali Na. 254: Mhe. Ritta Kabati (Kny. Mhe. Mahmoud H. Mgimwa) Nyongeza: Mhe. Ritta Kabati Mhe. Elias J. Kwandikwa Mhe. James Mbatia Mhe. Venance Mwamoto Swali Na. 255: Mhe. Ignas A. Malocha Nyongeza: Mhe. Ignas A. Malocha Mhe. Oran Njenza Mhe. Omary T. Mgimba Mhe. Adamson E. Mwakasaka Mhe. Zuberi Kuchauka Mhe. -
1 BUNGE LA TANZANIA ___MAJADILIANO YA BUNGE ___MKUTANO WA KUMI NA SABA Kikao Cha Nne – Tarehe 8 Novemba, 20
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA KUMI NA SABA Kikao cha Nne – Tarehe 8 Novemba, 2019 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Mwenyekiti (Mhe. Andrew J. Chenge) Alisoma Dua MWENYEKITI: Waheshimiwa Wabunge tukae. Katibu. NDG. NEEMA MSANGI – KATIBU MEZANI: HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa mezani na:- NAIBU WAZIRI, OFISI YA MAKAMU WA RAIS (MUUNGANO NA MAZINGIRA): Taarifa ya Tatu ya Hali ya Mazingira Nchini (State of the Environment Report, 3). NAIBU WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO: Taarifa ya Mwaka ya Tathmini ya Utendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma kwa mwaka wa fedha 2018/2019 (The Annual Performance Evaluation Report on Public Procurement Regulatory Authority for the Financial Year 2018/2019). 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) MWENYEKITI: Ahsante sana. Katibu. NDG. NEEMA MSANGI – KATIBU MEZANI: MASWALI NA MAJIBU MWENYEKITI: Swali letu la kwanza linaelekezwa Ofisi ya Rais – TAMISEMI. Linaulizwa na Mheshimiwa Justin Joseph Monko, Mbunge wa Singida Kaskazini. Na. 40 Kuwa na Uchaguzi Mdogo wa Serikali za Mitaa MHE. JUSTIN J. MONKO aliuliza:- Inapotokea Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa/Kijiji amefariki au kupoteza sifa ya kuwa Mwenyekiti wa Mtaa au Kijiji husika huongozwa na Kaimu Mwenyekiti:- Je, kwa nini Serikali haioni umuhimu wa kuwepo uchaguzi mdogo kama ilivyo kwa Madiwani na Wabunge? MWENYEKITI: Ahsante. Majibu kwa swali hilo, Mheshimiwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, TAMISEMI, Mheshimiwa Waitara. NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA -
MKUTANO WA KUMI NA TISA Kikao Cha Arobaini Na Sita
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ________ MAJADILIANO YA BUNGE _________ MKUTANO WA KUMI NA TISA Kikao cha Arobaini na Sita – Tarehe 15 Juni, 2020 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa Wabunge tukae, tunaendelea na Mkutano wetu wa 19, Kikao cha 46, bado kimoja tu cha kesho. Katibu! NDG. STEPHEN KAGAIGAI – KATIBU WA BUNGE: HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa mezani na: NAIBU WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO: Maelezo ya Waziri wa Fedha na Mipango kuhusu Muswada wa Sheria ya Fedha wa Mwaka 2020 (The Finance Bill, 2020). Muhtasari wa Tamko la Sera ya Fedha kwa Mwaka wa Fedha 2020/2021 (Monetary Policy Statement for the Financial Year 2020/2021). MHE. ALBERT N. OBAMA - K.n.y. MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA BAJETI:Maoni ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti Kuhusu Muswada wa Sheria ya Fedha wa Mwaka 2020 (The Finance Bill, 2020). 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) MHE. RHODA E. KUNCHELA - K.n.y. MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI KWA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO: Maoni ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kuhusu Muswada wa Sheria ya fedha wa mwaka 2020 (The Finance Bill, 2020). MHE. DKT. TULIA ACKSON - MAKAMU MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA KANUNI ZA BUNGE: Azimio la Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kanuni za Bunge kuhusu Marekebisho ya Kanuni za Bunge SPIKA: Asante sana Mheshimiwa Naibu Spika, Katibu MASWALI NA MAJIBU (Maswali yafuatayo yameulizwa na kujibiwa kwa njia ya mtandao) Na. 426 Migogoro ya Mipaka MHE. -
Tarehe 24 Mei, 2021
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ________ MAJADILIANO YA BUNGE _________ MKUTANO WA TATU Kikao cha Thelathini na Tano – Tarehe 24 Mei, 2021 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Job Y. Ndugai) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tukae. Waheshimiwa Wabunge, Asalam alaykum. WABUNGE FULANI: Waalaykumu s-salam SPIKA: Bwana Yesu Asifiwe. WABUNGE FULANI: Ameen. SPIKA: Kama mnavyojua wiki iliyopita tulipata msiba wa kuondokewa na ndugu yetu, rafiki yetu, Mbunge mwenzetu, Mheshimiwa Khatib Said Haji, Mbunge wa Konde. Tulipata nafasi ya kupumzika siku ile ya msiba kama ambavyo Kanuni zetu zinaelekeza lakini pia tulifanya maandalizi ya mazishi na baadhi yenu mliweza kushiriki kule Pemba, tunawashukuru sana. Kwa niaba ya Bunge, napenda kutoa salamu za pole kwa familia, ndugu, jamaa, marafiki na kwa Watanzania 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) kwa msiba huu mkubwa ambao tumeupata wa ndugu yetu. Alikuwa ni Mbunge mahiri sana aliyelichangamsha Bunge na aliyekuwa akiongea hoja zenye mashiko lakini kama ambavyo Bwana alitoa, Bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe. WABUNGE FULANI: Ameen. SPIKA: Napenda kutoa taarifa kwa Waheshimiwa Wabunge kwamba Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amefanya mabadiliko kama mnavyofahamu tayari na katika mabadiliko kadhaa mojawapo ambalo amelifanya ni la Katibu wa Bunge. Aliyekuwa Katibu wetu wa Bunge Ndg. Stephen Kagaigai sasa ni Mheshimiwa Stephen Kagaigai, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro na badala yake ameteuliwa Ndg. Nenelwa Mwihambi kuwa Katibu mpya wa Bunge. Naomba nimtambulishe mbele yenu sasa Katibu mpya, ahsante sana. (Makofi/Vigelegele) Kama mnavyofahamu Bunge letu lilianza zamani sana. Hivi Makatibu, Bunge lilianza mwaka gani? NDG. NENELWA J. MWIHAMBI, ndc - KATIBU WA BUNGE: Mwaka 1926. -
Wizara Ya Kilimo
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA ___________ WIZARA YA KILIMO HOTUBA YA WAZIRI WA KILIMO, MHESHIMIWA PROF. ADOLF FAUSTINE MKENDA (MB), KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA YA WIZARA YA KILIMO KWA MWAKA 2021/2022 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim M. Majaliwa akishuhudia Nzige wa Jangwani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, walioangamizwa kwa sumu katika Kijiji cha Engaruka Wilaya alipotembelea shamba la mbegu ya miwa mkoani Morogoro ya Monduli alipotembelea maeneo yaliyovamiwa na nzige. KIMEPIGWA CHAPA NA IDARA YA KUPIGACHAPA YA SERIKALI-DODOMA-TANZANIA MEI, 2021 DODOMA HOTUBA YA WAZIRI WA KILIMO, MHESHIMIWA PROF. ADOLF FAUSTINE MKENDA (MB), KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA YA WIZARA YA KILIMO KWA MWAKA 2021/2022 i ii Mhe. Prof. Adolf Faustine Mkenda (Mb.) Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Mohamed Bashe (Mb.) Naibu Waziri - Kilimo Bw. Andrew Wilson Massawe Prof. Siza Donald Tumbo Katibu Mkuu - Kilimo Naibu Katibu Mkuu - Kilimo i i YALIYOMO ............................................................................................ i VIFUPISHO VYA MANENO ............................................................... vii 1. UTANGULIZI ...................................................................................... 1 2. MCHANGO WA KILIMO KATIKA UCHUMI ................................. 7 3. HALI YA CHAKULA, UMWAGILIAJI NA USHIRIKA ................. 8 3.1 Hali ya Chakula ............................................................... 8 3.2 Umwagiliaji ..................................................................... -
Majadiliano Ya Bunge ______
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA KUMI NA MOJA Kikao cha Arobaini na Tisa – Tarehe 12 Juni, 2018 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Mwenyekiti (Mhe. Najma Murtaza Giga) Alisoma Dua MWENYEKITI: Waheshimiwa Wabunge, tukae. Katibu. NDG. ASIA MINJA - KATIBU MEZANI: MASWALI NA MAJIBU MWENYEKITI: Waheshimiwa Wabunge, tunaanza na Ofisi ya Rais, TAMISEMI, Mheshimiwa Deogratias Francis Ngalawa, Mbunge wa Ludewa, sasa aulize swali lake. Na. 415 Hitaji la Barabara – Pembezoni mwa Ziwa Nyasa MHE. DEOGRATIAS F. NGALAWA aliuliza:- Kumekuwa na tatizo kubwa la ukosefu wa barabara pembezoni mwa Ziwa Nyasa, hususan Wilaya ya Ludewa na Mkoa wa Njombe; eneo hilo lenye urefu wa kilomita 150 hutegemea usafiri wa meli ambao hauna tija kwa wananchi walio wengi:- (a) Je, Serikali itawasaidia vipi wananchi wa maeneo hayo yenye vijiji 22 kupata barabara ya uhakika? 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) (b) Kwa kuwa wananchi wameanza kutengeneza wenyewe barabara kwa nguvu zao. Je, Serikali inatoa tamko gani la kuunga mkono juhudi hizo za wananchi? NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (MHE. JOSEPHAT S. KANDEGE) alijibu:- Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa niaba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, TAMISEMI, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Deogratias Francis Ngalawa, Mbunge wa Ludewa, lenye sehemu (a) na (b) kwa pamoja, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Mwenyekiti, katika mwaka wa fedha 2017/2018, TARURA imetoa shilingi milioni 500 kwa ajili ya kufungua kipande cha barabara ya Mwambahesa - Makonde chenye urefu wa kilomita 3.67 na ujenzi wa daraja moja na box culvert mbili katika milima ya Mwambahesa.