Majadiliano Ya Bunge ______
Total Page:16
File Type:pdf, Size:1020Kb
Load more
Recommended publications
-
9Aprili,2013
9 APRILI, 2013 BUNGE LA TANZANIA ________________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________________ MKUTANO WA KUMI NA MOJA Kikao cha Kwanza - Tarehe 9 Aprili, 2013 WIMBO WA TAIFA (Hapa Waheshimiwa Wabunge Waliimba Wimbo wa Taifa) (Mkutano Ulianza Saa 3.00 Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua SPIKA: Waheshimiwa msimame tena. Mtakumbuka kwamba wakati wa Vikao vyetu vya Kamati, kwa bahati mbaya sana tulimpoteza mpenzi wetu Mheshimiwa Salim Hemed Khamis. Kwa hiyo, tumkumbuke kwa dakika moja. (Hapa Waheshimiwa Wabunge walisimama kwa Dakika moja kumkumbuka Mheshimiwa Salim Hemed Khamis aliyekuwa Mbunge wa Chambani Mwenyezi Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi, Amin. Ahsanteni sana na karibuni tukae. 1 9 APRILI, 2013 Waheshimiwa Wanbunge, katika Mkutano wa Tisa, Bunge lilipitisha Muswada wa Sheria ya Serikali uitwao The Plant Breeders` Rights Bill, 2012, kwa taarifa hii napenda kulialifu Bunge hili Tukufu kwamba, Mswada huo umekwisha pata kibali cha Mheshimiwa Rais na kuwa Sheria ya nchi iitwayo: The Plant Breeders` Rights Act, 2012 Na. 9 ya mwaka 2012. Kwa hiyo, ule sasa ni sheria ya Nchi. HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati ifuatayo iliwasilishwa Mezani na:- WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU, SERA, URATIBU NA BUNGE: Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba kuwasilisha mezani Taarifa ya Matoleo yote ya Gazeti la Serikali pamoja na nyongeza zake zilizochapishwa tangu Kikao cha mwisho cha Mkutano wa Bunge uliopita. Mheshimiwa Spika, naomba kuwasilisha. MASWALI NA MAJIBU Na. 1 Kujenga Barabara ya Old Moshi kwa Lami MHE. GODFREY W. ZAMBI (K.n.y. MHE. DKT. CYRIL A. CHAMI) aliuliza:- Je, Serikali itatekeleza lini ahadi ya kujenga kwa kiwango cha lami Barabara ya Old Moshi inayoanzia Kiboriloni kupitia Kikarara, Tsuduni hadi Kidia? 2 9 APRILI, 2013 NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA, (TAMISEMI) alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Dkt. -
Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Bunge La Tanzania
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA BUNGE LA TANZANIA MKUTANO WA KUMI NA SITA NA KUMI NA SABA YATOKANAYO NA KIKAO CHA KUMI (DAILY SUMMARY RECORD OF PROCEEDINGS) 17 NOVEMBA, 2014 MKUTANO WA KUMI NA SITA NA KUMI SABA KIKAO CHA KUMI - 17 NOVEMBA, 2014 I. DUA Saa 3.00 Asubuhi Mhe. Naibu Spika alisoma Dua na kuliongoza Bunge Makatibu Mezani :- 1. Ndg. Charles Mloka 2. Ndg. Neema Msangi 3. Ndg. Joshua Chamwela II. MASWALI: Maswali yafuatayo yaliulizwa na wabunge:- 1. OFISI YA WAZIRI MKUU Swali Na. 114. Mhe. Prof. Peter Mahamudu Msolla Nyongeza ;- i. Mhe. Peter Mahamudu Msolla ii. Mhe. Ally Keissy Mohammad 2. OFISI YA MAKAMU WA RAIS (MAZINGIRA) Swali Na. 115 – All Khamis Seif, Mb Nyongeza ;- i. Mhe. Ally Khamis Seif, Mb ii. Mhe. James Francis Mbatia, Mb 3. WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI Swali Na. 116. Mhe. Dkt. Mary Machuche Mwanjelwa, Mb Nyongeza:- i. Mhe. Dkt. Mary Machuche Mwanjelwa, Mb ii. Mhe. Selemani Said Jafo, Mb iii.Mhe. Aliko Nikusuma Kibona, Mb 4. WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII Swali Na. 117 – Mhe Joseph Roman Selasini, Mb Nyongeza:- i. Mhe Joseph Roman Selasini, Mb 2 ii. Mhe. Moses Machali 5. WIZARA YA MAJI Swali Na. 118. – Mhe. Michael Lekule Laizer [KNY: Dkt. Augustine Lyatonga Mrema]. Nyongeza;- i. Mhe. Michael Lekule Laizer ii. Mhe. James Francis Mbatia, Mb 6. WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO Swali Na. 119 – Mhe. Christowaja Gerson Mtinda Nyongeza:- i. Mhe. Christowaja Gerson Mtinda ii. Mhe. Martha Moses Mlata, Mb iii. Mhe. Grace Sindato Kiwelu, Mb 7. WIZARA YA KILIMO CHAKULA USHIRIKA Swali Na. -
10 JUNI, 2013 MREMA 1.Pmd
10 JUNI, 2013 BUNGE LA TANZANIA ________________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________________ MKUTANO WA KUMI NA MOJA Kikao cha Arobaini na Sita - Tarehe 10 Juni, 2013 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua MASWALI NA MAJIBU Na. 367 Mafunzo ya Wajasiriamali Wanawake – Mbeya MHE. GODFREY W. ZAMBI (K.n.y. MHE. CYNTHIA H. NGOYE) aliuliza:- Wanawake wa Mkoa wa Mbeya wameitikia wito wa kuanzishwa kwa vikundi vya uzalishaji mali ikiwemo uanzishwaji wa vyombo vya akiba na mikopo:- (a) Je, ni lini Serikali itawapatia mafunzo ya ujasiriamali Wanawake wa Mkoa Mbeya? (b) Je, Serikali iko tayari kuhamasisha benki mbalimbali kusogeza huduma karibu na wananchi ili kukidhi azma yao ya kupatiwa mikopo na kujiwekea akiba? 1 10 JUNI, 2013 WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU, SERA, URATIBU NA BUNGE alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, napenda kujibu swali la Mheshimiwa Cynthia Hilda Ngoye, Mbunge wa Viti Maalum, lenye sehemu (a) na (b) kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Spika, Serikali kupitia Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) ilifanya utafiti katika mkoa wa Mbeya na kubaini kuwa wananchi wengi wakiwemo wanawake wameanzisha vikundi vya uzalishaji mali ikiwemo uanzishwaji wa vikundi na mikopo. Kutokana na juhudi hizo, Baraza kwa kutumia Mfuko wa Uwezeshaji Mwananchi Kiuchumi yaani “Mwananchi Empowerment Fund” imeanza kutoa udhamini wa mikopo kwa wananchi wa Mbeya hususan Chimala SACCOS. Aidha, utaratibu na mpango wa kutoa mafunzo umeandaliwa na mafunzo yatatolewa mwanzoni mwa mwaka wa fedha 2013/2014. Mafunzo hayo yatawahusisha pia wanaume kwa vile SACCOS ya Chimala ina wanachama ambao ni wanaume. -
MKUTANO WA PILI Kikao Cha Tisa
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA __________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA PILI Kikao cha Tisa - Tarehe 17 Februari, 2006 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Samuel J. Sitta) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati ifuatayo iliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA: Taarifa ya mwaka ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali za Mitaa kwa mwaka wa fedha unaoishia tarehe 30 Juni, 2004. Mheshimiwa Spika, naomba kuwasilisha. MASWALI NA MAJIBU Na. 94 Uwekaji wa Lami Barabara ya Kigogo - Mabibo - Mandela - Tabata MHE. HALIMA J. MDEE aliuliza:- Je, Serikali ina mpango gani wa kuweka lami kwenye barabara ya Kigogo- Mabibo hadi barabara ya Mandela kuelekea Tabata ili kupunguza msongamano wa magari katika barabara ya Morogoro? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA alijibu:- Mheshimiwa Spika, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Halima Mdee, Mbunge wa Viti Maalum, kama ifuatavyo:- 1 Mheshimiwa Spika, barabara ya Kigogo - Mabibo- Mandela kuelekea Tabata ni barabara ya mjini yaani urban road na inahudumiwa na Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Barabara hii ni muungano wa barabara tatu ambazo ni Kigogo - Mabibo, Mabibo - Mandela na Mandela - Tabata. Barabara hii imekuwa ikifanyiwa matengenezo ya mara kwa mara na Manispaa ya Kinondoni. Kwa mwaka 2005/2006 jumla ya shilingi 9,836,000 zilitumika kuweka kifusi kwenye sehemu korofi na kuichonga kwa greda. Mheshimiwa Spika, barabara hii inapitika isipokuwa katika mpaka wa Manispaa za Kinondoni na Ilala eneo la Tabata ambapo pana mkondo wa maji na hakuna daraja. -
Na Namba Ya Prem Jina La Mwanafunzi Shule Atokayo 1
ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021 WILAYA YA TEMEKE - WASICHANA A.UFAULU MZURI ZAIDI SHULE YA SEKONDARI KILAKALA - BWENI NA NAMBA YA PREM JINA LA MWANAFUNZI SHULE ATOKAYO 1 20140978513 GIFT JUMANNE MWAMBE SACRED HEART SHULE YA SEKONDARI MSALATO - BWENI NA NAMBA YA PREM JINA LA MWANAFUNZI SHULE ATOKAYO 1 20141212460 IQRA SUPHIAN MBWANA ASSWIDDIQ 2 20141196774 HADIJA SAMNDERE ABDALLAH KIZUIANI SHULE YA SEKONDARI TABORA WAS - BWENI NA NAMBA YA PREM JINA LA MWANAFUNZI SHULE ATOKAYO 1 20140161890 JANETH JASSON RWIZA HOLY CROSS 2 20140142894 CATHERINE JACKSON MUGYABUSO HOLY CROSS 3 20140158817 MARTHA FREDRICK KIULA KAMO 4 20141283912 VANESSA ARISTIDES MSOKA JOYLAND B.UFUNDI BWENI SHULE YA SEKONDARI MTWARA UFUNDI - BWENI NA NAMBA YA PREM JINA LA MWANAFUNZI SHULE ATOKAYO 1 20140246791 PRINCESSREBECA ALOYCE MOSHA SHALOM 2 20140293569 SUZAN DIOCRES PETER MWANGAZA ENG. MED. SHULE YA SEKONDARI TANGA UFUNDI - BWENI NA NAMBA YA PREM JINA LA MWANAFUNZI SHULE ATOKAYO 1 20140271585 FATUMA IBRAHIMU NASSORO SOKOINE 2 20141282072 ALAWIA ASHIRI KIBWANGA KIBURUGWA 3 20140813416 LUCY MARTIN NDEU MGULANI C.BWENI KAWAIDA SHULE YA SEKONDARI KAZIMA - BWENI NA NAMBA YA PREM JINA LA MWANAFUNZI SHULE ATOKAYO 1 20141358656 ASHURA ISSA NGULANGWA NZASA 2 20140961580 SHUFAA HAMADI TAMBARA UKOMBOZI 3 20140801607 NAIMA RAZACK MCHALAGANYA TAIFA 4 20140437650 HALIMA HASHIMU MPEGEA RUVUMA SHULE YA SEKONDARI LOWASSA- BWENI NA NAMBA YA PREM JINA LA MWANAFUNZI SHULE ATOKAYO 1 20141303924 RAHMA ALLY KWAKWADU MBANDE SHULE YA SEKONDARI LUGOBA- -
Majadiliano Ya Bunge ______
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ___________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA NANE Kikao cha Thelathini na Tisa – Tarehe 2 AGOSTI, 2012 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) DUA Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati ifuatayo iliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI: Randama za Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa Mwaka wa Fedha 2012/2013. SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, naomba mzime vipasa sauti vyenu maana naona vinaingiliana. Ahsante Mheshimiwa Naibu Waziri, tunaingia hatua inayofuata. MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Leo ni siku ya Alhamisi lakini tulishatoa taarifa kwamba Waziri Mkuu yuko safarini kwa hiyo kama kawaida hatutakuwa na kipindi cha maswali hayo. Maswali ya kawaida yapo machache na atakayeuliza swali la kwanza ni Mheshimiwa Vita R. M. Kawawa. Na. 310 Fedha za Uendeshaji Shule za Msingi MHE. VITA R. M. KAWAWA aliuliza:- Kumekuwa na makato ya fedha za uendeshaji wa Shule za Msingi - Capitation bila taarifa hali inayofanya Walimu kuwa na hali ngumu ya uendeshaji wa shule hizo. Je, Serikali ina mipango gani ya kuhakikisha kuwa, fedha za Capitation zinatoloewa kama ilivyotarajiwa ili kupunguza matatizo wanayopata wazazi wa wanafunzi kwa kuchangia gharama za uendeshaji shule? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (ELIMU) alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Vita Rashid Kawawa, Mbunge wa Namtumbo, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Spika, Serikali kupitia Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) imepanga kila mwanafunzi wa Shule ya Msingi kupata shilingi 10,000 kama fedha za uendeshaji wa shule (Capitation Grant) kwa mwaka. -
Did They Perform? Assessing fi Ve Years of Bunge 2005-2010
Policy Brief: TZ.11/2010E Did they perform? Assessing fi ve years of Bunge 2005-2010 1. Introducti on On July 16th 2010, following the completi on of the 20th session of the Bunge, the President of Tanzania dissolved the 9th Parliament. This event marked the end of the term for Members of Parliament who were elected during the 2005 general electi ons. Now that the last session has been completed it allows us to look back and to consider how MPs performed during their tenure. Did they parti cipate acti vely and represent their consti tuencies by asking questi ons and making interventi ons, or were they silent backbenchers? The Bunge is the Supreme Legislature of Tanzania. The Bunge grants money for running the administrati on and oversees government programs and plans. The Bunge oversees the acti ons of the Executi ve and serves as watchdog to ensure that government is accountable to its citi zens. To achieve all this, Members of Parliament pass laws, authorize taxati on and scruti nize government policies including proposal for expenditure; and debate major issues of the day. For the Bunge to eff ecti vely carry out its oversight role, acti ve parti cipati on by Members of Parliament is criti cal. MPs can be acti ve by making three kinds of interventi ons: they can ask basic questi ons, they can ask supplementary questi ons and they can make contributi ons during debates. This brief follows earlier briefs, the last of which was released in August 2010. It presents seven facts on the performance of MPs, including rati ng who were the most acti ve and least acti ve MPs. -
Hii Ni Nakala Ya Mtandao (Online Document)
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _______________ MKUTANO WA TANO ___________________ Kikao cha Saba – Tarehe 16 Novemba, 2011 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Mwenyekiti (Mhe. Jenista J. Mhagama) Alisoma Dua MASWALI NA MAJIBU Na. 84 Hali Mbaya ya Hospitali ya Wilaya – Mbozi MHE. GODFREY W. ZAMBI aliuliza:- Majengo ya Hospitali ya Wilaya Mbozi – Vwawa yako kwenye hali mbaya na wodi za kulaza wagonjwa hazitoshelezi hali inayosababisha msongamano katika wodi chache zilizopo:- Je, Serikali itayakarabati lini majengo ya zamani na kujenga mengine kwa ajili ya kulaza wagonjwa? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI) alijibu:- Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Godfrey W. Zambi, Mbunge wa Mbozi Mashariki, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Mwenyekiti, Hospitali ya Wilaya ya Mbozi ya Vwawa ilipandishwa hadhi kutoka kituo cha afya mwaka 2002 kwa kuongezewa majengo yafuatayo Wodi ya Mama wajawazito1, wodi 1 ya wanaume, pediatric ward 1, Chumba cha kusubiria mama wajawazito kimoja, chumba cha upasuaji, jengo la mapokezi, isolation ward, jengo la kliniki (RCH), jengo la utawala, chumba cha kuhifadhia maiti, jengo la kufulia nguo, jengo la upasuaji mkubwa na chumba cha X–ray. Aidha, ni kweli kuwa baadhi ya majengo ya hospitali hiyo yameharibika kiasi cha kuhitaji kukarabatiwa. Mheshimiwa Mwenyekiti, katika mwaka 2011/2012 Halmashauri imepanga kutumia shilingi 40,000,000 kwa ajili ya kukarabati jengo la upasuaji, shilingi 28,292,648 kwa ajili ya ukarabati wa jengo la utawala na shilingi 18,968,672 kwa ajili ya ukarabati wa jengo la wodi ya wazazi (Maternity Ward). -
Secretariat Distr.: Limited
UNITED NATIONS ST /SG/SER.C/L.615 _____________________________________________________________________________________________ Secretariat Distr.: Limited 6 October 2006 PROTOCOL AND LIAISON LIST OF DELEGATIONS TO THE SIXTY-FIRST SESSION OF THE GENERAL ASSEMBLY I. MEMBER STATES Page Page Afghanistan.........................................................................5 Cyprus.............................................................................. 32 Albania ...............................................................................5 Czech Republic ................................................................ 33 Algeria ...............................................................................6 Democratic People’s Republic of Korea .......................... 34 Andorra...............................................................................7 Denmark........................................................................... 35 Angola ................................................................................7 Djibouti ............................................................................ 36 Antigua and Barbuda ..........................................................8 Dominica.......................................................................... 36 Argentina............................................................................8 Dominican Republic......................................................... 37 Armenia..............................................................................9 -
Bunge Newsletter
Bungee Newsletter Issue No 005 FEBRUARY, 2013 Speaker of the National Assembly Hon. Anne Makinda points out the Standing Order that gives her power to make changes in the Parliamentary Standing Commitees Bunge overhauls its Standing Committees membership into new committees and appointing new chairpersons to head the new committees. A major transformation to strengthen the work of the Parliament through the Standing Committees The changes are part of routine of Parliament was made during the recently ended 10th reforms as stipulated in the Parliamentary Session of the Parliament in Dodoma this year by Standing Orders 152 (3) which gives mandate to restructuring Parliamentary Standing Committees the Speaker to amend or make changes of this 8th for the second half life of the 10th Parliament. The Annex of the standing orders in consultation with changes were announced by the Speaker of the the Parliamentary Standing Committee depending National Assembly Hon. Anne Makinda on February on the needs of that particular time when he/she 8th 2013 when she called for the dissolution of deemed fit. all Parliamentary Standing Committees and their One of the changes in the upcoming new reconstitution in a new format. committees is the reduction of the watchdog Hon. Makinda announced the changes at the committees from three to two by doing away with conclusion of the Legislature’s 10th Session, the Parastatal Organization Account Committee and invited lawmakers to submit applications for (POAC), whereby by its activities will now be carried out by the Public Accounts Committee 1 (PAC), which will continue with its responsibility of analyzing the Controller and Auditor General (CAG) Apart from this change, the Speaker also formed audited accounts financial reports of ministries and three new committees namely the Budget other government institution and agencies. -
MKUTANO WA NNE Kikao Cha Kumi Na Sita
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ______________ MAJADILIANO YA BUNGE _____________ MKUTANO WA NNE Kikao cha Kumi na Sita – Tarehe 30 Juni, 2011 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Mwenyekiti (Mhe. George B. Simbachawene) Alisoma Dua MASWALI NA MAJIBU MBUNGE FULANI: Mwongozo wa Mwenyekiti! MWENYEKITI: Hakuna Mwongozo wakati wa maswali. Tundelee, swali letu la kwanza leo litakwenda Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Mheshimiwa Kidawa Hamid Saleh, atauliza swali hilo. Na. 150 Dawa za Kutibu Ugonjwa wa Kisukari MHE. FATMA A. MIKIDADI (K.n.y. MHE. KIDAWA HAMID SALEH aliuliza:- Ugonjwa wa Kisukari umekuwa ni tatizo na unawapata watu wa rika zote; kumejitokeza wimbi kubwa la Waganga Asilia wanaojitangaza kuwa wanazo dawa zinazotibu ugonjwa huo:- Je, Serikali inawaeleza nini wananchi juu ya dawa hizo? NAIBU WAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMII alijibu:- Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa niaba ya Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Kidawa Hamid Saleh, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Mwenyekiti, katika mfumo wa tiba asili, kuna dawa nyingi zinazotumika kudhibiti ugonjwa wa Kisukari mwilini kama ilivyo katika mfumo wa tiba 1 ya kisasa. Wizara kupitia Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) na Taasisi ya Tiba Asili iliyo chini ya Chuo Kikuu cha Tiba ya Sayansi na Afya za Jamii Muhimbili hufanya utafiti wa kubaini aina mbalimbali za dawa za asili zinazosadikiwa kutibu magonjwa mbalimbali ukiwemo ugonjwa wa kisukari. Matokeo ya tafiti zilizofanyika hayajaonesha kuwa kuna dawa yoyote ya asili yenye uwezo wa kutibu ugonjwa wa kisukari isipokuwa kudhibiti ugonjwa huo kama ilivyo dawa za kisasa. -
Bulombora Jkt- Kigoma
BULOMBORA JKT- KIGOMA NA SHULE JINSI JINA KIKOSI 1 AFRICAN TABATA HIGH SCHOOL M MARTINUS EUSTACE SOSPETER 821KJ 2 AGAPE LUTHERAN J SEMINARY M ERICK ELLY MGONJA 821KJ 3 AGAPE LUTHERAN J SEMINARY M JAMES JACOB MUSHI 821KJ 4 AGAPE MBAGALA SECONDARY SCHOOL M JAMES JOSEPH CHACHAGE 821KJ 5 AHMES SECONDARY SCHOOL M EDWIN DOUGLAS SAKIBU 821KJ 6 AHMES SECONDARY SCHOOL M FLAVIAN P LUGONGO 821KJ 7 AHMES SECONDARY SCHOOL M FREDY NYAKUNGA 821KJ 8 AILANGA LUTHERAN JUNIOR SEMINARY M BENJOHNSON B BEJUMLA 821KJ 9 AILANGA LUTHERAN JUNIOR SEMINARY M KELVIN MICHAEL KIPUYO 821KJ 10 ALLIANCE BOYS SECONDARY SCHOOL M EMMANUEL KISIBA 821KJ 11 ALLIANCE BOYS SECONDARY SCHOOL M FAISON F MAFWELE 821KJ 12 ALLIANCE BOYS SECONDARY SCHOOL M FRANK NYANTARILA 821KJ 13 ALLIANCE BOYS SECONDARY SCHOOL M KUBINGWA RAMADHAN OMARY 821KJ 14 ALLIANCE BOYS SECONDARY SCHOOL M MORICE BOAZ KIMORI 821KJ 15 AL-MUNTAZIR ISLAMIC SEMINARY M ABDALLAH ABDUL-QADIR MOHAMED 821KJ 16 AL-MUNTAZIR ISLAMIC SEMINARY M ABDALLAH I CHAUREMBO 821KJ 17 AL-MUNTAZIR ISLAMIC SEMINARY M FAHAD KHALEF MOHAMED 821KJ 18 AL-MUNTAZIR ISLAMIC SEMINARY M HASSAN ABBAS RUMBONA 821KJ 19 AL-MUNTAZIR ISLAMIC SEMINARY M KHALIFA ALLY 821KJ 20 AL-MUNTAZIR ISLAMIC SEMINARY M MOHAMEDAKRAM GAFUR ISSA 821KJ 21 ALPHA SECONDARY SCHOOL M ABDULKADIR M SHIENGO 821KJ 22 ALPHA SECONDARY SCHOOL M AHMED S KAJIRU 821KJ 23 ALPHA SECONDARY SCHOOL M DANIEL E SANGA 821KJ 24 ALPHA SECONDARY SCHOOL M EMMANUEL DICKSON KABUDI 821KJ 25 ALPHA SECONDARY SCHOOL M FRANCIS S MDAKI 821KJ 26 ALPHA SECONDARY SCHOOL M FRANCISCO XAVERY SITTA 821KJ 27 ALPHA