MIFUGOUVUVI

Toleo Na. 2, Januari - Machi, 2019 UZINDUZI WA RASIMU YA SHERIA YA UVUVI NA UKUZAJI VIUMBE MAJI

na Habari nyingine mbalimbali za Wizara MIFUGOUVUVI Yaliyomo

Uk. 04

1. Wadau wa uvuvi waipongeza Serikali kwa kuboresha na kuanzisha sheria za uvuvi.... Uk. 1 2. Dk. Rashid Tamatama akutana na Washirika wa Maendeleo...... Uk. 2 3. kushirikiana na Misri kujenga Kiwanda cha Nyama...... Uk. 3 4. Wafugaji waipongeza Serikali kwa Mpango Kabambe wa Kuendeleza Sekta ya Mifugo..... Uk. 4 5. TVLA kuongeza idadi ya Chanjo za Mifugo Nchini...... Uk. 5 6. Walaji waishukuru Serikali kwa kuwanusuru na samaki wenye sumu...... Uk. 6 7. Idara ya Ukuzaji Viumbe Maji kutambuliwa kisheria...... Uk. 7 8. Makubaliano kati ya serikali na “Bill and Melinda Gates” yatakiwa kutekelezwa...... Uk. 8 9. NMB yatakiwa kushirikiana na Wizara kukuza Sekta ya Maziwa...... Uk. 9 10. MPRU yaongeza Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu...... Uk. 11 11. Wizara yajidhatiti kuendeleza na kusimamia Maeneo ya Malisho...... UK. 12 12. Wananchi Mkoani Arusha waipongeza Serikali...... Uk. 13 13. Tanzania yashiriki mkutano Hammamet, Tunisia...... Uk. 15 14. Wananchi waunga mkono jitihada za Waziri Mpina kutokomeza Uvuvi haramu...... Uk. 16 15. Sekta ya Mifugo yapania kupanua Masoko ya mazao yake...... Uk. 17 16. Wizara yafanikiwa kutatua migogoro ya wakulima na wafugaji...... Uk. 18 17. Wananchi waonywa kutotumia vibaya matamko ya Rais kukwepa kodi...... Uk. 19 18. Bodi ya Maziwa Tanzania yawataka wafugaji kuwekeza kwenye malisho...... Uk. 20 19. Wizara yahimiza uogeshaji wa Mifugo kanda ya kati...... Uk. 21 20. Mwekezaji Mkoani Mara kujenga kiwanda cha nyama...... Uk. 22 21. Habari katika picha...... Uk. 23

i MIFUGOUVUVI

WADAU WA UVUVI WAIPONGEZA SERIKALI KWA KUBORESHA NA KUANZISHA SHERIA ZA UVUVI

ADAU wa Uvuvi nchini wameipongeza tozo kuwa kubwa lakini pia tozo hizo ni nyingi ambazo Wserikali kwa kufanya marekebisho ni mzigo kwetu, hivyo basi tunashukuru sana serikali ya sheria ya Uvuvi na kuanzisha sheria ya kutushirikisha katika mchakato huu ambao tunaamini wataboresha kwa kadri itakavyowezekana, ”alisema Ukuzaji Viumbe Maji ili kuwaondolea adha Charles Magoma mvuvi wa mkoani Mwanza. walizokuwa wakizipata kutokana na sheria ya uvuvi ya zamani ambayo ilionekana kuwa Aidha wavuvi hao waliisifu sana serikali ya awamu ya tano kwa kuja na utaratibu mzuri wa kushirikisha na mkanganyiko katika maeneo mengi. wadau wa Sekta ya Uvuvi katika maandalizi ya Pongezi hizo zilitolewa hivi karibuni na wavuvi mabadiliko ya sheria hiyo. kutoka mikoa ya kanda ya ziwa na ukanda wa bahari Akitaja mojawapo ya kero ambayo wamependekeza ya hindi wakati wa utoji wa maoni ya rasimu ya ifanyiwe kazi ni leseni ya uvuvi. marekebisho ya sheria ya uvuvi na uanzishwaji wa sheria ya ukuzaji viumbe maji. “ikatwe leseni moja tu ya uvuvi na itumike katika wilaya zote ambapo mvuvi huyo atakwenda kufanya biashara” Wakizungumza kwa nyakati tofauti wakati wa alishauri mnunuzi wa dagaa, Marwa Ing’ang’a toka mikutano iliyoendeshwa na wataalamu kutoka Mwanza. Wizara ya Mifugo walisema, sheria hiyo pia itasaidia kuondoa kero zilizokuwa zikiwapa changamoto Wakiwa na furaha ya kupata jukwaa la kutoa maoni ya katika utekelezaji wa majukumu yao ya uvuvi. mabadiliko ya sheria, Bw. John Mutayoba kwa niaba ya wavuvi wenzake kutoka wilaya ya Bukoba Mjini “Tunafurahi kuwa changamoto zilizokuwa zinatukabili alipendekeza kuwa ukubwa wa samaki wa kuvuliwa sasa zitashughulikiwa na sekta husika. Kwa mfano, aina ya Sangara iwe ni kuanzia sentimita 50 hadi 85 baadhi ya vipengele vya sheria ya uvuvi ambavyo na kuomba kusiwe na kikomo kama nchi za Uganda vilikuwa vikitupa changamoto wavuvi ni pamoja na na Kenya ili kulinda soko la viwanda vya ndani.

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Joelson Mpina (Mb) akizindua Rasimu ya Sheria ya Uvuvi na Sheria ya Ukuzaji Viumbe Maji katika viwanja vya Karimjee hivi karibuni jijini Dar es Salaam. Kulia kwake ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Uvuvi) Dkt. Rashid Tamatama na kushoto kwa Waziri ni Mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji, Mh. . 1 MIFUGOUVUVI

Aidha, mdau mwingine wa uvuvi, Bw. Rashidi kuwepo mwamko mkubwa wa ufugaji wa samaki Shamweta ambaye ni mvuvi wa dagaa toka wilaya kwenye mabwawa uliojitokeza miongoni mwa ya Tanga mjini alisema “nina furaha sana kuona sekta wananchi. yetu ya uvuvi imetufuata na kutuuliza tunahitaji mambo Hivyo Waziri Mpina aliwasihi wananchi kutoa maoni gani yarekebishwe, hivyo basi mimi ninaiomba serikali yasiyofungamana na upande wowote na kuacha tabia iruhusu matumizi ya nyavu zenye ukubwa wa inchi nane ya kila mmoja kuvutia upande wake ili kuwezesha (8’’) ambazo ndizo zinakamata dagaa.” kutunga sheria madhubuti. Akizungumza katika uzinduzi wa zoezi la ukusanyaji Marekebisho ya sheria ya uvuvi namba 22 ya mwaka maoni ya wadau kuhusu rasimu ya Sheria ya Uvuvi 2003 na kuanzishwa kwa sheria mpya ya ukuzaji na Sheria ya Ukuzaji Viumbe Maji katika viwanja vya viumbe ya mwaka 2015 kumetokana na mahitaji ya Karimjee jijini Dar es Salaam, Waziri wa Mifugo na sera ya uvuvi ya mwaka 2015 Uvuvi, Luhaga Joelson Mpina (Mb) alisema pamoja na mambo mengine, lengo la mabadiliko hayo ya Sera hiyo inalenga kuimarisha usimamizi wa sheria ni kutoa ulinzi madhubuti wa rasilimali za rasilimali za uvuvi, matumizi na udhibiti wa masoko uvuvi, kuongeza uzalishaji na kuwa na masoko ya na kuendeleza ukuzaji wa viumbe maji. Pia kulinda uhakika sambamba na kudhibiti utoroshwaji na mazingira ya kwenye maji na kukuza ushirikiano wa uingizaji holela wa mazao ya uvuvi nchini. kikanda na kimataifa. Aidha, Waziri Mpina alisema, sheria hiyo mpya Aidha lengo lingine ni kuondoa vikwazo vya kibiashara inatakiwa iendane pia na mabadiliko na matumizi ya na uwekezaji katika sekta ya uvuvi na hivyo kwenda sayansi na teknolojia katika uvuvi na ukuzaji Viumbe na kasi ya mabadiliko ya serikali ya awamu ya tano Maji ili kwenda sambamba na mahitaji pamoja na inayolenga kujenga Tanzania ya viwanda

DK. RASHID TAMATAMA AKUTANA NA WASHIRIKA WA MAENDELEO Katibu Mkuu Uvuvi Dk. Rashid Tamatama, akutana na Washirika wa maendeleo katika sekta ya kilimo, mifugo na uvuvi wanaofadhili mradi wa Kuendeleza Sekta ya Kilimo awamu ya pili (ASDP II) na kuzungumzia maendeleo ya sekta ya Uvuvi nchini.

Katika kikao hicho kilichofanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam, Katibu Mkuu Uvuvi aliwasilisha mada kuhusu vipaumbele vya sekta ya Uvuvi kwa mujibu wa Mradi wa ASDP II. Vipaumbele hivyo ni pamoja na ujenzi wa bandari ya uvuvi, ufufuaji wa Shirika la Uvuvi Tanzania (TAFICO) na mapambano Katibu Mkuu Uvuvi, Dkt. Rashid Tamatama akiongea na mmoja wa washirika wa maendeleo katika sekta ya uvuvi hivi karibuni jijini Dar es Salaam. dhidi ya uvuvi haramu, vimetajwa kuwa ni vipaumbele vya sekta ya Washiriki wa kikao hicho walikuwa Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo Uvuvi. ni pamoja na wawakilishi kutoka ya Kilimo (IFAD), Shirika la Benki ya Dunia, Shirika la Mpango maendeleo la Ufaransa, Ubalozi Aidha, mambo mengine muhimu wa Chakula Duniani (WFP), wa Japan, Netherland na Norway. yaliyojadiliwa katika kikao hicho Shirika la Maendeleo la Kimataifa ni uwekezaji kwenye ufugaji kwa la Denmark (DANIDA), Shirika la Kikao hicho kiliratibiwa na Shirika kutumia vizimba, uzalishaji wa Maendeleo la Kimataifa la Japan la Kilimo na Chakula Duniani - FAO vifaranga bora vya samaki na (JICA), UN women, Idara ya kwenye ukumbi wa Shirika hilo jijini vyakula bora vya samaki . Maendeleo ya Kimataifa (DFID), Dar es salaam 2 MIFUGOUVUVI

TANZANIA KUSHIRIKIANA NA MISRI KUJENGA KIWANDA CHA NYAMA erikali ya Tanzania kupitia SWizara ya Mifugo na Uvuvi ina mpango wa kujenga kiwanda cha nyama na kuongeza thamani katika Ngozi, chenye uwezo wa kuchinja ng’ombe 1500 kwa siku wakati Mbuzi na kondoo wakiwa 4500. Kiwanda hicho kitajengwa Mkoani Pwani ikiwa ni ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Misri, ambapo Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO) na Kampuni ya Uwekezaji ya Misri (NICAI) ndiyo waratibu. Tayari makubaliano ya awali ya ujenzi huo, ikiwemo upembuzi, Meneja mkuu wa NARCO Profesa Philemoni Wambura (Kulia) na yamesainiwa, lengo likiwa ni Generali Ahmed Hassan wa kampuni ya uwekezaji ya Misri (NICAI) NX]LðNLDIXUVDPEDOLPEDOL]LOL]RSR za mifugo na mazao yake ndani wakisaini mkataba wa makubaliano ya Ujenzi wa kiwanda cha nyama na nje ya nchi. kitakachojengwa mkoani Pwani. Wanaoshuhudia ni pamoja na Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. , Naibu wake Mhe. Abdallah Ulega na Meneja mkuu wa NARCO Profesa wawakilishi kutoka Serikali ya Tanzania na Misri. Philemoni Wambura kwa pamoja QD2ðVDZD%RGL\DNDPSXQL\D ili kuzalisha mifugo bora na kuwa hiyo ya ujenzi wa kiwanda hicho NICAI, Generali Ahmed Hassan, na mbari bora za mifugo. na kutoa manufaa kwa nchi hizi. waliweka saini makubaliano hayo jijini Dar es Salaam hivi karibuni Akizungumzia kiwanda hicho, Alisema kuwa makubaliano wakishuhudiwa na Waziri wa Waziri alisema kuwa ni mradi \DOL\RðNLZD QL PDWRNHR \D Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga wenye kuishangaza dunia ujumbe wa Misri pamoja na Rais Mpina na Balozi wa Misri nchini ambapo nchi zote zipo tayari kwa wa nchi ya Misri walipokutana na Mohame Gabber Aboul. utekelezaji wa ujenzi huo baada Rais Magufuli ambapo wananchi ya miezi mitatu tangu kusainiwa $NL]XQJXP]D NDWLND KDñD KL\R wataanza kuvuna mazao ya kwa upembuzi yakinifu. Hatua mifugo, kukuza uchumi na hata Waziri Mpina alisema, ujenzi wa nyingine za ujenzi zitaendelea kufanya biashara. kiwanda hicho unaweka rekodi na Tanzania imeahidi kutoa kwa nchi hizi mbili ikiwa ni ushirikiano katika hilo. Naibu waziri wa mifugo na uvuvi kuendeleza jitihada zilizoanzishwa Mh. Abdalah Ulega alisema, mradi na Rais John Pombe Magufuli Aidha alisema, Tanzania huo pia utajikita kunenepesha baada ya kukutana na Rais wa inategemewa na nchi nyingi za Misri Agosti 2017 na kuweka Afrika kwa kuziuzia mifugo na hata wanyama waliohai, kuchakata mikakati ya Ujenzi wa kiwanda nyama ikiwemo nchi za Nigeria na nyama na kuiongeza thamani hicho ambapo hatua za awali Ghana zikiwa zimetegemea sana pamoja na ngozi na bidhaa zake zimeanza. ngozi. pia. Alisema kuwa, madhumuni ya Waziri Mpina alisema pia kuwa, “Vilevile ujenzi huo utaleta ujenzi wa kiwanda hicho ni kuwa kupitia ujenzi huo, uchumi wa mapinduzi makubwa katika sekta ya na uwekezaji wenye manufaa nchi na soko katika baadhi ya mifugo, ambapo ng’ombe ataingia kwa asilimia mia 1.4 ya mifugo nchi barani Afrika na sehemu kiwandani akiwa hai lakini itatoka yote ifugwayo nchini Tanzania nyingine duniani vitaongezeka na nyama itaweza kuuzwa ndani ya na asilimia11 ya mifugo ya Afrika kubainisha kuwa pia kuwepo kwa nchi pamoja na nchi za nje pia inapatikana hapa nchini pia. fursa mbalimbali katika eneo la ngozi ikiwa imeongezwa thamani” uvuvi wa samaki. alisema Mhe. Ulega. Waziri Mpina aliendelea kusema kuwa, Tanzania inayo mikakati Naye balozi wa Misri nchini Alisema kwa kuwa mkoa wa pwani mbalimbali ikwemo ya uhifadhi na Tanzania Bw. Aboul, alisema, una mifugo mingi iliyohamia, utunzaji wa mifugo, huku Wizara ushirikiano wa dhati baina ya nchi itakuwa ni fursa kwa kuinua ikiwa bega kwa bega na wafugaji KL]L XPHZH]HVKD NXðNLD KDWXD uchumi wa eneo hilo 3 MIFUGOUVUVI

WAFUGAJI WAIPONGEZA SERIKALI KWA MPANGO KABAMBE WA KUENDELEZA SEKTA YA MIFUGO NCHINI

wenyekiti wa Chama cha Akizungumza kwenye uzinduzi wa nikuhakikishie mheshimiwa Mpina MWafugaji Tanzania, Bw. George Bajuta amemshukuru Rais Dk. John Pombe Joseph Magufuli kwa jitihada anazofanya za kuwasaidia wafugaji nchini huku akimpongeza waziri Mpina kwa kuendelea kuwa kielelezo cha mageuzi katika sekta ya mifugo kutokana na juhudi zake za kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili wafugaji hapa nchini. Wakizungumza kwa nyakati tofauti, wadau wa sekta ya mifugo walisema kuzinduliwa kwa mpango kabambe wa kuendeleza sekta ya mifugo ni dalili njema za suluhisho la changamoto za wafugaji za muda Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina akizindua Mpango Kabambe mrefu ambazo walizitaja kuwa ni wa Kuendeleza Sekta ya Mifugo nchini. Kulia kwake ni mwakilishi wa Taasisi ya pamoja na ukosefu wa malisho 2PTH[HPMH`H<[HÄ[P^H4PM\NV0390+R[)HYY`:OHWPYVUHR\ZOV[VR^H>HaPYP na maji, wafugaji kufukuzwa kila Mpina ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. . mahali, ukosefu wa dawa na chanjo mpango huo katika Hotel ya New tuko pamoja najua mahitaji yenu,” za mifugo, ongezeko la bidhaa za Africa jijini Dar es Salaam, Waziri alisema mhe.Lukuvi. mazao ya mifugo kutoka nje ya nchi, Mpina alisema, fursa na changamoto uwekezaji wa kusuasua, ukosefu wa ndio zimefanikisha kuandaliwa kwa Aidha Katibu Mkuu wa sekta bei nzuri, soko la uhakika na mitaji mpango huo ili kuondoa vikwazo ya Mifugo, Profesa Elisante Ole na ukosefu wa mifugo iliyoboreshwa na kuweka mazingira wezeshi ya Gabriel, alisema mpango huo QDKXGXPD]DXWDðWL ufugaji, biashara na uwekezaji. Pia ulianza kuandaliwa miaka mingi aliwataka watendaji wote wa Serikali iliyopita, lakini sasa umekamilika Naye katibu wa chama cha wafugaji na kuzinduliwa huku akimhakikishia nchini Bw. Magembe Makoye, Kuu, Serikali za Mitaa kujipanga na kushiriki katika utekelezaji wa Waziri Mpina kuwa atasimamia akizungumzia suala la uchangiaji kikamilifu utekelezaji wake ili kuleta mdogo wa sekta hii katika pato la mpango huo ili kuleta matokeo ya haraka. matokeo ya haraka yanayotakiwa na Taifa wa asilimia 7.4 ambapo ukuaji Watanzania. wa sekta ulikuwa ni asilimia 2.6 kwa Aidha, alizitaka sekta binafsi, 2016. Alisema, hali hiyo inatokana wafugaji, jumuiya za wafugaji, Kwa upande wao mawaziri wastaafu na changamoto mbalimbali wafanyabiashara, wawekezaji na wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Dk. zilizokuwa zikiwakabili wafugaji kwa taasisi za fedha kila mmoja kwa na Dk. , muda mrefu ila kufuatia uzinduzi nafasi yake ashiriki kutekeleza walimpongeza Waziri Mpina kwa kwa mpango wa kuendeleza sekta mpango huo. kufanikisha mpango huo na kukiri ya mifugo na utekelezaji wake kuwa Wizara ya Mifugo na Uvuvi ukienda kama ilivyopangwa basi Waziri pia aliwataka wadau wa sasa imejidhatiti kusimamia sheria, wafugaji wanaamini mchango wao maendeleo waliofadhili mpango hatua itakayoiwezesha kupiga hatua utaongezeka kwa kiasi kikubwa. KXR 7DDVLVL \D .LPDWDLID \D 8WDðWL kubwa ya maendeleo. wa Mifugo (ILRI) na Taasisi ya Bill & Hakika ni changamoto hizo ndizo Melinda Gate Foundation, kutoishia Wenyeviti wa CCM, mikoa ya Dar zilizoisukuma Wizara ya mifugo na kufadhili uandaaji wa mpango huo es Salaam na Pwani wamepongeza uvuvi kwa kushirikiana na Taasisi ya tu badala yake washiriki moja kwa mpango huo na kusisitiza kuwa CCM .LPDWDLID\D8WDðWLZD0LIXJR ,/5,  moja kwenye utekelezaji wake. kinathamini na kuunga mkono juhudi kwa ufadhili wa Taasisi ya Bill & zinazofanywa na waziri Mpina katika Melinda Gates Foundation (BMGF) Naye Waziri wa Ardhi, Nyumba na kuleta mageuzi ya kweli katika sekta kuandaa mpango mahsusi na Maendeleo ya Makazi, mhe. William ya mifugo nchini. Lukuvi (Mb), alisema kuzinduliwa kwamba, Machi 10 mwaka huu 2019, Sekta ya mifugo ni muhimu katika Waziri mwenye dhamana ya Mifugo kwa mpango huo kutaiwezesha wizara yake kupanga matumizi bora kuwawezesha wananchi kupata na Uvuvi, mhe. Luhaga Joelson chakula, kipato na wanyama. Pia Mpina (Mb), alizindua Mpango huo ya ardhi ili kufanikisha utekelezaji wa mpango huo. kupata kazi, pamoja na samadi kwa Kabambe wa Kuendeleza Sekta ya ajili ya kurutubisha ardhi na hivyo Mifugo nchini (Tanzania Livestock “Ardhi yangu haina maana kama kuwezesha ustawishaji wa mazao, Master Plan-TLMP) huku akimtaka haitumiki vizuri, mimi nafurahi sasa hususan maeneo ya vijijini na baadhi Katibu Mkuu Mifugo kuandaa mmejipanga na mmetengeneza ya maeneo ya mijini na pembezoni mpango wa utekelezaji wa mkakati mpango mzuri ambao utasaidia hata mwa miji. Umuhimu huu umekuwa huo ndani ya siku 30 ili utekelezaji kunipa kazi ya kupanga matumizi ya ukifafanuliwa katika maandiko uweze kuanza mara moja. kufanikisha mpango wenu, nataka tofauti ya kitaalam 4 MIFUGOUVUVI

TVLA KUONGEZA IDADI YA CHANJO ZA MIFUGO NCHINI

akala ya Maabara ya Veterinari Tanzania kutengeneza chanjo nchini ambacho kinamilikiwa W(TVLA) kupitia kwa Mtendaji wake Mkuu Dkt. na serikali ni juhudi zilizofanywa na Rais Dkt. John Furaha Mramba imesema iko kwenye mikakati Magufuli wakati akiwa waziri kwenye wizara ya mbalimbali ya kuongeza wigo wa uwepo wa chanjo mifugo ambapo alisema ni muhimu kwa serikali kuwa zaidi za magonjwa ya mifugo kutoka chanjo tano na kiwanda chake ili kudhibiti madawa kutoka nje ya aPUHaV[LUNLULa^HZHZHOHKPR\ÄRPH[PZH nchi ambayo yanaweza kudhuru mifugo. Akizungumza katika mahojiano maalum juu ya Katika mahojiano hayo pia Dkt. Mramba aliwasihi utendaji kazi wa wakala hiyo, Dkt. Mramba alisema watengenezaji wa vyakula vya mifugo nchini kupitia kiwanda cha kutengeneza chanjo kilichopo kutumia Maabara ya Wakala ya Veterinari Tanzania katika Wilaya ya Kibaha, Mkoani Pwani tayari serikali kupima sampuli ya vyakula hivyo ili kuwa na vyakula imewezesha kutengeneza na kuanza kutumika kwa vinavyokidhi ubora kwa wanyama ili wawe na chanjo tano za mifugo dhidi ya magonjwa ya mdondo, matokeo mazuri kwa mfugaji. kimeta, chambavu, kutupa mimba Dkt. Mramba alifafanua kuwa na mapafu ya mbuzi na kondoo. utengenzaji wa vyakula vya “Chanjo hizi zinafanya kazi vizuri mifugo kienyeji bila kufuata sana na zina viwango vya kimataifa mchanganyiko unaotakiwa na zimekuwa na matokeo mazuri umekuwa ukiwasababishia hasara sana kwa wafugaji na pia bei zake wafugaji kama vile mifugo kutokua zinaendana na kipato cha mtanzania kwa wakati na wakati mwingine japo tunaendelea kuangalia mifugo hiyo kudumaa. uwezekano wa kupunguza zaidi bei Wakala ya Maabara ya Veterinari ili kila mfugaji aweze kumudu chanjo Tanzania (TVLA) ilianzishwa rasmi hizo na kuwa na mifugo yenye afya.” mwaka 2012 ikiwa na majukumu Alisema Dkt. Mramba Mkurugenzi Mtendaji Wakala ya makubwa 11 ambayo yanalenga Dkt. Mramba alifafanua kuwa Maabara ya Veterinari Tanzania kuhakikisha inadhibiti magonjwa ya uwepo wa kiwanda cha (TVLA) Dkt. Furaha Mramba wanyama

Baadhi ya watumishi wa maabara ya Wakala ya Veterinari Tanzania (TVLA) wakiwa kazini.

5 MIFUGOUVUVI WALAJI WAISHUKURU SERIKALI KWA KUWANUSURU NA SAMAKI WENYE SUMU

alaji wa samaki na la kijasiri sana kwa manufaa ya zetu. Haya ni matokeo ya tamaa Wwananchi kwa ujumla umma baada ya kuchukua hatua za wafanyabiashara wachache wameishukuru Serikali kufuatia kubwa ya kuteketeza tani za wasiokuwa na uaminifu wala uoga zoezi lililofanywa na Wizara ya samaki waliothibitishwa kuwa na wa kuharibu afya na hata kupoteza Mifugo na Uvuvi la uteketezaji sumu ambao wangesababisha maisha ya binadamu wenzao’’ wa tani 11 za samaki zenye madhara, aidha ya muda mrefu au alisema Suma Mhame mkazi wa thamani ya zaidi ya Shilingi mfupi au hata kusababisha vifo jijini Dar es salaam. mil.60 zilizobainika kuwa na iwapo wangeliwa na binadamu. sumu na hazifai kwa matumizi Tukio hilo la uteketezaji wa ya binadamu lililofanyika hivi “Tunaishukuru sana Wizara samaki wenye sumu liliongozwa karibuni jijini Dar es salaam. inayoshughulikia sekta ya uvuvi, na Waziri wa Mifugo na Uvuvi chini ya Waziri Luhaga Mpina kwa Mh. Luhaga Joelson Mpina (Mb) Wadau hao walisema, serikali ya kuongoza zoezi hili la aina yake kwa katika eneo la dampo lililopo Pugu awamu ya tano imefanya jambo lengo la kunusuru maisha na afya Kinyamwezi Jijini Dar es Salaam. +DWXD KL\R LOLðNLZD QD VHULNDOL baada ya mahakama kuridhia kuwa samaki hao walioingizwa nchini si salama kwa matumizi ya binadamu.

Akiongoza tukio hilo la uteketezaji wa samaki wenye sumu, Mhe. Waziri alisema, Serikali ya awamu ya tano ya Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli inahakikisha ipo kwa ajili ya kumlinda mtanzania asiweze kupata madhara yoyote na kuwa salama.

“Tutahakikisha tunalinda afya na usalama wa mtanzania asiweze Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina akiongoza zoezi la kuteketeza samaki wenye sumu katika eneo la dampo la Pugu kupata madhara yoyote katika Kinyamwezi, jijini Dar es Salaam hivi karibuni. ulaji wa samaki. Hivyo, zoezi hili la ukaguzi linaendelea hadi mbinu hizi chafu zitokomee.” Alisema Waziri Mpina.

Aidha Waziri Mpina alisema, Watanzania watakuwa salama hakuna namna yoyote mazao ya XYXYL\DQDZH]DNXZDðNLD\DNLZD hayajapimwa na kuthibitishwa ubora pia alizitaka Taasisi za Serikali zinazohusika na udhibiti na usimamizi wa sekta ya uvuvi kufanya kazi kwa bidii na kushirikiana ili kuhakikisha watanzania wanatendewa haki katika biashara za ndani na nje ya Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina akiendelea na zoezi la nchi uteketezaji wa samaki wenye sumu.

6 MIFUGOUVUVI IDARA YA UKUZAJI VIUMBE MAJI KUTAMBULIWA KISHERIA erikali kupitia Wizara ya SMifugo na Uvuvi iko katika mchakato wa kuandaa sheria mpya ya ukuzaji viumbe maji ili kuboresha sheria ya zamani ya uvuvi ya namba 22 ya mwaka 2003 ikiwa ni hatua itakayosaidia kuweka mazingira bora kwa ajili ya wadau wa uvuvi ili kuweza kuitambua idara ya ukuzaji viumbe maji. Haya yalibainishwa hivi karibuni na Katibu Mkuu wa sekta ya uvuvi Dkt. Rashidi Tamatama wakati akifungua mkutano wa kutoa maoni kwa wadau wa uvuvi kutoka kanda ya kati Dodoma kwenye ukumbi wa Holly Cross Jijini Dodoma. Katibu Mkuu alisema kuwa, sheria hiyo mpya ya ukuzaji viumbe maji itajenga mazingira mazuri kwa wadau wa uvuvi kufanya kazi zao bila vikwazo. Dkt. Tamatama aliendelea kusema kuwa, sheria mpya itasaidia pia katika kuunga mkono juhudi za serikali ya awamu tano inayohimiza kuanzisha na kukuza uchumi wa viwanda vya kati Katibu Mkuu sekta ya uvuvi Dkt. Rashid Tamatama akiongea na baadhi ikiwemo sekta ya uvuvi. ya wadau wa sekta ya Uvuvi nchini. Katibu Mkuu aliwaambia wadau Hivyo, Katibu Mkuu huyo aliongeza Mkutano huo uliwakutanisha wavuvi hao kuwa serikali itawezesha kuwa, sheria hiyo inakuja kwa na wafanyabiashara ya samaki kupatikana kwa sheria hiyo ya wakati muafaka, kwani idadi ambao walitoa maoni mbalimbali XNX]DML YLXPEH PDML LOL NXðNLD kubwa ya wanaojihusisha na mahitaji ya sera ya Taifa ya ufugaji wa samaki kama chanzo ili kuboresha rasimu ya sheria hiyo uvuvi ya mwaka 2015 ilivyosema cha kuongeza kipato cha maisha mpya kabla ya kwenda bungeni mikakati imeelekezwa kuendeleza yao, wameongezeka. kujadiliwa na kupitishwa rasilimali ya mazao ya baharini ikiwemo samaki. Dkt. Tamatama alisema, sera ya Taifa ya Uvuvi pia inalenga kuendeleza ukuaji viumbe maji ambavyo ni pamoja na kuunda rasilimali ya samaki na viumbe wengine wa baharini. Aidha, Katibu Mkuu alisema, sheria mpya itasaidia nchi kwenda na mabadiliko ya sayansi na teknolojia zinazotumika katika sekta ya uvuvi. Vilevile, Katibu Mkuu Dkt. Tamatama alisema, sheria mpya itasaidia kuipatia serikali uhalali wa kufanya kazi ili kuboresha ulinzi wa rasilimali ya uvuvi na Mwani ni mojawapo ya zao la viumbe maji linalopatikana baharini ambapo mazao yake. wanawake wamekuwa wakijishughulisha zaidi na zao hilo katika ukanda wa bahari.

7 MIFUGOUVUVI

MAKUBALIANO KATI YA SERIKALI NA “BILL AND MELINDA GATES” YATAKIWA KUTEKELEZWA

aibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Aidha Mhe. Ulega alisema endapo sheria hizi NUlega amemuagiza Katibu Mkuu Wizara ya zitafuatwa, sekta hizo zitaweza kusonga mbele na Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Mifugo Prof. kumwekea mazingira mazuri mwananchi naye aweze Elisante Ole Gabriel kufanya ufuatiliaji wa karibu kufaidika na nchi iweze kuongeza pato la taifa. kuhakikisha mikakati ambayo serikali imekubaliana Akizungumza katika kikao hicho ambacho na Taasisi ya “Bill and Melinda Gates” katika sekta kilihudhuriwa pia na wakuu wa idara kutoka Wizara ya mifugo inatekelezwa kama walivyokubaliana. ya Mifugo na Uvuvi, Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo 1DLEX:D]LUL8OHJDDOLVHPDKD\RKLYLNDULEXQLRðVLQL na Uvuvi anayeshughulikia Mifugo, Prof. Elisante kwake jijini Dodoma alipotembelewa na ujumbe Ole Gabriel, alibainisha baadhi ya mambo ambayo yanapaswa kusimamiwa ikiwemo elimu ili wafugaji NXWRND7DDVLVL\Dì%LOODQG0HOLQGD*DWHVúNDWLNDRðVL za wizara na kubainisha kuwa serikali itahakikisha waweze kunufaika kupitia sekta hiyo. Mpango Mkakati wa Maendeleo ya Mifugo Tanzania “Ningependa katika ushirikiano wetu huu tuzidi unatekelezwa na kuishukuru taasisi hiyo kwa kutoa kushirikiana katika kutoa elimu kwa wafugaji wetu ili tuwe mchango mkubwa katika mpango huo. na ufugaji wenye tija. Eneo lingine ni usimamizi dhidi ya magonjwa. Kuwawezesha wafugaji wetu kiuchumi “Sisi tuko pamoja na nyinyi na tunathamini na utekelezaji wa Mpango Mkakati wa Maendeleo ya makubaliano yetu. Hatuwezi kuvunja makubaliano Mifugo Tanzania.” Alisema Prof. Gabriel haya, ninawahakikishia kuwa nitamuagiza katibu mkuu afanye ufuatiliaji wa karibu sana kuhakikisha kwamba Prof. Gabriel pia alibainisha mambo mengine kuwa tunaweka mikakati yetu vizuri ili iende sambamba na QL XPXKLPX ZD NXIDQ\LND NZD WDðWL XVLPDPL]L QD kile tulichokubaliana.” Alisema Mhe. Ulega. uhakikishaji wa uzalishaji bora wa mifugo ili sekta ya mifugo iweze kuwa na maendeleo endelevu. Naibu Waziri Ulega pia alisema serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imekuwa ikifanya ufuatiliaji $NL]XQJXP]D NZD QLDED \D $ðVD 3URJUDPX wa karibu katika sekta za mifugo na uvuvi kwa Mwandamizi wa Taasisi ya Bill and Melinda Gates kulinda rasilimali za nchi kwa kutumia Operesheni katika Ukanda wa Afrika ya Mashariki Bibi Mercy Nzagamba na Operesheni Sangara ili kuondoa Karanja, Mshauri Mwelekezi kutoka taasisi hiyo nchini Tanzania Prof. Marcellina Chijoriga alisema mambo yaliyokuwa yakifanywa bila utaratibu na Taasisi ya Bill and Melinda Gates bado itaendelea kuisababishia serikali hasara. kufanya kazi nchini kwa kufuata mpango wa serikali. “Tunafanya ulinzi wa rasilimali na kuondoa ule uholela Aidha Prof. Chijoriga aliushukuru uongozi wa uliokuwepo na kuhakikisha kuwa zile sheria, taratibu na Wizara ya Mifugo na Uvuvi ambao umekuwa ukitoa kanuni zilizopo zinafuatwa. Hata masoko ya kimataifa ushirikiano mkubwa kwa taasisi hiyo na kutoa ombi yalitaka pia uholela huu usiwepo, mambo yawe katika kwa uongozi wa wizara kuendelea kushirikiana na utaratibu wa kisheria na kanuni zinazoongoza sekta.” Taasisi ya Bill and Melinda Gates ili iweze kuleta Alisema Mhe. Ulega matokeo chanya kwa wafugaji nchini

5HPI\>HaPYP^H4PM\NVUH<]\]P4OL(IKHSSHO

NMB YATAKIWA KUSHIRIKIANA NA WIZARA KUKUZA SEKTA YA MAZIWA

Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi likiwaunganisha wadau wa sekta ya mifugo na anayeshughulikia Mifugo Prof. Elisante Ole Gabriel, uvuvi, ili kuhakikisha mazao yatokanayo na ng’ombe aitaka Benki ya NMB kushirikiana na wizara hiyo yakiwemo maziwa yanatumika ipasavyo. katika kukuza sekta ya maziwa nchini kwa kuwa Katika kikao hicho ambacho kilihudhuriwa pia na bado kuna mwitikio mdogo wa wananchi kunywa baadhi ya Wakurugenzi wa Wizara ya Mifugo na THaP^HR^HT\QPI\^H\[HÄ[P\SPV[VSL^HUH:OPYPRH Uvuvi, Katibu Mkuu pia alisema ni wakati mwafaka la Chakula Duniani (WFP) kwa Benki ya NMB kushirikiana na Wizara ya Mifugo Prof. Gabriel alibainisha hayo Jijini Dodoma, akiwa na Uvuvi katika kuhakikisha inawaletea maendeleo NZHQ\HNLNDRQDPDDðVDNXWRNDLGDUD\DNLOLPR\D wafugaji, hususan wafugaji wadogo ambao %HQNL\D10%ZDOLRðNDRðVLQLNZDNHNXPZHOH]HD wamefanikiwa, pamoja na wafugaji ambao watakuwa mikakati ya Benki hiyo ambayo imekuwa ikifanya tayari kubadilika na kuingia katika ufugaji wa kisasa na kuachana na ufugaji wa kuhamahama. WDðWL QD ZDGDX ZD VHNWD \D PD]LZD NZD OHQJR OD kutaka kuwekeza katika sekta hiyo. Aidha Prof. Gabriel alisisitiza umuhimu wa kufanyika NZD WDðWL NZD :L]DUD \D 0LIXJR QD 8YXYL NZD “Takwimu zilizotolewa na Shirika la Chakula Duniani kushirikiana na Benki ya NMB kupitia idara ya kilimo zinaonesha kuwa, angalau, kwa wastani mtu anatakiwa LOLWDðWLKL]R]LZH]HNXIDQ\LZDND]LQDNXOHWDPDWRNHR atumie lita mia mbili za maziwa kwa mwaka, lakini kwa chanya kwa wafugaji. bahati mbaya kwa watanzania wastani ni lita arobaini na saba tu kwa mtu mmoja, bado tuna kazi kubwa sana.” ¸5PUNLWLUKHZLR[HOPP`HTPM\NVP^LWPHUH[HÄ[PU`PUNP Alisema Prof Gabriel. aPUHaVMHU`PRHZHZH[\RPMHU`HOPaV[HÄ[P[\[H^LaHR\SL[H mabadiliko chanya na yenye uhakika katika maendeleo Prof. Gabriel alisema, Benki ya NMB inapaswa ya wafugaji kwa sababu lengo siyo tu kufanya jambo, kuwa na ushirikiano na Wizara ya Mifugo na Uvuvi lakini liwe jambo ambalo linaweza kugusa maisha ya kupitia Dawati la Sekta Binafsi ambalo limekuwa wafugaji.” Alisema Prof. Gabriel

Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Mifugo Prof. Elisante Ole Gabriel (katikati) akiwa RH[PRHWPJOH`HWHTVQHUHTHHÄZHR\[VRH54)UHIHHKOP`H^HR\Y\NLUaP^H>PaHYH`H4PM\NVUH<]\]P

9 MIFUGOUVUVI

Katika kikao hicho pia Katibu Mkuu Prof. Gabriel Aidha Bwana Nyagaro amesema, Benki ya NMB alishauri uwepo wa mahusiano ya karibu kati ya NXSLWLDLGDUD\DNLOLPRLQDðNLULDSLDNXZHNH]DNDWLND Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Benki ya NMB na sekta ya samaki ambayo imekuwa ikifanya vizuri 7DDVLVL]D(OLPX\D-XXLOLNXKDNLNLVKDWDðWLDPED]R kiuchumi katika siku za hivi karibuni. zimekuwa zikifanywa na wanafunzi ziweze kutumika Bw. Nyagaro alimueleza pia Katibu Mkuu Wizara kuleta mabadiliko na manufaa kwa wafugaji, badala ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Mifugo Prof. \DWDðWLKL]RNXZHNZDNDWLNDPDNWDED]DY\XRKLY\R Elisante Ole Gabriel, kuwa Muunganiko wa Vyama pekee. vya Ushirika Vikuu vya Maziwa Duniani unatarajia Kwa upande wake, Meneja Mwandamizi wa Benki kufanya mkutano wake hapa nchini Tarehe 25 na ya NMB kutoka idara ya kilimo Bwana Carol Nyagaro 26 Mwezi Februari mwaka 2019 kwa kushirikiana alisema, kutokana na kasi ya utendaji kazi wa serikali na Benki ya NMB, lengo kuu likiwa ni kuangalia ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais wa Jamhuri uwezekano wa kuwekeza katika sekta ya maziwa ya Muungano wa Tanzania Dkt. , hapa nchini. pamoja na utendaji wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Amefafanua kuwa, muunganiko huo wenye nchi imewalazimu Benki hiyo kubadili mtazamo wa namna wanachama 95 ambao unafanya biashara ya ya kutafuta wateja wapya kupitia sekta mbalimbali. takriban Dola za Marekani Bilioni 200 kwa mwaka, umeichagua Tanzania kuwa mwenyeji kwa ajili ya “Kutokana na kasi ya Mheshimiwa Rais Dkt. John kufanya majadiliano kwa kuhusisha wadau wa sekta Magufuli na uongozi mzima wa Wizara ya Mifugo na ya mifugo ili kuwekeza katika sekta ya maziwa. Uvuvi, inajenga mazingira mazuri kwetu ya kufanya biashara, pia inachangia maendeleo ya jamii na kuweza Alisema, mkutano huo pia utaainisha mambo ambayo kutengeneza wateja wa siku zijazo.” Alisema Bwana WD\DUL\DOLVKDIDQ\LZDXWDðWLNZDDMLOL\DXWHNHOH]DMLZD Ngayaro mipango hiyo

Miongoni mwa Ng’ombe wa maziwa wanaotunzwa vizuri kwa kufuata maelekezo ya wataalamu wa Mifugo.

10 MIFUGOUVUVI

MPRU YAONGEZA HIFADHI ZA BAHARI NA MAENEO TENGEFU itengo cha Hifadhi za Bahari hifadhi za bahari ni tatu ambazo K(MPRU) kilicho chini ya QL NLVLZD FKD 0DðD 3ZDQL  Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Ghuba ya Mnazi na Maingilio ya kimefanikiwa kuwa na hifadhi Mto Ruvuma (Mtwara) na Silikanti tatu za bahari na maeneo tengefu (Tanga). kumi na tano kwenye bahari kuu hapa nchini. “Maeneo Tengefu ni 15 ambayo ni visiwa vya Bongoyo, Sinda, Akizungumzia mafanikio ya Makatube, Pangavini, Funguyasini, NLWHQJR KLFKR RðVLQL NZDNH MLMLQL Mbudya na Kendwa (Dar es Kaimu Meneja wa Taasisi ya Dar es salaam hivi karibuni, Kaimu Salaam), Maziwe, Kirui, Ulenge, Meneja wa Taasisi ya Hifadhi Hifadhi ya Bahari na Maeneo Kwale na Mwewe (Tanga) na Tengefu Bw. John Komakoma. ya Bahari na Maeneo Tengefu Nyororo, Shungimbili na Mbarakuni Bw. John Komakoma amesema, (Pwani).” Alisema Bw. Komakoma. Pia meneja wa Hifadhi za Bahari uhifadhi huo umefanyika katika na Maeneo Tengefu alielezea hifadhi ya Bahari ya Hindi katika Hata hivyo, meneja huyo zana haramu za uvuvi ambazo XNDQGD ZD NLVLZD FKD 0DðD QD alisisitiza kuwa wanafanya doria haziruhusiwi kutumika katika maeneo tengefu saba. mbalimbali ili kuhakikisha kuwa maeneo yaliyohifadhiwa. Zana Sheria ya Hifadhi za Bahari na nyingine zinaweza kuruhusiwa Bw. Komakoma alitaja maeneo Maeneo Tengefu inafuatwa na kuvua kwenye maeneo mengine hayo kuwa ni Ghuba ya Chole na yasiyohifadhiwa lakini zikitumika kutekelezwa pamoja na Sheria ya kwenye maeneo yetu ni haramu. mwambao wa Kitutia yaliyopo Uvuvi Na. 22 ya mwaka 2003. 0DðD DPED\R NZD VDVD QL Zana hizo zimeainishwa kwenye sehemu ya hifadhi ya bahari “Tunatumia njia ambazo Sheria ya Hifadhi za Bahari, NDWLND XNDQGD ZD 0DðD YLVLZD zimeainishwa kwenye sheria yetu Kanuni na Mipango ya Usimamizi vya Bongoyo, Mbudya, Pangavini na pia kwa kushirikiana na Jeshi la wa Hifadhi (General Management na Fungu Yasini yaliyopo Dar es Polisi, watuhumiwa wanaokamatwa Plan). Salaam na kisiwa cha Maziwe O\ÄRPZO^H THOHRHTHUP UH Hali kadhalika Bw. Komakoma kilichopo wilaya ya Pangani kufunguliwa mashtaka.” alibainisha adhabu za uvuvi mkoani Tanga. haramu ambazo ni kifungo Bw. Komakoma alibainisha (kwenda jela) na kutozwa faini Aidha alisema, idara imejipanga kwamba, sheria hiyo ya uvuvi ya fedha kulingana na makossa kikamilifu kusimamia maeneo ya imeainisha makosa mbalimbali aliyoyafanya mtuhumiwa na bahari na mwambao wa pwani ili na adhabu ambazo zinaweza XWDLðVKZDML ZD PDOL]DQD kuwezesha matumizi endelevu ya kumkabili mtuhumiwa papo kwa zilizotumika katika kutenda kosa. rasilimali na ukarabati wa maeneo papo (Compounding offence) “Tunaomba wadau watupe yaliyoharibiwa. endapo atakiri kosa ambapo ushirikiano katika masuala mazima “Hata hivyo Taasisi ya Uhifadhi vyombo vya uvuvi vilivyohusika ya kuhifadhi, kusimamia na wa Bahari na Maeneo Tengefu kufanya makosa au uvunjifu wa matumizi endelevu ya rasilimali za uvuvi kwa ajili ya faida ya vizazi kwa sasa inaendelea na zoezi la Sheria hupelekwa mahakamani QDNXRPEDNXWDLðVKZDDOLVLVLWL]D vya sasa na vijavyo.” Alisema Bw. kuongeza uelewa wa elimu juu ya Komakoma mazingira na usambazaji wa taarifa za uhifadhi na matumizi endelevu ya rasilimali kwenye Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu ikiwa ni pamoja na kuhamasisha wananchi kutumia kwa uangalifu rasilimali ambazo hazitumiki kikamilifu.” Alisema Bw. Komakoma. Bw. Komakoma alifafanua kuwa, taasisi hiyo kwa sasa inasimamia maeneo 18 na maeneo Tengefu kwenye Bahari ya Hindi yenye ukubwa wa takriban kilomita za mraba 2,000. Kati ya maeneo hayo, Mojawapo ya maeneo tengefu yaliyopo katika ukanda wa pwani zetu. 11 MIFUGOUVUVI

WIZARA YAJIDHATITI KUENDELEZA NA KUSIMAMIA MAENEO YA MALISHO

dara ya uendelezaji wa Imalisho na rasilimali za vyakula vya mifugo imejipanga kuendeleza na kusimamia maeneo ya malisho, rasilimali za vyakula vya mifugo na matumizi ya teknolojia katika kuongeza uzalishaji wa tija ya mifugo na mazao yake.

$NL]XQJXP]DKLYLNDULEXQLRðVLQL kwake, Dkt. Lovince Asimwe alisema, idara hiyo inalenga kuongeza uzalishaji wa malisho ya mifugo ili ipatikane mifugo yenye afya na tija na hatimaye NXðNLDXFKXPLZDYLZDQGD

Aidha kupitia idara ya uendelezaji wa malisho na rasilimali za vyakula vya mifugo, Dkt. Asimwe alibainisha kwamba Dkt. Lovince Asimwe, Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Uendelezaji wa idara imejidhatiti kuwa lengo Malisho na Rasilimali za Vyakula vya Mifugo. la kuendeleza na kusimamia maeneo ya malisho, rasilimali za Dkt. Asimwe alisisitiza umuhimu “Watumiaji wote wa ardhi vyakula vya mifugo na matumizi wa wafugaji kuhudhuria vikao waheshimu mipango ya ardhi ya teknolojia linafanyika vyote vinavyofanyika katika vijiji iliyopo kwenye vijiji vyao, eneo kikamilifu ili kuleta matokeo vyao ili kusimamia maslahi yao lililotengwa kwa ajili ya malisho chanya na endelevu. kwa karibu na kwamba mfugaji litumike kwa ajili ya malisho na aheshimu shamba la mkulima eneo la kilimo litumike kwa kilimo Dkt. Asimwe alisema, mafanikio na mkulima aheshimu mifugo na eneo la makazi litumike kwa waliyopata hadi sasa ni pamoja ili kuondokana na migogoro ya ajili ya makazi na si vinginevyo.” na kutatua migogoro 27 ya mara kwa mara. Alifafanua Dkt. Asimwe wafugaji kati ya migogoro 43 na kubainisha maeneo ya malisho katika vijiji pamoja na kuwajengea uwezo wafugaji na watendaji kwa kuzungumza nao, kuwapa elimu juu ya ufugaji bora na wenye tija. “Tuheshimu mipango na matumizi bora ya ardhi ya vijiji husika pamoja na kuyaendeleza maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya malisho kwa kutengeneza miundombinu ya maji na kupanda malisho pindi yanapokuwa yamepungua.” Alisema Dkt. Asimwe. Mojawapo ya maeneo ya malisho ambayo Wizara ya Mifugo na Uvuvi inayaendeleza na kuyasimamia kwa ajili ya mifugo nchini.

12 MIFUGOUVUVI WANANCHI MKOANI ARUSHA WAIPONGEZA SERIKALI

ananchi mkoani Arusha Aidha, Bi. Jasmin Said wa Elerai Baadhi ya wafanyabiashara Wwameipongeza Serikali katika Manispaa ya Arusha walisikika wakisema kuwa hilo ni baada ya Wizara ya Mifugo na aliishukuru serikali ya awamu ya kosa kisheria hata kiimani kwani Uvuvi kunusuru afya za wananchi tano na kuomba zoezi hili lisiishie sio sahihi kuumiza binadamu hao kwa kuendesha zoezi la mkoani humo bali liendelee wenzako kwa lengo la kupata kuteketeza tani nane za nyama hata katika mikoa mingine faida, hivyo wakatoa rai kwa wafanyabiashara wengine kutii kutoka maeneo mbalimbali ili kuwanusuru wananchi na mkoani Arusha ambazo sheria na maelekezo ya serikali madhara yanayoweza kupatikana zilibainika kuwa zimekwisha bila shuruti na pia kuwa makini muda wake wa matumizi na kutokana na utumiaji wa bidhaa kuangalia muda wa matumizi wa hazifai tena kwa matumizi ya zilizokwisha muda wake. bidhaa toka huko wanakoagiza. binadamu. “Mimi nashauri taasisi husika za Kaimu Msajili wa Bodi ya Nyama Wananchi hao kwa nyakati tofauti, kila mkoa na kila mahali ziwe na nchini, Bw. Imani Sichalwe wamesema kuwa, serikali ya utaratibu wa ufuatiliaji wa bidhaaa akielezea uingizwaji wa bidhaa awamu ya tano imekuwa makini za aina zote na sio zisubiri waziri hizo, alisema kuwa nyingi katika ufuatiliaji wa mambo wa mifugo na uvuvi aje ateketeze zinatokea nchi mbalimbali mbalimbali ikiwemo la afya ya bali alichokifanya mhe. Waziri ni zikiwemo Afrika ya Kusini, jamii. kuonyesha njia tu ili watendaji Ujerumani na kwingineko na kiutaratibu vibali hutolewa na “Kama sasa hivi tunaona hivi na serikalini nao wafute kwa ajili ya Wizara ya Mifugo ingawa bidhaa wafanyabiashara ni hawa hawa basi kulinda afya za walaji” alinukuliwa nyingine zimekuwa zikiingizwa tumeshakula vyakula visivyofaa bila John Silo, mkazi wa Arusha kwa njia isiyo halali ili kukwepa sisi kujua” alisema Isack Lowata akishauri. kodi, ushuru n.k. wa Sombetini Arusha.

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Joelson Mpina akiongoza zoezi la kuteketeza nyama zilizokwisha muda wake wa matumizi Mkoani Arusha hivi karibuni. 13 MIFUGOUVUVI

>HaPYP^H4PM\NVUH<]\]P4OL3\OHNH1VLSZVU4WPUH2H[PRH[PHSP`LU`VVZOHTRVUVHRP^HUHTHHÄZH^H Wizara na viongozi wa mkoa wa Arusha, baada ya zoezi la kuteketeza nyama zilizoharibika. Aliyevaa koti jeupe ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo.

Akizungumzia madhara ya bidhaa Kufuatia tukio hilo la uteketezaji “Serikali haitachoka kuendelea hizo zilizokwisha muda wake wa bidhaa zilizokwisha muda wa kuchukua hatua kali na watendaji kuendelea kuwepo sokoni, Bwana matumizi, Waziri Mpina alilisisitiza wa serikali lazima mhakikishe Sichalwe alisema, hiyo inaharibu kwa kuwa, “hatutaendelea mnakuwa makini maeneo yote soko la Tanzania, kwani mtumiaji kuangalia uozo ukifanyika na ya mipaka yetu na kuteketeza akidhurika watu huchukulia kuwa tutahakikisha tunaendelea kudhibiti huku kunaniuma lakini hatuwezi ni bidhaa ya hapa nchini bila uingizaji holela wa mazao hayo kuacha kuendeleza uovu uendelee kufuatilia ilipotokea, na hivyo na zilizokwisha muda wake wa kutokea. Operesheni na doria kutengeneza taswira mbaya ya matumizi na Operesheni yetu hii OPaP OHaP[HÄRH T^PZOV OHKP OHWV bidhaa zetu. ni ya kila siku na tunaendelea sheria zitakapokuwa zinafuatwa na kutokomeza mazao ya mifugo ningependa wafanyabiashara wa Kwa upande wa madhara ya ulaji yanayoingia nchini bila vibali. mifugo na mazao yake wanufaike wa nyama zilizokwisha muda /H[\[HÄRPH T^PZOV TWHRH QHTIV na watajirike”, alisisitiza Waziri wake, mganga wa mifugo kutoka hili likamilike”, alisema Waziri Mpina. Mpina. Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Dkt. Kwa upande, wake Mkuu wa Gibonce Kayuni alisema kuwa, Waziri Mpina alisema, hakuna Mkoa wa Arusha Bw. Mrisho kwanza nyama inapoteza ladha mtu atakayewekeza kwenye nchi Gambo alisema, wamegundua na virutubisho vinavyotarajiwa yetu kama hatuwezi kusimamia Waziri Mpina amefanya mambo kupatikana badala yake bakteria vizuri masoko yetu ya ndani na mengi na kuna vitu vizuri ambavyo waharibifu humea na kusababisha kuwalinda wenye viwanda vyetu wizara imefanya kwa maslahi ya magonjwa kama vile ya tumbo kwani ukiruhusu taifa likaenda ndani ya nchi. ambayo yasipotibiwa kwa haraka namna hii hakuna mwekezaji husababisha mwili kuishiwa maji wa nchi yeyote atakayekuja “Serikali ya Mkoa wa Arusha na hatimaye mgonjwa kupoteza kuwekeza kwenye nchi ambayo tunakuunga mkono na tupo bega maisha. inaruhusu mtu kuingiza bidhaa kwa bega kushirikiana na Wizara bila utaratibu. yako na wale ambao hawataki Tukio hilo la uteketezaji wa kufuata sheria na maslahi ya nchi “Lazima wananchi, wawekezaji na nyama lilifanyika eneo la Njiro tutawachukulia hatua za kisheria. likiongozwa na Waziri wa Mifugo wafanyabiashara wote wafuate sheria na taratibu mbalimbali Tunashukuru waziri umejiridhisha na Uvuvi Mhe. Luhaga Joelson za nchi yetu zinazozuia kuingiza na mzigo huo umeonekana na Mpina (Mb) ambapo tani hizo bidhaa ambazo hazijathibitishwa kufukuliwa, watu waache tabia za nyama zilikamatwa wakati ubora wake na kukaguliwa”. ya kujichukulia sheria mkononi”, wa Operesheni Nzagamba II alisema Waziri Mpina. alisema Bw. Gambo Viwandani. 14 MIFUGOUVUVI

TANZANIA YASHIRIKI MKUTANO HAMMAMET, TUNISIA aibu Waziri wa Mifugo na NUvuvi Mhe. Abdallah Hamis Ulega (MB), hivi karibuni alishiriki Mkutano Mkuu wa Ishirini na tatu wa Shirika la Afya ya Wanyama Duniani (OIE) Kamisheni ya Afrika, uliofanyika Mjini Hammament nchini Tunisia. Mkutano huo uliojumuisha nchi zaidi ya ishirini na tano za bara la Afrika zikiwemo Tanzania, Zambia, Zimbabwe, Misri, Kenya, Uganda, Tunisia na Chad ulikuwa na malengo ya kuangalia afya ya wanyama, haki za wanyama, uzalishaji wa mifugo na usalama wa chakula kitokanacho na mifugo na kutoa mapendekezo kulingana na kanuni za shirika hilo duniani.

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Kikao cha ana kwa ana kati ya Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Mhe. Abdallah Hamis Ulega (MB) Hamis Ulega (MB) (wa pili kutoka kulia) na Uongozi wa Shirika la Afya ya Wanyama akiambatana na Mkurugenzi wa Duniani (OIE). Kutoka kushoto: Mwakilishi wa OIE Kanda ya Kusini mwa Afrika Huduma za Mifugo wa Wizara ya Dkt. Samuel Wakusama, Rais wa OIE na Kamisheni ya Australia Dkt. Mark Schipp Mifugo Dkt. Hezron Nonga alipata na Mkurugenzi Mkuu wa OIE Dkt. Monique Eloit na Mkurugezi wa Huduma za Mifugo wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi (wa kwanza kulia) Dkt. Hezron Nonga. fursa ya kufanya kikao cha ana kwa ana na uongozi mkuu wa Shirika mazao yatokanayo na mifugo kama nia ya Tanzania kuandaa mkutano hilo la Afya ya Wanyama Duniani vile nyama kwenda katika masoko ujao kwa kuwa ni nchi yenye (OIE) kwa kuzungumza na rais ya nje ya nchi. mifugo na wanyamapori wengi, wa shirika hilo Dkt. Mark Schipp, mazingira mazuri ya uwekezaji na Mkurugenzi Mkuu Dkt. Monique Mhe. Naibu Waziri Ulega aliliomba taasisi maalumu zinazoshughulikia Eloit na mwakilishi wa shirika hilo Shirika la Afya ya Wanyama Duniani masuala ya viwango, ubora wa kwa Ukanda wa Nchi za Kusini mwa (OIE) kuisaidia nchi ya Tanzania bidhaa na usalama wa chakula. Afrika Dkt. Samuel Wakusama. katika kukabiliana na changamoto hizo ili kukuza uchumi na kipato cha Katika kutathmini afya za wanyama, Katika mazungumzo hayo, Mhe. wadau wa sekta ya mifugo ambapo wataalamu walijadili magonjwa Ulega alishukuru uongozi huo kwa kwa pamoja uongozi huo uliahidi mbalimbali ya wanyama yaliyopo ushirikiano wake na Tanzania kwa kuzifanyia kazi. katika bara la Afrika hususan kwa kuendelea kuisaidia nchi katika nchi wanachama, athari na namna miradi mbalimbali ya kulinda afya Licha ya mazungumzo hayo, Mhe. ya kuyakabili yakiwemo magonjwa za wanyama hapa nchini. Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi ya miguu na midomo (FMD), Kichaa Abdallah Hamis Ulega (MB) kupitia Aidha, alielezea nafasi ya Tanzania cha mbwa na homa ya Bonde la Ufa kwa Mkurugenzi wa Huduma (RVF). katika rasilimali za asili ikiwemo za Mifugo Dkt. Hezron Nonga, mifugo na uvuvi ambapo kwa alikabidhi andiko linalofafanua Aidha, kikao kilitathmini kwa pamoja upande wa mifugo alitoa takwimu kwa kina sekta ya uvuvi nchini, miradi mbalimbali yenye lengo za mifugo iliyopo nchini pamoja na changamoto zake na maeneo la kuimarisha afya za wanyama vikwazo ambavyo sekta ya mifugo yenye uhitaji ili kuuwezesha uongozi pamoja na michango ya wahisani inakabiliana navyo yakiwemo huo kuendelea katika hatua ya ikiwemo Benki ya Dunia, mchango magonjwa, kasi ndogo ya mifugo utekelezaji. wa wataalam wa kati wa mifugo kuzaliana (Poor Breeding) na (Veterinary Paraprofessionals) uzalishaji duni (Low Productivity) Pamoja na mambo mengine, na nafasi yao katika kuimarisha hali ambayo inasababisha nchi Mheshimiwa Naibu Waziri Ulega huduma za afya ya wanyama katika NXVKLQGZD NXVDðULVKD PLIXJR QD aliueleza uongozi wa OIE kuhusu Bara la Afrika

15 MIFUGOUVUVI

WANANCHI WAUNGA MKONO JITIHADA ZA WAZIRI MPINA KUTOKOMEZA UVUVI HARAMU

aada ya Waziri wa mifugo na uvuvi Mhe. Taifa zima kwa ujumla. “Samaki walishaanza kuadimika BLuhaga Mpina (Mb) kuteketeza vipande vya katika masoko yetu ya feri na kwingineko, kisa uvuvi nyavu haramu 773 zilizo chini ya kipimo cha haramu. Lakini kwa sasa sisi wavuvi halali tunapata na milimita 10 ambazo zilikutwa katika maeneo ya biashara zetu zinaenda vizuri”. Alisema Bw. Salim. Kigombe, Mkoani Tanga, wananchi na wadau wa sekta ya uvuvi katika maeneo mbalimbali nchini Akizungumza kwenye tukio hilo la uteketezaji wa wameonyesha nia ya kuunga mkono jitihada za nyavu zinazotumiwa kwa uvuvi haramu, Waziri wa kutokomeza uvuvi haramu kwa kukiri kuwa vita Mifugo na Uvuvi mheshimiwa Luhaga Joelson Mpina hiyo kwa sasa imezaa matunda. (Mb) alisema, jitihada zinazofanywa na serikali ni kuzuia uvuvi haramu na kulinda rasilimali za Wavuvi. Wakitoa maoni na mitazamo yao baada ya uteketezaji “Tutahakikisha wavuvi wetu wanapata elimu juu ya huo wa nyavu za uvuvi haramu, wananchi hao uvuvi na kufuata sheria, kanuni na taratibu za uvuvi walisema kuwa jitihada zinazofanywa na Wizara ya zilizowekwa”, alisisitiza mhe. Mpina. Mifugo na Uvuvi chini ya Waziri mwenye dhamana, Mhe.Luhaga Joelson Mpina (Mb) zinawatia moyo Aidha, Waziri Mpina alisema kuwa kanuni mpya za kuunga mkono jitihada hizo, kwa njia mbalimbali uvuvi zitaanza kutumika hivi karibuni na zitaondoa ikiwemo ya kutoa taarifa za vitendo vya uvuvi haramu changamoto ambazo zinazotukabili na kuongeza kunakohusika kwa sababu matokeo yake kwa sasa kuwa jitihada zinazofanywa na serikali ni kuzuia uvuvi yanaonekana. haramu na kulinda rasilimali za uvuvi nchini. “Zoezi hili la ukomeshaji uvuvi haramu limekuwa na Waziri Mpina aliwataka wavuvi kuzingatia na kufuata manufaa makubwa kwa sisi wananchi kwani kwa sasa sheria na kwamba watashirikiana na viongozi kujua samaki wanapatikana kwa wingi, ni wakubwa, hata mahitaji ya wavuvi na kuwatembelea mara kwa mara bei imeshuka. Kwa mfano, kwa samaki tuliyekuwa ili kuwasaidia. tunanunua sh.5,000 hapa mwaloni unaweza kumpata Kwa upande wake Mkurugenzi wa Jiji la Tanga Bw. kwa sh. 3,500 tofauti na siku za nyuma wakati uvuvi Daudi Mayeji aliwataka wavuvi kuzingatia na kufuata haramu uliposhika kasi” alisema mwananchi toka sheria, kanuni na taratibu zilizopo ili tuwe na uvuvi mkoani Mwanza ambaye hakutaja jina lake. wenye tija. Mdau wa sekta ya uvuvi Bw. Khalid Salim alisema “Natoa wito kwa wavuvi kuacha kuvua samaki ambao kuwa, anachokifanya mhe. Waziri Mpina, si jambo hawastahili kwani matokeo yake uzalishaji unakuwa la manufaa yake binafsi au ya familia yake bali ni la mdogo”, alisema Bw. Daudi Mayeji

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Joelson Mpina akiongoza zoezi la uteketezaji wa nyavu zilizokuwa zikitumika kwenye uvuvi haramu hivi karibuni jijini Tanga.

16 MIFUGOUVUVI

SEKTA YA MIFUGO YAPANIA KUPANUA MASOKO YA MAZAO YAKE

izara ya Mifugo na Uvuvi mifugo na masoko na mazao Wimejipanga kuimarisha yatokanayo na mifugo yote uzalishaji na kupanua masoko inayofugwa nchini.” Alisisitiza Dkt. kwa kuboresha miundombinu ya Nandonde. masoko ya mifugo, uanzishwaji wa bodi za nyama na maziwa. Awali Dkt. Nandonde alibainisha kuwa uelewa wa sheria, kanuni Akiongea wakati wa mahojiano na taratibu kwa wafugaji na maalum hivi karibuni jijini wafanyabiashara wa mazao ya Dodoma, Mkurugenzi wa Idara ya mifugo imekuwa changamoto Uzalishaji na Masoko, Dkt. Felix kwa kuwa wengi wao wamekuwa Nandonde alisema, uzalishaji wakizikiuka, jambo ambalo huo unalenga kuongeza idadi na limekuwa likisababisha ubora wa mifugo wafugwao kama migongano katika kazi zao. vile ng’ombe, mbuzi, kondoo, Dkt. Nandonde alieleza kwamba, kuku na nguruwe ili kuboresha Mkurugenzi wa Idara ya Uzalishaji miundombinu ya masoko. changamoto kama ukosefu au elimu ndogo kwa wananchi na Masoko, Wizara ya Mifugo na Uvuvi Dkt. Felix Nandonde. Aidha, kupitia Idara ya Uzalishaji wanaojishughulisha na uzalishaji na Masoko, Dkt. Nandonde wa mifugo, pamoja na bajeti alibainisha kwamba, idara ndogo ya Wizara ya Mifugo na kufanikiwa katika kazi zao. imejidhatiti kuhakikisha lengo la Uvuvi, vinachangia kwa kiasi Kuimarisha vyama vilivyoanzishwa kuongeza na kuboresha uzalishaji NLNXEZDNZDZDIXJDMLNXWRðNLZD vya wafugaji na wafanyabiashara wa mifugo na miundombinu kwa malengo husika kwa wakati ili viwe ndio njia ya kuleta ufanisi ya masoko ya mifugo hai na hivyo idara inafanya jitihada katika kazi hizo za wadau hao mazao yatokanayo na mifugo mbalimbali kupambana na wa mifugo. Pia, idara kusimamia linakamilika na kuwa endelevu. changamoto hizo. kikamilifu utendaji kazi wa bodi mbili za maziwa na nyama.” “Unaposema uzalishaji na masoko “Matarajio makubwa ni kuendeleza katika sekta hii, ina maana kuongeza juhudi katika kazi za idara hii ili Alibainisha Mkurugezi wa Idara idadi na ubora wa mifugo wafugwao wafugaji na wafanyabiashara ya ya Uzalishaji na Masoko Dkt. Felix na kuboresha miundo mbinu ya mifugo na mazao yake waendelee Nandonde masoko ya mifugo hai ikiwemo ng’ombe, mbuzi, kondoo, kuku na nguruwe na mazao yatokanayo na mifugo kama mayai, maziwa nyama na ngozi”. Alisema Dkt. Nandonde Hata hivyo, Mkurugenzi huyo alisema, idara imejipanga kuweka mikakati na njia sahihi ya kuzalisha mifugo ifugwayo nchini ili kuongeza idadi na kuboresha miundombinu ya masoko ya mifugo na mazao yake ili kuwawezesha wafugaji wafuge kwa faida na kuboresha maisha yao. “Pia idara ya uzalishaji na masoko imedhamiria kuwezesha mbegu IVYH aH TPM\NV R\^HÄRPH ^HM\NHQP nchini kote, kuweka sheria, kanuni Mazao bora yatokanayo na ng’ombe ambayo ni nyama, ngozi na maziwa na taratibu sahihi za uzalishaji ni matokeo ya matunzo bora ya mifugo kama inavyoonekana pichani.

17 MIFUGOUVUVI

WIZARA YAFANIKIWA KUTATUA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI aibu Waziri wa Mifugo na “Nitamsisitiza katibu mkuu mifugo cha Mifugo Tengeru na Kituo NUvuvi Mhe. Abdallah Ulega aliangalie kwa karibu sana hili cha Uhimilishaji cha Taifa (NAIC) amesema, Wizara kupitia timu kwa sababu ni hatari sana kwa vilivyopo Mkoani Arusha ili kuleta yake maalum ya kushughulikia jamii inayoishi pamoja kutokuwa mabadiliko kwa wafugaji katika migogoro, hadi sasa imetatua na maelewano ya kuachiana Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro migogoro mikubwa kumi na maeneo kwa ajili ya shughuli zao za kwa kuwa na ng’ombe wachache nne kati ya migogoro ishirini na kiuchumi.” Alisema Mhe. Ulega. na wenye tija ukizingatia ukanda tisa inayohusisha wakulima na Mhe. Ulega alitoa kauli hiyo huo kuna kiwanda cha maziwa wafugaji pamoja na hifadhi na baada ya Mkuu wa Wilaya ya Hai cha Tanga Fresh ambacho wawekezaji. Bw. Lengai Ole Sabaya kumuarifu kinahitaji maziwa kwa wingi katika kuwa baadhi ya maeneo yenye uzalishaji wao. Naibu Waziri Ulega alibainisha migogoro ni Kata ya KIA ambapo “Ukanda huu kuna kiwanda cha hayo alipokuwa akizungumza wafugaji wamekuwa wakiingiza na Mkuu wa Wilaya ya Hai maziwa cha Tanga Fresh ambacho mifugo yao katika maeneo ya kinahitaji lita laki moja ya maziwa Mkoani Kilimanjaro Bw. Lengai uwanja wa ndege wa KIA, pamoja kwa siku na bado hayatoshelezi Ole Sabaya pamoja na viongozi na wakulima wilayani humo hadi inawalazimu kuchukua maziwa wengine wa wilaya hiyo, mara kutotaka kuwaachia wafugaji kutoka mikoa ya Iringa na Njombe EDDGD \D NXDULðZD NXZHSR maeneo wasiyoyatumia kwa ni vyema mkashirikiana na wizara kilimo hususan yenye magadi kwa kwa mgogoro wa wakulima na kutoa elimu ili wafugaji wa wilaya ajili ya malisho kwa wafugaji hivyo wafugaji katika Wilaya ya Hai na hii wabadilike kwa kufuga kisasa kutengeneza chuki dhidi yao. kubainisha kuwa ni hatari kwa hususan ng’ombe wa maziwa jamii inayoishi pamoja kuwa na Naibu Waziri Ulega alimshauri pia badala ya kuwa na ng’ombe wengi mgogoro wa aina hiyo. mkuu wa wilaya kutumia Chuo wasio na tija kiuchumi.” Alisema Mhe. Ulega. Naibu Waziri Ulega alimshauri pia mkuu wa wilaya Bw. Sabaya kuwa na kampeni maalum ya kutoa elimu kwa wafugaji pamoja na kushirikiana na wataalam ili wilaya hiyo iwe ya mfano katika NXEDGLOLVKDðNUD]DZDIXJDML Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya Hai Bw. Lengai Ole Sabaya alisema, changamoto kubwa zilizopo wilayani hapo ni mgogoro kati ya wakulima na wafugaji ambao tayari upo katika hatua mbalimbali za kutatuliwa pamoja na wafugaji kutokuwa tayari kubadilika kutoka kwenye ufugaji wa zamani wa kuwa na makundi makubwa ya mifugo isiyo na tija. Kufuatia mazungumzo baina yake na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Ulega, mkuu huyo wa wilaya alisema atazidi kushirikiana na wizara hiyo ili kuhakikisha changamoto hizo zinatatulika na kuifanya wilaya Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega akifafanua jambo hiyo kuzidi kunufaika na mifugo kwa viongozi wa Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro (hawapo pichani) iliyopo namna ya kuiboresha sekta ya mifugo wilayani humo. 18 MIFUGOUVUVI WANANCHI WAONYWA KUTOTUMIA VIBAYA MATAMKO YA RAIS KUKWEPA KODI atibu Mkuu Wizara ya Mifugo na kutokuwepo kwa mizani ili Naye Bwana Kandidi Mlinyi Kna Uvuvi anayeshughulikia waweze kuuza ng’ombe kwa kilo ambaye ni msimamizi wa mnada Mifugo Prof. Elisante Ole Gabriel badala ya bei ya kukadiria kati ya wa Meserani alisema kuwa amewataka wananchi hususan mfugaji na mnunuzi wa ng’ombe, wafugaji kutotumia matamko ya wamekuwa wakikumbwa na kitendo ambacho wafugaji hao changamoto ya upatikanaji wa Rais wa Jamhuri ya Muungano walisema kimekuwa kikiwafanya wa Tanzania Dkt. John Magufuli maji katika ukanda wa Wilaya ya wasiuze mifugo yao kwa bei Monduli hivyo kuwa na mazingira vibaya kwa kutafuta mianya ya yenye tija kwao. kutolipa kodi. magumu ya upatikanaji wa “Lengo letu ni kuhakikisha minada huduma hiyo mnadani. Prof. Gabriel aliyasema hayo hivi yote hasa ya upili na ile ya mipakani karibuni akiwa katika mnada wa Kauli hiyo iliungwa mkono inatumia mizani, mnada wa na baadhi ya wafugaji upili wa Meserani uliopo wilaya Kimesera mzani wake uko tayari ya Monduli Mkoani Arusha ambao walisema, ng’ombe unatakiwa kufanyiwa marekebisho mara baada ya kufanya ziara ZDQDSRVDðULVKZD NXWRND ili kuondokana na bei ya kukisia.” ya kukagua utendaji kazi wa maeneo mbalimbali kuja katika watumishi waliopo katika mnada Alisema Prof. Gabriel mnada huo, kwa wastani huo na kusikiliza kero za wafugaji. wanakunywa maji lita 20 hadi Aidha, katibu mkuu, aliwataka 60 lakini kutokana na ukosefu Akizungumza na wananchi mara wafugaji kufuga kisasa kwa wa maji ng’ombe wanakuwa baada ya kufanya ziara hiyo kuhakikisha wanawapatia katika mazingira magumu hali Prof. Gabriel alisema, Wizara ya ng’ombe malisho bora ili inayosababisha ng’ombe hao Mifugo na Uvuvi katika kipindi wapate mazao bora ya mifugo kuchoka na kupoteza maji mengi cha mwezi mmoja itashirikiana yao huku Wizara ya Mifugo na mwilini. na uongozi wa Halmashauri Uvuvi ikihakikisha inaendelea ya Wilaya ya Monduli kutoa kuimarisha matibabu ili mifugo Katika ziara hiyo ya Katibu tafsiri sahihi ya mfanyabiashara iwe na afya bora. Mkuu Prof. Gabriel, wafugaji mdogo anayestahili kukatiwa walipongeza utendaji kazi wa kitambulisho cha biashara ndogo Prof. Elisante Ole Gabriel alisema, Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa ndogo (machinga) cha Shilingi Elfu licha ya uwepo wa masoko ya kuwa viongozi na watendaji wa Ishirini kwa mwaka, kilichotolewa mifugo hususan ng’ombe hapa ZL]DUDZDPHNXZDZDNLðNDPDUD na Rais Magufuli kutokana nchini, wizara inajikita katika kwa mara kwa wananchi na kwa na baadhi ya wafugaji kutaka kutafuta masoko ya mifugo nje ya wafugaji ili kutatua kero zao. kufahamu endapo wanastahili nchi. kupatiwa vitambulisho hivyo au Kwa mujibu wa taarifa kutoka “Tunachoangalia hivi sasa ni la. katika uongozi wa mnada kuangalia na masoko ya nje ya nchi wa Meserani kwa siku Zaidi “Mheshimiwa Rais alikuwa lakini hauwezi kuuza ng’ombe nje ya ng’ombe 500 huuzwa na amelenga hasa wale ya nchi ambaye hana afya bora NXVDðULVKZDNZHQGDNDWLNDPLNRD wafanyabiashara wadogo na tunaamini tukiendelea hivi hata mbalimbali wakati wa msimu wadogo na tunachoamini mchango wetu wa wizara kwenye ambao unakuwa na ng’ombe tutaendelea kulifanyia kazi lakini uchumi wa viwanda utakuwa ni wengi kuanzia mwezi Machi hadi suala la machinga kwamba naye mzuri.” Alisema Prof. Gabriel Julai kila mwaka mfanyabiashara wa ng’ombe kuhusishwa katika sifa za mfanyabiashara ndogo ndogo bado ni gumu kulitolea majibu, lakini nashauri tusitumie matamko ya Rais vibaya, tusitafute kichaka JOH R\QPÄJOH R^HTIH UH^L UP THJOPUNH^L^LT^LU`L^LÄRPYPH na jitafakari, tulipe kodi na tujenge nchi yetu.” Alisema Prof. Gabriel Akizungumza na wafugaji hao Prof. Gabriel alipokea kilio cha wafugaji kuwa wamekuwa wakiuza ng’ombe kwa makadirio Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) Prof. Elisante Ole Gariel au matakwa ya mnunuzi kutokana HRPRHN\H\IVYH^HIHHKOP`HUN»VTIL^HSPVÄRPZO^HRH[PRHTUHKH^H4LZLYHUP Mkoani Arusha. 19 MIFUGOUVUVI

BODI YA MAZIWA TANZANIA YAWATAKA WAFUGAJI KUWEKEZA KWENYE MALISHO

afugaji wa maziwa mkoani WTanga wametakiwa kupanda malisho kwa wingi ili kuwasaidia kuzalisha maziwa mengi wakati wote. Hayo yalisemwa hivi karibuni na Kaimu Msajili wa Bodi ya Maziwa Dkt. Sophia Mlote wakati wa kikao cha pamoja kati ya Bodi ya Maziwa Tanzania na vyama vya msingi vya mkoa wa Tanga wakati wa kujadili mchakato wa kuwawezesha wafugaji wa mkoa wa Tanga kununua mitamba 350 kwa njia ya mikopo yenye masharti nafuu kutoka Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB). Bodi ya maziwa iliingia makubaliano rasmi na Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania, kwa lengo la kuviwezesha vyama vya ushirika vya wafugaji wa ng’ombe wa maziwa nchini kuwapatia mafunzo ya ufugaji bora na mikopo nafuu kwa nia ya kuendeleza tasnia ya Timu ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) na Dawati la sekta binafsi, maziwa. ikiongozwa na Msajili wa Bodi ya Maziwa Dkt. Sophia Mlote, mara baada ya kikao kazi na wajumbe wa ushirika wa MUWAMARU Wilayani Rungwe, Aidha, Mikopo kutoka TADB hivi karibuni. itahusisha ununuzi wa ng’ombe bora wa maziwa, ujenzi wa wa Tanga kuna jumla ya vyama nzima ni lita bilioni 2.4 tu. Kwa mabanda, ununuzi wa pembejeo 26 na kati ya hivyo, vyama viwili uzalishaji huu, unywaji wa maziwa kama vyakula na dawa za mifugo. vya Umoja wa Wafugaji Mwangoi kwa mtu kwa mwaka ni lita 47 tu (UWAMWA) na Chama cha kinyume na matakwa ya shirika la Dkt. Mlote alitoa wito kwa Ushirika wa Wafugaji Ng’ombe wafugaji kuhakikisha kuwa kila chakula duniani linalomtaka kila wa Maziwa Muheza (CHAWAMU) mfugaji anaanzisha shamba mtu anywe maziwa lita 200 kwa ndivyo vilivyokamilisha mchakato la malisho kwa ajili ya mifugo mwaka. wa kupata mkopo toka Benki ya aliyonayo. Wafugaji waliitikia wito Kilimo. Changamoto kubwa za ufugaji wa Bodi na Wizara kwa kuomba wa ng’ombe wa maziwa ni maeneo yaliyofutiwa hati katika Dkt. Mlote, alisema, kuwawezesha malisho duni, magonjwa na elimu mkoa wa Tanga kama Amboni wafugaji mitaji ni moja ya mikakati ndogo ya ufugaji na isiyozingatia Estate, Marungu, Kibaranga n.k madhubuti inayofanywa na bodi kanuni bora wa ufugaji. Hali kutengwa kwa ajili ya ng’ombe ya maziwa kuwapa uwezo wadau wa maziwa ili wafugaji wapate hii inasababisha kushuka kwa kuwa karibu na huduma za kibenki kiwango cha uzalishaji wa maziwa maeneo ya kuanzisha mashamba ili waweze kujiinua kiuchumi. ya malisho ya mifugo. hata kama mfugaji atakuwa na Aidha, Msajili alisema kuwa ng’ombe bora. Kikao hicho kilihudhuriwa na wafugaji hawana budi kutumia Bodi ya maziwa iliahidi kuendelea vyama mbalimbali vya wafugaji fursa hii ili kuongeza uzalishaji vya mkoa wa Tanga ambavyo wa maziwa hapa nchini na kutoa elimu kwa wafugaji wa vipo chini ya mwavuli wa Tanga kuviwezesha viwanda vya maziwa kwa kushirikiana na Dairy Cooperative Union (TDCU). kusindika maziwa kuzalisha kwa taasisi nyingine mtambuka ili uwezo uliojengewa. Mpaka sasa kuwasaidia wafugaji kuzalisha Kwa mujibu wa taarifa ya maziwa bora na kwa wingi zaidi Mwenyekiti wa TDCU, katika mkoa uzalishaji wa maziwa kwa nchi 20 MIFUGOUVUVI

WIZARA YAHIMIZA UOGESHAJI WA MIFUGO KANDA YA KATI IZARA ya mifugo na uvuvi, imeandaa mikakati yakitoka kwa wafugaji walipokuwa wakipata huduma Wya kuboresha Sekta ya Mifugo hapa nchini ili za kuogesha mifugo yao. kudhibiti magonjwa ya Mifugo ambapo imewahimiza wafugaji kuzingatia matumizi ya majosho yenye Aidha, mfumo huo haukuwa na taarifa ya mapato dawa za kuogesha ng’ombe ili kutokomeza na matumizi na hivyo kushindwa kuwa na utaratibu magonjwa yatokanayo na kupe. endelevu wa shughuli hiyo na majosho mengi yalisimama kufanya kazi na mifugo haikuogeshwa. Hayo yalielezwa hivi karibuni na Naibu Waziri wa mifugo na uvuvi Mheshimiwa Abdalah Ulega wakati Katika kampeni hii ya uhamasishaji wa uogeshaji wa wa zoezi la uhamasishaji wa uogeshaji wa ng’ombe mifugo, tozo imepunguzwa ambapo hivi sasa kila kanda ya kati mkoani Singida, katika kijiji cha Mgori ng’ombe anaogeshwa katika majosho kwa shilingi kilichopo katika halmashauri ya wilaya ya Singida 50 tu. Awali, uogeshaji ulikuwa unatozwa wastani wa vijijini. shilingi 200 kwa kila ng’ombe na mbuzi ilikuwa shilingi Katika uhamasishaji huo, Waziri Ulega aliwataka 10. wafugaji kufanya zoezi la uogeshaji wa mifugo “Ninyi wafugaji msikalie rasilimali hii ya mifugo mliyonayo, ulioanzishwa uwe wenye tija na endelevu, kwa vile hivi kwani ni uchumi mkubwa sana kwenu na kwa taifa katika sasa hakuna sababu za kushindwa kuogesha mifugo kuongeza mapato yanayotokana na mifugo yenu”. yao katika majosho yenye dawa ya kudhibiti kupe Alisema mheshimiwa Ulega. yaliyotolewa bure na serikali. Alisema, hivi sasa katika zoezi hili, serikali imetoa Aidha, alifafanua kuwa, ufugaji kwa kufuata utaratibu dawa bure kwa halmashauri zote nchini na kukarabati wa ufugaji wa kisasa na kibiashara kwa kuvuna mifugo majosho yote yaliyokuwa hayafanyi kazi ili wafugaji inapozidi katika eneo ulilokuwa nalo, itakusaidia waweze kuogesha mifugo yao, kukinga ugonjwa kupata kipato kuboresha maisha yako na ya familia. hatari unaoenezwa na kupe, ambao unaongoza kwa Uhamasishaji huu unafuatia uzinduzi wa kampeni vifo vya ng’ombe hapa nchini. ya uogeshaji wa mifugo iliyofanywa na Waziri wa Hapo mwanzo, shughuli hizo zilikuwa zikifanywa kwa Mifugo na Uvuvi, Mh. Luhaga Mpina katika kijiji cha kutofuata utaratibu mzuri wa makusanyo yalikuwa Buzirayombo Halmashauri ya Chato Mkoa wa Geita

Naibu Waziri Wa Mifugo Na Uvuvi Mh. Abdallah Ulega, katikati mwenye shati la rangi ya bluu akiwaelekeza wadau wa Mifugo matumizi ya dawa za kuogeshea Mifugo Mkoani Singida hivi karibuni. 21 MIFUGOUVUVI

MWEKEZAJI MKOANI MARA KUJENGA KIWANDA CHA NYAMA wekezaji katika sekta ya mifugo mkoani Mara, ambayo soko lake likawa ni changamoto, hivyo MMheshimiwa Vedastus Mathayo, ameanzisha kuhitaji kuwa na kiwanda cha kuchakata nyama kiwanda cha nyama mkoani humo ili kuboresha mkoa wa Mara. soko la mifugo katika mkoa na kutoa ajira kwa watanzania. Akizungumzia soko la mifugo hiyo baada ya kuizalisha kwa wingi na kuinenepeshamifugo hiyo Mheshimiwa Mathayo ambaye pia ni Mbunge alisema kuwa anauza kwa wenyeji wenye mabucha wa Musoma Mjini, alibainisha haya hivi karibuni mkoani Mara na wakati mwengine huwauza nchi, alipotembelewa na wataalamu wa Dawati la sekta nchini Kenya ng’ombe wa nyama. binafsi kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi katika maeneo ya shughuli zake za ufugaji wilayani Sengereti Aidha kwa upande wa ng’ombe wa maziwa ambapo na Bunda, kwa lengo la kuibua na kushawishi chotara hutoa maziwa mengi kiasi kuliko wale wa uwekezaji wa kibiashara kwa Mbunge huyo. asili hufanya matumizi ya familia yake na wafanyakazi katika shughli zake za ufugaji na kilimo. Mheshimiwa Mathayo aliwaambia wataalamu hao kuwa ana Ng’ombe zaidi ya 2,000 aina ya Borani Kutokana na rasilimali hiyo kubwa aliyokuwanayo ambao ndiyo wengi na wengine ni aina ya semental bwana Matayo ya mifugo na soko la mifugo hiyo ni ambao ni wachache, mbuzi zaidi ya 2,500 na kondoo changamoto kutegemea mkoa wa Mara tu na nchi zaidi ya 1,000. Mifugo hii yote iko katika wilaya za jirani, dawati la sekta binafsi walimshauri kuanzisha Bunda na Sengereti. kiwanda cha kuchakata nyama ili rasilimali ya mifugo mingi aliyo nayo ipate soko katika kiwanda hicho. Aidha aliwaeleza aina ya ufugaji anaofuga wa kugoresha mifugo hiyo ya asili kwa njia ya uhimilishaji Vilevile wataalam wa dawati walisema akianzisha kwa kuchukua mbegu bora za mifugo toka NAIC kiwanda atazalisha bidhaa zitokanazo na nyama na Arusha na kuja kuchanganya na ng’ombe wetu majie kuziuza kwa bei yenye manufaa kwa vile atakuwa wa asili ili kupata ng’ombe chotara mwenye uwezo DPHRQJH]D WKDPDQL EDGDOD \D NXX]D PDOLJKDð \D wa kutoa nyama nyingi na maziwa mengi kuliko wale ng’ombe hai au mifugo hai, Mh. Matayo alikubaliana wa kienyeji. nao na kuahidiwa atapatiwa mkopo toka Banki ya Aliwaeleza wanadawati hilo la sekta binafsi kuwa maendeleo ya kilimo (TADB) na watashirikiana naye kwa kufanya hivyo ameweza kuzalisha mifugo mingi kuandaa andiko la mkopo huo wenye riba nafuu

4O4I\UNL^H4ZVTHTQPUP4O=LKHZ[\Z4H[OH`VHRP^HVÄZPUPR^HRLHRPVUNLHUH^H[HHSHT\^HKH^H[PSH sekta binafsi ambao hawaonekani pichani.

22 MIFUGOUVUVI HABARI KATIKA PICHA

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Joelson Mpina akiongoza zoezi la kuteketeza nyavu haramu mkoani Tanga.

Katibu Mkuu wa Sekta ya Uvuvi Dkt. Rashidi Naibu Waziri wa mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Tamatama akiongea katika mojawapo ya vikao vya Ulega akishuhudia ng’ombe wa kisasa kwa mmoja kukusanya maoni ya wadau kuhusu mabadiliko ya wa wafugaji katika Wilaya ya Muheza Mkoani Tanga sheria ya Uvuvi.

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Mojawapo ya maeneo ya maabara ya Wakala ya Ulega akishuhudia moja ya bidhaa zinazotegenezwa Veterinari Tanzania (TVLA) katika kiwanda cha Tanga Fresh mkoani Tanga. 23 MIFUGOUVUVI

Jarida hili la Mtandaoni hutolewa na:

Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Mifugo na Uvuvi, S.L.P. 40487, Dodoma,Tanzania Tovuti: www.mifugouvuvi.go.tz

24