TOLEO NA. 35 JUNI - 2020

na mikakati ya Serikali katika Makamu wa Rais akutana na watendaji kuinusuru wa ofisi yake

Ifahamu misingi ya Muungano Kikatiba na Kisheria Fahamu kuhusu hifadhi ya bioanuai nchini

Waziri Zungu atatua chanhamoto ya uchafuzi wa mifereji Ilala

Jarida hili limetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini | S.L.P 2502, Dodoma, Tanzania Ofisi ya Makamu wa Rais ofisi_ya_makamu_wa_rais @vpo_tanzania TOLEO NA. 35 JUNI - 2020 Tahariri

Dibaji

ila Juni 17 Tanzania huungana na mataifa mengine kuadhimisha Siku ya ya Kimataifa ya Kupambana na Kuenea kwa Hali ya JangwaK na Ukame. Kaulimbiu katika maadhimisho ya mwaka huu ni “Tudhibiti Kuongezeka kwa Uzalishaji wa Chakula na Malighafi; Tukabiliane na Kuenea kwa Hali ya Jangwa na Ukame”.

Kimsingi kaulimbiu hii inaelimisha jamii kuzalisha chakula na malighafi kwa njia endelevu ili kunusuru ardhi kutokana na hali ya Bodi ya Uhariri Jangwa na Ukame. Aidha, Jamii inaelimishwa juu ya uhusiano wa Uzalishaji, Ulaji na Matumizi ya Ardhi. Mwenyekiti Kuenea kwa hali ya jangwa na ukame ni moja ya changamoto za Emelda Teikwa hifadhi ya Mazingira inayotishia uzalishaji wa chakula, ustawi wa jamii na maendeleo ya kiuchumi duniani kote.

Wajumbe Hivyo, maadhimisho haya yanahimiza kuwepo kwa uwiano mzuri wa njia za uzalishaji, aina ya mazao yanayozalishwa na tabia ya ulaji ili Julius Enock kuepuka uharibifu wa ardhi na kuenea kwa hali ya jangwa na ukame. Cesilia Nkwamu Aidha, Kauli mbiu hii inalenga kukuza uelewa na kuhamasisha Mugisha Kyamani jamii kubadili mazoea ya kufanya shughuli za uzalishaji na matumizi Obeid Ndahoze ya rasilimali yasiyo endelevu kama vile, kufyeka misitu na kuchoma moto hovyo maeneo makubwa kwa ajili ya kupata ardhi ya kilimo na Lulu Mussa hivyo kuchangia uharibifu wa ardhi na kuenea kwa hali ya jangwa na Monica Sapanjo ukame. Robert Hokororo Katika toleo hili la 35 la jarida la Ofisi ya Makamu wa Rais zipo makala mbalimbali kuhusu mazingira na Muungano ambazo zitamfanya msomaji aelimike na kuhabarika.

Kwa mantiki hiyo toleo la jarida hili linatoa dondoo mbalimbali kuhusu utekelezaji wa shughuli na miradi kadhaa inayoratibiwa na Ofisi ya Makamu wa Rais.

Aidha pamoja na changamoto mbalimbali wananchi wanaendelea kuaswa kuchukua tahadhari dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa Covid 19. Jikinge, Wakinge Wengine, CORONA INAZUILIKA.

Tunawatakia usomaji mwema wa toleo hili la 35 la jarida la Ofisi ya Makamu wa Rais

2 Jarida la OFISI YA MAKAMU WA RAIS TOLEO NA. 35 JUNI - 2020 Habari

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. akizungumza na viongozi na watumishi waandamizi wa Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) na Baaraza la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) katika kikao kilichofanyika Juni 06, 2020 jijini Dodoma.

wanawajibika moja kwa moja katika utunzaji na usimamizi wa mazingira, Makamu wa Rais akutana Mhe. Samia alisisitiza umuhimu wa kufanya kazi kwa kushirikisha Viongozi na watendaji wa Ofisi yake wa Serikali za Mitaa ili kuhakikisha kuwa takwimu za mazingira katika sekta akamu wa Rais wa Jamhuri mbalimbali zinawekwa sawa kuanzia ya Muungano wa Tanzania, ngazi za chini. Mhe.M Samia Suluhu Hassan Juni 6, 2020 Aidha, Mhe. Makamu wa Rais amekutana na viongozi na watumishi Ili kuweza kuratibu kwa alipongeza hatua zilizochukuliwa na waandamizi wa Ofisi ya Makamu wa ufanisi shughuli za binadamu Ofisi hiyo katika usimamizi wa katazo la Rais (Muungano na Mazingira) na zinazochangia kwenye uharibifu matumizi ya mifuko ya plastiki. Pia alioa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi maagizo kwa Ofisi hiyo kwa kushirikiana wa Mazingira (NEMC) jijini Dodoma. wa mazingira kuna umuhimu na TAMISEMI kukamilisha mchakato Katika kikao hicho ambacho ni wa kufanya mapitio ya Sera ya wa kupatikana na kupewa mafunzo mwendelezo wa Maadhimisho ya Siku Mazingira ili kuja na mkakati stahiki Wakaguzi wa Mazingira katika ya Mazingira Duniani yanayofanyika utakaoainisha majukumu, Halmashauri zote nchini. kila mwaka ifikapo Juni 5, Mhe. Samia Aliwataka viongozi na watumishi amezungumzia tathmini ya utekelezaji changamoto na maono ya kuendelea kushiriki kikamilifu katika wa majukumu ya Ofisi hiyo kwa Ofisi kwa kushirikiana na utekelezaji wa miradi mikubwa ya kipindi cha miaka mitano tangu aingie sekta mbalimbali kimkakati kama vile ujenzi wa Reli ya madarakani. SGR na Bwawa la Kuzalisha Umeme la Lengo ni kuona tunaposherehekea takwimu na tathmini zinazoonesha Mwalimu Nyerere, ili kuendelea kutoa Siku ya Mazingira Duniani, Ofisi uhalisia wa uchafuzi wa mazingira ushauri wa kitaalamu. Makamu wa imekuwa ikisimamia vipi suala zima unaotokana na shughuli za binadamu Rais pia amekemea tabia ya baadhi la uratibu wa udhibiti wa uchafuzi wa kwa mfano ukataji wa miti kiholela, ya watumishi kushiriki vitendo vya mazingira ili kuhakikisha rasilimali uchimbaji wa mchanga na vifusi, ubadhirifu ambavyo vimekuwa vikiitia zilizopo zinatumika kwa uendelevu. utiririshaji wa maji sumu na maji taka doa Ofisi. Kwa mfano, usimamizi wa miradi kutoka kwenye migodi kwenda kwenye Alisisitiza suala la kufanya tathmini ya maendeleo inayolenga kurekebisha vyanzo vya maji, mito na maziwa. katika maeneo yote ya migodi na mifumo ikolojia na bioanuai, kupunguza Pia alielekeza kuwa ili kuweza wachimbaji wadogo ili kubaini kiwango gesijoto na kuhakikisha tunapanda miti kuratibu kwa ufanisi shughuli za cha uharibifu wa mazingira na kuchukua ili kunyonya hewa ukaa, kupunguza binadamu zinazochangia kwenye hatua stahiki na kwa wakati kabla ukame na kuhakikisha usalama wa uharibifu wa mazingira kuna umuhimu madhara kwa binadamu na mazingira chakula, kurekebisha mazingira katika wa kufanya mapitio ya Sera ya Mazingira hayajatokea. migodi kwa kuhakikisha uoto wa asili ili kuja na mkakati utakaoainisha Hivyo Mhe. Samia aliwataka unarejeshwa mara baada ya migodi hiyo majukumu, changamoto na maono viongozi na watumishi kuendelea kutoa kufungwa. ya Ofisi kwa kushirikiana na sekta elimu zaidi kwa umma ili kuongeza Aidha, Mhe. Makamu wa Rais mbalimbali. uelewa kwa wananchi katika masuala ya alisisitiza umuhimu wa Ofisi kuwa na Ili kuhakikisha kuwa wananchi utunzaji na uhifadhi wa mazingira

3 Jarida la OFISI YA MAKAMU WA RAIS TOLEO NA. 35 JUNI - 2020 Makala

22 ya mwaka 1964 (The Union of Tanganyika and Zanzibar Act, 1964 [Act No. 22 of 1964] Ifahamu misingi ya ili kuuridhia Mkataba huo. Vilevile, kwa upande wa Zanzibar, Baraza la Mapinduzi lilitunga Sheria ya Muungano Kikatiba Muungano wa Zanzibar na Tanganyika, (The Union of Zanzibar and Tanganyika Law, 1964) ambayo ilichapishwa katika Gazeti na Kisheria la Serikali ya Muungano Na. 243 la tarehe 1 Mei, 1964. Hivyo, sheria za Muungano (Acts of Union) pamoja na Mkataba wa Muungano (Articles of Union) zimekuwa sehemu ya sheria za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuanzia tarehe 26 Aprili, 1964. Mara baada ya kukamilika kwa taratibu za kisheria za kuridhiwa kwa Hati ya Makubaliano ya Muungano, Hati hiyo iliwasilishwa kwa Katibu Mkuu waUmoja wa Mataifa kuiarifu jumuiya ya Kimataifa na kuomba kutambuliwa kwa Dola ya Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar mahali pa zilizokuwa Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar. Aidha, sheria ya Muungano katika kifungu cha 5(1) ilitamka bayana kuwa katika kipindi cha mpito Katiba ya Tanganyika ndiyo itakuwa Katiba ya Jamhuri ya Muungano kwa kadri itakavyorekebishwa ili kutoa mamlaka kwa Bunge na Serikali Hayati Mwalimu na hayati Sheikh Abeid Karume wakiweka ya Muungano kwa Mambo ya Muungano saini kwenye hati ya Muungano mwaka 1964. ambayo ni Katiba ya Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Muungano, Mambo ya Nchi za Na Cesilia Nkwamu Nje, Ulinzi na Usalama, Polisi na Mamlaka juu ya mambo yanayohusika na hali ya amhuri ya Muungano wa Tanzania hatari. iliundwa Aprili 26, 1964 kufuatia Pia Uraia, Uhamiaji, Mikopo na MuunganoJ wa hiari wa nchi huru Kwa mujibu wa Hati ya Biashara ya Nchi za Nje, Utumishi katika mbili ambazo ni iliyokuwa Jamhuri Makubaliano ya Muungano na Serikali ya Jamhuri ya Muungano, Kodi ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa sheria zilizoridhia Hati hiyo, Katiba ya Mapato inayolipwa na watu binafsi na Zanzibar. Viongozi waasisi wa Muungano mashirika, ushuru wa forodha na ushuru huu ni Mwl. Julius K. Nyerere na Sheikh ya Mpito ilipaswa kutumika kwa wa bidhaa zinazotengenezwa nchini Abeid Amani Karume. kipindi cha mwaka mmoja na Tanzania unaosimamiwa na Idara ya Kabla ya Muungano huo, kulikuwa baada ya hapo Rais wa Jamhuri Forodha,Bandari, mambo yanayohusika na na nchi mbili zilizojitegemea, Jamhuri ya usafiri wa anga, posta na simu. Watu wa Zanzibar iliyoundwa mara baada ya Muungano kwa kushauriana na Sheria ya Muungano pia ilitambua ya Mapinduzi ya Januari 12, mwaka 1964 kukubaliana na Rais wa Zanzibar uwepo wa Baraza la Wawakilishi na Serikali na Jamhuri ya Tanganyika iliyoundwa walitakiwa kuitisha Bunge Maalum ya Zanzibar kwa mujibu wa Sheria za mwaka 1962 baada ya kupata uhuru Zanzibar na kwa mambo ambayo siyo ya tarehe 9 Desemba, 1961. Kila nchi ilikuwa ili kutunga Katiba ya Kudumu ya Muungano. Vilevile sheria za Muungano na mipaka, Katiba na Serikali yake, na Jamhuri ya Muungano. zilimtaka Rais kutoa Amri (Decrees) ili iliendesha shughuli zake kwa kujitegemea kuirekebisha Katiba ya Tanganyika iweze kiutawala. kukidhi matakwa ya Hati za Muungano na kisheria lazima utungiwe sheria mahsusi ya kuweza kuiongoza Jamhuri ya Muungano. Muungano Kikatiba na Kisheria kuufanya kuwa sehemu ya sheria za nchi. Rais pia kwa mujibu wa kifungu cha 10 cha Hati ya Makubaliano ya Muungano (The Mfumo huo unajulikana kama “dualism”, sheria ya Muungano alipaswa kuziwasilisha Articles of Union) iliyosainiwa Aprili 22, na unatambua kuwa sheria za kimataifa na Amri hizo Bungeni kwa taarifa. 1964 na kuridhiwa na Bunge kwa upande sheria za kitaifa ni mifumo miwili tofauti, Kwa mujibu wa mamlaka hayo, Mei wa Jamhuri ya Tanganyika na Baraza la hivyo, ni lazima Mkataba wa Kimataifa mosi, 1964 Rais wa Jamhuri ya Muungano Mapinduzi kwa upande wa Jamhuri ya Watu upate ridhaa ya Bunge kwa kutungiwa sheria kwa kushauriana na kukubaliana na Rais wa Zanzibar ndio msingi mkuu kiKatiba na mahsusi ili kuufanya Mkataba huo kuwa na wa Zanzibar alitoa Amri mbili zilizoweka kisheria wa kuasisiwa kwa Muungano. nguvu ya kisheria na kuweza kutekelezwa. utaratibu wa kiKatiba na kisheria wa Hati hii ya Muungano ina hadhi Kutokana na matakwa hayo, Ibara ya kusimamia kipindi cha mpito. Amri hizo ya mkataba wa kimataifa ambao kwa (viii) ya Hati ya Mkataba wa Muungano ni Amri ya Masharti ya Kipindi cha Mpito utaratibu wa mfumo wa sheria za kiingereza ilieleza kuwa Bunge la Tanganyika na ya Mwaka 1964 (The Transitional Provision (common law system) ambao ndiyo mfumo Baraza la Mapinduzi yatatakiwa kutunga Decree, 1964) na Amri ya Katiba ya Muda ambao nchi yetu inaufuata, mamlaka ya sheria za kuuridhia Mkataba wa Muungano. ya Mwaka 1964 (The Interim Constitution kusaini mikataba ya kimataifa ni ya Serikali Ni kwa muktadha huo ambapo Bunge la Decree, 1964). Amri ya Masharti ya Kipindi (Executive). Hatahivyo, kwa mfumo huo Tanganyika lilitunga Sheria ya Muungano ili mkataba wa kimataifa upate nguvu za wa Tanganyika na Zanzibar, Sheria namba Inaendelea Uk 5 >>

4 Jarida la OFISI YA MAKAMU WA RAIS TOLEO NA. 35 JUNI - 2020 Makala

>> Inatokaa Uk 4 Ifahamu misingi ya cha Mpito ilitamka kwamba tangu siku ya Agosti 11, 1967 yaliongezwa mambo ya Muungano kila kilichokuwa cha Tanganyika Muungano Kikatiba Leseni za Viwanda na Takwimu (Jambo la kitageuka kuwa cha Jamhuri ya Muungano. 13) na Elimu ya Juu (Jambo la 14) kupitia Aidha, kwa kupitia Amri ya Katiba ya na Kisheria Sheria ya mabadiliko ya Katiba ya Muda Muda, Katiba ya Jamhuri ya Tanganyika ya Mwaka 1965 (the Interim Constitution iligeuzwa kuwa Katiba ya Jamhuri ya ya Muungano yaliongezeka kutoka 11 hadi (Amendment) Act, No. 35 of 1967). Tarehe Muungano baada ya kuifanyia marekebisho kufikia 16, na Pande zetu mbili za Muungano 22 Julai, 1968 “rasilimali ya mafuta, petroli katika baadhi ya ibara ili ikidhi mabadiliko zilikubaliana kuwa mambo hayo yaongezwe na gesi asilia” iliongezwa kwenye Orodha ya yaliyotokana na Muungano. Vilevile, jina la katika Katiba na taratibu za kisheria na Mambo ya Muungano na kuwa jambo la 15. Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Kikatiba zilifuatwa. Kimsingi Serikali ya Muungano ilipewa Zanzibar lilibadilishwa na kuwa Jamhuri Jambo la kwanza kuongezwa, yaani la jukumu la kuagiza mafuta ya petroli na ya Muungano wa Tanzania kupitia sheria 12 lilikuwa ni “sarafu, mabenki na fedha za gesi asilia kwa ajili ya nchi nzima. Tarehe ya Bunge iliyoitwa “The United Republic kigeni”. Hii ilifanyika tarehe 10 Juni, 1965 22 Novemba, 1973 Baraza la Mitihani la (Declaration of Name) Act, 1964” na jina kufuatia kuvunjika kwa Bodi ya Sarafu ya Taifa liliongezwa na kuwa jambo la 16. Hii hilo lilianza kutumika rasmi tarehe 28 Afrika Mashariki (East African Currency ilifuatia kuvunjika kwa Baraza la Mitihani la Oktoba, 1964. Kifungu cha 2(1) cha Sheria Board) mwaka 1964. Kwa ajili hiyo, kila Afrika Mashariki mwaka 1971 na hivyo nchi hiyo kinaeleza: nchi mwanachama wa Jumuiya ililazimika yetu kulazimika kuunda Baraza la Mitihani Notwithstanding the provisions of kuwa na sarafu yake na mipango yake ya la Taifa mwaka 1973. section 4 of the Acts of Union of Tanganyika kusimamia mambo yake ya kibenki na Katiba ya Muda ilidumu hadi tarehe and Zanzibar, it is hereby declared that the fedha. Serikali zetu mbili zilikubaliana 25 Machi, mwaka 1977 ambapo Rais wa United Republic of Tanganyika and Zanzibar masuala hayo yashughulikiwe na Serikali ya Jamhuri ya Muungano aliteua Tume ya shall henceforth be known as the United Muungano na muswada husika wa Bunge Katiba kwa mujibu wa Ibara ya (vii) ya Hati Republic of Tanzania, and the existing law of uliidhinishwa kuwa Sheria na Mzee Abeid ya Muungano yenye wajumbe 20 ambao 10 Tanganyika and Zanzibar shall be construed Amani Karume aliyekuwa akikaimu Urais accordingly. Juni 10, 1965. Inaendelea Uk 6 >> Kwa tafsiri isiyo rasmi kifungu hicho kinamaanisha kwamba, “pamoja na maelekezo ya kifungu cha 4 cha sheria za Muungano, inatamkwa kwamba Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar zitalazimika kuanzia sasa kujulikana kama Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na sheria zilizopo za Tanganyika na Zanzibar zitasomeka kwa msingi huo”. Mara baada ya kupatikana kwa jina jipya, tarehe 18 Desemba, 1964 Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa aliarifiwa rasmi juu ya jina hilo. Kwa mujibu wa Hati ya Makubaliano ya Muungano na sheria zilizoridhia Hati hiyo, Katiba ya Mpito ilipaswa kutumika kwa kipindi cha mwaka mmoja na baada ya hapo Rais wa Jamhuri ya Muungano kwa kushauriana na kukubaliana na Rais wa Zanzibar walitakiwa kuitisha Bunge Maalum ili kutunga Katiba ya Kudumu ya Jamhuri ya Muungano. Hata hivyo, Bunge Maalum halikuitishwa na badala yake Bunge la Jamhuri ya Muungano lilipitisha “The Constituent Assembly Act, 1965” iliyoahirisha kuitishwa kwa Bunge Maalum mpaka itakapoamriwa liitishwe. Aidha, Bunge la Jamhuri ya Muungano liliitishwa kutunga Katiba ya Muda ya Jamhuri ya Muungano “The Interim Constitution of the United Republic of Tanzania, 1965”. Katiba hiyo ya muda ilijumuisha mambo yote 11 ya Muungano, kama yalivyoorodheshwa kwenye Hati ya Makubaliano ya Muungano. Hatahivyo katika kipindi hicho cha mpito orodha ya mambo ya muungano iliongezeka kutokana na mahitaji ya ndani ya wananchi na mabadiliko yaliyokuwa yanaendendelea kutokea kwenye ukanda wetu wa Afrika Mashariki. Kati ya mwaka 1965 na 1973 mambo

5 Jarida la OFISI YA MAKAMU WA RAIS TOLEO NA. 35 JUNI - 2020 Makala

>> Inatokaa Uk 5 Ifahamu misingi ya walitoka upande wa Bara na 10 upande wa Muundo wa Muungano Zanzibar. Aidha Aprili 18, 1977, Rais wa Muungano Kikatiba kiKatiba na Kisheria Jamhuri ya Muungano kupitia Tangazo la Serikali alichapisha mapendekezo ya Katiba na Kisheria Kwa mujibu wa Ibara ya (i) ya Hati ya Jamhuri ya Muungano yaliyofuatiwa na ya Mkataba wa Muungano Jamhuri Bunge Maalum la Katiba ambalo liliitishwa kurejesha mfumo wa vyama vingi vya ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa na kukutana Dar es Salaam tarehe 25 Aprili, siasa hali iliyosababisha kuongezeka Zanzibar ziliungana kuwa Dola moja ya 1977. kwa jambo jingine la Muungano ambalo Jamhuri. Vile vile Hati ya Muungano ni “Uandikishaji wa Vyama vya Siasa”. inatambua uwepo wa Serikali ya Jamhuri Katiba ya Jamhuri ya Muungano Mabadiliko hayo yaligusa pia aina za ya Muungano yenye mamlaka kwa mambo wa Tanzania ya Mwaka 1977 Wabunge na pia kuweka masharti kwamba yote yaliyoorodheshwa kuwa ya Muungano kila mgombea ubunge lazima apendekezwe na kwa mambo yote yasiyo ya Muungano Tangu kutungwa kwa Katiba ya Jamhuri na chama cha siasa. Mabadiliko hayo yanayoihusu Tanganyika na Serikali ya ya Muungano wa Tanzania mwaka 1977, vilevile yaliweka masharti ya kuzuia maafisa Zanzibar yenye mamlaka kwa mambo Katiba hii imeshafanyiwa mabadiliko waandamizi katika utumishi wa Serikali ya yasiyo ya Muungano yanayoihusu Zanzibar. (amendments) mara 14. Kwa ujumla lengo Jamhuri ya Muungano kuchaguliwa kuwa Pia, Mkataba unaeleza kuwa kutakuwa na la mabadiliko hayo ya Katiba limekuwa Wabunge mpaka pale watakapokoma kuwa Baraza la Wawakilishi Zanzibar na Bunge ni kuiboresha na kuifanya iendane na watumishi. la Jamhuri ya Muungano yenye mamlaka mabadiliko mbalimbali yanayotokea nchini Mabadiliko mengine muhimu ya kama zilivyo serikali. na pia kukidhi matakwa na mahitaji ya Katiba yaliyogusa Muungano ni yale ya 11 Aidha, kwa mujibu wa Ibara ya 1 ya wananchi kwa ujumla. Aidha, marekebisho yaliyofanyika mwaka 1994. Mabadiliko Katiba ya Jamhuri ya Muungano ya mwaka hayo yaligusa maeneo mbalimbali ya Katiba hayo yalihusu kuweka utaratibu mpya wa 1977, Tanzania ni nchi moja na ni Jamhuri ila kwa lengo la mada hii nitajikita zaidi mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Muungano. Katiba katika Ibara ya 4 katika marekebisho yaliyogusa Muungano inaanzisha vyombo viwili vyenye mamlaka moja kwa moja. ya utendaji ambavyo ni serikali ya Jamhuri Kwa mara ya kwanza Katiba ya Jamhuri ya Muungano na Serikali ya Mapinduzi ya ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 Zanzibar; vyombo viwili vyenye mamlaka ilifanyiwa marekebisho mwaka 1979 ili ya kutekeleza utoaji haki ambavyo ni kuanzisha Mahakama ya Rufani ya Mahakama ya Serikali ya Jamhuri ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Muungano na Mahakama ya Serikali mara baada ya kuvunjika kwa ya Mapinduzi ya Zanzibar; na Mahakama ya Rufani ya iliyokuwa vyombo viwili vyenye mamlaka Jumuiya ya Afrika Mashariki ya kutunga sheria ambavyo ni mwaka 1978. Marekebisho haya Bunge na Baraza la Wawakilishi. yalisababisha orodha ya mambo Vilevile, ibara ya 34 ya Muungano kubadilika kwa ya Katiba ya Jamhuri ya kuongezeka suala la Mahakama Muungano inatamka kwamba, ya Rufani ya Jamhuri ya kutakuwa na serikali ya Jamhuri Muungano wa Tanzania. ya Muungano ambayo itakuwa Mabadiliko ya pili ya na Mamlaka juu ya Mambo yote Katiba ya Jamhuri ya Muungano ya Muungano katika Jamhuri ya yalifanyika mwaka 1980 ili Muungano, na pia juu ya mambo kuweka ibara mpya katika Katiba ya mengine yote yahusuyo Tanzania Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bara. Mamlaka yote ya serikali ya zilizotokana na kutungwa kwa mara Jamhuri ya Muungano juu ya ya kwanza tangu Mapinduzi ya Zanzibar, mambo yote ya Muungano katika kwa Katiba ya Zanzibar iliyotungwa na Jamhuri ya Muungano, na pia juu ya mambo Baraza la Wawakilishi na kupata kibali cha mengine yote yahusuyo Tanzania Bara, Rais wa Zanzibar mnamo mwaka 1979. yatakuwa mikononi mwa Rais wa Jamhuri Mabadiliko mengine makubwa ya Muungano. katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano kuwa na mgombea mwenza kwa nafasi wa Tanzania yaliyogusa Muungano ni ya Makamu wa Rais. Mabadiliko haya Hivyo basi, kwa mujibu wa Hati ya mabadiliko ya tano ambayo yalifanyika ndiyo yalisitisha nafasi ya Rais wa Zanzibar Makubaliano ya Muungano ambayo pia mwaka 1984. Kwa ujumla mabadiliko kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya imekuwa msingi mkuu wa Katiba ya haya yaligusa sehemu kubwa ya Katiba Muungano. Jamhuri ya Muungano ya mwaka 1977, ni ya Muungano kuanzia utangulizi, vichwa Kwa mintaarafu hiyo, ni wazi kwamba dhahiri kwamba muundo wa Muungano vya sura na maudhui pia. Kwa upande wa tangu kuasisiwa kwa Muungano huo wetu ni wa nchi moja yenye Serikali mbili Muungano, katika mabadiliko hayo Katiba mwaka 1964, hatua za kikatiba na kisheria ambazo ni Serikali ya Jamhuri ya Muungano ilitangaza Jamhuri ya Muungano kuwa ni zimechukuliwa ili kutekeleza makubaliano na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. nchi moja. Aidha, Katiba iliweka masharti yaliyomo kwenye Hati ya Makubaliano ya Muungano umetimiza miaka 56 ya kuanzisha Akaunti ya Pamoja na Tume Muungano ikiwemo kuunda Jamhuri ya mwaka huu. Huu ni uthibitisho kuwa kama ya Pamoja ya Fedha. [Rejea ibara ya 133 na Muungano wa Tanzania yenye Serikali mbili Muungano huu ungewekwa kwenye mizani 134 ya Katiba]. na taasisi zake zinazotekeleza majukumu na kupimwa ni dhahiri shahiri kuwa upande Vilevile mabadiliko ya nane ya Katiba kwa mujibu wa Katiba na sheria. Ni miaka wa mafanikio ungekuwa na uzito mkubwa yaliyofanyika mwaka 1992 yalifuta 50 sasa, tangu kuasisiwa kwa Muungano sana kuliko ule wa changamoto zikiangaliwa mfumo wa chama kimoja cha siasa na huu. katika jicho la matatizo.

6 Jarida la OFISI YA MAKAMU WA RAIS TOLEO NA. 35 JUNI - 2020 Habari

Bara, Mfumo wa Taifa wa Matumizi ya Ardhi (2013 – 2033) ambao nao pia unatekelezwa katika mikoa yote Tanzania Bara. HALI YA Ni dhahiri kuwa kuwa utegemezi mkubwa wa rasilimali kama misitu umechangia kwa kiasi kikubwa hatari ya nchi JANGWA kugeuka jangwa ambapo tafiti zinaonyesha asilimia 85 ya Watanzania wanategemea kuni na mkaa kwa ajili ya kupikia hatua na mikakati ya inayochangia upotevu wa hekta 372,000 za misitu kila mwaka. Mikakati hii imesaidia uhamasishaji wa Serikali katika matumizi ya Nishati Mbadala wa Mkaa na Kuni ambapo majeshi, shule, vyuo, hospitali na baadhi ya hoteli za kitalii hapa nchini kuinusuru zinatumia nishati mbadala wa mkaa. Akitoa tamko la Siku hii, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzam Zungu anasema suala la matumizi bora na endelevu ya ardhi ni muhimu katika kupambana na kukabiliana na kuenea kwa hali ya jangwa na ukame. “Tunatambua kwamba nchi yetu ina uhitaji mkubwa wa ardhi yenye rutuba kwa ajili ya kuzalisha chakula na uendelezaji wa shughuli za ufugaji kutokana na ongezeko la idadi ya watu. Tafiti zinaonyesha kwamba Sehemu ya nchi iliyogeuka jangwa kutokana na kukosa miti. asilimia 61 ya ardhi ipo katika hatari ya kugeuka jangwa na asilimia 16 ya nchi Na Robert Hokororo kuelimisha jamii kuzalisha chakula na nzima imekwisha onyesha dalili za wazi za malighafi kwa njia endelevu ili kunusuru kuwa jangwa,” anatahadharisha. uenea kwa hali ya jangwa na ardhi kutokana na hali ya Jangwa na Ukame. Waziri huyo anabainisha kuwa katika ukame ni moja ya changamoto za Aidha, Jamii inaelimishwa juu ya uhusiano kupunguza utegemezi wa nishati ya kuni hifadhiK ya mazingira inayotishia uzalishaji wa Uzalishaji, Ulaji na Matumizi endelevu na mkaa ambayo husababisha ukame na wa chakula, ustawi wa jamii na maendeleo ya ardhi. kuenea kwa jangwa, Serikali, ipo katika ya kiuchumi duniani kote. Tafiti zinaonesha kuwa asilimia 75 ya ujenzi wa Bwawa la kuzalisha Umeme la Kutokana na changamoto hizo, ardhi yote duniani imebadilishwa kutoka Julius Nyerere Hydropower Station lenye pamekuwepo na ongezeko la ukame, kwenye hali yake ya asili na kuwa kwenye uwezo wa kuzalisha megawati za umeme upungufu wa mazao ya chakula na biashara matumizi mengine hasa kilimo. Tathmini zaidi ya 2,115. pamoja na kuongezeka kwa hali ya umaskini iliyofanywa na Sekretarieti ya Mkataba “Umeme huu utapatikana kwa bei rahisi miongoni mwa jamii za Watanzania. wa Umoja wa Mataifa wa Kupambana na na hivyo kuwezesha wananchi wa kawaida Suala la matumizi bora na endelevu Kuenea kwa Hali ya Jangwa na Ukame na taasisi kutumia umeme kama nishati ya ardhi ni muhimu katika kupambana na imebainisha kuwa ifikapo mwaka 2030, ya kupikia. Sambamba na hilo Serikali kukabiliana na kuenea kwa hali ya jangwa na uzalishaji wa chakula cha kukidhi ongezeko inaendelea na ujenzi wa reli kwa ajili ya ukame, kwani kasi ya uharibifu wa mazingira la idadi ya watu duniani utahitaji hekta treni ya umeme (Tanzania Stardard Gauge ya ardhi na vyanzo vya maji inaongezeka milioni 300 zaidi. Railway-SGR) kwa lengo la kupunguza kutokana na ukataji wa miti hovyo, ufugaji Tathmini hii, inaonyesha kuwa mahitaji msongamano wa magari katika barabara holela, kilimo cha kuhamahama, uchimbaji ya malighafi za kuzalisha nguo na viatu zetu na hivyo, kupunguza uzalishaji wa madini usio endelevu, uendelezaji wa yanachangia asilimia 8 ya uzalishaji wa gesijoto unaosababisha mabadiliko ya makazi usiozingatia taratibu za mipango gesijoto duniani ambapo yanatarajiwa tabianchi ambayo huchangia kuwepo kwa miji na kutokuzingatia maelekezo ya kuongezeka kwa takribani asilimia 50 hali ya jangwa na ukame,”anafafanua Zungu. wataalam kuhusu namna bora kuedeleza ifikapo mwaka 2030. Ikumbukwe kuwa hifadhi ya mazingira ardhi kunazidisha ukubwa wa tatizo hili. Ili kukabiliaan na changazo hizo, si kazi ya Serikali pekee yake bali ni jukumu Juni 17 Tanzania iliungana na nchi Tanzania ambayo ni nchi mwanachama la kila mmoja katika ngazi zote kuanzia ngazi nyingine duniani kuadhimisha Siku ya imefanya jitihada mbalimbali ili kunususru ya kaya, taasisi zote za Serikali na zisizo za Kimataifa ya Kupambana na Kuenea kwa hali ambazo pamoja na kuandaa programu Serikali, asasi za kiraia katika ngazi zote Hali ya Jangwa na Ukame. Maadhimisho maalumu ya Mpango wa Kudhibiti Ukame hivyo hatuna budi kushirikiana kikamilifu haya yanahimiza kuwepo kwa uwiano (2018) ambapo utafiti wa kubainisha maeneo kusimamia Sheria na Kanuni za hifadhi ya mzuri wa njia za uzalishaji, aina ya mazao kame umeanza kufanyika nchi nzima. mazingira. Kila mmoja ana wajibu na fursa yanayozalishwa na tabia ya ulaji ili kuepuka Pia nchi imetunga Sheria, Kanuni, muhimu katika kukabiliana na changamoto uharibifu wa ardhi na kuenea kwa hali ya Miongozo, Programu na Matamko za uharibifu wa mazingira hapa nchini. jangwa na ukame. mbalimbali kwa kuzingatia sekta ambazo Kwa kuwa jukumu la kuhifadhi Maadhimisho yam waka yaliongozwa zina utegemezi wa moja kwa moja na ardhi. mazingira si la Serikali pekee bali kila mmoja na kaulimbiu “Tudhibiti Kuongezeka Mikakati mingine ni pamoja na Mkakati ana wajibu wa kuunga mkono jitihada kwa Uzalishaji wa Chakula na Malighafi; wa Kuhifadhi Mazingira ya Ardhi na za Serikali katika kuhifadhi mazingira ili Tukabiliane na Kuenea kwa Hali ya Jangwa Vyanzo vya Maji wa mwaka 2006, ambao kukabiliana na hali ya ukame na kuenea kwa na Ukame” ambayo kismingi inalenga unatekelezwa katika mikoa yote Tanzania jangwa hapa nchini.

7 Jarida la OFISI YA MAKAMU WA RAIS TOLEO NA. 35 JUNI - 2020 Habari Zungu abaini ukosefu wa cheti cha mazingira machimbo ya kaolin Kisarawe

Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mussa Azzan Zungu akiambatana na Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Mhe. Jokate Mwegelo, viongozi wa Kamati ya Ulinzi na Usalama pamoja na viongozi wengine mara baada ya kuwasili eneo la machimbo ya madini ya Kaolin wilayani Kisarawe mkoani Pwani.

Na Charles Kombe hajayarekebisha. Biashara inaendelea “Anavyoelekezwa kuzingatia yale na malalamiko ya wananchi bado yapo. matakwa ya kimazingira kuendana aziri wa Nchi ofisi ya Makamu Kwahiyo Mhe. DC tutakupa matokeo na sheria na kanuni ni kwa faida yake. Wwa Rais (Muungano na ya 'findings' zetu kwa mwanasheria wa Wananchi wakiathirika hataweza kulipa Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu NEMC na wa Ofisi ya Rais ni hatua zipi hayo maisha ya wananchi. Wananchi amefanya ziara katika eneo la machimbo ambazo tutazichukua.” Amesema Mhe. wakitoka na kuja kumharibia kutokana ya madini ya kaolin yanayomilikiwa Zungu na kushindwa kuridhika kutokana na na kampuni ya Rakkadlin Co. Ltd Kwa upande wake mkuu wa wilaya ya vitendo anavyowafanyia itakuwa ni hasara wilayani Kisarawe lenye changamoto za Kisarawe Mhe. Jokate Mwegelo amesema kwake. Kwahiyo ni vizuri anavyopewa kimazingira ikiwemo kutokuwa na cheti wahusika wa eneo hilo wanaonekana maelekezo akayatekeleza kwa wakati.” cha tathmini ya athari kwa mazingira. kutokujali kabisa juu ya utaratibu uliopo Amesema Mapinduzi Mhe. Zungu ameambatana na na kuwataka kuheshimu sheria. Mmiliki wa Machimbo hayo bwana Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Mhe. “Hapa inavyoonekana kuna uholela, Adam Iremu amesema kuwa anasubiri Jokate Mwegelo, Meneja wa Kanda ya vitu havijakaa sawa.Na mheshimiwa muafaka wa mgogoro huo atakapoitwa Mashariki wa Baraza la Taifa la Hifadhi Waziri nadhani na wewe umejionea. naMhe. Waziri kama alivyoeleza. na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Sio kwamba hatuhitaji wawekezaji, Sio “Kikubwa ni wakishaniita nitakwenda Bw. Anorld Mapinduzi, wanasheria kwamba Kisarawe haina mali lakini na mimi nitoe ushahidi wangu na vielelezo kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais, NEMC muhimu sheria na taratibu zifuatwe. vyangu na ndio nitafahamu maamuzi pamoja na viongozi mbalimbali katika Hayo yote yakifuatwa hata wananchi watakayo yatoa.” Amesema Iremu wilaya ya Kisarawe ambapo amejionea wangekuwa wanafurahia mradi.” Machimbo ya madini ya Kaolini shughuli za uchimbaji wa madini hayo Amesema Mhe. Mwegelo katika eneo hilo la Kisarawe yanamilikiwa yanayotumika kutengenezea malighafi za Nae Meneja wa NEMC kanda na kampuni ya Rakkadlin Co. Ltd na marumaru. ya Mashariki Bw. Anold Mapinduzi wamiliki hao kwa muda mrefu wamekuwa “Tumepitia matamko ya mwekezaji na amesema kuwa mwekezaji anayehusika wazito kutekeleza maagizo wanayopewa ya wataalamu wetu na tumeona tatizo lipo. na mradi huo anatakiwa kufuata utaratibu na mamlaka mbalimbali za mazingira Mwekezaji alipewa masharti toka mwaka wa kimazingira ili kuepusha madhara ikiwemo NEMC pamoja na mamlaka za 2018 arekebishe lakini mpaka leo bado zaidi. serikali ya Wilaya ya Kisarawe.

8 Jarida la OFISI YA MAKAMU WA RAIS TOLEO NA. 35 JUNI - 2020 Habari

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muun- gano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Makamu wa Rais aiahidi Hassan akizungumza na Rais mpya wa Burundi Mhe. Evariste Ndayishimiye Ikulu ndogo Gitega Nchini Burundi alipowasilisha salam za Rais wa Jamhuri Burundi ushirikiano ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwa Rais Ndayishimiye. akamu wa Rais wa Jamhuri Ushirikiana wa Afrika Mashariki Dkt. Kushoto ni Rais mstaafu wa awamu ya Mya Muungano wa Tanzania Damas Ndumbaro walifika nyumbani nne Dkt. Mhe. Samia Suluhu Hassan ameahidi kwa marehemu Nkurunziza jijini kuwa Tanzania itaendelea kushirikiana Bujumbura kwa ajili ya kuitembelea na Burundi katika nyanja mbalimbali za na kuifariji familia akiwemo mjane na maendeleo. watoto. Mhe. Samia alisema hayo wakati Alimuomba Mwenyezi Mungu akitoa salamu za pongezi kwa niaba kuwapa uvumilivu na kuwa na subira ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa katika kipindi hiki kigumu. Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwenye sherehe za kuapishwa kwa Rais mpya wa Burundi Evariste Ndayishimiye zilizofanyika Gitega, Uwanja wa Igoma mjini Gitega nchini Burundi. Katika sherehe hizo ambazo pia Mhe. Samia aliwapa pole zilihudhuriwa na Rais Mstaafu wa wananchi wa Burundi kwa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho kwa msiba mkubwa wa Kikwete, Makamu wa Rais alimpongeza Rais Ndayishimiye kwa ushindi alioupata aliyekuwa Rais wa nchi hiyo katika Uchaguzi Mkuu wa hivi karibuni . Marehemu Pierre Nkurunziza Pia Mhe. Samia aliwapa pole na kuwataka wawe na subira wananchi wa Burundi kwa kwa msiba katika kipindi kiki kigumu. mkubwa wa aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Marehemu Pierre Nkurunziza na kuwataka wawe na subira katika kipindi kiki cha maombolezo. Hayati Pierre Nkurunziza Aidha Makamu wa Rais akiwa ameambatana na Dkt. Kikwete na NaibuWaziri wa Mambo ya Nje na

9 Jarida la OFISI YA MAKAMU WA RAIS TOLEO NA. 35 JUNI - 2020 Habari

Jitihada za Serikali katika kuondosha kemikali aina ya Polychlorinated Biphenlys

Wafanyakazi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais mara baada ya kumaliza mafunzo kuhusu namna bora ya kudhibiti kemikali aina ya Polychlorinated Biphenlys (PCBs).

Na Anna Maria Gerome za utekelezaji wa Mradi wa uondoshaji wa ya PCBs. kemikali aina ya PCBs katika matumizi Kupitia huu jamii imeendelea olychlorinated Biphenlys (PCBs) yake hapa nchini. kuelimishwa kuhusu madhara kuhusu ni mojawapo ya kemikali madhara yatokanayo na kemikali aina ya zinazodumuP katika mazingira kwa Mradi wa uondoshaji kemikali PCBs katika maeneo yenye transifoma muda mrefu na kuhatarisha afya ya aina ya PCBs zenye kemikali hiyo kwa njia ya mikutano binadamu pamoja na mazingira hivyo, Lengo la Mradi huu ni kukusanya ambapo elimu ilitolewa kwa wananchi upo umuhimu wa sekta mbalimbali takwimu ili kubaini kiwango cha kemikali takriban 810. zinazohusika na Mazingira, Afya na aina ya PCBs kinachotumika hapa nchini Aidha, wafanyakazi 45 wa Shirika la Nishati kusimamia Sheria na miongozo na kuandaa mpango kazi wa kuziondosha Umeme Tanzania (TANESCO kuhusu katika utekelezaji wa pamoja katika katika matumizi, kuimarisha utekelezaji wa namna bora ya kudhibiti kemikali aina ya udhibiti na usimamizi wake. Sera na Sheria zinzazosimamia udhibiti wa PCBs katika maeneo yao. Uondoshaji wa kemikali aina ya kemikali nchini na kuendelea kutoa elimu Hivyo kiasi cha lita za ujazo 16,535 za Polychlorinated Biphenlys (PCBs) ni kwa umma kuhusu madhara kwa afya ya mafuta ya transfoma kilifanyiwa uchunguzi sehemu ya utekelezaji Mpango wa Kitaifa binadamu na mazingira yanayotokana na kimaabara na kuthibitishwa kuwa na wa Mkataba wa Stockholm unaohusu udhibiti hafifu wa kemikali hizi. kemikali aina ya PCBs. Mafuta husika Kemikali zinazodumu katika Mazingira yatasafirishwa kwa ajili ya kuteketezwa kwa kwa muda mrefu. Shughuli za mradi njia salama kwa mazingira. Kemikali aina ya PCBs ni kati ya Shughuli zilizofanyika kubaini na Mradi huu unatekelezwa kwa kipindi kemikali zinazodhibitiwa chini ya Mkataba kuziwekea alama transfoma zilizokutwa na cha miaka mitano (2017 - 2022) kwa huu. Kemikali hizi hutumika katika kemikali hiyo, pia kukusanya Sampuli za gharama ya sh. 1,876,567.700.00. Tanzania mafuta ya transfoma na zimethibitishwa mafuta ya transfoma zinazohisiwa kuwa na ni mojawapo ya nchi 12 za Jumuiya ya kuwa na athari katika afya ya binadamu kemikali hizi zilikusanywa kutoka katika Nchi za KUsini mwa Afrika (SADC) na mazingira. Kulingana na matakwa ya mikoa tisa ya Tanzania Bara ambayo ni zinazotekeleza Mradi huu kupitia Ofisi Mkataba, kemikali husika zinapaswa kuwa Dodoma, Singida, Mwanza, Kilimanjaro, ya Makamu wa Rais kwa kushirikiana na zimeondolewa kwenye matumizi ifikapo Arusha, Tanga, Pwani, Dar es Salaam na TANESCO. mwaka 2028. Morogoro ambapo jumla ya sampuli 553 Nchi hizi ni pamoja na Botswana, Ili kuweza kutekeleza matakwa haya za mafuta ya transfoma zilikusanywa na Lesotho, Madagasca, Shelisheli, Msumbiji, ya Mkataba, Tanzania kupitia Mfuko wa kuchunguzwa katika maabara. Kati ya hizo, Zambia, Malawi, Zimbabwe, Namibia, Mazingira wa Dunia (GEF) ilipata fedha sampuli 22 zilionyesha kuwa na kemikali Afrika Kusini na Eswatini.

10 Jarida la OFISI YA MAKAMU WA RAIS TOLEO NA. 35 JUNI - 2020 Matukio katika Picha

MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI SHUGHULI YA KUHITIMISHA BUNGE ILIYOFANYWA NA RAIS DKT. JOHN POMBE MAFUGULI JIJINI DODOMA

11 Jarida la OFISI YA MAKAMU WA RAIS TOLEO NA. 35 JUNI - 2020 Habari

ukataji miti ovyo katika mabonde, uvuvi haramu, uharibifu wa ardhi utokanao na shughuli zisizo endelevu, hususan kilimo na ufugaji.

Bioanuani katika Mfumo ikolojia wa Ardhi Oevu Maeneo ya ardhi-oevu yana thamani na kazi mbalimbali kama vile vyanzo vya maji, malisho, uzalishaji wa umeme, uvuvi na kilimo. Yapo maeneo manne ambayo yanatambuliwa kama maeneo ya Mkataba wa Ramsar. Maeneo hayo ni bonde la Kilombero, Ziwa Natron, ardhi-oevu ya Malagarasi-Moyowosi, na eneo la Ramsar Fahamu kuhusu hifadhi ya la Rufiji-Mafia-Kilwa. Mfumo ikolojia huu ni makazi ya aina nyingi za viumbe wa majini na nchi kavu kama vile samaki, bioanuai nchini Tanzania viboko, mamba, nyoka, kenge, na ndege aina mbalimbali. Hata hivyo, kumekuwa na upotevu wa Na Dkt. Thomas Bwana uharibifu wa Bioanuai katika mfumo Bioanuai katika ardhi oevu unaotokana na ikolojia wa misitu unaotokana na matumizi ukataji holela wa rasilimali miti kwa ajili erikali imeweka sera, sheria na makubwa na uvunaji haramu wa rasilimali ya ujenzi, nishati na matumizi mengine. Smikakati ya usimamizi wa misitu, za misitu kama mbao, magogo, kuni Pia uvamizi wa idadi kubwa ya mifugo uvuvi, rasilimali maji, kilimo, mifigo, na mkaa, ukataji wa misitu kwa ajili ya kuzidi uwezo wa malisho, uvuvi, uchafuzi wanyamapori kusimamia hifadhi na upanuzi wa shughuli za kilimo na shughuli utokanao na taka za majumbani na matumizi endelevu ya Bioanuai nchini. zingine za maendeleo. viwandani, kemikali za kilimo, uharibifu Usimamizi huu umewekewa muongozo kutokana na shughuli za maendeleo na mpango mkakatai wa taifa wa hifadhi Bioanuai katika Mfumo ikolojia kama uchimbaji madini na uchomaji ya bioanuai (National Biodiversity Strategy wa Bahari na Pwani wa matofali, uvamizi wa mimea isiyo ya and Action Plan). Mfumo ikolojia wa Bahari na Pwani asili kama magugu maji na uwindaji usio Bioanuai ni mchanganyiko na una viumbe wengi wanaofanya mazingira endelevu husababisha upotevu wa samaki mtofautiano wa viumbe hai katika haya kuwa tajiri ya bioanuai. Bioanuai na wanyama. mazingira vinakoishi, ngazi zote yaani katika mfumo ikolojia hii ni pamoja na Jenetiki, Spishi na mfumo-ikololojia. samaki, matumbawe, kasa, mamalia wa Bioanuai katika Mfumo- Ikolojia wa kilimo Bioanuai ni muhimu sana katika maisha baharini kama vile nyangumi na pomboo, Bioanuai katika kilimo inahusisha yetu kwa vile inachangia kwa kiasi kikubwa mwani, plankinton na misitu ya mikoko. spishi za mimea zinazolimwa kama vile upatikanaji wa huduma ikolojia yaani Hata hivyo, Mfumo ikolojia huu nafaka, mimea jamii ya kunde, mazao ya chakula kutokana na kilimo au uvuvi, unakabiliwa na hali ya kupungua kwa jamii ya mizizi (mihogo na viazi), mimea maji, hewa safi, ustawi wa maisha bora na bioanuai. Upungufu huo unatokana na ya mafuta, mazao ya nyuzi (pamba na mapato kutokana na shughuli za kiuchumi. uharibifu wa matumbawe kutokana na katani ), mazao ya viburudisho (kahawa uvuvi haramu wa kutumia baruti, utiaji na chai) na mazao mengine kama miwa, Hali ya Bioanuai Tanzania nanga na utengenezaji wa chokaa. Pia korosho na pareto. Tanzania imejaliwa kuwa na rasilimali ukataji holela wa mikoko kwa ajili ya kubwa ya maliasili za misitu, nyika, ardhi nishati, kilimo na ujenzi pamoja na uvuvi Usimamizi wa hifadhi ya Bioanuai oevu, maziwa, mito na baharí ambavyo ni usio endelevu wa samaki na viumbe Kutokana na umuhimu wa bioanuai msingi wa utajiri wa maliasili, ambayo ni wengine katika bahari hususan kasa, na changamoto zinazojitokeza katika, miongoni mwa maeneo 14 duniani yenye pomboo na nyangumi aina mbili. jumuia ya kimataifa ikiwemo Tanzania utajiri mkubwa wa bioanuai. iliamua kuchukua hatua za pamoja katika Katika mfumo ikolojia hii kuna aina Bioanuai katika Mfumo ikolojia wa maji baridi kuhifadhi bioanuai ikiwa ni pamoja na nyingi za ndege, mimea, amfibia na reptilia Mfumo ikolojia wa maji baridi kuanzisha Mkataba wa Kimataifa wa zinazoifanya Tanzania kuwa nchi ya nne unahusisha maziwa mabwawa na mito. Hifadhi ya Bioanuai. barani Afrika kwa kuwa na idadi kubwa ya Ikolojia hii ni muhimu kwa bioanuai Lengo la mkataba huu ni Hifadhi wanyamapori, ikiwa na jumla ya aina 310 kwa vile ni makazi ya aina mbalimbali ya na matumizi endelevu ya bioanuai na za wanyama. Aidha, inachangia asilimia viumbe kama samaki, wanyama na mimea mgawanyo sawa wa faida zitokanazo 20 katika Afrika kwa idadi ya wanyama ambavyo kwa pamoja vina umuhimu na Bioanuai. Jamhuri ya Muungano wa pamoja na mimea ya aina mbalimbali. mkubwa kiuchumi na kijamii nchini. Tanzania iliridhia mkataba huu mnamo Hata hivyo, hifadhi ya bioanuai katika tarehe 8 Machi 1996. Bioanuai katika mfumo – ikoloji wa Misitu mfumo ikolojia huu inakabiliwa na Katika kutekeleza Mkataba huu Serikali Tanzania ina aina kuu mbili za misitu, changamoto za kupungua kwa ubora wa inawekeza katika kuweka mfumo wa misitu ya kupandwa na misitu ya asili. maji, kupungua na kutoweka kwa baadhi ya kitaasisi na kukuza uwezo wa sekta, taasisi Misitu ya asili ina eneo lipatalo hekta aina za samaki, uvamizi wa magugu maji, na wadau mbalimbali ili kuifadhi bioanuai millioni 33.5 ikiwa na aina kuu tatu za kupungua kwa kina cha maji kunakoletwa kikamilifu. misitu ambazo ni miombo, montane forests na ongezeko la tabaki na virutubisho. Ofisi ya Makamu wa Rais ina Jukumu la and mikoko. Kuna aina 1,593 za miti na hii Changamoto ni uchafuzi utokanao na kuratibu sekta zote zinazohusika na hifadhi inaonesha utajiri mkubwa wa bioanuai. shughuli za viwanda na makazi, upungufu ya bioanuai katika kutekeleza usimamizi Hata hivyo, kuna changamoto ya wa bioanuai, samaki na viumbe wengine, endelevu.

12 Jarida la OFISI YA MAKAMU WA RAIS TOLEO NA. 35 JUNI - 2020 Habari Udhibiti wa gugu maji Ziwa Victoria iwe ni kazi endelevu – NEMC Na Johari Kachwamba vitatu vya jamii, kujenga Kituo cha kuzalisha wadudu aina ya mbawa kavu wenyekiti wa Bodi ya Baraza la na utitiri," alisema Sombe. MTaifa la Hifadhi na Usimamizi Mdudu aina ya Mbawa Kavu ni "Wastani wa mbawa kavu milioni 25 wa Mazingira (NEMC) Prof. Esnati rafiki kwa mazingira na walizalishwa na kupandikizwa katika Chaggu amesema jitihada za udhibiti ana uwezo wa kuangamiza maeneo mbalimbali ya Manispaa ya wa gugu maji ( water hyacinth) ndani ya Bukoba, tani zaidi ya 46 za gugu maji Ziwa Victoria ni muhimu ziwe endelevu gugu maji. Changamoto ziliopolewa na kuchomwa katika mwalo Akizungumza mkoani Kagera tunayotakiwa kufanyia kazi kwa wa Nyakanyasi na Kifungu," aliongezea amesema "Nawapongeza kwa jitihada sasa ni programu endelevu ya Sombe ambazo tayari zimefanyika kudhibiti kuzalisha wadudu hawa kwa wingi Aidha Mjumbe wa Bodi ya NEMC, gugu maji, nasisitiza Taasisi ziendelee kutoka TPRI, Dkt. Neduvoto Mollel kushirikiana ili kuleta tija ya kazi hii, ili wapelekwe kwenye maeneo amefafanua umuhimu wa kuzalisha aidha turejee kwenye sera zinazohusu yaliyoathirika na gugu maji.. Mbawa Kavu kwa wingi. udhibiti wa viumbe vamizi kama gugu "Mdudu aina ya Mbawa Kavu ni maji kwa ajili ya kuboresha. Ni muhimu rafiki kwa mazingira na anauwezo wa pia tuangalie utaratibu wa kushirikisha Mkoa wa Kagera, Dedan Sombe kuangamiza gugu maji. Changamoto Nchi zingine za ukanda wa Ziwa amesema Eneo la Nyamkazi-Bukoba tunayotakiwa kufanyia kazi kwa sasa Victoria, kwa kuwa mbegu za gugu maji ni miongoni mwa maeneo sugu yenye ni programu endelevu ya kuzalisha zinaweza kurudi iwapo si jitihada za gugumaji kwa Ziwa Victoria. wadudu hawa kwa wingi ili wapelekwe pamoja" "Udhibiti wa gugu maji katika kwenye maeneo yaliyoathirika na Aidha Bodi imepata ufafanuzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba gugu maji, ambalo linajizalisha kwa miradi ya kupunguza gugu maji katika umekuwepo kwa njia mbalimbali, kasi, Taasisi zinazohusika zishirikiane ziwa Victoria kwa upande wa Kagera. ikiwemo utekelezaji wa mradi wa kuandaa programu endelevu ili wadudu Akizungumza Mratibu wa gugumaji LVEMP I na II, iliyohusisha vikundi hawa wasaidie kudhibiti gugu maji".

Mwenyekiti wa Bodi ya Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Prof. Esnati Chaggu akizungumza wakati wa ziara ya Bodi hiyo mkoani Kagera kukagua athari za kuongezeka kwa maji katika Ziwa Victoria.

13 Jarida la OFISI YA MAKAMU WA RAIS TOLEO NA. 35 JUNI - 2020 Vibonzo VIBONZO

VIBONZO

VIBONZO 14 Jarida la OFISI YA MAKAMU WA RAIS TOLEO NA. 35 JUNI - 2020 Habari

Mhe. Zungu Kwa upande wake mwenyekiti wa Mtaa wa Sharif Shamba Omary Mkumbi amesema kuwa mfereji huo umekua na changamoto ikiwemo uchafuzi wa mazingira unaofanywa kinyemela na wananchi. “Mfereji wetu hauna maelekezo ya kusafishwa mara kwa mara. Wako wananchi wanaochafua mfereji huu, tunaweka mtego lakini bado hatujawabaini wahusika wanaotenda vitendo hivyo. Lakini kamati yangu ya mazingira inajitahidi lakini binadamu ni wazito yaani saa sita usiku, saa saba ndio wanakuja kumwaga uchafu.” Amesema Mkumbi Naye Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NEMC Benjamin Mchwampaka ametoa rai wahusika wa mfereji huo kutafuta mbinu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Az- mbadala ya kuulinda kutokana na kuwa zan Zungu akizungumza wakati wa ziara ya kukagua mfereji wa Ilala Sharif Shamba. na umuhimu mkubwa kwa usalama wa maeneo hayo. “Changamoto tunayoiona kama NEMC ni hali ya utupaji wa takataka kwenye mfereji Waziri Zungu atatua na kutiririsha maji machafu. Kwa mujibu wa sheria ya mazingira maji machafu hayatakiwi kutiririshwa kwenye mfereji wa changamoto ya uchafuzi maji ya mvua. Sisi tunatoa rai pande zote mbili za mfereji watunze mfereji huu ambao ni muhimu sana kwa Wananchi wa maeneo wa mifereji Ilala haya." amesema Mchwampaka Mfereji huo wa maji ya mvua Na Charles Kombe “Wakuu wa kamati za ulinzi na usalama umejengwa kwa ushirikiano wa umoja wa wa mtaa, na wakuu wa kamati za mazingira mataifa na ofisi ya Makamu wa Rais na aziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa za mtaa ni lazima mfanye doria za mara kwa umekuwa msaada mkubwa katika kuzuia Rais (Muungano na Mazingira) mara kuhahakisha mifereji hii haichafuliwi mafuriko licha ya kuwepo kwa changamoto Mhe.W Mussa Azzan Zungu amefanya ziara kwa takataka ili wananchi waishi salama za uchafuzi wa mazingira zinazofanywa na katika Mtaa wa Sharif Shamba Ilala jijini Dar na Amani katika maeneo yao.” ameongeza Wananchi wa eneo hilo. es Salaam kukagua mfereji wa maji ya mvua katika eneo hilo kwa lengo la kuangalia ubora wa mfereji huo. Mhe. Zungu akiambatana na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Benjamin Mchwampaka pamoja na wataalamu wa mazingira amesema kuwa baada ya ujenzi kukamilika kwa kipindi cha mwaka mmoja na nusu changamoto zilianza kujitokeza jambo ambalo lilileta wasiwasi kwa Wananchi. “Nimepata malalamiko kutoka kwa wananchi kuhusu mfereji huu kuwa kuta zake zimeanza kubomoka, imenilazimu kuwaita wataalamu wa mazingira kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais kitengo cha mazingira, wataalamu kutoka NEMC na Mkandarasi aliyepewa tenda hii. Bahati nzuri mkandarasi amekubali kuukarabati tena mfereji huu.” amesema Mhe. Zungu Waziri Zungu pia amewataka viongozi mbalimbali wa mtaa kuhakikisha wanafanya doria mara kwa mara ili kuzuia wahalifu Sehemu ya mfereji wa maji ya mvua uliopo Mtaa wa Sharif Shamba wilayani Ilala ambao ulikaguliwa wanaochafua mfereji huo. na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu.

15 Jarida la OFISI YA MAKAMU WA RAIS TOLEO NA. 35 JUNI - 2020 HabariPicha

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete wakiwa katika picha ya pamoja na Mjane na Watoto wa marehemu Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi baada ya kuitembelea na kuifariji familia hiyo.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akitoa maelekezo kwa wataalamu kutoka Idara ya Sera na Mipango wa Ofisi yake wakati wa kikao cha kupitia rasimu ya Sera ya Taifa ya Mazingira kilichofanyika ukumbi wa mikutano ofisini hapo jijini Dodoma.

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Balozi Joseph Sokoine akizung- umza wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya wakaguzi wa mazingira kutoka Mamlaka za Serikali za Mitaa za Mkoa wa Dodoma. Kulia ni Katibu Tawala wa Mkoa huo, Maduka Kessy.

Kaimu Meneja wa Uzingatiaji wa Sheria kutoka Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Dkt. Madoshi Makene akitoa mada wakati wa mafunzo ya wakaguzi wa mazingira wa Mamlaka za Serikali za Mitaa Mkoa wa Dodoma.

16 Jarida la OFISI YA MAKAMU WA RAIS TOLEO NA. 35 JUNI - 2020 Makala

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazin- gira), Mhe. Mussa Azzan Zungu akimtunuku cheti cha kuhitimu mafunzo ya wakaguzi wa mazin- gira mmoja wa washiriki. Wana- oshuhudia ni Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Joseph Malongo na Naibu Katibu Mkuu Balozi Joseph Sokoine.

Tanzania inavyoshiriki kupunguza uzalishaji wa gesijoto

Na Robert Hokororo lengo la kupunguza uzalishaji wa gesijoto nguvu ya maji na kwa kujenga bwawa la hata kama kiwango cha uzalishaji wa hewa Mwalimu Nyerere tutaongeza kiasi kikubwa anzania ni mwanachama wa ukaa nchini ni kwa kiasi kidogo (Kwa mujibu cha umeme unaozalishwa kwa nguvu ya Jumuiya za Uhifadhi na Usimamizi wa Ripoti Greenhouse Invetory ya Tanzania maji, na kupunguza kwa kiasi kikubwa wa TMazingira za kikanda na za Kidunia ya mwaka 2018). Kwa ajili hiyo, nchi yetu matumizi ya gesi asilia na dizeli katika hivyo kutokana na hatua hiyo inapaswa inatekeleza miradi ambayo itapunguza uzalishaji wa umeme. kutekeleza Sera na Sheria za mazingira uzalishaji wa gesijoto. Aidha, upatikanaji wa umeme wa kuendana na makubaliano na maazimio Miradi hiyo ni pamoja na ujenzi wa uhakika utakaozalishwa utasaidia wananchi yanayofikiwa katika Jumuiya hizo kwa kadri reli ya kisasa (SGR) na ujenzi wa bwawa la walioko vijijini na mijini kupata umeme inavyowezekana. uzalishaji wa umeme wa megawati 2115 la wa uhakika na gharama nafuu na hivyo Nchi yetu ni Mwanachama wa Mkataba Mwalimu Nyerere Hydropower (Stieglers kupunguza kwa kiasi kikubwa ukataji wa wa Kimataifa wa kukabiliana na Mabadiliko Gorge). miti kwa ajili ya kupata nishati ya kuni na ya Tabianchi unaojulikana kama Mkataba Ujenzi wa reli ya kisasa unatarajiwa mkaa. wa kulinda mazingira wa Paris (Paris kupunguza uzalishaji wa gesijoto ambayo Jitihada hizi zitachangia kwa kiasi Agreement). Katika kuutekeleza nchi hutokana na utumiaji wa malori kwenye kikubwa kwenye hifadhi ya mifumo asilia wanachama zimekubaliana kupunguza usafirishaji wa mizigo na mabasi kwenye ya kimaumbile/bioanuai na kuwa miradi uzalishaji wa gesijoto kwa pamoja na usafiri wa abiria ambapo vyombo hivyo hii miwili ikikamilika nchi yetu itakuwa kuongeza juhudi za kuhimili athari za hutumia dizeli izalishayo gesijoto aina ya imetoa mchango mkubwa katika kupunguza mabadiliko ya tabianchi. hewa ukaa. uzalishaji wa gesijoto. Katika kuunga mkono juhudi hizo, Hivyo reli hii haitatumia dizeli bali Tanzania imeandaa miradi ya kimkakati kwa itatumia umeme ambao unatokana na Inaendelea Uk 18 >>

17 Jarida la OFISI YA MAKAMU WA RAIS TOLEO NA. 35 JUNI - 2020 Makala

Tanzania inavyoshiriki kupunguza uzalishaji wa gesijoto

>> Inatoka Uk 17 Mazingira Sura 191 Kifungu cha 182 (1) na (2) inatamka kuwa Waziri wa Mazingira ana Juni 5, Tanzania iliungana na Jumuiya ya mamlaka ya kuteua wakaguzi wa mazingira Kimataifa kuadhimisha Siku ya Mazingira kutoka miongoni mwa watumishi wa Duniani ambayo ilikuwa na kaulimbiu NEMC, mtumishi yeyote wa Mamlaka ya “Tutunze Mazingira: Tukabiliane na Serikali za Mitaa, Wizara au Asasi yoyote ya Mabadiliko ya Tabianchi”. umma kwa jina au wadhifa wake. Kimsingi kaulimbiu hii inahusu Kifungu cha 182 (3) kinabainisha hifadhi ya mazingira dhidi ya athari za madaraka ya wakaguzi wa mazingira mabadiliko ya tabianchi ambazo tayari ambayo ni pamoja na kuwa na uwezo wa zimekwishaonekana nchini katika sekta kuingia mahali popote na kufanya ukaguzi za kilimo, mifugo, uvuvi, maji, afya ya wanapotilia shaka ukiukwaji wa sharia ya binadamu na makazi, utalii, misitu pamoja mazingira. na miundombinu. Umeamka vibaya unakwenda Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais Taka hatarishi kwenye kiwanda cha nondo imeandaa mpangokazi ambao utaimarisha Kwa upande wa taka hatarishi Waziri ushirikiano na vitengo vya usimamizi wa Zungu anapendekeza wakaguzi hao kufanya ukatafute makosa ambayo Mazingira ndani ya Mamlaka ya Serikali kazi kwa ushirikiano na Wizara ya Ujenzi, hayapo ili ujipatiea fedha za Mitaa pamoja na kuongeza idadi ya Mawasiliano na Uchukuzi pamoja Mamlaka tutakuchukua hatua. Sheria wakaguzi wa mazingira na kuwajengea ya Mapato Tanzania (TRA) katika maeneo uwezo ili kuimarisha utekelezaji na ya mizani yanakopita malori ya mizigo na izingatiwe lakini busara itumike, uzingatiaji wa Sheria ya Mazingira Namba kuyakagua mzigo uliobebwa. pale kwenye makosa madogo 20 ya Mwaka 2004. “Muende mkafanye kazi kwenye mizani wanapewa muda kurekebisha na Aidha, uzingatiaji na utekelezaji katika mkiona gari limebeba taka hatarishi hasa usimamizi wa mazingira ni masuala vyuma chakavu mkilitilia shaka mnalizuia unapotakiwa kutoza faini utoze muhimu katika utawala wa Sheria na utawala na kwa kushirikiana na NEMC mnakagua bora. Hata hivyo uzingatiaji na utekelezaji vibali maana kuna wengine wanatumia wa Sheria za Mazingira usioridhisha na mwanya huo kupitisha miundombinu ya hafifu hudhoofisha utawala wa sheria na Serikali. maendeleo endelevu. “Ukiharibu na kuchukua miundombinu Kushindwa huku huashiria uhitaji wa ya reli, Tanesco au TTCL unakuwa kuongeza jitihada za kuimarisha usimamizi unaondoa huduma kwa Watanzania hivyo ili kuhakikisha kuwa uzingatiaji wa Sheria za tunakushitaki kwa uhujumu uchumi Mazingira unaboreshwa. maana unazuia mapato ya Serikali muwe Kwa kutambua umuhimu huo Ofisi ya waangalifu katika kusimamia sheria Makamu wa Rais kupitia Baraza la Taifa zilizowekwa,” anasema. Baada ya Serikali la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira kuhamia Dodoma kumekuwa na ongezeko (NEMC) iliwapa mafunzo wakaguzi wa la watu pamoja na shughuli za kiuchumi mazingira kutoka Mamlaka za Serikali za ambayo yanaenda sambamba na mahitaji ya Ukiharibu na kuchukua Mitaa za Mkoa wa Dodoma. rasilimali na uzalishaji wa taka. Mafunzo hayo yalifungwa Juni 5, 2020 Kama ilivyo katika mikoa mingine, miundombinu ya reli, Tanesco ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Siku mkoa huo una changamoto mbalimbali za au TTCL unakuwa unaondoa ya Mazingira Duniani kitaifa na Waziri wa mazingira, kama vile uchimbaji wa mchanga huduma kwa Watanzania hivyo Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano usio endelevu, kuongezeka kwa shughuli na Mazingira), Mhe. Mussa Azzan Zungu. za uzalishaji na starehe ambazo baadhi tunakushitaki kwa uhujumu Akitoa hotuba ya kufunga mafunzo hayo zimeripotiwa kuwa na kelele kwa wananchi. uchumi maana unazuia mapato ya Zungu anawataka wakaguzi hao kutotumia Pia kumekuwepo na ongezeko la Serikali muwe waangalifu katika madaraka yao vibaya kufanya uonevu kwa uzalishaji wa taka pamoja na kuongezeka wawekezaji kufunga viwanda hatua ambayo kwa matumizi ya vifungashio vya plastiki kusimamia sheria zilizowekwa inakosesha Serikali mapato. laini (tubings) kinyume na katazo la Serikali “Umeamka vibaya unakwenda kuhusu matumizi ya mifuko ya plastiki. kwenye kiwanda cha nondo ukatafute Wakaguzi wa mazingira wamejulishwa makosa ambayo hayapo ili ujipatiea fedha kuhusu fursa, changamoto zinazohusiana na tutakuchukua hatua. Sheria izingatiwe majukumu yao pamoja na namna ambavyo lakini busara itumike, pale kwenye makosa wanavyoweza kufanya kazi kwa ufanisi na madogo wanapewa muda kurekebisha na kuwa chachu ya kuleta maendeleo endelevu unapotakiwa kutoza faini utoze,” anasema pamoja na kuongezeka kwa elimu ya Zungu. mazingira kwa umma na wadau mbalimbali Ikumbukwe Sheria ya Usimamizi wa hapa mkoani Dodoma.

18 Jarida la OFISI YA MAKAMU WA RAIS TOLEO NA. 35 JUNI - 2020 Uhamasishaji

19 Jarida la OFISI YA MAKAMU WA RAIS TOLEO NA. 35 JUNI - 2020

Limetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Makamu wa Rais S.L.P. 2502, Dodoma, Tanzania Simu: +255 266 235 2038 • Nukushi +266 235 0002 Barua pepe: [email protected] • Tovuti: www.vpo.go.tz Simu ya mkononi: 0685 333 444 Facebook: Ofisi ya Makamu wa Rais Instagram: ofisi_ya_makamu_wa_rais Twitter: @vpo_tanzania

20 Jarida la OFISI YA MAKAMU WA RAIS