Hotuba Ya Waziri Mkuu Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania, Mhe. Kassim M
HOTUBA YA WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHE. KASSIM M. MAJALIWA (MB) WAKATI AKISHUHUDIA ZOEZI LA UCHEPUSHAJI WA MAJI YA MTO RUFIJI ILI KUPISHA UJENZI WA TUTA KUU LA BWAWA LA JULIUS NYERERE TAREHE 18 NOVEMBA, 2020 Mhandisi Zena Said, Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati; Dkt. Alexander Kyaruzi, Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati; Dkt. Asim Abdelhamid Elgazar, Waziri wa Nyumba; Dkt . Mohamed Elmarkabi, Waziri wa Nishati wa Misri; Dkt. Medard Kalemani, Waziri Mstaafu wa Nishati; Dkt. Hamdy Loza, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri; Makatibu Wakuu, Naibu Katibu Wakuu na Viongozi wengine wa Serikali; -Dkt Damas Ndumbaro, Katibu Mkuu Ofisi ya Rais (Utawala Bora); -Prof Sifuni Mchome, Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria; -Dkt. Moses Kusiluka, Katibu Mkuu - IKULU; -Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge, Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje; -Dkt. Hassan Abbas, Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo; -Naibu Makatibu Wakuu mliopo; Dkt. Alexander Kyaruzi, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya TANESCO; Balozi Mohamed Elwafa, Misri nchini Tanzania; Bw. Mohamed Abdelwahab, M/kiti Bodi ya Uwekezaji ya Arab Contractors (Misri); Bw. Sayed Elbaroudy, Mwenyekiti Bodi ya Arab Contractors (Misri); Bw. Sadek Elsewedy, Mwenyekiti Kampuni ya Elsewedy Electric (Misri); Bw. Hesham Okasha, Mwenyekiti Bodi ya Benki ya Ahly (Misri); Jen. Kamal Barany, Msaidizi wa Mkuu wa Kikosi cha Uhandisi katika Mamlaka ya Jeshi (Misri) Dkt. Tito Mwinuka, Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO; 1 Mha. Kashubila, Mhandisi Mkazi wa Mradi; Wafanyakazi wa TANESCO, TECU
[Show full text]