Hii Ni Nakala Ya Mtandao (Online Document)
Total Page:16
File Type:pdf, Size:1020Kb
Load more
Recommended publications
-
MKUTANO WA TATU Kikao Cha Kumi Na Tisa – Tarehe 29 Aprili, 2021
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ________ MAJADILIANO YA BUNGE _________ MKUTANO WA TATU Kikao cha Kumi na Tisa – Tarehe 29 Aprili, 2021 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Dkt. Tulia Ackson) Alisoma Dua NAIBU SPIKA: Waheshimiwa, tukae. Katibu. NDG. MOSSY LUKUVI – KATIBU MEZANI: HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati Zifuatazo Ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI: Randama za Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa mwaka wa fedha 2021/2022. NAIBU WAZIRI WA MADINI: Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Madini kwa mwaka wa fedha 2021/2022. 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) MHE. SAADA MONSOUR HUSSEIN - K.n.y. MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI: Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini kuhusu utekelezaji wa Majukumu ya Wizara ya Madini kwa mwaka wa fedha 2020/2021 pamoja na Maoni ya Kamati kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2021/2022. NAIBU SPIKA: Ahsante sana. Katibu. NDG. MOSSY LUKUVI – KATIBU MEZANI: MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Waheshimiwa maswali, tutaanza na Ofisi ya Rais, TAMISEMI, Mheshimiwa Simon Songe Lusengekile, Mbunge wa Busega, sasa aulize swali lake. Na. 158 Serikali Kukamilisha Ujenzi wa Zahanati – Busega MHE. SIMON S. LUSENGEKILE aliuliza:- Wananchi wa Kata ya Imalamate Wilayani Busega wamejenga zahanati na kumaliza maboma manne kwa maana ya zahanati moja kila kijiji:- Je, Serikali ina mpango gani wa kuwasaidia wananchi hao kuezeka maboma hayo ili waweze kupata huduma za afya kwenye zahanati hizo? NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri wa TAMISEMI, Mheshimiwa Dkt. -
Did They Work for Us? Assessing Two Years of Bunge Data 2010-2012
Did they work for us? Assessing two years of Bunge data 2010-2012 1. Introduction The ninth session of the Bunge (Parliament) was adjourned on 9 November 2012, two years since the commencement of the first session on 9 November 2010 following the general election. These Bunge sessions have been broadcast through private and public TV stations allowing citizens to follow their representatives’ actions. Another source of information regarding MP performance is provided by the Parliamentary On-line Information System (POLIS) posted on the Tanzania Parliament website (www.bunge.go.tz) An important question for any citizen is: how did my MP represent my interests in Parliament? One way to assess performance of MPs is to look at the number of interventions they make in Bunge. MPs can make three types of interventions: they can ask basic questions submitted in advance; they can add supplementary questions after basic questions have been answered by the government; or they can makecontributions during the budget sessions, law amendments or discussions on new laws. This brief presents six facts on the performance of MPs, from November 2010 to November 2012, updating similar analyses conducted by Twaweza in previous years. It includes an assessment of who were the least and most active MPs. It also raises questions on the significance of education level when it comes to effectiveness of participation by MPs in parliament. The dataset can be downloaded from www.twaweza.org/go/bunge2010-2012 The Bunge dataset includes observations on 351 members: MPs who were elected and served (233), MPs in Special Seats (102), Presidential Appointees (10) and those from the Zanzibar House of Representatives (5) and the Attorney General. -
Nakala Ya Mtandao (Online Document) 1 BUNGE LA TANZANIA
Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ___________ MAJADILIANO YA BUNGE ____________ MKUTANO WA ISHIRINI Kikao cha Nne – Tarehe 15 Mei, 2015 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe Anne S. Makinda) Alisoma Dua TAARIFA YA SPIKA SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, kuanzia wiki iliyopita kulikuwa na Kilele cha Wiki ya Elimu Kitaifa na leo Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete atahutubia Taifa. Kwa maana hiyo basi, kwa asubuhi hii hakutakuwa na matangazo ya moja kwa moja ya TBC hapa Bungeni. Yatawekwa kwenye rekodi zao na baadaye zitachezwa kufuatana na muda utakavyopatikana; kwa hiyo, asubuhi hii tutakuwa tunajiona wenyewe hapa. MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tunaanza na maswali kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu na Mheshimiwa Deogratius Aloys Ntukamazina, atauliza swali hilo; naona kwa niaba yake ni Mheshimiwa Mwambalaswa! Na. 25 Shule za A-Level Wilayani Ngara MHE. VICTOR K. MWAMBALASWA (K.n.y. MHE. DEOGRATIUS A. NTUKAMAZINA) aliuliza:- Wilaya ya Ngara ina Shule za Serikali za A-Level tatu; Kabanga, Muyezi na Lukole High School, ambapo kabla ya Julai 2014 zilikuwa ni shule mbili tu zenye wanafunzi 450 zikiwa zinapewa shilingi milioni 32 kwa mwezi, lakini baada ya kuongezeka Muyezi High School wanafunzi wameongezeka kufikia 780 kuanzia Julai 2014 na kwa miezi sita Serikali imetoa shilingi milioni 48 tu wakati Wazabuni peke yao wanandai shilingi milioni 144 ili waweze kununua chakula:- (a) Je, ni lini Serikali itapeleka fedha za kutosha kwa ajili ya shule hizo tatu badala ya shule mbili? 1 Nakala ya Mtandao (Online Document) (b) Je, ni lini Serikali itawalipa wazabuni kiasi cha shilingi milioni 144 wanachodai? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (ELIMU): Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Deogaratius Ntukamazina, Mbunge wa Ngara, lenye sehemu (a) na (b), kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Spika, kwa Mwaka wa Fedha 2014/15, Serikali ilitenga shilingi bilioni 42.1 kwa ajili ya huduma za chakula cha wanafunzi wa shule za sekondari za bweni. -
The Proceeding of the Seminar for All Parliamentarians and White Ribbon Alliance on Safe Motherhood Tanzania That Took Place in Dodoma on 7Th February 2017
THE PROCEEDING OF THE SEMINAR FOR ALL PARLIAMENTARIANS AND WHITE RIBBON ALLIANCE ON SAFE MOTHERHOOD TANZANIA THAT TOOK PLACE IN DODOMA ON TH 7 FEBRUARY 2017 1 Contents 1. Introduction ........................................................................................................................................... 4 2. Opening of the Seminar ........................................................................................................................ 5 3. A brief Speech from the National Coordinator for WRATZ ................................................................ 5 4. Opening Speech by the Speaker of the Parliament ............................................................................... 7 5. A brief speech by a Representative from UNICEF ............................................................................... 8 6. Presentation by Dr. Ahmed Makuwani, ................................................................................................ 9 7. Hon. Dr. Faustine Ndugulile (MP) (CEmONC and Budget) .............................................................. 10 8. Hon. Dr. Jasmine Tisekwa Bunga (MP) (food and Nutrition) ............................................................ 10 9. Dr. Rashid Chuachua ( Under five years mortality) ........................................................................... 11 10. Hon. Mwanne Nchemba (MP)(Family Planning) .......................................................................... 11 11. Hawa Chafu Chakoma (MP) (Teenager pregnancies) ................................................................... -
1 Bunge La Tanzania
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ______________ MAJADILIANO YA BUNGE _____________ MKUTANO WA NNE Kikao cha Kumi na Tatu – Tarehe 27 Juni, 2011 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua MASWALI NA MAJIBU Na. 121 Chama Tawala Kuzuiwa Kutekeleza Sera Zake MHE. MOHAMED H. MISSANGA aliuliza:- Baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010 Chama cha Mapinduzi (CCM) ambacho kilishinda, kilipewa ridhaa ya kuongoza nchi na kutekeleza Ilani yake ya Uchaguzi ambayo inaeleza kuwa wananchi wanayo haki ya kuchangia katika Miradi ya Maendeleo nchini:- (a) Je, Serikali haioni kuwa si haki kwa Vyama vya Upinzani kuwakataza wananchi wasichangie Miradi mbalimbali ya Maendeleo na kwamba hali hiyo inazuia Chama Tawala kutekeleza sera zake? (b) Je, Serikali haioni kuwa hali hiyo inaweza kuchangia wafadhili kusitisha misaada yao kwa kukosekana ushiriki wa wananchi katika miradi hiyo? WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU, SERA, URATIBU NA BUNGE alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu napenda kujibu swali la Mheshimiwa Mohamed H. Missanga, Mbunge wa Singida Magharibi, lenye sehemu (a) na (b) kama ifuatavyo:- (a) Mheshimiwa Spika, shughuli za Vyama vya siasa hapa nchini zinatawaliwa na Sheria ya Vyama vya Siasa Na. 5 ya mwaka 1992 na marekebisho yake mbalimbali pamoja na Kanuni za Maadili ya Vyama vya Siasa za mwaka 2007. Hivyo, ni wajibu wa 1 Vyama vyote vya siasa kuzingatia sheria na Kanuni hizo katika kudumisha amani, utulivu na mshikimano uliopo kijamii. Mheshimiwa Spika, baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2010, Chama cha Mapinduzi (CCM) kilishinda na kupata ridhaa ya wananchi kuongoza nchi kwa kipindi kingine cha miaka mitano. -
Majadiliano Ya Bunge ______
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _______________ MAJADILIANO YA BUNGE ________________ MKUTANO WA KUMI NA NANE Kikao cha Kumi – Tarehe 5 Februari, 2010 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua MASWALI NA MAJIBU Na. 102 Watendaji Kutumiwa na Wanasiasa Kupandikiza Kesi MHE. MWANAWETU S. ZARAFI aliuliza:- Kwa kuwa, Mkurugenzi au Afisa Utumishi ni Mtendaji wa Serikali na si mwanasiasa; na kwa kuwa, katika baadhi ya maeneo Watendaji hao hutumiwa na wanasiasa kupandikiza kesi kwa wananchi na kuwalazimisha watumishi kutoa ushahidi wa uongo:- Je, Serikali itawachukulia hatua gani watendaji wa aina hiyo endapo watabainika? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (K.n.y. WAZIRI WA NCHI OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA alijibu:- Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya wananchi wote wa Jimbo langu la Siha naomba kuchukua nafasi hii kukipongeza Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa kutimiza miaka yake 33 kwa mafanikio makubwa. (Makofi) Mheshimiwa Naibu Spika, baada ya salamu hizo kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma napenda kujibu swali la Mheshimiwa Mwanawetu Zarafi, Mbunge wa Viti Malum, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Naibu Spika, Mtumishi wa Umma anatakiwa kufanya kazi zake za kila siku kwa kuzingatia Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002 na 1 marekebisho yake, Kanuni za Utumishi wa Umma za mwaka 2003, Taratibu na Miongozo mbalimbali inayotolewa na Serikali, na kuzingatia maadili ya Utumishi wa Umma. Inapobainika kuwa mtumishi wa Umma amekiuka taratibu hizo inabidi mwajiri wake amchukulie hatua za kinidhamu kulingana na utaratibu uliofafanuliwa kwenye Kanuni za Utumishi wa Umma za mwaka 2003. -
Hii Ni Nakala Ya Mtandao (Online Document)
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA __________ MAJADILIANO YA BUNGE _____________ MKUTANO WA KUMI NA NNE Kikao cha Tatu – Tarehe 5 Desemba, 2013 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda)Alisoma Dua MASWALI KWA WAZIRI MKUU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, leo ni siku ya Alhamisi, ni siku maalum kwa maswali kwa Waziri Mkuu. Naona leo hamkushabikia sana na Kiongozi wa Kambi ya Upinzani hayupo. Kwa hiyo, nitaanza kiongozi, wewe upo tu umekaa kwenye kiti. Mheshimiwa Eng. Mohammed Habibu Mnyaa atakuwa mwulizaji wa swali la kwanza. 1 Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) [MHE. ENG. MOHAMMED H. J. MNYAA] MHE. ENG. MOHAMMED H. J. MNYAA: Nashukuru Mheshimiwa Spika, kwa kunipa nafasi hii adimu na adhimu ya kumwuliza Mheshimiwa Waziri Mkuu swali. Mheshimiwa Waziri Mkuu, liko jambo ambalo limeleta mabishano katika jamii ya watu wa Tanzania. Bahati nzuri hili jambo ni la kikatiba, lakini pengine wengine hawafahamu. Sasa labda kwa kuwa ni jambo la kikatiba, niombe ninukuu hilo jambo halafu nikuulize swali langu. Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 43 inayozungumzia masharti ya kazi ya Rais, Sheria ya 1934 na Namba 15 ya Ibara ya 9. Nanukuu: “Rais atalipwa mshahara na malipo mengineyo, na atakapostaafu atapokea malipo ya uzeeni, kiinua mgongo au posho kadiri itavyoamriwa na Bunge na mshahara. Malipo hayo mengineyo, malipo ya uzeeni na kiinua mgongo hicho, vyote vitatokana na Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano na vitatolewa kwa mujibu wa masharti ya ibara hii.” Sasa hili jambo kumbe ni la Kikatiba. Mimi uzoefu wangu Bungeni ni mdogo. -
Hoja Ya Kutokuwa Na Imani Na Waziri Mkuu Orodha Ya Waheshimiwa Wabunge Walioweka Saini Zao Dodoma
HOJA YA KUTOKUWA NA IMANI NA WAZIRI MKUU ORODHA YA WAHESHIMIWA WABUNGE WALIOWEKA SAINI ZAO DODOMA JINA LA MHESHIMIWA MBUNGE SAINI YAKE 1. Mhe. Anne Semamba Makinda, (CCM) SPIKA S.L.P 6958, DAR ES SALAAM. -0754/0784 465226 NJOMBE KUSINI 2. Mhe. Job Yustino Ndugai, (CCM) NAIBU SPIKA S.L.P 64, KONGWA. -0762 605951/ 0655 605951 KONGWA 1. Mhe. Mwanamrisho Taratibu Abama, (CHADEMA) S.L.P. 2455, ZANZIBAR. -0775 242006 VITI MAALUM 2. Mhe. Maida Hamad Abdallah, (CCM) S.L.P. 60, Wete. -0784 549061/0716 955024 VITI MAALUM 3. Mhe. Anna Margareth Abdallah, (CCM)-0784 338181 S.L.P. 314, MASASI/ S.L.P. 12433, DAR ES SALAAM. VITI MAALUM 4. Mhe. Rashid Ali Abdallah, (CUF) S.L.P 2, ZANZIBAR. -0776 720960 TUMBE 5. Mhe. Abdallah Sharia Ameir, (CCM) S.L.P. 2220, ZANZIBAR, 0777 419232 DIMANI 6. Mhe. Abdulsalaam Selemani Amer, (CCM) S.L.P. 35 MIKUMI. - 0784 291296/0773 291296 MIKUMI 7. Mhe. Bahati Ali Abeid (CCM) S.L.P. 3451 ZANZIBAR 0777 469244 VITI MAALUM 1 8. Mhe. Abdul-Aziz Mohamed Abood, (CCM) - 0758 500000 S.L.P. 127, Morogoro, 0754/0784 261888 MOROGORO MJINI 9. Mhe. Chiku Aflah Abwao, (CHADEMA) S.L.P. 759 IRINGA. - 0715/0784 599772 VITI MAALUM 10. Mhe. Khalfan Hilaly Aeshi, (CCM) -0786 060000 S.L.P 479 SUMBAWANGA, RUKWA. -0767 212111 SUMBAWANGA MJINI 11. Mhe. Rukia Kassim Ahmed, (CUF) S.L.P. 16217 DAR ES SALAAM 0773 178580 VITI MAALUM 12. Mhe. Lameck Okambo Airo, (CCM) S.L.P. 594, Mwanza, 0777 444305/ 0784444305 RORYA 13. Mhe. -
Kitabu Cha Kumbukumbu Za Wabunge
BUNGE LA TANZANIA ____________ KITABU CHA KUMBUKUMBU ZA WABUNGE BUNGE LA KUMI NA MOJA Toleo la Kwanza - Juni, 2016 1 2 SEHEMU YA KWANZA UTANGULIZI Bunge limekuwepo toka tupate uhuru mwaka 1961 na kabla ya uhuru kuanzia mwaka 1926. Wabunge nao wameendelea kuwepo kwa vipindi tofauti na kwa idadi inayobadilika kila wakati wakitekeleza wajibu wao muhimu wa kutunga sheria na kuisimamia Serikali kwa niaba ya wananchi kwa mujibu wa Katiba ya nchi. Bunge lilipoanza mwaka 1926, Wabunge walikuwa ishirini na moja (21) na tulipopata uhuru mwaka 1961 Wabunge walikuwa wameongezeka kufikia themanini (80) na baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010 idadi ya Wabunge iliongezeka na kufikia Wabunge 357. Hata hivyo, baada ya Tume ya Uchaguzi kuona umuhimu wa kuongeza idadi ya Majimbo kutokana na sababu mbalimbali sasa hivi idadi ya Wabunge ni 393. Kitabu hiki cha Kumbukumbu za Wabunge kimegawanyika katika Sehemu kuu Kumi na Nne. Katika sehemu hizo za kitabu kimeorodhesha Wabunge wote wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na anuani zao, namba zao simu za mkononi na Majimbo yao ya uwakilishi Bungeni chini ya picha zao ili kurahisisha mawasiliano. Katika mchanganuo wa kila sehemu, Sehemu ya Kwanza ni Utangulizi. Aidha, Wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Bunge ambao ndiyo wasimamizi wa shughuli za Bunge wameorodheshwa katika Sehemu ya Pili ya kitabu hiki ikifuatiwa na Uongozi wa Ofisi ya Bunge katika Sehemu ya Tatu. 3 Sehemu ya Nne imeorodhesha Wabunge wote wa Majimbo wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Mikoa ikifuatiwa na Sehemu ya Tano ambayo imeorodhesha Wabunge wote wa Viti Maalum kulingana na uwakilishi wa vyama vyao Bungeni ikianzia na Chama cha Mapinduzi (CCM); ikifuatiwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Chama cha Wananchi (CUF) na Sehemu ya Sita imeorodhesha Wabunge kupitia nafasi ya Kuteuliwa na Rais na Sehemu ya Saba ni Wabunge kutoka Baraza la Wawakilishi. -
Mkutano Wa Tatu
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA __________ MAJADILIANO YA BUNGE __________ MKUTANO WA TATU Kikao cha Kumi na Nane – Tarehe 28 Aprili, 2021 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Dkt. Tulia Ackson) Alisoma Dua NAIBU SPIKA: Waheshimiwa tukae. Katibu. NDG. NEEMA MSANGI – KATIBU MEZANI: HATI ZA KUWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA MADINI: Randama za Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Madini kwa mwaka wa fedha 2021/2022. NAIBU SPIKA: Ahsante sana Mheshimiwa Profesa Manya. Nimwite sasa Waziri wa Katiba na Sheria. Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Mheshimiwa Pinda. NAIBU WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA: Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa mwaka wa fedha 2021/2022. NAIBU SPIKA: Ahsante sana. Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria; kwa niaba yake Mheshimiwa Ng’wasi D. Kamani. 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) MHE. NG’WASI D. KAMANI - K.n.y. MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA KATIBA NA SHERIA: Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria kuhusu utekelezaji wa Majukumu ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa mwaka wa fedha 2021/2022 pamoja na Maoni ya Kamati kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo na Taasisi zake kwa mwaka wa fedha 2021/2022. (Makofi) NAIBU SPIKA: Ahsante sana. (Makofi) Waheshimiwa Wabunge naamini makofi hayo ni kwa viongozi wa Kamati hii, wanalea vizuri vijana kwenye Kamati ya Katiba na Sheria. Mheshimiwa Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti. Kwa niaba yake, Mheshimiwa Kigua. -
MKUTANO WA ISHIRINI Kikao Cha Thelathini Na Moja – Tarehe 18 Juni
BUNGE LA TANZANIA __________ MAJADILIANO YA BUNGE __________ MKUTANO WA ISHIRINI Kikao cha Thelathini na Moja – Tarehe 18 Juni, 2015 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Mwenyekiti (Mhe. Lediana M. Mng’ong’o) Alisoma Dua MWENYEKITI: Waheshimiwa Wabunge, naomba kuwatakia Heri ya Mfungo Mtukufu wa Ramadhani. Nawatakia Watanzania wote Heri ya Mfungo wa Ramadhani. (Makofi) MASWALI NA MAJIBU Na. 219 Ahadi ya Kumaliza Tatizo la Wakulima – Kagera Nkanda MHE. MOSES J. MACHALI aliuliza:- Mnamo mwaka 2011 na Desemba 2013, kwa nyakati tofauti, Mheshimiwa Waziri Mkuu aliahidi kumaliza tatizo la Wakulima wa Kasulu wanaolima katika eneo la Kagera Nkanda wanaofukuzwa na kupigwa kila mwaka kwa agizo la Mkuu wa Wilaya ya Kasulu:- Je, ni sababu gani zinazokwamisha kushughulikiwa kwa suala hilo kwa takribani miaka mitano sasa? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI) alijibu:- Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Moses Joseph Machali, Mbunge wa Kasulu Mjini, kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Mwenyekiti, Wananchi walioondolewa katika Kijiji cha Kagera Nkanda ni wale ambao walikuwa wanalima katika eneo ambalo Hifadhi ya Kagera Nkanda, ambapo eneo hilo kisheria haliruhusiwi kwa sababu ya kihifadhi. Aidha, ni kweli Mheshimiwa Waziri Mkuu aliahidi kumaliza tatizo la Wakulima hao, kwa kuwapatia ardhi kwa ajili ya kilimo bila kuingilia mipaka ya Hifadhi. Eneo linalozungumzwa hapa ni eneo linalotambulika kisheria kuwa ni Hifadhi ya Misitu ya Makere Kusini, ambapo baadhi -
FIRSTNAME MIDDLENAME SURNAME Pius Chipanda Msekwa Zakia Hamdani Meghji Wilson Mutagaywa Masilingi William Vangimembe Lukuvi Pius Yasebasi Ng'wandu Prof
FIRSTNAME MIDDLENAME SURNAME Pius Chipanda Msekwa Zakia Hamdani Meghji Wilson Mutagaywa Masilingi William Vangimembe Lukuvi Pius Yasebasi Ng'wandu Prof. Philemon Mikol Sarungi Omar Ramadhan Mapuri Muhammed Seif Khatib Dr. Mary Michael Nagu Prof. Mark James Mwandosya Prof. Juma Athumani Kapuya Dr. Juma Alifa Ngasongwa Joseph James Mungai Dr. John Pombe Joseph Magufuli Jakaya Mrisho Kikwete Brg. Gen. Hassan Athumani Ngwilizi Harith Bakari Mwapachu Gideon Asimulike Cheyo George Clement Kahama Frederick Tluway Sumaye Edward Ngoyai Lowassa Edger Diones Maokola-Majogo Daniel Ndhira Yona Charles N. Keenja Basil Pesambili Mramba Dr. Asha-Rose Mtengeti Migiro Arcado Denis Ntagazwa Anna Margareth Abdallah Andrew John Chenge Dr. Abdallah Omar Kigoda Shamim Parkar Khan Dr. Maua Abeid Daftari Abdisalaam Issa Khatib Tatu Musa Ntimizi Pius P. Mbawala Mudhihir Mohamed Mudhihir Bujiku Philip Sakila Mizengo Kayanza Peter Pinda Zabein Muhaji Mhita Capt. John Zefania Chiligati Dr. Ibrahim Said Msabaha Dr. Hussein Ali Mwinyi Hezekiah Ndahani Chibulunje Dr. Festus Bulugu Limbu Hamza Abdallah Mwenegoha Dr. Anthony Mwandu Diallo Abdulkadir Shareef Rita Louise Mlaki Mohamed Rished Abdallah Zuhura Shamis Abdallah Alhaj Shaweji Abdallah Mohammed Abdi Abdulaziz Bahati Ali Abeid Khamis Awesu Aboud Kijakazi Khamis Ali Omary Mjaka Ali Fatma Said Ali Khamis Salum Ali Aziza Sleyum Ally Mohamed Abdully Ally Shaibu Ahmada Ameir Kheri Khatib Ameir Rostam Abdulrasul Azizi Faida Mohamed Bakar Elizabeth Nkunda Batenga Joel Nkaya Bendera Lydia Thecla Boma Dr. Batilda Salha Burian Robert Jacob Bazuka Margareth J. Bwana Kisyeri Werema Chambiri Dr. Aaron Daudi Chiduo Diana Mkumbo Chilolo Samuel Mchele Chitalilo Anatory Kasazi Choya Omar Saidi Likungu Chubi Paschal Constantine Degera Leonard Newe Derefa Ahmed Hassan Diria Abdullatif Hussein Esmail Abdallah Khamis Feruz Chifu Abdallah Fundikira Dr.