HABARI ZA NISHATI Bulletin

ToleoToleo NambaNamba 2221 29 AgostiDisembaJanuari 1 - 1-31,1-31, 31, 2021 20202021 VIONGOZIWaziriRAIS ALIELEZA na WAKUU Naibu WaziriWASTAAFU wa NishatiBUNGEWATEMBELEA VIPAUMBELE wafanya kikao MRADI cha UK. kwanzaSEKTAWA JULIUS YA na NISHATI Bodi NYERERE za7 Taasisi >> MRADI WAFIKIA ASILIMIA 54.3 Watoa maelekezo mahususi

Waziri Mkuu azindua Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt (kushoto) na Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Stephen Byabato uchepushwajiRais Mstaafu wa Awamu ya Nne, wa maji Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. WAZIRIMwinyi, akizungumza KALEMANI na Waandishi wa AUTAKAna Waandishi wa UONGOZI habari mara baada WA WIZARAakizungumza na Waandishi YA NISHATI wa habari habari mara baada ya kumalizaUK. kukagua ya kumaliza kukagua mradi wa Bwawa mara baada ya kumaliza kukagua mradi mradi wa Bwawa la Kufua Umeme2 wa Majikatika la Kufua Umeme wa Majimradi la Julius wawa Bwawa la Kufua JNHPP Umeme wa Maji la KUFANYAla (JNHPP), KAZI Julai 5,2021. KWA KASI,Nyerere(JNHPP), KWA Julai 5,2021. UBUNIFU NAJulius Nyerere(JNHPP),KWA USAHIHI Julai 5,2021.

LIMEANDALIWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI, WIZARA YA NISHATI Wasiliana nasi kwa simu namba +255-26-2322018 Nukushi +255-26-2320148 au Fika O si ya Mawasiliano, Mji Mpya wa Serikali Mtumba, S.L.P 2494, Dodoma HABARI 2 VIONGOZI WAKUU WASTAAFU WATEMBELEA MRADI WA JULIUS NYERERE

Hafsa Omar- Rufiji wakiongozwa na Waziri wa Nishati Dkt. Medard iongozi Kalemani na Viongozi Wakuu wa Wizara ya Nishati na wa Kitaifa Taasisi zake. Wastaafu, Wakizungumza na Waandishi wa VWaheshimiwa Marais Habari mara baada na Mawaziri Wakuu ya kumaliza kukagua wametembelea mradi mradi, Rais Mstaafu wa wa Bwawa la Kufua Awamu ya Pili, Mhe. Ali Umeme wa Maji la Julius Hassan Mwinyi alisema Nyerere(JNHPP) katika amefurahishwa na Mto Rufiji kwa lengo la namna wataalamu wa kujionea maendeleo ya kitanzania walivyoweza mradi. kusimamia mradi huo Viongozi hao kwa ustadi mkubwa walitembelea mradi hivyo aliwapongeza kwa huo, Julai 5, 2021 kutumia vyema taaluma ambapo katika ziara yao kusimamia ujenzi Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kumaliza kukagua mradi wa hiyo waliambatana na wa mradi huo. Bwawa la Kufua Umeme wa Maji la Julius Nyerere(JNHPP), Julai Mawaziri mbalimbali Kwa upande wake, 5,2021.

Picha ya Pamoja ya Viongozi Wakuu Wastaafu wakiwa na viongozi wa Wizara ya Nishati.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Agosti 1 - 31, 2021 HABARI 3 VIONGOZI WAKUU WASTAAFU WATEMBELEA MRADI WA JULIUS NYERERE

INATOKA UK.2 Hayati Mwalimu Julius watu milioni 20, na mradi huo. Rais Mstaafu wa Nyerere. kuwataka wadau wa Mhe. Malecela, Alieleza kuwa, kilimo kuanza kujipanga alisema watanzania Awamu ya Nne, Mhe. ndoto ya Baba wa Taifa kutumia fursa ya kilimo wanapaswa kujivunia Jakaya Mrisho Kikwete ilikuwa ni kujenga cha umwagiliaji. na kujisikia fahari alimpongeza Rais wa bwawa kubwa la Naye, Waziri Mkuu kwani mradi huo Awamu ya Tano, Hayati kuzalisha umeme, Mstaafu Mhe. John unasimamiwa na Dkt. John Pombe lenye shughuli ya Malecela, alisema kuwa wazawa ambao Magufuli kwa uamuzi utalii, litakalopunguza tangu taifa lipate uhuru wameonesha uzalendo wake wa ujasiri wa mafuriko sehemu ya halijawahi kutekeleza kwa taifa kwa kuamua mradi ujengwe chini ya mto Rufiji mradi mkubwa kama kusimamia vyema ujenzi na kwa kutumia fedha na kuwezesha kilimo huo wa kufua umeme wake. za ndani ili kutimiza cha umwagiliaji kwa maji na kuwataka Waziri Mkuu ndoto ya Baba wa Taifa, kitakacholisha takribani Watanzania kulinda Mstaafu, Cleopa

Picha za matukio mbalimbali wakati wa ziara ya Viongozi Wakuu Wastaafu katika mradi wa Bwawa la Kufua Umeme wa Maji la Julius Nyerere(JNHPP), Julai 5,2021.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Agosti 1 - 31, 2021 HABARI 4 VIONGOZI WAKUU WASTAAFU WATEMBELEA MRADI WA JULIUS NYERERE

Msuya alimpongeza ambazo zitawakomboa trilioni mbili na sasa kilimo, umwagiliaji na Waziri wa Nishati Dkt. watanzania kiuchumi. Serikali inaendelea na utalii. Medard Kalemani na Waziri wa Nishati, maandalizi ya kuwalipa Vilevile, alieleza wataalamu wa Wizara Dkt. Medard Kalemani tena wakandarasi kuwa kupitia uzoefu wa ya Nishati kwa kujitoa alieleza kuwa hadi kwa hatua ya ujenzi usimamizi wa mradi huo na kuwajibika kikamilifu sasa mradi umefikia waliofikia. watanzania tumejifunza katika usimamizi wa asilimia 54.3 ambapo Aidha, alisema kwamba hata miradi ujenzi wa mradi huo. kazi kubwa za msingi mradi ukikamilika nchi mingine itakayoanza Naye,Waziri Mkuu zimeshafanyika na itakuwa na umeme wa Mstaafu Mhe. Mizengo asilimia zilizobaki kutosha, wa uhakika na kutekelezwa Pinda, aliwataka zitakamilika ndani ya wenye gharama nafuu itasimamiwa na watanzania kutumia miezi michache. hivyo ametoa wito kwa watanzania wenyewe mradi huo vizuri Alieleza kuwa,tayari wenye nia ya kuwekeza kwani wataalamu kwasababu utakuwa mkandarasi kujitokeza na kuwekeza wazawa wanao uwezo na fursa nyingi sana ameshalipwa zaidi ya kwenye shughuli za huo.

Picha za matukio mbalimbali wakati wa ziara ya Viongozi Wakuu Wastaafu katika mradi wa Bwawa la Kufua Umeme wa Maji la Julius Nyerere(JNHPP), Julai 5,2021.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Agosti 1 - 31, 2021 HABARI 5 Makatibu Wakuu waridhishwa na JNHPP, ujenzi wafikia 54% Zuena Msuya, Pwani kuwa Makatibu wakuu wote wanaohusika moja amati ya kwa moja na mradi huo, Uongozi ya wanaendelea kufanya Mradi wa kazi kwa kushirikiana Julius Nyerere kuhakikisha kila kitu inayoundwa kinatekelezeka kwa Kna Makatibu Wakuu wa wakati bila kikwazo Wizara 15, imeridhishwa chochote ili kuhakika na maendeleo ya ujenzi kuwa mradi huo wa mradi huo. utakamilika kama Naibu Katibu Mkuu ulivyopangwa Mwezi Kamati ya Uongozi ya mradi wa Julius Nyerere (JNHPP) Wizara ya Nishati, Kheri inayoundwa na Makatibu Wakuu wa Wizara 15, wakiwa katika Juni 2022. Mahimbali aliongoza picha ya pamoja baada kufanya ziara ya kukagua mradi huo, “Mradi huu kamati hiyo, Julai 13, Julai 13, 2021. unatekelezwa kwa 2021, wakati wa ziara ya Pwani. wamefarijika kuona kasi fedha zetu wenyewe makatibu wakuu hao ya watanzania,sisi Akizungumza kwa ya utekelezaji wa mradi kutembelea na kukagua makatibu wakuu niaba ya Makatibu huo ambao umefikia mradi huo wa kufua tunajukumu la umeme wa Megawati wakuu hao, Katibu asilimia 54 ya ujenzi wa kuusimamia ipasavyo 2,115 kwa kutumia Mkuu Ofisi ya Makamu maeneo muhimu ya katika utekelezaji wake maporomoko ya Maji wa Rais Mazingira, Marry mradi. kwa kuhakikisha kuwa ya Mto Rufiji, mkoani Maganga alisema kuwa Maganga alisema kila kitu kinaenda

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Kheri Mahimbali (wa pili kushoto) akisikiliza jambo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme ( TANESCO) Dkt. Tito Mwinuka, (wa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Kheri Mahimbali (katikati) pili kulia), wengine ni Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu akiwa na Kamati ya Uongozi ya Mradi wa Julius Nyerere (JNHPP), wa Wizara ya Nishati, Edward Ishengoma (kushoto) na Naibu wakipata maelezo ya mradi kutoka kwa Mhandisi Mkazi wa Mkurugenzi Mtendaji Uwekezaji wa TANESCO, Mhandisi Khalid mradi huo, Mhandisi John Mgeni,(pili kulia) walipofanya ziara ya James ( kulia) wakati wa ziara ya Kamati ya uongozi ya mradi wa kukagua mradi huo, Julai 13,2021. Julius Nyerere(JNHPP), Julai 13,2021. HABARI 6 Makatibu Wakuu waridhishwa na JNHPP, ujenzi wafikia 54% kama inavyotakiwa makuu, ikiwamo Kingo kurahisisha utekelezaji za Bwawa husika, wa mradi huo, kwa Tuta kuu la Bwawa, umoja wetu tunajivunia Kituo cha Kuchochea kuwa sehemu ya Umeme pamoja na kutekeleza mradi huu”, Nyumba ya kuendeshea alisema Maganga. Mitambo ya kuzalisha Kwa upande wake, umeme, mwezi Naibu Katibu Mkuu Novemba mwaka huu Wizara ya Nishati, Kheri tutaanza kujaza maji Mahimbali, aliwaeleza kwa ajili ya kuzalisha makatibu wakuu umeme kuanzia mwezi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Kheri Mahimbali hao kuwa, kwa kuwa akizungumza na Kamati ya uongozi ya mradi wa Julius juni 2022,” alisema Wizara ya Nishati ndiyo Nyerere(JNHPP),(hawapo pichani) walipofanya ziara ya kukagua Mahimbali. msimamizi mkuu wa mradi huo, Julai 13,2021. Naye Mkurugenzi utekelezaji wa mradi wataendelea ilivyoelekezwa katika Mtendaji wa Shirika huo itahakikisha la Umeme Tanzania kumsimamia ipasavyo makubaliano ya inakuwa bega kwa bega (TANESCO), Dkt. Tito mkataba wa utekelezaji. na wizara jumuishi mkandarasi aliyepewa Mwinuka aliwataka kuhakikisha mradi huo dhamana ujenzi “Utekelezaji wa watanzania kuvuta unakamilika kwa wakati. wa mradi huo ili JNHPP uko katika subira na kuwa na Aidha Mahimbali atekeleze majukumu hatua nzuri ya ujenzi imani na Serikali yao alisema kuwa yake ipasavyo kama katika maeneo yote kwakuwa mradi huo

Viongozi waandamizi kutoka Wizara ya Nishati, wakifuatilia maelezo ya utekelezaji wa mradi wa Julius Nyerere( JNHPP), kutoka kulia ni Mhandisi Salum Inegeja, Mkurugenzi wa Manunuzi Sharif Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania( TANESCO) Fadhili, Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu, Ziana Mlau Dkt. Tito Mwinuka, (kulia) akitoa maelezo ya maendeleo ya ujenzi na Mhasibu Mkuu Michael Marandu, wakati wa ziara ya Kamati ya wa mradi wa Julius Nyerere(JNHPP),kwa Kamati ya uongozi ya uongozi ya mradi wa Julius Nyerere(JNHPP), Julai 13,2021. mradi huo walipofanya ziara, Julai 13,2021. HABARI 7 Makatibu Wakuu waridhishwa na JNHPP, ujenzi wafikia 54% unatekelezeka na utazalisha umeme kama ilivyokusudiwa. Aliwaeleza watanzania kuwa mradi huo utakapokamilika utawezesha umeme kuwa mwingi, wa uhakika na kwa gharama nafuu, vilevile hata kuuza nje ya nchi kwa watakaohitaji. Kamati hiyo ilitembelea na kukagua maeneo mbalimbali ya utekelezaji wa Mradi huo ambayo ni Handaki la Kuchepusha Kamati ya Uongozi ya Mradi wa Julius Nyerere(JNHPP), wakitazama eneo linalojengwa nyumba ya Maji ya Mto, Kingo za kuendeshea mitambo ya kuzalisha umeme walipofanya ziara ya kukagua mradi huo, Julai 13,2021. Bwawa husika, Tuta kuu la Bwawa, Kituo kuendeshea Mitambo na kukagua Daraja la ya kuzalisha umeme, cha Kuchochea Umeme ya kuzalisha umeme. Kudumu, Barabara, pamoja na eneo la pamoja na Nyumba ya Aidha walitembelea Njia ya kupitisha maji ufungaji wa mitambo.

Sehemu ya ujenzi wa daraja la kudumu ukiendelea, daraja hilo Ujenzi ukiendelea katika Mahandaki Tisa ya kupekeleka maji litakuwa la pili kwa ukubwa katika Mto Rufiji likitanguliwa na lile katika mitambo ya kuzalisha umeme katika mradi wa Julius la Mkapa. Nyerere (JNHPP). HABARI 8

vimeshapelekewa RAIS SAMIA KUVUNJA REKODI umeme; na vilivyobakia takribani vijiji 1,956 AFRIKA UMEME VIJIJINI ndivyo vinapelekewa katika mradi huu,” alibainisha Waziri. Akieleza zaidi, Dkt Kalemani alisema mafanikio hayo makubwa yametokana na uongozi mzuri wa Rais Samia ambaye Serikali anayoiongoza imedhamiria kwa dhati kuleta maendeleo kwa wananchi. Awali, akielezea utekelezwaji wa Mradi huo katika Mkoa wa Mara, Mkurugenzi Mkuu Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme Vijijini, Awamu ya Tatu, Mzunguko wa Pili, Mkoa wa Mara, uliofanyika katika wa Wakala wa Nishati kijiji cha Kitunguruma, Kata ya Mbaribari, wilayani Serengeti, Julai 8 mwaka huu. Vijijini (REA), Mhandisi Veronica Simba na Pili, Ngazi ya Mkoa, Hafsa Omar - Mara iliyofanyika katika kijiji cha Kitunguruma, Kata ais wa Jamhuri ya Mbaribari, wilayani ya Muungano Serengeti, Mkoa wa wa Tanzania, Mara, Julai 8 mwaka Samia Suluhu huu. Hassan Akifafanua, Dkt. Ranatarajiwa kuvunja Kalemani alieleza kuwa rekodi kwa Marais Tanzania inatarajiwa wote wa Afrika katika kuandika historia ya uunganishaji umeme kuunganisha umeme vijijini. katika vijiji vyote vya Waziri wa Nishati Tanzania Bara ifikapo Dkt. Medard Kalemani Disemba 2022 hivyo amebainisha hayo kuongoza katika Bara la wakati akizungumza Afrika kufikia mafanikio na wananchi katika hayo. Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi hafla ya uzinduzi wa Amos Maganga, akipunga mikono kuwasalimu wananchi wa kijiji “Tulianza utekelezaji cha Gibaso, Kata ya Kwihancha, wilayani Tarime, Mkoa wa Mara, Mradi Kabambe wa wa miradi hii katika ambapo Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani (hayupo pichani) Kusambaza Umeme ngazi ya wilaya, kisha alisimama kuzungumza nao baada ya kuzindua Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme Vijijini, Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili, Vijijini, Awamu ya vijiji ambapo hadi sasa Ngazi ya Mkoa, uliofanyika katika kijiji cha Kitunguruma wilayani Tatu Mzunguko wa zaidi ya vijiji 10,312 Serengeti, Julai 8, 2021.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Agosti 1 - 31, 2021 HABARI 9

ya usambazaji umeme RAIS SAMIA KUVUNJA REKODI vijijini na kuahidi kuwa wananchi wao wako AFRIKA UMEME VIJIJINI tayari kupokea umeme na kuutumia kwa nyakati tofauti, Mbunge shughuli za maendeleo. wa Serengeti Amsabi Hafla hiyo ya uzinduzi Mrimi na Mbunge wa ilihudhuriwa na Tarime Vijijini Mwita viongozi mbalimbali wa Waitara, waliipongeza Serikali, vyama vya siasa Serikali kwa kazi nzuri na wananchi.

Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani akizungumza na wananchi wa kijiji cha Gibaso, Kata ya Kwihancha, wilayani Tarime, Mkoa wa Mara, baada ya kuzindua Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme Vijijini, Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili, Ngazi ya Mkoa, uliofanyika katika kijiji cha Kitunguruma wilayani Serengeti, Julai 8, 2021. Amos Maganga, kuvifikishia umeme alibainisha kuwa vijiji 45 vya Mkoa huo Wananchi wa Kijiji cha Kitunguruma, Kata ya Mbaribari, wilayani Serengeti, Mkoa wa Mara, wakimsikiliza Waziri wa Nishati Dkt. utagharimu takribani ambavyo ndivyo pekee Medard Kalemani (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza shilingi bilioni 9.63 vilivyosalia kati ya vijiji nao wakati wa hafla ya uzinduzi rasmi wa Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme Vijijini, Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili, Aidha, aliongeza vyake vyote 459. Ngazi ya Mkoa, uliofanyika katika kijiji hicho, Julai 8, 2021. kuwa Mradi umelenga Wakizungumza kwa

Wananchi wa Kijiji cha Gibaso, Kata ya Kwihancha, wilayani Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani akiwatambulisha Tarime, Mkoa wa Mara, wakimsikiliza Waziri wa Nishati Dkt. wakandarasi, Kampuni ya Gizal Cable Industries Ltd, Medard Kalemani (hayupo pichani) aliyesimama kuzungumza nao watakaotekeleza Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme baada ya kuzindua rasmi Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme Vijijini, Awamu ya Tatu Mzunguko wa Kwanza, Mkoa wa Mara. Vijijini, Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili, Ngazi ya Mkoa, katika Waziri alizindua rasmi Mradi huo Ngazi ya Mkoa katika kijiji cha hafla iliyofanyika katika kijiji cha Kitunguruma, Kata ya Mbaribari, Kitunguruma wilayani Serengeti, Julai 8, 2021. wilayani Serengeti, Julai 8, 2021.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Agosti 1 - 31, 2021 HABARI 10 NAIBU WAZIRI BYABATO AZINDUA MRADI WA REA III MZUNGUKO WA PILI TANGANYIKA

Serikali imewapunguzia Naibu Waziri Byabato wananchi gharama alimtaka mkandarasi ya kuunganishiwa wa Mradi kuhakikisha umeme kutoka shilingi anawaunganishia 177,000 hadi shilingi umeme wateja wote bila 27,000 tu kwa wateja kujali aina ya nyumba wa umeme wa njia anayoishi na kutoa moja na kwa wateja kipaumbele kwa taasisi wa umeme wa njia tatu na maeneo yanayotoa kutoka shilingi 912,000 huduma za kijamii kama hadi shilingi 139,500 ili vile vituo vya afya, shule, Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Wakili Stephen Byabato kuwawezesha wananchi nyumba za ibada, ofisi akizungumza na wanakijiji cha Ilangu wakati wa uzinduzi wa kuunganishiwa umeme. za Serikali, visima vya Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme vijijini Awamu ya III Mzunguko wa pili katika kijiji cha Ilangu, kata ya Ilangu, tarafa ya Alisema, kwa maji pamoja na viwanda Kabungu, wilaya ya Tanganyika, mkoa wa Katavi tarehe 13 Julai mwananchi ambaye vidogo ambavyo 2021. atakuwa hajakamilisha vitachangia kasi ya Na Dorina G. Makaya - kuvipelekea umeme kupata pesa kamili maendeleo katika eneo Katavi vijiji 25 vya wilaya ya za kulipia anaweza husika na Taifa kiujumla. Tanganyika. kulipa kidogo kidogo Alieleza kuwa, aibu Waziri Alisema, kwa ndani ya kipindi cha kupatikana kwa wa Nishati kijiji cha Ilangu peke Mradi wa eneo husika umeme katika kata , Wakili yake, takriban shilingi na atakapokamilisha ya Ilangu pamoja na Stephen milioni 618 zitatumika ataunganishiwa umeme. maeneo mengine ya Byabato kuunganisha umeme. amefanya uzinduzi wa N Alisema, Serikali Mradi Kabambe wa inatambua umuhimu Kusambaza Umeme wa upatikanaji umeme vijijini Awamu ya III nchi nzima na kuwa Mzunguko wa pili upatikanaji wa umeme katika kijiji cha Ilangu, vijijini utachangia kata ya Ilangu, tarafa kuongezeka kwa kasi ya Kabungu, wilaya ya ya uanzishwaji wa Tanganyika, mkoa wa viwanda vya uchakataji Katavi. wa mazao na kuwa Akizungumza tarehe kichocheo cha ukuaji 13 Julai, 2021,wakati wa biashara na uchumi wa hafla ya uzinduzi, kiujumla. Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Wakili Stephen Byabato (wa pili Naibu Waziri Byabato Naibu Waziri Byabato kulia) akizindua Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme vijijini Awamu ya III Mzunguko wa pili katika kijiji cha Ilangu, kata ya alisema, zaidi ya shilingi aliwaambia wanakijiji Ilangu, tarafa ya Kabungu, wilaya ya Tanganyika, mkoa wa Katavi bilioni 15 zitatumika cha Ilangu kuwa, tarehe 13 Julai 2021.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Agosti 1 - 31, 2021 HABARI 11 UmemeNAIBU WAZIRI wa JNHPP BYABATO kuanza AZINDUA kutumika MRADI Juni 2022 WA REA III MZUNGUKO WA PILI TANGANYIKA

kusema kuwa, hatua hiyo itachangia katika kuongezeka kwa kasi ya maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika. Naye mbunge wa Jimbo la Tanganyika Mkoa wa Katavi Mhe. aliwataka wanakijiji cha Ilangu na wananchi wote wa jimbo la Tanganyika kuitumia vema fursa ya Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Wakili Stephen Byabato (wa pili kulia) akimtambulisha mkandarasi wa umeme jimboni humo ujenzi wa umeme kwa wanakijiji cha Ilangu wakati wa Uzinduzi wa Mradi Kabambe wa Kusambaza ili kujiletea maendeleo. Umeme vijijini Awamu ya III Mzunguko wa pili katika kijiji cha Ilangu, kata ya Ilangu, tarafa ya Kabungu, wilaya ya Tanganyika, mkoa wa Katavi tarehe 13 Julai 2021. Jumla ya shilingi bilioni 24.7 zitatumika vijiji ambavyo bado mbinu ya umeme na Romuli, aliishukuru kuviunganishia umeme havijaunganishiwa kubainisha kuwa, Mradi Serikali kwa uamuzi wa vijiji 53 ambavyo bado umeme, kutachochea wa REA hauna fidia. kuvipelekea umeme vilikuwa havijapata ukuaji wa viwanda Aliwaomba wananchi vijiji vya Halmashauri umeme katika mkoa wa vikiwemo vya kuchakata wa eneo la mradi kutoa ya Tanganyika na Katavi mazao, vya kusaga na ushirikiano katika vya uchomeleaji. kipindi chote cha Naibu Waziri Byabato utekelezaji wa mradi na alisema, ili kuwaondolea kuwataka kutumia fursa adha ya kusafiri hiyo kujipatia ajira za umbali mrefu kwenda muda. kulipia gharama za Aliwaasa wanakijiji kuunganishiwa umeme, hao, kuepuka tabia Serikali imemuelekeza ya kuharibu miundo Mkandarasi kufungua mbinu ya umeme ili ofisi katika eneo kuhakikisha umeme linalotekelezwa mradi unaendelea kupatikana. Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Wakili Stephen Byabato akiwa katika na kuwa hakuna Akizungumza wakati picha ya pamoja na viongozi mbalimbali wa Halmashauri ya mwananchi anayetakiwa wa hafla ya uzinduzi Wilaya ya Tanganyika, baadhi ya watumishi wa Wizara ya Nishati, kulipia nguzo. huo, Mkurugenzi wa TANESCO na REA mara baada ya uzinduzi wa Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme vijijini Awamu ya III Mzunguko wa pili katika Aliwaasa wananchi Halmashauri ya Wilaya kijiji cha Ilangu, kata ya Ilangu, tarafa ya Kabungu, wilaya ya kutunza miundo ya Tanganyika Rojers Tanganyika, mkoa wa Katavi tarehe 13 Julai 2021.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Agosti 1 - 31, 2021 HABARI 12 Nishati inaakisi Kauli Mbiu ya Maonesho ya Sabasaba- Mahimbali baadhi ya mabanda ya washiriki wa Maonesho hayo katika viwanja vya Mwalimu Nyerere, mkoani Dar es Salaam, Julai 4, 2021, ambapo aliambatana na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Hashil Abdallah Alifafanua kuwa nishati inaakisi kauli mbiu ya Maonyesho hayo kwa kuwa vitu vyote vilivyolengwa katika kauli mbiu hiyo Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Kheri Mahimbali na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda vinategemea zaidi na Biashara, Dkt. Hashil Abdallah wakipata maelezo mara baada ya kutembelea Banda la Wizara ya Nishati pamoja na Taasisi zake katika Maonesho ya Kimataifa ya Biashara yaliyofanyika jijini Dar es uwepo wa nishati Salaam, Julai 4,2021. ya uhakika katika Teresia Mhagama na Zuena Msuya, DSM

aibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Kheri Mahimbali Namesema sekta ya nishati inaakisi kauli mbiu ya Maonesho ya 45 ya Kimataifa ya Biashara ambayo ni Uchumi wa Viwanda kwa Ajira na Biashara Endelevu. Mahimbali alisema Mhandisi Mitambo kutoka Kampuni ya Uendelezaji Jotoardhi Tanzania (TGDC), Amani Christopher akiwaonesha Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Kheri Mahimbali na Naibu Katibu Mkuu Wizara hayo wakati wa ziara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Hashil Abdallah modeli ya Mtambo wa Matumizi ya Jotoardhi katika yake ya kutembelea Maonesho ya Kimataifa ya Biashara yaliyofanyika jijini Dar es Salaam, Julai 4,2021.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Agosti 1 - 31, 2021 HABARI 13 Nishati inaakisi Kauli Mbiu ya Maonesho ya Sabasaba- Mahimbali

Kaimu Meneja Miradi, Mipango na Utafiti kutoka Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Jensen Mahavile akitoa maelezo kwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Kheri Mahimbali na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Hashil Abdallah masuala ya umeme vijijini mara baada ya kutembelea banda la Wakala wa Nishati Vijijini (REA) katika Maonesho ya Kimataifa ya Biashara yaliyofanyika jijini Dar es Salaam, Julai 4,2021. utekelezaji wake. “Nimefarijika sana kutembelea maonesho haya ya Sabasaba, nimewasikiliza wafanyabiashara kila mmoja kwa nafasi yake amekuwa akizungumzia nishati ya Umeme kwa namna ambavyo anaitumia kuboresha Biashara yake kwa namna moja ama nyingine kwa maeneo ya vijijini ni Mijini”, alisema Mahimbali Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Kheri Mahimbali na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Hashil Abdallah wakiangalia majiko yanayotumia teknolojia ya sumaku katika Banda Aliongeza kuwa, la Wakala wa Nishati Vijijini katika Maonesho ya Kimataifa ya Biashara yaliyofanyika jijini Dar es inadhihirisha wazi kuwa Salaam, Julai 4,2021.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Agosti 1 - 31, 2021 HABARI 14 Nishati inaakisi Kauli Mbiu ya Maonesho ya Sabasaba- Mahimbali nishati ya Umeme ni watanzania kuwa mkombozi mkubwa wafike katika mabanda wa ukuaji wa uchumi hayo ili kuona wa nchi na mwananchi mfano wa bwawa mmoja mmoja. kubwa la kuzalisha Aidha aliwaasa umeme wa megawati watanzania kujitokeza 2,115 kwa kutumia kwa wingi kutembelea maporomoko ya maji Banda la Nishati ya Mto Rufiji, pamoja pamoja na Taasisi zake, na kupata maelezo ili kuona, kujifunza ya namna mradi huo na kupata uelewa unavyotekelezwa na zaidi juu ya shughuli hatua iliyofikiwa hadi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Kheri Mahimbali na Naibu zinazofanywa na wizara sasa katika ujenzi wake. Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Hashil Abdallah wakiangalia mita za umeme zinazozalishwa hapa nchini katika pamoja na Taasisi zake. Aliongeza kuwa Maonesho ya Kimataifa ya Biashara yaliyofanyika jijini Dar es Vilevile aliwaeleza katika maonesho hayo, Salaam, Julai 4,2021.

Mhandisi Mradi kutoka mradi wa umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) akitoa maelezo kwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Kheri Mahimbali na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Hashil Abdallah kuhusu mradi huo katika Maonesho ya Kimataifa ya Biashara yaliyofanyika jijini Dar es Salaam, Julai 4,2021.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Agosti 1 - 31, 2021 HABARI 15 Nishati inaakisi Kauli Mbiu ya Maonesho ya Sabasaba- Mahimbali alitembelea mabanda mbalimbali ikiwepo la Wizara ya Nishati na taasisi zilizochini yake ambazo ni Shirika la Umeme Tanzania( TANESCO), Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Kampuni ya Uendelezaji Joto Ardhi ( TGDC), Wakala wa Uagizaji wa Mafuta kwa Pamoja( PBPA), Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Kheri Mahimbali (kushoto) akimkabidhi Naibu Katibu Mkuu na Mamlaka ua Udhibiti Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Hashil Abdallah vitabu vya Sera ya Nishati pamoja Mpango Kabambe wa Umeme mara baada ya kutembelea banda la Wizara ya Nishati katika Maonesho ya wa Mkondo wa Juu wa Kimataifa ya Biashara yaliyofanyika jijini Dar es Salaam, Julai 4,2021. Petroli (PURA). watanzania wameona namna ambavyo Joto Ardhi linavyozalisha umeme kwa kutumia mvuke unaotoka chini ya ardhi. Pia, aliwakumbusha watanzania kutumia nishati ya Umeme katika kujiletea maendeleo kwa kuwa serikali inatumia nguvu kubwa kuhakikisha kuwa nishati hiyo inasambazwa nchi nzima kwa gharama nafuu. Akiwa katika viwanja Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Kheri Mahimbali, akisaini kitabu cha wageni baada hivyo vya Mwalimu kutembelea Banda la Mamlaka ya Udhibiti wa Mkondo wa Juu wa Petroli( PURA) katika Maonesho ya Nyerere, Mahimbali Kimataifa ya Biashara yaliyofanyika jijini Dar es Salaam, Julai 4,2021.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Agosti 1 - 31, 2021 HABARI 16 WATANZANIA WATAKIWA KUTUMIA FURSA ZA UJENZI BOMBA LA MAFUTA

Hafsa Omar-Kagera uliofanyika katika Wilaya ya Misenyi, mkoani aziri wa Kagera. Nishati, Dkt. Kalemani alizitaja Dkt. baadhi ya fursa hizo Medard kuwa ni ujenzi wa viwanda mbalimbali WKalemani amewataka vitakavyozalisha bidhaa wananchi watakaopitiwa ambazo zitatumika na ujenzi wa Bomba la katika ujenzi wa mradi. Mafuta Ghafi la Afrika Pia, alisema Mashariki (EACOP) Watanzania zaidi ya kujitokeza na kuzitumia 15,000 wataajiriwa katika Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Charles Mbuge fursa mbalimbali ambazo kipindi cha ujenzi wa akizungumza katika wa Mkutano na wadau kujadili fursa za mradi zitapatikana wakati wa bomba hilo na kuwataka wa ujenzi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), uliofanyika katika Wilaya ya Misenyi, Mkoani Kagera Julai 17,2021. ujenzi wa bomba hilo. kuchangamkia fursa Aliyasema hayo, ya kufanya biashara wananchi wajibu wao ili kuwa zaidi ya asilimia Julai 17, 2021 wakati mbalimbali ambazo waweze kushiriki katika 80 ya kazi za mradi wa mkutano na wadau zitawaingizia kipato. shughuli mbalimbali huo zitafanywa na mbalimbali kujadili Alisema, lengo la wakati wa ujenzi husika, Watanzania. fursa za Mradi wa Ujenzi mkutano huo ni kujenga ambapo ameeleza “Mradi huo wakati wa Bomba la Mafuta, uelewa na kuwaeleza

Mwakilishi wa Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Petro Marwa (kushoto) Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) Dkt. James Mataragio(katikati) wakimsikiliza Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani akizungumza katika wa Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani(hayupo pichani) wakati Mkutano na wadau kujadili fursa za mradi wa ujenzi wa Bomba wa Mkutano na wadau kujadili fursa za mradi wa ujenzi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), uliofanyika katika la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), uliofanyika katika Wilaya ya Misenyi, Mkoani Kagera Julai 17,2021. Wilaya ya Misenyi, Mkoani Kagera Julai 17,2021.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Agosti 1 - 31, 2021 HABARI 17 WATANZANIA WATAKIWA KUTUMIA FURSA ZA UJENZI BOMBA LA MAFUTA

wa ujenzi utatoa fursa kwa Watanzania wengi, tunawaomba Watanzania kuchukua nafasi hii kuwekeza katika sekta mbalimbali, na kwa wale ambao hawana mtaji tunaongea na mabenki ili waweze kuwakopesha mikopo ya masharti nafuu.”alisema Aidha, alisema utekelezaji wa mradi umeanza na upo kwenye hatua za mwisho za ulipaji wa fidia na baadhi ya maeneo tayari ujenzi wa barabara za kuelekea kwenye mradi umeanza. Aliongeza kuwa, ujenzi wa mradi huo utachukua takribani miaka mitatu na utagharimu dola za kimarekani bilioni 3.5 Waziri Kalemani, pia alieleza manufaa ya mradi huo kwa kufafanua kuwa katika Mikoa ya Singida, Tabora na Simiyu, maeneo hayo ambayo bomba linapita yanatarajiwa nayo kutoa mafuta ambapo alisema nchi itatumia bomba hilo kupitisha mafuta hayo. Pia, aliwataka wananchi kutoa Washiriki wakisikiliza mada mbalimbali zilizotolewa katika Mkutano wa wadau kujadili fursa za ushirikiano wa kutosha mradi wa ujenzi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), uliofanyika katika Wilaya ya Misenyi, Mkoani Kagera Julai 17,2021. kwa Serikali pamoja na

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Agosti 1 - 31, 2021 HABARI 18 WATANZANIA WATAKIWA KUTUMIA FURSA ZA UJENZI BOMBA LA MAFUTA wawekezaji na kushiriki Vilevile, alisema kutoka kwenye mataifa Charles Mwijage katika ulinzi wa bomba atahakikisha mradi ya jirani. aliwataka wananchi hilo. utajengwa na Pia, alisema kuwa kujitokeza kwa wingi Kwa upande wake, kusimamiwa kwa uongozi wa Mkoa huo kuchukua fursa Mkuu wa Mkoa wa umakini, na mataifa utahakikisha mradi huo mbalimbali ambazo Kagera Meja Jenerali mengine yatajua kuwa unalindwa na utakuwa zitapatikana kwenye Charles Mbuge alisema, Watanzania ni watu kuwa salama mda ujenzi wa mradi na ujenzi wa mradi huo makini na wazalendo wote wa ujenzi na hata kuwataka kujivunia utainua uchumi wa Mkoa na hilo litasadia nchi ukikamilika. ujenzi huo kwani wa Kagera na kwa nchi kuendelea kupata fursa Naye, Mbunge wa unaenda kuwasaidia kiujumla. mbalimbali za miradi Muleba Kaskazini, kujikwamua kiuchumi.

Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali Mkoa wa Kagera na Wizara mara baada kumaliza kwa Mkutano wa wadau kujadili fursa za mradi wa ujenzi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), uliofanyika katika Wilaya ya Misenyi, Mkoani Kagera, Julai 17, 2021

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Agosti 1 - 31, 2021 HABARI 19 Kituo cha kupoza Umeme kujengwa Kongwa Na Zuena Msuya, wa umeme katika wilaya tayari eneo la ukubwa wa Ujenzi wa kituo hicho Dodoma hiyo na maeneo jirani. Hekari 130 limepatikana unatarajiwa kuanza Dkt. Kalemani ambalo litatumika kutekelezwa mapema aziri wa alisema hayo wakati wa kujenga kituo hicho, mwezi Septemba mwaka Nishati, ziara yake ya kikazi ya kitakachokuwa na uwezo huu 2021. Dkt. kukagua miundombinu wa kufua umeme wa “Tuna umeme Medard ya umeme ikiwa ni Kilovoti 220. mwingi sana Mkoa wa pamoja na kutembelea Aidha alisema kuwa Dodoma, lakini kuna WKalemani amesema eneo litakalojengwa tayari zaidi ya shilingi changamoto kubwa Serikali itajenga kituo kituo hicho lililopo katika milioni 63 zimetengwa ya kukatika umeme na kikubwa cha kupoza Kijiji cha Machenje Kata kwa ajili ya kuwalipa wenye nguvu ndogo Umeme katika Wilaya ya Ugogoni Wilayani fidia wakazi wa eneo katika maeneo yote ya ya Kongwa ili kumaliza ya Kongwa mkoani hilo watakaopisha ujenzi Wilaya ya Kongwa, hii tatizo la kukatika umeme Dodoma,Julai 27,2021. wa mradi husika ambao inatokana na umeme mara kwa mara na Katika ziara hiyo, Dkt. utagharimu kiasi cha huo kusafiri umbali kuboresha upatikanaji Kalemani alisema kuwa shilingi Bilioni 41.2. mrefu kutoka kituo cha

Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani(kulia) akizungumza na wakazi wa Kibaigwa wakati wa ziara yake ya kukagua miundombinu ya umeme katika Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma, Julai 27, 2021.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Agosti 1 - 31, 2021 HABARI 20 Kituo cha kupoza Umeme kujengwa Kongwa

Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani (katikati), Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Antony Mtaka (kushoto) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mbunge wa Kongwa, ( kulia) akizungumza na wakazi wa Kijiji cha Machenje kitakapojengwa kituo cha kufua umeme cha Kongwa, wakati wa ziara ya Waziri wa Nishati ya kukagua miundombinu ya umeme katika wilaya hiyo, mkoani Dodoma, Julai 27, 2021. Zuzu hadi kufika huku tatizo la kukatika mkoani Ruvuma kuja mengine jirani. takribani kilomita 120 na umeme mara kwa Dodoma na kufungwa Ujenzi wa njia hiyo ya mzunguko ni takribani mara katika maeneo katika eneo la Mbande. umeme umefikia zaidi ya Kilomita 2000, suluhisho ya Mbande, Kibaigwa, Sambamba na hilo 55%. la kudumu ni ujenzi wa Kongwa, Mpwapwa na kazi ya Ujenzi wa Njia Kufuatia utekelezaji kituo cha kufua umeme Kiteto, ndani ya wiki ya kusafirisha Umeme wa miradi hiyo, aliwataka ambacho kitamaliza hii kitafungwa kifaa wa kV 220 inaendelea wakazi wa maeneo hayo kabisa tatizo hilo na maalum, kinachojulikana kujengwa kutoka Zuzu kuvuta subira wakati kuwa historia, hasa katika kama AVR ili kuuongeza kupitia Mpunguzi hadi tatizo la kukatika Umeme Viwanda, Wafanyabiasha nguvu ya Umeme katika kufika wilayani humo na kusambaza Umeme na watumiaji wengine”, maeneo hayo. ili kupunguza tatizo la katika maeneo ambayo alisema Dkt. Kalemani Dkt. Kalemani kukatika kwa umeme hayakufikiwa likitatuliwa Hata hivyo alisema alifafanua kuwa kifaa mara kwa mara katika hivi karibu. kuwa, katika kutatua hicho tayari kimeshatoka maeneo tajwa na Aidha aliweka wazi

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Agosti 1 - 31, 2021 HABARI 21 Kituo cha kupoza Umeme kujengwa Kongwa kuwa kuanzia mwaka maeneo hayo. cha kupoza umeme kuwa una wakandarasi 3 wa fedha ujao, mkoa wa Akizungumzia walinzi wa kituo hicho ambao watatekeleza Dodoma utagawanywa suala la usambazaji na kutoa ushirikiano kwa mradi wa kusambaza Kitanesco na kuwa kama wa umeme vijijini, Dkt. watakaotekeleza kazi umeme katika vijiji majiji mengine ikiwemo Kalemani alimtaka hiyo. vyote vilivyosalia kwa Dar es Salaam kwa mkandarasi kuongeza Vilevile aliwataka kipindi cha miezi 12 na lengo la kuimarisha na kasi katika kutekeleza wakazi wa maeneo kwa gharama ya shilingi kuboresha huduma za kazi hiyo na kwamba ambayo bado 27,000 tu. umeme kwa wateja. wananchi wote waliolipia hayajafikiwa na umeme Mkoa wa Dodoma Vilevile alitumia ziara waunganishiwe umeme kujiandaa kuupokea hiyo kukipandisha hadhi kwa wakati. umeme huo kwa kwa sasa unaongoza kituo cha umeme cha Kwa upande wake, kutandaza nyaya katika kwa kuwa na megawati Kibaigwa kuwa kituo cha Mkuu wa Mkoa wa nyumba zao pamoja na zaidi ya 640 za umeme Wilaya ili kuimarisha na Dodoma, Antony Mtaka kulipia ili kuwa tayari ukifuatiwa na mkoa wa kuboresha upatikanaji aliwataka wakazi wa kuunganishiwa umeme. Dar es Salaam wenye wa umeme katika eneo litakalojegwa kituo Mkoa wa Dodoma megawati zaidi ya 500.

Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani (pili kushoto), Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Antony Mtaka (tatu kushoto ) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai (nne kushoto) pamoja na viongozi wengine wakiwasili katika Kijiji cha Mbande, kutakapofungwa kifaa cha AVR wakati wa ziara ya kukagua miundombinu ya umeme katika wilaya ya Kongwa, mkoani Dodoma, Julai 27, 2021.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Agosti 1 - 31, 2021 HABARI 22 ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 42 KUBORESHA UMEME TABORA – BYABATO kupozea na kusambaza umeme cha Kiloleni kilichopo Tabora mjini, mkoani Tabora. Naibu Waziri Byabato alisema, Tabora ni mkoa wa kimkakati wenye fursa nyingi za maendeleo ikiwemo migodi, kilimo na viwanda hivyo, unahitaji kuwa na umeme wa uhakika kuwezesha shughuli za kiuchumi kufanyika kwa kasi. Aliongeza kuwa, umeme wa uhakika mkoani Tabora utawezesha uendeshaji Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Stephen Byabato akizungumza na Waandishi wa Habari alipotembelea kituo cha kupozea na kusambaza umeme cha Kiloleni kilichopo Tabora mjini, mkoani Tabora tarehe wa treni ya kisasa 10 Julai, 2021. (Standard Gauge)

Na Dorina G. Makaya - Tabora

aidi ya shilingi bilioni 42 zimetengwa na Serikali kwa ajili ya Zkuboresha kituo cha kupozea na kusambaza umeme cha Kiloleni, wilayani Tabora mjini, mkoani Tabora ili kuimarisha huduma ya umeme mkoani humo. Hayo yalisemwa na Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Stephen Byabato tarehe 10 Julai, 2021 Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Stephen Byabato akipata maelezo kutoka kwa msimamizi wa Kituo cha Kiloleni Frank Chengula namna chombo cha kuongozea mitambo kinavyofanya kazi kituoni hapo alipotembelea kituo cha tarehe 10 Julai, 2021.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Agosti 1 - 31, 2021 HABARI 23 ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 42 KUBORESHA UMEME TABORA – BYABATO

Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Stephen Byabato akipata maelezo kutoka kwa Mhandisi Mwandamizi wa Mifumo ya Umeme wa Kanda ya Magharibi TANESCO, Yahya Ngasongwa kuhusu upokeaji na usambazaji wa umeme kituoni hapo tarehe 10 Julai, 2021. ambayo uzinduzi wa na megawati 24 kilianza 9 vinavyotarajiwa Aidha, Naibu Waziri shughuli za ujenzi wake kazi mwaka 1989 hivyo kuboreshwa mkoani Byabato alieleza unatarajiwa kufanyika ni muhimu kukiboresha Tabora ili kuwa na hivi karibuni. ili kiwe na umeme wa umeme wa uhakika. kuridhishwa kwake Naibu Waziri Byabato uhakika na kuwa fedha Vilevile, Naibu na utendaji wa Ofisi alieleza kuwa, kituo cha zilizotengwa zitapelekea Waziri Byabato aliagiza ya TANESCO Mkoa wa kupozea na kusambaza kituo hicho kuwa na kutengenezwa kwa Tabora na kuwataka umeme cha Kiloleni, megawati 72. transfoma iliyoharibika kinachopokea umeme Aidha, Naibu Waziri ndani ya Mwezi Julai, waendelee kufanya kutoka mkoa wa Byabato alibainisha 2021 ili kuongeza nguvu kazi kwa kasi, ubunifu Shinyanga na kusambaza kuwa, Kituo cha ya umeme kituoni na usahihi ili kufikia katika wilaya za Tabora, kupozea na kusambaza Kiloleni licha ya kuwa Sikonge, Urambo, umeme cha Kiloleni ni kuna transfoma moja malengo ya Kitaifa katika Kaliua na Uyui kikiwa miongoni mwa vituo inayofanya kazi. sekta ya Nishati.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Agosti 1 - 31, 2021 HABARI 24 DKT KALEMANI AAGIZA TRANSFOMA ZITOKE BANDARINI Hafsa Omar-Dar es kufua umeme wa maji la Salaam Julius Nyerere(JNHPP). Aliyasema hayo, 4 aziri wa Julai, 2021 wakati wa Nishati, ziara ya kushtukiza Dkt. kwenye Bandari ya Dar es Medard Salaam. Katika ziara hiyo, WKalemani, amesema aliambatana na ifikapo tarehe 12 mwezi Naibu Katibu Mkuu huu transfoma zote sita wa Wizara ya Nishati, ambazo zipo Bandari Kheri Mahimbali na ya Dar es Salaam ziwe Mkurugenzi Mtendaji zimeshasafirishwa wa TANESCO, Dkt. Tito Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani, akizungumza na kwenda kwenye ujenzi Mwinuka. waandishi wa Habari mara baada ya kumaliza kufanya ziara ya wa mradi wa bwawa la Dkt. Kalemani,alisema kushtukiza katika bandari ya Dar es Saalam, Julai 4,2021.

Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani,(kushoto) Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Kheri Mahimbali(katikati) wakiwasili katika Bandari ya Dar es Salaam kwaajili ya ziara ya kushtukiza, Julai 4,2021.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Agosti 1 - 31, 2021 HABARI 25 DKT KALEMANI AAGIZA TRANSFOMA ZITOKE BANDARINI amefanya ziara hiyo niseme sitavumilia hii ili kujua sababu hali, huu mradi wenyewe ambazo zimepelekea ni wa haraka haraka kucheleweshwa kwa kila mmoja anauhitaji kuondolewa kwa kwahiyo hatutavumilia Transfoma hizo katika mtu yoyote bandari hiyo, ambapo atucheleweshe,”alisema. zinatakiwa kupelekwa Aidha, aliwataka katika mradi wa Julius waatalam wote ambao Nyerere ili kuendelea na wanahusika na nyaraka ujenzi wa mradi huo. ambazo zinahusika na Alieleza kuwa, mwezi uletaji wa vifaa nchini, uliopita alipotembelea wakizipata nyaraka mradi wa Julius Nyerere hizo waanze maramoja Transfoma ikiwa tayari imepakiwa kwenye gari kwaajili ya alihakikishiwa kuwa taratibu zote za utoaji wa kupelekwa katika mradi wa bwawa la kufua umeme wa maji la Julius Nyerere(JNHPP). transfoma hizo zitafika mizigo bandarini. kwa wakati katika mradi Pia, aliwataka hizo kwa haraka. kutosha na mkandarasi huo lakini mpaka sasa watumishi wa bandari “Hatutaki kuona vifaa hadai chochote kwahiyo bado zipo bandarini. kutoa ushirikiano kwa vinavyokwenda kwenye “ hizi Transfoma Wizara ili kuweza kutatua hivi vifaa vinatakiwa miradi vinakaa bandarini, zimekwamishwa na changamoto zozote kuwa kwenye mradi ili mahala pake pa kukaa nini , kwanini zimalize ambazo zitajitokeza na mkandarasi aendelee mwezi mzima bandarini kuwataka kuwasiliana sio bandarini ni kwenye na wakati zilitakiwa na viongozi wa Wizara ili miradi na Mhe. Rais na kazi,” alisisitiza Dkt. ziwe zimetoka naomba kumaliza changamoto ametupa fedha tena za Kalemani

Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Kheri Mahimbali, watumishi wa Wizara na Taasisi zake, watumishi wa bandari,wakiwa katika ziara katika bandari ya Dar es Saalam, Julai 4,2021.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Agosti 1 - 31, 2021 HABARI 26 Mkandarasi ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme mradi wa JNHPP aanza kazi

Na Teresia Mhagama, na Pwani iliyolenga DSM kukagua maeneo ambayo yametengwa meelezwa kuwa, kwa ajili ya ujenzi Mkandarasi wa vituo vya kupoza atakayejenga njia ya umeme utakaotoka kusafirisha umeme katika Bwawa la Umeme ya msongo wa kV la Julius Nyerere. I400 kutoka eneo la Viongozi hao mradi wa umeme wa waliambatana na Julius Nyerere ( JNHPP), Makamishna na Rufiji mkoani Pwani hadi Wakurugenzi wa Chalinze ameanza kazi. Idara mbalimbali Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Adolf Ndunguru pamoja na Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Nishati, Hayo yalitanabaishwa kutoka Wizara hizo Kheri Mahimbali pamoja na watendaji kutoka Wizara hizo wakiwa wakati wa ziara ya Naibu mbili pamoja na katika eneo la Chalinze mkoani Pwani kutakapojengwa kituo kipya Katibu Mkuu wa Wizara cha kupoza umeme utakaotoka katika Bwawa la Umeme la Julius watendaji kutoka Nyerere. ya Fedha na Mipango, Shirika la Umeme Adolf Ndunguru Tanzania (TANESCO) Naibu Mkurugenzi umeme itakuwa na pamoja na Naibu wakiongozwa na Mtendaji wa TANESCO- urefu wa kilometa Katibu Mkuu, Wizara ya Mkurugenzi Mtendaji Uwekezaji, Khalid James 160 na kwamba Nishati, Kheri Mahimbali wa TANESCO, Dkt. Tito alisema kuwa, ujenzi wa wananchi takriban 300 mkoani Dar es Salaam Mwinuka. njia hiyo ya kusafirisha waliopisha maeneo yatakapojengwa miundombinu hiyo ya usafirishaji umeme wameshalipwa fedha zao na hivyo wamebaki takriban wananchi 100 tu kulipwa fidia.

Alitaja kampuni inayotekeleza mradi huo kuwa ni Larsen & Toubro kutoka India.

Aliongeza kuwa, katika eneo la Chalinze Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Adolf Ndunguru pamoja na Naibu Katibu kutajengwa kituo kipya Mkuu, Wizara ya Nishati, Kheri Mahimbali pamoja na watendaji kutoka Wizara hizo wakiwa katika eneo la Kinyerezi mkoani Dar es Salaam kutakapojengwa kituo kipya cha kupoza umeme utakaotoka cha kupoza umeme katika Bwawa la Umeme la Julius Nyerere. unaotoka katika mradi

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Agosti 1 - 31, 2021 HABARI 27 Mkandarasi ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme mradi wa JNHPP aanza kazi Katibu Mkuu Wizara wa Wizara ya Fedha ya Fedha na Mipango, kutembelea mradi Adolf Ndunguru wa umeme wa Julius alishukuru Wizara ya Nyerere kwani hiyo ni Nishati na TANESCO mdau muhimu katika kwa kuwaonyesha utekelezaji wa mradi viongozi hao kutoka huo. Wizara ya Fedha kile Alitoa wito kwa kinachotekelezwa na viongozi wa Wizara Serikali kwa sasa ili hiyo kutembelea miradi waone maendeleo yake. mingine ya kimkakati Aidha, alitoa wito inayosimamiwa na kwa Taasisi hizo kufanya Wizara ya Nishati. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Adolf Ndunguru pamoja na Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Nishati, kazi kwa pamoja ili Viongozi hao kutoka Kheri Mahimbali pamoja na watendaji kutoka Wizara hizo pamoja mradi huo wa kimkakati Wizara ya Fedha na na TANESCO wakiwa katika mitambo ya umeme ya Kinyerezi II usikwame. Mipango pamoja na inayozalisha umeme wa megawati 240 mkoani Dar es Saalam. Kwa upande wake, Wizara ya Nishati, Naibu Katibu Mkuu, walitembelea pia mradi huo wa Julius Nyerere ya ujenzi wa kituo Wizara ya Nishati, Kheri wa uzalishaji umeme ambacho kitakuwa na kipya cha kupoza kwa kutumia Gesi Asilia transoma Sita ambapo umeme katika eneo Mahimbali alieleza transfoma Nne zitapoza la Kinyerezi ambapo kuwa, Wizara ya Nishati wa Kinyerezi II ambao umeme kutoka kV Mhandisi mradi kutoka na TANESCO zimefarijika unazalisha umeme wa 400 kwenda kV 220 TANESCO, Deogratius kwa viongozi hao kiasi cha megawati 240. na transfoma nyingine Nyamtumbega alisema Mbili zitapoza umeme kuwa, kituo hicho hadi kV 132 . kitakuwa na msongo wa Alieleza kuwa mpaka kilovoti 400. sasa wameyatambua Alieleza kuwa, katika maeneo ya kulipa fidia kituo cha Kinyerezi wananchi waliopisha kutakuwa na transfoma maeneo yao kupisha nne za 250 MVA ambazo ujenzi wa kituo hicho na zitapoza umeme kwa sasa wanakamilisha kutoka kV 400 kwenda taratibu za mwisho kV 220 ambapo kituo kabla ya kuanza kulipa hicho kitasambaza fidia. umeme katika maeneo Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Adolf Wakiwa mkoani Dar mbalimbali nchini Ndunguru pamoja na Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Nishati, Kheri Mahimbali pamoja na watendaji kutoka Wizara hizo pamoja es Salaam Viongozi kulingana na mahitaji. na TANESCO wakiwa katika chumba cha kuendeshea mitambo hao walikagua eneo Baada ya ukaguzi wa ya umeme ya Kinyerezi II inayozalisha umeme wa megawati 240 lililotengwa kwa ajili maeneo hayo, Naibu mkoani Dar es Saalam.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Agosti 1 - 31, 2021 HABARI 28 ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 24.7 KUVIPELEKEA UMEME VIJIJI 53 KATAVI

Na Dorina Makaya - Katavi

erikali itatumia zaidi ya shilingi bilioni 24.7 kuunganisha umeme kwenye Svijiji 53 ambavyo bado havijaunganishiwa umeme mkoani Katavi katika Mradi Kabambe wa kupeleka umeme vijijini Awamu ya III Mzunguko wa pili. Hayo yalielezwa na Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Stephen Byabato tarehe 12 Julai, 2021, alipotembelea kijiji cha Katambike, Kata ya Ugalla, wilaya ya Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Stephen Byabato akizungumza na wanakijiji wa Katambike (Hawamo Mpanda, Halmashauri pichani) tarehe 12 Julai, 2021, alipotembelea kijiji hicho kilichopo katika Kata ya Ugalla, wilaya ya ya Nsimbo, Mkoa wa Mpanda, Halmashauri ya Nsimbo, Mkoa wa Katavi akiwa katika ziara ya kikazi mkoani humo. Katavi akiwa katika ziara ya kikazi mkoani humo. alieleza kuwa, Serikali kwa ajili ya kupeleka ya Taifa kwa mkoa wa Alisema, Serikali imeamua kupeleka gridi umeme mkoani Katavi Katavi utakamilika inatambua umuhimu wa ya Taifa mkoani Katavi ipo, na zitawekwa ifikapo Agosti, 2023. upatikanaji wa umeme ili kuwa na umeme wa transfoma mbili zenye Aliwaeleza wananchi wa uhakika mkoani uhakika mkoani humo ukubwa wa 15MVA kila wa kijiji cha Katambike Katavi na kuwa MW 5.3 na tayari ujenzi wa moja sawa na 12MW, kuwa, umeme utakuwa zinazozalishwa katika majengo ya vituo vya zitakazowekwa kwenye umefika kijijini hapo kituo cha Mpanda bado umeme kupeleka gridi kituo cha Inyonga na ifikapo mwezi Octoba hazitoshelezi mahitaji ya ya Taifa mkoani Katavi nyingine katika kituo mwaka 2021, na umeme hususan katika umefikia zaidi ya asilimia cha Ipole ili kuhakikisha kuwa hakuna kijiji kuwezesha shughuli za 90. kila kituo kinatoa kitakachoachwa kiuchumi na maendeleo Alivitaja vituo hivyo umeme wa kutosha na kuunganishiwa umeme. ya viwanda na biashara kuwa ni Ipole, Inyonga wa uhakika. Aliwaasa wanakijiji hapa nchini. na Mpanda. Naibu Waziri Byabato cha Katambike kuanza Naibu Waziri Byabato Aliongeza kuwa, pesa alisema, mradi wa Gridi kufanya maandalizi

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Agosti 1 - 31, 2021 HABARI 29 ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 24.7 KUVIPELEKEA UMEME VIJIJI 53 KATAVI ya kupokea umeme ya kuvipelekea umeme viwango vya juu zaidi kupata taarifa kuhusu kwa kuanza kutandaza vijiji 53 ambavyo bado na kuwaongezea kipato upatikanaji wa umeme nyaya kwenye nyumba havijaunganishwa wananchi wa Ugalla. Wilayani Mlele. zao (Wiring) na kulipia umeme na kuahidi Awali Naibu shilingi elfu 27,000 tu ili kufikisha umeme kijijini Waziri Byabato Aidha tarehe 12 Julai, waweze kuunganishiwa Katambike ifikapo alitembelea vituo 2021 kabla ya kuanza umeme utakapofika mwezi Octoba 2021. vipya vinavyojengwa ziara yake katika kata ya kijijini hapo. Mhe. Lupembe, vya Ipole, Inyonga na Ugalla mkoani Katavi, Akizungumza wakati alisema, kupatikana Mpanda na kuridhishwa Naibu Waziri Byabato wa mkutano huo kwa umeme katika kata na kasi ya ujenzi wa Mbunge wa jimbo la ya Ugalla kutasaidia vituo hivyo. alikutana na Mkuu wa Nsimbo, Mhe. Anna sana katika kuinua Mara baada ya mkoa wa Katavi Mhe. Lupembe alimshukuru kilimo cha mpunga na kuwasili katika wilaya Mwanamvua Hoza Naibu Waziri Byabato kuwezesha mazingira ya Mlele tarehe 11 Mrindoko na kupata kwa kufika mkoani ya uanzishaji wa Julai, 2021 Naibu Waziri taarifa ya upatikanaji wa Katavi, kujionea hali viwanda vidogo vidogo Byabato alikutana na halisi ya umeme mkoani vitakavyoboresha Mkuu wa Wilaya ya umeme kwa mkoa wa humo na kutoa ahadi bidhaa ya mchele katika Mlele Filiberto Sanga na Katavi.

Wanakijiji cha kijiji Katambike, Kata ya Ugalla, wilaya ya Mpanda, Halmashauri ya Nsimbo, Mkoa wa Katavi wakimsikiliza Naibu Waziri Byabato (Hayumo pichani) alipokuwa akizungumza nao kufuatia ziara yake ya kikazi kijijini hapo tarehe 12 Julai, 2021.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Agosti 1 - 31, 2021 HABARI 30 BILIONI 18 KUKAMILISHA UPELEKAJI UMEME VIJIJI VILIVYOSALIA KONDOA Veronica Simba na vijijini, Awamu ya Tatu Hafsa Omar Mzunguko wa Pili Ngazi ya Mkoa, uliofanyika erikali Julai Mosi mwaka huu imetenga kiasi katika Kijiji cha Itaswi, cha takribani wilayani Kondoa. shilingi bilioni “Kijiji cha Itaswi 18.6 kwa ajili ni moja kati ya vijiji Sya kuvifikishia umeme 42 vilivyopo katika vijiji vyote 42 vilivyopo Wilaya ya Kondoa wilayani Kondoa, Mkoa ambavyo hadi sasa wa Dodoma, ambavyo bado havijafikiwa na bado havijafikiwa na huduma ya umeme. Naibu Waziri wa Nishati, Wakili Stephen Byabato akizungumza na huduma hiyo. Hivyo basi, Serikali kwa wananchi wa kijiji cha Itaswi, wilayani Kondoa, Mkoa wa Dodoma, wakati wa hafla ya kuzindua Mradi Kabambe wa kusambaza Hayo yalielezwa kutambua hilo imetenga umeme vijijini, Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili, Ngazi ya Mkoa, na Waziri wa Nishati kiasi hicho cha fedha ili Julai 1, 2021. Uzinduzi huo ulifanywa na Waziri wa Nishati Dkt. Dkt. Medard Kalemani kukamilisha kazi hiyo,” Medard Kalemani (katikati) wakati akizindua alieleza Waziri. aliwatambulisha watakaotekeleza Mradi Kabambe wa Aidha, katika hafla Mradi husika wilayani kusambaza umeme hiyo, Dkt. Kalemani Wakandarasi humo, ambao ni kutoka Kampuni ya Ok Electrical and Electronics Service Ltd na kuwataka wananchi ambao hawajafikiwa na umeme kutokuwa na shaka kwani Serikali imejipanga vema kuhakikisha wote wanafikiwa na nishati hiyo. “Mkoa wa Dodoma kwa ujumla wake una vijiji 387 vyenye umeme kati ya 565 vilivyopo. Leo ninawakabidhi wakandarasi hawa kwenu wananchi Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani akizungumza na wananchi wa kijiji cha Itaswi, wilayani Kondoa, Mkoa wa Dodoma, wakati wa hafla ya kuzindua Mradi Kabambe wa kusambaza umeme ili kwa pamoja vijijini, Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili, Ngazi ya Mkoa, Julai 1, 2021. waushambulie Mkoa

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Agosti 1 - 31, 2021 HABARI 31 BILIONI 18 KUKAMILISHA UPELEKAJI UMEME VIJIJI VILIVYOSALIA KONDOA

Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Wakili Julius Kalolo Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi akipunga mikono kuwasalimu wananchi wa kijiji cha Itaswi, Amos Maganga (kulia) akizungumza na wananchi wa kijiji cha wilayani Kondoa, Mkoa wa Dodoma, wakati wa hafla ya kuzindua Itaswi, wilayani Kondoa, Mkoa wa Dodoma, wakati wa hafla ya Mradi Kabambe wa kusambaza umeme vijijini, Awamu ya Tatu kuzindua Mradi Kabambe wa kusambaza umeme vijijini, Awamu Mzunguko wa Pili, Ngazi ya Mkoa, Julai 1, 2021. Uzinduzi huo ya Tatu Mzunguko wa Pili, Ngazi ya Mkoa, Julai 1, 2021. Uzinduzi ulifanywa na Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani (hayupo huo ulifanywa na Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani pichani). (kushoto).

huu na kuhakikisha vijiji Mwenyekiti wa Bodi kilimo cha umwagiliaji. migodi ya wachimbaji vyote 178 vilivyosalia ya Nishati Vijijini (Rural “Aidha, miradi hii wa madini hususani vinapatiwa umeme,” Energy Board – REB), itaongeza ufanisi katika wachimbaji wadogo alisisitiza. Wakili Julius Kalolo, sekta ya madini kwa na wa kati,” alieleza Waziri alieleza kuwa malengo kufikisha umeme katika Mwenyekiti. aliwahamasisha ya Serikali ni kusambaza wananchi kukamilisha nishati ya umeme utandazaji wa nyaya katika vijiji vyote ifikapo katika nyumba zao Disemba 2022 na mapema ili Mkandarasi vitongoji vyote mwaka atakapofika katika 2025. maeneo yao, wawe Wakili Kalolo alieleza tayari kulipia na zaidi kuwa, utekelezaji kuunganishiwa umeme. wa miradi ya umeme Aliwashauri wananchi vijijini, utaongeza wenye nyumba ambazo uwekezaji wa miradi siyo kubwa, kutumia katika sekta mbalimbali kifaa cha Umeme Tayari vijijini ikiwa ni pamoja Mbunge wa Kondoa, Dkt. Ashatu Kijaji akizungumza na wananchi (UMETA) ambacho na kuanzishwa viwanda wa kijiji cha Itaswi, wilayani Kondoa, Mkoa wa Dodoma, wakati hakihitaji kutandaza vya kuchakata mazao wa hafla ya kuzindua Mradi Kabambe wa kusambaza umeme vijijini, Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili, Ngazi ya Mkoa, Julai 1, nyaya katika nyumba. ya kilimo, mifugo, uvuvi 2021. Uzinduzi huo ulifanywa na Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kwa upande wake, pamoja na kuanzisha Kalemani (hayupo pichani).

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Agosti 1 - 31, 2021 HABARI 32 BILIONI 18 KUKAMILISHA UPELEKAJI UMEME VIJIJI VILIVYOSALIA KONDOA Mkurugenzi Mkuu wa kwenye Mfuko wa Wakala wa Nishati Vijijini Nishati Vijijini (REF) (REA), Mhandisi Amos kuanzia mwaka 2008, Maganga alieleza kuwa ambapo kiasi cha kuanzishwa kwa Wakala zaidi ya shilingi trilioni huo na utashi wa dhati 3.5 zimewekezwa. wa Serikali, kumeleta Uwekezaji huo mageuzi makubwa ya umewezesha utekelezaji Sekta ya Nishati Vijijini wa miradi kufikia hatua ambapo upatikanaji wa ya vitongoji. umeme umeongezeka “Hadi sasa, umeme kutoka vijiji 518 sawa na umefika katika Wilaya asilimia 4 ya vijiji 12,268 zote. Aidha, Kata 3,225 mwaka 2007 hadi kufikia kati ya 3,956 sawa na vijiji 10,312 sawa na asilimia 82 na Vitongoji asilimia 84 mwezi Machi, 26,860 kati ya 64,384,” 2021. alibainisha. Wajumbe wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Oswald Urassa (kushoto) Mhandisi Maganga Wakizungumza kwa na Louis Accaro (kulia), wakifuatilia matukio mbalimbali wakati wa hafla ya kuzindua Mradi Kabambe wa kusambaza umeme alibainisha kuwa nyakati tofauti, baadhi vijijini, Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili, Ngazi ya Mkoa, Julai 1, mafanikio hayo ya viongozi wilayani 2021. Uzinduzi huo ulifanywa na Waziri wa Nishati Dkt. Medard yamepatikana kufuatia humo akiwemo Mkuu Kalemani (hayupo pichani), kijiji cha Itaswi, wilayani Kondoa, Mkoa wa Dodoma, uwekezaji mkubwa wa Wilaya, Hamis uliofanywa na Serikali Mkananchi na Mbunge wa Jimbo la Kondoa, miradi mbalimbali ya Dkt. Ashatu Kijaji kimaendeleo hivyo walipongeza kazi nzuri kuboresha maisha yao. inayoendelea kufanywa Hafla hiyo ya uzinduzi na Serikali katika ilihudhuriwa pia na kupeleka umeme vijijini, viongozi mbalimbali hususani katika Wilaya akiwemo Naibu Waziri hiyo. wa Nishati, Wakili Hata hivyo, viongozi Stephen Byabato, Naibu hao waliomba kazi ya Katibu Mkuu wa Wizara kukamilisha upelekaji hiyo, Kheri Mahimbali, umeme katika vijiji Wajumbe wa Bodi ya vilivyosalia, itekelezwe Nishati Vijijini Mhandisi Mkuu wa Wilaya ya Kondoa, Hamis Mkananchi akizungumza na kwa kasi ili kukidhi kiu Francis Songela, Louis wananchi wa kijiji cha Itaswi, wilayani Kondoa, Mkoa wa Dodoma, ya wananchi ambao Accaro, Oswald Urasa wakati wa hafla ya kuzindua Mradi Kabambe wa kusambaza umeme vijijini, Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili, Ngazi ya Mkoa, wamejiandaa kupokea na viongozi wengine Julai 1, 2021. Uzinduzi huo ulifanywa na Waziri wa Nishati Dkt. nishati hiyo ili waitumie mbalimbali pamoja na Medard Kalemani (hayupo pichani). katika kutekeleza wananchi.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Agosti 1 - 31, 2021 HABARI 33 TUMIENI FURSA YA UMEME KWA SHUGHULI ZA MAENDELEO - NAIBU WAZIRI BYABATO 27,000 kwa wateja Naibu Waziri wa Nishati, wanaohitaji njia moja aliagiza kufunguliwa ya kusafirishia umeme kwa madawati ya (single phase) na kutolea huduma ili 139,000 kwa wateja kuwasaidia wananchi wanaohitaji njia tatu kutopata usumbufu wa za kusafirishia umeme kusafiri umbali mrefu (Three phase). kwa ajili ya kulipia Aliwasisitiza huduma ya umeme. wananchi Aliwasisitiza kuchangamkia fursa wananchi kushirikiana Na Dorina G. Makaya - ya umeme pia vitafikiwa hiyo ya kuunganishiwa na TANESCO ili Simiyu vyote bila kubakiza hata umeme ambayo ni kuwaongoza kimoja. kichocheo muhimu cha kupata wakandarasi aibu Waziri Naibu Waziri maendeleo. wanaofunga umeme Nishati, Byabato aliwataka Aidha, Mhe. Byabato majumbani ili kukwepa Mhe. Wakili wananchi kushirikiana alimuagiza Mkandarasi kutapeliwa na vishoka. Stephen na Serikali ili kutoa anayetekeleza Mradi Naibu Waziri Byabato Byabato ardhi na maeneo yao wa REA Awamu ya aliwashauri wananchi Namefanya uzinduzi wa ili miundombinu ya Tatu Mzunguko wa Pili ambao bado hawapo Mradi wa kusambaza umeme ipite ili waweze kuwasha umeme katika tayari kuweka mtandao umeme vijijini Awamu kupata huduma ya kijiji cha Igwata ndani ya wa nyaya katika nyumba ya Tatu Mzunguko wa umeme na kuboresha mwezi mmoja kuanzia zao kutumia kifaa cha Pili kimkoa mkoani maisha yao na huduma leo tarehe 08/07/2021. UMETA (Umeme tayari) Simiyu katika kijiji za kijamii. Kwa upande wa ambacho mwananchi cha Igwata kata ya Alisisitiza kuwa, bei Shirika la Umeme atafungiwa kwa 27,000 Nyabubinza wilayani ya umeme ni shilingi Tanzania (TANESCO) tu. Maswa . Naibu Waziri Byabato alisema tarehe 08/07/2021 kuwa, jumla ya vijiji 151 kwa mkoa mzima vitapatiwa huduma ya umeme ambapo Wilaya ya Maswa ni vijiji 13, Bariadi 35, Meatu 48 na Busega vijiji 4 pamoja na vijiji vyote ambavyo havijafikiwa na huduma

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Agosti 1 - 31, 2021 HABARI 34 GRIDI YA TAIFA KUUNGANISHWA KATIKA KISIWA CHA MAISOME

Hafsa Omar- Mwanza unaotekelezwa katika kisiwa hicho. aziri wa Akizungumza na Nishati, wananchi, alisema kuwa Dkt. suluhisho la kudumu la Medard kutatua tatizo la umeme katika kisiwa hicho ni WKalemani ameliagiza kuunganishwa na gridi Shirika la Umeme ya Taifa. Tanzania (TANESCO) “TANESCO na REA kupeleka umeme wa nataka mkajipange gridi ya Taifa katika ndani ya miezi mitatu Wananchi wa kisiwa cha Maisome, kilichopo Wilaya ya kisiwa cha Maisome, mlete umeme wa gridi Sengerema, Mkoani Mwanza, wakimsikiliza Waziri wa Nishati, Dkt. kilichopo Wilaya ya huku, Serikali inawaletea Medard Kalemani (hayupo pichani) wakati akiwa kwenye ziara ya Sengerema, Mkoani umeme wa kudumu ukaguzi wa mradi umeme wa jua unaotekelezwa katika kisiwa cha Maisome, kilichopo Wilaya ya Sengerema, Mkoani Mwanza, Mwanza. wa gridi ya Taifa ambao Julai 18, 2021. Agizo hilo amelitoa, utasaidia kuondoa kuwa Watanzania wote Alisema, Serikali Julai 18, 2021 wakati hizi changamoto imetoa jumla ya shilingi akiwa kwenye ziara zote,”alisema wanapata umeme wa bilioni 5.2 kwa ajili ya ya ukaguzi wa mradi Aidha, alisema uhakika na wa bei nafuu kupeleka umeme wa umeme wa jua Serikali itahakikisha kwa wakati wote. jua (Solar) kwenye eneo hilo ili wananchi wapate huduma hiyo. Dkt. Kalemani alitoa agizo kwa kampuni inayosambaza umeme katika kisiwa hicho ya JUMEME kuwauzia umeme wananchi kwa bei ya uniti moja kwa shilingi 100 ili wananchi hao wapate umeme wa bei nafuu. “Walikuwa wanauza umeme kwa shilingi 3700 kisha 3500 wakaja Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani( kwanza-kushoto) akizungumza na wananchi wa kisiwa cha Maisome, kilichopo Wilaya ya Sengerema, Mkoani Mwanza, wakati akiwa kwenye ziara ya na 2500 lakini kuanzia ukaguzi wa mradi umeme wa jua unaotekelezwa katika kisiwa hicho, Julai 18, 2021. Alhamisi bei ya umeme

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Agosti 1 - 31, 2021 HABARI 35 GRIDI YA TAIFA KUUNGANISHWA KATIKA KISIWA CHA MAISOME

Pia, aliwataka wasambazaji hao kutoa huduma hiyo kwa masaa 24 bila ya kuwawekea mgao au kukatika bila ya sababu maalum, kwakuwa wananchi hao wanahitaji huduma hiyo kwa shughuli mbalimbali za kimaendeleo. Vilevile, aliwaagiza wasambazaji hao kufungua ofisi katika eneo hilo ili wananchi Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani akizungumza na Mwenyekiti wa Kijiji cha Kanoni, wakati akiwa kwenye ziara ya ukaguzi wa mradi umeme wa jua unaotekelezwa katika kisiwa cha Maisome, waweze kupata kilichopo Wilaya ya Sengerema, Mkoani Mwanza, Julai 18, 2021. huduma kwa urahisi na kwa wakati wote na kuwataka kuendelea kusambaza umeme kwenye vitongoji vyote vilivyobaki. Naye, Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Erick Shigongo, alimshukuru Waziri wa Nishati, kwa kazi nzuri anayofanya ya usimamizi wa usambazaji wa umeme na kwa kutatua mzozo wa bei ya umeme katika Miundombini inayotumiwa kuzalisha umeme wa jua na Kampuni ya JUMEME iliyopo katika kisiwa kisiwa hicho. cha Maisome, kilichopo Wilaya ya Sengerema, mkoani Mwanza, Julai 18, 2021. Pia, aliwataka huku siku zote itakuwa umeme wa bei nafuu,” wa umeme nchini na wananchi wa kisiwa ni shilingi 100 kwa uniti alisema kuwaelekeza kuuza hicho kuendelea basi, Mhe Rais anataka Alifafanua kuwa, umeme kwa bei elekezi kutumia huduma watanzania wote Serikali mwaka juzi ambayo haitawaumiza hiyo kwa shughuli wapate umeme tena iliwaita wazalishaji wote Watanzania. mbalimbali za kiuchumi.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Agosti 1 - 31, 2021 HABARI 36 VIJIJI 192 VILIVYOBAKI MKOA WA LINDI KUFIKIWA NA UMEME

Aliyasema hayo tarehe 03 Julai, 2021 alipokuwa akifanya uzinduzi wa Mradi wa Kusambaza Umeme Vijijini Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili katika kijiji cha Narungombe, Wilayani Ruangwa, mkoani Lindi. Alisema Serikali ya Awamu ya Sita inayo azma madhubuti kabisa ya kuhakikisha watanzania wote wanapata umeme kwa ajili ya kufanya shughuli Naibu Waziri wa Nishati akiwa ameshikilia utepe kwa ajili ya kuukata na kuzindua Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme Vijijini Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili mkoa wa Lindi tarehe 03 Julai, 2021. za kijamii pamoja na za kiuchumi na kuwa Na Dorina G. Makaya - Lindi

aibu Waziri wa Nishari Mhe. Wakili Stephen Byabato Namesema, jumla ya vijiji 192 kati ya vijiji 524 vilivyopo mkoani Lindi, vinakwenda kupatiwa huduma ya umeme,baada ya kuzinduliwa kwa Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme Vijijini Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili katika Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Wakili Stephen Byabato akizungumza na wananchi wa kijiji cha Narungombe (hawapo pichani) wilayani Ruangwa, mkoani Lindi alipokwenda kuzindua Mradi mkoa wa Lindi. Kabambe wa Kusambaza Umeme Vijijini Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili tarehe 03 Julai, 2021.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Agosti 1 - 31, 2021 HABARI 37 VIJIJI 192 VILIVYOBAKI MKOA WA LINDI KUFIKIWA NA UMEME umeme huo unaletwa waanze kutandaza kuweka miundombinu wa TANESCO mkoa na Serikali kwa asilimia nyaya kwenye nyumba ya umeme kwenye wa Lindi Mha. Kainda mia moja. zao ili kujiandaa na maeneo yao kwa Museru Kuhakikisha Aliwataka fursa iliyojitokeza ya lengo la kuwanufaisha anahamishia ofisi wakandarasi kutekeleza kuunganishiwa umeme. wananchi. mradi huo kwa wakati Aidha aliwataka Naibu Waziri ya malipo vijijini ili wananchi waweze wananchi kuitunza Byabato, aliwataka ili kuwarahisishia kunufaika na miradi miundombinu ya watumishi wa TANESCO na kuwapunguzia ambayo serikali umeme ili idumu kuwachukulia hatua wananchi adha ya inatekeleza kwa ajili yao. kwa kuacha tabia wale watakaobainika kutembea umbali mrefu Aliwataka wananchi ya kuchoma moto kuhujumu kwenda katika ofisi za kutumia fursa hiyo ya maeneo yenye nguzo za miundombinu hiyo ya kujiunganishia umeme umeme kwani Serikali umeme. makao makuu ya mkoa utakapokuwa tayari imekuwa ikitumia Aidha Mh. Byabato, ama wilaya kufanya na kuwa kwa sasa gharama kubwa katika alimuagiza Meneja huduma za malipo.

Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Wakili Stephen Byabato akimkabidhi mama Opeta Sijui Bure kifaa cha UMETA (Umeme Tayari) kwa ajili ya matumizi ya nyumbani kwake katika Kijiji cha Narungimbe, wilayani Ruangwa, Mkoa wa Lindi alipokwenda kuzindua Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme Vijijini Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili tarehe 03 Julai, 2021

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Agosti 1 - 31, 2021 HABARI 38 WAZIRI KALEMANI AZINDUA MRADI WA PERI URBAN Hafsa Omar na mwingi vijijini maeneo Veronica Simba- mengi ya mijini tena Mwanza yana sura sawa na vijijini hayakuwa na aziri wa umeme lakini kwasasa Nishati, kutokana na mradi huu Dkt. maeneo yote kama haya Medard yatapata umeme wa bei nafuu,”alisema. WKalemani, amezindua Aidha, alimtaka Mradi wa Kusambaza mkandarasi kuhakikisha Umeme awamu ya Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani, akizungumza na anasambaza umeme pili katika maeneo ya wananchi wa mtaa wa Igogwe, kata ya Chibula, Wilaya ya Ilemela, katika maeneo yote Mkoani Mwanza (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa pembezoni mwa jiji la Mradi wa Kusambaza Umeme awamu ya pili katika maeneo ya ya mitaa hiyo ndani ya Mwanza (Peri Urban). pembezoni mwa jiji la Mwanza (Peri Urban), Julai 9,2021. miezi 12 ili wananchi wa Tukio hilo lilifanyika maeneo hayo waanze tatizo la upatikanaji 27,000 lakini kwasababu katika mtaa wa Igogwe, mara moja kupata wa huduma ya umeme Serikali ni sikivu kata ya Chibula, Wilaya huduma hiyo muhimu. ya Ilemela, Mkoani katika maeneo ya imeamua maeneo yote Aliongeza kuwa, Mwanza. pembezoni mwa jiji hilo. ya mjini yanayofanana kwakuwa eneo Akizungumza na Alifafanua kuwa, na kijijini yapelekewe hilo nyumba zipo wananchi, alisema maeneo hayo umeme kwa 27,000. karibu,hivyo itakuwa kuwa Serikali imetoa wamechelewa kupata “ Tulipoanza rahisi kwa mkandarasi zaidi ya shilingi Bilioni umeme kwakuwa kusambaza umeme kukamilisha kazi 9 kuhakikisha kuwa hayakuwa na sifa ya vijijini tukajikuta hiyo kwa haraka na inakwenda kumaliza kupata umeme wa tumepeleka umeme kuwataka wananchi

Mbunge wa jimbo la Ilemela, akizungumza na wananchi wa mtaa wa Igogwe, kata ya Chibula, Wilaya ya Ilemela, Mkoani Mwanza (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani, akikata utepe kuashiria wa amezindua wa Mradi wa Kusambaza Umeme awamu ya pili kwa kuwasha kwa umeme katika zahanati Nyamwilolelwa iliyopo katika maeneo ya pembezoni mwa jiji la Mwanza (Peri Urban), katika mtaa wa Nyamwilolelwa, Kata ya Chibula, Wilaya ya Julai 9,2021. Ilemela, Mkoani Mwanza, Julai 9,2021.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Agosti 1 - 31, 2021 HABARI 39 WAZIRI KALEMANI AZINDUA MRADI WA PERI URBAN kutoa ushirikiano kwa kwakuwa zinadumu mkandarasi huyo ili kazi kwa muda mrefu na ikamilike mapema. zitaondoa tatizo la Alisema kuwa, kukatika kwa umeme Taasisi za umma mara kwa mara kwa zipewe kipaumbele tatizo la kuanguka kwa kuunganishiwa umeme nguzo. kwakuwa maeneo hayo Kwa upande wake, ni muhimu katika jamii Mbunge wa Jimbo na bila huduma hiyo la Ilemela, Angeline hawataweza kutoa Mabula, aliishukuru huduma bora. Serikali kwa uamuzi wa Alisisitiza kuwa, kuleta mradi wa Peri Meneja Miradi ya Umeme Vijiji, Kanda ya Ziwa, Mhandisi Ernest Makale, akizungumza na wananchi wa mtaa wa Igogwe, kata ya wananchi wakikamilisha Urban, kwani umekuwa Chibula, Wilaya ya Ilemela, Mkoani Mwanza (hawapo pichani) malipo ya kupata mkombozi kwa wakati wa uzinduzi wa Mradi wa Kusambaza Umeme awamu ya huduma ya umeme wananchi wa jimbo hilo pili katika maeneo ya pembezoni mwa jiji la Mwanza (Peri Urban), Julai 9,2021. waunganishiwe na na kuwataka wananchi huduma hiyo ndani ya kutumia fursa hiyo kwa huo mkubwa unatarajia Dkt. Kalemani, siku 14 ili wananchi hao kuunganisha umeme kuunganisha umeme pia aliwasha umeme waanze kutumia umeme huo majumbani na wananchi zaidi ya 10224. katika zahanati ya Alieleza kuwa, uhitaji kwa kujiletea maendeleo kutumia kwa shughuli za Nyamwilolelwa mbalimbali. kiuchumi. wa umeme ni mkubwa iliyopo katika mtaa wa Vilevile, alimtaka Naye, Meneja Miradi lakini Serikali imejipanga mkandarasi kutumia ya Umeme Vijiji, Kanda na itahakikisha kila Nyamwilolelwa, Wilaya nguzo za zege ya Ziwa, Mhandisi Ernest mwananchi anafikiwa na ya Ilemela, Mkoani kusambazia umeme Makale, alisema mradi huduma hiyo. Mwanza.

Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani, akiwatambulisha kwa wananchi wakandarasi, Kampuni Namis Corporate Ltd Wananchi wa mtaa wa Nyamwilolelwa, Kata ya Chibula, Wilaya wanaotekeleza Mradi wa Kusambaza Umeme awamu ya pili katika ya Ilemela, Mkoani Mwanza wakimsikiliza Waziri wa Nishati, Dkt. maeneo ya pembezoni mwa jiji la Mwanza (Peri Urban). Waziri Medard Kalemani(katikati) kabla ya kuwasha umeme kwenye alizundua mradi katika mtaa wa Igogwe, kata ya Chibula, Wilaya zahanati ya mtaa huo, Julai 9,2021. ya Ilemela, Mkoani Mwanza, Julai 9,2021.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Agosti 1 - 31, 2021 HABARI 40 Wizara ya Fedha yaridhishwa na maboresho ya Kituo cha umeme Zuzu Na Teresia Mhagama, Hayo yalibainishwa Dodoma tarehe 26 Julai, 2021 wakati wa ziara Naibu izara ya Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha Nishati, Kheri Mahimbali Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Nishati, Kheri Mahimbali (katikati) na na viongozi mbalimbali wa Wizara ya Fedha na Mipango na viongozi mbalimbali wakiongozwa na Kamishna wa Fedha za Nje, Sauda Msemo (wa wa Wizara ya Fedha na kwanza kushoto) wakikagua kituo cha umeme cha Zuzu mkoani Mipango walioongozwa Dodoma. Wengine katika picha ni viongozi mbalimbali kutoka Wizara ya Nishati na TANESCO WMipango imeeleza na Kamishna wa Fedha kuridhishwa kwake za Nje, Sauda Msemo kwa ujumla zinafanya mbalimbali. na maboresho ambaye alimwakilisha kituo hicho kuwa na “Tumekuja kuangalia yanayoendelea kufanyika Naibu Katibu Mkuu wa uwezo wa megawati kituo hiki cha Zuzu ili katika Kituo cha Umeme Wizara hiyo. 648 na hivyo kupelekea kuona hatua zilizofikiwa cha Zuzu mkoani Kituo hicho, ambacho umeme mkoani Dodoma katika utekelezaji wa Dodoma ambacho awali kilikuwa na uwezo kuwa wa uhakika mradi huu, na kuelewa kimeongezewa uwezo wa megawati 48 kwa na kuongezeka kwa kazi zilizobaki ili kutoka megawati 48 hadi sasa kimeongezewa laini zinazopeleka kukamilisha mradi na megawati 648. transfoma ambazo umeme katika maeneo kama kuna changamoto zinazohitaji kutatuliwa ili kuweza kukamilisha mradi ili kupata matokeo yaliyotarajiwa.” Amesema Msemo Alisema kuwa, Wizara hiyo imeridhishwa na hatua iliyofikiwa hadi sasa na pia mikakati iliyowekwa ili kukamilisha mradi huo na kwamba Wizara ya Fedha na Uchumi imekuwa ikishirikiana na Wizara ya Nishati katika utekelezaji wa miradi Transfoma mbili zilizofungwa katika kituo cha umeme cha Zuzu mkoani Dodoma ambazo mbalimbali na imekuwa zimeongeza uwezo wa umeme wa Kituo hicho. ikitoa fedha kwa wakati

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Agosti 1 - 31, 2021 HABARI 41 Wizara ya Fedha yaridhishwa na maboresho ya Kituo cha umeme Zuzu kutekeleza miradi ya Mahimbali alisema kuwa, Nishati. ziara hiyo imekamilisha Aliongeza kuwa, ziara ya viongozi hao katika ziara hiyo katika miradi mbalimbali wamepata uelewa wa ya Nishati iliyoanzia Mratibu wa Mradi kutoka TANESCO, Mhandisi Peter Kigadye akitoa maelezo kwa Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Nishati, Kheri masuala mbalimbali katika mradi wa umeme Mahimbali (wa Tano, kulia) na viongozi mbalimbali wa Wizara ya ikiwemo umuhimu wa wa Julius Nyerere, na Fedha na Mipango wakiongozwa na Kamishna wa Fedha za Nje, Sauda Msemo ( wa Sita kulia) wakati wakikagua kituo cha umeme uwepo wa vituo vya kwamba Wizara ya cha Zuzu mkoani Dodoma. Wengine katika picha ni viongozi uzalishaji umeme katika Fedha na Mipango ni mbalimbali kutoka Wizara ya Nishati na TANESCO maeneo mbalimbali wadau muhimu katika yanayofanyika. gurudumu la maendeleo nchini ili kuweza kuwa utekelezaji wa miradi Alitoa wito kwa wadau kwani nishati ndiyo injini na uhakika wa uwepo mbalimbali ya Nishati wengine kutembelea ya ukuaji wa uchumi. wa umeme na usalama hivyo ziara hiyo imesadia miradi ya nishati ili Kwa upande wake, wake. kupata uelewa wa kujenga uelewa wa Mratibu wa Mradi, Naibu Katibu Mkuu, pamoja utakaorahisisha pamoja utakaosaidia Mhandisi Peter Kigadye Wizara ya Nishati, Kheri majadiliano na maamuzi kusukuma mbele alisema kuwa upanuzi wa kituo umehusisha kuongeza uwezo kituo kwenda kV 220 na sasa kinaongezewa uwezo wa kV 400 ambao kwa ujumla kufanya kituo hicho kuwa na uwezo wa megawati takriban 648. Aliongeza kuwa, kituo hicho pia kitapokea umeme kutoka mradi wa umeme wa Julius Nyerere na kupeleka maeneo ya mbalimbali ya nchi. Mradi wa Mratibu wa Mradi kutoka TANESCO, Mhandisi Peter Kigadye akitoa maelezo kwa Naibu Katibu upanuzi wa Kituo Mkuu, Wizara ya Nishati, Kheri Mahimbali (katikati) na viongozi mbalimbali wa Wizara ya Fedha na cha Zuzu unatarajiwa Mipango wakiongozwa na Kamishna wa Fedha za Nje, Sauda Msemo wakati wakikagua kituo cha umeme cha Zuzu mkoani Dodoma. Wengine katika picha ni viongozi mbalimbali kutoka Wizara ya kukamilika rasmi mwezi Nishati na TANESCO Septemba mwaka huu.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Agosti 1 - 31, 2021 HABARI 42 Fedha za Watanzania zinatumika ipasavyo JNHPP- Wizara ya Fedha

Na Teresia Mhagama, Wizara ya Nishati, Kheri Pwani Mahimbali ambaye aliambatana na viongozi izara ya mbalimbali wa Idara na Fedha na Vitengo kutoka Wizara Mipango ya Nishati pamoja na imeeleza Watendaji wa Shirika kuwa, la Umeme Tanzania Wfedha zinazotolewa (TANESCO). na Serikali kwa ajili ya Msemo alisema kuwa utekelezaji wa mradi ziara ya viongozi hao wa umeme wa Julius wa Wizara ya Fedha na Nyerere (JNHPP) Viongozi mbalimbali kutoka Wizara ya Fedha na Mipango wakiwa Mipango imefanyika wa megawati 2115 katika picha ya pamoja na Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Nishati, kwa madhumuni Kheri Mahimbali wakati walipotembelea mradi wa umeme wa kuona kama fedha zinatumika kama maji wa Julius Nyerere mkoani Pwani. Wa Nne kutoka kulia ni ilivyokusudiwa. Kamishna wa Fedha za Nje kutoka Wizara ya Fedha na Mipango, zinazoingizwa kwenye Sauda Msemo na wa Tano kutoka kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa mradi zinatumika kama Hayo yalisemwa TANESCO, Dkt. Tito Mwinuka ambavyo mipango ya tarehe 20 Julai, 2021 Serikali inavyoelekeza. na Kamishna wa Fedha alimwakilisha Naibu wa Wizara husika katika “Tumetembelea za Nje wa Wizara ya Katibu Mkuu wa Wizara mradi huo. maeneo mbalimbali na Fedha na Mipango, hiyo katika ziara ya Ziara hiyo iliongozwa kwa kweli tumeridhishwa Sauda Msemo ambaye viongozi mbalimbali na Naibu Katibu Mkuu, na hatua iliyofikiwa, maendeleo ni mazuri na tumeona jitihada za Serikali katika kusimamia mradi huo na kuhakikisha umetekelezwa ndani ya muda uliopangwa.” Alisema Msemo Kwa upande wake, Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Nishati, Kheri Mahimbali, alisema kuwa, Makamishna na Wakurugenzi hao wa Viongozi mbalimbali kutoka Wizara ya Nishati wakiwa katika kikao na viongozi kutoka Wizara ya Wizara ya Fedha na Fedha na Mipango (hawapo pichani) kabla ya kukagua mradi wa umeme wa maji wa Julius Nyerere unaotekelezwa mkoani Pwani. Wa kwanza kulia ni Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Nishati, Kheri Mipango, walitembezwa Mahimbali. katika maeneo

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Agosti 1 - 31, 2021 HABARI 43 Fedha za Watanzania zinatumika ipasavyo JNHPP- Wizara ya Fedha

ya kuona kuwa viongozi alisema kuwa, ujenzi wa hao wameridhishwa na maeneo muhimu matano hatua ya utekelezaji wa ambayo yanahusika moja mradi kwani Wizara ya kwa moja na uzalishaji Fedha ndiyo inayotoa umeme umefikia asilimia fedha hizo kwa niaba ya 54.3 Serikali. Aliyataja maeneo hayo Aliongeza kuwa, kuwa ni, ujenzi wa tuta makundi mbalimbali kuu, jengo la mitambo yamekuwa yakitembelea ya kuzalisha umeme, mradi huo ikiwemo handaki la kupeleka wananchi na viongozi maji kwenye mitambo, kwani mradi huo ni Sehemu ya ujenzi wa mradi wa umeme wa maji Julius Nyerere kingo za kuzuia maji ukiendelea ambapo baada ya kukamilika utazalisha umeme wa wa kimkakati na hivyo kiasi cha megawati 2115. wanahitaji kuona uhalisia yasitoroke katika bwawa wake kwani mradi huo na kituo cha kupokea na mbalimbali ya utekelezaji yasitoroke katika bwawa una umuhimu mkubwa kusafirisha umeme. wa mradi ikiwemo na kituo cha kupokea na katika ukuaji wa uchumi Kuhusu ajira, alieleza jengo la mitambo ya kusafirisha umeme. wa nchi. kuwa, mpaka kufikia kuzalisha umeme, Aliongeza kuwa, Akitoa taarifa ya mwezi Juni, 2021, jumla handaki la kupeleka Wizara ya Nishati ambayo utekelezaji wa mradi wa ya watanzania 6,650 maji kwenye mitambo, ni msimamizi wa mradi JNHPP, Mhandisi Mkazi wameajiriwa katika kingo za kuzuia maji huo imefarijika baada wa Mradi, John Mageni mradi huo wa JNHPP.

Viongozi mbalimbali kutoka Wizara ya Fedha na Mipango wakiwa katika kikao na viongozi kutoka Wizara ya Nishati (hawapo pichani) kabla ya kukagua mradi wa umeme wa maji wa Julius Nyerere unaotekelezwa mkoani Pwani. Wa kwanza kulia ni Naibu Viongozi mbalimbali kutoka Wizara ya Fedha na Mipango pamoja Katibu Mkuu, Wizara ya Nishati, Kheri Mahimbali. Wa kwanza na Wizara ya Nishati, wakiangalia kazi za ujenzi wa mradi wa kutoka kushoto ni Kamishna wa Fedha za Nje kutoka Wizara ya umeme wa Julius Nyerere wakati walipotembelea mradi huo. Fedha na Mipango, Sauda Msemo

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Agosti 1 - 31, 2021 HABARI 44 WANANCHI WAPATA ELIMU YA SEKTA YA NISHATI SABASABA ataalam kutoka Wizara ya Nishati Wna Taasisi zilizo chini ya Wizara, wamefanikiwa kutoa elimu ipasavyo kwa wananchi kuhusu Sekta ya Nishati katika Maonesho ya 45 ya Kimataifa ya Biashara yaliyofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam. Katika Maonesho Wataalam mbalimbali kutoka Wizara ya Nishati wakiwa katika picha ya Pamoja kabla ya kuanza hayo wananchi kutoa elimu kwa wananchi katika Maonesho ya 45 ya Kimataifa ya Biashara yaliyofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam. walielezwa kuhusu masuala mbalimbali mbalimbali ya uzalishaji, wa umeme pamoja na Aidha, Wataalam kama utekelezaji miradi usafirishaji na usambazaji Gesi Asilia. hao walipokea maoni

Wataalam kutoka Wizara ya Nishati (kutoka kulia), Arnold Shada, Jacob Mayalla na Mwanamani Kidaya wakimsikiliza mwananchi Mtaalam kutoka Wizara ya Nishati, Shukrani Rugaimukamu aliyefika katika Banda la Nishati katika Maonesho ya 45 ya akitoa elimu mwananchi aliyefika katika Banda la Nishati katika Kimataifa ya Biashara yaliyofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Maonesho ya 45 ya Kimataifa ya Biashara yaliyofanyika katika Nyerere jijini Dar es Salaam. Viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Agosti 1 - 31, 2021 HABARI 45 WANANCHI WAPATA ELIMU YA SEKTA YA NISHATI SABASABA na kutoa huduma mbalimbali ya wananchi na kuyafanyia kazi kwa kushirikiana na Taasisi zilizo chini ya Wizara zinazoshiriki Maonesho hayo. Taasisi zilizo chini ya Wizara zilizoshiriki Maonesho hayo ni pamoja na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA), Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Wataalam kutoka Wizara ya Nishati (kutoka kulia), Jacob Mayalla, Shukrani Rugaimukamu na Nishati na Maji (EWURA), Mussa Abbas wakimsikiliza mwananchi aliyefika katika Banda la Nishati katika Maonesho ya 45 ya Kimataifa ya Biashara yaliyofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam. Mamlaka ya Udhibiti wa Mkondo wa Juu wa Uchumi wa Viwanda uchumi huo wa viwanda. mshindi wa Tatu katika Petroli (PURA). kwa Ajira na Biashara Katika Maonesho kundi la Wizara, Taasisi na Kauli Mbiu ya Endelevu ambapo nishati hayo, Wizara ya Nishati Mamlaka ya Serikali za Maonesho hayo ilikuwa, ni injini ya kuwezesha ilifanikiwa kuibuka Mitaa.

Mtaalam kutoka Wizara ya Nishati, Jacob Mayalla (katikati) akitoa Mtaalam kutoka Wizara ya Nishati, Mussa Abbas akitoa elimu elimu kwa wananchi kuhusu Sekta ya Nishati katika Maonesho kwa wananchi kuhusu Sekta ya Nishati katika Maonesho ya 45 ya ya 45 ya Kimataifa ya Biashara yaliyofanyika katika Viwanja vya Kimataifa ya Biashara yaliyofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam. Nyerere jijini Dar es Salaam.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Agosti 1 - 31, 2021 HABARI ZA NISHATI | Januari 1-31, 2021 NewsBulletin JARIDA29 HILI LA MTANDAONI HUTOLEWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI, WIZARA YA NISHATI

Fika O si ya Mawasiliano, Mji Mpya wa Serikali Mtumba, S.L.P. 2494, Dodoma au Wasiliana nasi kwa simu namba +255-26-2322018 Nukushi +255-26-2320148