Habari Leo Date: 01.08.2014 Page 32

Article size: 180 cm2 ColumnCM: 40.0 AVE: 160000.0 Stars yaenda Mapiito leo

Na Mwandishi Wetu zote mbili za zilizopo Johan­ taji ushindi ili kuingia katika Kundi ya Taifa, Taifa Stars nesburg kusalimia wachezaji. F lenye timu za Zambia, Cape Verde kimewasili salama juzi Serengeti Boys yenyewe ipo hapa na Niger. Johannesburg nchini KIKOSI cha timu ya soka Johannesburg tangu Julai 27 kwa ajili Wachezaji wa Stars walioko Johan­ Afrika Kusini kwa ajili ya mechi dhidi ya Afrika Kusini ita­ nesburg chini ya kocha wao, Mart ya maandalizi ya mwisho kabla ya kayochezwa kesho Jumamosi. kwenda Maputo kuikabili Msumbiji Nooij ni Deogratius Munishi, Aishi keshokutwa. Timu hiyo inawania kucheza Manula, Said Morad, Oscar Joshua, fainali za vijana Afrika mwakani, na Kelvin Yondani, , Nadir Stars inayodhaminiwa na Kili­ katika mechi ya kwanza, ilitoka sare manjaro Premium Lager, ilifanya ya kutofungana kwenye Uwanja wa Haroub, na Shomari Kapombe. mazoezi mara mbili juzi ­ asubuhi Azam Complex, , Julai Wengine ni , Himid na jioni kwenye Uwanja wa Bedford­ 18, mwaka huu. Mao, Mwinyi Kazimoto, Charles Ed­ ward, Shaban Nditi, Amri Kiemba, view Country Club. Kwa upande wake, Taifa Stars in­ Kwa mujibu wa Ofisa Habari na Haruna Chanongo, , awania kufuzu kwa fainali za Kombe Jonas Mkude, Mrisho Ngassa, Mcha Mawasiliano wa Shirikisho la Soka la Mataifa ya Afrika (Afcon) 2015 Tanzania (TFF), Boniface Wambura, Khamis, Ramadhan Singano na John ambazo zitafanyika Januari nchini Bocco. mazoezi ya mwisho yatafanyika leo Morocco. kabla ya baadaye jioni kuanza safari Washambuliaji Thomas Ulimwen­ gu na Mbwana Samata wanaocheza Katika mechi ya kwanza kwenye TP Mazembe ya Jamhuri ya Kide­ yaMaputo. Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, Julai mokrasia ya Congo walitarajiwa ku­ Aidha, Wambura ambaye yuko na 20, mwaka huu, Stars ililazimishwa jiunga na wenzao kwa safari ya Ma­ timu hiyo, alisema Balozi wa Tanzania puto leo jioni. nchini Afrika Kusini, Radhia Msuya sare ya mabao 2­2. Ili kusonga mbele katika hatua jana jioni alitarajiwa kutembelea timu ya mwisho ya makundi, Stars inahi­

Ipsos Synovate Tanzania ­ Migombani Street, Regent Estate