HABARI ZA NISHATI Bulletin

ToleoToleo NambaNamba 2221 28 DisembaJulaiJanuari 1 - 1-31,1-31, 31, 2021 20202021 WaziriRAISMRADI ALIELEZA na WA Naibu UMEME Waziri WA wa NishatiBUNGERUSUMO VIPAUMBELE wafanya KUKAMILIKA kikao cha UK. SEKTA YA NISHATI 7 MWEZIkwanza DESEMBA,na Bodi za Taasisi 2021 Watoa maelekezo mahususi

Waziri Mkuu azindua Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt Medarduchepushwaji Kalemani (kushoto) na Naibu Waziri wa Nishati,wa Mhe. majiStephen Byabato Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Medard Kalemani, akizungumza na Waandishi wa Habari, mara baada ya Mawaziri wa nchi tatu za , RwandaWAZIRI na Burundi KALEMANI zinazohusika na Mradi wa AUTAKA Umeme wa Rusumo UONGOZI kumaliza mkutano waoWA uliofanyika WIZARA tarehe 12 Juni, YA 2021 NISHATI baada ya kutembelea eneo la Mradi na kuridhishwaUK. na hatua ya ujenzi iliyofikiwa na wakandarasi. Kutoka kushoto ni Waziri wa Nishati Tanzania, Mhe.KUFANYA Dkt. Medard Kalemani, KAZI Waziri2 waKWA Miundombinukatika KASI, Rwanda, KWA Mhe. Balozimradi UBUNIFU Claver Gatete na Waziri NAwa wa KWA Nishati naJNHPP USAHIHIMigodi wa Burundi Mhe. Ibrahim Uwizeye.

LIMEANDALIWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI, WIZARA YA NISHATI Wasiliana nasi kwa simu namba +255-26-2322018 Nukushi +255-26-2320148 au Fika O si ya Mawasiliano, Mji Mpya wa Serikali Mtumba, S.L.P 2494, Dodoma HABARI 2 MRADI WA UMEME WA RUSUMO KUKAMILIKA MWEZI DESEMBA, 2021

Na Dorina G. Makaya - zinazohusika na Mradi Ngara wa Umeme wa Rusumo kilichofanyika katika aziri wa eneo la mradi la Rusumo. Nishati, Waziri Kalemani Mhe. alieleza kuwa, Mawaziri Dkt. wa nchi zote tatu Medard zinazohusika na Mradi WKalemani amesema, wa Rusumo, Waziri wa Mradi wa Umeme wa Nishati na Migodi wa Rusumo utakamilika Burundi, Mhe. Ibrahim Desemba, 2021. Uwizeye, Waziri wa Waziri Kalemani Miundombinu Mhe. alitoa taarifa hiyo tarehe Balozi Claver Gatete 12 Juni, 2021 katika pamoja na yeye mkutano na waandishi mwenyewe Waziri wa Waziri wa Nishati Tanzania, Mhe. Dkt. Medard Kalemani, akizungumza na Waandishi wa Habari, mara baada ya Mawaziri wa habari baada ya Nishati wa Tanzania, wa nchi tatu za Tanzania, Rwanda na Burundi zinazohusika na kumaliza kikao cha wameridhishwa na Mradi wa Umeme wa Rusumo kumaliza mkutano wao uliofanyika tarehe 12 Juni, 2021 mara baada ya kutembelea eneo la Mradi na pamoja cha Mawaziri wa maendeleo ya ujenzi wa kuridhishwa na hatua ya ujenzi iliyofikiwa na wakandarasi. nchi tatu za Tanzania, Mradi wa Umeme wa Kushoto kwa Waziri wa Nishati Tanzania, Mhe. Dkt. Medard Rwanda na Burundi Rusumo ambao ujenzi Kalemani, ni Waziri wa Miundombinu Rwanda, Mhe. Balozi Claver Gatete.

Waziri wa Nishati Tanzania, Mhe. Dkt. Medard Kalemani, (wa Mawaziri wa nchi zinazohusika na Mradi wa Umeme wa Rusumo, pili kutoka kushoto) akimuuliza swali Mhandisi Mshauri Bosco wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kumaliza mkutano Mugabo anayesimamia ujenzi wa kituo cha kufua Umeme cha wa pamoja uliofanyika tarehe 12 Juni, 2021 katika eneo la Mradi la Rusumo kuhusu ukamilishaji wa ujenzi wa Bwawa la Mradi Rusumo. Kutoka kushoto ni Waziri wa Nishati Tanzania, Mhe. Dkt. wa Umeme wa Rusumo. Kulia kwa Dkt. Kalemani ni Waziri wa Medard Kalemani, Waziri wa Miundombinu Rwanda, Mhe. Balozi Miundombinu Rwanda, Mhe. Balozi Claver Gatete na Waziri wa Claver Gatete na Waziri wa Nishati na Migodi wa Burundi Mhe. Nishati na Migodi wa Burundi Mhe. Ibrahim Uwizeye. Ibrahim Uwizeye

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Julai 1 - 31, 2021 TAHARIRI 3

HABARI ZA HABARI ZA NISHATI NISHATI HABARI ZA NISHATI

Toleo Namba 15 Bulletin Toleo Namba 14 Bulletin Bulletin 2020 Oktoba 1-31, Mei 1-31, 2020 Mradi wa Umeme Rusumo WAZIRI KALEMANI Toleo Namba 19 NA W MRADI WA UMEMEJuni 1-30, 2020 W AKAND AKUT A UCHAKUJADILI AUMEMEJULIUSARASI VIJIJINIW NYEREREANA Apongeza ut UMEK REA, endaji kazi w A REA K TANESC Kalemani HA O na a anzania UJAW A BOMBAMus LAeveni aeleza MAFU Wabainishaakanda TrT AHI KUSIMAMA elezwaji 7.5 Asema MRADI W kufurahishwa na itapata trilioniasi REA JPM asema utek historia T imetengeneza Tanzania, wake ni ushindi kwa anzania wasaini aganda – WAZIRIMuda Uganda Watanzania na W KALEMANIwa kukamilisha makubaliano miradi haujabadilika ni mkombozi wa uhakika

guta UK. Wajum nda, Yoweri Ka Dk be wa Bodi y i ya Uga 2 t. Medard Kal a Wakua Jamhur r oto) na Dkt. Medard kiel Magufuli na Rais w gandauge (kush oka omb ichofan i Kitemutua wnia (ku U l nzi w a la Mafuta kut anzania Dkt. John P y Goreytikat jijini enzia)i w naa BomWakbaa Wakala w ni Geita no wa T a nchi zao, Mar adi wDaodoma, Uj M a Chato mkoaa Nishat i ya Muunga i wa Nishati w nza haraka Mr a Ndege w ndarasi w Rais wa Jamhur awazir ataba wa kua nyika Uwanja w ei 21, 2020 kuja anao i Vijijini (ms eni wakishuhudia M akitia saini Mk upi iliyofa tekeleza Mr tari w Musev nia (kulia) w wenye sherehe f Dkt.Kalemani: dili ma adi wUK.a mb UK. katika sekta ya nishati ya umeme na el JENZI wa Mradi wa Umeme a Tanza nia) k ende e Kalemani w anga (Tanza leo y a Umeme Vijijini,), wa kAishw ganda) hadi T a Mradi huo.5 iriki kikao cha Wa 2 Hoima (U temba 13, 2020. kukamilisha REA Juni kukatwa 10% ya malipo yakeamu y Jumapili Sep Waziri wa Nisha30,t A a Tatu, Mz ziri wa Nishat i Dkt Medard Kal ung i kutengeneza 2020, emani (mwenye shat uko wa K kokoto zitakaz omkandarasitum i la bluu) na Ujumb wanza, kazi kukagua ma ika katika ujenzi wa e wake, akiteremka kut endeleo ya Mradi huo, Ap M radi wa Umeme w oka katika Mashine maalumu y JIrili 5, 2020. a (JN a atakayeshindwa HPP). W aziri aliku AZIRI KALEMANI AZINDONGU O wa katika ziara ya wa Rusumo umefikia asilimia W KWAGGM KIT kutumia umeme wa Gridi ya kuwa faraja ya kiuchumi kwa eneo hili la JI UK. KITONGO MAWASILIANOLIMEANDALIWA SERIKALINI, NA KITENGOWIZARA YA CHA NISHATI REA LIMEANDALIWA NA KITENGO CHA T16aifa Juni 2020 UK. Wasiliana 26-2320148 au Nukushi +255-nasi 6 MAWASILIANO SERIKALINI, WIZARA YA k wNISHATIa simu a +255-26-2322018 namba + wa simu namb 255 JARIDA HILI HUTOLEWA NA KITENGO CHA Wasiliana nasi k -26-232 80 na unatarajiwa kukamilika 2018MAWASILIANO SERIKALINI, WIZARA YA NISHATI Nukushi +255-26-2320148 au Afrika Mashariki. W asiliana nasi kwa simu namba +255-26-2322018 Nukushi +255-26-2320148 au Desemba mwaka huu, kwa Kwa vyovyote vile, mradi huu mujibu wa taarifa ya Waziri wa unakwenda kuwa injini ya maendeleo UNishati, Dk Medard Kalemani aliyoitoa ya si tu mtu mmoja mmoja wa nchi BODI YA kwa wanahabari Juni 12 mwaka huu. hizi tatu, lakini ni kwa mataifa hayo Waziri Kalemani kwa uhakika na matatu kwa ujumla, kwani utawezesha kujiamini, alisema hayo baada ya kuendesha mitambo na viwanda kumaliza kikao chake na mawaziri UHARIRI wenzake kutoka nchi tatu za Tanzania, ambavyo vina mchango mkubwa kwa Rwanda na Burundi zinazohusika na jamii. Mwenyekiti kilichofanyika eneo la mradi la Rusumo. Kama alivyoasa Dk Kalemani, Mhandisi Leonard Masanja Mawaziri hao wa nchi tatu wananchi amabo ndio walengwa, Katibu Mkuu zinazohusika na mradi huo, pamoja wanapaswa kuwa makini na mradi huu na yeye ni wa Nishati na Migodi wa hususan walioko Ngara, na kuhakikisha Makamu Mwenyekiti Burundi, Mhe. Ibrahim Uwizeye, na wa kuwa unapata maji muda wote, kwa Kheri Mahimbali Miundombinu wa Rwanda, Mhe. Balozi kuwa maji ndiyo hasa mhimili mkuu Claver Gatete ambao kwa pamoja, wa kuendesha mitambo na kuzalisha waliridhishwa na maendeleo ya ujenzi. nishati hiyo. Mhariri Kwa mujibu wa Waziri Kalemani, njia Wanapaswa pia kuelewa, kwamba Dorina G. Makaya za kusafirisha umeme zitagharimu dola nchi hizi zinatumia fedha katika kujenga za Marekani milioni 113.2 na baada ya miradi ya kimkakati kama hii kwa kukamilika ujenzi, zitaokolewa dola matarajio kwamba katika siku zijazo, milioni 25 zitakazotumika kujengea njia itasaidia kuendesha viwanda na kuinua zingine ya umeme kwa nchi zote tatu, uchumi na hatimaye mataifa haya kuwa Waandishi ili kuimarisha upatikanaji umeme wa ya viwanda. uhakika katika nchi hizo. Teresia Mhagama Lakini akabainisha, kuwa Sh bilioni Inafahamika, kuwa nchi yoyote tajiri Zuena Msuya 10 zimetumika kwa miradi ya kijamii duniani, iliyoendelea kiviwanda, haiwezi Hafsa Omar wilayani Ngara, Tanzania, ikihusisha kufikia hatua hiyo, bila kuwa na nishati ujenzi wa vituo vya afya viwili, zahanati ya umeme, hivyo kwa kuwa Rusumo Msanifu Kurasa mbili, sekondari tatu, shule za msingi kuna maeneo rafiki ya kuzalisha nishati mbili, chuo cha ufundi stadi, miradi hiyo, ni vema ikatumika kwa uangalifu Lucas Gordon miwili ya maji na ya kilimo na ufugaji ili mradi kuwa endelevu. nyuki. Ulinzi wa mradi huo sharti uendelee Wasiliana nasi kwa simu Ili kuhakikisha kwamba mradi huo kubaki mikononi mwa wananchi namba +255-26-2322018 wa umeme haupungukiwi maji, Dk wenyewe, ambao hakika wakilihakikisha Nukushi: +255-26-2320148 Kalemani aliwataka watumiaji maji ya hilo, kama ambavyo Waziri Kalemani au mito ya Rubuvu na Kagera, kutumia amekuwa akisisitiza katika ziara zake maji ya mito hiyo kwa uangalifu na za kukagua miradi, hakika watanufaika Fika Ofisi ya Mawasiliano kutunza vyanzo. na matunda yake, na kujinasua katika Mitumba Dodoma, Kama alivyosema Waziri umasikini. S.L.P 2494, Dodoma Kalemani, mradi huo ni muhimu Kukamilika kwa mradi wa umeme sana na kukamilika kwake kutaondoa wa maji wa Rusumo, kutakuwa changamoto za umeme, si kwa Tanzania peke yake bali pia majirani wa Burundi kumechangia kwa kiasi kikubwa na Rwanda, na kuwawezesha kukuza si tu maendeleo ya kiuchumi, bali uchumi kwa ajili ya maendeleo yao. hata mapato ya nchi kutokana na Kwani mradi huo ulioanza Machi uzalishaji wa uhakika, ambao utakuwa 2017 utazalisha MW 80 na kufanya nchi umetokana na miradi mingine, hizo tatu kupata mgao sawa wa MW 27, inayotegemea umeme huo. Hivyo zitakazoingizwa kwenye gridi za mataifa huu ni ukombozi wa kiuchumi kwa hayo, na kutoa mchango mkubwa Watanzania, Warundi na Wanyarwanda.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Julai 1 - 31, 2021 HABARI 4 MRADI WA UMEME WA RUSUMO KUKAMILIKA MWEZI DESEMBA, 2021

INATOKA UK.2 katika kujengea njia wake umefikia zaidi ya nyingine ya umeme asilimia 80. kwa nchi zote tatu ili Aidha, Dkt. Kalemani kuimarisha upatikanaji alibainisha kuwa, wa umeme wa uhakika handaki la kupitishia katika nchi hizo. maji yanayotoka kwenye Alibainisha kuwa, bwawa kwenda kwenye jumla ya shilingi mitambo ya kuzalisha bilioni 10 za kitanzania umeme lenye urefu zimetumika kwa ajili ya wa mita 703 tayari miradi ya kijamii katika limekamilika kwa asilimia wilaya ya ngara kwa 80 tarehe 12 mwezi Juni, upande wa Tanzania, 2021. ambapo miradi hiyo Kamishna Msaidizi wa Umeme, Mha. Innocent Luoga, akitoa Waziri Kalemani inahusisha ujenzi wa taarifa fupi kwa Waziri wa Nishati Tanzania, Mhe. Dkt. Medard vituo vya afya viwili, Kalemani, kuhusu maendeleo ya Mradi wa Umeme wa Rusumo alieleza kuwa, njia za kabla ya kuanza kwa mkutano wa Mawaziri wa nchi zinazohusika kusafirisha umeme ujenzi wa zahanati na Mradi wa Umeme wa Rusumo (Tanzania, Rwanda na Burundi) zitagharimu dola milioni mbili, ujenzi wa shule za kilichofanyika tarehe 12 Juni, 2021 katika eneo la Mradi la Rusumo. 113.2 na kuwa, baada sekondari 3, ujenzi wa wa miradi miwili ya Ziara hiyo ililenga ya kukamilika ujenzi shule za msingi mbili, maji pamoja na miradi kutembelea mradi huo zitaokolewa dola milioni ujenzi wa chuo cha ya kilimo na ufugaji wa na kuona maendeleo 25 ambazo zitatumika ufundi stadi na ujenzi nyuki. inayowanufaisha yake pamoja na wakazi wa wilaya ya kutoa maelekezo kwa Ngara wakandarasi kuhusiana Dkt. Kalemani alitoa na umuhimu wa wito kwa watumiaji wa kukamilishwa kwa ujenzi maji ya mto Rubuvu na wa Mradi huo kama mto Kagera, kutumia ilivyopangwa. maji ya mito hiyo kwa Mawaziri kutoka uangalifu pamoja na Tanzania, Rwanda na kutunza vyanzo vya Burundi walitembelea mito hiyo ili Mradi wa eneo linapojengwa Umeme wa Rusumo Bwawa, ( Dam site), Eneo usipungukiwe na maji la kuzalisha umeme ( huku akibainisha kuwa, Power House), na Eneo Kamishna Msaidizi wa Umeme, Mha. Innocent Luoga, akitoa upo uwezekano wa la kupokea umeme kabla taarifa fupi kwa Waziri wa Nishati Tanzania, Mhe. Dkt. Medard kuongeza uwezo wa haujasambazwa ( Switch Kalemani, kuhusu maendeleo ya Mradi wa Umeme wa Rusumo uzalishaji wa umeme wa yard) na kuridhishwa na kabla ya kuanza kwa mkutano wa Mawaziri wa nchi zinazohusika na Mradi wa Umeme wa Rusumo (Tanzania, Rwanda na Burundi) Mradi wa Umeme wa kasi ya ujenzi. kilichofanyika tarehe 12 Juni, 2021 katika eneo la Mradi la Rusumo. Rusumo . Waziri Kalemani

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Julai 1 - 31, 2021 HABARI 5 MRADI WA UMEME WA RUSUMO KUKAMILIKA MWEZI DESEMBA, 2021 alisema, Mradi wa hao ifikapo mwezi Rusumo ulianza mwezi Waziri wa Nishati Mhe. Umeme wa Rusumo Desemba, 2021 wawe Machi 2017 na utazalisha Dkt. Medard Kalemani, ni muhimu sana na wamekabidhi Mradi MW 80 ambapo nchi aliambata na Kamishna kukamilika kwake na wananchi waanze tatu husika za Tanzania, Msaidizi wa Umeme, kutaondoa changamoto kutumia umeme Rwanda na Burundi Mhandisi Innocent nyingi za umeme na unaotokana na Mradi zitapata mgao sawa wa Luoga, wataalamu kuwa baada ya kikao cha huo wa Umeme wa MW 27 zitakazoingizwa kutoka Wizara ya Nishati pamoja cha Mawaziri Rusumo. kwenye gridi ya Taifa kwa na TANESCO pamoja na wa nchi zote tatu, Mradi wa umeme wa kila nchi. Uongozi wa Serikali wa waliwataka wakandarasi Maporomoko ya maji Katika ziara hiyo Wilaya ya Ngara.

Picha za maeneo mbalimbali ya kituo cha kufua Umeme cha Rusumo katika hatua mbalimbali za ujenzi.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Julai 1 - 31, 2021 HABARI 6 Wakili Byabato asema Bilioni 34 kutumika kusambaza Umeme Vijiji 166, Kagera

Na Zuena Msuya, Alifafanua kuwa, Kagera kwa Wilaya ya Muleba, ambapo mradi huo aibu Waziri umezinduliwa, Serikali wa Nishati, imetenga shilingi Wakili Bilioni 6 ambazo Stephen zitatumika kusambaza Byabato, Umeme katika Vijiji Namesema Serikali 30, ambapo pia imetenga shilingi Bilioni Mkandarasi ametakiwa 34 zitakazotumika kuwaunganishia katika Mradi wa Naibu Waziri wa Nishati, Wakili Stephen Byabato (wa pili kushoto) Umeme wateja 400 kwa kusambaza Umeme akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa usambazaji wa umeme kuanzia. Vijijini Awamu ya Tatu mzunguko wa Pili kwa Mkoa wa Kagera Vijijini Awamu ya Tatu uliofanyika katika Kijiji Omurunazi wilayani Muleba mkoani humo, “Azma ya Serikali mzunguko wa Pili kwa Juni 19, 2021. ni kuhakikisha kuwa Vijiji 166 ambavyo bado ifikapo mwakani 2022, uliofanyika Juni 19, zitatumika katika mradi havijafikiwa na Umeme vijiji vyote nchini viwe 2021. wa kusambaza umeme katika Mkoa wa Kagera. vimeunganishiwa Wakili Byabato, Alisema kuwa, katika kwenye vijiji vyote Umeme, hivyo alisema hayo wakati kuhakikisha kuwa vijiji vilivyosalia katika wilaya imetoa muongozo akizindua rasmi mradi vyote vinaunganishwa Saba za mkoa huo kuwa gharama za huo katika Kijiji cha na umeme nchini, Mkoa ambao utatekelezwa kuunganisha Umeme ni Omurunazi wilayani wa Kagera umetengewa kwa kipindi cha miezi shilingi 27,000. Tofauti Muleba mkoani humo, fedha hizo ambazo 18. na ilivyokuwa hapo

Naibu Waziri wa Nishati, Wakili Stephen Byabato (kulia) Naibu Waziri wa Nishati, Wakili Stephen Byabato, akizungumza akizungumza na Mbunge wa Jimbo la Muleba Kaskazini, Charles na wakazi wa Kijiji cha Omurunazi wakati wa uzinduzi rasmi wa Mwijage wakati wa uzinduzi rasmi wa usambazaji wa umeme usambazaji wa Umeme Vijijini Awamu ya Tatu mzunguko wa Vijijini Awamu ya Tatu mzunguko wa Pili kwa Mkoa wa Kagera Pili kwa Mkoa wa Kagera uliofanyika katika Kijiji hicho wilayani uliofanyika katika Kijiji Omurunazi wilayani Muleba Mkoani humo, Muleba mkoani humo, Juni 19, 2021. Juni 19, 2021. HABARI 7 Wakili Byabato asema Bilioni 34 kutumika kusambaza Umeme Vijiji 166, Kagera awali, ni jukumu lenu Aliendelea kusema wananchi kutumia fursa kuwa, suluhisho la hiyo kuunga mkono kudumu litapatikana juhudi za Serikali kwa hivi karibuni kwa kuwa kulipia gharama hizo.” mkoa huo utaanza Alisema Wakili Byabato. kutumia Umeme wa Aidha, alizungumzia Gridi ya Taifa kwa hali ya kukatika kwa kutumia umeme umeme katika mkoa utakaozalishwa katika huo wa Kagera, ambapo mradi wa kufua umeme alisema kuwa sababu wa Rusumo ambao kubwa ni Jiografia ya Mjumbe wa Bodi ya Wakala wa Nishati Vijijini, Mhandisi Styden unatarajiwa kukamilika mkoa huo kuwa na Radi Rwebangira (kulia) kwa niaba ya Mwenyekiti wa bodi hiyo na hivi karibuni. Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), wakati wote ambazo Mhandisi Romanus Lwena (kushoto) wakimsikiliza Naibu Waziri Sambasamba la zimekuwa zikisababisha wa Nishati (hayupo pichani) wakati wa uzinduzi rasmi wa hilo pia utatumia uharibu miundombinu usambazaji wa Umeme Vijijini Awamu ya Tatu mzunguko wa Pili umeme utakaozalishwa kwa Mkoa wa Kagera uliofanyika katika Kijiji Omurunazi wilayani ya umeme. Muleba mkoani humo, Juni 19, 2021. katika mradi wa kufua Hali kadhalika umeme wa Malagarasi umeme unaohudumia pia uchakavu wa katika miundombinu utakaoanza kutekelezwa mkoa huo unasafiri miundombinu. hiyo kupunguza athari hivi karibuni na umbali mrefu ikiwemo Aliweka wazi kuwa, za Radi, na pia vifaa kuufanya mkoa huo kutoka nchini Uganda ili kukabiliana na hivyo vitazuia tatizo kuwa na ziada ya na hivyo kupunguza changamoto hiyo, vifaa likitokea eneo moja umeme katika matumizi nguvu yake na maalum vinafungwa lisiathiri eneo jingine. yake.

Baadhi ya wakazi wa Kijiji Omurunazi pamoja na Wanafunzi Mbunge wa Jimbo la Muleba Kaskazini, (katikati) wakiwa katika uzinduzi rasmi wa Usambazaji wa Umeme akishiri moja ya ngoma za asili katika Mkoa wa Kagera wakati Vijijini Awamu ya Tatu mzunguko wa Pili kwa Mkoa wa Kagera wa uzinduzi rasmi wa Usambazaji wa Umeme Vijijini Awamu ya uliofanyika katika Kijiji hicho wilayani Muleba mkoani humo, Juni Tatu mzunguko wa pili kwa mkoa huo, uliofanyika katika Kijiji 19, 2021. Omurunazi wilayani Muleba, Juni 19, 2021. HABARI 8 Wakili Byabato asema Bilioni 34 kutumika kusambaza Umeme Vijiji 166, Kagera

Naibu Waziri wa Nishati, Wakili Stephen Byabato (kushoto) akihesabu fedha ili kumkabidhi Mbunge wa Jimbo la Muleba Kaskazini, Charles Mwijage kwa ajili ya kuwalipia wateja 10 wa mwanzo watakaounganishiwa umeme wakati wa uzinduzi rasmi wa Usambazaji wa Umeme Vijijini Awamu ya Tatu mzunguko wa Pili kwa Mkoa wa Kagera uliofanyika katika Kijiji Omurunazi wilayani Muleba Mkoani humo, Juni 19, 2021. “Wanakagera kuweka utaratibu mzuri wanapopita kusafisha wazawa zimepewa endeleeni kuvuta subira, utakaowawezesha njia ya kusafirisha dhamana ya kutekeleza changamoto hii ya wananchi kulipia Umeme kwa kuwa kuna mradi huo kwa Mkoa umeme inaenda kuisha gharama za baadhi yao wamekuwa wa Kagera ambazo ni JV hivi karibuni, mradi wa kuunganishiwa umeme wakifyeka na kukata Pomy na Qwihaya. Rusumo unakamilika kidogokigodo ili kila mazao ya wananchi kwa hivi karibuni na kuanza mmoja aunganishwe, madai kuwa yanaharibu Katika hatua kuzalisha umeme, ujenzi pia aliwataka kuanzisha miundombinu ya nyingine alizungumzia wa njia ya kusafirisha madawati maalum Umeme. mradi wa Bomba umeme kutoka katika vijijini ya kulipia Aliwaeleza kuwa la mafuta ambapo mradi huo kufika gharama hizo ili wanapofanya kazi aliwataka wananchi hapa Kagera umeanza wananchi wasitembee ya kusafisha njia za kuanza kujiandaa kutekelezwa na umbali mrefu kufuata kusafirisha umeme ni kupokea mradi huo TANESCO na fedha zipo huduma hiyo. vyema kuwashirikisha na kuchangamkia tayari, tatizo hili muda si Sambamba na hilo, wananchi wa eneo fursa za kufanya kazi mrefu itakuwa historia.” aliwataka wafanyakazi husika ili kupunguza alisisitiza Wakili Byabato. wa TANESCO kutekeleza malalamiko ya mara katika maeneo ambayo Vilevile aliliagiza majukumu yao kwa kwa mara kutoka kwa mradi wa bomba hilo Shirika la Umeme weledi pasipo kuathiri wananchi hao. utakapotekelezwa. Tanzania (TANESCO) mali za watu hasa Kampuni mbili za HABARI 9 KAMATI YA BUNGE YATOA WITO yaliyotolewa. Akifafanua, Waziri WAKANDARASI WABOVU MIRADI Kalemani alieleza kuwa tayari Serikali YA REA WASIPEWE TENA KAZI ilikwishachukua hatua za kuachana na yao. wakandarasi wabovu Aliutaka Uongozi ambapo alibainisha wa Wizara ya Nishati kuwa katika utekelezaji na Taasisi zake, wa mradi wa usambazaji hususan Wakala wa umeme vijijini, awamu ya Nishati Vijijini (REA) tatu, mzunguko wa pili na Shirika la Umeme ambao unaendelea hivi Tanzania (TANESCO), sasa, wakandarasi wote kutoa kipaumbele wazembe hawakupewa kwa wakandarasi kazi. waliotekeleza kazi zao Katika hatua nyingine, kwa umahiri katika Dkt. Kalemani aliieleza awamu zilizopita. Kamati hiyo kuwa, Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Akizungumza kwa Wizara yake imeamua Madini, Dustan Kitandula (kulia), akizungumza wakati wa semina niaba ya Uongozi mzima kutumia nguzo za zege iliyoratibiwa na Wizara ya Nishati ili kuwajengea uelewa kuhusu wa Wizara na Taasisi sekta husika Wajumbe wa Kamati hiyo Mei 31, 2021 jijini Dodoma. katika maeneo korofi Katikati ni Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani na kushoto ni zake, Waziri wa Nishati hususan yenye ardhi Naibu wake, Stephen Byabato. Dkt. Medard Kalemani inayohifadhi maji ili aliwahakikishia Wajumbe kutatua changamoto ya Veronica Simba na zilizotolewa na baadhi wa Kamati hiyo kuwa, kuharibika kwa nguzo Zuena Msuya ya Wajumbe, katika Serikali itazingatia za miti ndani ya kipindi semina iliyoandaliwa maelekezo yote kifupi. amati ya na Wizara ya Nishati, Kudumu ya ikilenga kuijengea Bunge ya Kamati hiyo uelewa Nishati na wa kazi zinazoendelea Madini imetoa kutekelezwa na sekta Kwito kwa Serikali kuwa husika. wakandarasi ambao Alisema, baadhi ya hawakutekeleza miradi wakandarasi wamekuwa ya umeme vijijini kwa wakikwamisha jitihada kiwango kinachoridhisha na dhamira njema ya katika awamu zilizopita, Serikali inayolenga wasipewe tena kazi hiyo. kuwafikishia umeme Wito huo ulitolewa, wananchi wote walioko Mei 31, 2021 jijini vijijini, kutokana Dodoma na Mwenyekiti na kuchelewesha Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani (kushoto), akizungumza wa Kamati hiyo, Dunstan kukamilisha miradi hiyo wakati wa semina ya kuwajengea uelewa kuhusu sekta ya nishati, Kitandula alipokuwa na wengine kutekeleza Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini iliyofanyika Mei 31, 2021 katika Ukumbi wa Ofisi ndogo za Wizara akitoa majumuisho chini ya kiwango zilizopo Kikuyu, Dodoma. Kulia ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo, ya hoja mbalimbali kinyume na mikataba Dustan Kitandula.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Julai 1 - 31, 2021 HABARI 10 KAMATI YA BUNGE YATOA WITO Mkurugenzi wake Mkuu, Mhandisi Amos Maganga WAKANDARASI WABOVU MIRADI alibainisha kuwa Wakala umejiwekea malengo ya YA REA WASIPEWE TENA KAZI kufikisha miundombinu ya umeme kwenye vijiji Pia, aliahidi kuwa vyote Tanzania Bara, Wizara ya Nishati ifikapo Desemba, 2022. itaendelea kusimamia Aidha, alieleza kikamilifu suala la kuwa REA imejipanga uzalishaji nguzo za kuhakikisha hali ya miti zenye ubora, upatikanaji wa huduma unaofanyika ndani ya za umeme inafikia nchi ili kuhakikisha asilimia 100 ifikapo zinakidhi viwango vya mwaka 2030. kimataifa. Aliongeza Kwa upande wa kuwa, lengo ni kuepusha mafanikio, Mhandisi hasara katika miradi Maganga alibainisha ya usambazaji umeme kuwa ni pamoja na inayotekelezwa kote kufikisha na kusambaza Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Leonard Masanja nchini, ambapo Serikali umeme katika Makao (aliyesimama), akizungumza wakati wa semina ya kuwajengea inatumia nguzo hizo uelewa kuhusu sekta ya nishati, Wajumbe wa Kamati ya Kudumu Makuu ya Wilaya zote za ya Bunge ya Nishati na Madini iliyofanyika Mei 31, 2021 katika baada ya kuacha kuagiza Tanzania Bara. Vilevile Ukumbi wa Ofisi ndogo za Wizara zilizopo Kikuyu, Dodoma. kutoka nje ya nchi. alisema, kupitia REA, Kushoto kwake ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Kheri Awali, akiwasilisha Mahimbali. Serikali imewezesha mada kuhusu hali ya upatikanaji wa miradi mbalimbali umeme maeneo ya inayotekelezwa na REA, vijijini kuongezeka

Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Manonga, Seif Gulamali Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi akizungumza wakati wa semina ya kuwajengea uelewa kuhusu Amos Maganga akiwasilisha mada kuhusu utekelezaji wa miradi sekta ya nishati, Wajumbe wa Kamati hiyo Mei 31, 2021 katika mbalimbali kupitia Wakala huo, kwa Wajumbe wa Kamati ya Ukumbi wa Ofisi ndogo za Wizara ya Nishati zilizopo Kikuyu, Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Mei 31, 2021 katika Dodoma. Ukumbi wa Ofisi ndogo za Wizara zilizopo Kikuyu, Dodoma.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Julai 1 - 31, 2021 HABARI 11 KAMATI YA BUNGE YATOA WITO Semina hiyo ilifanyika katika Ofisi ndogo za WAKANDARASI WABOVU MIRADI Wizara zilizopo Kikuyu Dodoma. Viongozi YA REA WASIPEWE TENA KAZI wengine wa Serikali walioshiriki ni pamoja na Naibu Waziri wa Nishati Stephen Byabato, Katibu Mkuu Mhandisi Leonard Masanja, Naibu Katibu Mkuu Kheri Mahimbali na Wataalamu mbalimbali wa Wizara, REA na TANESCO. Taasisi nyingine zilizowasilisha mada katika semina hiyo ni kutoka TANESCO iliyowasilishwa na Mkurugenzi wake Mtendaji, Dkt. Tito Viongozi na Wataalam mbalimbali wa Wizara ya Nishati, Wakala wa Nishati Vijijini (REA) pamoja na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), wakifuatilia mada zilizokuwa zikiwasilishwa wakati wa semina Mwinuka pamoja na ya kuwajengea uelewa kuhusu sekta ya nishati, Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati kampuni yake tanzu ya na Madini iliyofanyika Mei 31, 2021 katika Ukumbi wa Ofisi ndogo za Wizara zilizopo Kikuyu, Dodoma. uendelezaji Jotoardhi kutoka asilimia mbili mengine kuwa ni ufanisi katika utoaji (Tanzania Geothermal mwaka 2007 hadi kufikia kuwezesha taasisi za afya, huduma. Pia, kuwezesha Development Company - asilimia 69.6 mwaka elimu na maji kufikiwa na uboreshwaji wa kilimo TGDC), iliyowasilishwa na 2020. huduma za umeme hivyo cha umwagiliaji katika Meneja Mkuu, Mhandisi Alitaja mafanikio kuboresha na kuongeza mashamba. Kato Kabaka.

Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Nyasa, Mhandisi Stella ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Msalala, Iddy Kassim Iddy Manyanya akizungumza wakati wa semina ya kuwajengea uelewa akizungumza wakati wa semina ya kuwajengea uelewa kuhusu kuhusu sekta ya nishati, Wajumbe wa Kamati hiyo Mei 31, 2021 sekta ya nishati, Wajumbe wa Kamati hiyo Mei 31, 2021 katika katika Ukumbi wa Ofisi ndogo za Wizara ya Nishati zilizopo Kikuyu, Ukumbi wa Ofisi ndogo za Wizara ya Nishati zilizopo Kikuyu, Dodoma. Dodoma.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Julai 1 - 31, 2021 HABARI 12

mafuta kwenda kwenye TANZANIA INAONGOZA KWA mfumo wa kutumia gesi. Waziri Kalemani,aliwatoa UZALISHAJI WA GESI ASILIA wasiwasi Watanzania kuhusu upatikanaji wa kubadilisha mfumo huo vituo vya kujazia gesi, na kuweka mfumo wa ambapo alifafanua kutumia gesi kwakuwa kuwa kuna vituo vitano vituo vya kubadilisha vinajengwa na tayari mfumo huo vipo nchini. vituo viwili vya kuwekea Alivitaja vituo hivyo gesi vinatoa huduma vya kuweka mfumo wa hiyo kituo cha Ubungo kutumia gesi, ni kituo na Chuo kikuu cha Dar es cha Chuo kikuu cha Dar Saalam. es Saalam na DIT, na “Tumetoa maelekezo kuwasisitiza watanzania kwa wataalamu wetu, watumie gesi kwakuwa mwakani tutaweka gesi haina gharama na vituo vingi karibu kwa Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani,akizungumza katika uzinduzi wa Magari yanayotumia Gesi Asilia,uliofanyika Jijini Dar pia inapunguza uharibifu kila jiji tutaweka kituo es Salaam, Juni 25, 2021. wa mazingira. cha kujaza gesi katika Hafsa Omar- amebainisha kuwa tayari Pia, aliwataka TPDC, magari, tunaanza na Dar es Salaam kuna gesi ya futi za ujazo GASCO,pamoja na wenye Dodoma,Mbeya,Tanga trilioni 57.54 na bado vituo kuangalia upya bei na Arusha na tutakuwa meelezwa shughuli za utafutaji ya kubadilisha mfumo na vituo vidogo vidogo kuwa,Tanzania na undelezaji wa gesi huo ili Watanzania wengi tunataka tuwe na inaongoza kwa kuwa zinaendelea. waweze kubadilisha vituo vya kujazia gesi na Rasimali ya Gesi Aidha, alisema gari zao kutoka kwenye sawa na vituo vya asili nyingi kuliko Serikali imeshasambaza mfumo ya kutumia mafuta,”alisema. nchi nyingine za Afrika I gesi katika sehemu Mashariki. mbalimbali Hayo yalibainishwa nchini,amezitaja na Waziri wa Nishati, sehemu hizo ambazo ni Dkt. Medard Kalemani, viwandani, manyumbani Juni 25, 2021 wakati na kwenye magari wa uzinduzi wa magari ambapo ameeleza gari yanayotumia Gesi iliyozinduliwa ni gari Asilia,uliofanyika Jijini ya 701 kuwekewa gesi Dar es Salaam. nchini. Akizungumza katika Dkt. Kalemani uzinduzi huo,Dkt. aliwataka watanzania Kalemani alieleza kuwa kuanza kununua magari kwasasa nchini kuna yenye mfumo wa kuweka gesi nyingi ya kutosha gesi na kuwataka Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, , akizungumza katika uzinduzi wa Magari kulinganisha na nchi wenye magari ambayo yanayotumia Gesi Asilia,uliofanyika Jijini Dar es Salaam, Juni 25, za jirani, ambapo yanatumia mafuta 2021.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Julai 1 - 31, 2021 HABARI 13

lazima kipate kibali cha TANZANIAUmeme wa JNHPP INAONGOZA kuanza kutumika KWA tathmini Juni ya mazingira 2022 na sharti moja la kupata kibali hiko kuanzia mwezi UZALISHAJI WA GESI ASILIA julai lazima muwekezaji yoyote katika kituo chake katika uwekezaji wa gesi. aweke eneo ambalo Alisema kuwa, atafunga mtungi wa gesi. anatarajia kuona Nae, Seif Ally Seif, wawekezaji wengi ambae mmiliki wa gari nchini Tanzania wenye lililozinduliwa alisema viwanda na makampuni magari ya Scania mapya mbalimbali hasa wenye yanayotumia gesi asilia magari kuanza kutumia yataleta mapinduzi magari yenye mfumo makubwa katika uchumi wa kujazia gesi ili wa nchi kwakuwa sio tu kupunguza uharibifu wa yataokoa fedha nyingi mazingira. za kigeni zinazotumika Waziri Jafo, alimuagiza katika kuagiza mafuta Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani,akikata utepe kuashiria kwa uzinduzi wa Magari yanayotumia Gesi Asilia,uliofanyika Jijini mtendaji mkuu wa nje, lakini yatasaidia Dar es Salaam, Juni 25, 2021.(Katikati )Mkurugenzi Mtendaji wa NEMC kuhakikisha kuongeza pato la Taifa Shirika la Petroli Tanzania(TPDC) Dkt. James Mataragio(kulia) kuwa hakuna kituo kutokana na kuwa Kamishna Msaidizi wa Gesi Mhandisi Mohamed Fakihi. chochote cha mafuta yatatumia gesi ambayo kinachowezwa kujengwa inazalishwa nchini. Vilevile, alitoa wito kwa wawekezaji wengine kujitokeza kwa wingi kutumia rasilimali ya gesi asilia kwa kuwa gesi bado ipo nyingi na haijatumika kwa kiwango kikubwa amewataka kutumia gesi hiyo ili kuchochea shughuli za kiuchumi hapa nchini. Kwa upande wake, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Selemani Jafo, aliipongeza Wizara ya Nishati kwa kufanya uwekezaji mkubwa wa ugunduzi na uwekezaji Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani akimkabidhi mfano wa ufungo wa gari, Ndugu Seif Ally wa Gesi asilia na kuifanya Seif(katikati) mara baada ya kuzindua uzinduzi wa wa Magari yanayotumia Gesi Asilia, uliofanyika nchi iweze kusikika Jijini Dar es Salaam, Juni 25, 2021.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Julai 1 - 31, 2021 HABARI KATIKA PICHA 14

Picha mbalimbali za matukio kwenye uzinduzi wa Magari yanayotumia Gesi Asilia,uliofanyika Jijini Dar es Salaam, Juni 25, 2021.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Julai 1 - 31, 2021 HABARI 15 Kamati ya uwezeshaji mradi wa JNHPP yaridhishwa na hatua ya ujenzi

mradi husika na hatua iliyofikiwa kulingana na makubaliano ya mkataba wa utekelezaji wa mradi huo, katika Bonde la Mto Rufiji mkoani Pwani. Chile alisema kuwa, kamati imekuwa ikifuatilia kwa karibu utekelezaji wa mradi huo tangu hatua za awali hadi sasa, ambapo pamoja na mambo mengine, baada ziara hiyo, imeridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa mradi huo na wanaimani Mratibu Msaidizi wa Utekelezaji wa Mradi wa Julius Nyerere(JNHPP), kutoka Wizara ya Nishati, kuwa utakamilika ndani Mhandisi Yusuph Msembele( katikati) akiwaeleza jambo Wajumbe wa Kamati ya uwezeshaji ya Mradi huo, kutoka Wizara na Taasisi mbalimbali za Serikali wakati wa ziara ya kukagua maendeleo ya ya muda uliopangwa. utekelezaji wa mradi huo iliyofanyika Juni 23 na 24, 2021, mkoani Pwani. Alieleza kuwa kamati Na Zuena Msuya,

amati ya Uwezeshaji ya Mradi wa kufua Umeme wa Julius Nyerere K(JNHPP), kutoka Wizara na Taasisi mbalimbali za Serikali imeridhishwa na hatua iliyofikiwa katika ujenzi wa mradi huo. Mmoja wa wajumbe Kamati hiyo Albert Chile, akizungumza kwa niaba ya kamati hiyo, alisema kuwa wamefanya ziara hiyo Juni 23 na 24, 2021, Mtaalamu Mshauri wa Mradi wa Julius Nyerere, Mhandisi Kamugenyi Luteganya (pili kushoto) akiwaonyesha jambo Wajumbe wa Kamati ya uwezeshaji ya Mradi huo, kutoka Wizara na Taasisi kwa lengo la kukagua mbalimbali za Serikali wakati wa ziara ya kukagua maendeleo ya utekelezaji wa mradi huo utekelezaji wa ujenzi wa iliyofanyika Juni 23 na 24, 2021, mkoani Pwani.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Julai 1 - 31, 2021 HABARI 16 Kamati ya uwezeshaji mradi wa JNHPP yaridhishwa na hatua ya ujenzi

Wajumbe wa Kamati ya uwezeshaji ya Mradi wa Julius Nyerere (JNHPP, kutoka Wizara na Taasisi mbalimbali za Serikali, wakiwa Wajumbe wa Kamati ya uwezeshaji ya Mradi huo, kutoka Wizara katika picha ya pamoja na waratibu wa Mradi kutoka Wizara ya na Taasisi mbalimbali za Serikali, wakitazama shughuli za ujenzi Nishati pamoja na wasimamizi wa ujenzi wa mradi huo, wakati unaoendelea katika mradi wa Julius Nyerere (JNHPP) wakati wa ziara ya kukagua maendeleo ya utekelezaji wa mradi huo wa ziara ya kukagua maendeleo ya utekelezaji wa mradi huo iliyofanyika Juni 23 na 24, 2021, mkoani Pwani. iliyofanyika Juni 23 na 24, 2021, mkoani Pwani. hiyo imeundwa mahsusi ikihusisha wajumbe kutoka Wizara na Taasisi mbalimbali za serikali kwa lengo la kurahisisha na kufuatilia utekelezaji wa mradi kwa kuhakikisha majukumu yote katika makubaliano ya mkataba yanatekelezwa kwa wakati sahihi pamoja na kuishauri serikali. Kamati hiyo ilitembelea na kukagua maeneo mbalimbali ya utekelezaji wa Mradi huo ambayo ni Handaki la Kuchepusha Maji ya Mto, Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mazingira Wizara ya Nishati, Emilian Nyanda( aliyesimama) akizungumza na Wajumbe wa Kamati ya uwezeshaji ya Mradi wa Julius Nyerere(JNHPP), juu Kingo za Bwawa husika, uhamasishaji na Utunzaji wa Mazingira wakati mkutano, baada ya ziara ya kukagua maendeleo ya Tuta kuu la Bwawa, Kituo utekelezaji wa mradi huo iliyofanyika Juni 23 na 24, 2021, mkoani Pwani.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Julai 1 - 31, 2021 HABARI 17 Kamati ya uwezeshaji mradi wa JNHPP yaridhishwa na hatua ya ujenzi cha Kuchochea Umeme pamoja na Nyumba ya kuendeshea Mitambo ya kuzalisha umeme. Aidha walitembelea na kukagua Daraja la Kudumu, Barabara, Njia ya kupitisha maji ya kuzalisha umeme, pamoja na eneo la ufungaji wa mitambo. “Tumetembelea, tumekagua na tumeona maendeleo ya mradi, kasi ya ujenzi inaendelea vizuri kuna mabadiliko makubwa sana ukilinganisha na Sehemu ya ujenzi wa Daraja la kudumu linalojengwa katika Mradi wa Julius Nyerere (JNHPP),mkoani Pwani. huko nyuma, tunaimani Bitesigirwe, alisema kuwa ya kwamba Mkandarasi mradi huo unatarajiwa atamaliza kwa muda kukamilika mwezi uliopangwa, hakika Juni 2022 na kwamba mradi huu ni ndoto ya mkandarasi amelipwa Serikali na watanzania zaidi ya shilingi Trilioni kwa jumla ya kuzalisha 2.5 ambayo ni sawa na umeme mwingi zaidi asilimia 100 ya malipo ya hapa nchini kupitia kazi iliyofanyika katika vyanzo mbalimbali, ili mradi huo. kuwa na umeme mwingi Kuanzia mwezi wa bei nafuu na wa novemba huu, maji uhakika kwa watumiaji”, yataanza kujazwa katika alisema Chile bwawa hilo. Kwa upande wake Mhandisi Bitesigirwe, Mwenyekiti wa Kamati ya uwezeshaji ya Mradi wa Julius Nyerere (JNHPP, kutoka Wizara na Taasisi mbalimbali za Serikali ambaye Mwenyekiti wa Kamati alisema kuwa kutokana pia ni Mratibu wa mradi huo kutoka Wizara ya Nishati, Mhandisi hiyo ambaye pia ni na Serikali kuendelea Christopher Bitesigirwe akizungumza na wajumbe wa Kamati Mratibu wa mradi huo kutimiza wajibu wake hiyo wakati mkutano, baada ya ziara ya kukagua maendeleo ya utekelezaji wa mradi huo iliyofanyika Juni 23 na 24, 2021, mkoani kutoka Wizara ya Nishati, wa kulipa madai ya Pwani. Mhandisi Christopher Mkandarasi kwa wakati

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Julai 1 - 31, 2021 HABARI 18 Kamati ya uwezeshaji mradi wa JNHPP yaridhishwa na hatua ya ujenzi katika kipindi cha miezi kijamii na hivyo kufanya za mradi, hivyo serikali Baada ya wajumbe 24 bila kuchelewa, hadi thamani ya gharama za imetekeleza wajibu wake hao kutembelea na kufika Desemba 2020, miradi ya kijamii kufikia kimkataba na kufanikiwa kukagua maeneo tangu kuanza kwa mradi zaidi shilingi bilioni 262. kupata nyongeza ya mbalimbali ya huo, imefanikiwa kupata “Wakati wa fedha hizo”, alisisitiza utekelezaji wa ujenzi wa nyongeza ya asilimia majadiliano ya Mhandisi Bitesigirwe. mradi huo, walifanya moja (1%) zaidi katika utekelezaji wa mradi Kwa mujibu wa kikao cha pamoja na fedha zitakazotolewa na huo, ilikubalika kuwa Mhandisi Bitesigirwe, wameishauri serikali mkandarasi kwa ajili ya endapo mkandarasi utekelezaji wa ujenzi wa kupitia wizara na taasisi utekelezaji wa miradi ya atalipwa madai ya mradi wa JNHPP kwa husika kutilia mkazo kijamii. kazi alizofanya kwa ujumla umefikia hatua suala la kuhamasisha Alifafanua kuwa wakati bila kuchelewa nzuri, huku kazi za ujenzi wananchi juu ya asilimia moja ya Fedha madai ndani ya kipindi zikiendelea kwa lengo la utunzaji wa mazingira hizo ni zaidi ya shilingi cha miezi 24, kiasi cha kuzalisha Megawati 2115 ili kuweza kupata mvua Bilioni 65 ambazo fedha za kwa miradi ya za umeme kwa kutumia za kutosheleza uwepo zitatumika kutekeleza kijamii kitaongezwa kwa maporomoko ya maji ya wa maji katika mradi wa miradi mbalimbali ya asilimia 1% ya gharama Bonde la Mto Rufiji. JNHPP.

Kazi ya ujenzi ikiendelea katika eneo la nyumba ya kuendeleshea mitambo ya kuzalisha umeme katika mradi wa Julius Nyerere( JNHPP)

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Julai 1 - 31, 2021 HABARI 19 SERIKALI KUTUMIA TAKRIBANI SHILINGI BILIONI 62 KUVIPELEKEA UMEME VIJIJI 384 MKOANI MTWARA

Na Dorina G. Makaya - ya Tatu Mzunguko wa MTWARA Pili Katika mkoa wa Mtwara uliofanyika aziri wa katika kijiji cha Nishati, Namtumbuka, kilichopo Mhe. kata ya Namtumbuka, Dkt. Halmashauri ya mji wa Medard Nanyamba, Wilaya ya WKalemani amesema, Mtwara, mkoani Mtwara. Serikali imetenga Dkt. Kalemani shilingi bilioni 62.146 alisema, kati ya vijiji kuvipelekea umeme 797 vilivyopo mkoani vijiji 384 vilivyosalia Mtwara, vijiji 413 tayari kuunganishiwa umeme vimepatiwa umeme mkoani Mtwara ndani ya na vijiji vilivyosalia 384 miezi 18 kuanzia tarehe vitapatiwa umeme katika 20 Juni, 2021. Mradi huu ndani ya miezi Waziri Kalemani 18 na hivyo kuweka aliyasema hayo leo historia ya mafanikio tarehe 19 Juni, 2021 katika kutekeleza Miradi alipokuwa akifanya ya kusambaza Umeme uzinduzi wa Mradi Vijijini. Kabambe wa Kusambaza Alisema, Itakapofika Umeme vijijini Awamu Disemba 2022, Tanzania

Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Medard Kalemani akifanya uziinduzi wa Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme vijijini Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili Katika mkoa wa Mtwara. Hafla hiyo ya uzinduzi ilifanyika katika kijiji cha Namtumbuka, kilichopo kata ya Namtumbuka, Halmashauri ya mji wa Nanyamba, Wilaya ya Mtwara, mkoani Mtwara tarehe 19 Juni, 2021. Wengine ni viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali wakiwa pamoja na viongozi kutoka Wizara ya Nishati, REA naTANESCO. itaandika historia katika Waziri Kalemani vitabu vyake kuwa vijiji alisema, hadi sasa, vyote vya Tanzania Bara zaidi ya vijiji 10,312 vimepata umeme na vimeshapelekewa kuungana na mataifa umeme na vilivyobakia Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Medard Kalemani akikata utepe kuzindua Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme vijijini Awamu mengine duniani takribani vijiji 1,956 ya Tatu Mzunguko wa Pili Katika mkoa wa Mtwara. Hafla hiyo ya yaliyoendelea ambayo ndivyo vinapelekewa uzinduzi ilifanyika katika kijiji cha Namtumbuka, kilichopo kata ya Namtumbuka, Halmashauri ya mji wa Nanyamba, Wilaya ya yameshaandika historia umeme katika mradi Mtwara, mkoani Mtwara tarehe 19 Juni, 2021. hii. huu.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Julai 1 - 31, 2021 HABARI 20 SERIKALI KUTUMIA TAKRIBANI SHILINGI BILIONI 62 KUVIPELEKEA UMEME VIJIJI 384 MKOANI MTWARA

Alisema Serikali nyaya katika nyumba. imetenga takribani Aidha Waziri Kalemani shilingi bilioni 10.3 alisisitiza kuwa, kwa kwa ajili ya kuvifikishia wananchi ambao umeme vijiji vyote 58 watakuwa na upungufu vilivyosalia katika Wilaya wa fedha za kulipia kwa ya Mtwara, kikiwemo mkupuo, wanaweza kijiji cha Namtumbuka. kulipia kidogo kidogo Dkt. Kalemani na watakapokamilisha aliwaasa wananchi wa malipo yao wanaweza Mtwara watandaze kuunganishiwa umeme nyaya kwenye nyumba katika kipindi ambacho zao na kulipia shilingi Mkandarasi yupo katika Waziri Kalemani akiwatambulisha kwa wananchi na viongozi wa 27,000/= tu ili waweze eneo la Mradi. Mkoa wa Mtwara, Wakandarasi watakaosambaza umeme katika kuunganishiwa Dkt. Kalemani vijiji vya Mkoa wa Mtwara vilivyosalia kuunganishiwa umeme ambao ni Namis Corporate Engineers and Contractors ambaye umeme na kwa wale aliwataka wananchi wa atatekeleza Mradi katika Wilaya za Masasi na Nanyumbu wakati wenye nyumba ndogo kijiji cha Namtumbuka na Central Electricals International atatekeleza Mradi katika wilaya zisizozidi vyumba vitatu, wananchi wote kiujumla za Mtwara, Newala na Tandahimba na kuwataka Wakandarasi hao, TANESCO na REA kufungua ofisi kijijini Namtumbuka ili wanaweza kutumia kifaa ambapo Mradi wa kuwapatia huduma za umeme wanakijiji hao kwa urahisi. Dkt. cha UMETA ambacho kupeleka Umeme vijijini Kalemani alimuagiza Mkandarasi atakayeunganisha umeme kijijini Namtumbuka, kukamilisha kazi hiyo ndani ya wiki tatu na kuahidi hakihitaji kutandaza unafanyika, watumie kurejea kijijini hapo kuwasha umeme ndani ya muda huo. fursa ya kupatikana watakaosambaza umeme kwa umeme katika katika vijiji vya Mkoa kuendeleza na kukuza wa Mtwara vilivyosalia shughuli zao za kiuchumi kuunganishiwa umeme ikiwemo kilimo, ufugaji ambao ni Namis na uvuvi. Corporate Engineers Aliwaasa wananchi and Contractors ambaye wote kutunza nguzo atatekeleza Mradi na kuonya kuwa, katika Wilaya za Masasi hatua kali za kisheria na Nanyumbu wakati zitachukuliwa kwa Central Electricals yeyote atakayebainika International atatekeleza Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Medard Kalemani akifurahia pamoja kuharibu miundombinu Mradi katika wilaya na viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali pamoja na viongozi ya umeme. za Mtwara, Newala kutoka Wizara ya Nishati, REA naTANESCO. mara baada ya kukata Pia, Waziri Kalemani na Tandahimba na utepe ikiwa ni ishara ya kuzindua Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme vijijini Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili Katika mkoa aliwatambulisha kuwataka Wakandarasi wa Mtwara. Hafla hiyo ya uzinduzi ilifanyika katika kijiji cha kwa wananchi na hao, TANESCO na Namtumbuka, kilichopo kata ya Namtumbuka, Halmashauri ya viongozi wa Mkoa wa REA kufungua ofisi mji wa Nanyamba, Wilaya ya Mtwara, mkoani Mtwara tarehe 19 Juni, 2021. Mtwara, Wakandarasi kijijini Namtumbuka ili

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Julai 1 - 31, 2021 HABARI 21 SERIKALI KUTUMIA TAKRIBANI SHILINGI BILIONI 62 KUVIPELEKEA UMEME VIJIJI 384 MKOANI MTWARA kuwapatia huduma za makubwa katika kazi ya umeme wanakijiji hao kupeleka umeme vijijini kwa urahisi. hapa nchini. Aidha Dkt. Kalemani Akizungumza kwa alimuagiza Mkandarasi niaba ya Mkuu wa Mkoa atakayeunganisha wa Mtwara wakati wa umeme kijijini hafla hiyo ya uzinduzi Namtumbuka, wa Mradi Kabambe wa kukamilisha kazi hiyo Kusambaza Umeme ndani ya wiki tatu na vijijini Awamu ya Tatu kuahidi kurejea kijijini Mzunguko wa Pili Katika hapo kuwasha umeme mkoa wa Mtwara, Mkuu ndani ya muda huo. wa Wilaya ya Mtwara, Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Medard Kalemani akizungumza Vile vile, Waziri Mhe. Dunstan Kyobya na wananchi wa kijiji cha Namtumbuka, wakati wa hafla ya Kalemani alimpongeza amesema, mbali ya kuzindua Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme vijijini Awamu Kaimu Mkurugenzi kuwa umeme ni fursa ya Tatu Mzunguko wa Pili Katika mkoa wa Mtwara. Hafla hiyo ya uzinduzi ilifanyika katika kijiji cha Namtumbuka, kilichopo kata Mkuu REA, Mha. Jones nzuri katika kuleta ya Namtumbuka, Halmashauri ya mji wa Nanyamba, Wilaya ya Olotu kwa kazi nzuri maendeleo ya kiuchumi, Mtwara, mkoani Mtwara tarehe 19 Juni, 2021. anayoifanya ambayo lakini kwa mkoa wa muhimu sana katika utakaopatikana katika imepelekea mafanikio Mtwara, umeme ni suala la ulinzi na usalama kuongeza thamani kwa maeneo mengi kwenye mazao yao kwa ya mipakani hususan kujenga viwanga vidogo kata za Namtumbuka, vidogo. Mnongodi, Aidha Mkuu huyo Milangominne, Kitaya, wa Wilaya ya Mtwara Kiyanga, Kiromba, aliongeza kuwa, Mahurunga, Tangazo, kupatikana kwa umeme Madimba, Msimbati kutachochea upatikanaji na kwenye maeneo ya wa mawasiliano ya simu vyombo vya ulinzi na na kuwa chanzo cha usalama. mapato kwa wananchi. Mhe. Kyobya Alisema, Naye Mwenyekiti wa kupatikana kwa umeme Bodi ya Nishati Vijijini Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Medard Kalemani akionesha kifaa cha UMETA kwa wanakijiji cha Namtumbuka, kata ya Namtumbuka, katika vijiji vilivyobakia (REA) Wakili Julius Halmashauri ya mji wa Nanyamba, Wilaya ya Mtwara, mkoani ambavyo vilikuwa bado Bundala Kalolo alisema, Mtwara ambapo uzinduzi wa Mradi Kabambe wa Kusambaza havijaunganishiwa atahakikisha fedha Umeme vijijini Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili Katika mkoa wa Mtwara. tarehe 19 Juni, 2021. Waziri Kalemani aliwashauri umeme, ni fursa kwa iliyotengwa na Serikali wananchi wenye nyumba ndogo zisizozidi vyumba vitatu, wanamtwara hasa inatumika ipasavyo kwa kutumia kifaa cha UMETA ambacho hakihitaji kutandaza nyaya wakulima wa zao la kuhakikisha Nishati ya katika nyumba pale mwananchi anapokwama kupata fedha za kumwezesha kutandaza nyaya kwenye nyumba ili aunganishiwe Korosho na ufuta, umeme inasambazwa umeme. kuutumia umeme kwenye vijiji vyote

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Julai 1 - 31, 2021 HABARI 22 SERIKALI KUTUMIA TAKRIBANI SHILINGI BILIONI 62 KUVIPELEKEA UMEME VIJIJI 384 MKOANI MTWARA vilivyosalia ambavyo mjini Mhe. Hassan Muungano wa Tanzania, Katika ziara hiyo, bado havijaunganishiwa Mtenga, Mbunge wa Mhe. Samia Suluhu Waziri wa Nishati umeme. Ndanda Mhe. Cecil Hassan, kwa kutenga Mhe. Dkt. Medard Wakizungumza kwa Mwambe, na Mbunge fedha na kupeleka Kalemani, aliambatana nyakati mbalimbali, wa Lulindi Mhe. umeme katika vijiji na wataalamu kutoka wakati wa hafla hiyo, Issa Mchungahela vilivyokuwa bado Wizara ya Nishati, mbunge wa Nanyamba wameipongeza na havijaunganishiwa TANESCO na REA na Mhe. Abdallah Chikota, kuishukuru Serikali umeme mkoani Mtwara, ilihudhuriwa na viongozi Mbunge wa Tandahimba ya awamu ya sita hatua itakayochochea mbalimbali wa Chama Mhe. Katani Katani, inayoongozwa na maendeleo ya kiuchumi na Serikali wa Wilaya na Mbunge wa Mtwara Rais wa Jamhuri ya na kijamii mkoani humo. Mkoa wa Mtwara.

Wananchi wa kijiji cha Namtumbuka, wakimsikiliza Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Medard Kalemani wakati wa hafla ya kuzindua Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme vijijini Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili Katika mkoa wa Mtwara. Hafla hiyo ya uzinduzi ilifanyika katika kijiji cha Namtumbuka, kilichopo kata ya Namtumbuka, Halmashauri ya mji wa Nanyamba, Wilaya ya Mtwara, mkoani Mtwara tarehe 19 Juni, 2021.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Julai 1 - 31, 2021 HABARI KATIKA PICHA 23

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Mha. Washiriki wa Hafla ya Uzinduzi wa Mradi Kabambe wa Kusambaza Jones Olotu ( wa kwanza kushoto na mjumbe wa Bodi ya Wakala Umeme vijijini Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili Katika mkoa wa Nishati Vijijini (REA) Bw. Oswald Urassa pamoja na washiriki wa Mtwara, wakifuatilia hotuba ya Waziri Kalemani alipokuwa wengine wa hafla ya Uzinduzi wa Mradi Kabambe wa Kusambaza akizungumza na wananchi wa kijiji cha Namtumbuka tarehe 19 Umeme vijijini Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili Katika mkoa Juni, 2021. wa Mtwara, wakifuatilia hotuba ya Waziri Kalemani alipokuwa akizungumza na wananchi wa kijiji cha Namtumbuka tarehe 19 Juni, 2021.

Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REA) Wakili Julius Bundala Kalolo akizungumza wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme vijijini Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili Katika mkoa wa Mtwara, iliyofanyika katika kijiji cha Namtumbuka, kilichopo kata ya Namtumbuka, Halmashauri ya mji wa Nanyamba, Wilaya ya Mtwara, mkoani Mtwara, tarehe 19 Juni, 2021.

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Mha. Jones Olotu akizungumza wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme vijijini Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili katika mkoa wa Mtwara, iliyofanyika katika kijiji cha Namtumbuka, kilichopo kata ya Namtumbuka, Halmashauri ya mji wa Nanyamba, Wilaya ya Mtwara, mkoani Mtwara tarehe 19 Juni, 2021.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Julai 1 - 31, 2021 HABARI KATIKA PICHA 24

Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Medard Kalemani akikabidhi kifaa cha Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Medard Kalemani akiwa katika UMETA kwa wanakijiji cha Namtumbuka, kata ya Namtumbuka, picha ya pamoja na viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali Halmashauri ya mji wa Nanyamba, Wilaya ya Mtwara, mkoani alipotembelea Ofisi Kuu ya CCM Mkoa wa Mtwara kabla ya Hafla Mtwara wakati wa hafla ya uzinduzi wa Mradi Kabambe wa ya Uzinduzi wa Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme vijijini Kusambaza Umeme vijijini Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili Katika mkoa wa Mtwara tarehe Katika mkoa wa Mtwara. tarehe 19 Juni, 2021. 19 Juni, 2021.

Kikundi cha ngoma kikitumbuiza wakati wa Hafla ya Uzinduzi wa Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme vijijini Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili Katika mkoa wa Mtwara, iliyofanyika katika kijiji cha Namtumbuka, kilichopo kata ya Namtumbuka, Halmashauri ya mji wa Nanyamba, Wilaya ya Mtwara, mkoani Mtwara tarehe 19 Juni, 2021.

Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REA) Wakili Julius Bundala Kalolo (wa pili kutoka kushoto ) na Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Mhe. Dunstan Kyobya (wa tatu kutoka kushoto) wakifuatilia hotuba ya Waziri Kalemani wakati wa hafla ya uzinduzi wa Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme vijijini Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili Katika mkoa wa Mtwara tarehe 19 Juni, 2021.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Julai 1 - 31, 2021 HABARI 25 MAJADILIANO MRADI WA LNG MWISHO OKTOBA-DKT KALEMANI Hafsa Omar-Lindi uliyofanyika Mkoani Lindi. aziri wa Dkt. Kalemani Nishati, alisema kuwa Timu ya Dkt. maajadiliano baina ya Medard Serikali na wawekezaji walipewa miezi sita WKalemani amesema kwaajili ya majadiliano majadiliano ya ya utekelezaji wa utekelezaji wa Mradi mradi, na mpaka sasa wa Kuchakata na imebaki miezi minne ili Kusindika Gesi Asilia kukamilisha majadiliano (LNG) yatakamilika hayo na kuanza rasmi Oktoba mwaka na hatua kwa ujenzi wa mradi huo. Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania ya ujenzi wa mradi huo “Mhe. Rais (TPDC) Dkt. James Mataragio akizungumza katika Mkutano utaanza mara moja. amedhamiria mradi wa Uhamasishaji kwa Wadau kuhusu Mradi wa Gesi Asilia iliyosindikwa kuwa kimiminika (LNG), uliyofanyika Mkoani Lindi, Aliyasema hayo, huu ujengwe kwa kasi Juni 20,2021 Juni 20, 2021 wakati na sisi tumejipanga wa Mkutano wa kutekeleza maelekezo hatua moja ya utekelezaji kwaajili utekelezaji wa Uhamasishaji kwa Wadau ya Rais lazima mradi wake.” Alisisitiza Dkt. mradi na kuwataka kuhusu Mradi wa Gesi wa LNG utekelezwe na Kalemani. wananchi wa Lindi na Asilia iliyosindikwa utekezaji wake umeanza Alisema kuwa, zaidi Mikoa ya jirani kutumia kuwa kimiminika (LNG), na majadiliano hayo ni ya bilioni 56 zimetengwa fursa mbalimbali ambazo

Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani akiwa katika picha ya Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani akizungumza katika Pamoja na Wabunge wa kutoka Mkoa wa Lindi na Mtwara mara Mkutano wa Uhamasishaji kwa Wadau kuhusu Mradi wa Gesi baada ya kumalizika kwa Mkutano wa Uhamasishaji kwa Wadau Asilia iliyosindikwa kuwa kimiminika (LNG), uliyofanyika Mkoani kuhusu Mradi wa Gesi Asilia iliyosindikwa kuwa kimiminika (LNG), Lindi, Juni 20,2021. uliyofanyika Mkoani Lindi, Juni 20,2021.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Julai 1 - 31, 2021 HABARI 26 MAJADILIANO MRADI WA LNG MWISHO OKTOBA-DKT KALEMANI

Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani akiwa katika picha ya Pamoja na viongozi wa Wizara na Taasisi zake mara baada ya kumalizika kwa Mkutano wa Uhamasishaji kwa Wadau kuhusu Mradi wa Gesi Asilia iliyosindikwa kuwa kimiminika (LNG), uliyofanyika Mkoani Lindi, Juni 20,2021. zitapatikana kutokana na tulikuwa tunapitia kwaajili ya ujenzi. majumbani na kwenye ujenzi huo. upya mfumo wetu wa Vilevile, alimtaka viwanda ili kuongeza Dkt.Kalemani aliwatoa uwekezaji ili makundi mkandarasi wa mradi wateja ambapo takribani wasiwasi Watanzania yote hayo yapate faida wakati wa ujenzi viwanda 50 vinatumia wote na kueleza kuwa na hiyo ndio sababu ya kutumia vifaa vya ujenzi rasilimali Gesi. sababu zote ambazo kuchelewa lakini sasa ambavyo vinazalishwa Dkt, Kalemani pia zilisababisha mradi tumeshaweka mfumo nchini ili kuinua masoko alitoa wito kwa watumiaji huo kuchelewa kwa wetu sawa na ujenzi ya ndani. wa Magari hasa Taasisi za utekelezaji wake kwasasa utaanza,”alisema. Pia, alisema ujenzi Umma kununua magari zimeshapatiwa ufumbuzi Sambamba na hilo, wa mradi utasadia yenye miundombini na hakutakuwa na Dkt. Kalemani pia kuongezaka kwa pato la ya kuingiza gesi katika sababu yoyote ambayo alimuagiza Mkurugenzi Taifa mara baada ya gesi gari zao ili kupunguza itachelewesha mradi Mtendaji wa TPDC hiyo kuanza kuuzwa nje gharama na kuboresha huo. pamoja na wadau, ya nchi. huduma zao. “miradi hii mikubwa kuanza mara moja Katika hatua Kwa upande wake, lazima iwe na manufaa utekelezaji wa uwekaji nyengine, alisema Mkurugenzi Mtendaji wa kwa Serikali,wananchi wa mipaka ya eneo Serikali itaendelea Shirika la Maendeleo ya na wawekezaji, kwahiyo ambalo litatumika kusambaza gesi Petroli Tanzania (TPDC)

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Julai 1 - 31, 2021 HABARI 27 MAJADILIANO MRADI WA LNG MWISHO OKTOBA-DKT KALEMANI Dkt. James Mataragio amesema mradi utakuwa una faida nyingi kwa watanzania ambapo alieleza kuwa Watanzania 15,000 watajiriwa katika hatua ya ujenzi na katika hatua ya uendeshaji Watanzania 5000 watajiariwa. Pia, alisema faida ya nyengine itakayopatikana ni upatikanaji wa nishati ya uhakika kwaajili ya maendeleo ya viwanda na umeme na itasaidia kukuza uchumi wa nchi. Nae, Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Shaibu Ndemanga aliipongeza Wizara ya Nishati kwa usimamizi mzuri wakati wa ukawagi wa fidia kwa wananchi wa Lindi na kuahidi kutoa ushirikiano katika kipindi chote cha ujenzi wa mradi huo. Mkutano huo pia ulihudhuriwa na Wabunge wa kutoka Mkoa wa Lindi na Mtwara,Kamishna wa Petroli na Gesi wa Wizara ya Nishati, Adamu Zuberi,Kamishna Msaidizi wa Gesi Mhandisi Mohamed Fakihi na viongozi mbalimbali wa Washiriki mbalimbali wa Mkutano wa Uhamasishaji kwa Wadau kuhusu Mradi wa Gesi Asilia Wizara na Taasisi zake. iliyosindikwa kuwa kimiminika (LNG), uliyofanyika Mkoani Lindi, Juni 20,2021.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Julai 1 - 31, 2021 HABARI 28 WAZIRI WA NISHATI AZINDUA MRADI WA KUSAMBAZA UMEME AWAMU YA PILI KATIKA MAENEO YA PEMBEZONI MWA JIJI LA DODOMA Serikali kwenye ujenzi wa miundombinu ambayo inatumia gharama kubwa uwe na tija. Dkt. Kalemani, aliwaeleza wananchi wa kata ya Chihanga kuwa, shughuli mbalimbali za uzalishaji ambazo wanaweza kuzifanya ni pamoja na kuanzisha viwanda vya kusindika mazao ya kilimo, mifugo, uvuvi na madini pamoja na kuboresha utoaji wa huduma za afya, elimu, Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Medard Kalemani, akikata utepe ikiwa ni ishara ya kuzinduzia Mradi wa maji, mawasiliano na Kusambaza Umeme Awamu ya Pili katika Maeneo ya Pembezoni mwa Jiji la Dodoma, katika kata kuboresha thamani za ya Chihanga jijini Dodoma tarehe 16 Juni, 2021. Kushoto kwa Waziri kalemani ni Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mhe. Anthony Mtaka, anayefuatia ni Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) bidhaa zao za kilimo na Mha. Amos William Maganga na kulia kwa Waziri Kalemani ni Mbunge wa jimbo la Dodoma mjini, viwanda. Mhe. Anthony Mavunde. Na. Dorina G. Makaya - Chihanga jijini Dodoma. Dodoma Akizungumza wakati wa mkutano aziri wa na wananchi wa kata Nishati ya Chihanga, kijiji cha Mhe. Chihanga, Dkt. Kalemani Dkt. aliwahimiza wananchi Medard kutumia fursa ya WKalemani, tarehe 16 Juni, upatikanaji wa umeme Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Medard Kalemani, mara baada ya 2021, alifanya uzinduzi kuboresha maisha yao kukata utepe ikiwa ni ishara ya kuzinduzi Mradi wa Kusambaza wa Mradi wa Kusambaza kwa kuutumia kwenye Umeme Awamu ya Pili katika Maeneo ya Pembezoni mwa Jiji Umeme Awamu ya la Dodoma, katika kata ya Chihanga jijini Dodoma tarehe 16 miradi ya uzalishaji Juni, 2021. Kushoto kwa Waziri kalemani ni Mkuu wa mkoa wa Pili katika Maeneo ya mali, ufugaji, pamoja na Dodoma Mhe. Anthony Mtaka, anayefuatia ni Mkurugenzi Mkuu Pembezoni mwa Jiji la huduma mbalimbali za wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Mha. Amos William Maganga na kulia kwa Waziri Kalemani ni Mbunge wa jimbo la Dodoma Dodoma, katika kata ya kijamii ili uwekezaji wa mjini, Mhe, Anthony Mavunde.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Julai 1 - 31, 2021 HABARI 29 WAZIRI WA NISHATI AZINDUA MRADI WA KUSAMBAZA UMEME AWAMU YA PILI KATIKA MAENEO YA PEMBEZONI MWA JIJI LA DODOMA Dodoma kwa muda wa watakaounganishiwa miezi 12 ambapo kiasi umeme kupitia Mradi cha shilingi za kitanzania huo, kukamilisha takribani bilioni 17.3 utandazaji wa nyaya zitatumika kuwafikishia katika nyumba zao umeme wateja wa awali (wiring) mapema ili 4,604 katika Mkoa wa mkandarasi atakapofika Dodoma na kuwa fedha katika maeneo yao hiyo imetolewa na wawe tayari kulipia na Serikali. kuunganishiwa umeme. Alimtaka Mkandarasi Alisisitiza wa Mradi huo, kuwa, gharama ya Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Medard Kalemani, akizungumza na kukamilisha uunganishaji kuunganishiwa umeme wananchi wa kata ya Chihanga, kijiji cha Chihanga, Dodoma, wa umeme katika kata ni shilingi 27,000 tu na wakati wa uzinduzi wa Mradi wa Kusambaza Umeme Awamu ya ya Chihanga ndani ya kueleza kuwa mradi huo Pili katika Maeneo ya Pembezoni mwa Jiji la Dodoma, tarehe 16 Juni, 2021. mwezi mmoja na nusu utatoa fursa kwa vijana na kuwa atarudi kuwasha wa kata zitakazohusika Waziri Kalemani Maeneo ya Pembezoni umeme katika kata hiyo wakati wa utekelezaji alisema, Mradi wa mwa Jiji la Dodoma, baada ya kipindi hicho. wa Mradi zitakazohitaji Kusambaza Umeme utatekelezwa katika Waziri Kalemani nguvu kazi kwani Awamu ya Pili katika kata 16 katika mkoa wa aliwahimiza wananchi watatumika vijana wa

Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mhe. Anthony Mtaka, akizungumza Mkuu wa Wilaya ya Dodoma mjini, Josephat Maganga, na wananchi wa kata ya Chihanga, kijiji cha Chihanga, Dodoma, akizungumza na wananchi wa kata ya Chihanga, kijiji cha wakati wa uzinduzi wa Mradi wa Kusambaza Umeme Awamu ya Chihanga, Dodoma wakati wa uzinduzi wa Mradi wa Kusambaza Pili katika Maeneo ya Pembezoni mwa Jiji la Dodoma, tarehe 16 Umeme Awamu ya Pili katika Maeneo ya Pembezoni mwa Jiji la Juni, 2021. Dodoma, tarehe 16 Juni, 2021.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Julai 1 - 31, 2021 HABARI 30 WAZIRI WA NISHATI AZINDUA MRADI WA KUSAMBAZA UMEME AWAMU YA PILI KATIKA MAENEO YA PEMBEZONI MWA JIJI LA DODOMA kwenda umbali mrefu Anthony Mtaka, Mkuu kulipia gharama ya wa Wilaya ya Dodoma kuunganishiwa umeme mjini, Josephat Maganga na huduma mbalimbali na Mbunge wa jimbo za TANESCO la Dodoma mjini, Mhe, Kuzinduliwa Anthony Mavunde. rasmi kwa Mradi wa Katika ziara hiyo, Kusambaza Umeme Waziri Kalemani Awamu ya Pili katika aliambatana na Maeneo ya Pembezoni Mkurugenzi Mkuu wa mwa Jiji la Dodoma, katika kata ya Chihanga Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Mha. Amos William Mbunge wa jimbo la Dodoma mjini, Mhe. Anthony Mavunde, jijini Dodoma, akizungumza na wananchi wa kata ya Chihanga, kijiji cha kulishuhudiwa na Maganga, Mwenyekiti Chihanga, Dodoma wakati wa uzinduzi wa Mradi wa Kusambaza viongozi mbalimbali wa Bodi ya Nishati vijijini, Umeme Awamu ya Pili katika Maeneo ya Pembezoni mwa Jiji la Dodoma, tarehe 16 Juni, 2021. wa Chama na Serikali Wakili Julius Bundala wakiwemo Mkuu wa Kalolo, wataalam kutoka maeneo husika. alisema, kifaa hicho mkoa wa Dodoma Mhe. TANESCO na REA. Aidha Waziri Kalemani cha UMETA hakihitaji aliwaambiwa wananchi kutandaza nyaya wa Chihanga na wale katika nyumba yote na wote watakaohusika na kinatolewa bure kwa kuunganishiwa umeme wateja 250 wa awali na kupitia Mradi huo kwa wale watakaoomba kuwa, kwa wale ambao kifaa hicho baada ya utandazaji wa nyaya vifaa 250 kutolewa kwa utakuwa haujakamilika wateja wa awali kuisha, ambao nyumba zao vifaa hivi vinapatikana si kubwa (nyumba TANESCO kwa shilingi isiyozidi vyumba vitatu) 36,000 tu. wanahimizwa kuomba Aidha Dkt. Kalemani kufungiwa kifaa cha alimtaka Meneja wa UMETA (Umeme Tayari) TANESCO wa Mkoa wa Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Medard Kalemani, akimtambulisha Mkandarasi wa Mradi (Ceylex Engineering (PVT) LTD) na ili kuhakikisha wanapata Dodoma kufungua ofisi wafanyakazi wa kampuni hiyo kwa uongozi wa Mkoa wa Dodoma huduma muhimu ya ndogo ya TANESCO na kwa wananchi wa kata ya Chihanga, kijiji cha Chihanga, umeme. ili kuwaondolea adha Dodoma wakati wa uzinduzi wa Mradi wa Kusambaza Umeme Awamu ya Pili katika Maeneo ya Pembezoni mwa Jiji la Dodoma, Waziri Kalemani wananchi wa Chihanga tarehe 16 Juni, 2021.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Julai 1 - 31, 2021 HABARI KATIKA PICHA 31

Wananchi wa kata ya Chihanga, kijiji cha Chihanga, Dodoma wakimsikiliza Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Medard Kalemani, wakati wa uzinduzi wa Mradi wa Kusambaza Umeme Awamu ya Pili katika Maeneo ya Pembezoni mwa Jiji la Dodoma, tarehe 16 Juni, 2021.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Julai 1 - 31, 2021 HABARI KATIKA PICHA 32

Jiwe la msingi Burudani ya ngoma wakati wa uzinduzi wa Mradi wa Kusambaza Umeme Awamu ya Pili katika Maeneo ya Pembezoni mwa Jiji la Dodoma, uliofanyika katika kata ya Chihanga jijini Dodoma tarehe 16 Juni, 2021.

Baadhi ya washiriki wa mkutano pamoja na wakandarasi wakimsikiliza Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Medard Kalemani, Waziri Kalemani akisaini kitabu cha wageni mara baada ya wakati wa uzinduzi wa Mradi wa Kusambaza Umeme Awamu ya kuwasili kata ya Chihanga, kijiji cha Chihanga kufanya uzinduzi Pili katika Maeneo ya Pembezoni mwa Jiji la Dodoma, uliofanyika wa Mradi wa Kusambaza Umeme Awamu ya Pili katika Maeneo ya katika kata ya Chihanga jijini Dodoma tarehe 16 Juni, 2021. Pembezoni mwa Jiji la Dodoma, tarehe 16 Juni, 2021.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Julai 1 - 31, 2021 HABARI KATIKA PICHA 33 HABARI KATIKA PICHA WAKATI WA HAFLA YA UZINDUZI WA MRADI WA KUSAMBAZA UMEME VIJIJINI AWAMU YA TATU MZUNGUKO WA PILI KATIKA MKOA WA MOROGORO ULIOFANYIKA KATIKA WILAYA YA GAIRO, KIJIJI CHA MUHEZA - ITITU TAREHE 17 JUNI, 2021

Viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali Mkoani Morogoro wakifurahia mara baada ya Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Medard Kalemani, kufanya uzinduzi wa Mradi wa kusambaza Umeme Viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali Mkoani Morogoro Vijijini Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili katika Mkoa wa wakifurahia mara baada ya Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Medard Morogoro, Wilaya ya Gairo, Kijiji cha Muheza - Ititu tarehe 17 Juni, Kalemani, kufanya uzinduzi wa Mradi wa kusambaza Umeme 2021. Vijijini Awamu ya Tatu 0Mzunguko wa Pili katika Mkoa wa Morogoro, Wilaya ya Gairo, Kijiji cha Muheza - Ititu tarehe 17 Juni, 2021.

Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Medard Kalemani, akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Muheza - Ititu wakati wa hafla ya uzinduzi wa Mradi wa kusambaza Umeme Vijijini Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili katika Mkoa wa Morogoro, Wilaya ya Gairo, Kijiji cha Muheza - Ititu tarehe 17 Juni, 2021. Wengine pamoja nae ni Viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali wa Mkoa wa Morogoro. Waziri Kalemani alisema, Serikali imetenga jumla ya takribani shilingi bilioni 66.8 kwa mkoa wa Morogoro pekee ili Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Medard Kalemani, akizungumza na kuhakikisha vijiji vyote 233 vilivyosalia vinapatiwa umeme katika wananchi wa Kijiji cha Muheza - Ititu mara baada ya kufanya Mradi wa kusambaza Umeme Vijijini Awamu ya Tatu Mzunguko uzinduzi wa Mradi wa kusambaza Umeme Vijijini Awamu ya Tatu wa Pili katika Mkoa wa Morogoro. Waziri Kalemani alisema, Mzunguko wa Pili katika Mkoa wa Morogoro, Wilaya ya Gairo, ifikapo Disemba 2022, Tanzania itaandika Historia katika vitabu Kijiji cha Muheza - Ititu tarehe 17 Juni, 2021. Wengine pamoja vyake kuwa vijiji vyote vya Tanzania Bara, vimepata umeme na nae ni Viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali wa Mkoa wa kuungana na mataifa mengine duniani yaliyoendelea ambayo Morogoro. yalishaandika historia hii.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Julai 1 - 31, 2021 HABARI KATIKA PICHA 34 HABARI KATIKA PICHA WAKATI WA HAFLA YA UZINDUZI WA MRADI WA KUSAMBAZA UMEME VIJIJINI AWAMU YA TATU MZUNGUKO WA PILI KATIKA MKOA WA MOROGORO ULIOFANYIKA KATIKA WILAYA YA GAIRO, KIJIJI CHA MUHEZA - ITITU TAREHE 17 JUNI, 2021

Wananchi wa Kijiji cha Muheza - Ititu wakimsikiliza Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Medard Kalemani, (hayumo pichani) wakati wa hafla ya uzinduzi wa Mradi wa kusambaza Umeme Vijijini Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili katika Mkoa wa Morogoro, Wilaya ya Gairo, Kijiji cha Muheza - Ititu tarehe 17 Juni, 2021.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Julai 1 - 31, 2021 HABARI KATIKA PICHA 35 HABARI KATIKA PICHA WAKATI WA HAFLA YA UZINDUZI WA MRADI WA KUSAMBAZA UMEME VIJIJINI AWAMU YA TATU MZUNGUKO WA PILI KATIKA MKOA WA MOROGORO ULIOFANYIKA KATIKA WILAYA YA GAIRO, KIJIJI CHA MUHEZA - ITITU TAREHE 17 JUNI, 2021

Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Medard Kalemani, akiwatambulisha Mhe. Prof. Paramagamba Kabudi (MB) jimbo la Kilosa na Waziri Wakandarasi kwa Uongozi wa Chama na Serikali na kwa wa Sheria na Katiba, akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wananchi wa Mkoa wa Morogogoro wakati wa hafla ya uzinduzi wa Mradi wa kusambaza Umeme Vijijini Awamu ya Tatu wa Mradi wa kusambaza Umeme Vijijini Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili katika Mkoa wa Morogoro, Wilaya ya Gairo, Mzunguko wa Pili katika Mkoa wa Morogoro, Wilaya ya Gairo, Kijiji Kijiji cha Muheza - Ititu tarehe 17 Juni, 2021. Prof. Kabudi alielezea cha Muheza - Ititu tarehe 17 Juni, 2021. kufurahishwa kwake na hatua ya Serikali ya kupeleka umeme katika vijiji 233 vilivyosalia kupatiwa umeme katika mkoa wa Morogoro ambapo vijiji 63 katika jimbo lake vitapatiwa umeme na kueleza kuwa hatua hiyo mapinduzi makubwa katika kuchochea kukua kwa shughuli za kiuchumi hapa nchini.

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mhe. Martine Shigela, akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Muheza - Ititu wakati wa hafla ya uzinduzi wa Mradi wa kusambaza Umeme Vijijini Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili katika Mkoa wa Morogoro uliofanyika katika Wilaya ya Gairo, Kijiji cha Muheza - Ititu tarehe 17 Juni, 2021. Mkuu huyo wa mkoa wa Morogoro alisema, kupatikana kwa Mkuu wa WIlaya ya Gairo Mhe. Siriel Mchembe akifanya umeme katika vijiji 233 vilivyosalia kupatiwa umeme mkoani utambulisho wa viongozi wa Chama na Serikali wakati wa Morogoro, kutawezesha uanzishaji wa viwanda vya kuongeza hafla ya uzinduzi wa Mradi wa kusambaza Umeme Vijijini Awamu thamani ya mazao na hivyo kukuza kipato cha wananchi wa ya Tatu Mzunguko wa Pili katika Mkoa wa Morogoro uliofanyika mkoa wa Morogoro na kuchangia katika ukuaji wa viwanda na katika Wilaya ya Gairo, Kijiji cha Muheza - Ititu tarehe 17 Juni, shughuli za kiuchumi hapa nchini. 2021.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Julai 1 - 31, 2021 HABARI KATIKA PICHA 36 HABARI KATIKA PICHA WAKATI WA HAFLA YA UZINDUZI WA MRADI WA KUSAMBAZA UMEME VIJIJINI AWAMU YA TATU MZUNGUKO WA PILI KATIKA MKOA WA MOROGORO ULIOFANYIKA KATIKA WILAYA YA GAIRO, KIJIJI CHA MUHEZA - ITITU TAREHE 17 JUNI, 2021

Mbunge wa Jimbo la Gairo, Mhe. Ahmed Shabbiby (MB) akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Muheza - Ititu wakati wa hafla ya uzinduzi wa Mradi wa kusambaza Umeme Vijijini Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili katika Mkoa wa Morogoro uliofanyika Mbunge wa Jimbo la Mikumi Mhe. Denis Londo akisalimiana na katika Wilaya ya Gairo, Kijiji cha Muheza - Ititu tarehe 17 Juni, Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Medard Kalemani kabla ya hafla ya 2021. Aliipongeza Serikali kwa kasi kubwa ya usambazaji umeme uzinduzi wa Mradi wa kusambaza Umeme Vijijini Awamu ya Tatu hapa nchini na kueleza kuwa, awamu hii ya Mradi wa kusambaza Mzunguko wa Pili katika Mkoa wa Morogoro uliofanyika katika Umeme Vijijini Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili katika Mkoa Wilaya ya Gairo, Kijiji cha Muheza - Ititu tarehe 17 Juni, 2021. wa Morogoro, itawezesha vijiji saba vilivyobakia katika jimbo la Mbunge huyo wa Jimbo la Mikumi aliipongeza Serikali kwa Gairo kupatiwa umeme. Aidha Mhe. Shabiby, alimpongeza Waziri jitihada kubwa inayoifanya katika kuwafikishia umeme wananchi Kalemani kwa kasi yake kubwa katika kusimamia na kufuatilia vijijini hatua itakayochangia kuongezeka kwa uzalishaji na suala zima la usambazaji umeme vijijini hatua itakayochochea kuchochea uanzishaji wa shughuli mbalimbali za kiuchumi kukua kwa uchumi. mkoani Morogoro na nchi nzima kiujumla. Mbunge wa Jimbo la Mikumi Mhe. Denis Londo akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Muheza - Ititu (hawamo pichani) wakati wa hafla ya uzinduzi wa Mradi wa kusambaza Umeme Vijijini Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili katika Mkoa wa Morogoro uliofanyika katika Wilaya ya Gairo, Kijiji cha Muheza - Ititu tarehe 17 Juni, 2021. Mbunge huyo wa Jimbo la Mikumi aliipongeza Serikali kwa jitihada kubwa inayoifanya katika kuwafikishia umeme wananchi vijijini hatua itakayochangia kuongezeka kwa uzalishaji na kuchochea uanzishaji wa shughuli mbalimbali za kiuchumi mkoani Morogoro na nchi nzima kiujumla.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Julai 1 - 31, 2021 HABARI 37 WAZIRI WA NISHATI AHAMASISHA MATUMIZI YA UMETA KWA WANANCHI WASIOMUDU GHARAMA ZA KUTANDAZA NYAYA  Awasha umeme rasmi kwenye kitongoji cha Mtakuja, kijiji cha Kibumba

Na. Dorina G. Makaya (Wiring) kutumia kifaa - Chato cha UMETA (Umeme Tayari) ili kuhakikisha aziri wa wanapata huduma Nishati muhimu ya umeme. Mhe. Dkt. Kalemani Dkt. aliyasema hayo tarehe Medard 13 Juni, 2021 alipofanya WKalemani, amewahimiza ziara kukagua na wananchi wenye kuwasha umeme rasmi nyumba ndogo isiyozidi kwenye kitongoji vyumba vitatu ambao cha Mtakuja, kijiji cha Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Medard Kalemani akikabidhi kifaa cha kwa sasa hawana fedha kibumba wilayani Chato. UMETA kwa familia mbili za wanakijiji cha kitongoji cha Mtakuja, kijiji cha Kibumba, Kata ya Makurugusi, wilaya ya Chato, tarehe 13 za kutandaza nyaya Waziri Kalemani Juni, 2021 alipofanya ziara kukagua na kuwasha umeme rasmi kwenye nyumba zao alisema, anatambua kwenye kitongoji hicho. uwepo wa wananchi ambao katika kipindi ambacho mradi unatekelezwa wanakuwa hawana fedha ya kutandaza nyaya kwenye nyumba zao (Wiring) lakini wanahitaji huduma hiyo muhimu hivyo ni muhimu wakatumia kifaa hicho cha UMETA. Alisema, wananchi hao wanayo fursa ya kuunganishiwa umeme kwenye mfumo wa umeme wa nyaya Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Medard Kalemani akionesha kifaa cha UMETA kwa wananchi wa kitongoji cha Mtakuja, kijiji cha Kibumba, Kata ya Makurugusi, wilaya ya Chato, tarehe 13 Juni, 2021 za kawaida mara alipofanya ziara kukagua na kuwasha umeme rasmi kwenye kitongoji hicho. watakapopata fedha na

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Julai 1 - 31, 2021 HABARI 38 WAZIRI WA NISHATI AHAMASISHA MATUMIZI YA UMETA KWA WANANCHI WASIOMUDU GHARAMA ZA KUTANDAZA NYAYA

Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Medard Kalemani akizungumza na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Medard Kalemani akizungumza na wanakitongoji cha Mtakuja, kijiji cha Kibumba tarehe 13 Juni, wanakitongoji cha Mtakuja, kijiji cha Kibumba tarehe 13 Juni, 2021 alipofanya ziara kukagua na kuwasha umeme rasmi kwenye 2021 alipofanya ziara kukagua na kuwasha umeme rasmi kwenye kitongoji hicho kilichopo katika kata ya Makurugusi Wilayani kitongoji hicho kilichopo katika kata ya Makurugusi Wilayani Chato. Chato. kukamilisha kutandaza kitaalamu ambacho nyumba ndogo isiyozidi kaya ambazo hazina nyaya kwenye nyumba hupachikwa ukutani vyumba vitatu. uwezo wa kutandaza zao. na kina matoleo ya Aidha, Waziri nyaya kwenye nyumba Waziri Kalemani kuwasha taa tatu (bulb), Kalemani aligawa vifaa zao wakati wa mradi, alikumbushia kuwa, runinga, radio na pasi ya 20 vya UMETA kwa kutokosa fursa ya UMETA ni kifaa umeme na hivyo kukidhi wananchi wa kitongoji kupata huduma ya kilichosanifiwa mahitaji muhimu kwa hicho ili kuhamasisha umeme.

Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Medard Kalemani akikata utepe kama Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Medard Kalemani akiwasha umeme ishara ya kuwasha umeme rasmi kwenye kitongoji cha Mtakuja, rasmi kwenye kitongoji cha Mtakuja, kijiji cha Kibumba, Kata ya kijiji cha Kibumba, Kata ya Makurugusi, wilaya ya Chato, tarehe 13 Makurugusi, wilaya ya Chato, tarehe 13 Juni, 2021. Juni, 2021.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Julai 1 - 31, 2021 HABARI 39 WAZIRI WA NISHATI AHAMASISHA MATUMIZI YA UMETA KWA WANANCHI WASIOMUDU GHARAMA ZA KUTANDAZA NYAYA

Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Medard Kalemani (wa kwanza kulia) akiwatambulisha watumishi kutoka Wizara ya Nishati na TANESCO alioambatana nao. Kutoka kushoto, ni Mwakilishi wa Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu Mha. Edson Ngabo, Mkuu wa Wilaya ya Chato Mha. Charles Fransis Kabeho akifanya Meneja wa Wilaya TANESCO Chato, Mha. Nyaonge Nyabinyiri, na utambulisho wa viongozi ngazi ya Wilaya kwa upande wa Chama Kaimu Meneja mkoa wa Geita Mha. Michael Mbwana. cha Mapinduzi na Serikali. Waziri Kalemani pia wale ambao bado kitongoji cha Mtakuja aliambatana na aliwataka wanakitongoji hawajaunganishiwa kulishuhudiwa na mwakilishi wa Kamishna cha Mtakuja pamoja na umeme ili waweze viongozi mbalimbali wa wa Umeme na Nishati wananchi wote nchini, kupatiwa huduma hiyo Chama na Serikali wa Jadidifu, Mhandisi kutunza nguzo za muhimu. Wilaya ya Chato. Edson Ngabo na umeme na kutandaza Kuwashwa rasmi Katika ziara hiyo, wataalam kutoka nyaya za umeme kwa kwa umeme katika Waziri Kalemani TANESCO na REA.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato Bathromeo Manunga akizungumza na Wananchi wa kitongoji cha Mtakuja, kijiji cha Kibumba, Kata ya Makurugusi, wilaya ya Chato, wakati Katibu Mwenezi CCM Wilaya ya Chato Ramadhani Sababu Ndaki Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Medard Kalemani alipofanya ziara akimkaribisha Mkuu wa Wilaya ya Chato wakati Waziri wa Nishati kukagua na kuwasha umeme rasmi kwenye kitongoji hicho tarehe Mhe. Dkt. Medard Kalemani alipofanya ziara kukagua na kuwasha 13 Juni, 2021. umeme rasmi kwenye kitongoji hicho tarehe 13 Juni, 2021.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Julai 1 - 31, 2021 HABARI 40 WAZIRI KALEMANI AMTAMBULISHA MKANDARASI WA MRADI WA UMEME REA III MZUNGUKO WA PILI KATIKA WILAYA YA NGARA KIJIJI CHA KAGARI  Amtaka Mkandarasi kuhakikisha anaviunganishia umeme vijiji vyote ndani ya miezi 18

Na Dorina G. Makaya - alimtambulisha Ngara Mkandarasi wa ujenzi wa umeme katika Wilaya aziri wa ya Ngara kwa Uongozi Nishati wa Wilaya ya Ngara na Mhe. kwa wakazi wa kijiji cha Dkt. Kagari kilichopo katika Medard kata ya Murukulazo, WKalemani, amefanya wilayani Ngara na uzinduzi wa Mradi wa kumtaka Mkandarasi Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Medard Kalemani, akimtambulisha Umeme vijijini REA III huyo wa mkoa wa Mkandarasi wa ujenzi wa umeme katika Wilaya ya Ngara kwa Mzunguko wa pili katika Kagera, kampuni ya Uongozi wa Wilaya ya Ngara na kwa wakazi wa kijiji cha Kagari kijiji cha Kagari kata ya kilichopo katika kata ya Murukulazo, katika mkutano uliofanyika JV Pomy and Qwihaya kijijini Kagari wilayani Ngara tarehe 12 Juni, 2021. Murukulazo Wilayani kuhakikisha anavipatia Waziri Kalemani alimtaka Mkandarasi huyo wa mkoa wa Kagera, Ngara, Mkoa wa Kagera umeme vijiji vyote kampuni ya JV Pomy and Qwihaya kuhakikisha anavipatia umeme vijiji vyote vya Wilaya ya Ngara ambavyo bado havijaunganishiwa tarehe 12 Juni, 2021. vya Wilaya ya Ngara umeme ndani ya miezi 18. Waziri Kalemani ambavyo bado

Wakazi wa kijiji cha Kagari kilichopo katika kata ya Murukulazo, Wilayani Ngara, wakimsikiliza Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Medard Kalemani (Hayumo pichani) wakati alipowatembelea kijijini tarehe 12 Juni, 2021 na kufanya uzinduzi wa Mradi wa Umeme vijijini REA III Mzunguko wa pili katika kijiji cha Kagari kata ya Murukulazo Wilayani Ngara, Mkoani Kagera na kumtambulisha kwa Uongozi wa Wilaya ya Ngara na kwa wakazi wa kijiji cha Kagari kilichopo katika kata ya Murukulazo, Wilayani Ngara Mkandarasi wa mkoa wa Kagera, kampuni ya JV Pomy and Qwihaya. Mkandaradi huyo atafanya kazi ya kuviunganishia umeme vijiji vyote wilayani Ngara ambavyo bado havijaunganishiwa umeme ndani ya miezi 18.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Julai 1 - 31, 2021 HABARI 41 WAZIRI KALEMANI AMTAMBULISHA MKANDARASI WA MRADI WA UMEME REA III MZUNGUKO WA PILI KATIKA WILAYA YA NGARA KIJIJI CHA KAGARI havijaunganishiwa kuwa, gharama za umeme ndani ya miezi kuunganisha umeme ni 18. shilingi elfu 27,000 tu. Dkt. Kalemani Alisema, ni marufuku alisisitiza kuwa, umeme kwa mteja anayetaka huo unakwenda kata kuunganishiwa umeme kwa kata, Kitongoji kwa kununua nguzo kwani kitongoji, nyumba kwa ni wajibu wa TANESCO nyumba. kuwafikishia wateja Waziri Kalemani nguzo na kuwataka aliweka wazi kuwa, ni wananchi kutunza Diwani wa Kata ya Murukulazo Bw. Mukiza Solomon Byamungu wajibu wa wananchi miundombinu hiyo. akielezea kufurahishwa kwake na kwa wakazi wa kata ya Murukulazo, kuhusu hatua ya kuunganishiwa umeme kwa vijiji kutandaza nyaya, Vilevile, Dkt. Kalemani vyote ambavyo bado havijaunganishiwa umeme katika kata ya kwenye nyumba alimtaka Mkandarasi Murukulazo, kufuatia ziara ya Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Medard zao kwa ajili ya kuhakikisha umeme Kalemani kijijini hapo tarehe 12 Juni, 2021. kuunganishiwa unafika kwenye taasisi shule, vituo vya afya, ya shilingi bilioni 34 umeme na kusisitiza za umma ambazo ni Makanisa, Misikiti na zimetolewa na Mhe. Rais zahanati. Samia Suluhu Hassani ili Alisema, kupatikana kuleta umeme ktk vijiji kwa umeme katika vya Ngara. vijiji vyote vya Ngara, Aliwaomba wananchi kutachochea ukuaji wa wa Ngara kutandaza uchumi katika Wilaya ya nyaya kwenye nyumba Ngara zao mapema ili waweze Dkt. Kalemani kuunganishiwa huduma alibainisha kuwa, jumla ya umeme haraka.

Mbunge wa jimbo la Ngara Mhe. Ndaisaba George Ruholo akizungumza na wakazi wa kijiji cha Kagari kilichopo katika kata ya Murukulazo, Wilayani Ngara, (hawamo pichani) wakati Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Medard Kalemani alipowatembelea kijijini hapo tarehe 12 Juni, 2021 na kufanya uzinduzi wa Mradi wa Umeme vijijini REA III Mzunguko wa pili katika kijiji cha Kagari kata ya Murukulazo Wilayani Ngara, Mkoa wa Kagera, na kumtambulisha kwa Uongozi wa Wilaya ya Ngara na kwa wakazi wa kijiji cha Kagari Mkandarasi wa mkoa wa Kagera, kampuni ya JV Pomy and Qwihaya. Mkandarasi huyo atasambaza umeme katika vijiji vyote ambavyo bado havijaunganishiwa umeme wilayani Ngara.

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Julai 1 - 31, 2021 HABARI 42 ALIYOSEMA WAZIRI WA NISHATI DKT. MEDARD KALEMANI KATIKA KIPINDI MAALUM KILICHORUSHWA NA VITUO MBALIMBALI VYA RUNINGA KUHUSU SIKU 100 ZA MHE. RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA , AWAMU YA SITA , JUNE 27, 2021

# Vijiji 400 vimepelekewa mwaka 2021/2022 ni Shilingi #Utekelezaji wa mradi bomba umeme ndani ya siku 100 za Trilioni 2.385 hali itakayowezesha la mafuta kutoka Hoima Uganda uongozi wa Mhe. Rais Samia kutekeleza miradi ya kimkakati. kwenda Chongoleani Tanga Suluhu Hassan. utakuwa na faida kubwa za #Shilingi Bilioni 382 zimetolewa kiuchumi kwa wananchi wote. #Bilioni 362 zinatumika ndani ya kipindi cha siku 100 kupeleka umeme kwenye ili kuwezesha utekelezaji wa # Zaidi ya asilimia 80 ya kazi za vitongoji kupitia REA. mradi wa kufua umeme wa Julius ujenzi wa bomba hili utatekelezwa Nyerere. na Watanzania. #Vijiji 10,361 zimefikishiwa umeme kati ya vijiji 12,268 # Umeme unaozalishwa hapa #Serikali ya Awamu ya Sita vilivopo hapa nchini. nchini ni megawati 1604 wakati matumizi ni megawati 1208 hadi imewezesha utafiti kubaini #Mpaka sasa ni Kata Saba 1280. maeneo yenye mafuta katika tu nchi nzima ndio bado mikoa ya Singida, Tabora na hazijafikishiwa umeme. # Shirika la Umeme Nchini Simiyu. kwa sasa linajiendesha kwa #Mradi wa kuzalisha umeme faida na limeongeza tija katika #Tanzania itakuwa nchi ya wa mto Malagarasi unaanza kuwahudumia wananchi. kwanza kwa nchi za Afrika kutekelezwa baada ya Mhe. Rais Mashariki kuwa na treni Samia kutoa fedha za utekelezaji #Novemba mwaka huu (2021) inayotumia umeme. wa mradi huo utakaozalisha kazi ya kujaza maji katika Bwana megawati 49.5 ili kuwanufaisha la Kufua Umeme la Julius Nyerere # Ujenzi wa miundombinu wakazi wa Mkao wa Kigoma. itaanza na June 2022, mitambo ya ya umeme katika kipande cha kuzalisha umeme itawashwa. SGR kutoka Dar es Salaam hadi #Katika kipindi cha miaka Morogoro umekamilika kwa mitano ijayo uzalishaji wa # Utekelezaji wa mradi wa asilimia 100. umeme hapa nchini utakuwa kusindika na kuchakata gesi (LNG) imefikia megawati 5000 hali unaanza kutekelezwa baada ya #Shilingi Bilioni 76 zimetumika itakayowezesha nchi yetu kuuza Mhe. Rais kutoa maelekezo ya kutekeleza mradi huu wa kuweka umeme nje ya Tanzani. kuanza kwake. miundombinu ya umeme katika mradi wa SGR Dar es Salaam hadi #Shirika la Umeme nchini kwa #Mradi wa LNG utazalisha ajira sasa linajiendesha kwa faida. elfu 20. Morogoro.

#Utekelezaji wa mradi wa #Dola Bilioni 30 zitatumika # Kila mwananchi kuzalisha umeme wa Julius Julius kutekeleza mradi wa LNG na hivyo aunganishiwe umeme katika eneo Nyerere (JNHPP)unatekelezwa utachangia kukuza uchumi. lake kwa kuwa dhamira ya Serikali kwa kasi zaidi na ndani ya miezi ya Awamu ya Sita ni kumfikishia mitatu utekelezaji wake umefikia #Shilingi Bilioni 5.72 kila mwananchi nishati ya umeme. zaidi ya asilimia 52. zimetolewa kama fidia kupisha ujenzi mradi wa LNG mkoani LIndi. Imeandaliwa na Idara ya Habari #Bajeti ya Wizara ya Nishati MAELEZO

JARIDA LA WIZARA YA NISHATI | Julai 1 - 31, 2021 HABARI ZA NISHATI | Januari 1-31, 2021 NewsBulletin JARIDA29 HILI LA MTANDAONI HUTOLEWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI, WIZARA YA NISHATI

Fika O si ya Mawasiliano, Mji Mpya wa Serikali Mtumba, S.L.P. 2494, Dodoma au Wasiliana nasi kwa simu namba +255-26-2322018 Nukushi +255-26-2320148