www.annuurpapers.co.tz au facebook:[email protected] Hili la kadhia ya Masheikh.... Sauti ya Waislamu Dk. Shein hasalimiki 16

ISSN 0856 - 3861 Na. 1199 DHULHIJJA 1436, IJUMAA , OKTOBA 16-22, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/= Zanzibar itafutika-Mwanasheria Komandoo Salmin alijitahidi lakini… Uislamu nao sasa kutiwa kitanzi

RAIS mstaafu wa ALIYEKUWA Mwanasheria Zanzibar, Dkt. Salmin Mkuu wa Zanzibar, Othman Amour. Masoud. Majemadari hodari 10,000 kumkabili Lowassa, Magufuli Bila kung’oka ‘Mfumo’ hakieleweki

PICHA juu kabisa, wanafunzi wa Baltimore, North Caroline wakipinga chuki na mauaji dhidi MGOMBEA Urais kupitia ya Waislamu. Chini mamia ya maelfu ya watu walioshiriki "Million Man March" Washington MGOMBEA Urais kupitia CCM, Dkt. . CHADEMA (UKAWA), Mhe. DC, Oktoba 16, 1995. Edward Lowassa.

ANNUUR REAL.indd 1 10/15/2015 12:55:05 PM Mafundisho ya Quran/Maarifa AN-NUUR 2 DHULHIJJA 1436, IJUMAA OKTOBA 16-22, 2015

Uwanja wa Vijana: Jiongezee Maarifa CHEMSHA BONGO NAMBA Baqara: 213 mia moja wakaamini na nafsi na matamaniwa na Jawabu Chemsha Bongo Namba 22 wakaishi na hali ya kuwa hawakuweza wengine H K H A N D A K Y A B M wao, wanaelewa sababu ya kuzizuia nafsi zao na kuumbwa kwao na lengo kuendelea katika njia ya A D U N I A M A A B A A lake, idadi hii inatosha ili dhulma na kibri. Na hili P A R A F A K A J U Q K watu wengine waepukane limepelekea kuendelea A M U Z D A D I U B I K N M I N A A B A J A E A na mchezo wa kuumbwa. kutofautiana na kukuwa A T A I F U A S M K A J Ndiyo walikuwa watu kwake isipokuwa kwa njia J E E D A H I A A A L U wa kwanza ni umma mbalimbali na kwa taratibu M A M U N L T A J R I M mmoja, kwa fadhila ya nyingine zilizokuwa I B R A H I M I U 2AH 7AH A mitume ambao kulikuwa zinatofautiana na zile N D I O M M O J A S I O kuja kwao kunatokana na zilizotangulia. MASAUALA shina moja na chimbuko Ni hakika kwamba 1.Jee, Mwenye-enzi-Mungu ana mtoto? Ndio /Sio Jawabu: Sio moja na kushuka kwa tofauti za mwanzo kati ya 2.Allah ni Wawili ndani ya mmoja, Mmoja ndani ya watatu, Mmoja. Fethullah-Gulen ujumbe wao kunatokana watu zilikuwa ni matokeo Jawabu: Mmoja katika mbingu moja na ya kubadilika kwa hakika 3.Jee, kuna tafauti katika mafundisho ya Mitume? Ndio/Hapana. “Walikuwa watu ni Jawabu: Hapana yale ambayo yameachwa katika mtazamo wao na 4.Dhul karnain alijenga ukuta kuwazuia nani? Jawabu: Yajuj Majuj umma mmoja akapeleka na ujumla huu miongoni kugeuka kwake kwenye 5.Nimrood alikuwa katika wakati wa Mtume yupi? Jawabu:Ibrahim Mwenyezi Mungu Manabii wa taathira katika hisia hakika zilizodhoofika na 6.Vita viliopiganwa sio katika mwezi wa Ramadhan, Khandak, hali ya kutoa habari njema zao yamewapelekea kusambaratika kwake, na Badr, Fathi Makka. Jawabu: Khandak kwenye kuwa kundi moja. kuingia mahali pake vitu 7.Sahaba gani alisalisha ikiwa Mtume (SAW) angali hai? Jawabu: na hali ya kukhofisha”. Abubakar [Al-Baqarah 213] Hawakuwa wamekosa vingine. Ama tofauti za pili 8.Adhana iliadhiniwa katika mwaka upi? Jawabu: 2 AH Wanasema baadhi ya ustaarabu na hazikuwa ulikuwa msukumo wake, 9.Wakati wa Kiongozi gani wa Kiislamu ndipo Waislamu wafasiri katika kufasiri aya nafsi zao zimeepukana na ama hasadi au kuvuka walipotengeneza sarafu yao wenyewe? Syd Umar, Mamun, Harun, dini na imani na hawakuwa mpaka katika mambo Muawiya. Jawabu: Mamun hii “walikuwa watu wa 10.Makaburi ya Masahaba katika mji wa Madina yapo sehemu umma mmoja” kwamba wenye kuvuka mipaka. na yale yanayopelekea gani? Jawabu: Baqi Kisha wakatofautiana kwa kwenye hali hiyo miongoni binadamu wote walikuwa ajili ya baadhi ya sababu mwa maelezo ya mbali na CHEMSHA BONGO: 23 makafiri akampeleka ambazo zimezuka na tafsiri zenye makosa, baada Weka duara kwenye jawabu ilio sawa. Jawabu kamili wiki ijayo Mwenyezi Mungu ukaharibika umoja wao. ya kuwa hakika zote ziko M A R A M O J A J A M C mtukufu nabii Nuhu (a.s.), Na kwa hakika alisimama wazi na nukta zote ngumu B Y M I N A M A K K A 2 I E M A D I N A H Y A W kisha Mitume wengine. binadamu wa kwanza kwa sababu ya hoja na L M M U Z D A L I F A H Isipokuwa tafsiri hii siyo ambaye alikuwa wakati ushahidi zimekuwa wazi A E B A D R H A N D A K sahihi kabisa. Kwa hakika huo huo ni Mtume wa au kuingia katika jitihada L N U M A R A L I N E M kwanza, na jukumu la za juu ambazo chimbuko A T I S A N A N E K Y watu walitoka tokea wakati L M F U N G O S I T A A wa Adam (a.s.) mpaka kuunganisha na kuwafanya lake ni mapenzi ya nafsi I D H U L H I J J A N W sasa katika kila wakati watu kuwa wamoja kwa pamoja na haja na ushahidi 500 396 12AH 10 AH 8 9 1 7 21 49 54 M uwezekano wa kuongoka muda mrefu sana. Kisha kutoka kwa Mwenyezi zikaanza baadhi ya tabia Mungu. 1.Jee, unatakiwa kufanya ibada ya Hijja (a) Kila mwaka. (ii) Mara kwa yoyote katika Mitume moja (iii) Kila baada ya miaka miwili. ambazo zimejengwa kwa Yafahamu haya, pamoja na kuifuatana njia yake na 2.Nani aliomua Umaya Bin Khalaf? binadamu – kwa ajili ya na kujuwa kwamba 3.Masafa baina ya Jeedah na Madinah ni Kilomita 500, kilomita 396. kupanda juu kwa nafsi yake kuyatuliza baadhi ya Mwenyezi Mungu mtukufu 4.Hijja imefaradhishwa mwaka gani wa Hijra? 10, 12, 15 AH. maana ilipatikana fursa maslaha yake na vile vile alikuwa ameziondosha 5.Abraham alikuwa mtawala wa Yemen, Misri au Syria? hii wakati wote. Katika 6.Hijja inaanza tarehe ipi ya mfungo 3? kwa ajili ya kumfanyia dosari zote katika masuala 7.Siku iliyo muhimu kabisa ya Hijja ni ya tarehe ngapi mfungo 3? wao kuna aliyefuatilia majaribio – inadhihiri ya kujitahidi kwa aya zilizo 8.Mahujaji wakitoka Arafa wanalala kwa usiku mmoja sehemu ipi? hayo na katika wao kuna kumfanyia majaribio – wazi na akaziba njia zote 9.Mawe mangapi kwa jumla hupigwa kwenye Jamaarat? 7, 21, 49 ambaye hakufaidika nayo 10.Mwezi gani ndio mwezi wa Hijja? Dhul Hijja, Dhul Qaada, inadhihiri taathira yake na zenye kupelekea kwenye Rabil Awal akaendelea kubaki juu utendaji wake. Vikaanza tafsiri zenye kuchimbuka ya hali yake. Isipokuwa vishawishi vya hisia na kutekeleza mapenzi ya binadamu, hakubakia tokea raghaba vinakaa mahali nafsi na unaweza kulielezea Jee Unajua? kwanza pasi na muongozo. pa akili na mantiki na jambo hili kwa kuyatumia 1.Nchi 10 zinazoongoza kwa uzalishaji wa mafuta ikiongoza nchi Na pamoja na kwamba mapenzi ya nafsi yakakaa maelezo ya wanawazuoni ya Urusi na kufwatiwa na nchi zifwatazo nazo ni Saudi Arabia, baadhi yao walitofautiana mahali pa uongofu. Ni wa Fiqhi na kwa ulimi wao Urusi, Iran, Falme za nchi za Kiarabu (UAE), Norway, Iraq, Kuwait, kwa sababu ya ujumbe kama hivyo ulishindwa Nigeria, Canada, Marekani. http://www.countryranker.com/top-10- mpya ambao walipelekewa kwa kusema: “Hapana largest-oil-exporting-countries/ umoja na muungano ruhusa ya kutumia jitihada 2.Nchi 10 zinazoongoza kwa uchimbaji wa almasi ni:Urusi kwao Mitume, isipokuwa mbele ya kutofautiana. ikiongoza ikifwatiwa na Botswana, Congo DRC, Australia, Afrika ni kwamba yale ambayo pamoja na kupatikana Isipokuwa Mwenyezi kwa msemo uliyo wazi wa ya Kusini, Canada, Angola, Namibia, Ghana na Brazil. http://www. wamekuja nayo Mitume Mungu mtukufu ambaye countryranker.com/top-most-diamond-producing-countries/ Qur’an na Sunnah”. 3.Nchi zinazoongoza utowaji wa maua na uuzaji wake? Uholanzi miongoni mwa uongozi amemuumba binadamu Ndiyo: hawa ni nchi namba mmoja ikifwatiwa na Marekani, Sweden, Brazil, ni mengi sana kuliko katika asili juu msingi hawakuzichukua siku Denmark, Switzerland, Australia, Malaysia, Cambodia. http://www. kutofautiana huku. wa unyoofu na usafi, aya ambazo zinalingania countryranker.com/which-country-produces-the-most-flowers/ Kufuatana na maoni ya amewapeleka Mitume 4.Nchi 10 zinaoongoza uzalishaji wa asali duniani ni Urusi, India, wapya ili aondoshe kwenye kukubaliana Mexico, Iran, Roumania, Korea ya Kaskazini, New Zealand, Poland, Badiu-Zamani A-Noursy na zinakuwa ni nyenzo Kenya na Australia. http://www.countryranker.com/top-10-largest- ni kwamba lau miche vikwazo vilivyopo kati honey-producing-countries-in-the-world/ ya moyo wa binadamu ya kukubaliana, bali 5.Zijue nchi 10 zenye kukaliwa na watu wengi kwenye eneo la mraba ishirini iliishi (ilibaki hai wamekwenda haraka nazo ni Monaco, Singapoore, Vatican City, Bahrain, Malta, Maldives, ikakuwa wakati mingine na mambo yaliyothibiti Bangladesh, Barbados na Mauritius. http://www.countryranker.com/ na amuonyeshe mwisho nyuma ya kujitahidi kwenye ilikufa) katika ujumla kusimama juu ya mapenzi which-country-is-most-densely-populated-in-the-world/ wa miche mia moja na wa shari na apandikize 6.Nchi ya Marekani inaoongoza kwa mimba za utotoni ikifwatiwa moyoni mwake matumaini ya nafsi yenye kupelekea na Uiengereza, New Zealand, Slovak Republic, Hungary, Iceland, ikawa ni miti mirefu, kwenye kutengeneza na Ureno, Canada, Poland na Ireland. http://www.countryranker.com/ hapatasemwa kwamba ya kheri na amlinganie which-country-has-highest-teenage-pregnancy-rate-in-world/ kwenye kutahadhari na kutofautiana na jambo hili mwenye miti hiyo alikuwa limewafanya waporomoke amepata hasara. Ni vivyo kuwa macho. Hata hivyo baadhi yao katika majangwa ya Fatilia kuandama kwa Mwezi hivyo, lau wangeongoka kutofautiana kupigana Leo ni Tarehe 2 Muharram (Mfungo 4) mwaka 1437 AH, sawa na watu kumi katika watu hawawezi kuokoka na kutekwa na mapenzi ya pande na kupotoka. tarehe 16 October 2015. Tumebakisha siku 27 kufikia Mfungo 5.

ANNUUR REAL.indd 2 10/15/2015 12:55:06 PM Habari AN-NUUR 3 DHULHIJJA 1436, IJUMAA OKTOBA 16-22, 2015 Zanzibar itafutika-Mwanasheria Na Mwandishi Wetu Katiba hiyo kuwa ni wa Singapore imeendelea, kuduma na usio hojiwa. sio kwamba ina rasilimali Imeelezwa kuwa Mfumo ambao za kutosha, bali ni nchi kuna maangamizi hautenganishi mapato na inayonunua mpaka maji yanakuja, iwapo Katiba matumizi ya mambo ya ya kunywa. inayopendekezwa muungano na yasiyo ya Lakini ina viongozi itapitishwa. muungano. wenye uoni (visionary Maangamizi hayo Na hivyo kufanya leadership) ambao yataikumba Zanzibar mapato ya muungano walitumia vizuri mamlaka kama nchi, huku Mila na kutumika hata katika yale yao ya kutoza kodi. Desturi za Kiislamu nazo mambo ambayo ni ya Aligusia baadhi ya zikitiwa kitanzi. ‘ pekee’ huku maeneo ambayo viongozi Kama litakuwepo la Zanzibar ikiwa haina chake waliotangulia akiwemo Dr. kufanyika la Kiislamu, katika mapato hayo. Salmin Amour waliyakataa basi itakuwa ni lile tu Lakini zaidi anasema kwa vile hayana masilahi litakalopata ‘ruhusa’ ya ni mamlaka ya Bunge na na Zanzibar, japo Bara walinzi wa Katiba. pia kule kwenye Baraza walikuja kuyafanya bila Hayo yamebainishwa na la Mawaziri ambako kujali Zanzibar wanaridhia aliyekuwa Mwanasheria Wazanzibari hawamo. au la likiwemo la Jumuiya Mkuu wa Zanzibar, Kwamba, mambo ya Afrika Mashariki. Othman Masoud ambaye Bungeni hupitishwa kwa Kwa masikitiko amesema kuwa ni jambo wingi wa kura bila kujali kabisa, Othman Masoud lisiloeleweka ilikuwaje RAIS mstaafu wa ridhaa ya Zanzibar. akahitimisha kwa kusema Wazanzibari waliokuwa ALIYEKUWA Kwamba hata kama kuwa, Wazanzibari Dodoma wakapiga kura Zanzibar, Dkt. Salmin Mwanasheria Mkuu Amour. Wazanzibari wote waliokwenda Dodoma ya kuipitisha Katiba hiyo wa Zanzibar, Othman watalikataa jambo, wamekuwa kama ‘Mgunya inayopendekezwa. Masoud. maadhali Bara ndio wa Vikokotoni’. Lakini jingine ambalo mamlaka yote ya Zanzibar. Zanzibar, kuna hatari wengi zaidi Bungeni, Wamekwenda Dodoma hakulisema na kuhoji, Amesema, kwamba siku yoyote jambo hilo litapita kama kuizamisha Zanzibar ni kwa vipi Waislamu yawezekana Wazanzibari anaweza kuitangaza ambavyo uchaguzi wa Rais wakarudi mikono mitupu. wakiwemo Masheikh waliopitisha katiba hiyo Zanzibar kuwa ni mkoa haulazimishi kupata kura Ila akawakumbusha waliokuwa katika Bunge la wanasumbuliwa na au wilaya tu katika moja ya za Wazanzibari. kuwa suala la ‘Mgunya Katiba, hawakuhoji juu ya ugonjwa unaosababishwa mikoa ya . Kwa hiyo anaweza kuwa wa Vikokotoni’ lilikuwa kifungu hicho wakaishia na kirusi hatari kuliko Akasema, kifungu hicho mtu Rais wa Tanzania, jepesi kwa sababu jahazi kupiga kura ya kuipitisha. TB, kwani katika hali ya ukikichukua na kile cha hata kama amekataliwa na lilikuwa mali binafsi ya Hiyo ni kutokana na kawaida, isingetarajiwa ‘Ukuu wa Katiba’ juu ya Wazanzibari wote. Mgunya, lakini hapa kifungu kinachoipa UKUU Mzanzibari yeyote kuipigia Katiba ya Zanzibar, ni Hapo ndio Othman inazungumziwa nchi, sio Katiba Inayopendekezwa kura katiba hiyo. maangamizi matupu kwa akasema kuwa huo sio dhidi ya Dini ya Allah na tena ukoloni kasorobo, jahazi la mtu binafsi. Akasema kuwa, ni pale Zanzibar ambapo katiba Ndio hapa akawarejesha maelekezo yake katika Mila tu watu watakapokuwa yake itabaki kama pambo bali ukoloni kamili na na Desturi wanazotakiwa akahoji hii “tumepata kila Wazanzibari na hasa wanasumbuliwa na tu. viongozi katika wajibu wao kufuata Waislamu. maradhi ya kirusi ‘Bora Ni katika kifungu hicho kitu” inatoka wapi? Kipi Kwamba, wakati Tumbo’ (BT), ndio hicho cha Ukuu wa Katiba kilichopatikana?” kwa Katiba ya Zanzibar kwa Muislamu Rejea wanapoweza kupitisha ambapo amesema kuwa, Na hilo akaliunganisha inayowataka kulinda, Kuu ni Kitabu na jambo la hatari kwa nchi kuna hatari kwa mila na na lile la hoja ya mafuta kuhifadhi na kudumisha Sunnah, na kwamba kama hilo. desturi za Kiislamu nazo kwamba hata hilo si Uhuru, Mamlaka, Ardhi na watu wakihitilafiana Katika uchambuzi wake, kutiwa kabari, kwani katiba sawa kusema Zanzibar Umoja wa Zanzibar. katika jambo, wanarejea Othman amesema kuwa inasema kuwa mila na wamepata kwani kupata Na kwamba katika viwili hivyo, sasa wajumbe wa Zanzibar destruri zozote zitakuwa kwenyewe ni sawa na wasilinganishe maslahi ya inaambiwa kuwa rejea walikwenda Dodoma batili ikiwa zitapingana na mtu kupewa mwembe, nchi na ya CCM, kwani hata pekee ya nini kifanyike au wakijua matatizo ya Katiba hiyo. lakini mwenye maembe viongozi waliotangulia kisifanyike ni Katiba. muungano wa serikali Na pengine hapo ndio na mwenye mamlaka na walikuwa CCM pia, lakini La Kitabu na Sunnah mbili na wakitambua Waislamu watakuwa maembe ya muembe huo, kuna mambo waliyapinga likiwa kinyume na katiba, ni mtu mwingine. vipengele ambavyo ni wakihoji iwapo Masheikh kwa vile hayakuwa na linatupiliwa kwa mbali. hatari kwa Zanzibar, waliokuwa Dodoma Wewe unaupalilia Mwanasheria Othman na kuutumikia ukue masilahi na Zanzibar. kwa hiyo hawakufanya wakiwemo wale ambao Sasa kama viongozi Masoud akifafanua baadhi maamuzi kwa ujinga. walibubujikwa na machozi na kuzaa vizuri, lakini ya vifungu vya Katiba hiyo mwenye kuvuna na kufaidi wa Zanzibar, wameapa Walijua wanalofanya wakidai kuwa wanapata kulinda Katiba ya Zanzibar, Pendekezwa, amesema, kuwa ni kuiangamiza uchungu Mwalimu mwingine. Katika kulifafanua hilo vipi tena leo wapitishe kupita kwa Katiba hiyo, Zanzibar, lakini huenda Nyerere katukanwa, kitu ambacho kitaipora kunaweka mazingira kirusi BT kimewafikisha hawakuona kipengele akaeleza juu ya utata uliopo katika sheria ya Zanzibar, Uhuru, Ardhi hatari ya kufutika kabisa pabaya. hicho anachozungumzia na Mamlaka ya Zanzibar, Zanzibar kama nchi, Alisema, vipengele Othman? mafuta hivi sasa, na zaidi Sheria ya Benki Kuu na kama ilivyo wazi ndani ya ukiacha hali iliyo sasa vingi katika Katiba hiyo Katika mambo ambayo Katiba Inayopendekezwa? ambapo amesema ni Kodi ya Mapato. inayopendekezwa havina anasema mwanasheria Aliwataka warejee kauli kama Zanzibar ipo chini ya masilahi na Zanzibar, Othman Masoud kuwa Akasema, hakuna nchi uangalizi wa Tanganyika. lakini akagusia saba vilivyo ni ya kushangaza kabisa, yoyote duniani inayoweza ya Waziri Othman Masoud hatari zaidi. ni kauli za baadhi ya kuendelea bila kuwa na kwa Wakristo, akiwa alikuwa akizungumza Akivitaja na Wazanzibari kudai kuwa Benki Kuu, halikadhalika katika jukwaa la Kanisa, wiki iliyopita kwenye kuvichambua alisema ‘Dodoma wamepata kumiliki Kodi ya Mapato, lakini pia warejee kauli kongamano lililoandaliwa kuwa kifungu kinachompa kila kitu’ kupitia Katiba kwa maana ya haki ya ya Waziri Samwel Sitta, na Chama cha Wananchi mamlaka Rais wa Inayopendekezwa’. kutoza kodi, haki ambayo akiongea kule Uingereza, (CUF), mjini Unguja, juu muungano kugawa mikoa Akawataka Wazanzibari Zanzibar haina kwa sasa pengine wanaweza kupata ya Katiba Iliyopendekeza, na wilaya, Zanzibar, tena warejee vifungu juu ya wala haitakuwa nayo katika akili na kutanabahi, nini ambapo alisema kuwa bila kulazimika kufuata Mfumo wa Serikali Mbili Katiba Inayopendekezwa. kinakusudiwa katika katiba hiyo imechukua ushauri wa Rais wa ambao sasa unafanywa na Akasema, ukisikia Katiba Inayopendekezwa.

ANNUUR REAL.indd 3 10/15/2015 12:55:07 PM Tahariri AN-NUUR 4 DHULHIJJA 1436, IJUMAA OKTOBA 16-22, 2015

Katika mtindo huu, hakuna kujadili hatma ya nchi yao ya Ibada. AN-NUUR chochote Waislamu na Dola yao katika Katiba, Mwaka 1995 wakati S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786 Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. watakachoambulia. wakajikuta wakiparurana wa uchaguzi mkuu wa www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected] Tunapokuwa Misikitini wenyewe kwa wenyewe, mwanzo wa vyama vingi, Ofisi zetu zipo: Manzese Tip Top na mitaani, tuna yetu ya wakarudi wakitamba wapo vijana ambao Usangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam Kiislamu. Tutatizama Fiqh kuwa wamepata kila kitu, walikuwa wakiwaambia na maoni ya Maimamu na kumbe wamepatikana. wenzao wasimpigie Wanazuoni mbalimbali Wamepoteza hata kile mgombea wa CUF kwa wanasemaje. Lakini kidogo walichokuwa sababu sio ‘Mwana tukija katika siasa, katika nacho wakati wakielekea Sunnah’, utadhani yule ya ujumla kinchi, sisi ni Dodoma. wa CCM yeye alikuwa Tuna la kujifunza kutoka Waislamu, sio Bakwata, Yapo Makanisa ‘Salafi Jadid’. Baraza Kuu wala Ansaar. yashawatangazia waumini Ni kwa mtizamo huo Mwalimu Nyerere wao kwamba Ibada ya huo, na kwa kutojitizama aliwathamini sana, Jumapili, itafanyika kama wale ‘Weusi’ wa kuwaenzi na kuwategemea Jumamosi ili Jumapili Marekani, leo hakuna ‘The Million Man March’ Waislamu kama nguvu ya tarehe 25 iwe kazi ni mwanasiasa yoyote Jumatatu moja ya Mwezi mkusanyiko ule, yake ya kisiasa (political moja tu. Kupiga kura. anayetuthamini kama Oktoba 16, mwaka 1995 watakubaliana nasi kuwa base) hata akawa anavaa Sasa kama ingekuwa wapiga kura. mwanaharakati wa ulikuwa ni wa aina yake. kofia kama wao kwa upigaji kura wa wenye Hivi tunadhani kupigania haki za watu Ulikusanya Waislamu sababu waliingia katika makanisa hayo ungekuwa mgombea ambaye ana Weusi wa Marekani na Wakristo huku Louis siasa kama Waislamu, kila muumini na lwake, uhakika kwamba kuna Louis Farrakhan aliandaa ambaye ni Muislamu wakiwa na kauli moja kama ni wa Magufuli, watu wamebadili siku yao program iliyoitwa ‘The akiwahutubia wote juu ya TANU na wakaipa Dovutwa, Hashim ya Ibada ili wakampigie Million Man March’. akitumia mafundisho nguvu TANU mpaka Rungwe au Lowassa, kura kwa umoja wao, kama Maandamano na ya Kiislamu na ya uhuru kupatikana. hatudhani kwamba akishinda atawaweka kongamano hilo Kikristo kuwaunganisha Leo hali yetu Waislamu ingewashughulisha katika mizani sawa na lilikusanya watu zaidi ya Wamarekani Weusi katika imekuwa kama wale viongozi wa makanisa wale ambao, wametapanya laki nane, kwa uchache, wa angeda yao ya kupinga waliokwenda Dodoma hayo kubadili mpaka siku kura zao? dini mbalimbali, mbele ya dhulma dhidi yao. Kwamba ‘National Mall’, Washington wote ni Weusi na tatizo DC, karibu na mnara lao ni moja. Wakikutana wa kumbukumbu ya Wakristo watazungumzia Abraham Lincoln (Lincoln yao ya Ukristo na Memorial ) na Jumba la wakikutana Waislamu Majemadari hodari 10,000 kumkabili Lowassa, Magufuli Bunge la Marekani (United watazungumzia yao ya Na Mwandishi Wetu dhalimu na kumwambia Mtu Mweusi. States Capitol). Umati huo Uislamu, lakini katika sasa basi.” Katika ujumla wake, uliunganishwa na jambo ‘A Million Man March’ Wakati siku zikiyoyoma Akikariri kauli hiyo kwa ujumbe wa Louis moja tu: Kuchukia ubaguzi wote wanaunganishwa kuelekea uchaguzi mkuu, upande wa wanawake, Farrakhan ulijikita katika unaofanywa na Wazungu na Weusi wao na dhulma kuna haja Waislamu akasema kuwa ni lazima nukta tatu. dhidi ya Weusi. wanayofanyiwa. kutafakari ule wito wa watu hao wawe mashujaa Kwanza ni kwamba Kwa akina mama, Lakini pia alitumia Louis Farrakhan kwa wasio na woga kwa maisha huwa yanapoteza watoto, vikongwe na watu furasa hiyo kuwatambua Wamarekani Weusi. sababu watu wanaofaidi maana kama hakuna haki. wote ambao hawakuweza Wazungu na viongozi Waandae wanaume katika mfumo uliopo Unaishi katika dhulma, kuhudhuria kwa sababu wa serikali ya Marekani 10,000 na wanawake wa “White Supremacy”, unadhulumiwa na mbalimbali, walitakiwa waliopita kama Abraham 10,000 mashujaa, wasio hawatakubali uondoke. wala ubinadamu wako kubakia majumbani mwao. Lincoln ambao walitoa na woga kupambana na Kwa hiyo wataleta tabu hauthaminiwi kama wa Hakuna kwenda kazini mchango katika mfumo wanaoutuhumu na hata kutafuta sababu ya watu wengine. wala watoto kwenda skuli. kupiga vita utumwa au kuwa hauwatendei haki. kuwadhuru. Jambo la pili Iliitwa ‘Day of Absence’. kutahadharisha juu ya Akitumia kibwagizo, Akifafanua akasema, alilosema ni kwamba, Ilikuwa ni mkusanyiko ubaguzi. "Justice or Else", Louis hivi karibuni alitoa mahali palipojengeka wa kuwafanya watu Hili kwa hakika ni Farrakhan aliasisi harakati kibwagizo hicho kwamba dhulma ikakubuhu, ni wajitambue na kutambua jambo kubwa na somo za kuwaunganisha anataka ‘10,000 fearless lazima mfumo mzima matatizo yanayowagusa ambalo, sisi katika An Wamarekani Weusi men’, vyombo vya unaoruhusu na kulea wote kama Weusi, bila nuur tungependa akiwaambia kuwa hatma habari ikiwemo Fox dhulma ubomolewe. kujali kwamba ni Mkristo, Waislamu wa Watanzania, yao ipo mikononi mwao News wakazusha kuwa Kubadilisha uongozi tu Muislamu, ‘Jah Safari’ wajifunze. Kwanza labda wenyewe. anakusanya Wamarekani wa kisiasa huwa haisaidii au kitu kingine. Lakini tuseme kwamba kwa Kwa hiyo, ni lazima Weusi kuuwa Wazungu. kitu. walikuwepo pia wale serikali ya Marekani, ni kuwa na program ambazo Akasema, katika Ni lazima kama kuna ambao sio Weusi, lakini jambo la kupongezwa kwa mwaka hadi mwaka kuwajibu alihoji, kwa watu waliokuwa wakijiona wakipinga ‘Ukaburu’ kupanua demokrasia yake zitakuwa zikiwasogeza nini Wazungu wakimbilie kuwa wao ni bora kuliko uliopewa msamiati wa na uvumilivu kiasi cha katika kuondoa mfumo wa kuwa na wasiwasi kwamba wengine, mawazo hayo ya “White Supremacy”. kuruhusu umati kama “White Supremacy” katika kuna watu wana mpango kibaguzi yafutwe. Inaelezwa kuwa kutoka wa ‘Million Man March’ Marekani unaowabagua wa kuwauwa kama Nukta ya tatu siku hiyo, kumekuwa na kukusanyika kila mwaka na kuwadhalilisha Weusi. hawajihisi kwamba kuna aliyosisitiza ni kuwa wale mabadiliko makubwa hasa mahali nyeti kama mbele Katika nasaha zake watu wanawadhulumu wanaobaguliwa, ni lazima kutokana na Weusi kuwa ya Capita Hill kupaza sauti Jumamosi iliyopita na kuwafanyia matendo wajitambue na wawe na umoja katika kulikabili za madai, malalamiko na Oktoba 10, 2015 katika maovu. tayari kujitoa muhanga kupambana na mfumo tatizo lao wote kama Weusi. shutuma dhidi ya serikali. kumbukumbu ya miaka Akasisitiza kuwa Na kila mwaka kumekuwa Lakini muhimu zaidi ni Waislamu ni watu wa unaowabagua, kinyume 20, maarufu kama ‘Million cha hivyo hakuna sababu na maadhimisho ya ule umoja na mshikamano Man March Anniversary’ amani na kwa hivyo, ‘Million Man March’. wa wenye madai dhidi ya wanachopigania ni ya wao kuishi. kule Washington Lakini kwa upande Maadhimisho ya mwaka serikali. DC, Louis Farrakhan kuondolewa kwa huu yalifanyika Jumamosi Kwa hapa kwetu, mfumo wa kibaguzi mwingine akawaonya aliwaambia maelfu ya madhalimu kwamba iliyopita Washington DC kwa maana Waislamu, watu waliokusanyika unawaochukulia Watu ambapo Louis Farrakhan kelele zimepigwa sana Weusi kuwa ni watumwa wasingoje mpaka mambo kumsikiliza kwamba yalipuke kama volcano, alihutubia umati wa watu za kudai kutokutendewa panahitajia watu mashujaa wa Wazungu daima dumu. akiwakumbusha agenda haki. Kelele zilipigwa Wanachopigania ni kile maana binadamu kwa wa kupambana na kile maumbile yake hakubali yao ya kufuta ‘White sana kudai Mahakama ya alichokiita “White kile ambacho alipigania Supremacy’ katika nchi Kadhi, lakini mwisho wa Dr. Martin Luther King kuonewa daima dumu. Supremacy”. Louis Farrakhan yao. yote Bakwata kivyao na “Nataka 10,000 fearless na Malcom X, kuondoa Kwa waliotazama Waislamu wengine kivyao. men, ambao watamkabili ‘White Supremacy’ juu ya Inaendelea Uk. 5

ANNUUR REAL.indd 4 10/15/2015 12:55:07 PM Habari za Kimataifa AN-NUUR 5 DHULHIJJA 1436, IJUMAA OKTOBA 16-22, 2015 Majemadari hodari 10,000 kumkabili Lowassa, Magufuli Inatoka Uk. 4 raia na binadamu sawa na Wazungu. anavyoongelea tatizo Harakati hizi “The la “White Supremacy” Million Man March” katika Marekani, ni zilianzishwa Jumatatu ya kama anawahutubia Oktoba 16, 1995 ambapo Waislamu wa Tanzania walikusanyika watu zaidi na madai yao kongwe ya laki nane (800,000) kwamba wanabaguliwa wakisikiliza hotuba na kunyimwa haki zao za mbalimbalui na kuleta msingi. Dua na kuswali pamoja. Kwamba, mfumo uliopo Katika tukio hilo hauwatizami kwa jicho la lilil usawa sawa na watu wa owakusanya watu wa dini nyingine. dini mbalimbali, ujumbe Watu wa dini nyingine muhimu ulikuwa wanatizamwa kama kuwahimiza watu Weusi wanavyotizamwa kupigania haki zao. Wazungu katika ule Ni moja ya matukio mfumo wa “White yanayodaiwa kuvunja Supremacy”. rekodi kwani pamoja Ni kwa mtizamo huo, Picha Chini mamia ya maelfu ya watu walioshiriki "Million Man March" Washington na kukusanyika kwa kuna haja kwa Waislamu DC, Oktoba 16, 1995. Juu baadhi ya washiriki "Million Man March 20th Anniversary" umati huo, hakuna wa Tanzania kujipanga na iliyofanyika Washington DC, Oktoba 10, 2015. mtu aliyejeruhiwa kujitokeza kishujaa kabisa wala kuumia na watu kuwakabili watawala walipotawanyika na wapepea mfumo jioni, waliacha uwanja huu mithili ya “White ukiwa msafi kama Supremacy”. walivyoukuta. Waseme hadharani, kwa Na hiyo ilikuwa ni kinywa kipana kabisa, kutoka na waandaaji “Justice or else”. waliwahimiza watu Kwa maana kwamba kuwa na nidhamu na ubaguzi, uonevu na ukawekwa utaratuibu dhulma basi. wa kusimamia nidhamu Ila kama alivyosema hiyo. Louis, lazima watu hao Pamoja na kuwa wawe madhubuti kwa jamii za watu Weusi sababu wanaofaidi katika ndio zinatajwa kuwa hizi “Supremacy”, iwe za fujo na matukio ya za kidini au kirangi, kihalifu Marekani, lakini hawatakubali mfumo inaelezwa kuwa siku kuondoka kirahisi. hiyo hakuna aliyevuta Mara kadhaa hapa sigara wala kunywa nchini baadhi ya ulevi na hakukuwa na Waislamu wamekuwa analotahadharisha Louis kuendeleza “White & Wawe na program zao tukio la kihalifu hata kwamba wanaopigania Christian Supremacy” yao. ambapo watahakikisha moja lililoripotiwa wakishutumiwa kuwa katika vyombo vya wanaleta udini, wanataka kuondoa mfumo wa Katika kumalizia nasaha kuwa kama ni wake au “Supremacy” ya baadhi zake, Louis Farrakhan mabinti zao, wanakuwa habari. kuharibu amani au kuleta Wale ambao ubaguzi wa kidini, lakini ya watu juu ya wengine aliwasimamisha mabinti ‘the best’ katika fani walijue. 10 wa Kiislamu waliokuwa mbalimbali, uhandisi, hawakuweza ukitizama walichodai Lakini akakumbusha wamevaa nguo za stara, udakitari, uhasibu, na kuhudhuria katika Waislamu hao ni usawa jambo jingine pia akisema akasema kinachotakiwa mambo mbalimbali, lakini mkusanyiko huo (1995), au kupinga ubaguzi na kuwa Wazungu wakitumia kwa Waislamu ni kuondoa pia wanakuwa ‘the best’ walitakiwa kusalia upendeleo kwa baadhi ya Ukristo, ndio walikuwa woga, kujitambua, jikoni wakipika vyakula majumbani mwao, watu. wafanyabiashara kuondoa unyonge na vizuri halikadhalika ‘the hakuna kwenda kazini Na nchini hapa wakubwa wa biashara ya kuonyesha ubora wao best’ kwa waume zao na wala watoto kwenda ukisikia wanasiasa utumwa. katika tabia na matendo watoto. Na hivyo hivyo shule. Ilikuwa ni siku katika majukwaa ya Akatoa mfano akisema mema. iwe kwa wanaume. iliyoitwa ‘Day of Absence’. kisiasa wakikemea udini, kuwa meli ya kwanza Akasema, msichana Kumbukumbu Inaelezwa kuwa baada hawakusudii kukosoa kuingia Marekani aliyevaa stara, hakuna mtu iliyofanyika Jumamosi ya mkuanyiko huo, watu mambo kama MoU, au kutoka Uingereza ikileta atakayethubutu kumwita Weusi zaidi ya milioni kuhoji kwa nini sehemu Washington, haikuwa moja laki saba (1,700,000) watumwa mwaka 1555 ‘Hay Baby’. maandamano, bali nyeti serikalini iwekwe ilikuwa imepewa jina la walijiandikisha kama Waislamu ni ‘Kuntum mkusanyiko wa watu wapiga kura katika Wakristo watupu. “the good ship Jesus” Khaira Umma’, na kwa Bali wanachofanya ni ikiongozwa na Sir John katika kuhuisha wajibu uchaguzi uliofuata ili hadhi hiyo, wasiruhusu kuhakikisha kuwa nao sauti kuwashutumu wanaohoji Hawkins. ujahili wa ‘Supremacy’ wao wa kudai haki zao serikalini. yao inakuwa miongoni uhalali wa MoU baina ya Lakini anasema, za kikabila, kitaifa, na mwa zinazoamua nani Serikali na Wakristo bila Wazungu hao ndio leo kwa upande mwingine Katika mkusanyiko huo, awe Rais wa Marekani kujali kwamba hapa kuna wanabadili historia na pale ambapo ugonjwa Louis anasema, hakuna na kwamba kura yao iwe Waislamu ambao nao ni kufunika maovu yao huo umeshaingia, basi ni cha ziada wanachokitafuta, ya pamoja (block vote) wananchi walipa kodi. wakiwatupia lawama lazima wawe na ujasiri wa bali kuitaka serikali iwape kwani ikiwa ya kila mmoja Hili ndilo wegine ili wapate kuuondoa. kile kilicho haki yao kama kivyake, inakosa maana.

ANNUUR REAL.indd 5 10/15/2015 12:55:08 PM AN-NUUR 6 Makala DHULHIJJA 1436, IJUMAA OKTOBA 16-22, 2015 TANU ilikuwa kama Swala 5 kwa Waislamu! Waislamu tupo kwa es Salaam. Siku hiyo Magufuli, wengine kwa Leo nini nafasi yao katika CCM, Serikali! Nuru Binti Sudi alikuwa Lowassa. Lakini turejee anaimba pamoja na kidogo historia yetu Nini matarajio yao kwa Magufuli, ‘Mamvi’? kikundi chake kipya katika TANU, kisha kwa mara ya kwanza tujiulize, nini nafasi na mashabiki wake yetu leo katika siasa walikuwa wamekuja za Tanzania ya leo? kumwona bingwa wao Kwa kutafakari hilo, akiimba katika hafla ya hebu turejee simulizi TANU. Halikadhalika hii anayokuletea mashabiki wa Egyptian Mohammed Said. walikuwa wamekuja “Ilikuwa katika vile vile kushagilia na taarab iliyoandaliwa kuwazomea washindani kusheherekea wao kwa kumchukua kufunguliwa kwa bingwa wao. tawi la TANU Dar es Kulikuwa na sababu Salaam ya Kaskazini nyingine kwa watu katika mtaa wa Mvita, kushangilia. Katika nyumba namba 10, kuhama huko kutoka tarehe 10 Agosti, 1957, Al-Watan na kuingia ulimi wa Sheikh Takadir Egyptian, Nuru ukateleza, akamuita alikuwa ameweka Nyerere “mtume.’’ Tawi msimamo wa kisiasa. la TANU Dar es Salaam Nuru alikuwa na damu ya Kaskazini lilikuja mchanganyiko. Baba kuwa lenye nguvu sana yake alikuwa Mwarabu kuliko yote na tawi Waliokuwa Katika Picha Hii na Ndilo lilikuwa Baraza la Wazee wa TANU, (Wengine: na mama yake alikuwa likawa na mafanikio Hawapo) 1. Abdallah Shomari (Tandamti No. 3), 2. Nassoro Kalumbanya (Simba), Mwafrika. Kabla ya labda kupita matawi 3. Said Chamwenyewe (Aggrey/Congo), 4.Mtoro Ally (Muhonda), 5. John Rupia kutoka Al-Watan na yote katika Tanganyika. (Misheni Kota), 6. (Minaki Sekondari), 7.Said Chaurembo (Congo/ kuingia Egyptian, Mwenyekiti wake Mkunguni), 8.Jumbe Tambaza (Upanga), 9. Sheikh Suleiman Takadir (Mafia/Swahili), alikuwa mwanachama 10.Dossa Aziz (Mbaruku/Somali Kipande), 11. Mshume Kiyate (Tandamti), 12. alikuwa Mtoro Kibwana Juma Sultani (Kitchwele Karibu na Kanisa Dogo), 13. Maalim Shubeti (Masasi/ wa Coronation ambacho na mweka hazina Sheikh Likoma), 14. Rajab Simba (Kiungani), 15. Waziri Mtonga (Kilosa 18, Ilala), 16. kilikuwa chama cha Haidar Mwinyimvua, Mwinjuma Mwinyikambi (Mwananyamala), 17. Makisi Mbwana (Aggrey/Congo), akina-mama wenye asili ambae baadae aliingia 18. Usia Omari (Sungwi, Kisarawe), Sheikh Issa Nasir (Bagamoyo) ya Kiarabu. Kwa hiyo Kamati Kuu ya TANU ilichukuliwa kwamba, ya taifa. maadam Egyptian Kwenye hafla ile, ilihusiana na Waafrika, katika kumtambulisha kwa kitendo kile cha Nyerere na kummiminia Wajue waliompenda Nyerere kwa dhati kuhama Al-Watan, sifa, Sheikh Sulaimna Mzee ''Kissinger'' siku Marehemu Abdulwahid walikuwepo vijana Nuru alikuwa ameasi Takadir bila kufikiri, moja aliniita nyumbani Sykes na mdogo wake wengine kama Hamza na kurudi kwa ndugu aliwaambia wasikilizaji kwake Mtaa wa Congo Ally, Waziri Dossa Aziz na Kibwana Mwapachu, zake, yaani Waafrika. wake kuwa “Nyerere ni na akanikabidhi “bango wengineo. Halikadhalika Inaendelea Uk. 7 Amerudi kwenye asili mtume wa Afrika.’’ kitita’’ cha magazeti ya yake, kwenye tumbo la Kama kauli ile zamani. Akatoa moja mama yake aliyemzaa. ingetolewa siku akanionyesha picha ya Hivi ndivyo mambo Mzee Mshume Kiyate na nyingine yoyote ile, Nyerere kisha akanipa yalivyokuwa siku zile. huenda tamko hilo kisa cha Mzee Mshume, Kila jambo lilipewa lisingezua kishindo, na kisa ambacho ni hiki tafsiri ya kisiasa. Wakati huenda lingepita bila hapo chini: huo UTP ilikuwa tayari kuwa na taathira yeyote Julius Nyerere imeshaanzishwa na mbaya. Lakini ufunguzi alianza siasa za kudai Egyptian ilikuwa wa tawi la TANU la uhuru wa Tanganyika imetunga nyimbo Mvita katika siku hiyo katika mazingira ya maalum kwa ajili ya tarehe 10 Agosti, 1957, Dar es Salaam akiwa hafla hiyo ambayo Nuru ilikuwa siku maalum amezungukwa na Uislamu aliimba kuidhihaki UTP. kwa wakazi wa Dar es na Waislamu. Kulikuwa Sehemu ya mashairi yake Salaam. Kwanza, Dar na tofauti kubwa kati ya yalikuwa yanasema hivi: es Salaam ilijitokeza kiongozi huyu na wale kushuhudia kutoka aliowaongoza. Siku hizo Nyerere kijana mdogo wa “Ma-UTP wana majambo, kwa mwimbaji stadi, miaka thelathini. Kivazi TANU wanaichukia.’’ Nuru binti Sudi, kutoka chake kilikuwa ni kaptula Al-Watan na kujiunga na soksi za stokingi. Pili, ili kuadhimisha na wapinzani wao Mavazi rasmi ya wasomi kufunguliwa kwa tawi Egyptian. Hivi vilikuwa wa miaka ile ya ukoloni. la TANU Mvita, TANU vikundi viwili vya Taarab Katika TAA aliwakuta iliwaalika wajumbe vikishindana mjini Dar vijana wenzake. Mzee ''Kissinger'' Inaendelea Uk. 7

ANNUUR REAL.indd 6 10/15/2015 12:55:08 PM AN-NUUR 7 MAKALA DHULHIJJA 1436, IJUMAA OKTOBA 16-22, 2015 TANU ilikuwa kama Swala 5 kwa Waislamu! Inatoka Uk. 6 Sheikh Takadir aliteleza wa Baraza la Kutunga na kumwita Nyerere Sheria, wengi wao “mtume’’ mkombozi wa machifu, ili kushuhudia Watanganyika. sherehe hiyo. Miongoni Katika hafla hiyo, mwao walikuwa Chifu waheshimiwa na wageni Kidaha Makwaia, Humbi waalikwa, walipewa Ziota, Msabila Lugusha, vitafunio, vinywaji Mwami Theresa Ntare baridi na chai. Nyerere na wengine wengi. katika kutoa shukrani Vilevile walikuwepo kwa wanachama wa watu wengine TANU, alikamata mashuhuri kama Hamis kikombe cha chai na Mfaranyaki ambae kukionyesha juu kwa ndiye alikuwa kiongozi wasikilizaji wake. wa Wangoni mjini Dares Aliwaambia watu Salaam, Paul Bomani, kwamba wasidhani Said Chaurembo, kaka kitendo cha kumpa mtu yake Sheikh Abdallah kikombe cha chai ni Chaurembo na wengine kitu kidogo. Nyerere wengi. aliendelea kusema kuwa Pamoja na watu watu wameiuza nchi hii wote hawa mashuhuri kwa kupewa kikombe kuhudhuria, huu Kushoto Kwenda Kulia: Dossa Aziz, Julius Nyerere, Abdul Sykes na Lawi Sijaona cha chai na wakoloni. ulikuwa usiku Ukumbi wa Arnautoglo Kwenye dhifa ya Kumuaga Nyerere Kwenda UNO safari ya Nyerere alikuwa adhimu kwa TANU. pili 1957. akitoa maneno hayo Hapakuwa na shaka akiwa anawapigia yoyote kuwa chochote vijembe watu maalum. kitakachosemwa Nyerere kwa maneno katika hafla kama hiyo, yake alikuwa kitakuwa na athari kwa akiwakusudia machifu. watu. Ilikuwa katika Wajue waliompenda Nyerere kwa dhati Baadhi yao walikuwa hafla hii ndipo siku Inatoka Uk. 6 Wazee chini ya Sheikh kama hii, ungelidhani pale pale katika meza ulimi wa Sheikh Takadir Steven Mhando na Suileman Takadir. Baraza kuwa Mwalimu angejihisi kuu wakinywa chai na ukateleza. Zuberi Mtemvu. TANU hili lilijumuisha wazee yupo ugenini. La hasha. yeye. Wakati huo baadhi ilipoundwa mwaka 1954 wengi maarufu wa mjini Nyerere alikaa vyema Katika hotuba zake na masheikh. Katika hali ya machifu walikuwa Sheikh Takadir alikuwa kukawa na Baraza la Inaendelea Uk. 8 wakishirikiana na akiitaja TANU kama Gavana Twining na UTP “tano’’ na alipotamka katika hila za kuipiga neno “tano’’ alikuwa vita TANU ishindwe akionyesha vidole vyake kuikomboa Tanganyika vitano vya mkono wa kutoka makucha kulia, bila shaka yoyote ya ukoloni. Ilikuwa akifananisha na sala dhahiri kuwa makombo tano za faradh katika waliyokuwa wakipata Uislamu. Sheikh Takadir machifu kutoka kwa alikuwa akipandisha Mwingereza, hayakuwa hisia na mori wa Kiislamu hata na thamani ya kwa wasikilizaji wake kikombe cha chai. kwa kutoa mifano mingi Maneno ya Nyerere katika Qur’an Tukufu, hayakuwa fumbo kwa akihadithia mifano wale machifu. Yalikuwa ya mathalan, kisa cha maneno ya wazi ambayo Daudi na Jalut, kisa cha waliyaelewa. Machifu Firauni na Waziri Mkuu walitambua kuwa wake Hamana na jinsi wao ndiyo walikuwa walivyowakandamiza wakisemwa katika Bani-Israil. hotuba ile ya shukurani. Sheikh Takadir Ilikuwa katika usiku alikuwa akimaliza huu, Sheikh Suleiman hotuba zake kwa Takadir katika hotuba kuonyesha kuwa yake alimweleza rais wa mwishowe haki TANU, Nyerere, kama hushinda batil. mtume aliyeletwa na Akimaananisha kuwa Allah kuja kuikomboa uovu wa Waingereza Afrika. utashindwa. Ilikuwa Maneno haya katika hotuba zake yalimuudhi sana Sheikh Hii Picha Ilipigwa Siku ya Nyerere Alipoweka Jiwe la Msingi Chuo Kikuu Cha Hassan Bin Amir na nyingi kama hizi Waislamu, Chang'mbe 1968 za kumsifu Nyerere, Inaendelea Uk. 8

ANNUUR REAL.indd 7 10/15/2015 12:55:08 PM AN-NUUR 8 Makala DHULHIJJA 1436, IJUMAA OKTOBA 16-22, 2015 TANU ilikuwa kama Swala 5 kwa Waislamu! Inatoka Uk. 7 alitambua japo ile haki Waislamu wengine. yao katika mambo ya Siku chache baada ya Ndoa, Talaka na Mirathi. maneno yale ya Sheikh Je, imekuwaje leo Takadir, Mufti Sheikh serikali waliyoipigania, Hassan Bin Amir akiwa kutupilia kwa mbali amefuatana na Chifu hata haki ya kuwa na Makongoro alikutana Mahakama ya Kadhi na Sheikh Suleiman inayotambulika kisheria Takadir njiani katika makutano ya Mtaa wa na Kikatiba? Swahili na Mkunguni, Tusipojitizama vizuri, Sheikh Hassan Bin itakuwa sisi ni watu Amir alimkabili wa kung’atwa tu na Sheikh Takadir na kujeruhiwa kila siku kumwambia asirudie katika shimo hilo hilo tena maneno hayo kwa moja (kutumiwa na kuwa yalikuwa kufr. wanasiasa). Jana ilikuwa Kwa Sheikh Takadir nyoka, leo tandu, kesho kumtaja Nyerere n’nge, keshokutwa kama mtume, hakuwa atarudia nyoka, lakini tu anampandisha safari hii koboko, sio Nyerere kwenye daraja kifutu! Sisi tutakuwa isiyoweza kufikiwa na watu wa aina gani kama kiumbe chochote, lakini hatusomi?-Mwananchi, lililo baya zaidi, alikuwa Nyerere anapeana Mkono na Mufti Sheikh Hassan bin Amir Katikati yao Muislamu mpenda haki. akitoa kauli hiyo kwa ni Tewa Said Tewa Rais wa EAMWS Tawi la Tanganyika. Mkristo. Vitabu kadhaa vimeandikwa kuhusu historia ya TANU na hakuna mwandishi Wajue waliompenda Nyerere kwa dhati yoyote aliyemtaja Sheikh Inatoka Uk. 7 mzigo mzito ikiwa anafanya kazi za TANU. Alifanya hivyo hadi uhuru Suleiman Takadir. Si kwa katika kundi la Waswahili atakuwa anashughulika Mzee Mshume akajitolea ulipopatikana. kheri wala kwa shari. na masheikh. na kuwatafutia wanawe kuihudumia nyumba ya Baada ya uhuru, Imekuwa kama vile Nyerere siku moja chakula na wakati huo huo Mwalimu kwa chakula. Nyerere alimwomba Mzee hakupatapo kuwepo. katika kuwakumbuka Mshume aache kufanya Lakini huyu Sheikh rafiki zake wa zamani hivyo lakini alikataa na Suleiman Takadir ndiye akizungumza na Dossa akamtafadhalisha Nyerere Aziz, Ahmed Rashad Ali aendelee kula chakula aliyekuwa anakwea chake na kile ambacho jukwaa la TANU Mnazi na Lucy Lameck nyumbani kwake Msasani, katika kinatolewa na serikali Mmoja kumtambulisha kuelezea kile alichokiita kwake yeye kama mkuu wa Nyerere kisha ndipo "the TANU spirit" yaani nchi, alimuomba Nyerere Nyerere anapanda moyo wa upendo wa awape wageni wake. Baada kilingeni kuzungumza wana-TANU, alisema ya maasi ya wanajeshi wa na wananchi. Nyerere kuwa, siku moja wakati KAR tarehe 20 Januari, mwenyewe hadi wa kudai uhuru alikuwa 1964 kuzimwa na jeshi la anaingia kaburini, anatoka nyumbani kwake Kiingereza, TANU ilifanya hakupata kumtaja Magomeni akija Kariakoo mkutano mkubwa sana Sheikh Suleiman kwa miguu kuelekea Jangwani. Mzee Mshume sokoni kutafuta mahitaji kwa niaba ya wazee wa Takadir.” TANU alipanda jukwaani Ukitizama kisa hiki yake, lakini mfukoni alikuwa hana senti moja. na kumvisha Mwalimu cha Sheikh Takadiri Njiani akakutana na kilemba kama ishara ya na utume wa Nyerere, Mzee Mshume Kiyate. kuunga mkono uongozi unalojifunza ni kuwa Alipomuuliza anakwenda wake. Mzee Kiyate Waislamu waliipenda wapi, alimfahamisha kuwa amefariki dunia, si Nyerere sana TANU na anakwenda sokoni lakini wala TANU walikuwa walimuenzi sana hana fedha za kununua na habarinae. Kafa peke Mwalimu Nyerere chochote. Mzee Mshume yake na mazishi yake kwa yale matumaini aliingiza mkono katika yakafanyika nyumbani kwamba itawakomboa koti lake na akatoa shilingi kwa ndugu yake Mtaa wa mia mbili akampa. Ukitaka Matumbi. Huyu nduguye na kuwaletea ndiye alikuwa mwazini haki walizokuwa kujua thamani ya fedha hizo ikutoshe tu kuwa wa Msikiti wa Shadhily wameporwa na nyumba ya vyumba sita na kwa ajili hii, waliotoka wakoloni. Swali ni kujenga Kariakoo ilikuwa kuja kumzika walikuwa je, leo Waislamu inagharimu shilingi nduguze Waislamu. hawalalamiki? Nini mia tano. Kutokana Hapakuwa na hotuba wala nafasi yao katika na hali hii, Mshume bendera kufunika jeneza Kiyate aliona itakuwa Mzee Mshume Kiyate Akimvisha Mwalimu Nyerere lake. Hadi leo historia ya siasa za leo? Mkoloni Kitambi kama ishara ya kuungwa mkono na Wazee wa pamoja na ubaya wake, ni kumtwisha Mwalimu mchango wa Mshume Dar es Salaam. Inaendelea Uk. 13

ANNUUR REAL.indd 8 10/15/2015 12:55:09 PM AN-NUUR 9 Makala DHULHIJJA 1436, IJUMAA OKTOBA 16-22, 2015 Njia 21 za kuachana na mahusiano haramu Na Ehab Hassan kama hakuna mmoja wetu atakayekuwa amefunga Msichana au mwanaume ndoa hadi umri wa miaka uliyekuwa ukizungumza 19." Watajaribu kufanya naye, ni jambo hivyo kwako. Usiruhusu linalokuweka mbali itokee. Hii itafanya zaidi na Mola wako. wote wawili mkose Unajua siyo sahihi, raha, itafanya mambo unataka kuachana nayo, yawe magumu zadi, na unataka kwenda mbele, ishindikane kuendelea lakini ni vigumu sana na mbele. hakuna anayekuelewa! Tatu, Kata kamba kabisa. Insha'allah, kila kitu Futa barua pepe zote, kitakaa sawa. Nimesikia jumbe, jumbe za Facebook, yote hayo kabla, hasa namba ya simu, jumbe wakati nafanya kazi pepe za sauti, na chochote miongoni mwa vijana. kingine ulicho nacho Inaweza kuwa dhambi kinachokukumbusha ngumu kuliko yote mtu huyo. Kwepa kumshauri mtu kuachana iwezekanavyo kuingia nayo. Dhambi ya kuwa katika hali ya kukutana na ‘rafiki’ msichana au nao. Kwepa kuzungumza ‘rafiki’ mvulana (boy/ nao kwa jumla, na kwa hali girlfriend). Namfahamu yoyote bila mtu mwingine ndugu mmoja katika imani kuwepo. Usijaribu kutafuta aliyeuacha Uislamu kwa wanajitahidi kufanya nini, ajili ya msichana, kwani na acha kuzungumza nao kila kitu kikishindwa, katika mitandao. Hivyo ndiyo mshale wa mwisho acha kuwaangalia katika ambao Shetani anamtupia Facebook, usiwafuatilie muumini kwani anajua katika Twitter. Na ondoa unafanya kazi. Na ndiyo njia yoyote ya upenyo wa maana tunahitaji njia kufahamu kinachoendelea halisi zinazowezesha katika maisha yao. kuondokana nayo. una nguvu zaidi ya badala yake yarukie. ndiyo hatua ya kwanza. Nne, Waambie imetoka. Hali kuwa uko hapa na hapo. Endelea, jitahidi Kama unadhani utaanza Na kweli. Ndiyo hatua Ndiyo ilivyo. Kama inabidi unasoma hii (makala), kumpendeza Allah. Na kujaribu, "kupunguza halisi ambayo unatakiwa uwe na mazungumzo ya ni hatua moja kuelekea hutakuwa na masikitiko hadhi", huo uhusiano kuchukua. Mengine mwisho kuwaambia kuwa upande unaofaa. Unaweza yoyote. Lakini kwa kidogo, basi acha kabisa. yote nitakayoeleza hapa unaendelea na maisha usidhani hivyo sasa, lakini njia ya kukurahisishia Mtu mmoja aliyekuwa ni ufafanuzi tu wa jinsi yako, basi fanya hivyo. UTAWEZA kuachana mambo, hizi ni njia 21 anataka ushauri alisema ya kujitawala baada ya Fanya hivyo kwa barua nayo, Isitoshe, Allah zinazowezekana ambazo wakati mmoja kuwa kuchukua hatua hiyo. pepe na iwe fupi, nzuri anatuambia: unaweza kutumia kuacha alidhani itakuwa wazo Pili, uiwaache na isiwe inaacha mwanya "Na anayemuogopa huo uhusiano haram, jema kuwa badala ya waendelee kuwa karibu. wa dhamira kwa tafsiri Mwenyezi Mungu, zikiwa zimegawanywa kutoka pamoja na msichana Huu siyo wakati wa yoyote ile. Usiache vitu humtengezea njia ya katika mafungu saba: wake, basi wangeishia tu kufikia makubaliano. vya wao kutoa majibu. kuokoka…na humpa Upige tu Teke: Maliza kuzungumza kwenye simu Hakuna kuingiza mawazo Maliza kwa kuwaambia rizki kwa namna uhusiano na kuupa kisogo. na kukutana mara moja katika kichwa cha kila kuwa ni kitu unachojitaji asiyoitazamia." (Kurani, Inatosha tayari hiyo moja kunywa kahawa. mmoja wenu kuhusu kufanya kwa ajili ya Allah. 65:2-3) michezo. Acha kukanyaga Yote hayo, huwa haina tija. "muda gani ni sahihi," au Na uwaambie wasikupigie Mtume anatuambia maji kwa kunyatia na Kuacha na kutoa kisogo "tuangalie upya suala hili simu. Kufanya hivyo hima katika hadith kuwa Allah ni bora zaidi. Kama uko anasema: "Mtumishi katika hatua za mwanzo, wangu akija kwangu ni rahisi zaidi kwako. anatembea, namfuata Mahusiano yanakua na nikikimbia." (Bukhari) kabla hujastuka, tayari Inawezekana unafikiri umeingia kichwa kichwa, kuwa kuacha uhusiano na siyo rahisi kumalizana haiwezi kuwa rahisi kama nayo (ingawa kwa hali watu wanavyoielezea. yoyote inawezekana). Hasa kwa vile Shetani Tawala hisia zako. anatumia siku zake Tano, funga radio. Huu na jioni zake kufanya siyo mjadala kuhusu kile kilichokatazwa muziki, unafaa au hapana. uwe unakipenda sana. Kitu kimoja ambacho ni Anakuaminisha kuwa hakika ni kuwa muziki tamaa ni upendo, kwani utainua hisia kadhaa anafanya moyo wako ambako una udhaifu uruke pigo moja mara mkubwa. Kila wimbo unapoona jina la huyo utakuhusu wewe. Jiweke mtu maalum (mvulana/ pembeni na ujipe muda msichana) - katika barua wa kupumzika kwa muda. pepe zako, katika simu Sita, acha kuhangaika. yako au katika ukurasa Usihangaike kujiuliza wako wa Facebook. kama wanakufikiria, Lakini niamini ninapokuambia kuwa Inaendelea Uk. 12

ANNUUR REAL.indd 9 10/15/2015 12:55:09 PM Makala AN-NUUR 10 DHULHIJJA 1436, IJUMAA OKTOBA 16-22, 2015

Na Omar Msangi Frankfurt, Ujerumani ambapo ilikuwa wabadili ingependa nianze ndege. Inaelezwa kuwa kwa kusema kuwa maofisa usalama wa NWaislamu tuna Kisa cha Aisha na Badra uwanja wa ndege wa matatizo, tena makubwa. Frankfurt, waliwastukia Na maadhali hatutaki walipowahoji ndio kukiri ukweli huo, wakakuta kuwa kumbe basi ukweli ni kwamba Saudia Arabia Vs Tehran ni ‘makuruta’ wa IS. hatuendi kokote. Aingie Wakakamatwa na ‘Sasa Kazi tu’ na ‘CCM kurejeshwa Marekani. mbele kwa mbele’ yake au Ukisoma taarifa hii ‘Mabadiliko’ na ‘Peoples’, kama ilivyoandikwa hali yetu itakuwa ile ile katika vyombo vya habari, ya kulalamika na pengine unachoona ni kuwa itakuwa mbaya zaidi. Aasha, Mariam na Leyla Wiki mbili zilizopita ni wahanga wa mchezo wa tuliandika habari juu ya ‘makachero’ wanaotumiwa janga la kukanyagana kupandikiza kitisho cha Mahujaji kule Minna ugaidi. Uhakika wa tukio jambo ambalo hili ni namna mbili tu, lilisababisha Mahujaji kama lilivyo lile la akina kwa mamia kupoteza Umulkhayr, hakuna zaidi maisha. Katika habari ya hapo. Uwezekano wa ile tulieleza kuwa moja kwanza ni kuwa, wasichana ya vyanzo vinavyotajwa hawa walitengenezewa kusababisha zahama ile, ni mazingira na kuwezeshwa kufungwa kwa baadhi ya kwenda mpaka Frankfurt, barabara kupisha msafara Ujerumani bila wao wa Mwanamfalme. kujijua au kudanganywa Kuna uwezekano wa kuwa wanaendea jambo namna mbili katika fulani, kumbe sivyo. Na taarifa ile. Moja ni kuwa waliofanya kazi hiyo ni kilichosemwa ni ukweli hao hao ‘makachero’ kwamba kuna msafara wa serikali wanaodai ulipita na barabara Ayatollah Seyyed Ali Khamenei. Waziri wa Ulinzi wa Saudia, Mohammad kupambana na ugaidi. ikafungwa na hivyo Bin Salman Aal Saud, Pili, inawezekana walijua kuzidisha msongamano. mmoja. ujumbe mfupi wa maneno mitego (entrapment) wanachofanya kwamba Pili inawezekana kuwa Kabla ya habari hiyo, kupitia simu yake anasema, inayoandaliwa na FBI wanatumiwa ‘kwa chanzo cha habari tulikuwa tumetoa makala “mbona mnawasifu kuwanasa vijana wa kulipwa’ pesa au kwa hizo kikawa hakikuwa ikieleza jinsi Pope Francis Mashia au na nyie Mashia Kiislamu na kuwasingizia ahadi ya kufanyiwa jambo sahihi kwa maana alivyokuwa ziarani au mnatumiwa bila ugaidi na uanachama fulani. Ambalo si la kweli kuwa hakukuwa Marekani alivyoshindwa kujijua? Tahadharini kama wa IS, ikiwa ni pamoja kabisa, NI UWONGO kabisa na msafara wa kumwambia ukweli Barack mnatumiwa na Mashia na kuandaa watu mtupu, ni hili: Ni kuwa Mwanamfalme. Obama kwamba serikali bila kujijua.” (wanafunzi wakiwemo wasichana hao walitiwa Ambacho tulitarajia ni yake ndiyo inayoleta Uoni na hali kama hii, wasichana) wakijifanya ujahidina na IS, wakawa kuwa kama kuna msomaji balaa duniani la vita na ndio inasababisha mpaka ni ‘kuruta’ wa IS/Al wajahidina wa kweli alikuwa na taarifa machafuko (Syria, Iraq, leo, kama Waislamu Shabaab wanaokwenda kindakindaki na wakaona tofauti, ilikuwa ni suala Yemen, Libya n.k). Katika tunashindwa kutoa kauli Syria/Somalia, baada ya namna ya kutekeleza la kutuambia kwamba makala hiyo tuliyoipa thabiti kulaani mauwaji kuhitimu masomo kupitia ujahidina wao ni kwenda tumekosea. Akatupa kichwa cha habari yanayofanywa Yemen mitandao. Syria. Kama ni ujahidina, ukweli wa jambo kwa “Papa Francis akwama: dhidi ya watu wasio na Inadaiwa kuwa hivi ulikuwa ‘ujahidina feki’ kadiri anavyojua yeye Ayatollah Khamenei hatia. Lakini ingekuwa karibuni, Aasha (17) na wa kupandikizwa na akituainishia vyanzo athubutu”, tulikuwa ni Israel, maandamano mdogo wake akiitwa mawakala wa serikali vyake ili kutupa na sisi tukichambua makala yangekuwa kila mahali. Mariam (15) pamoja na iliyobeba agenda ya fursa ya kuhakiki taarifa ya mwandishi Finian rafiki yao Leyla (16), Vita dhidi ya ugadi na yake. Na sisi kama Cunningham aliyesema ‘Jihad ya IS’ nayo walitoroka shule wakiwa ndio hao waliowakatia chombo cha habari, kuwa Papa Francis, tofauti bado mada ngumu sekondari, kule Aurora, tiketi ya ndege kwenda tungewajibika kueleza na Ayatollah Seyyed Ali Makala hii nimeipa jina Colorado, Marekani, mpaka Ujerumani na kule na kutoa masahihisho Khamenei, ameshindwa Aisha na Badra. Hawa kwenda Syria kujiunga na kukawa na makachero au kama tuna ushahidi kumwambia ukweli Barack ni wasichana wawili wa Islamic State. wengine wanaowasubiri, wa kutosha kwamba Obama anayesababisha Marekani waliokuwa Inaelezwa kuwa siku wakawakamata. Ufupi tulichosema ni kweli, basi machafuko na umwagikaji marafiki. Badra akiwa moja, siku ya Ijumaa, wa maneno ni mchezo wa tungetoa ushahidi zaidi. damu mkubwa na kuifanya rafiki wa karibu, anajaribu wazazi wao wakijuwa kuigiza. Ni usanii mtupu. Lakini kilichotokea dunia isiwe mahali salama kumwonyesha Aasha kuwa wamekwenda Hakuna zaidi ya hapo. kwa baadhi ya wasomaji kuwa jambo alilofanya Bila shaka tunakumbuka wetu ambao walidiriki pa kuishi hivi sasa. shule na wapo shule Katika makala yake ni la kijinga kabisa na kile kisa cha watu kutuma ujumbe, ni moja kama kawaida, kumbe waliofungua ukurasa wa tu ya vielelezo vya hoja “Blessing for Washington’s hakumtarajia kufanya wasichana hao walitoroka Global Terrorism”, ujinga kama ule. Facebook wakaupa jina yangu kwamba tuna shule, wakachukua tax la Sheikh Kishki na huko matatizo makubwa. Finian Cunningham “Why would you do na kwenda uwanja wa alisema kuwa kimya cha something so stupid?” Badra wakaweka picha zake na Maadhali aliyetajwa ndege kuelekea Raqaa, kisha kuweka fatuwa na ni ‘Mwanamfalme wa Papa juu ya mauwaji anamuuliza Aasha, katika Syria kujiunga na IS. Hata yanayofanywa na namna ya mshangao kauli mbalimbali kuwa Saudia’, suala la habari hivyo, wasichana hawa anaunga mkono IS. kwamba ni kweli au la, Marekani duniani kote kwamba hakumtarajia ndugu na rafiki yao Leyla, kwa kisingizio cha kufanya jambo la kijinga Katika kisa cha mabinti liliwekwa pembeni. Ikawa hawakufika Syria. Kama hawa tunaambiwa eti sasa shutuma inakuwa kupambana na ugaidi, ni kiasi kile. ambavyo akina Umulkhayr sawa na kubariki ‘ugaidi Ujinga gani? Wa walifundishwa ‘uhajidina kwanini inashutumiwa Sadri Abdullah na kijana wa IS’ kupitia mtandao. Saudia. wa Washington’. kutokuona kuwa IS ni Rashid Charles Mberesero Hilo nalo kwa baadhi ya mamluki wa Marekani Kama ni mitandao, “Hamuoni kuwa hawakufika Somalia. wanaitengeneza wenyewe mnawafurahisha ‘Mashia’, wasomaji wetu limekuwa (jihadist mercenary Walikamatwa Mombasa. Iran!” Alisema msomaji nongwa. Mmoja katuma armies) na kwamba kuna Hawa nao walikamatwa Inaendelea Uk. 14

ANNUUR REAL.indd 10 10/15/2015 12:55:11 PM Makala AN-NUUR 1111 DHULHIJJA 1436, IJUMAA OKTOBA 16-22, 2015

tukasubiri uingie wakati wa sala na kutanguliza kwa kuzikusanya Sala ya Adhuhuri na Alasiri. Mie ndio nilikuwa Muadhini Risala yangu kutoka Makka nikaadhini kisha nikakimu nchini Libya walikuwa kusali sala ya Adhuhuri hawachukui tena wageni rakaa mbili bada ya salamu kwenda Hijja katika zile nikasimama tena kukimu meli zake maarufu, Traplus na kusali sala ya Alasiri na Benghazi. Nikatafakari rakaa mbili. Ilikuwa lini nitaweza kwenda muhimu sana viongozi kuitimiza nguzo hii ya kuwafahamisha Mahujaji Hijja na siku zinakwenda watarajiwa kujua kusali na zishakwenda hazirudi sala ya safari na hata hivyo, Na Ben Rijal nyuma. bado ilikuwa kikwazo salaAm Alaykum Tunafahamishwa kuwa kwa wengine. Tukaondoka kwa wasomaji Hijja uwende kijana uwanja wa Kisauni- wanaofwatilia na usende ukiwa umri Unguja katika milango Aupenyu wangu katika unakupa kisogo, maneno ya saa kumi na kufika gazeti la An-Nuur. hayo yana nguvu na yana Madina ikiwa saa tatu za Kwa wiki tano sikuwa mantiki. Msongamano usiku. Watu wa Uhamiaji pamoja na nyie kwa kuwa wakati wa Kutufu na hapo Madina walikuwa nilikuwa kwenye Ibada kussai, kusimama Arafa, wapo tayari kutuhudumia ya Hijja huko Makka. kulala Muzadadifa, na kutusalimu na huku Aya katika Qur’an juu kupiga mawe Jamaraat kututakia Hijja ya amani. ya Hijja: 2:125, 2:158, 2:189, hakika inahitajia uwe na Unapokutana na Ofisa 2:196, 2:197, 2:198-201, MSIKITI wa Madina, Saudi Arabia. nguvu zako usiwe dhaifu huyo huchukui zaidi ya 2:203, 3:96-97, 5:1-2, 5:94- lakini vilevile kwenda dakika tatu au tano. 95, 5:96-97, 9:37, 22:26- katika umri wa miaka Tulipomaliza hayo 27, 22:28-30, 22:33, 22:36, 50 na kwenda mbele tukawa tayari kuelekea 22:37, 48:27. unakuwa ndani ya ucha Madina kwenye hoteli “Na kumbukeni tulipo Mungu kwa zaidi kwani tuliopangiwa. Tulifika ifanya ile Nyumba (ya huwa hushughulishwi hoteli saa 7 za usiku Alkaaba) iwe pahala pa na chochote kile zaidi ya tukasali kwa kuchelewesha kukusanyikia watu na Ibada. Magharibi rakaa 3 na Isha pahala pa amani. Na Safari yangu yote ya rakaa 2 kwenye Msikiti wa alipokuwa akisimama Hijja ilinichukua siku Mtume (SAW) na kuamua Ibrahim pafanyeni pawe 21 nikianzia Madina mji kukaa itikafu hadi kusali pa kusalia. Na tuliagana ambao Mtume (SAW) sala ya Alfajiri. Hapo na Ibrahim na Ismail: alihamia kutoka Makka unaukuta Msikiti tayari Itakaseni Nyumba yangu baada ya kukimbia vitimbi umeshaanza kujaza watu kwa ajili ya wanao vya makafiri. Mji huu una na unapojisikia unataka izunguka kwa kut'ufu na utulivu na watu wake kula, unakwenda kunywa wakarimu zaidi kuliko wanao jitenga huko kwa Sehemu ya Makaburi ya Baqi maji ya Zamzam tena yapo ibada, na wanao inama na watu wa Makka. baridi yanasambazwa kusujudu.” (2:125) Nalioondoka nyumbani Msikitini kote na Wengi wanaporudi nakufanya kama hayakosekani na maji hayo Makka huwa na mengi ya tulivyotakiwa kwa kutia huwa yanatokea Makka kuelezea juu ya safari yao nia kuwa nakwenda raha yangu ilikuwa ni kikamilifu, lakini wengi kutimiza Hijja, kisha kunywa maji ya Zamzam wao huyaelezea yakesha na nikasali rakaa 2. Rakaa ya na mengine kujimwagia wachache ambao huamua mwanzo nikasoma Suratul na kunawa uso. kuandika na maelezo Kafiruna na rakaa ya pili Msikiti wa Madina yao yakabakia kuwa nikasoma Al-Ikhlas. Baada ni wenye kuvutia na kumbukumbu, mfano ya kutoa salamu nikaomba umefanyiwa ukarabati Malik Al-Shabaz kwa kwa lugha yangu ya katika nyakati tafauti. Kuna jina maarufu ni Malcolm Kiswahili kutaka usalama sehemu ya kale ambayo X aliandika barua yake kwa huko niendako. Kisha ndio ya Rasuli, kuna ile kutoka Makka na hadi leo nikaagana na familia yangu iliofanyiwa ukarabati na barua hiyo husomwa na akiwepo dada yangu Waturuki na kuna sehemu wengi na kuvutiwa nayo. na shemegi zangu na iliofanyiwa ukarabati na Kuna maneno wahisani katika kuwaaga Mfalme Fahad. Sehemu ameyasema katika risala nikisoma “Astawdiu Llaha iliofanyiwa ukarabati na yake hio Al-Hajj Malik Al- dinakum wa amanatakum watawala wa Kituruki ina Shabaz ambayo hadi hii wakhawatima masafa ya mita ya mraba leo yana uzito. Alisema: aamalakum.” Kuagana 16,500m2 (square meter) “America needs to Msikiti wa Quba nao na kuanza safari na kuchukua waumuni understand Islam, because ukabila. Nimetembea leo Marekani ubaguzi kwenda uwanja wa ndege. 167,000 kwa mara mmoja this is the one religion that kwingi katika nchi za unanuka. Kuaga kwa miaka hii kisha kuna sehemu ya erases from its society the Kiislamu, nimekutana, Safari ya Makka ni sio kama zamani ambapo utanuzi iliofanywa na race problem. Throughout my nimezungumza na hata safari ambayo naweza waendao Hijja hawakuwa Mfalme Fahad ikiwa na travels in the Muslim world, nimekula na watu ambao kusema kuwa imekuwa na hata taswira ndogo masafa ya mita ya mraba I have met, talked to, and kwa nchi ya Marekani wao katika fikra zangu tangu ya huko Makka kukoje 82,000m2 (square meter) even eaten with people who wangejinasibu ni kama nikiwa na umri wa miaka wala hawakuwa na na uwezo wa kuchukua in America would have been watu Weupe, lakini hayo 7 kwani nilipokuwa skuli taarifa za undani, kwahio waumini 167,000 kwa considered 'white'--but the yamefutwa katika nyoyo tukisomeshwa juu ya walikuwa wakitoa buriani mara mmoja. Kuna na 'white' attitude was removed zao kutokana na dini nguzo 5 za Uislamu na ya 5 na kuaga na kuwawacha sehemu ya chini yenye from their minds by the ya Kiislamu. Sijapatapo tukisoma “Nakwenda Ku- wanaowaaga na vilio kwa uwezo wa kuchukua religion of Islam. I have never kuona udugu wa kweli Hijji Makka kwa mwenye kutokuwa na uhakika waumini 90,000 na mita before seen sincere and true unawekwa na watu wa uwezo.” Mwaka huo bibi wa kurudi, lakini miaka za mraba 67,000 (67,000 brotherhood practiced by all rangi zote kama hapo yangu mzaa mama naye hii hayo hayapo, kwani meter square). Ina Minara 10 colors together, irrespective kwenye Hijja.” akenda Hijja na ikawa anaondoka kuelekea Hijja ikiwa 6 mipya na 4 ya kale. of their color.” Maneno mazito na inanishughulisha kafikaje huwa na sura kamili ya Msikiti huu wa Mtume Tafsiri ya juu juu yanataka tafakuru kwa huko na alifanya nini huko Makka na akifika huko (SAW) una milango 85 “Nchi ya Marekani yule mwenye chembe Makka? huwa mara kwa mara ikiwa na vipimo 3x6 meter inahitajia kuuelewa ya ubaguzi katika nafsi Nilipofika umri anawasiliana na watu mlango ambao nikiupita Uislamu kwani ni dini yake, maneno haya wa miaka 28 ikawa wake. mara nyingi ni Fahd 22 ambayo imefuta kabisa kayazungumza miaka fursa kwangu kwenda Tulifika uwanja wa ndege 51 iliopita na mpaka Hijja, lakini wakati huo saa 6 ya mchana na hapo Inaendelea Uk. 15

ANNUUR REAL.indd 11 10/15/2015 12:55:12 PM MAKALA AN-NUUR 1212 DHULHIJJA 1436, IJUMAA OKTOBA 16-22, 2015 Njia 21 za kuachana na mahusiano haramu Inatoka Uk. 9 wakati sahihi kwako? na usiwape nafasi Kama sivyo, muda ya kukuambia kuwa huo uko karibu? Kuna wanakufikiria. Acha vitu inabidi uvifanye mambo mengine muhimu kabla hujawa tayari? zaidi yatawale mawazo Pata ushauri wa watu yako. Usitoe saa nzima wema, wenye kufuata kuangalia dari chumbani haki, na wenye ufahamu mwako kabla hujalala. wakusaidie kutathmini. Soma kitabu badala yake. Tumia muda huu kujenga Amini kuwa wanaendelea uhusiano na wazazi wako. vyema na mambo yao Fahamu wanachosema bila wewe na bila shaka kuhusu mambo hayo na watafikiria kuwa na wewe zungumza nao kuhusu unafanya vyema bila wao. unachohisi. Utapata Tunza heshima yako. ufahamu wa ndani na Saba, fahamu kuwa kujenga uhusiano imara hawakuwa sawa kwao. zaidi nao. Kama kitu kinaanza Kumi na tano, fahamu kwa ubaya, hakiwi kuwa hili pia litapita. sahihi kutokana na Mmoja wa waalimu muda. Utambue kuwa wangu aliwahi kuniambia hukuwahi kuwapenda kuwa vitu vyote katika kiukweli kwa ajili ya maisha vinaanza vikiwa Allah, bila kujali ni kiasi vidogo na kukuwa, ila gani ulikuwa unadhani mikasa, ambao huanza (unawapenda) au ni ukiwa mkubwa halafu hadhara gani (yenye ladha unapungua.. Utamalizana ya dini) ulikutana nao. na hali hii baada ya muda. Unahitaji kitu kilichoanza Utaangalia nyuma na kwa msingi sahihi. Hii kushangaa tatizo lako imzuie (kijana) yeyote lilikuwa nini na kwanini kuanza kitu ambacho siyo ilikuwa suala gumu hivyo sahihi. Hata hivyo, kama wakati huo. Na ufahamu hivi sasa una mahusiano kuwa kuacha kilicho ambayo siyo ya Kiislamu haramu, kutawezesha tu na ndoa ni kitu sahihi ndoa yako kuwa na nguvu kwako, basi unaweza na migahawa mizuri. ndiyo bora zaidi kati ya ambalo lingeweza kuwa wakati utakapokuwa kutubu na kuanza tena Jaza muda wako na vitu wapanga mikakati. Na baya zaidi. Anasamehe. umempata anayekufaa katika njia iliyo sawa - ambavyo vitachukua hisia omba kuwa akupatie mtu Ni Mwenye Huruma. kwa baraka za Allah. ukiwa na dhamira sahihi zako na kufikia mahitaji atakayekuleta kwake Kumi na tatu, Tutumie Kumi na sita, igundue ya ndoa na kwa utaratibu yako -na kuweka akili kwa karibu zaidi na akili. Acha kuota habari upya nafsi. Upate kuwa unaostahili. Lakini yako mbali na isipotakiwa kukufanya uwe na furaha. ya ndoa. Watu wanatumia bora zaidi katika nafsi fanya maamuzi sasa, na kuwepo. Ishi tu maisha yako, muda mwingi mno wa yako. Gundua vipaji usiendelee kujenga juu ya Kumi, anzisha upya hivyo kuwa unastahili ujana wao kufikiria vyako. Ingia katika vitu msingi ule ulioanzia. Jazia uhusiano wako na Allah. hilo. Baada ya Mtume kuhusu ndoa. Ni jambo ambavyo daima ulikuwa nakishi (upungufu) huo. Acha kutafuta upendo kufariki, Ibn Abbas (ra) linaloonekana hata unataka kujaribu lakini Nane, toa kila kitu katika maeneo yote alisemekana kuongeza kwa vijana wa dini- hukufanya hivyo. Jenga moyoni mwako. mabovu. kufunga na kuomba. labda ni zaidi kwao uwezo wako katika Zungumza na Allah Acha upendo wa Allah Wengine walipomwuliza kwani wanafikiria kuoa kile unachokifurahia. na umwambie jinsi uujaze moyo wako. kwanini, alisema "Nataka zaidi wasiingie katika Chukua muda kufanya unavyosikia - kwa lugha Kuna utoshelevu ambao kuoa, na nimesoma aya: uhusiano haramu. Kama vitu ambavyo vitakuwa yoyote ile unaoyojua hutaweza kuupata kwa "Wanawake wema, ni hujajiandaa, hujawa vigumu kufanya pale jinsi ya kufanya hivyo. watu ambayo ni Mwenye wa wanaume wema. Na tayari. Allah anasema: utakapokuwa umeoa na Mlilie kama unataka. Rehema peke yake wanaume wema, ni wa "Na wajizuilie na kuwa na muda mchache Fanya lolote unaloweza anaweza kujaza. Unajua wanawake wema."(Kurani machafu wale wasiopata zaidi kwa ajili yako ili kumkaribia. Hivyo kuwa amekujali wakati 24:26) cha kuolea mpaka mwenyewe. kama bado ulikuwa wote ukiwa huna mahali Kumi na mbili, fuatilia Mwenyezi Mungu Kumi na saba, fanya husali tahhajud kila usiku, pengine pa kugeukia. tendo baya kwa tendo awatajirishe katika fadhila vitu ili ujisikie vyema chukua hatua za awali. Omba msamaha wake zake." (Kurani 24:33) katika hisia. na uweke iimani yako jema. Maisha yako yote, na Jiangalie vyema katika Allah ameacha milango "Hakika mema wazi. kwake. Hatakupuuzia. Na hasa ujana wako, hayahusu wakati huu mgumu - akili usihofu kuwa peke yako huondoa maovu. Huu wewe kuambatana na yako, mwili na roho. Soma Tisa, fanya ni ukumbusho kwa unayoyapenda. Fanya mara nyingine. Wewe tu mtu mwingine. Wewe kitabu, fanya bidii katika vitu ambayo unafurahia na Muumba wako. wanaokumbuka." (Kurani ni mtu mwenye nafsi masomo yako, kula kiafya, kuvifanya. Ndiyo, ni Kumi na moja, fanya 11:114) pekee. Kama alivyosema fanya zoezi, kunywa maji jambo muhimu kufanya dua kuwa jambo bora Hivyo unahisi kuwa Mtume:: "Tumia fursa ya mengi, vaa vizuri, sikiliza matendo ya kuabudu, zaidi. uliteleza na kuvurigikiwa. ujana wako kabla ya uzee." na soma Kurani zaidi, lakini pia kufanya vitu Unajua habari ya Umm Fuatilia kwa jambo jema. (Hadithi iliyohakikishwa sikiliza mhadhara mzuri, ambavyo unapenda kweli Salamah ambaye mumewe Toa zaka (kwa maskini). na Al Hakim). jitolee katika jumuiko kuvifanya. Cheza michezo, msahabi wa kushangaza Fanya sala usiku wakati Kumi na nne, Chukua la Kiislamu. Kimsingi, nenda kutembea, endesha alifariki dunia, akafanya wengine wamelala. Lisha muda kufanya tathmini. chochote kile na kila magari, nenda kupunga dua kuwa kitu bora zaidi walio na njaa. Funga siku Fanya tathmini ya nini ambacho kwa kawaida upepo ufukweni na katika na akaishia kuolewa na kadhaa za ziada. Uwe tu kinacholeta maana katika kinakufanya uone bustani nzuri nzuri au Mtume (s.a.w). Hivyo na shukrani kuwa Allah maisha yako kuhusiana umefanya jambo jema. katika maduka makubwa fahamu kuwa Allah amekuokoa katika jambo na ndoa. Hivi kweli ndiyo Inaendelea Uk. 13

ANNUUR REAL.indd 12 10/15/2015 12:55:13 PM MAKALA AN-NUUR 13 DHULHIJJA 1436, IJUMAA OKTOBA 16-22, 2015

Inatoka Uk. 8

Kiyate katika kuupigania uhuru wa Tanganyika Wajue waliompenda Nyerere kwa dhati haujathaminiwa. Hawa ndiyo waliompeleka Nyerere UNO mwaka 1955 na wakamuunga mkono hadi uhuru ukapatikana. Nini ilikuwa hatma ya wazee hawa? Tarehe 11 Machi, 1963, Kamati Kuu ya TANU iliyokutana Dar es Salaam ilipiga kura kuvunja kamati ya wajumbe kumi na moja ya Baraza la Wazee wa TANU chini ya Mwenyekiti wake Idd Tulio. Wazee walikusanyika katika ukumbi wa Arnautoglo na wakasomewa uamuzi wa Kamati Kuu ya kulivunja Baraza la Wazee. Taarifa Katika wajumbe Waliohudhuria Mkutano Huu wa Kwanza wa TANU mwaka 1955 Ukumbi wa Hindu ilisema wazee hao ni kero Mandal Dar es Salaam walikuwa Salum Mpunga na Ali Mnjale kutoka Lindi Hawa ndiyo walikuwa kwa sababu “dini na siasa Waasisi wa TANU Jimbo la Kusini. Historia haiwatambui. vilikuwa vitu viwili tofauti na hawa wazee walikuwa yakitendeka, Kanisa havikuwa na umuhimu kuwa na sauti katika Waislamu katika TANU. wanachanganya dini na ambalo wakati wa kudai wowote katika Tanganyika siasa baada ya uhuru Baada ya Maasi ya siasa.’’ uhuru lilijiweka mbali na mpya. kupatikana. Wanajeshi wa Tanganyika Hiki kilikuwa chombo halikutoa msaada wowote, Katika kumuhakikishia Baada ya kupatikana Rifles (TR) tarehe 20 cha ushauri ambacho sasa likawa linanyemelea utiifu wao juu yake, kwa uhuru, ile nguvu ya Januari 1964. Jiji liligoma wajumbe wake wote kujiingiza katika siasa Waislamu walijitahidi Waislamu iliyotumika kuupa Mtaa aliokuwa walikuwa Waislamu. likiwa na agenda yake: mwisho wa uwezo wao kupambana na Waingereza Chombo kilichokuwa Akiishi Jina lake kwa kuwaweka viongozi kuziweka taasisi zao kuleta uhuru, ikaonekana ndani ya TANU ambacho Wakristo katika nafasi za kando na chuki za kidini Kuogopa Mitaa ya Dar es kilimuunga mkono uongozi na kuutoa nje dhidi ya Wakristo. Juhudi haina maana yoyote na Salaam kusheheni majina Nyerere na TANU tangu ya uongozi wa Waislamu hizi hazikuthaminiwa. haifai kitu tena. Kuvunjwa ya Waislamu waliopigania siku za mwanzo kabisa. ambao Kanisa liliwaona Serikali ilifanya juhudi kwa Baraza la Wazee uhuru ' Mzee Mshume Kwanza chini ya uongozi ati ''hawana elimu.'' za siri kuhakikisha kuwa ndiyo ilikuwa kishiko cha alikuwa Akiishi Mtaa wa wa Sheikh Suleiman Jumuiya za Kiislamu kama jumuiya zote za Waislamu mwisho cha Waislamu Tandamti. Takadir na kisha chini ya katika TANU. Baada ya Al Jamiatul Islamiyya fi zinapigwa marufuku. Huu Wakati wa Kudai Uhuru Mzee Idd Tulio baada ya Tanganyika na EAMWS ndiyo ukawa mwanzo wa hapo Kanisa lililokuwa kufukuzwa kwa Sheikh zilikuwa sasa zinapigwa kampeni za kufuta historia pembeni wakati wa kudai Nyerere alikuwa hapungui Takadir kutoka TANU. vita na serikali ya Nyerere ya Uislamu katika TANU uhuru, sasa likajitokeza Nyumbani kwa Mzee Wakati haya yote kama vyombo ambavyo na mwisho wa Waislamu waziwazi kuwapiga vita Mshume Kiyate. Njia 21 za kuachana na mahusiano haramu Inatoka Uk. 12 Jifunze upendo wa kweli wakiwa pamoja na kina uhusiano haramu ambao Hassan na kutafsiriwa Uwe na fadhila kwako ni nini hasa na utaondoka dada nao wakiwa pamoja, ulikuwa nao, basi ongea kwa Kiswahili na Anil mwenyewe. katika uhusiano wowote au vinginevyo hujapata nao na uwafahamishe Kija. Ehab Hassan ni Kumi na nane, jifunze haramu kwa haraka sana. azma ya makala hii kwa kuwa unasonga mbele mwanaharakati kijana kuhusu upendo wa kweli. Kumi na tisa, pata mfano jumla). Itakuwa rahisi zaidi wa Kiislamu na mtenda wa kuigwa. Andamana na sasa kutumia muda wako na maisha yako. Ni njia kazi kuhusu Uislamu. Jifunze upendo nzuri ya kujipa moyo, halali hasa ni nini. Na kuzungumza na vijana pamoja nao na kusaidiana Ameshiriki katika ndiyo, upo. Siyo kile wa dini, wenye ndoa kuinua nafsi zenu kuwa na Insha'Allah watakupa mabaraza kadhaa na unachofikiria na siyo safi. Pata ushauri wao na bora zaidi. Hutakuwa na nguvu. Kama walikuwa bodi za mashirika tofauti jinsi Hollywood/Bongo kuwatumia kama mfano nafasi ya kufanya hivyo hawafahamu, hakuna haja ya Kiislamu wakati movies, inavyoonyesha. kwako mwenyewe katika wakati wote. ya kuungama. Furahia tu akielekeza nguvu zake Upendo halisi na halali ni maisha yako. Watakusaidia Ishirini na moja, uwe muda wako ukiwa nao katika kazi zinazohusu kuweka vitu kwa mtazamo miongoni mwa wenye kwani itakufanya uwe mtu vijana kwa zaidi ya Mtume anapolia akiona sahihi kwako. Uliza habari haki. Uwe karibu na miaka 15 iliyopita. mkufu wa Khadijah muda bora zaidi. za jinsi walivyofikia hadi watu ambao unajua Namwomba Allah atupe Wakati wa mchana, Ehab mrefu baada ya kifo chake. kufunga ndoa. Omba wasingependa uwe katika ni Mhandisi Mashine Ni wakati alipomsaidia nguvu sisi sote. Kuwa (Mechanical Engineer), na ushauri wao na ujifunze uhusiano ule haramu. aimarishe ndoa za walio huku ulimwengu wote kutoka kwao. Rafiki anayekuambia usiku ni baba wa familia umemgeuka. Ni kutaka Ishirini, egemea kwa kuwa wewe ni mjinga kwa katika ummah na atuweke anayejaribu kushikilia mwenza wako atende jema marafiki zako. Ndiyo kuvunja uhusiano huo, mbali na yote ambayo nafasi yake kama baba ili muweze kuwa pamoja sababu ya kuwa na ndiye ambaye, unahitaji hayamfurahishi. bora zaidi duniani. Peponi milele baadaye. marafiki. Sasa mwishowe kumkwepa kwa muda. (Makala hii- Get Over It: Ehab anaishi Maryland, Siyo kukutana na msichana una nafasi ya kujenga Kama mmoja au zaidi 21 Ways to Say Goodbye to Marekani na mkewe na katika tafrija na kujiua kwa mahusiano ya karibu zaidi kati ya marafiki zako that Haram Relationship wanae wadogo watatu. sababu huwezi kuwa naye na kaka zako na dada wanaofuata njia za haki and Move on With Your Mfuatie katika Twitter @ (samahani Shakespeare). zako wa imani (kina kaka walikuwa wanafahamu Life, imeandikwa na Ehab ehababuayah.)

ANNUUR REAL.indd 13 10/15/2015 12:55:13 PM MAKALA AN-NUUR 14 DHULHIJJA 1436, IJUMAA OKTOBA 16-22, 2015

HAIJALISHI U NANI !!! Haijalishi u nani, u insani au nani! Kisa cha Aisha na Badra Haijalishi u nani, u razini au nani! Inatoka Uk. 10 zifanyike juhudi za Haijalishi u nani, u jununi au nani! na wakaitumia kunasa makusudi kuunda vikundi Haijalishi u nani, pumzi ina kikomo! vijana wa Kiislamu vya kijihadi vya Kisalafi ambapo kwa bahati mbaya vitumike kufanya kazi Haijalishi u nani, u rijali au nani! vijana wengi wa Kiislamu hiyo. Haijalishi u nani, u nisai au nani! wanaangukia katika kundi Mkakati wa Oded Yinon Haijalishi u nani, u khuntha au nani! hili la watu wanaonaswa ulikaririwa tena katika kirahisi na taarifa za waraka- "Clean Break" Haijalishi u nani, pumzi ina kikomo! mitandao hii. Utawasikia document, wa mwaka 1996, Haijalishi u nani, u waladu au nani! wenyewe wakisema ‘soma ulioandaliwa na jopo la Haijalishi u nani, u shababu au nani! mtandao Jihad Somali/Al wapika mipango mikakati Shabaab’. (strategic thinkers) wa Haijalishi u nani, u shaibu au nani! Marekani na Israel, Haijalishi u nani, pumzi ina kikomo! Hamuoni? Hamsikii? wakiwemo Richard Perle, Hamzingatii? Douglas Feith, David na Haijalishi u nani, u mkwasi au nani! Meyrav Wurmser. Waraka Haijalishi u nani, u fukara au nani! Septemba 5, 2013 huo ulikusudiwa kuwa mwongozo katika Sera ya RAIS wa Russia Vladimir Haijalishi u nani, u wasitwa au nani! akizungumzia vita Putin inayoendelea hivi sasa Mambo ya Nje ya serikali Haijalishi u nani, pumzi ina kikomo! Syria, aliyekuwa ‘Consul ya Benjamin Netanyahu. hii inayoitwa Islamic State. Haijalishi u nani, u Amir au nani! General’ wa Israel kule Kubwa lililotajwa Pengine hiki anachofanya Haijalishi u nani, u Imamu au nani! New York, Bwana Alon na kuelekezwa ni sasa Vladimir Putin, kuzivuruga Iraq na Syria Haijalishi u nani, u Sheikh au nani! Pinkas alikuwa na haya ya huenda kikawasaidia kusema: ikianzia na kupinduliwa kuelewa. Haijalishi u nani, pumzi ina kikomo! "This is a playoff situation Saddam Hussein. Na kwamba itakapokuja Kwa watu wetu, na kwa Haijalishi u nani, u Papa au u nani! in which you need both teams kutokana na ufinyu huo to lose, but at least you don’t zamu ya Syria, juhudi wa uelewa wa mambo, Haijalishi u nani, u Kasisi au nani! want one to win — we’ll zifanyike kuzishirikisha wanaamini kuwa IS bado Haijalishi u nani, u Padiri au nani! settle for a tie,....Let them both na kuzitumia nchi za Uturuki na Jordan, wapo na wanatamba Syria bleed, hemorrhage to death: Haijalishi u nani, pumzi ina kikomo! kama tunavyoona na Iraq kwa sababu ni that’s the strategic thinking Haijalishi u nani, u Rais au nani! zinavyotumika leo katika ‘Mujahidina’ wa kweli kwa here. As long as this lingers, Haijalishi u nani, u Waziri au nani! kuipiga Syria. Lakini hiyo wanapata hifadhi ya there’s no real threat from pia ikatajwa kuwa japo Haijalishi u nani, u Mbunge au nani! Syria." (New York Times). Allah. Kwamba pamoja na kwa nje itaelezwa kuwa kuwa Marekani imeunda Haijalishi u nani, pumzi ina kikomo! Ufupi wa maneno anachosema Alon Pinkas wanaungwa mkono ushirika wa kuwapiga Haijalishi u nani, u komando au nani! ni kuwa mpango wa wapinzani kumng’oa kwa kutumia maguvu Haijalishi u nani, u kamanda au nani! Israel na Marekani, si Bashar, lakini lengo yake yote, lakini bado Haijalishi u nani, u kuruta au nani! kumsaidia yoyote katika si kuwapa wapinzani wapo. Mpaka Marekani Syria kushinda. Hawataki ushindi, bali kuigawa nchi yenyewe inalalamika Pumzi ina kikomo, kikomo chake mauti. wapinzani wa Bashar hiyo mapande mapande. k wamba imekuwa washinde na kushika Dola Akielezea unafiki huu vigumu kuwamaliza. Abuu Nyamkomogi-Mwanza. wala Bashar kushinda wa Marekani katika suala Watu wetu hawa, na kuendelea kushikilia la Syria, mwandishi wa pengine kwa kutamani uongozi. Wanachotaka muda mrefu wa gazeti la La kuvuna wasipolima na ni ‘Waislamu’ hao Vanguardia la Barcelona, kupanda, ukiwaambia kukamuana damu mpaka SIASA ZA 'FWATA-KUMBO' Tomás Alcoverro, wiki Marekani inafanya wajimalize wenyewe (we’ll ‘usanii’, haiwapigi IS, Siasa za 'fwata-kumbo', si siasa barabara, settle for a tie,....Let them iliyopita Oktoba 9, 2015 both bleed, hemorrhage aliandika akisema kuwa hawaamini. Ukiwaambia Siasa za 'fwata-kumbo', misingi yake si sera, to death). Kwa nini? Kwa kama mashambulizi ya IS ni kifaa cha Marekani, Siasa za 'fwata-kumbo', zao la ombwe fikara, sababu itafikia mahali kwa Urusi yataendelea kama wala haiwashughulishi Siasa za 'fwata-kumbo', tegemezi si imara, jinsi walivyotafunana na ilivyo sasa, basi ule kujua kama kweli hiyo- kumalizana wenyewe kwa mpango wa Marekani wa ‘Strategy for Israel in the Siasa za 'fwata-kumbo', za watu waso na dira, wenyewe, Syria haitakuwa kuwapiganisha watu wa tena adui wa Israel (As Syria (Waislamu) mpaka Nineteen Eighties’ ipo Siasa za 'fwata-kumbo', kwa kasi sasa zadara, long as this lingers, there’s wamalizane wenyewe, na inasemaje. Sana sana Siasa za 'fwata-kumbo', si Zenji wala si Bara, no real threat from Syria ). utakuwa umefeli. (Soma wanaweza kukujia na Siasa za 'fwata-kumbo', hatima yake nadama. Na hii ni kutokana na zaidi: US, Russia & Syria: hoja kuwa ‘KIVUNIM’, ule mpango ulioelezwa na The Problem With Faking It- sio Qur’an wala Sunnah Siasa za 'fwata-kumbo', japo kasi zimeshika, Oded Yinon (A Strategy By Thomas S. Harrington.) na watakuona kuwa Siasa za 'fwata-kumbo', si Bara si Tanganyika, for Israel in the Nineteen Kwa bahati wewe ndio unatumiwa na Eighties- KIVUNIM Siasa za 'fwata-kumbo', sahali kuathirika, (Directions), A Journal mbaya kabisa, kama Marekani! nilivyotangulia kusema, Sasa pengine kwa kipigo Siasa za 'fwata-kumbo', si zenye kumakinika, for Judaism and Zionism; Issue No, 14--Winter, hili la ‘Jihad feki’ na hiki wanachopewa na Siasa za 'fwata-kumbo', si za hakika za shaka, 5742, February 1982) ‘mujahidina feki’ wa Putin kama hayatajitokeza Siasa za 'fwata-kumbo', twapaswa kuziepuka, unaoagiza kuwa Iraq na kupandikizwa na mazingira mengine, Siasa za 'fwata-kumbo', pabaya zitatuweka, Syria zidhoofishwe na kutumiwa na mabeberu na kikasimama, ndio pengine ikibidi zigawanywe katika Mayahudi, nalo limekuwa watu wetu wataelewa Siasa za 'fwata-kumbo', hatima yake nadama. vinchi vidogo vidogo kwa mada ngumu kwa watu kuwa Marekani ilikuwa kuchochea mapigano ya wetu kuelewa. Wanaona haiwapigi IS na ilikuwa Abuu Nyamkomogi-Mwanza. wenyewe kwa wenyewe. ya IS na akina Al-Baghdad haiwapigi kwa sababu ni Mahali pengine ikatajwa ni Jihad kweli, wala askari wake wa kutekeleza wazi kabisa kwamba hawaoni kilicho chini ya agenda zake.

ANNUUR REAL.indd 14 10/15/2015 12:55:14 PM MAKALA AN-NUUR 15 DHULHIJJA 1436, IJUMAA OKTOBA 16-22, 2015

Inatoka Uk. 11 Umra” na kuanza kutoa kwani nikipita mlango tamko la Talbiya pasi na huo huiona saa kwa nje kusita tukiwa kwenye na hufika hoteli niliofikia mabasi tunaelekea Makka chini ya dakika 5. Risala yangu kutoka Makka ‘Labbaika Allahumma Nguvu za umeme Labbaika, Labbaika hutokea kilomita 7 nje ya hapo. Unapokuwa na Laashariyka Laka Msikiti na hilo jenereta kazi ramani ndio itakusaidia Labbaika, Innalhamda Wa yake kutoa umeme kwa kuelewa baadhi ya Nni’mata Laka Walmulku, Msikiti tu, likiwa linatoa sehemu, lakini makaburi Laa Shariyka Laka.” Megawatt 2.5 na kuwa yote hayana chochote Tuliendelea na kusoma na vituo vidogo 4. Kuna kile kilichoandikwa na Labbaika hadi tukafika kamera za kuchukua picha yote yapo sawa huwezi Makka na moja kwa moja saa zote 543 na vipaza sauti kuyatafautisha. tukaweka mizigo yetu na vya nyongeza (amplifiers) Aidha unapokuwa kuelekea kufanya Tawaf 206 na kila kimoja kina Madina unapata fursa ya na Sai. uwezo wa 600 Watt na kuzuru maeneo muhimu Viongozi wetu ni Maspika 3,500. Hakika ni ya Kihistoria kama Masjid weledi wengine ni Hijja Msikiti wa kipekee ambao Quba, Masjid Qiblatein, yao inakaribia ya 20 hauwezi kukosa Umeme Baqii, Milima ya Uhud ikiwa tangu wanasoma wakati wowote ule wala palipopigwa vita vya hapo Makka na hadi sasa kukosa maji kwa wakati Uhud. wanaendelea kwenda Hijja wowote ule. Haijatokea Nilibahatika kufika na kutuongoza, tulifika siku ukakatika umeme Msikiti wa Quba Msikiti kwenye Alqaba na kuanza na kama hitilafu ikitokea ambao ndipo alipofika kutufu. Tumerahisishiwa haizidi dakika chache Mtume (SAW) na kujua hasa wapi pakuanza zisozidi dakika tano. kuujenga, Msikiti upo wa tawaf kuanzia kwenye Unapokuwepo Madina kileo, nilifika hapo katika Jiwe jeusi-Hajjara al- kwa siku 8 utatakiwa usali nyakati za Alasiri nikasali Aswad, hapo kuna taa sala 40 zote kwa jamaa sala ya kuamkia Msikiti, ya kijani inawaka saa katika Msikiti wa Mtume wakiwa waumini wa kike zote ukifika hapo ikiwa (SAW). Nimebahatika na kiume kila mmoja bega lako la kushoto kulitekeleza hilo na kila upande wake akisali hapo. ndio linaelekea Alqaba Sala mmoja unaoisali Aidha nilisali Masjid na bega lako la kushoto Msikiti huo unapata ujira Qiblatein mahali ambapo umeweka wazi, unaanza wa 1,000. Masahaba walisali Rakaa kwa kusema “Bismi Llahi Msikiti huu wa Madina 2 wakielekea Baitil Allahu Akbar” na kuanza ndipo alipozikwa Mtume Mauqadas na rakaa kuzunguka Alqaba mara (SAW) na pembezoni mbili kuelekea Alqaba, saba, mara 3 za mwanzo mwake kazikwa Syd unaposali hapo na unakwenda mwendo wa Abubakar bin Sidiq na Syd kwengineko unapata hisia mchupo unaitwa mwendo Umar bin Khattab, ilikuwa na kuirejesha nafsi yako wa Matiti, unapofika ada kwangu na wengi wa kuwakumbuka Masahaba Rukul Yamani unasoma Mahujaji kuhakikisha kila na kiongozi wao Mtume “Rabaana Aatina Fiduniya bada ya Sala kufanya ziara SAW. Hasanat Awafil-Akhirat katika kaburi la Mtume Nilifika Uhud pahali Hasanat Waqina Adhaba ambapo huko nyuma Naar.” Kila ukifika Rukul (SAW) na kwa wengine niliandika makala juu ya walijiekea walaakali yaani Sehemu ya Rawdha Yamani unasoma hivyo vita vya Uhud. Nilipata na Rukul Yamani ipo kwa uchache hakosi kwa msisimko hasa pale siku kumzuru Mtume kuzielezea kwa kutumia Alisema maisha yake yote baina ya Maqam Ebrahim (SAW) kiongozi wa Umma nilipofika sehemu ya na kwenye jiwe jeusi. kalamu. ameyapanga Ku-Hijji na wapiga mishare 50 na walau mara mmoja. Sitowacha aidha kumzuru Mtume (SAW) Tulipomaliza mizunguko Unapokuwa katika ziara kukieleza kisa cha watu ilivyokua amefika basi ni kupanda mlima huo na 7 tukasali rakaa 2 Maqam hii ambayo unaifanya 2 mmoja akiwa mtu wa lazima atimize lengo lake kutafakar kwa kiasi. Ebrahim tukanywa maji ukiwa ndani ya Msikiti wa Misri nimemjua kwa lahaja hapendi kuchelewesha. Nilifanya ziara hizo na ya Zamzam ambayo yapo Mtume (SAW), unapata yake na wa pili akiwa Askari na ubabe wake bada ya kutimu siku 8 chekwa yanawasuburi kila hisia, kwani wenzako kijana kutoka Afrika ya alifahamu hisia za watu ikawa ni safari yakuelekea Mahujaji tu, kisha ambao nao wanaingia Magharibi. Tupo katika walizokuwa nazo, sio Makka na ilivyokuwa Hijja tukaelekea Saayi baina katika sehemu hii ilio uzio tunasubiri tupishwe muda akatuachia kuingia yetu ya Tamatuu ilikuwa ya Swafaa na Marwa. ndogo kabisa huku askari kwenda kwenye ziara kwenye Msikiti ambapo ni kuanza kwa kufanya Unaanza jabali Swafaa kutaka utoe salamu upite kwani askari huchunga kuna kaburi la Mtume Umra. unatoa Takbir mara 3 na uwende zako, unapata nidhamu ya kupisha watu (SAW). Aidha baina ya Kabla ya kuondoka kwenda Safa mara moja msisimko wa kuona kwa makundi kwenda kaburi la Mtume (SAW) na Madina tulipata habari na ya pili kuwa Marwa wengine wanalia, wengine kwenye ziara na kwa wakati Mimbari akiitumia kuna kuanguka kwa krini/ na kumalizia Marwa. wanamaliza kusoma dua mmoja hufikia watu 3,000 eneo linalojulikana kama Kachorora na kuua na Unapoanza unasoma zote wazijuazo ikiwa wanataka kufanya ziara. Rawdha, kusali Rawdha kujeruhi baadhi ya “Rabana Atina Fiduniya unapita mahali hapo Huku ikiwa askari akiwa ni sawa na kusali katika waumini. Ilikuwa simu Hasanat Wakina Adhabu huwezi kubakia hata anataka watu wasimame viunga vya Peponi. Mmoja nenda simu rudi nalikuwa Naar Waadkhilna Jaanat dakika 3 unasoma huku waliopo kwenye uzio, alinifahamisha kuwa sipendi kutumia simu kwa Maal Abrar Ya Azziz Ya unakwenda na wengine Mmisri kakaa kitako na kuweza kuijuwa Raudha kunifanya nishughulike Ghafar Ya Rabal Alamin.” wanafwatia. Kila ukiwa askari akimlazimisha ni sehemu zote zina juu ya hayo nikawapigia Tulipomaliza kufanya unazuru kaburi la Mtume kusimama, jawabu ya Hajj mazulia mekundu lakini nyumbani kuwaeleza Saayi tukapunguza (SAW) unajawa na hisia na huyo ilikuwa, “Sikiliza hapa Rawdha mazulia kuwa matokeo yaliotokea nywele tukaelekea hoteli kujua mbinu gani utumie bwana mie nimekuja hapa yake ni ya kijani. Makka sisi tupo Madina tulipofikia na kuvua nguo upate kusoma dua zako. kwa ibada kwa hio nipo Unapotoka kufanya bado, nyoyo zao zikatulia. za Ihram na kuvaa nguo za Siku nikiwa katika ziara tayari kwa lolote lile ili ziara kwenye Msikiti wa Kuelekea kufanya Umra kawaida. hii alikuwepo mzee kutoka nitimize ibada.” Askari Mtume (SAW) unatoka Tulitoka hoteli yetu Siku hii ya Umra kwangu Afrika ya Magharibi aliona sasa haya makubwa katika mlango unaoitwa huko Madina na kuelekea ilikuwa ni siku refu, kwani alipotoa salamu yake na akamrukia jamaa wa Baqi ukenda moja kwa Makka na tulifika Miqaat mwenzangu tulipoteana huku analia, hakika sote Afrika ya Magharibi moja kama mita 100 sehemu ambayo ndio na matokeo hakufanya tulimfwata kwani ilikuwa ambaye amesima lakinii unafika katika makaburi ya kutia nia, wakati huo Saayi kwa hiyo alitakiwa analia na khushuu ndani analazimisha uzio ya Baqi ambapo amezikwa tumevaa shuka zetu mbili airejee tartibu nzima yake hata askari aliokuwa ufunguliwe, jamaa huyo Bibi Fatma mtoto wa moja ya juu na ya pili ikiwa ya Kutufu na kufanya akisema “yaa Hajj imsh”, anacho Kiarabu cha Mtume (SAW) na ndugu saruni (Ihram) na bila Saayi, ikabidi nifwatane alinyamaza kimya na huku kutupa na kuchanganya zake. Aidha hapo ya kuvaa kitu chengine naye na kumuonyesha tunakwenda na machozi lugha ya Kifaransa hataki amezikwa sahaba maarufu chochote kile. Tulipofika mizunguko 7 ya Tawaf kutulenga kwani unakuwa kabisa kusikia kwanini Syd Uthman bin Affan na Mikaat tukasali rakaa mbili kisha na Kufanya Saayi, na hisia za namna tunachelewesha kuachiwa Masahaba 10,000. Aidha na kutia nia kwa kusema baada ya hapo tukatoka yake ambazo sio rahisi kwenda kufanya ziara. Imam Malik naye kazikwa “Lababaika Allahuma Bil Inaendelea Uk. 19

ANNUUR REAL.indd 15 10/15/2015 12:55:14 PM MAKALA AN-NUUR 16 DHULHIJJA 1436, IJUMAA OKTOBA 16-22, 2015

makubwa. Amepata kusema Na Ali Mwadini mwenyewe kuwa yeye NIMESOMA kwa Hili la kadhia ya Masheikh…. ndiye rais; urais wake hauna mshangao mkubwa taarifa mshirika; na yeye ndiye zilizochapishwa kwa muamuzi wa kila jambo ndani maandishi mazito zikianzia ya Zanzibar; na kwamba ana ukurasa wa mbele wa gazeti haki ya kuchukua ushauri wa la wiki iliyopita zilizohusu mtu au akauacha. maelezo ya Rais wa Labda Dk. Shein amesahau, Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Halimstahili Dk. Shein kuhurumiwa nimkumbushe. Amewahi kama palikuwa na uongozi Shein. Katika habari kutamka hadharani kwamba imara wa serikali. Ina katiba inampa mamlaka yeye hizo, Dk. Shein ambaye maana Dk. Shein angekuwa alikaririwa akiwa kwenye rais ya kuamua aonavyo, kiongozi makini anayependa na kwamba pamoja na mkutano wa kampeni ya watu wake, asingeruhusu uchaguzi kisiwani Pemba, kutambua kuwa ameteua raia alioapa kuwatumikia makamu wawili, hao ni alisema anashangaa kwa uadilifu na uungwana kuona Makamu wake wa kumshauri tu, uamuzi wakidhalilika mbele ya unabaki kwake. wa Kwanza, Maalim Seif mkono wa dola, tena mbali Shariff Hamad hazungumzi Sasa alipokaa na na kwao. kushauriana na wasaidizi kwamba alishiriki kuamua Ninayaona matukio kukamatwa kwa masheikh wake hao – kama alikaa yanayomtuhumu Dk. Shein nao kweli – aliridhika kuwa wa Zanzibar mwaka 2013. kuwa si muungwana na Gazeti hili likimnukuu uamuzi aliouchukua ndio ni dhaifu pale ninapotaja ulikuwa sahihi kwa asilimia Rais Dk. Shein, limesema: nchi kama Marekani, “Katika suala la kutafuta 100? Tuseme ndivyo ilikuwa, Uingereza, Israel, Ufaransa anavyoona bado uamuzi ufumbuzi wa Uamsho na kwingineko ambako raia baada ya kufanya vurugu, ule una nguvu mbele ya wake akipata shida popote macho ya Wazanzibari? tulikubaliana na kushauriana duniani, husimama kidete na viongozi wote wa serikali Panahitajika utulivu mkubwa kuhakikisha anatendewa haki kupatafakari kwa sababu kwa wakiwemo viongozi wa na mara nyingi hushinikiza CUF lakini nashangaa hili kuwa ameshatamka kuwa apelekwe kushitakiwa kwao. yeye ndio muamuzi, basi hata hawalisemi.” Je hili Dk. Shein Kisha mwandishi kwa hilo anapaswa kuchukua halijui? Hajapata kusikia jukumu la kuamua kwa akasherehesha akisema, mazingira kama haya? “Inakuaje leo wenzetu namna itakavyowapunguzia Hakumbuki wasichana maumivu raia. viongozi wa CUF kuilaumu wawili wa Kingereza serikali juu ya yale Picha ninayoiona hapa ni waliokuwa ni walimu wa kwamba Dk. Shein anafanya yanayowakuta masheikh wa kujitolea mjini Zanzibar Uamsho katika magereza siasa ya ulaghai. Anataka na kumwagiwa tindikali kupumbaza wananchi ya Bara, wakati walihusika walivyoshughulikiwa na katika kuwapitishia wanaotakiwa kufanya kuharakishwa kusafirishwa uamuzi wa kama anastahili hukumu.” kwa ndege maalum Dk. Shein ambaye yupo RAIS (kushoto) akikumbatiana na Rais wa kupewa ridhaa au la. Zanzibar, Dkt Ali Mohamed Shein. kupelekwa Uingereza kwa Yule anayefanya kumtupia katika jitihada za kutafuta matibabu ya kitaalamu? ridhaa ya wananchi kwa Dar es Salaam ambako ndio kwenye Mahakama ya mzigo wa lawama kuhusu Na tukio hilo lililotokea kadhia hii, Maalim Seif, hana mara ya pili ili kuongoza wamefunguliwa mashitaka Zanzibar ambayo ina ndani ya Mji Mkongwe, Zanzibar, kwa mujibu wa hayo. Walisomewa mashitaka mamlaka sawa na Tanzania kosa lolote hapo. Yeye si rais wakati Dk. Shein akiwa tayari na alishatafadhalishwa kuwa gazeti hili, amesema wakati mbele ya Hakimu Mkazi Bara. Uongozi umeziba madarakani. Ni kwa vipi wanatafuta namna ya Mahakama ya Kisutu. Hata masikio. yeye makamu “ni mshauri basi asilitazame hilo na tukio tu.” kudhibiti alichoita vurugu za hivyo kesi yao imekuwa Kuna mambo ya linalohusu hawa masheikh Uamsho, “Tulikaa pamoja na ikipigwa danadana na kuzingatiwa hapa: Kwanza, Maalim Seif amekaa kimiya ambao ni miongoni mwa muda mrefu kwa sababu ya Makamu wa Kwanza wa Rais haijawahi hata kuelezwa watuhumiwa wote wale raia zake aliokula kiapo na viongozi wengine wa CUF ni lini itaanza kusikilizwa. wamefungiwa haki yao ya kuheshimu sheria na hakuna kuwa atawaongoza bila ya kama hilo ni suala linalohitaji kupanga nini tutende kuhusu Mara zote wakili wa serikali dhamana, hivyo kuendelea ubaguzi wa aina yoyote? masheikh.” huomba kesi iahirishwe kwa kusota gerezani. Hili lenyewe mchezo wa kisiasa. Lakini Tuseme sawa viongozi kilipoingia kipindi cha Kama maelezo haya ni madai kuwa upelelezi wake ni kinyume cha Katiba ya nchi walikubaliana masheikh kweli yametoka kinywani haujakamilika. kwa vile dhamana ni haki ya siasa kiongozi yeyote imara wakamatwe. Wote wale hawezi kulipisha bila kauli. mwa kiongozi huyu Rais Wakati serikali ikionesha kila mtu anapotuhumiwa mawaziri kutoka chama wa Zanzibar, Dk. Shein, basi dhahiri haina kesi ya mahakamani. Ameshasema akipata ridhaa chao CCM na wale watokao ya kuongoza, kwa kuwa yamenishtua kwa kiwango maana kwa masheikh hao, Pili, watuhumiwa CUF wanaoshiriki serikali kikubwa kwani yanaonesha watuhumiwa wanazidi wengine hali zao za afya anaamini wanachofanyiwa pamoja na Maalim Seif. masheikh hao ni maonevu, ni kwa namna gani kiongozi kunyimwa dhamana ni mbaya kutokana na Hiyo ni sababu ya kuachia anavyoyumba. Dk. Shein ambayo ni haki ya msingi ya kudai waliumizwa wakati atawarudisha siku ya pili wadhulumiwe haki zao na kama wana mashitaka namuona anayumba mtuhumiwa; huku hali zao walipokuwa hawajafikishwa mpaka leo? kiuongozi kwa sababu zikizorota kutokana na baadhi mahakamani. washitakiwe kwenye Kama ni kweli walikaa Mahakama ya Zanzibar kwa anashindwa kuonesha yao kulalamika afya dhaifu Kutoshughulikiwa hali zao na kukubaliana, sasa haoni uungwana kwa suala lenye kwa kuwa walipigwa na kikamilifu ili zikarudi za sababu “ina hadhi kama ya yeye Rais wa Zanzibar kuwa Bara.” umuhimu na maslaha kudhalilishwa walipokuwa kawaida, ni kuwanyima haki mpango ule umefeli kwa kuwa ya wananchi ikianzia mikononi mwa vyombo za binadamu. Dk. Shein anatafuta matokeo yake ni kuwaumiza huruma asizostahili wakati na masheikh wenyewe vya usalama. Uamuzi wa Tatu, ni kwanini wasomi wa dini ya Kiislamu wanaoendelea kuishi katika Serikali ya Mapinduzi wasafirishwe na kushitakiwa huu wa kutafuta kipindi cha ambayo inatawala nyoyo za pili cha uongozi wa Zanzibar. hilaki gerezani Dar es Salaam. Zanzibar kuridhia masheikh Mahakama ya Tanzania Bara Wazanzibari karibu wote Masheikh zaidi ya 20 hao kukamatwa ndani ya wakati kule walikokamatwa Ajue amekiuka kiapo chake waliopo Unguja na Pemba, cha Novemba 2 mwaka 2010 pamoja na wasaidizi wao Zanzibar na kusafirishwa hadi kuna mahakama yenye hadhi wakijihisi kukandamizwa? wapatao kumi wanaotoka Dar es Salaam ambako ndio sawa na inayoweza kusikiliza cha kulinda raia na haki zao Ninamtupia yeye kwa na bila ya kuwabagua kwa Jumuiya ya Uamsho na wamefunguliwa mashitaka kesi inayowahusu? sababu mahsusi kuwa yeye Mihadhara ya Kiislamu ya jinai, kumechochea chuki Nne, ni kule kuwa namna yoyote ile. ndiye Rais, Mwenyekiti wa Basi ukweli ndio huu – (JUMIKI) wamekuwa dhidi ya serikali hiyo kwani watuhumiwa wamekuwa Baraza la Mapinduzi (BLM) gerezani Segerea, Dar es wananchi wanaona ni dhulma wakipakiwa kwenye gari amebagua wananchi kwa na sehemu ya Baraza la kudharau haki za Masheikh Salaam, ambako kutokana na na maonevu. Mawakili na kupelekwa mahakamani Wawakilishi (Bunge) ambako kuzuiwa kwa dhamana yao wanaowatetea wamejitahidi Kisutu chini ya ulinzi wa Uamsho ambao hata ndiko sheria na maamuru hajatanabahi kuwa ni yeye na Mkurugenzi wa Mashitaka kuomba mahakamani haki mkali kama vile ni watu yote ya serikali hutungwa. (DPP), katika kesi ya tuhuma za watuhumiwa ziheshimiwe walioshikwa na silaha anayepaswa kusimama Kiongozi mkuu wa nchi imara kuwatakia ahueni. za kutenda ugaidi, ni kama kwa vile hawajathibitishwa wakati wakikamatwa, lakini ndiye hubeba dhamana ya wamehukumiwa bila ya kesi kutenda makosa yoyote; kesi yao haisikilizwi na Amepuuza dhamana yake kila linalotokea katika nchi hiyo ya kikatiba kabisa, kusikilizwa. Walikamatwa nazo jumuiya za wanasheria wanaoichelewesha ni serikali anayoongoza. Alibebe hilo katika siku na nyakati tofauti Zanzibar zimelalamika iliyowakamata. na kuamua kuachia hata kama ni chungu kwake masheikh zetu wapendwa, kati ya mwaka 2012 na 2013, na kuitaka serikali itumie Haya mambo kama anavyoyabeba yale kwenye mji wa Zanzibar na sheria na katiba ya Zanzibar manne yote yangekuwa wadhulumiwe na kuumizwa. mazuri. Hasalimiki. kusafirishwa kwa boti hadi kuwarudisha ili washitakiwe yameshughulikiwa ipasavyo Hapa wala simsakizii

ANNUUR REAL.indd 16 10/15/2015 12:55:14 PM MAKALA/TANGAZO AN-NUUR 17 DHULHIJJA 1436, IJUMAA OKTOBA 16-22, 2015 Baadhi ya Masheikh Waliopita Zanzibar na Kuweka Msingi wa Elimu ya Dini ya Kiislamu Na Ben Rijal Makala zifwatazo zitagusia baadhi ya Masheikhe wachache 5. Ilete mvua, Iondoke ati ya wasomi wa kisiwani Zanzibar ambao walitoa mchango mkubwa wa Elimu nyota (kiu) na jua Kishafi waliotia Ndiwe mwenye quwa, Kmsingi wa elimu kuanzia karne ya 19 hadi ya 20, Masheikhe ni wengi lakini Ufishao na kufufua ya dini visiwani Zanzibar nimeamua kuwachukua wachache kati yao. Masheikhe ambao Hali waijua, Huhitaji ni watatu, nao ni: Sheikh kuarifiwa Muhyiddin, Sheikh nitawazungumzia katika mfululizo wa makala hizi ni: Sheikh Hasha kuemewa, Ni Ahmed Bin Sumeyt na Muhyiddin Bin Sheikh, Sheikh Ahmed bin Sumeit, Sheikh amri ‘KUN’ ikawa Sheikh Abdul-Aziz Bin Abdul-Aziz Bin Abdul-Ghany Al-Amawy. Sheikh Abdalla Wala kutendewa, Jalla Abdul-Ghany Al-Amawy. Rabbi mwenye adhama Sheikh Muhyiddin Bin Bakathir, Sheikh Ahmad Bin Muhammad Mlomry, Sheikh Shauri Sheikh alizaliwa Barawa Al-Shirazy, Sayyid Mansab Bin Ali, Sheikh Umar bin Sumeyt, 6. Wengi waayisi mwaka wa 1206 AH (1718 Sheikh Muhammad Bin Umar Al-Khatibu, Sheikh Hassan bin (wamekata tamaa), Kwa AD). Katika zama zake mateso kuwa tawili katika uwanja wa elimu ya Ameir, Sheikh Muhsin bin Ali Barwany na Sheikh Abdalla Saleh Wana wasi wasi, Kwa dini ya Kiislamu, ilikuwa Farsy. madhambi yao thaqili huwezi kutaja wasomi wa Rabbi tunafisi, Mola Kiislamu wawili asiwe wetu uso mithali yeye ni mmoja wao. Na yawe mepesi, Iwe Makaazi yake yalikuwa ni ‘KUN’ yako kakima Mombasa wakati wa zama Sheikh Muhyiddin Bin Sheikh-1 za Sayyid Said. Wengine Abdul-Ghany Al- Amawy, Kiarabu, Mashairi ya Kiswahili, Tarehe ya Kilwa (Sulwa 7. Rabbi twafikie, Toba wanasema kuwa Sheikh Sheikh Suleiman Hayat, fy Akhbar Kulwa), Utenzi wa Hadithi ya Miraji, Kitabu njema yenye nadama Muhyiddin kuja kwake Sheikh Muhammed bin kidogo cha kufundishia Sarfu na Sherhe ndogo ya Utughufurie, Kuu Zanzibar kulitokana na Ahmed Bin Hassan Al- Khutba ya Minhaj. dhambi ziwe lamama kutakiwa kufanya hivyo Murony, Sheikh Hassan Vile vile aliandika shairi la dua ya kuomba mvua Wewe unenee, ‘Ud-uni’ na Mfalme Seyyid Said Bin Yussuf Mngazija, katika mwaka 1278 AH (1862) yako kalima ambaye alimtaka ahamie Sayyid Omar Bin Salim Hebu na tuzisome beti saba za shairi hilo. Tuwasalie, Kwa isimu Zanzibar. Baalawy, Sheikh Ahmad 1. Naanza kubtadi, Kwa isimu yake Karima yako adhima Alitokea kupendwa Bin Salmin As-Sabahy, Kuomba Wadudi, Mtukufu mwenye adhama Dua na ipae, Na qabuli sana na Mfalme huyo na Sheikh Fadhil Bin Ali Nabii Muhammadi, Msalie kiumbe chema ije kwa hima. alikuwa akipelekwa nchi Mngazija, na Sheikh Tupate miradi, Ifurahi yetu mitima (nyoyo) mbalimbali zilizokuwemo Shauri Bin Haji Shirazy. Siku ya tanadi (kiama), Waja asi wakilalama Sheikh Muhyiddin chini ya himaya ya Ufalme Baadhi ya wanafunzi wake 2. Na alize thama, Watukufu wenye ajiri alifariki katika mwezi wa wa Zanzibar akafanya nitawazungumzia katika Wenye sifa njema, Simba zake tumwa bashiri suluhu pale panapotokea Shaaban tarehe 27 mwaka makala hizi. Na waliosimama, Kuendesha mambo ya kheri 1286 AH (Disemba 1869). mtafaruku na mara nyingi Katika sifa nzuri Hao wa qadima, Na nyengine zote dahari alifaulu kutekeleza kazi alizokuwa nazo Sheikh Siku ya qiyama, Tuokoke na Jahannama Alipofariki aliwacha hiyo. Muhyiddin alikuwa mtu 3. Nimetia tama, Dibaji sitakithiri pengo kubwa lakini si haba Sheikh Muhyiddin mwenye uadilifu, hukumu Nina mambo mema, Nayawaza kiyafikiri kwani aliacha wanafunzi ndiye mjenzi wa Msikiti wa zake zote zilikuwa hazina Haya makulima, Yadhiika kwa nyingi hari wengi ambao walikuwa Ijumaa wa Malindi, ambao upendeleo. Ilitokea safari Twaomba rehema, Kwa Wahabu mwenye amri wakisifika na kuifanya hivi sasa umejengwa tena moja Sayyid Bakarish Tutuze mitima, Kwa rehema yako Karima kazi aliyoiacha Sheikh wao kwa kufuatwa kigezo Shatry alikuwa na kesi barabara. kile kile cha mwanzo yake na mwenziwe, akenda 4. Mola Subhana, Mola wetu uso shirika alichokiweka yeye. Katika kwa Sheikh Muhyiddin Ndiwe Rahmana, Na Rahima uso shaka "Ewe Mola tupe hima ujenzi huo wa Msikiti wa akampa riali 50, Sheikh Warehemu wana, Na wazee wenye mashaka na juhudi za watangulizi Ijumaa Sayyid Majid Bin Muhyiddin alipomuuliza Waijua sana, Hali yetu kati ya chaka wetu hawa waliopita Said Sultan alimsaidia sana za nini? Sayyid Bakarish Jua la mchana, Na usiku lisilokoma Ameen" katika ujenzi wa Msikiti akamwambia hiyo ni huo, baada ya ujenzi wa zawadi tu, hiyo ni tunu. Msikiti wa Ijumaa wa Sheikh Muhyiddin KAMATI YA MAAFA YA SHURA YA MAIMAM (T). Malindi Sheikh Muhyiddin akapokea akenda nazo Kamati ya Maafa ya Shura ya Maimamu, imepanga kukutana na alijisogeza Msikiti wa ndani akazifunga vizuri Kiponda uliokuwa karibu akaandika juu ya roboto: ndugu wa watuhuma wa kesi za UGAIDI, waliopo Mahabusu katika na Sharif Dewji, lakini "Hii dhamana ya Sayyid Gereza la Segerea, Jijini Dar es Salaam. kwa siku hizi tutaita Bakarish Shatry, nikifa kwa Makapu na hapo apelekewe mwenyewe". akawa anaendeleza darsa Basi alipokufa agizo Ukiwa wewe ni ndugu au jamaa, pindi utakapokwenda kumuona ambazo zikihudhuriwa na lake lilitekelezwa. Angalia ndugu yako unaombwa kuacha namba yako ya simu kwake wanafunzi ambao badaye insafu ya watu waliokuwa (mtuhumiwa), kisha Kamati itachukua namba hizo kupitia kwa walikuja kutokea kuwa nayo ya mtoaji wasia na mtuhumiwa. magwiji. watekelezaji wa wasia ya Sheikh Muhyiddin leo hayapo hayo kabisa. alibahatika kupendwa na Kuna mambo mengi ya kujadiliana juu ya kadhia hiyo inayowakabili kuvutia wanafunzi wengi Sheikh Muhyiddin ndugu zetu hao, hivyo fata maelekezo hayo. kama Sayyid Ahmad Bin alitunga vitabu vingi kati Salim Bin Abubakar Salim, ya hivyo ni: Kitabu kidogo Sheikh Abdul-Aziz Bin cha Tawhid, Mashairi ya KATIBU: ALLY MBARUKU.

ANNUUR REAL.indd 17 10/15/2015 12:55:15 PM HABARI/TANGAZO AN-NUUR 18 DHULHIJJA 1436, IJUMAA OKTOBA 16-22, 2015

Inatoka Uk. 20 Mnyumvi, Mtaa wa suala hilo halijatekelezwa. Makonde, (Nyumba hiyo Alisema, moja ya hadi sasa ipo), ambapo, Mjini Moshi, nyumba ya Bi. Halima mchango wake Mzee huyo, Udini umeingia kumbukumbu Selengia, aliyefariki miaka alikuwa ni kulisha ama miwili iliyopita, ndio alikuwa kutoa chakula kwa familia akifikia Mwl. Nyerere. ya Mwl. Nyerere, akimtaka Alisema, hao pamoja yeye (Nyerere) aelekeze nguvu zake kupambana na wengine baadhi yao kama ya Mwalimu Nyerere - M. Said vile, Salum Mpunga, Yusuph Waingereza bila kuwaza familia yake watakula nini. Chembera, Sharifa Bint Mzee, Alisema, katika nao wana haki ya kutajwa kutekeleza hilo, ilikuwa na kuenziwa sawa na Mwl. gari ya Saidi Kamtawa Nyerere kwa kuwa ndio (Said TANU), kila siku walikuwa wakimsaidia asubuhi linafika Sokoni katika harakati hizo. Kariakoo (Dar es Salaam), “Sasa tunaposema ambapo Mzee Mshume, tunamuenzi Mwl. Nyerere, anakusanya vyakula vya basi na hawa wazee pia aina mbalimbali vinapelekwa wapewe hadhi yao, watajwe Magomeni, nyumbani au kama kuna khotuba zao kwa Mwl. Nyerere, zoezi ziwekwe zisikike pia kwa alilolifanya mpaka Uhuru kufanya hivyo tutakuwa unapatikana. tumefanya kumbukumbu Alimtaja Mzee Idd Faizi yake kwa usahihi. Mafongo, na kuhoji leo hii Huwezi kumuenzi Mwl. nani anayemjua, ambaye Nyerere bila kuwataja hawa kadi yake ya TANU ilikuwa wasaidizi wake waliokuwa ni namba 25, alikuwa ndiye wakimsafishia njia na mweka hazina wa TANU. kumtambulisha kwa wenyeji Alisema, katika mipango wa miji mbalimbali.” Alisema ya safari ya Nyerere kwenda Shkh. Mohammed. Umoja wa Mataifa, Bw. Akizungumzia uchaguzi Mafongo, ndiye aliyekuwa Mkuu wa mwaka huu 2015, akiratibu mipango ya fedha alisema uchaguzi huu huwezi za safari hiyo ambapo kuufananisha na chaguzi Waingereza walimkamata, zozote zilizopita hapa nchini kabla Mwl. hajafanya safari ukitoa ule wa kura tatu, hiyo. uliofanyika mjini Tabora, Aidha, aliwataja pia Tatu mwaka 1958, kutokona na bint Mzee, Bw. Clement HAYATI Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kuwa na hamasa kubwa. Mtamila, na kueleza kwamba hiyo kazi na aungane nao moja alikuwepo Shkh Suleiman mwenzake, akiitwa Bi Hawa Alisema, ukirejea barua ya Mwl. Nyerere kwa moja na wao watamlipa Takadir, akimtambulisha bint Maftah, ambaye alikuwa vyama vilivyopigania aliyoandikiwa na Waingereza mshahara ili wapambane na Mwl. Nyerere, katika akiishi mtaa wa Mkunguni, uhuru katika nchi jirani kuwa achague kati ya siasa Waingereza wapate nchi yao mikutano ya siasa, alikuwepo Jijini Dar es Salaam.” Alisema na Tanzania, ambavyo au kazi, aliipeleka nyumbani ya Tanganyika. Bibi Titi Mohammed, nae Shkh. Mohammed. tayari vimeondolewa kwa Mzee huyo (Mtamila), Katika harakati hizo alikuwa akizungumza baada Ama, kwa upande wa madarakani, kama vile Mtaa wa Kipata na Sikuku. za kudai Uhuru, Shkh. ya Shkh. Takadir, kisha Mwl. mikoani alisema, Mwl. kule Kenya, Malawi na Alisema, hapo alikutana Mohammed, alisema kwa Nyerere, huongea mwishoni. Nyerere, akiwa Lindi, hata Zambia, akasema na wazee wa TANU, na mujibu wa Abas Sykes, “Bibi Titi, ni mmoja wa aliongozana na Rajabu sasa inaonyesha kuna kujadili suala hilo ambapo wakati huo wazungumzaji wanawake waliomjenga sana Diwani, na alifikia katika walimwambia aachane na uwezekano mkubwa hali wakuu walikuwa watatu, Mwl. Nyerrere, akiwa na nyumba ya Mzee Suleiman hiyo ikaingia Tanzania.

NAFASI ZA KUJIUNGA NA KOZI FUPI YA UALIMU KATIKA VYUO VYA UBUNGO NA KIRINJIKO-2016 Sifa na masharti ya kujiunga Muombaji atimize sifa na masharti yafuatayo: (i) Awe Muislamu aliye tayari kuishi Kiislamu (ii) Awe anajua kusoma Qur’an kwa ufasaha. (iii) Awe amemaliza juzuu ya 1 na 2 ya Maarifa ya Uislamu, Darasa la Watu Wazima kabla ya kujiunga. (iv) Awe na uwezo wa kusoma na kuandika lugha ya Kiswahili kwa ufasaha. (v) Awe amehitimu darasa la saba au kidato cha nne na awe anafundisha madrasa au kipindi cha dini katika shule za Msingi au Sekondari. • Patakuwa na usaili siku ya tarehe 31/10/2015 saa 2:00 asubuhi katika chuo cha Ubungo na Kirinjiko na katika vituo mbalimbali vya mitihani kote nchini. • Mwisho wa kuchukua fomu ni tarehe 31/10/2015. • Fomu italipiwa shilingi 5,000/- tu.

Fomu zinapatikana katika vituo vilivyoorodheshwa ukurasa wa 19 wa gazeti hili. WABILLAH TAWFIIQ

MKURUGENZI

ANNUUR REAL.indd 18 10/15/2015 12:55:18 PM AN-NUUR MAKALA 19 DHULHIJJA 1436, IJUMAA OKTOBA 16-22, 2015

Inatoka Uk. 11 ni kuwa ule msongomano saa 7 ya usiku kwenda ulioleta msiba wa kufa yeye kuirejea Umra na mie Mahujaji kwa kukanyagana, kuzidi kuipa nafsi yangu tokeo lile lilipishana na uneyenyekevu kwa kuwa Risala yangu kutoka Makka kikundi chetu sio zaidi baina naikabili Alqaba na kisha ya dakika 5 na 10, kila kitu ni kuwa kwenye Swafaa na kwa wakati waliopangiwa. Kiongozi wetu akatuambia Maktoob yaani kinaandikwa. Marwa. Sahib yangu mmoja Kabla ya Tarehe 8 kuwa yeye akifika Mina Baada ya hapo kwa hanywi Chai, hamsubiri alinambia ikiwa Hijja ina siku 6 mfululizo tukawa mtu kuelekea kupiga mawe, misukosuko na taabu na tunaelekea Msikiti asioweza baki, anayetaka shida hapo ndipo unaipata wa Makka na kuwa kunywa chai anywe yeye hisia za Hijja. Naam, tulikaa tunajitahidi kusali vipindi hasubiri. Mie nikimuunga uwanja wa ndege ndege vyote kwa jamaa. Viongozi mkono pasi kujua kwanini yetu kuwa inatakiwa itubebe wa kikundi mara nyingi naunga mkono amri Mahujaji 260 imekuja ndege inapofika usiku huwa inayokaribia kuwa ya kijeshi. ya kuchukua watu 220, kwa wanatufanyia Semina Taib, saa mbili safari ya hiyo tukabaki uwanja wa na kuzidi kutuongoza kuelekea Jamrat ikaanza ndege kwa masaa zaidi ya kwenye ibada tusiwe tukafika kiguzo cha mwisho 24 kusubiri ndege nyengine tunafanya makosa. kwani ni viguzo vyote ni 3 kutoka Ethiopia. hapo tukapiga mawe mara Semina hizi ikiwa tangu Baada ya kukaa Makka nyumbani walitufanyia Sehemu ya Mlima Uhud walipokuwa wapiga mishere 7 kisha tukaelekea kufanya Tawaf ya nguzo kama na Madina kwa wiki tatu, kama 10 mie nilikosa moja walipowekwa tulirejea nyumbani salama tu kuhudhuria na Semina vile tulivyotufu kwenye Umra, kisha tukanyoa na na kupokewa na ndugu na zote za Makka na Madina marafiki. hakuna nilioikosa kwani hizi kubadilisha nguo na kuvaa nguo za kawaida baada ya Tukamalizia na kufanya Semina ndio zinaongoza na Tawaf-e-Wida na hiyo ndio unapokuwa una mashaka zile shuka 2 na kubakia hoteli hadi usiku tukarudi Mina. kuikamilisha mzunguko unauliza katika jitahada za mzima wa Hijja. kukuwezesha kuifanya Hijja Tukarudi Mina katika Ayyam-e-Tashreeq (10, Risala hii ni safari yangu yako iwe katika mstari. na namna nilivyoitekeleza Ilipofika tarehe 8 11, 12, 13) tukenda siku Inapofika tarehe 8 ndio iliofwata tukapiga viguzo 3 ibada. Sitotaka kuyatoa na Hijja inaanza kuanzia kila kiguzo mawe 7 na siku kuyaeleza yalio na kasoro ila tarehe 8, 9, 10, 11, 12 hadi iliofwata tukafanya hivyo makala nyengine nitajaribu 13 ikiwa ni siku 6. Siku hizi hivyo nakurudi Makka wengine wakipanda magari kuelezea namna ya kujipanga zinakuwa za unyenyekevu na nini vikundi vyetu vya na kupata taswira ya Qiyama, inayoweza kukuchukua muda wa saa 3 na kina sisi Tanzania vifanye kwa kukupa taswira ya Masahaba nionavyo. walivyojitolea, inatoa wazee tunaojiweza tuliamua taswira ya uneyenyekevu na kwenda kwa miguu muda Nawaombea Waislamu ustahamilivu. wa saa nzima kufika Makka. wote Amani na utulivu katika Tuliondoka hoteli milango Tulitakiwa tuwe tunafanya nyakati hizi na kumuomba ya asubuhi kuelekea Mina mazowezi ya kutembea na Allah tulioenda Hijja ibada sehemu ambayo kuna Nikisimama pembeni ya Alqaba kwa kipindi cha miezi 2 zetu azikubali na walio na nia Mahema. Hapo kuna Mahema mfululizo nilikuwa natembea awafikishe kuweza kwenda yenye AC-Viyoyozi na kuna kwa muda wa Saa kila siku, kutimiza nguzo hii ya 5 yasiokuwa nayo na hali ya kitu kilichokuja kunisaidia katika Uislamu. nyuzi joto ilikuwa baina ya katika ibada nzima ya Hijja. (zuwarde@gmail. 47-49 (47-49 0C). Hali ni nzito Kwa hesabu tulioifanya com/0777436949) hapo tukawa tunasali sala ya Safari ambayo kwetu ilikuwa kila mtu ana kitabu juu ya sala ya safari na viongozi kutueleza kuwa tunasali Safar. Tulilala Mina hadi kusali Alfajiri, kisha tukaelekea Arafa siku ya tarehe 9 na kuitumia siku nzima Arafa. Tuliingia Arafa kwa kupitia Dhabb na tukarejea kwa kupitia Ma-zamiin kama alivyofanya Mtume (SAW). Arafa kila kikundi kilikuwa na miongozo yao, Tukirudi nyumbani salama lakini ilikuwa ni Kuomba na kuomba na kusoma Lilipozama jua Jamrat na kutoa maneno Qur’an na kutoiwachia tulielekea Muzdalifah hio makali, vijiwe viwe dakika ikupite ndani ya ikiwa ni tarehe 10, tuakalala kama punje ya nafaka. upuuzi. Dua yangu ilikuwa hapo Muzdalifah ikiwa Unaokota vijiwe viwe 7, lisinitokee lolote nikawa hakuna hema hakuna 21 na 21 jumla 49 lakini ni sipo Arafa, kwani “Hijja nyumba, nyote mnalala vyema ukaokota zaidi ya ni Arafa”. Utapoikosa hapo ikiwa nyote mnalala hivyo hata ikifika 60 sio Arafa ndio itabidi urudie kwenye mabusati, hapa mbaya kwani vinaweza tena Hijja yako. Umma unaona namna Uislamu vikakupotea. Niliokota wa watu milioni 2 na unavyoondosha umimi vyangu na vya mzee nusu wote ulikuwepo na ubwana na kuwafanya ambaye tukikaa pamoja hapo. Wapo waliokaa wote ni wa moja kitu sawa. hakuweza kwenda kupiga kwenye Mahema na kuna Unaondoka Muzdalifah mawe ikawa nimchukulie, ambao kwa siku nzima baada ya kusali sala ya nijipigie na nimpigie. hawakuwepo kwenye Alfajiri. Kuondoka Muzdalifah mahema. Arafa munapewa Muzdalifah hapa Ikiwa sasa kurudi Mina chakula cha bure ikiwa ndipo unapookota vijiwe kunapokuchwa kwenye hukuma (serikali) ndio ambavyo hayatakiwi sehemu yako na kuelekea wanasimamia kupatiwa majiwe kama wengine Jamarat. Uongozi wa Saudi Mahujaji chakula pasina hutafuta mawe makubwa Arabia uliwaeleza mataifa malipo. na kuvurumisha kwenye yote kuwa watatakiwa wende

ANNUUR REAL.indd 19 10/15/2015 12:55:21 PM MAKALA AN-NUUR 2020 DHULHIJJA 1436, IJUMAA OKTOBA 16-22, 2015 AN-NUUR 20 DHULHIJJA 1436, IJUMAA OKTOBA 16-22, 2015 Udini umeingia kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere - M. Said Na Bakari Mwakangwale hawakutaka kupata Mshume Kiate, ambaye elimu na maendeleo, alipambana sana katika IMEELEZWA kuwa si alisema haiwezekani kupigania Uhuru wa nchi kwamba mambo yote watu wasiotaka elimu na hii. yalikwenda vizuri katika maendeleo waingie katika Alisema, kwa kutambua historia ya Mwl. Julius harakati na mipango ya mchango wake wakati huo Nyerere, bali pia yapo kujenga Chuo Kikuu Mzee Kitwana Kondo, malalamiko kuhusu mwaka 1968, ikiwa ni akiwa Meya wa Jiji la Dar mwanasiasa huyo wa muda mfupi baada ya es Salaam, alisema moja Tanzania. Uhuru. ya mitaa Kariakoo upewe Hayo yamebainishwa “Mwaka huo Waislamu jina la Mzee Mshume, na Mwanahistoria wa walitaka kujenga Chuo lakini akasema mpaka leo historia ya Tanganyika, Kikuu cha kwanza nchini, Inaendelea Uk. 18 Sheikh Mohammed Said. Sheikh Mohammed Said, jambo ambalo lilileta katika mahojiano maalum mgogoro mkubwa na ya kumbukumbu ya kifo Serikali ya Mwl. Nyerere, cha Mwl. Julius Nyerere, MUSLIM UNIVERSITY OF MOROGORO baada ya kuvurugiwa P.O. BOX 1031 Morogoro, Tanzania. Oktoba 14, 2015, na mipango na juhudi zao kurushwa na Televisheni Tel: +255 23 2600256; Fax: +255 23 2600286 kwa makusudi na baada Website: www.mum.ac.tz, E-mail address: [email protected] ya Azam, Jumatano wiki ya hapo hawakuweza tena hii. kunyanyuka. EIGHTH GRADUATION CEREMONY FOR UNDERGRADUATE Mohammed amesema “Kwa maana hiyo, DEGREES DIPLOMA AND CERTIFICATES CONFERMENT 2015 ili kuweka kumbukumbu tusijidanganye kuwa sahihi ya Tanganyika kila kitu wakati wa Mwl. The eighth graduation ceremony will be held at the campus of the Muslim University (Tanzania) ni vyema of Morogoro on SATURDAY, 14th November, 2015. The ceremony is expected to start Nyerere, kilienda sawa at 2.00 pm and end at 5.30 pm. historia ya Mwl. Nyerere, yapo malalamiko mengi, Students eligible to attend the ceremony are undergraduates diploma and certificates iandikwe au kusimuliwa laiti kama nisinge andika students who successfully completed their studies in 2015. sambamba na wale kitabu cha ‘Maisha na Parents, relatives and guests of the students as well as interested members of the alioshirikiana nao kwani Nyakati za Abdulwahid general public are welcome to attend the graduation ceremony at the playground. Guests sehemu kubwa ya historia are expected to dress modestly and decently. Lady guests attending the ceremony are Sykes’ usinge julikana advised to wear the hijab or any dress that does not expose the body other than the face, hiyo haijaandikwa kwa mchango na historia hands and feet. usahihi unaotakiwa. ya Waislamu katika All eligible students are requested to attend the occasion, regardless of whether or not Akizungumzia kuhusu kutafuta Uhuru wa they bring guests. However, they must inform the office of DVC (Academic) of their intent malalamiko dhidi ya Mwl. to participate in the ceremony NOT LATER THAN 6th November, 2015. For any enquiries Tanganyika.” Alisema call Public Relations Officer Mobile No:0715 - 636905 Nyerere, Mohammed Said Shkh. Mohammed. Academic costumes (gowns, hoods and caps) are available for hire by the degree amesema kuwa Waislamu Ama akizungumzia graduands starting from 6th to 13th November 2015.The University cashier’s office must hawakutegemea kwamba historia ya Mwl. Nyerere receive from each of the participating students a bank pay in slip worth Tsh. 40,000 non baada ya kudai Uhuru na harakati za kudai refundable fee for hiring costumes and convocation. kwa hali na mali zao, hali This money should be paid into Muslim University of Morogoro Account no. Uhuru, Shkh. Mohammed 01J1013380601 CRDB Bank. You can also pay the money to the University Cashier on zao leo ziwe kama zilivyo Said aliweka bayana MUM Campus and obtain a receipt. sasa baada ya Uhuru. kwamba, historia ya Mwl. Graduands, who do not have costumes on, will not be allowed to participate in the Alisema, kabla Nyerere, haijaandikwa Ceremony. Diploma and Certificates graduands will wear only Gowns and Caps. They will na baada ya Uhuru not wear HOODS. kwa usahihi unaotakiwa, Strictly, we shall not issue Academic costumes on the Graduation day. Each and every Waislamu hawakudhani pamoja na kuwa wapo Graduand shall have his/her costumes between 6th and 13th November, 2015. kuwa watakuwa ni watu waliojitahidi kuandika Graduands are required to bear in mind that the hired costumes shall have to be returned wa kutothaminiwa na lakini haijitoshelezi. after the ceremony. A heavy fine will be imposed in case the costumes are damaged, kujikuta wanakuwa watu Mwanahistoria huyo, or not returned in time. A hiring Contract Form will be provided for completion by those wa chini ukilinganisha na intending to hire the costumes. alisema kwamba suala For the safety of all participants and their guests, close-up picture taking and video wenzao. hilo amekuwa akilieza recording near the stage is restricted. Akasema, ni bora siku zote kwamba, REHEARSAL wakubwa wanaokamata historia ya Mwl. Nyerere, Since the rehearsal is an integral part of the ceremony, all graduands who wish to attend nchi walitazame suala the graduation ceremony MUST attend the rehearsal which is scheduled on Saturday haiwezi kunoga ikiwa morning (14th November, 2015) at 8.30 a.m at the graduation site. Failure to attend hili la Waislamu, katika atazungmzwa yeye Mwl. rehearsals by graduands will result into such graduands being mentioned as graduating nchi hii, wajiulize je Nyerere, peke yake huku in absentia which implies they will not be officially presented to the guest of honor. wameridhika na hali watu waliokuwa nae Certificates and transcripts of the graduands will not be given at the ceremony. These waliyonayo (Waislamu) can be received at another convenient day from the Office of the DVC (Academic), starting wasielezewe au kutajwa. early December 2015. au kuna tatizo linalofanya Ili historia hiyo iwe wao kuwa katika hali sahihi ni vyema iandikwe hiyo. historia sambamba na Akijibu swali kwamba, wale alioshirikiana nao, Ngaja M. Mussa inasemekana kuwa ambao wapo wengi sana, For: DEPUTY VICE CHANCELLOR (ACADEMIC) Waislamu wenyewe huku akimtaja Mzee Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Ltd, Dar es Salaam.

ANNUUR REAL.indd 20 10/15/2015 12:55:22 PM