Maoni Ya Kamati Ya Kudumu Ya Bunge
Total Page:16
File Type:pdf, Size:1020Kb
Load more
Recommended publications
-
Online Document)
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA ______________ MAJADILIANO YA BUNGE _______________ MKUTANO WA KUMI NA TANO Kikao cha Nne – Tarehe 9 Mei, 2014 (Mkutano Uianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI WA KILIMO, CHAKULA NA USHIRIKA: Randama za Makadirio ya Matumizi ya Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika kwa Mwaka wa Fedha 2014/2015. WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS (MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA) PAMOJA NA (UTAWALA BORA): Hotuba ya Bajeti ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma) pamoja na (Utawala Bora) kwa Mwaka wa Fedha 2014/2015. WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS (MAHUSIANO NA URATIBU): Hotuba ya Bajeti ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu) kwa Mwaka wa Fedha 2014/2015. MHE. JAKU HASHIM AYOUB (K.n.y. MWENYEKITI WA KAMATI YA KATIBA, SHERIA NA UTAWALA): Taarifa ya Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma), (Utawala Bora) pamoja na (Mahusiano na Uratibu) kwa Mwaka wa Fedha 2013/2014 na maoni 1 Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) ya Kamati Kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi hizo kwa Mwaka wa Fedha 2014/2015. MHE. PROF. KULIKOYELA K. KAHIGI - MSEMAJI MKUU WA KAMBI YA UPINZANI KUHUSU OFISI YA RAIS (MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA), (UTAWALA BORA) PAMOJA NA (MAHUSIANO NA UTARATIBU):- Taarifa ya Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani wa Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma), (Utawala Bora) pamoja na (Mahusiano na Uratibu) kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi hizo kwa Mwaka wa Fedha 2014/2015 MASWALI NA MAJIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tunaanza Maswali na Ofisi ya Waziri Mkuu. -
Tarehe 12 Aprili, 2011
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) BUNGE LA TANZANIA _________ MAJADILIANO YA BUNGE _________ MKUTANO WA TATU Kikao cha Tano – Tarehe 12 Aprili, 2011 (Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (ELIMU): Taarifa ya Mwaka ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali za Mitaa kwa Mwaka wa Fedha ulioisha tarehe 30 Juni, 2010 (The Annual General Report of the Controller and Auditor General on the Financial Statements of Local Government Authorities for the Financial Year ended 30th June, 2010). NAIBU WAZIRI WA FEDHA (MHE.GREGORY G. TEU): Taarifa ya Mwaka ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali juu ya Hesabu zilizokaguliwa za Serikali Kuu kwa Mwaka ulioishia tarehe 30 Juni, 2010 (The Annual General Report of the Controller and Auditor General on the Audit of the Financial Statement of the Central Government for the Year ended 30th June, 2010). Taarifa ya Mwaka ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali juu ya Hesabu zilizokaguliwa za Mashirika ya Umma kwa Mwaka 2009/2010 (The Annual General Report of the Controller and Auditor General on the Financial Statement of Public Authorities and other Bodies for the Financial Year 2009/2010). Taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali juu ya Ukaguzi wa Ufanisi na Upembuzi kwa kipindi kilichoishia tarehe 31 Machi, 2011 (The General Report of the Controller and Auditor General on the Performance and Forensic Audit Report for the Period ended 31st March, 2011). -
Majina Ya Vyeti Vya Kuzaliwa Vilivyohakikiwa Kikamilifu Wakala Wa Usajili Ufilisi Na Udhamini (Rita)
WAKALA WA USAJILI UFILISI NA UDHAMINI (RITA) MAJINA YA VYETI VYA KUZALIWA VILIVYOHAKIKIWA KIKAMILIFU ENTRY No/ NAMBA YA NA. JINA LA KWANZA JINA LA KATI JINA LA UKOO INGIZO 1 AMON ALISTIDIUS RUGAMBWA 411366659714 2 RICHARD NDEKA 1004525452 3 ROGGERS NDYANABO CLETUS 1004174782 4 SALUM ZUBERI MHANDO 17735/95 5 EMMANUEL DHAHIRI MVUNGI 648972721859 6 ROSEMERY NELSON JOSEPH 444681538130 7 ALBERT JULIUS BAKARWEHA 03541819 8 HUSSEIN SELEMANI MKALI 914439697077 9 BRIAN SISTI MARISHAY 2108/2000 10 DENIS CARLOS BALUA 0204589 11 STELLA CARLOS BALUA 0204590 12 AMOSI FRANCO NZUNDA 1004/2013 13 GIFT RAJABU BIKAMATA L.0.2777/2016 14 JONAS GOODLUCK MALEKO 60253323 15 JOHN AIDAN MNDALA 1025/2018 16 ZUBERI AMRI ISSA 910030285286 17 DEVIS JOHN MNDALA 613/2017 18 SHERALY ZUBERI AMURI 168/2013 19 DE?MELLO WANG?OMBE BAGENI 1002603064 20 MAHENDE KIMENYA MARO L. 9844/2012 21 AKIDA HATIBU SHABANI 1050000125 22 KILIAN YASINI CHELESI 1004357607 23 JESCA DOMINIC MSHANGILA L1646/2000 24 HUSNA ADAM BENTA 0207120 25 AGINESS YASINI CHALESS 9658/09 26 SAMWELI ELIAKUNDA JOHNSONI L 2047/2014 27 AMINA BARTON MTAFYA 267903140980 28 HUSNA JUMANNE HINTAY 04014382 29 INYASI MATUNGWA MLOKOZI 1000114408 30 EDWARD MWAKALINGA L.0.2117/2016 31 MTANI LAZARO MAYEMBE 230484751558 32 OBED ODDO MSIGWA L.3475/2017 33 REGINA MAYIGE GOGADI 1004035001 34 KULWA SOUD ALLY 317/2018 35 GEOFREY JOSEPHAT LAZARO 1004395718 36 GLORIA NEEMA ALEX 1003984320 37 DAUDI ELICKO LUWAGO 503096876515 38 NEEMA JUMA SHABAN 1363/96 39 MUSSA SUFIANI NUNGU 100/2018 40 SHAFII JUMBE KINGWELE 92/2018 41 RAMADHANI -
Tarehe 14 Novemba, 2018
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE __________ MKUTANO WA KUMI NA TATU Kikao cha Saba – Tarehe 14 Novemba, 2018 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Naibu Spika (Mhe. Dkt. Tulia Ackson) Alisoma Dua NAIBU SPIKA: Waheshimiwa tukae. Katibu. NDG. LAWRENCE MAKIGI – KATIBU MEZANI: HATI ZA KUWASILISHA MEZANI NAIBU SPIKA: Chief Whip. Hati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani na:- WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU (SERA, BUNGE, KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU (K.n.y. WAZIRI WA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA):- Azimio la Bunge la Kuridhia Mkataba wa Kuzuia Uendelezaji, Uzalishaji, Ulimbikizaji wa Silaha za Kibaiolojia na Sumu Pamoja na Uangamizaji wake wa Mwaka 1972 (The Convention on Prohibition of Development, Production and Stockpiling of Bacteriological (Biological) and Toxin Weapons and their Destruction) of 1972. NAIBU SPIKA: Ahsante. Mwenyekiti wa Kamati wa Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama. 1 NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) MHE. JORAM I. HONGOLI (K.n.y. MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA):- Maoni ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama kuhusu Azimio la Bunge la Kuridhia Mkataba wa Kuzuia Uendelezaji, Uzalishaji, Ulimbikizaji wa Silaha za Kibaiolojia na Sumu Pamoja na Uangamizaji wake wa Mwaka 1972 (The Convention on Prohibition of Development, Production and Stockpiling of Bacteriological (Biological) and Toxin Weapons and their Destruction) of 1972. NAIBU SPIKA: Ahsante sana. Msemaji wa Kambi Rasmi ya Upinzani wa Wizara -
16 Aprili, 2012 1 Bunge La Tanzania
Hii ni Nakala ya Mtandao (Online Document) 16 APRILI, 2012 BUNGE LA TANZANIA _______________ MAJADILIANO YA BUNGE _______________ MKUTANO WA SABA Kikao cha Tano – Tarehe 16 Aprili, 2012 (Mkutano ulianza Saa Tatu Asubuhi) D U A Spika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma Dua MASWALI NA MAJIBU Na. 52 Ahadi ya Rais Kununua Gari la Wagonjwa (Ambulance) - Kituo cha Afya Mlangali MHE. DEO H. FILIKUNJOMBE aliuliza:- Mwaka 2008, Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshim iwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, aliahidi kuwapatia wananchi wa Mlangali gari jipya la wagonjwa Ambulance:- 1 16 APRILI, 2012 (a) Je, Serikali ina mpango gani wa kutekeleza ahadi hiyo? (b) Je, gari hilo linaweza kupatikana leo baada ya Bunge kuahirishwa? NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI) alijibu:- Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Deo Haule Filikunjombe Mbunge wa Ludewa lenye sehemu (a) na (b) kwa pamoja kama ifuatavyo:- Mheshimiwa Spika, nakubaliana na Mheshimiwa Mbunge kwamba Mheshimiwa Rais mwaka 2008 aliahidi kutoa gari kwa ajili ya kituo cha afya Mlangali katika Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa. Kwa kuzingatia ahadi ya Mheshimiwa Rais na adha ya usafiri waliyo nayo wananchi wa Mlangali, tarehe 1 Aprili, 2011 Serikali ilipeleka gari la kubebea wagonjwa katika kituo cha Afya Mlangali kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa wanaohitaji rufaa. Gari lililonunuliwa ni Toyota Land Cruiser Hardtop lenye Na. Za usajili SM 9192. Gari hili lilikabidhiwa kituo cha afya Mlangali tangu Septemba, 2011. 2 16 APRILI, 2012 Mheshimiwa Spika, nachukua nafasi hii na fursa hii kumpongeza Mheshimiwa Deo Filikunjombe kwa jitihada kubwa alizofanya kwa wananchi wake wa Ludewa kwa kuamua kununua magari mawili (hiace ) ambapo yanatumika kusafirishia wagonjwa wa rufaa katika Wilaya ya Ludewa. -
MAWASILIANO SERIKALINI Mkuu Wa Kitengo Cha Florence Temba 022 2122942 0784246041 Mawasiliano Serikalini KITENGO CHA UGAVI NA UNUNUZI
OFISI YA RAIS IKULU NA SEKRETARIETI YA BARAZA LA MAWAZIRI 1 Barabara ya Barack Obama, S.L.P 9120, 11400 Dar es Salaam Simu: 022 2116898/0222116900; Nukushi: 022 2128585 Email: [email protected]; Website http://www.statehouse.go.tz JINA KAMILI CHEO SIMU YA SIMU YA OFISINI MKONONI OFISI YA RAIS Mhe. Dkt.John Pombe Rais wa Jamhuri ya - - Magufuli Muungano wa Tanzania Mwandishi Mwendesha Mary G. Teu 022 211 6920 - Ofisi Rose E. Wabanhu Katibu Mahsusi 022 213 4924 - OFISI YA KATIBU MKUU KIONGOZI Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John William Mkuu wa Utumishi wa 022 211 6679 - Kijazi Umma na Katibu wa Baraza la Mawaziri Magdalena A. Msaidizi wa Mtendaji Mkuu 022 211 6679 - Kilongozi Mwandishi Mwendesha Eva Z. Mashallah 022 213 9649 - Ofisi OFISI YA KATIBU MKUU Peter A. Ilomo Katibu Mkuu 022 211 0972 - Salma M. Mlinga Msaidizi wa Mtendaji Mkuu 022 211 0972 - Mwandishi Mwendesha Euphrazia M. Magawa 022 212 9045 - Ofisi OFISI BINAFSI YA RAIS - Katibu wa Rais 022 211 6538 - Yunge P. Massa Msaidizi wa Mtendaji Mkuu 022 211 6538 - Joyce E. Pachi Msaidizi wa Mtendaji Mkuu 022 211 6538 - Muhidin A. Mboweto Naibu Katibu wa Rais 022 211 6908 - Usamba K. Faraja Msaidizi wa Mtendaji Mkuu 022 211 6908 - Katibu Msaidizi Lumbila M. Fyataga 022 211 6917 - Mwandamizi wa Rais Beatrice S. Mbaga Msaidizi wa Mtendaji Mkuu 022 211 6917 - Kassim A. Mtawa Katibu wa Rais Msaidizi 022 211 6917 - Alice M. Mkanula Msaidizi wa Mtendaji Mkuu 022 211 6917 - Col. Mbarak N. Mpambe wa Rais 022 211 6921 - Mkeremy Leons D. -
Maombi Ya Uhakiki Yaliyojibiwa (Hayana Upungufu)
MAOMBI YA UHAKIKI YALIYOJIBIWA (HAYANA UPUNGUFU) 1 AALIYAH PASCHAL MTESIGWA 2 AARON ABEL LYATUU 3 AARON AMON LEMBAO 4 AARON BILDAD KAAYA 5 AARON BYAKAZOBA CHIZA RWEBEMBELA 6 AARON BYAKAZOBA CHIZA RWEBEMBELA 7 AARON NICHOLAUS DANIEL LIKOMBE 8 AARON SIZYA PETER 9 AARON STANLEY MULISA KIBENDERA 10 AASIMWE ERENEUS VEDASTO 11 ABACE DITRICK MGUFALE 12 ABAMWESIGA MWEMEZI JAMES 13 ABANONI YOGOMBA DAUDI 14 ABAS ALOYCE LUKENSA 15 ABAS JUMA MASASI 16 ABAS JUMANNE MKWIZU 17 ABAS PETRO MBILINYI 18 ABAS SAIDI BASHA 19 ABAS SHABANI MSANGI 20 ABASI ATHUMANI RAMADHANI 21 ABASI BAKARI JUMA 22 ABASI HAMZA MANGAMI 23 ABASI HASHIM SWEDI 24 ABASI ISMAIL NKAYAMBA 25 ABASI ISSA BIKWIBA OMARI 26 ABASI KAUYA LWAMBANO 27 ABASI MOHAMED MRABA 28 ABASI MSHINDO RAJABU 29 ABASI MURSAL ASSED 30 ABASI MUSSA RAMADHANI 31 ABASI OMARI ABASI 32 ABASI RASHIDI ALI 33 ABASI RASHIDI STAMILI 34 ABASI SAIDI BASHA 35 ABASI SAIDI SALUM 36 ABASI SAIDI SALUMU 37 ABASI SAIDI BASHA 38 ABASI SHABANI JAWABU 39 ABASI SHABANI MSANGI 40 ABASI ZUBERI MSHAM 41 ABASI MUSSA RAMADHANI SHESHE 42 ABASS HABIBU PANGANI 43 ABBAKARI HAMISI MSAGHAA 44 ABBAS ADAMU MAKOTHA 45 ABBAS FADHILI KIWAE 46 ABBAS IBRAHIMU KIJUMBURA,KARAGWE 47 ABBAS MAHADANO TWEVE 48 ABBAS MOHAMED MRABA 49 ABBAS PARDON MWAKALOBO 50 ABBAS SAIDI NAMPENEKELA 51 ABBAS KAHATANO JAMAL 52 ABBOTT JOSEPHAT ANTHONY 53 ABDALA MOHAMEDI ABDALA 54 ABDALA MOHAMEDI ABDALA 55 ABDALA MOHAMMED KIMESULE 56 ABDALA MWALIMU NZORI 57 ABDALA PETRO TITI 58 ABDALA SWAIBU HUSENI 59 ABDALA SWAIBU HUSENI 60 ABDALA IDDI ISIMBULA 1 OF 873 61 ABDALA OMARY MAGONA -
(LAAC)/ WAKILI HOUSE PROJECT REPORT October 2019
(2003 – 2019) Tanganyika COMPREHENSIVE LEGAL AID Law Society AND ADVOCACY CENTRE (LAAC)/ WAKILI HOUSE PROJECT REPORT October 2019 Tanganyika Law Society (2003 – 2019) COMPREHENSIVE LEGAL AID AND ADVOCACY CENTRE (LAAC)/ WAKILI HOUSE PROJECT REPORT October 2019 i CONTENTS EXECUTIVE SUMMARY: ............................................................................................. iv PRESIDENT’S REMARKS, ........................................................................................... v CEO’s Note, ............................................................................................................... vi PART 1: .................................................................................................................. 1 PROJECT INCEPTION AND PROPERTY ACQUISITION: ................................................. 1 1.1 Background to the Wakili House Project: ............................................................ 1 1.2 Acquisition of a House at Plot No. 390 Regent Estate: ........................................ 1 1.3 Choosing Project Name: Wakili House Versus Legal Aid Advocacy Centre (LAAC): 2 PART 2: .................................................................................................................. 3 DEVELOPMENT OF CONCEPTS AND DESIGNS OF THE LAAC/WAKILI HOUSE: .............. 3 2.1 Engagement of the Architect, Quantity Surveyor and Presentation of Designs: . 3 2.2 Change of Designs: .............................................................................................. 5 PART 3: .................................................................................................................