MIFUGOUVUVI

Toleo Na. 3, Januari, 2020 Agenda za Utafiti Sekta za Mifugo na Uvuvi kuleta mabadiliko ya kiuchumi nchini

i MIFUGOUVUVI

Yaliyomo • Wafugaji waishukuru Serikali kwa dawa za ruzuku nchi nzima...... 1 • Kamati ya Bunge yaipongeza Wizara ya Mifugo na Uvuvi...... 4

• Agenda za utafiti Sekta za Mifugo na Uvuvi kuleta mabadiliko ya kiuchumi nchini...... 6 • Serikali kuboresha zaidi mazingira ya wavuvi nchini...... 10 • Wizara ya Mifugo na Uvuvi kinara kuelekea uchumi wa viwanda...... 12 • Sekta ya Uvuvi yajidhatiti kuinua uchumi...... 15 • Serikali yaahidi kuendelea kusimamia maslahi ya wafugaji...... 17 • Upatikanaji wa vifaranga vya samaki na chakula bora wawekewa mkakati...... 20 • Mazao ya wanyama kuongezeka zaidi ya mara mbili mwaka huu...... 21

• Serikali kuwainua wavuvi kiuchumi kupitia vyama vya Ushirika...... 23 • TDCU yaishukuru Serikali kukinusuru kiwanda cha Tanga Fresh...... 25 • TPB yazindua Wavuvi Akaunti...... 27 • Naibu Waziri Ulega ashiriki Mkutano wa Mawaziri wa AU mjini Addis Ababa...... 28 • Maofisa Uvuvi wa Halmashauri nchini watakiwa kuwatembelea wafugaji wa samaki...... 29 • Mawaziri Afrika Mashariki watoka na maazimio 42 kuboresha Sekta ya Kilimo, Mifugo nchini...... 30 • Uvuvi wa kutumia mabomu umebaki historia nchini...... 31 • Wadau watoa mapendekezo ya kuboresha zaidi sekta ya mifugo nchini...... 32 • Tasnia ya Ufugaji wa samaki nchini yapiga hatua...... 33 • Wizara yapongezwa kwa kuanzishwa kozi za sekta ya nyama, maziwa na ngozi nchini...... 34 • TAFIRI yazindua mradi wa ufuatiliaji Tindikali Baharini...... 36 • Viwanda vinavyotumia malighafi za mifugo kutambuliwa ili kufikia uchumi wa kati...... 38

ii MIFUGOUVUVI

WAFUGAJI WAISHUKURU SERIKALI KWA DAWA ZA RUZUKU NCHI NZIMA Sh. bil.19 za uogeshaji zaokolewa, bei yashuka kutoka sh.500 hadi 50 kwa ng’ombe kwa miezi sita. Wafugaji wahamasika kuogesha mifugo yao kwa wingi.

ogeshaji wa mifugo nchini kwa kipindi hiki cha matibabu yake hugharimu takribani shilingi 150,000 serikali ya awamu ya tano umepewa msukumo kwa ng’ombe. Hata hivyo, uwezekano wa ng’ombe Uwa kipekee kutokana na kuwa Magonjwa ya mifugo kupona ni mdogo kwa kuwa dalili zake huonekana yaenezwayo na kupe hudhibitiwa kwa kutumia tayari mifugo ikiwa imeshaathirika kwa kiwango njia mbalimbali ambapo njia kuu ni kuogesha au kikubwa. Ugonjwa huu huathiri uchumi wa nchi na kunyunyiza mifugo kwa kutumia dawa za kuua mtu mmoja mmoja kutokana na vifo vya mifugo, kupe (viuatilifu). kupungua kwa mazao ya mifugo ambayo ni nyama, Hivyo, Wizara ya Mifugo na Uvuvi imeshafanya uzinduzi wa kampeni hii ya uogeshaji katika awamu mbili ambapo awamu ya kwanza ilifanyika katika Halmashauri ya Wilaya ya Chato mkoani Geita Disemba 16, 2018 na awamu ya pili katika Halmashauri ya Mpimbwe, Wilaya ya Mlele, mkoani Katavi oktoba 29, 2019. Wizara ya mifugo na uvuvi imefikia hatua hii kutokana na umuhimu wa kulinda afya za wanyama na binadamu kwani inakabiliwa na magonjwa ya mifugo yapatayo 32 yanayosababisha madhara kwa viwango mbalimbali.

Katika awamu ya kwanza ya kampeni ya uogeshaji, Serikali kupitia Wizara ya mifugo na uvuvi ilitoa lita zipatazo 8,823.53 zenye thamani ya Shilingi 300,000,000 za dawa ya kuogeshea mifugo aina ya Paranex (Alphacypermethrin) zilizogawiwa wilaya zote za Tanzania. Dawa hizi za ruzuku zimesaidia sana wafugaji kwa kuwa gharama ya kuogesha imeshuka kutoka shilingi 500 hadi shilingi 50 kwa ng’ombe na kwa mbuzi na kondoo shilingi 50.

Kutokana na kuwepo kwa dawa za kuogesha mifugo za ruzuku kwa michovyo 43,337,336 ya mwaka 2018/2019 kiasi cha gharama ya kuogesha mifugo shilingi 12,544,486,590 kimeokolewa. Serikali katika awamu ya pili ya kampeni imeongeza dawa kutoka lita 8,823.53 za awamu ya kwanza na kufikia lita 12,549.50 sawa na ongezeko la asilimia 42.2.

Madhara ya kutokuogesha mifugo.. Mkurugenzi wa Huduma za Mifugo Prof. Hezron Nonga ameelezea kuwa Ndigana kali (East Coast Fever-ECF), Ndigana Baridi (Anaplasmosisi), Mkojo mwekundu (Babesiosis) na Maji moyo (Heart Water) ni magonjwa yanayoathiri mifugo kutokana na kutokuikinga na wadudu kupe, ila Ndigana kali ndio ugonjwa unaoongoza kwa kuua mifugo na pia Mojawapo ya josho la kuogeshea mifugo dawa kwa ajili ya kuzuia magonjwa yaenezwayo na Kupe.

1 MIFUGOUVUVI

maziwa na ngozi, kushuka kwa thamani ya ngozi, Bi. Mwanakheri Kawambwa mfugaji katika wilaya ya kupoteza wanyama kazi, udumavu wa ndama pamoja Bagamoyo mkoani Pwani mwenye ng’ombe 185, na gharama kubwa za kukinga na kutibu magonjwa anaipongeza na kuishukuru serikali ya awamu ya yaenezwayo na kupe. tano kwa kupunguza gharama za kuogesha mifugo kutoka shilingi 500 hadi shilingi 50 jambo ambalo Wafugaji watoa neno kwa serikali. anasema litamuongezea faida kwani gharama ya awali ilikuwa kubwa sana kwake kulingana na Wakiongea kwa nyakati tofauti wafugaji wamesema wingi wa mifugo aliyonayo na mara nyingine huwa imekuwa ni faraja kwao kupata dawa kwa punguzo analazimika kuogesha hata mara tatu kwa wiki. la kiasi kikubwa hivyo hali ambayo haijawahi kutokea nchini, “Mimi nina ng'ombe 27. Toka nimeanza Mfugaji, Bwana Jonas Ringo wa kijiji cha Kimondo, kufuga ng'ombe sijawahi kuona ufuatiliaji na huduma Kata ya Igombe wilaya ya Mbeya vijijini ameishukuru nzuri ya kuwajali wafugaji wa chini kama sisi kwa serikali ya awamu ya tano kwa dawa ya ruzuku na kutuletea dawa za kuogesha kwa bei ya shilingi 50 na kuongeza kuwa kwa sasa ndama wakizaliwa wana kutukarabatia majosho yetu” alisema Bwana Yohane uhakika watakua salama kwani yale mashaka ya Chafu wa kijiji cha Maguvani, Kata ya Mbalamaziwa kupata maradhi ya kupe hayapo tena kutokana na Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa. Aidha Bwana Chafu kampeni ya uogeshaji inayoendelea nchi nzima. ameiomba serikali na wahusika kupunguza bei ya dawa ya Paranex ambayo inauzwa Sh. 60,000/- kwa “Shughuli ya uogeshaji hapa kwetu Imalamihayo lita ili kuendelea na uogeshaji pindi dawa ya ruzuku inaenda vizuri sana. Kwa siku tunaogesha ng’ombe itakapokwisha. zaidi ya 1500, ila wasiwasi wetu ni pindi dawa

Mkurugenzi wa huduma za Mifugo, Prof. Hezron Nonga (Kulia) akimpatia Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. (Mwnye kofia) maelezo kwenye moja ya ziara za Mhe. Waziri za ufuatiliaji wa maendeleo ya Sekta ya Mifugo nchini hivi karibuni Mkoani Katavi.

2 MIFUGOUVUVI

hii ya ruzuku itakapokwisha tutapata wapi dawa Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Katavi, zisizochakachuliwa nzuri kama hizi?” alisema mfugaji Komredi Juma Homera amemhakikishia Waziri Mpina Bwana Emmanuel Masanja mwenye ng’ombe kuwa Serikali ya mkoa huo itasimamia maagizo 250 kutoka kijiji cha Imalamihayo, halmashauri ya yote na kwamba hakuna mfugaji atakayeonewa au manispaa ya Tabora vijijini. kudhulumiwa na kwamba bei elekezi iliyotangazwa ya sh 50 kwa kichwa ngombe na 10 kwa mbuzi italeta Naye Bwana Izaki Awaki ambaye ni mfugaji wa neema kubwa kwa wafugaji. ng’ombe 60 kutoka mkoa wa Manyara ameishukuru serikali na kusema kuwa wamehamasika sana Naye Mkurugenzi wa Huduma za Mifugo Wizara ya kuogesha mifugo yao kutokana na punguzo la Mifugo na Uvuvi, Prof. Hezron Nonga alisema zoezi bei ya sh.50 ikilinganishwa na sh. 200 ya awali ila hilo la uogeshaji litafanyika nchi nzima na kuwataka changamoto iliyopo ni uchakavu wa majosho. wafugaji kujitokeza kuogesha mifugo yao ili kuikinga na maradhi. Kutoka wilaya ya Rorya mkoani Mara, William Gerald anaipongeza sana Wizara ya Mifugo na Uvuvi Changamoto za utekelezaji. kwa uendeshaji mzuri wa kampeni ya kuogesha mifugo hasa kwa dawa ya ruzuku. Aidha mfugaji Wasimamizi wa utekelezaji wa kampeni katika huyo alitaja changamoto ya uchakavu wa josho na maeneo mbalimbali hapa nchini wamenukuliwa kuziomba mamlaka husika kukarabati josho lao ili wakisema kuwa zoezi la uogeshaji mifugo zoezi liendelee kama ilivyokusudiwa. linaendelea vizuri licha ya changamoto ndogo zinazojitokeza. Kwa upande wake kaimu Afisa Maelekezo ya utekelezaji. Mfawidhi, kituo cha uchunguzi wa magonjwa ya Akizungumza mara baada ya Uzinduzi wa Kampeni mifugo kanda ya nyanda za juu kusini, Dkt. Jeremiah ya uogeshaji mifugo awamu ya pili katika Josho la Choga anaesema kuwa hamasa katika kanda yake Kikonko wilayani Mlele na baadaye kwenye mkutano ni kubwa sana na kampeni inaendelea vizuri ambapo mkubwa wa hadhara uliofanyika Kijiji cha Majimoto, majosho zaidi ya 340 yanafanya kazi ipasavyo, na Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mh. Luhaga Mpina alisema kikubwa kilichowahamasisha wafugaji ni punguzo kupitia mpango huo, Serikali itasambaza dawa ya la bei kutoka shilingi 500 hadi 50 kwa kipindi cha ruzuku lita 12, 546 kwenye majosho yanayofanya miezi sita. Ameeleza kuwa changamoto ni chache tu kazi 1,733 nchini kote. pale ambapo kwenye mifugo michache, kamati na Uamuzi huu wa Serikali utawawezesha kuokoa wafugaji wanaendelea na uogeshaji huku wakitafuta shilingi bilioni 19 ambazo wafugaji wangezitumia njia muafaka ya kukabiliana na changamoto hiyo. kuogesha mifugo yao lakini ambapo sasa itatumika shilingi bilioni 2.16 tu huku Serikali ikiwapatia Dkt.Samora Mshanga Afisa mifugo wa halmashauri wafugaji ruzuku ya asilimia 90 ambapo kama ya wilaya ya Mbeya anabainisha changamoto wafugaji wangeendelea na bei hiyo ya miaka ya zinazowakabili wafugaji katika kipindi hiki cha nyuma wangelazimika kutumia sh. bilioni 21.6. kampeni ya uogeshaji mkoani mbeya kwa wakati wa mvua ni mafuriko ambayo husababisha maji Waziri Mpina ameagiza kila kijiji nchini kiwe na josho kuingia kwenye majosho hivyo kuharibu kipimo kwenye vijiji vyote zaidi ya 12,000 ili kila kijiji kiweze cha dawa .Changamoto nyingine ni wakulima kuogesha mifugo na kusisitiza kuwa Serikali ya Rais kulima hadi pembeni ya barabara za mifugo, hali Magufuli itakuja na mkakati wa kuhakikisha kila kijiji inayosababisha mifugo kupita kwa shida. kinapata josho kama sehemu ya kuboresha afya za mifugo. Uchakavu wa miundombinu ambayo ni majosho imetajwa kuwa ni changamoto katika maeneo Aidha Mh.Waziri alisisitiza wanaokwenda kuogesha mengi ambapo zoezi la uogeshaji linaendelea. mifugo wafuate sheria za uogeshaji kuhakikisha Aidha wakati wa uzinduzi wa kampeni hii Waziri mifugo inaogeshwa lakini kwa fedha ambayo Serikali Mpina alibainisha kuwa katika kipindi kifupi cha imeitangaza ya sh 50 kwa kichwa cha ng’ombe na mwaka mmoja Serikali imekarabati majosho sh 10 kwa kichwa cha mbuzi na zoezi hili litafanyika 400 na kwamba majosho yaliyobaki ambayo mfululizo kwa kipindi cha miezi 6 na kumuagiza hayajakarabatiwa ni 639 na kusisitiza kuwa yote Mkurugenzi wa huduma za mifugo, Madaktari ya yatakarabatiwa ili kuongeza kasi ya uogeshaji Mifugo wa Mikoa, na Wilaya kuhakikisha zoezi mifugo hilo linasimamiwa vizuri kuhakikisha wananchi hawatapeliwi

3 MIFUGOUVUVI

KAMATI YA BUNGE YAIPONGEZA WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI

izara ya Mifugo na Uvuvi nchini imeendelea nzuri na jitihada za makusudi zinazofanyika kwa kupiga hatua za kimaendeleo na kufanikiwa lengo la kulinda na kuendeleza rasilimali za mifugo Wkuboresha maeneo mbalimbali yenye matokeo na uvuvi nchini. chanya katika sekta za Mifugo na Uvuvi, sekta Kamati hiyo hivi karibuni ilipotembelea Wakala wa ambazo ni miongoni mwa sekta zinazotegemewa Vyuo vya Mafunzo ya Mifugo (LITA) Kampasi ya sana katika kuchochea suala zima la maendeleo ya Mpwapwa, Taasisi ya Utafiti wa Mifugo nchini (TALIRI) uchumi wa viwanda kutokana na malighafi nyingi Tawi la Mpwapwa na Ranchi ya Kongwa, iliipongeza kutegemea na mazao ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi. Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa jinsi inavyotekeleza Mafanikio hayo ni matokeo ya utekelezaji na maelekezo mbalimbali yanayotolewa na kamati hiyo usimamizi mzuri wa mikakati ya Wizara pamoja na huku ikiishauri serikali kutoa fedha za kutosha kwa maelekezo yanayohusu uboreshaji wa sekta za ajili ya tafiti ili ziwe na tija kwa Taifa. Mifugo na Uvuvi toka ngazi za juu na hata kutoka kwa wawakilishi wa wananchi Bungeni. Aidha Kamati hiyo ilifanya ziara yake Novemba 03 Mwaka mafanikio haya yameonekana na kuugusa umma wa 2019, ikiambatana na Wataalam kutoka Sekta ya watanzania katika maeneo tofauti hata kusababisha Mifugo wakiongozwa na Katibu Mkuu Wizara ya wananchi kupitia kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) Prof. Elisante Ole Gabriel Kilimo, Mifugo na Maji, kuipongeza Wizara kwa kazi kukagua utendaji kazi wa kituo hicho na Ranchi ya Kongwa, Mkoani Dodoma.

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji, Mhe. , akizungumza na wataalamu (Hawapo pichani) kutoka wizara ya mifugo wakati walipofanya ziara na kamati yake katika Kituo cha Utafiti wa Mifugo Mpwapwa (LITA) na Ranchi ya Taifa (NARCO) zilizopo mkoa wa Dodoma kushoto ni Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) Prof. Elisante Ole Gabriel. 4 MIFUGOUVUVI

Akizungumza katika ziara hiyo, Mwenyekiti wa Awali, Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Kamati hiyo, Mhe. Mahmoud Mgimwa, alisema (Mifugo) Prof. Elisante Ole Gabriel, aliahidi kutekeleza kamati inapenda kuona wizara zinazoongoza ziingie ushauri uliotolewa na wajumbe wa kamati hiyo huku na kuwa za kipaumbele kwa kuwa malighafi za akiwahamasisha waendelee kuwekeza kwenye viwanda asilimia 85 inapatikana sekta ya kilimo, ufugaji. mifugo na uvuvi. “Mtusaidie sana wabunge kuhamasisha jamii, “Kama serikali inataka tufanikiwe kwenye maeneo endeleeni kufuga sana tunatamani muwe na haya ifike wakati tujielekeze kwa nguvu, tuishawishi mashamba na sisi tutakuwa tayari kutuma wataalam serikali ione umuhimu wa hizi taasisi, Tanzania ni wetu wawasaidie,” alisema Prof. Gabriel. miongoni mwa nchi zinazosifika kwa ufugaji wa Alisema lengo la Wizara ni kuona mageuzi ya ng’ombe wengi barani Afrika, sasa tunafaidikaje na kisayansi yanafanyika katika sekta ya mifugo na hiyo sifa,” alisema Mhe. Mgimwa. kwamba haiwezekani kufanya mageuzi bila tafiti za uhakika. Aliongeza kuwa hakuna nchi yoyote Duniani iliyoendelea kama haijawekeza vya kutosha “Ndio maana tunafundisha ili kutoa taaluma hizi kwenye utafiti hivyo imeelekeza uboreshaji zaidi wa ambapo LITA wanatoa taaluma mbalimbali ili wataalamu na vifaa kwenye utafiti. kupata wabobezi wa kwenda kusaidia wafugaji wetu, tungependa tuhame kutoka kwenye uchumi “Tukichelewa kuwekeza vya kutosha tukawapa fursa wa uzalishaji twende kwenye uchumi wa kitaaluma, watu wa kutoka nje kuwekeza tutafanya utafiti kwa tunaamini hilo litasaidia sana,” aliongeza Prof. matakwa yao, COSTECH wametoa fedha kidogo, Gabriel. kwenye baraza la mawaziri kipindi cha nyuma serikali ilisema lazima itenge asilimia moja kutoka Alibainisha kuwa bila kuunganisha utaalam na utafiti kwenye bajeti kuu kwenda kwenye utafiti, je, ni mambo hayawezi kwenda vizuri aidha alisema kweli inatengwa kwa sababu inatakiwa kugawanywa Wizara imejipanga kuhakikisha mageuzi ya kisayansi kwenye kilimo na mifugo,” aliongeza Mhe. Mgimwa. ya mifugo yanafanikiwa

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Mifugo Tanzania(TALIRI)Dkt. Eligy Shirima, akitoa maelezo kwa kamati Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji ambayo ilifanya ziara katika Kituo cha Utafiti wa Mifugo Mpwapwa(LITA) na Ranchi ya Taifa(NARCO), zilizopo mkoani Dodoma. 5 MIFUGOUVUVI

AGENDA ZA UTAFITI SEKTA ZA MIFUGO NA UVUVI KULETA MABADILIKO YA KIUCHUMI NCHINI

izara ya Mifugo na Uvuvi kwa kushirikiana Hivyo, Agenda hii ambayo imezingatia sera ya mifugo na Chuo kikuu cha Sokoine cha Kilimo ya mwaka 2006 kifungu cha 3.12 kinachoelezea WNovemba 16, 2019 walifanikisha uzinduzi wa uibuaji wa teknolojia kutokana na tafiti mbalimbali Agenda za Kitaifa za Utafiti wa Mifugo, Uvuvi na za mifugo, imebainisha vipaumbele muhimu Ukuzaji wa Viumbe Maji ya mwaka 2020-2025. vinavyotakiwa kuzingatiwa wakati wa kuandaa na kutekeleza miradi mbalimbali ya utafiti katika kipindi Uzinduzi huo ulifanyika katika kampasi ya Solomon hiki na pia imezingatia matakwa ya wadau muhimu Mahlangu iliyopo Mazimbu mkoani Morogoro wa sekta hasa wafugaji, wasindikaji, walaji pamoja ambapo mgeni rasmi wa shughuli hiyo alikuwa ni na serikali sambamba na mabadiliko ya sayansi na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mh. Luhaga Joelson teknolojia, tabia nchi, soko, ongezeko la mahitaji ya Mpina akiwa na wasaidizi wake, Naibu Waziri Mh. malighafi za viwanda na mikataba ya kimataifa. , Katibu Mkuu Sekta ya Mifugo, Prof. Elisante Ole Gabriel, Katibu Mkuu Sekta ya Uvuvi, Baadhi ya maeneo ya kipaumbele katika agenda Dkt. Rashid Tamatamah, Wakurugenzi, Wakuu wa mpya ya utafiti wa mifugo, Uvuvi na Ukuzaji Viumbe Taasisi, watumishi na wadau wa wizara ya mifugo na Maji: uvuvi. Kosaafu na teknolojia za mbegu bora za Agenda za Utafiti ni mwongozo wa kufanya utafiti mifugo (Livestock genetics and reproductive unaoonesha vipaumbele vya sekta vinavyotakiwa technologies). kuzingatiwa wakati wa kuandaa na kutekeleza miradi ya utafiti katika kipindi maalumu.

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mh. Luhaga Joelson Mpina akizundua Agenda za Kitaifa za Utafiti wa Mifugo, Uvuvi na Ukuzaji wa Viumbe maji katika hafla iliyofanyika katika kampasi ya Mazimbu mkoani Morogoro hivi karibuni.

6 MIFUGOUVUVI

Vyakula na ulishaji wa mifugo (feeds and feeding Kabla ya Agenda kuhuishwa: systems). Kabla ya agenda mpya ya utafiti wa mifugo kuhuishwa, Afya ya wanyama, magonjwa na afya ya jamii kulikuwa na agenda ya zamani iliyoandaliwa kwa ajili (Animal health, disease management and public ya kutumika katika kipindi cha miaka 10 iliyopita, health). yaani kati ya mwaka 2015 hadi 2025. Hata hivyo Masuala ya tamaduni na uchumi wa jamii (social- baada ya kujitokeza hitajio la maboresho ya agenda cultural and economic aspects). hiyo kutokana na kutokidhi matakwa mapya ya sekta ya mifugo hususan katika kufanikisha mahitaji Uongezaji thamani mifugo na mazao yake (Livestock value addition). ya wafugaji, wasindikaji, walaji pamoja na serikali sambamba na mabadiliko ya sayansi na teknolojia, Masuala ya mtambuka (Cross cutting issues). tabia nchi, soko, ongezeko la mahitaji ya malighafi za Maeneo ya Ukuzaji Viumbe Maji ni pamoja na: viwanda na mikataba ya kimataifa kulijitokeza hitajio la kupitia au kuhuishwa agenda hiyo. Katika uzinduzi Upatikanaji wa chakula bora chenye gharama huo Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mh.Luhaga Joelson nafuu. Mpina alibainisha baadhi ya kasoro zilizokuwepo Upatikanaji wa vifaranga bora kukidhi mahitaji. kwenye agenda za utafiti za awali kuwa ni pamoja Kuongeza tija ya uzalishaji samaki na viumbe na:- maji wengine. Agenda za utafiti zilizokuwepo za Mifugo na Masuala mtambuka. Uvuvi hazikuwa na utaratibu wa kuwaunganisha Watafiti wa Mifugo na Uvuvi nchini, na hivyo Maeneo ya kipaumbele ya utafiti katika Idara ya kupelekea kila mmoja kufanya utafiti kivyake Uvuvi ni pamoja na:- hali iliyosababisha jambo moja kufanyiwa utafiti 1. Uendelevu wa samaki na mazao yake na maeneo na mtafiti zaidi ya mmoja na kukosa jukwaa la ya mazalia na makulia ya samaki na mazingira kuratibu na kuchambua tafiti zinazofanywa yake katika maeneo ya maji ya asili. nchini. 2. Kujua uwingi wa samaki katika maji ya asili. Agenda za utafiti zilizokuwepo za Mifugo na Uvuvi ni pamoja na kutoweka msingi mzuri wa 3. Kuthaminisha mazingira na maeneo ya uvuvi kusimamia Watafiti na kufanya tafiti kulingana na katika maji ya asili. mahitaji ya soko badala yake Taasisi za Utafiti 4. Njia bora na matumizi ya zana rafiki za uvuvi na na Watafiti kufanya tafiti nyingi za nje na mambo mazingira. muhimu ya wananchi yanayohitaji kufanyiwa utafiti kutelekezwa. 5. Masoko na biashara ya samaki na mazao yake.

Wadau wa Sekta za Mifugo na Uvuvi wakimsikiliza kwa makini mgeni rasmi Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina (Mb) (hayupo pichani) wakati akizindua Agenda za Kitaifa za Utafiti wa Mifugo, Uvuvi na Ukuzaji wa Viumbe maji katika hafla iliyofanyika katika kampasi ya Solomon Mahlangu iliyopo Mazimbu mkoani Morogoro hivi karibuni. 7 MIFUGOUVUVI

Agenda za utafiti zilizokuwepo za Mifugo na kuuawa kwa watu na mifugo na kupigwa faini Uvuvi kutojumuishwa katika vipaumbele na kubwa kiasi cha kutishia uendelevu wa sekta masuala mengi muhimu yenye changamoto lakini eneo hili halikujumuishwa katika Agenda nyingi ikiwemo Mitaala na hali ya ajira. ya utafiti iliyopita. Mitaala inapoanzishwa haifanyiwi utafiti wa mara Maelekezo ya Mh. Waziri. kwa mara matokeo yake mafunzo yanayotolewa Akizindua Agenda ya Kitaifa ya Utafiti wa Mifugo, sio yale yanayohitajika katika soko la ajira huku Uvuvi na Ukuzaji wa Viumbe Maji ya mwaka 2020- Wanafunzi wanaohitimu mafunzo hawajulikani wanakwenda wapi baada ya kuhitimu na hakuna 2025, Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mh. Luhaga mfumo wowote wa uratibu. Mpina, alitangaza kuzifumua na kuziibua tafiti zote zilizofanywa na wasomi na kutelekezwa kwenye Masuala mtambuka, afya ya wanyama na makabati miaka ya nyuma na kuziingiza kwenye magonjwa ya afya ya jamii (Zoonotic Diseases) mfumo rasmi wa matumizi ili kuleta mageuzi ambapo hivi sasa asilimia 60 ya magonjwa makubwa ya kiuchumi na maendeleo. yasiyoambukiza yanatokana na mazao ya mifugo, malisho, nyanda za malisho na vyakula Akizungumza wakati wa uzinduzi wa agenda hizo vya mifugo na samaki, uvuvi endelevu katika maji kitaifa katika Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo ya asili (Uvuvi Haramu na utoroshaji wa mazao (SUA), Kampasi ya Mazimbu mjini Morogoro, Waziri ya uvuvi) ambayo nayo hayakuzingatiwa katika Mpina aliziagiza Taasisi ya Utafiti wa Mifugo(TALIRI) agenda za utafiti zilizopita. na Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi (TAFIRI) kubadilika ili Agenda za Utafiti zilizokuwepo za Mifugo na kufanya tafiti kwa vigezo vilivyowekwa na kuleta Uvuvi hazikuwa na utaratibu wa kuweka Kanuni mabadiliko chanya katika sekta za mifugo na uvuvi ambazo zitahakikisha kuwa utekelezaji wa nchini. ajenda za utafiti unafanyika. “Haiwezekani tafiti za wasomi wa kiwango cha juu Masoko na Biashara, Uongezaji wa mnyororo wa kiasi hicho wanazozifanya wakati wa kukamilisha thamani wa mazao ya mifugo na uvuvi (Livestock masomo yao ziishie kupata alama za ufaulu na & Fisheries value chain & value addition), agenda kutupwa kwenye makabati, Leo kila mhitimu iliyopita ilizingatia uzalishaji pekee bila kuangalia atalazimika kuandaa policy brief ambayo itawezesha upande wa soko wakati vitu hivi vinakwenda kwa watumiaji na Serikali kurekebisha au kuandaa Sera pamoja kwani hakuna uzalishaji bila soko. na Sheria” alisema Waziri Mpina. Licha ya kushamiri kwa migogoro ya wafugaji “Agenda ninayoizindua leo inakwenda kujumuisha na watumiaji wengine wa ardhi na eneo hilo watafiti na wataalam mbalimbali waliobobea katika kugubikwa na changamoto nyingi ikiwemo fani za mifugo, uvuvi na ukuzaji wa viumbe maji ili mifugo kutaifishwa, kupigwa risasi, kufilisiwa, kuyapitia matokeo ya utafiti, teknolojia zilizoibuliwa

Wafanyabiashara na wadau wa Sekta ya Uvuvi wakiendelea na shughuli zao kwenye mojawapo ya masoko makubwa ya samaki Feri jijini Dar es Salaam ambapo utekelezaji wa Agenda za Utafiti utasaidia kupata mazao ya uvuvi yaliyo bora na kwa urahisi zaidi na hatimaye kujikwamua kiuchumi. 8 MIFUGOUVUVI

na utafiti na kuzisambaza kwa watumiaji kwa wanafunzi wa Shahada za Uzamili na Uzamivu manufaa ya Taifa” alisema Waziri Mpina. wanaofanya tafiti mahususi zinazolenga kutatua changamoto za vipaumbele kwenye sekta ya mifugo. Waziri Mpina pia aliwahakikishia watanzania kuwa Wizara yake itaendelea kushirikiana na wadau wote Wahitimu wanena. kuhakikisha kuwa matokeo ya tafiti zinazofanywa Eric Samwel ni mhitimu wa shahada ya tiba ya mifugo zinawafikia walengwa kwa wakati ili tafiti hizo kutoka chuo kikuu cha sokoine cha kilimo (SUA), ziongeze tija na kipato kwa watuamiaji na Taifa kwa mwaka 2013, anaipongeza Wizara kwa hatua hiyo ya ujumla. kuhuisha agenda za utafiti na kusema kuwa agenda Ahadi za Watafiti hizo zitasaidia kuongezeka kwa dhana na taswira ya umiliki wa tafiti kwa wahitimu wa shahada za Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha uzamili kutokana na kutambulishwa, kuorodheshwa Kilimo (SUA), Profesa Raphael Chibunda katika na kutumiwa kwa tafiti walizozifanya kwa manufaa uzinduzi huo wa Agenda ya Kitaifa ya Utafiti wa ya umma. Mifugo, Uvuvi na Ukuzaji wa Viumbe Maji ya mwaka 2020-2025 alimhakikishia Waziri Mpina kuwa kwa Mwanafunzi wa shahada ya uzamili 2019,katika niaba ya watafiti wa Chuo kikuu hicho watakwenda tasnia ya ukuzaji viumbe maji kutoka Chuo Kikuu kuwa sehemu ya utekelezaji wa agenda hizo. cha Sokoine cha Kilimo (SUA), Bw.Linus Hoza anakiri kutokutumia mwongozo wa utafiti katika kuchagua Naye Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti eneo la kulifanyia utafiti bali alitumia uzoefu wake wa wa Uvuvi nchini (TAFIRI) Dk. Ismail Kimirei kufanya kazi sana na wafugaji wa samaki na kuona amesema kuwa Taasisi hiyo imejipanga kutekeleza moja ya eneo la mahitaji yao ni uboreshaji wa mbegu viapaumbele vya utafiti kama vilivyoainishwa kwa za vifaranga vya samaki.Kwa wanafunzi wenzake mwaka 2020-2025 ambapo kutakuwa na mpango ambao bado hawajaanza utafiti amewaasa kuzingatia wa muda mfupi na mpango wa muda mrefu. Tafiti maeneo ya viapaumbele kama yalivyoainishwa zilizoainishwa zitachambuliwa kwa kina kuangalia kwenye agenda za utafiti wa mifugo, uvuvi na ukuzaji uhitaji, ulazima na uharaka wa tafiti husika ili ziweze viumbe maji ya mwaka 2020-2025. kuwekwa katika mpango husika. Katika mpango mfupi, tafiti zenye uhitaji wa haraka zitafanyiwa kazi Wataalam watoa neno. kuanzia sasa ili matokeo yake yaweze kupatikana Wataalam kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi mapema iwezekanavyo.Tafiti nyingi zitatekelezwa wamenukuliwa wakisema kuwa kushirikisha wadau kwa ushirikiano na sekta binafsi ambao ndio mdau wa utafiti wa sekta husika na mashirika mbalimbali mmojawapo mkubwa wa matokeo ya tafiti hizo. katika uhuishaji wa rasimu ya agenda ya utafiti Kutoka Taasisi ya Utafiti wa Mifugo Tanzania (TALIRI) wa mifugo, kumeleta mtazamo mzuri wa ushiriki Dkt. Daniel Komwihangilo, mtafiti wa Mifugo Mkuu katika utekelezaji wa agenda hizi za utafiti na hivyo kwa niaba ya Mkurugenzi mkuu ameeleza jinsi kuongeza tija katika maendeleo ya sekta za mifugo Taasisi hiyo ilivyojipanga kutekeleza maelekezo ya na uvuvi nchini. Mh. Waziri wa Mifugo na Uvuvi, kuwa taasisi hiyo Aidha uwepo wa taasisi za serikali za utafiti wa inashirikiana naWizara na Wadau wa Mifugo kuandaa mifugo hususan TALIRI, TAFIRI,TVLA na Vyuo vikuu Kanuni za Utafiti wa Mifugo Nchini za Mwaka 2019 imeongeza chachu ya utekelezaji wa agenda hizi. kwa Mujibu wa Sheria ya TALIRI (Sura 434). Matokeo ya utekelezaji wa agenda hizi yatakuwa Dkt. Komwihangilo anasema pamoja na mambo sanjari na utekelezaji wa vipaumbele vya wizara kama mengine, Kanuni hizo zitawataka watafiti wa ndani ilivyoainishwa katika mipango ya sekta za mifugo na na nje ya nchi wanaofanya utafiti wa mifugo nchini uvuvi na hatimaye kufikia malengo ya maendeleo ya kuzingatia vipaumbele vya kitaifa vilivyoainishwa na mwaka 2025. Sheria pamoja na Agenda ya Utafiti wa Mifugo ya Kwa upande wake Kaimu Mtendaji Mkuu wa Wakala mwaka 2020 hadi 2025. ya Vyuo vya Mafunzo ya Mifugo Nchini (LITA), Dkt. Aidha, Kanuni hizo zitaelekeza watafiti wote wa Pius Mwambene aliahidi kusimamia utekelezaji wa mifugo nchini kuhakikisha kuwa matokeo ya tafiti maelekezo ya Mh.Waziri kuhusu Agenda hiyo na zinazofanyika zinawafikia walengwa hususani kuongeza kuwa katika agenda hiyo, imegusa maeneo wafugaji ili kuongeza tija na kuboresha maisha. muhimu kwa mfano eneo mojawapo la utafiti lililopewa Vilevile, Kanuni zitaelekeza na kusisitiza wajibu wa kipaumbele ni kutathmini ubora na utekelezaji wa Taasisi katika kukusanya na kusambaza kwa wadau mitaala inayotumika kufundishia ili kujua endapo matokeo ya tafiti mbalimbali za mifugo zilizofanyika mitaala hiyo inakidhi mahitaji ya soko katika sekta na zitakazoendelea kufanyika kwa mujibu wa sheria. ya umma na binafsi sambamba na kuwezesha vijana kujiajiri pamoja na kutoa nafasi kwa vyuo kujitathmini Kwa upande mwingine, Kanuni za Utafiti wa Mifugo endapo mafunzo yanayotolewa yanakidhi matakwa zitawataka Wadau wa Maendeleo ya Mifugo pamoja ya wateja na kuwawezesha kujiajiri katika sekta na Wizara ya Mifugo na Uvuvi kufadhili tafiti na husika

9 MIFUGOUVUVI

SERIKALI KUBORESHA ZAIDI MAZINGIRA YA WAVUVI NCHINI

erikali ya Awamu ya Tano ya Jamhuri ya sangara na (iii) kuondoa ukomo wa urefu wa sentimita Muungano wa Tanzania chini ya Mh. Rais Dkt. 85 kwa samaki aina ya Sangara, (iv) matumizi ya SJohn Pombe Joseph Magufuli imeiainisha Sekta ya leseni moja kwa kila eneo la maji ya uvuvi badala ya Uvuvi nchini kuwa mojawapo ya eneo la kimkakati kila Halmashauri kutoa leseni yake ili kuongeza tija katika kukuza uchumi na hasa uchumi wa viwanda. katika uvuvi na biashara ya mazao ya uvuvi. Mapitio Katika kufanikisha hilo, Sekta ya Uvuvi imekuwa haya yamefanyika ili kuliwezesha Taifa kunufaika na ikiongozwa na Sera, Sheria, Kanuni, Miongozo na rasilimali za uvuvi. Taratibu mbalimbali. Mafanikio ya Sekta Wizara hususan sekta ya uvuvi imekuwa ikiboresha Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah mazingira ya uvuvi hata kuvutia ongezeko la wavuvi Ulega amesema serikali itaendelea kuboresha zaidi hadi kufikia wavuvi 202,053 ambao wameajiriwa moja mazingira ya wavuvi nchini ili waweze kunufaika kwa moja na Sekta ya Uvuvi na zaidi ya watanzania kupitia kipato wanachopata kwa shughuli hizo. milioni 4.5 wameendelea kupata kipato cha kila siku kutokana na shughuli zinazohusiana na Sekta ya Akizungumza katika Soko la Samaki la Msasani Uvuvi ikiwemo biashara ya samaki na mazao yake, jijini Dar es Salaam wakati wa maadhimisho ya Siku kuunda na kutengeneza boti, kuuza na kushona ya Mvuvi Duniani Mwaka 2019, inayoadhimishwa nyavu na ukuzaji viumbe maji. Novemba 21 kila mwaka, Naibu Waziri Ulega alielezea jinsi serikali ilivyofanikiwa kwa kiasi kikubwa kufanya Mapitio ya Sheria na Kanuni tathmini na kurekebisha sheria mbalimbali zikiwemo Mazingira ya kazi za uvuvi nchini, yamekuwa tozo ili kuwapatia nafuu wavuvi. yakiboreshwa siku hadi siku kwa kupitia sheria na kanuni ambapo Wizara imefanya mapitio ya Sheria Aidha alisema katika operesheni mbalimbali serikali ya Uvuvi Na. 22 ya Mwaka 2003 na Kanuni zake za kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imefanikiwa mwaka 2009. Kutokana na mapitio hayo, Sheria mpya pia kutokomeza kabisa uvuvi haramu wa kutumia ya Uvuvi na Sheria Mpya ya Ukuzaji Viumbe Maji milipuko pamoja na kudhibiti matumizi ya zana za zitatungwa. Hadi sasa maoni kutoka kwa wadau ya uvuvi zisizotakiwa kisheria ambazo zimefanyiwa kuhusu Sheria hizo yamekusanywa na kuchambuliwa. tathmini na kuonekana kuwa na madhara kwa samaki na mazalia yake. Wizara imefanya marekebisho ya Kanuni nne za Uvuvi ambazo ni (i) kuruhusu matumizi ya nyavu za Aliongeza kuwa kwa sasa serikali imejizatiti pia katika milimita nane (8) badala ya kumi (10) kwa uvuvi wa kuhamasisha wananchi kufuga samaki ili kutosheleza dagaa katika ukanda wa bahari; (ii) matumizi ya soko la ndani ambapo kwa mwaka mahitaji ni wastani nyavu za makila zenye ukubwa wa macho ya kuanzia wa Tani 800,000 ilhali samaki wanaozalishwa nchini ni inchi saba (7) badala ya inchi sita (6) kwa uvuvi wa kati ya Tani 350,000 hadi 400,000.

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega akifanya tathmini ya ubora wa samaki aina ya jodari katika Soko la Samaki la Msasani jijini Dar es Salaam wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mvuvi Duniani inayoaadhimisha Novemba 21 kila mwaka.

10 MIFUGOUVUVI

Aliwaasa pia wananchi wa ukanda wa pwani katika nafasi nzuri zaidi za kuwezeshwa mikopo kuchangamkia fursa ya kufuga kaa, kambakochi na kutoka katika taasisi mbalimbali za kifedha. majongoo bahari ambao wamekuwa na soko kubwa katika maeneo mbalimbali ndani na nje ya nchi Wavuvi wa Jodari zikiwemo hoteli za kitalii. Naye Katibu Mtendaji wa Shirika lisilokuwa la kiserikali la Muungano wa Taifa wa Uvuvi wa Umuhimu wa vyama vya Ushirika Jodari Tanzania Bw. Winfried Haule akizungumza Kwa upande wake Mkurugenzi wa Idara ya Ukuzaji na washiriki wa maadhimisho ya Siku ya Mvuvi Viumbe Maji Dkt. Nazael Madalla akimwakilisha Duniani yanayoadhimishwa Novemba 21 kila mwaka, Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Uvuvi) Dkt. ambapo mwaka 2019 kitaifa yamefanyika katika Soko Rashid Tamatamah wakati akizungumza na baadhi la Samaki la Msasani jijini Dar es Salaam, amesema ya washiriki wakiwemo wavuvi kwenye maadhimisho wamekuwa wakihamasisha wavuvi kuongeza wigo ya Siku ya Mvuvi Duniani yaliyofanyika katika Soko wa kuvua samaki aina jodari pamoja na kuhakikisha la Samaki Msasani jijini Dar es Salaam, amesema wanatunza mazalia ya samaki hao ambao wamekuwa serikali itaendelea kutoa elimu kwa wananchi juu ya na soko kubwa ndani na nje ya nchi. sekta ya uvuvi na kuongeza mapambano dhidi ya Aidha ameiomba serikali kuzidi kuboresha zaidi uvuvi haramu ili kulinda rasilimali za uvuvi. mazingira ya sekta ya uvuvi ili waweze kufikia hatua Dkt. Madala alisema kwa kiasi kikubwa Wizara ya ya kuvua samaki katika kina kirefu ili waweze kupata Mifugo na Uvuvi imekuwa ikiwahamasisha wavuvi samaki wa kubwa zaidi na uhamasishaji wa uwepo kujiunga katika vyama vya ushirika ili iwe rahisi kwao wa viwanda vya kuchakata samaki katika ukanda wa kufanya shughuli mbalimbali kwa pamoja na kuwa pwani

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega (Mb) akikagua mwalo wa Soko la Samaki la Msasani jijini Dar es Salaam mara baada ya kuwasili katika soko hilo kama mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya Siku ya Mvuvi Duniani inayoadhimishwa Novemba 21 kila mwaka.

11 MIFUGOUVUVI

WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI KINARA KUELEKEA UCHUMI WA VIWANDA

izara ya Mifugo na Uvuvi imepongezwa kwa wa usindikaji wa maziwa umeongezeka kutoka kuwa moja ya wizara ambazo ni vinara katika lita 167,620 kwa siku hadi kufikia lita 194,335 kwa Wkusimamia na kutekeleza azma ya serikali ya awamu siku; ya tano kuelekea uchumi wa kati unaotegemea Viwanda vya ngozi viko 13, kati ya viwanda hivyo viwanda kwa kusimamia uanzishwaji wa viwanda vinavyofanyakazi ni 9. Kati ya viwanda 9 kimoja vinavyotegemea malighafi za mifugo. Pongezi hizi (1) kinasindika hadi hatua ya mwisho na vinne (4) zimekuja baada ya mafanikio makubwa kuonekana vinasindika hadi hatua ya kati na vinne (4) vingine katika kipindi hiki cha miaka minne ya serikali vinazalisha bidhaa mbalimbali za ngozi; ya awamu ya tano chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. John Usindikaji wa ngozi hatua ya kati umefikia futi za Pombe Joseph Magufuli. mraba 124,420,000 ngozi kwa mwaka .

Kwa upande wa Sekta ya Mifugo, Serikali imeendelea Viwanda vya kusindika Nyama nchini kuhamasisha Sekta Binafsi kuanzisha viwanda vya vimeongezeka kutoka 25 hadi 33 sawa na nyama na mazao mengine yatokanayo na mifugo ongezeko la viwanda 8. Viwanda vilivyoongezeka hususan katika maeneo yenye mifugo mingi ili ni pamoja na Mitoboto Farms Ltd (Kibaha) chenye kuongeza thamani. uwezo wa kuchinja na kuchakata kuku 3,000 kwa Kuanzia mwaka 2015 hadi 2018/2019 hali ya ushiriki siku; Brich Company Ltd (Ubungo) nguruwe 20 wa sekta binafsi ulikuwa kama ifuatavyo;- kwa siku; Huacheng International Ltd (Dodoma) punda 40 kwa siku; Buibui Investment Ltd Viwanda vya kusindika maziwa nchini (Kibaha) mbuni tano (5) kwa siku; Meat King Ltd vimeongezeka kutoka 82 hadi 99 sawa na (Moshono Arusha) nguruwe tatu (3) na ng’ombe ongezeko la viwanda 17. Aidha wastani wa uwezo saba (7) kwa siku; Zheng He International (T) Ltd

Picha ya pamoja ya baadhi ya Mawaziri na Naibu Mawaziri walioshiriki kwenye mkutano wa mashauriano kati ya serikali na wawekezaji Mkoani Morogoro.

12 MIFUGOUVUVI

(Temeke) tani 3.3 za nyama ya ng’ombe kwa siku; Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega alisema wizara Fang Hua Investment Co Ltd (Shinyanga) punda tayari imeanza matumizi ya mizani katika minada ya 40 kwa siku na GES Company Ltd (Kinondoni) mpakani na upili ili wafugaji waweze kuuza mifugo tani 8 za nyama kwa siku; yao kwa kupimwa uzito badala ya kukadiria hali ambayo imekuwa ikiwafanya wafugaji kutopata faida Viwanda vya kusindika vyakula vya mifugo nchini kulingana na muda na gharama ambazo wanatumia vimeongezeka vimefikia 94 mwaka 2018/2019 kutunza mifugo yao. kutoka 72 mwaka 2017/2018. “Tayari tumeanzisha hili sasa wafugaji wanauza Akizungumza Desemba 4,2019 kwenye mkutano mifugo yao kwa kupimwa uzito, tunataka tufike wa mashauriano kati ya serikali na wawekezaji mahali baada ya kuwa na mizani, ni kuwa na bei Mkoani Morogoro, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri ya nyama kwa kilogramu ili mfugaji aweze kupata Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki, alisema faida kwa kuuza mifugo yake, badala ya kuuza kwa uanzishwaji wa viwanda vya kusindika maziwa ni kukadiria wakati mfugaji anahangaika zaidi ya miaka moja ya vipaumbele katika Ofisi ya Waziri Mkuu minne hadi mitano kutunza mifugo yake.” Alisema jambo ambalo limekuwa likisimamiwa vyema na Mhe. Ulega Wizara ya Mifugo na Uvuvi ambapo viwanda kadhaa vimeanzishwa na vingine vinaendelea kuanzishwa Mhe. Ulega aliongeza kuwa kuhusu maeneo ya vikiwemo vya kuchakata ngozi. malisho ya mifugo, wizara inaboresha sheria ili ardhi iliyotengwa kwa ajili ya ufugaji na malisho ilindwe na Mhe. Kairuki ambaye ni mwenyekiti wa mikutano sheria isiwe rahisi ardhi hiyo kubadilishwa matumizi hiyo iliyofanyika katika mikoa ya Morogoro, Pwani mengine. na Dar es Salaam ikishirikisha wizara 13 wakiwemo mawaziri na naibu mawaziri alisema wizara yake Aidha alifafanua kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano itahakikisha inaendelea kushirikiana na wizara wa Tanzania Mhe. Dkt. amefanya nyingine katika kuweka mazingira bora zaidi ya jambo kubwa kwa kutoa maelekezo ya kutazamwa wawekezaji ili kuanzishwa kwa viwanda vingi zaidi maeneo nchini ambayo yanaweza kutumika kwa ajili hali ambayo itakuza uchumi wa nchi na wananchi. ya ufugaji na kilimo, ambapo Wizara kupitia maeneo Awali akizungumza kwenye mkutano huo Mkoani ya Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO) imetoa Morogoro kuhusu sekta ya mifugo, Naibu Waziri wa kiasi kikubwa maeneo ya malisho kwa wafugaji

Baadhi ya wajumbe walioshiriki kwenye mkutano wa mashaurinao kati ya serikali na wawekezaji Mkoani Morogoro ambapo walipewa fursa ya kuuliza maswali na kutoa maoni yao.

13 MIFUGOUVUVI

wanaoweza kukodi kwa muda mfupi ili mifugo yao Katika sekta ya uvuvi naibu waziri huyo alisema iweze kupata maeneo ya malisho ya uhakika. serikali ina kituo cha muda mrefu cha Kingolwira kilichopo Mkoani Morogoro ambacho kinazalisha Naibu waziri huyo ametoa rai kwa wafugaji na wizara vifaranga vya samaki ambao wanapatikana kwa kushirikiana ili kuhakikisha viwanda vya kusindika bei nafuu zikiwemo pia huduma za kitaalamu, hivyo maziwa kutozalisha bidhaa chini ya malengo kuwataka wananchi kukitumia kituo hicho ili kukuza yao kutokana na uhaba wa maziwa kutoka kwa uchumi wao kwa kufuga samaki kwa kuwa Tanzania wafugaji kwa kuwa ushirikiano huo utaiwezesha inazalisha samaki Tani 350,000 hadi 400,000 lakini wizara kuyafikia masoko na kuwawezesha wafugaji mahitaji ni Tani 800,000 kwa mwaka. kupata huduma ya kuweza kufanya shughuli zao na kusisitiza wafugaji wa Mkoa wa Morogoro kujiunga “Sasa hivi tumeweka mkakati mkubwa wa kuzuia katika ushirika. samaki kutoka nje ya nchi ili wananchi waweze kuchangamkia fursa katika sekta ya uvuvi kwa “Kiwanda cha Tanga Fresh kimefanikiwa kwa kuwa kufuga samaki na kufidia soko lililopelea la Tani kina ushirika na kinamilikiwa na Chama Kikuu cha 400,000 hivyo ni vyema mchangamkie fursa hii.” Ushirika cha Wafugaji wa Ng’ombe wa Maziwa Alisema Mhe. Ulega Mkoa wa Tanga (TDCU) ambacho kina hisa zaidi ya Vilevile, idadi ya viwanda binafsi vya kuzalisha asilimia 40 katika kiwanda hicho wafugaji wa hapa vyakula vya samaki vimeongezeka kutoka vituo vinne Mkoani Morogoro nanyi pia mjiunge katika ushirika (4) mwaka 2015/2016 mpaka viwanda 11 mwaka na viwanda vya hapa visikose malighafi ya maziwa 2018/2019. Vilivyowezesha kuzalisha tani 473.97 za kwa ajili ya kusindika.” Alisema Mhe. Ulega chakula hicho mwaka 2018/2019 ikilinganishwa na Kuhusu uanzishwaji wa viwanda nchini tani 172.4 zilizozalishwa mwaka 2015/2016. vinavyotegemea malighafi ya mifugo Naibu Waziri Kufuatia migogoro ya ardhi kati ya wakulima na Ulega amesema kuna takriban viwanda vitano vya kuchakata nyama vinavyojengwa nchini nzima na wafugaji ambayo ilijitokeza miaka iliyopita Mkuu kwamba uwepo wa viwanda hivyo vitachangia wa Wilaya ya Mvomero Mkoani Morogoro Mhe. matumizi sahihi ya reli ya kisasa (SGR) kwa kuwa Mohamed Utaly aliwaambia wajumbe wa mkutano utakuwepo utaratibu wa reli ya mizigo ambapo huo kuwa migogoro ya namna hiyo imeisha katika pia mifugo itasafirishwa na kuwataka wananchi wilaya hiyo kutokana na juhudi mbalimbali ambazo kuendelea kufanya shughuli mbalimbali za uzalishaji zimefanywa na serikali kwa kushirikiana na wananchi. ili kutumia fursa zilizopo. Mkutano wa mashauriano kati ya serikali na Katika kudhibiti magonjwa ya mifugo, Naibu Waziri wawekezaji Mkoani Morogoro, ambao ulikuwa chini wa Mifugo na Uvuvi akizungumza kwenye mkutano ya mwenyekiti Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu huo wa mashauriano kati ya serikali na wawekezaji (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki, umehudhuriwa Mkoani Morogoro, alifafanua kuwa serikali imefanya na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Mendeleo Mhe. kazi kubwa katika dawa ambapo Kituo cha Kuzalisha , Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Chanjo Tanzania (TVI) katika kipindi cha miaka minne Mhe. Abdallah Ulega, Naibu Waziri Ofisi ya Rais, kimeweza kubaini magonjwa 11 ya kipaumbele Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) ambapo tayari chanjo sita ikiwemo ya ugonjwa wa mdondo ambao umekuwa ukiathiri wafugaji wa kuku Mhe. Josephat Kandege, Naibu Waziri wa Madini tayari zinazalishwa na kupatikana kote nchini. Mhe. , Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Alibainisha pia serikali ya awamu ya tano kuanzia Mussa Sima, Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. mwaka wa fedha 2018/2019 imetoa dawa ya ruzuku Costantine Kanyasu, Naibu Waziri wa Nishati Mhe. kwa majosho yote yanayofanya kazi nchini nzima na Subira Mgalu, Naibu Waziri wa Fedha na Mipango mwaka huu 2019/2020 imeendelea kutoa ili mifugo Dkt. Ashatu Kijaji na Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri iweze kuogeshwa kudhibiti magonjwa na kufafanua Mkuu (Vijana na Ajira) Mhe. Anthony Mavunde. kuwa mkakati wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi ni kufanya ukaguzi wa kila mara kubaini ubora wa dawa Mkutano huo ulihudhuriwa pia na Mkuu wa Mkoa wa za mifugo zilizopo madukani na kwamba itakuwa Morogoro Mhe. Loatha Sanare pamoja na watendaji inadhibiti dawa ili wafugaji wasiendelee kuuziwa kutoka taasisi na mashirika yaliyo chini ya wizara hizo dawa zisizo sahihi na ambazo hazifai kwa matumizi pamoja na wafanyabiashara wa Mkoa wa Morogoro ya mifugo yao.

14 MIFUGOUVUVI

SEKTA YA UVUVI YAJIDHATITI KUINUA UCHUMI Samaki waongezeka, Uvuvi haramu umebaki historia Vizimba vya samaki vimefikia 408, ambapo mwaka 2015 havikuwepo kabisa

ekta ya uvuvi ni moja ya chanzo muhimu cha 26,460 Agosti 2019, pamoja na ongezeko la vizimba upatikanaji wa samaki na mazao yake kwa vya kufugia samaki katika maziwa ya Victoria, Nyasa, Swananchi. Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na na Tanganyika kutoka 0 mwaka 2015 hadi vizimba Uvuvi imeliona hilo kwa kuratibu ipasavyo kazi 408 kufikia Agosti, 2019. za sekta hii ili kufikia mahitaji na matarajio ya wananchi kwa kuondosha umasikini na kuongeza Uvuvi Haramu umebaki historia kipato kupitia uchumi wa viwanda ifikapo 2025. Hivi sasa samaki wakubwa wenye viwango Hilo linajidhihirisha kwa kuangalia uzalishaji wa wanapatikana kutokana na serikali kusimamia na samaki ambao umeongezeka kutoka tani 3,118 za kuondosha suala la uvuvi haramu. Uvuvi haramu mwaka 2015 hadi kufikia tani 16,288 hadi ilipofika umepungua kwa asilimia 75 kwa maji baridi na mwezi Agosti 2019. Hatua hii imefikiwa kwa kupungua kwa milipuko kwa asilimia 99 katika kuongeza idadi ya mabwawa ya kufugia samaki mwambao wa bahari ya Hindi. kutoka mabwawa 21,300 mwaka 2015 hadi kufikia

Katibu Mkuu Sekta ya Uvuvi, Dkt. Rashid Tamatamah akiongea na wadau wa sekta ya uvuvi kwenye moja ya ziara zake za ufuatiliaji wa maendeleo ya sekta ya uvuvi nchini kwenye Wilaya ya Kilwa Mkoani Lindi hivi karibuni.

15 MIFUGOUVUVI

Operesheni na zoezi la ufuatiliaji wa uvuvi haramu wa Uchumi wa Bahari ya Tanzania na Bahari Kuu zimefanyika katika Ziwa Victoria, Ziwa Tanganyika, kutia nanga, kushusha na kupakia mazao ya uvuvi, Ukanda wa Bahari ya Hindi, Bwawa la Nyumba ya na hivyo kutoa ajira na kuchochea uwekezaji. Mungu na Mtera. Pia, kazi hiyo ilihusisha operesheni Aidha,alisema uwepo wa bandari hiyo kutachochea zilizopewa majina Jodari na Operesheni MATT katika uwekezaji kwenye viwanda vya kuchakata samaki na Ukanda wa Pwani, Operesheni Sangara katika kanda kuongeza mchango wa sekta ya uvuvi katika ajira, ya Ziwa Victoria na doria za kawaida lishe na uchumi wa Taifa kwa ujumla.

Serikali yaondoa VAT katika Zana za uvuvi Wakulima wa zao la Mwani wajengewa uwezo

Serikali imewapa nguvu ya kufanya kazi wananchi Jumla ya wakulima 6,995 wamejengewa uwezo kwa wanaojishughulisha na uvuvi kwa kufuta Kodi ya kupatiwa elimu ya kuongeza thamani ya zao la hilo Ongezeko la Thamani (VAT) kwa zana za uvuvi ili hadi kufikia Agosti, 2019 ikilinganishawa na wakulima zipatikane katika soko kwa bei nafuu. 2370 kwa mwaka 2015.

Vifaa na zana zilizofutiwa VAT ni pamoja na injini za Mkurugenzi wa uzalishaji Viumbe Maji, Dkt. Nazael kupachika (outboard engine), nyuzi za kushonea Madalla amesema kutokana na changamoto zilizopo nyavu, nyavu za uvuvi (twines) na vifungashio katika uzalishaji wa viumbe maji wa baharini, mwaka kupitia Sheria ya Fedha ya mwaka 2011 (Finance 2019, jumla ya vifaranga vya Kambamiti 11, 080, 000 Act 2011) na Sheria ya Mamlaka ya Mapato (VAT vimezalishwa, pia uzalishaji wa mwani umeongezeka Act) iliyoanza kutumika tarehe 01 Julai 2015. Vifaa hadi kufikia tani 1,449 mwaka 2019. vingine vinavyohusiana na uvuaji wa samaki ni nyavu ikiwamo Floats for fishing nets HSC 7020.00.10; Fishing Mzee Said Machano, Mwenyekiti wa kikundi cha nets HSC 5608.11.00; na Fishing vessel factory ship ushirika cha wakulima wa Mwani cha Msichoke and other vessels for processing or preserving fishery kilichopo Bagamoyo Mkoani Pwani, kwa niaba product HSC 8902.00.00. ya wanachama wenzake ameishukuru Serikali ya awamu ya tano kwa kutambua jitihada za kujikwamua Aidha, kulingana na taratibu za kodi katoka nchi kiuchumi kwa kuamua kuwapatia mafunzo elekezi wananchama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki “East ya kuongezea thamani ya zao la mwani. Machano African Publication (2007) on Common External anasema kuwa elimu hiyo imewasaidia kutumia zao Tariff”, injini za uvuvi, malighafi zinazotumika hilo la mwani kuzalisha baadhi ya bidhaa ikiwamo kutengeneza zana mbalimbali za uvuvi na viambata sabuni, juisi,biskuti na dawa za tumbo. vyake vinavyonunuliwa kutoka nchi wanachama hupewa punguzo la kodi ama kufutiwa kodi kabisa ili Kufufuliwa kwa TAFICO na Uvuvi wa Bahari Kuu kupunguza bei kwa wavuvi. Katika jitihada za kuendeleza sekta ya uvuvi nchini, Bandari ya Uvuvi kazi inaendelea Mamlaka ya kusimamia Uvuvi wa Bahari Kuu (DSFA) imefanya marejeo ya Sheria na Kanuni zake ili kuvutia Akiongelea ujenzi wa bandari ya uvuvi nchini, Katibu wawekezaji katika Bahari Kuu. Pia, kazi inaendelea Mkuu wa Sekta ya Uvuvi, Dk. Rashid Tamatamah ya kufufua Shirika la Uvuvi Tanzania (TAFICO) 2018 amesema serikali inafanya upembuzi yakinifu wa kwa lengo la kuwezesha nchi kuwa na meli za uvuvi ujenzi wa bandari ya uvuvi. za Taifa (National Fleets).

Dk. Rashid amesema Mtaalamu Mwelekezi Uwepo wa TAFICO utawezesha upatikanaji wa amewasilisha taarifa ya awali (Inception Report) na malighafi (samaki) ambazo zitachochea uwekezaji rasimu ya taarifa ya kina (Interim Report) ambayo katika viwanda vya kuchakata samaki na kuongeza inaonyesha maeneo matatu (Bagamoyo, Kilwa- thamani ya mazao ya uvuvi katika mwambao wa Masoko na Lindi) yanayofaa kwa ajili ya ujenzi wa Bahari ya Hindi, pia kuongeza ajira kwa wananchi bandari ya uvuvi katika mwambao wa Pwani ya Bahari ya Hindi na gharama za ujenzi wa bandari hiyo kwa kila eneo imekamilika.

Amefafanua kuwa uwepo wa bandari ya uvuvi utawezesha meli za uvuvi zinazovua katika Ukanda

16 MIFUGOUVUVI

SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUSIMAMIA MASLAHI YA WAFUGAJI Ni katika ziara ya Makatibu wakuu wa Wizara nne mkoani Mbeya

igogoro baina ya wafugaji Halmashauri tano (5) Ruangwa, hali ambayo imekuwa na wakulima, wafugaji na za Tunduru, Mpanda, ikisababisha migogoro kati ya wahifadhi,M wafugaji na mashamba Biharamulo, Muleba na wafugaji na askari wa Hifadhi ya serikali na watumiaji wengine Kyerwa zimetenga jumla za Taifa (TANAPA), wanaolinda wa ardhi imekuwepo kwa muda ya hekta 199,827.3 kwa ajili hifadhi hizo ambapo baadhi ya mrefu katika mikoa mbalimbali ya malisho ya mifugo na migogoro hiyo imesababisha vifo hapa nchini. Migogoro hiyo hivyo kuondoa migogoro vya wafugaji, askari na mifugo. ya wafugaji na watumiaji imekuwa ikisababisha madhara Akizungumza Novemba 19, wengine wa ardhi nchini. mbalimbali ikiwemo vifo vya mwaka huu wakati wa kuhitimisha binadamu na mifugo, uharibifu Serikali ikiendelea na jitahada za ziara ya siku mbili ya makatibu wa mali na uvunjifu wa amani. kutatua changamoto za wafugaji wakuu kutoka Wizara ya Mifugo Serikali imeendelea na jitihada imewataka wafugaji katika Wilaya na Uvuvi, Wizara ya Mambo ya za kutafuta ufumbuzi wa kudumu za Chunya na Mbarali Mkoani Ndani ya Nchi, Wizara ya Maliasili wa utatuzi wa Migogoro ya ardhi Mbeya kufanya shughuli zao kwa na Utalii pamoja na Wizara ya baina ya wafugaji na watumiaji kufuata sheria na taratibu za nchi Sheria na Katiba, waliozuru baadhi wengine wa ardhi kwa kutekeleza ikiwemo ya kutoingiza mifugo ya maeneo yenye migogoro katika yafuatayo;- katika maeneo ya Hifadhi za wilaya hizo, Katibu Mkuu Wizara Taifa ya Ruaha na Pori la Akiba la ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) Prof. Kuandaa Mkakati wa Kutafuta Ufumbuzi wa Kudumu wa Migogoro ya Wafugaji na Watumiaji wengine wa Ardhi, Timu ya Wataalam imeundwa ambayo inahusisha Wataalam kutoka OR - TAMISEMI; OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora; Wizara ya Mambo ya Ndani; Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Chama cha Wafugaji Tanzania lengo ni kutatua migogoro hiyo hapa nchini; Timu ya Wataalam imeweza kutatua migogoro 27 kati ya 43 sawa na asilimia 62.8; Jumla ya hekta 350,576.05 kutoka katika maeneo ya Kutoka kushoto, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Sheria na Katiba Bw. Amon Vituo vya kupumzishia Mpanju, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Bw. Ramadhan mifugo, Ranchi za Taifa, Kailima, Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) Prof. Elisante Mashamba ya TALIRI na Ole Gabriel na Mkurugenzi wa Idara ya Wanyamapori Dkt. Maurus Msuha Mashamba ya Kuzalisha akimwakilisha katibu mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii wakizungumza na Mifugo (LMUs) zimetengwa wananchi katika Kijiji cha Igunda, wilayani Mbarali na kuwasisitiza serikali ambapo wafugaji watatumia itaendelea kusimamia maslahi ya wafugaji na kuwataka wafuate sheria na kuheshimu mipaka ya hifadhi za taifa na maeneo ya vijiji, wakati viongozi hao kuchungia mifugo yao kwa walipokuwa wakihitimisha ziara ya siku mbili Mkoani Mbeya katika Wilaya za utaratibu maalum wakati wa Chunya na Mbarali kuanzia tarehe 18-19 mwezi Novemba 2019. kiangazi;

17 MIFUGOUVUVI

Elisante Ole Gabriel amewataka askari mgambo mmoja mwaka dola. wafugaji kuacha tabia ya kuingiza 2018 waliouawa na wafugaji Aidha alieleza kuwa kuwa pindi mifugo katika maeneo ya hifadhi wakati wakiswaga ng’ombe mifugo inapokamatwa na askari kwa ajili ya malisho kwa kuwa ni waliokamatwa katika Hifadhi ya wa TANAPA inapobainika kuingia kinyume na taratibu za nchi. Ruaha kuelekea Kambi ya Nyota kwenye maeneo ya hifadhi, wamiliki ya TANAPA iliyopo Wilaya ya “Serikali inawataka wafugaji wote wa mifugo hiyo wanapaswa Mbarali na tukio la hivi karibuni kufanya shughuli zao kwa kufuata kufuata taratibu za kisheria za la Tarehe 11 Mwezi Oktoba 2019 sheria na kutoingiza mifugo katika kulipa faini na kukabidhiwa mifugo la kuvamiwa kwa kambi hiyo na maeneo ya hifadhi za taifa kwa yao na kusisitiza kuwa ni muhimu baadhi ya wafugaji wakiwa na kuwa ni kinyume cha sheria pia kwa wafugaji kujiepusha kuingiza silaha za jadi kwa nia ya kukomboa serikali itaendelea kuhakikisha mifugo maeneo wasiyoruhusiwa mifugo iliyokamatwa katika Hifadhi wafugaji wanafanya shughuli zao yakiwemo ya Hifadhi za Taifa. ya Ruaha hali iliyosababisha kijana kwa amani bila kubughudhiwa ili mmoja wa wafugaji (19) kupigwa “Sisi viongozi wa Wizara za mradi wanafuata sheria na taratibu risasi na askari wa TANAPA na Mifugo na Uvuvi, Maliasili na za nchi ikiwemo ya kutoingiza ng’ombe 14 kuuawa, Katibu Utalii, Mambo ya Ndani ya Nchi mifugo katika mashamba ya Mkuu Prof. Gabriel amewataka na Sheria na Katiba tunasikitishwa wakulima.” Alisema Prof. Gabriel. wafugaji kutotumia njia zilizo halali sana na matukio haya ya mauaji Akizungumza kwa niaba ya kukomboa mifugo iliyokamatwa. kijana mdogo amefariki dunia makatibu wakuu wa wizara hizo, kwa sababu ambazo zingeweza Akizungumza na baadhi ya Prof. Gabriel alifafanua kuwa kuepukika kwa kutaka kumdhuru wafugaji katika Kijiji cha Igunda, kutokana na Tangazo la Serikali askari kwa kutumia silaha za jadi Kata ya Igava Wilayani Mbarali, (GN) Na. 28 la Tarehe 14 mwezi akiwa na wenzake takriban 20 ili katibu mkuu huyo alifafanua kwa Machi mwaka 2008, ambalo kukomboa ng’ombe waliokamatwa wafugaji hao kuwa kutokana liliongeza eneo la Hifadhi ya Taifa ya hifadhini, tunawaomba mjiepushe na sheria na haki za wanyama Ruaha kutoka Kilometa za Mraba na matukio ya namna hii fuateni duniani ni makosa kuua mnyama 5,878 hadi kufikia Kilometa za sheria na taratibu za nchi ili mfuge bila kuwa na sababu za msingi hali Mraba 20,226 hali iliyosababisha bila bughudha.” Amefafanua Prof. iliyosababisha serikali kuchukua eneo la malisho kupungua kutoka Gabriel hatua kwa askari wa TANAPA hekta 259,000 za awali hadi hekta waliohusika Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo 154,000 katika Wilaya za Chunya na Uvuvi (Mifugo) Prof. Elisante na Mbarali ambapo aliwataka kuwataka wafugaji hao kuwa Ole Gabriel akiwaongoza viongozi wafugaji katika wilaya hizo watulivu kwa kuwa suala hilo wenzake katika ziara hiyo akiwemo kuheshimu tangazo hilo wakati linashughulikiwa na vyombo vya serikali ikifanyia kazi maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ya kuainishwa kwa vijiji vilivyopo katika maeneo ya hifadhi ili maboresho yaweze kufanyika kwa maslahi ya vijiji hivyo. Katika ziara hiyo ya makatibu wakuu kutoka wizara nne Mkoani Mbeya uongozi wa TANAPA ulikubali kutengeneza barabara za kuainisha mipaka ya maeneo ya hifadhi na vijiji mara baada ya kuainishwa kwa mipaka mipya kufuatia agizo la Rais Dkt. John Magufuli la kutambuliwa kwa maeneo ya vijiji na hifadhi za taifa ambalo tayari linafanyiwa kazi. Picha ya pamoja ya viongozi wa Wizara na wananchi wa Kijiji cha Igunda, Kufuatia matukio ya mauaji ya wilayani Mbarali wakati viongozi hao walipokuwa wakihitimisha ziara ya siku askari mmoja wa TANAPA na mbili Mkoani Mbeya katika Wilaya za Chunya na Mbarali kuanzia tarehe 18-19 mwezi Novemba 2019. 18 MIFUGOUVUVI

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya serikali kupitia Wizara ya Maliasili ya mkoa kabla ya kufika katika Mambo ya Ndani ya Nchi Bw. na Utalii itahakikisha inatuma timu maeneo mbalimbali kuzungumza Ramadhan Kailima, Naibu Katibu ya wataalam katika maeneo hayo na wananchi. Mkuu Wizara ya Sheria na Katiba ili kuweka alama maeneo ambayo Bw. Amon Mpanju na Mkurugenzi wananchi yanawatatiza kufahamu Aidha Mhe. Chalamila amebainisha wa Idara ya Wanyamapori Dkt. mipaka ya vijiji na maeneo ya kuwa migogoro ya wafugaji katika Maurus Msuha akimwakilisha hifadhi ili kuondoa migogoro kati ya Wilaya za Chunya na Mbarali Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili maeneo ya wakulima na wafugaji ambao wamekuwa wakiingiza na Utalii Prof. na mipaka ya Hifadhi ya Ruaha na mifugo kwenye maeneo ya Hifadhi wamefika pia katika Kijiji cha Pori la Akiba la Ruangwa. ya Ruaha na Pori la Akiba la Lualaje Kata ya Lualaje Wilayani Ruangwa katika Mkoa wa Mbeya Chunya na kuzungumza na baadhi Baadhi ya wananchi katika Wilaya unatokana na wafugaji kuwa na ya wafugaji kufuatia matukio ya za Chunya na Mbarali waliopata mifugo mingi tofauti na maeneo wafugaji hao kuingiza ng’ombe fursa ya kuzungumza wakati wa ya malisho, hali ambayo imekuwa katika Hifadhi ya Ruaha. ziara ya makatibu wakuu kutoka ikiulazimu uongozi wa mkoa Wizara za Mifugo na Uvuvi, Maliasili kutoa elimu kwa wafugaji juu ya Naibu Katibu Mkuu Wizara ya na Utalii, Mambo ya Ndani ya Nchi ufugaji wa kisasa na wenye tija Mambo ya Ndani ya Nchi Bw. na Sheria na Katiba wamesema kwa wafugaji kuwa na ng’ombe Ramadhan Kailima aliwataka wamefurahishwa na ziara hiyo na wachache wanaoweza kuwapatia wafugaji hao kufuata sheria na kwamba watazingatia maelekezo matokeo mazuri. taratibu za nchi na kwamba jeshi waliyopatiwa ili kuhakikisha la polisi litazidi kutoa ushirikiano wanafuga kwa kufuata sheria na Ameongeza kuwa uongozi wa kwa wafugaji hao katika matukio kwamba watashirikiana na serikali Mkoa wa Mbeya utazidi kusimamia mbalimbali yakiwemo ya ili kuwabaini baadhi ya wafugaji na kutoruhusu mifugo kuingizwa kuwabaini baadhi ya wafugaji wanaokiuka sheria na kuingiza katika maeneo ya hifadhi pamoja ambao wamekuwa wakiingiza mifugo katika maeneo ya Hifadhi na maeneo yaliyotengwa kwa mifugo katika maeneo ya hifadhi ya Ruaha na Pori la Akiba la ajili ya uhifadhi wa mazingira ili pamoja na kujihusisha na uhalifu. Ruangwa. kuhakikisha mkoa huo unakuwa na mpango wa matumizi bora ya Naye Naibu Katibu Mkuu Wizara Wakizungumza kwa nyakati ardhi. ya Sheria na Katiba Bw. Amon tofauti wamefafanua kuwa Katika ziara hiyo ya makatibu Mpanju aliwataka wafugaji kuwa wamefurahishwa kwa viongozi watulivu na walitambue Tangazo la hao wa juu kutoka wizarani wakuu wanne Mkoani Mbeya, Serikali Na. 20 la Tarehe 14 mwezi kufika hadi katika maeneo yao na ikiongozwa na Katibu Mkuu Wizara Machi mwaka 2008, ambalo kujionea changamoto mbalimbali ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) Prof. liliongeza eneo la Hifadhi ya Taifa zinazowakabili ikiwemo ya maji na Elisante Ole Gabriel akiambatana ya Ruaha na kupunguza eneo la malisho pamoja na kupata taarifa na Naibu Katibu Mkuu Wizara malisho katika Wilaya za Chunya na za matukio ambayo yamejitokeza ya Mambo ya Ndani ya Nchi Bw. Mbarali hali iliyosabisha baadhi ya katika wilaya hizo kutoka mamlaka Ramadhan Kailima, Naibu Katibu maeneo waliyokuwa wakiyamiliki mbalimbali za serikali wakiwemo Mkuu Wizara ya Sheria na Katiba kubadilishwa matumizi na kuwa viongozi wa serikali, wafugaji Bw. Amon Mpanju na Mkurugenzi ya hifadhi, ambapo suala hilo pamoja jeshi la polisi. wa Idara ya Wanyamapori Dkt. tayari linafanyiwa kazi kwa Maurus Msuha akimwakilisha maelekezo ya Rais Magufuli na Awali kabla ya makatibu wakuu Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na hao kutembelea wafugaji katika kuwataka kutoingiza mifugo Utalii Prof. Adolf Mkenda, ilikuwa Wilaya za Chunya na Mbarali, yao katika eneo la hifadhi hadi na lengo la kupata taarifa sahihi wamefika katika Ofisi ya Mkuu wa serikali itakapotangaza maamuzi ya hali ya wafugaji katika Wilaya Mbeya na kuwa na mazungumzo mengine. za Chunya na Mbarali pamoja na na mkuu wa mkoa huo Mhe. kupata hadidu za rejea ambazo Kuhusu kuainishwa kwa mipaka Albert Chalamila pamoja Kamati wataalam watatumia katika kati ya vijiji na Hifadhi ya Taifa ya ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Ruaha pamoja na Pori la Akiba la Mbeya, ambapo Mhe. Chalamila kufanya mapitio na maboresho Ruangwa, akizungumza kwa niaba amewaambia serikali ya mkoa ya Tangazo la Serikali (GN) Na. 28 la Mwaka 2008 ili iwe shirikishi ya Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili huo itaendelea kufanya kazi kwa na kupata suluhu ya migogoro ya na Utalii, Mkurugenzi wa Idara ya kusimamia sheria na kuwaasa Wanyamapori kutoka katika wizara viongozi wenzake wanapofika wakulima na wafugaji hiyo Dkt. Maurus Msuha amesema mkoani hapo kupata taarifa sahihi

19 MIFUGOUVUVI UPATIKANAJI WA VIFARANGA VYA SAMAKI NA CHAKULA BORA WAWEKEWA MIKAKATI

izara ya Mifugo na Uvuvi kuhamasisha vile vya watu 20.3 kwa mwaka. Hivyo serikali imeweka mikakati ya binafsi kuzalisha vifaranga bora, kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi Wupatikanaji wa vifaranga vingi changamoto nyingine ni chakula imekuwa ikiweka pia mikakati ya vya samaki pamoja na chakula ambapo wapo wanaotengeneza uwepo wa ongezeko la uzalishaji wa samaki hapa nchini lakini pia bora cha samaki sambamba hapa nchini lakini vinakuwa havijafikia ubora unaotakiwa na kuhakikisha samaki wachache na kuendelea kutoa elimu ya wanaozalishwa wanamfikia mlaji ufugaji ili wananchi waweze wengine wanaagiza kutoka nje ya nchi ambapo ni bei ghali, hivyo wakiwa katika hali nzuri. kufuga samaki kwa tija. tunaweka mikakati ya uwepo wa Aidha kuhusu elimu kwa umma, Utekelezaji wa mikakati hii chakula bora na bei nafuu pamoja Katibu mkuu anayesimamia umefanikisha kuongezeka kutoa elimu ya utengenezaji wa kwa idadi ya vituo binafsi vya chakula hicho.” Alisema Dkt. Sekta ya Uvuvi alisema kuwa kuzalisha vifaranga kutoka sita Tamatamah. kupitia Maonesho mbalimbali (6) mwaka 205/2016 hadi kufikia yakiwemo ya Sabasaba na Nane Kuhusu ulaji wa samaki nchini vituo 20 Mwaka 2018/2019. Vituo nane. Wizara ya Mifugo na Uvuvi Dkt. Tamatamah alisema imejikita zaidi katika utoaji wa hivi vimewezesha kuzalisha kulingana na takwimu za Shirika vifaranga vya samaki 21,173,226 elimu kwa wadau katika sekta la Chakula na Kilimo la Umoja wa za mifugo na uvuvi kwa ajili ya mwaka 2018/2019 ikilinganishwa Mataifa (FAO), zinaonesha kuwa kutatua changamoto mbalimbali na vifaranga milioni 18 mwaka kila mtanzania anakula kilogramu 2015/2016. 8.2 za samaki kwa mwaka ilhali zinazowakabili ili kuweza kufuga wastani wa Dunia ni kilogramu kwa tija Uwajibikaji huu unafuatia maagizo ya ilani ya uchaguzi ya ya 2020-2025, ibara ya 27(l) isemayo “Kushirikiana na wadau wa ufugaji samaki ili kuongeza uzalishaji wa samaki kwa kujenga mabwawa ya kufugia samaki na kuongeza uzalishaji kutoka tani 10,000 hadi 50,000 kwa mwaka na kupanua wigo wa ajira kwa vijana’’. Akizungumzia suala hilo, Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Uvuvi) Dkt. Rashid Tamatamah alisema serikali imelazimika kuweka mikakati hiyo kutokana na wananchi wengi kuwa na mwamko wa kufuga samaki kibiashara licha ya kuwepo kwa changamoto ya upatikanaji wa vifaranga bora na chakula kwa bei nafuu. “Kwa mfano mwaka 2018 uhitaji wa mbegu za samaki ulikuwa unafikia takriban samaki Milioni 40 lakini sisi tumeweza kuzalisha Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Uvuvi) Dk. Rashid Tamatamah, kama Milioni 18 kwa hiyo akifuatana na Mkurugenzi wa Idara ya Ukuzaji Viumbe maji Dk. Nazael kuna mikakati ipo kuhakikisha Madalla kwenye ukaguzi wa shughuli za uzalishaji wa vifaranga vya vituo vya serikali pamoja na samaki kwenye kituo cha Kingolwira Mkoani Morogoro hivi karibuni.

20 MIFUGOUVUVI

MAZAO YA WANYAMA KUONGEZEKA ZAIDI YA MARA MBILI MWAKA HUU

akwimu kutoka Shirika la Chakula Duniani na Kudhibiti Magonjwa ya Brusela na Kimeta kwa (FAO) zinaonesha kuwa mwanzo wa milenia Binadamu na Wanyama katika Chuo Kikuu Kishiriki Thii mahitaji ya mazao ya wanyama yalikadiriwa cha Afya Muhimbili MUHAS jana jijini Dar es salaam. kuongezeka zaidi ya mara mbili ifikapo mwaka Katika ripoti ya Benki ya Dunia inaonesha kuwa nchini 2020 ambapo mwelekeo huu wa ulaji wa mazao ya Tanzania miongoni mwa kaya zenye mafanikio zaidi wanyama umeitwa – Mapinduzi katika Ufugaji wa huko vijijini na ambazo zipo katika hatua za kuuaga Wanyama. umaskini, ni zile ambazo zimechanganya shughuli Matokeo ya utafiti wa kitaifa uliofanyika mwaka zake na kujumuisha ufugaji. 2012/13 pia yalionesha kuwa kaya nyingi Mhe. Ulega aliongeza kuwa Vile vile, Tanzania zinategemea wanyama kwa ajili ya kujikimu kimaisha inashikilia nafasi muhimu ya mafanikio ya na shughuli za maendeleo ya kiuchumi, ambapo kujitosheleza katika mahitaji ya vyakula kwa Bara la wanyama wamekuwa ni vyanzo vya moja kwa moja Afrika ifikapo mwaka 2050. vya vyakula kama vile nyama, maziwa, na mayai. Pia wanyama kazi ni nyenzo muhimu katika uzalishaji wa Ni wazi kuwa, Kauli Mbiu ya Siku ya Chakula Duniani mazao wa moja kwa moja katika kilimo kutokana na ya Mwaka Huu “Lishe Bora Kwa Ulimwengu Usio wanyama hao kutoa mboji inayotumika katika kilimo na Njaa” ina maanisha dira ya kuhakikisha kuwa na uzalishaji wa gesi asilia kwa ajili ya kuzalisha wanyama tuwafugao tunawatumia vyema katika umeme au kupikia na hivyo kuzuia au kupunguza kuchangia kwenye uhakika wa kupata chakula na kabisa tatizo la uharibifu wa mazingira. lishe bora pamoja na usalama wa chakula mbali ya mambo mengine. Hayo yalisemwa na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mh. Abdallah Ulega wakati akifungua Mdahalo Waziri Ulega alisema hivi karibuni Wizara imeanza juu ya vyakula vya asili ya wanyama na mchango programu za kudhibiti magonjwa nchi nzima ili wake katika masuala ya afya ya umma na lishe, kuongeza viwango na ubora wa vyakula vitokanavyo kwenye uzinduzi wa Mikakati ya Kitaifa ya Kuzuia na wanyama.

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mh. Abdallah Ulega akizungumza wakati akifungua Mdahalo juu ya vyakula vya asili ya wanyama na mchango wake katika masuala ya afya ya umma na lishe, na uzinduzi wa mikakati ya kitaifa ya kuzuia na kudhibti magonjwa ya brusela na kimeta kwa binadamu na wanyama uliofanyika katika Chuo Kikuu Kishiriki cha Afya Muhimbili (MUHAS) jijini Dar es salaam. 21 MIFUGOUVUVI

Miongoni mwa Programu hizo ni Utoaji wa huduma ambayo itaratibu shughuli za majosho ya wanyama za majosho au dipu kwa ajili ya kudhibiti magonjwa hapa nchini na kuifanya kuwa ni wajibu wa lazima na wadudu kama vile kupe, mbung’o, ndorobo (kwa kwa kila mfugaji. wanyama), ndigana (kwa binadamu), mbu, homa ya bonde la ufa na wengine watambaao juu ya ngozi za Naibu Waziri Abdallah Ulega alisema mwaka wa wanyama. fedha 2018/2019, jumla ya dozi 301,593,730 za chanjo mbali mbali zenye thamani ya shilingi 17,950,088,000 “Mwaka wa fedha 2018/2019, Serikali ilitumia shilingi zilitumika kukinga wanyama dhidi ya magonjwa milioni 300 kununua dawa za majosho ya wanyama makuu 11. lita 9000 ambazo ziligawiwa kwenye majosho 1,409 nchi nzima na hivyo kutoa huduma hiyo kwa Aliongeza kuwa serikali imewekeza juhudi kubwa wanyama wengi kama ng’ombe, kondoo na mbuzi”. katika kuhakikisha upatikanaji wa chanjo na kwa bei Alisema Ulega nafuu ili Kukiwezesha kituo Cha Taifa cha Chanjo (TVI) kupanua wigo wa uzalishaji wa chanjo ambapo Naibu Waziri aliongeza kuwa tayari mwaka wa fedha kampuni ya Hester Biosciences Limited imealikwa 2019/2020 Serikali imeshanunua lita 11,000 za dawa nchini ili kujenga kiwanda cha chanjo hapa Tanzania, hizo kwa lengo hilo hilo ambapo Wizara ya Mifugo na na inaandaa ununuzi mkubwa wa chanjo ambazo Uvuvi imeandaa na kupitia mwongozo wa Matumizi zitawafikia wafugaji huko vijijini kwa bei nafuu na Udhibiti wa Madawa ya Majosho ya mwaka 2019

Sehemu ya wajumbe wa mdahalo juu ya vyakula vya asili ya wanyama na mchango wake katika masuala ya afya ya umma na lishe na uzinduzi wa mikakati ya kitaifa ya kuzuia na kudhibti magonjwa ya brusela na kimeta kwa binadamu na wanyama uliofanyika katika Chuo Kikuu Kishiriki cha Afya Muhimbili (MUHAS) jijini Dar es salaam.

22 MIFUGOUVUVI

SERIKALI KUWAINUA WAVUVI KIUCHUMI KUPITIA VYAMA VYA USHIRIKA uanzisha na kuimarisha vikundi na vyama Hatua hiyo ya Serikali inakuja baada ya wavuvi vya ushirika vya msingi vya wavuvi wadogo kudharauliwa kwa muda wa miaka mingi kutokana wadogoK kwa lengo la kuwakopesha vifaa vikiwemo na shughuli wanayoifanya ambapo taasisi za fedha zana za uvuvi katika maeneo ya mwambao wa ziliwadharau kwamba shughuli zao hazikopesheki na Bahari ya Hindi, maziwa na mito kwa kupunguza wala hawawezi kupewa mikopo huku wachuuzi wa kodi na kuviwezesha vikundi hivyo vikopesheke, mazao ya uvuvi wakiwa ni matajiri wakubwa lakini ni maagizo ya ilani ya uchaguzi ya chama cha wale wanaoingia majini kuvua wameendelea kuwa mapinduzi ya mwaka 2020-2025, Ibara ya 27(a-b). masikini. Katika utekelezaji wa maagizo haya Wizara hadi Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Chama cha kufikia mwezi Agosti, 2019, vyama vya ushirika katika Ushirika wa Wavuvi Igombe Limited Ilemela jijini sekta ya Uvuvi viliongezeka kutoka 86 hadi 113. Mwanza, Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Vyama hivyo vipo katika mikoa ya Dar es salaam (3), Joelson Mpina, alisema Serikali ya awamu ya tano Geita (6), Kagera (14), Kigoma (8), Mara (7), Mbeya chini ya Rais Dk. John Pombe Magufuli imekataa (21), Morogoro (5), Mwanza (25), Njombe (1), Pwani wavuvi na shughuli za uvuvi kudharauliwa tena (10), Rukwa (4), Tabora (7) na Tanga (2). ndio maana inatilia mkazo suala la ushirika na kuwaunganisha na taasisi za kifedha na kuanza Kuanzishwa kwa vyama hivi kutachochea ukuaji wa kukopeshwa. sekta kupitia taasisi za kifedha kwa kutoa mikopo na kuwawezesha wavuvi kuboresha vifaa na zana zao Hivyo Waziri Mpina akasisitiza kuwa sasa Wavuvi ili kuleta tija. Aidha, Serikali kupitia Dawati la Sekta wanatoka kwenye kupuuzwa na kudharauliwa Binafsi la Wizara ya Mifugo na Uvuvi litaunganisha wanaingia kwenye kundi la kuheshimiwa na kupewa vyama hivi na taasisi za ndani na nje zinazotoa heshima inayostahili kulingana na shughuli yao mikopo. ambayo Taifa inaitegemea kukuza uchumi na kuipatia

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Joelson Mpina akizindua ofisi ya Chama cha Ushirika wa wavuvi Igombe Limited, Bugongwa Mkoani Mwanza hivi karibuni.

23 MIFUGOUVUVI nchi fedha za kigeni ambapo mauzo ya samaki Wizara ya Mifugo na Uvuvi kutengeza mkakati wa nje ya nchi yamefikia shilingi bilioni 691 kutoka sh. haraka na kwamba ifikapo Disemba 31 kiwanda cha bilioni 379 mwaka 2018 na kulifanya zao la samaki barafu kizinduliwe rasmi ili uwe ushirika wa mfano wa kuongoza kwa kuipatia nchi fedha za kigeni. wavuvi Tanzania. Pia Mpina amemuomba Mbunge wa Ilemela, Mabula aweke jiwe la msingi la kuanza Pia kutokana na kazi kubwa iliyofanywa na Serikali ujenzi wa kiwanda hicho Novemba mwaka huu kwani ya kukuza sekta ya uvuvi na kuwaendeleza wavuvi na yeye ana mchango mkubwa katika kufanikisha uagizaji wa samaki kutoka nje ya nchi umeshuka kwa uanzishwaji wa ushirika huo. kiwango kikubwa kutoka wastani wa sh. Bilioni 56 mwaka 2017 hadi kufikia sh bilioni 17 mwaka 2019. Kuhusu mabadiliko ya sheria, Waziri Mpina alisema tayari Serikali imeruhusu matumizi ya leseni moja ya “Mwaka huu wa fedha hatutarajii kutumia hata uvuvi kila maji na kuondoa ukomo sangara sentimita senti moja ya kununua samaki kutoka nje kwa 85 sasa kuanzia sentimita 50 na kuendelea huku sababu samaki hao sasa mnavua ninyi na soko lote wavuvi wakiruhusiwa kuvua kwa kutumia nyavu za mnalihudumia hatuna sababu ya kuagiza tena samaki kuanzia nchi sita na kuendelea kwa Ziwa Victoria. kutoka nje ya nchi, Sisi Wizara na wavuvi wangu tunaishukuru sana Benki ya Posta kwa kuunga Katibu wa Ushirika wa Igombe, Dunia Isomba alisema mkono jitihada za wizara hii na jitihada za wavuvi na ushirika huo ulianza na wanachama 22 lakini sasa kazi kubwa wanayoifanya kwa kuwafungulia akaunti wamefikia 46 na walianza na mtaji sh. Milioni 7.5 na maalumu bila masharti yoyote” alisema Mpina. baadaye Wizara ya Mifugo na Uvuvi iliwachangia milioni 10 na Mbunge Dk Mabula milioni 2.5 ambapo Waziri Mpina alisema ushirika huo wa Igombe kwa sasa wanakusudia kuanzisha kiwanda cha kwa sasa una mtaji wa shilingi milioni 20 ambazo barafu, kununua gari la kubeba samaki kwenda zimetokana na mchango wa wanachama wenyewe viwandani na kuanzisha duka la kuwa na zana sh milioni 7.5, Wizara ya Mifugo na Uvuvi Sekta ya za uvuvi zinazoruhusiwa kwa mujibu wa sheria na Uvuvi imewachangia sh. milioni 10 na Mbunge wa kuishukuru Serikali ya Rais Dk. Magufuli kwa namna Ilemela ambaye pia ni Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba ilivyojipambanua kuwasaidia na kuwainua wavuvi. na Maendeleo ya Makazi, Dk. amechangia sh. milioni 2.5. Mbunge wa Ilemela, Dk. Angelina Mabula mbali na Waziri Mpina ameunga mkono mpango wa ushirika kuchangia milioni 2.5 pia aliahidi kuchangia tofali huo wa kujenga kiwanda cha kutengeza barafu na zitazowezesha kuanza ujenzi wa kiwanda cha kumuagiza Mratibu wa Dawati la Sekta ya Binafsi kutengeneza barafu cha ushirika huo

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Joelson Mpina akionesha mfano wa hundi iliyotolewa na mmoja wa wadau ambao ni Wakala ya Elimu ya Mafunzo ya Uvuvi nchini (FETA) kwa ajili ya kuchangia chama hicho cha ushirika.

24 MIFUGOUVUVI

TDCU YAISHUKURU SERIKALI KUKINUSURU KIWANDA CHA TANGA FRESH

erikali imeendelea kuhamasisha Sekta Binafsi Baada ya taarifa za kusuasua kwa uendeshaji wa kuanzisha viwanda vya maziwa na mazao mojawapo ya viwanda vikubwa vya maziwa hapa Smengine yatokanayo na mifugo hususan katika nchini Tanga Fresh, Serikali kupitia Wizara ya Mifugo maeneo yenye mifugo mingi ili kuongeza thamani. na Uvuvi iliamua kufuatilia kwa karibu changamoto hiyo hali iliyolazimu kuunda tume kufanya uchunguzi Kuanzia mwaka 2015 hadi 2018/2019 hali ya ushiriki wa namna kiwanda kinavyofanya kazi ikiwemo wa sekta binafsi umekuwa mzuri ambapo viwanda kuchunguza mtambo unaotumika kusindika maziwa vya kusindika maziwa nchini vimeongezeka kutoka ya muda mrefu ambao unadaiwa umekuwa ukiongeza 82 hadi 99 sawa na ongezeko la viwanda 17. gharama ya uendeshaji ili kukinusuru kiwanda hicho. Aidha wastani wa uwezo wa usindikaji wa maziwa umeongezeka kutoka lita 167,620 kwa siku hadi Akizungumza kwenye ziara katika kiwanda cha Tanga kufikia lita 194,335 kwa siku; Fresh mjini Tanga, kwenye kikao kilichohusisha menejimenti ya kiwanda pamoja na wanachama Kwa hiyo, wafugaji walio wengi hapa nchini katika wa Chama Kikuu cha Ushirika cha Wafugaji wa kipindi hiki cha serikali ya awamu ya tano wamekuwa Ng’ombe wa Maziwa Mkoa wa Tanga (TDCU) ni wenye matumaini makubwa ya kunufaika na mifugo ambacho kinachomiliki asilimia 43 ya kiwanda hicho. waliyonayo kutokana na serikali kupitia wizara ya Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Mifugo na Uvuvi kuonyesha nia ya kuwasaidia na Ulega alisema kuwa serikali itahakikisha inachukua kutatua changamoto zinazowakabili ikiwa ni pamoja hatua kunusuru kiwanda kufuatia ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John na kusimamia uundwaji wa vyama vya ushirika kwa Magufuli alipotembelea kiwanda hicho mwaka 2017 lengo la kuwaunganisha ili kuwa na nguvu ya pamoja na kuahidiwa na menejimenti kuwa usindikaji wa katika kupanga bei na masoko ya mazao yao. maziwa utaongezeka na kufikia lita laki moja kwa siku.

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega akizungumza kwenye kikao cha menejimenti ya Kiwanda cha Tanga Fresh na wanachama wa Chama Kikuu cha Ushirika wa Ng’ombe wa Maziwa Mkoa wa Tanga (TDCU)

25 MIFUGOUVUVI

Katika ziara hiyo Rais Magufuli aliwasaidia wamiliki wakiwemo kutoka Taasisi ya Utafiti wa Viwanda na wa kiwanda hicho kupata hati iliyokuwa imekwama Maendeleo (TIRDO) imeshaundwa ili kubaini hali ya kwa miaka mingi, kuondoa changamoto ya mtambo wa kusindika maziwa. wanahisa juu ya hisa zao na Tume ya Ushindani (FCC) hali iliyosababisha kiwanda kuanza kujitanua Bw. Shigella alifafanua kuwa serikali itachukua hatua na kuongeza uzalishaji wa maziwa ya muda mrefu kwa yeyote atakayebainika kukihujumu kiwanda cha (UHT) ingawa kiwanda kiliamua kuchukua mkopo Tanga Fresh ikiwemo kununua mtambo wa kusindika Benki ya Biashara (NMB), unaoonekana kuwaelemea maziwa usio na tija kwa kiwanda hicho. na kutofanya vizuri tofauti na ahadi yao kwa Rais Magufuli. Nao baadhi ya wanachama wa Chama Kikuu cha Ushirika cha Wafugaji wa Ng’ombe wa Maziwa “Kwanza serikali imebaini manunuzi ya mtambo wa Mkoa wa Tanga (TDCU) wamepongeza hatua kusindika maziwa ya muda mrefu kuwa ni mtambo zilizochukuliwa na Wizara ya Mifugo na Uvuvi pamoja uliyokwishatumika na umenunuliwa kwa zaidi ya na uongozi wa Mkoa wa Tanga kutafuta suluhu ya Shilingi Bilioni Sita, pia riba ya mkopo kuwa ni kubwa namna ya kuboresha Kiwanda cha Tanga Fresh ili na kuwa mzigo, hivyo nimeagiza iundwe tume ambayo kiweze kuongeza uzalishaji na kuwanufaisha wafugaji tayari Mkuu wa Mkoa wa Tanga ameiunda kuanzia ambao wamekuwa wakiuza maziwa katika kiwanda leo kufanya uchunguzi wa mtambo ulionunuliwa hicho pamoja na kutaka kiwanda hicho kiongeze bei ikiwemo fedha ya kununulia mtambo huo na utaratibu ya kununua maziwa kutoka kwa wafugaji hao ambao uliotumika kununulia mtambo.” Alisema Mhe. Ulega hawaridhiki na bei ya Shilingi 700 kwa lita moja. Aidha Mhe. Ulega aliitaka bodi ya wakurugenzi wa kiwanda pamoja na wamiliki wakae pamoja na Benki Kikao kati ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi chini ya Naibu ya Kilimo (TADB) kwa ajili ya kuitaka benki hiyo Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega, kununua deni hilo ili kutoa nafuu kwa kiwanda na uongozi wa mkoa wa Tanga, menejimenti ya kiwanda kuondoa mzigo kwa wafugaji na kuinua kipato chao. cha Tanga Fresh, bodi na wamiliki wa kiwanda kilikubaliana kutekeleza yote waliokubaliana kwa Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Tanga Bw. wakati ili kunusuru hatma ya kiwanda hicho baada Martine Shigella alisema tayari timu ya wataalamu ya kupata hasara kwa miaka mitatu mfululizo

Baadhi ya wanachama wa chama Kikuu cha Ushirika wa Ng’ombe na Maziwa Mkoa wa Tanga (TDCU) wakiwa kwenye kikao kati ya menejimenti ya kiwanda cha Tanga Fresh na wanachama.

26 MIFUGOUVUVI

TPB YAZINDUA WAVUVI AKAUNTI

erikali imesema imedhamiria uvuvi ambazo zitawafanya kupata cha Ushirika wa Wavuvi Tanzania kuhakikisha wadau wa malighafi kwa wingi. (CHAKUWATA), ni muhimu kwa Ssekta ya uvuvi nchini wanapata kuwa huduma ya Wavuvi Akaunti “Ninawaomba wavuvi mfungue itawawezesha wavuvi wengi fursa zilizopo katika sekta Wavuvi Akaunti katika Benki hiyo kwa kutambuliwa katika kuwa na utaratibu wa kutumia ya Posta Tanzania (TPB) huduma za kibenki kwa kuwa kwa mfumo ulio rasmi ili waweze itakuwa rahisi kwenu kupata kuchukua mazao ya samaki sasa wengi wao utumiaji wao wa msaada ili muweze kufanya huduma za kibenki upo chini. yatakayowawezesha kuinua biashara ambapo viwanda sasa vipato vyao. vimeanza kufufuliwa upya, nasi Naye Katibu wa Chama Kikuu Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi tumeagiza kwa sasa samaki wote cha Ushirika wa Wavuvi Tanzania Mhe. Abdallah Ulega alisema wanaozalishwa katika viwanda (CHAKUWATA) Bw. Bakari hayo wakati akishuhudia utiaji vyetu ni lazima wasafirishwe moja Kadabi aliwaomba wananchi saini kati ya Benki ya Posta kwa moja kwenda nchi za nje wote kuungana kutokomeza Tanzania (TPB) na Chama Kikuu kupitia viwanja vyetu vya ndege uvuvi haramu na kuunga mkono cha Ushirika wa Wavuvi Tanzania badala ya kusafirishwa kwenda juhudi zinazofanywa na serikali (CHAKUWATA) na kuzindua rasmi nchi zingine kupitia viwanja vya Wavuvi Akaunti, katika mwalo wa ndege vya nchi jirani.” Alisema kuongeza mnyororo wa thamani Igombe uliopo Wilaya ya Ilemela Mhe. Ulega. kwa wavuvi na vikundi kujiunga jijini Mwanza, ambapo amewataka na chama kikuu ambapo mkataba wadau hao kuhakikisha Kwa upande wake Mkurugenzi huo na TPB utawawezesha wanajiunga na akaunti hiyo ili Mtendaji wa Benki ya Posta wadau wa sekta ya uvuvi kupata waweze kupata huduma za Tanzania (TPB) Bw. Sabasaba elimu ya fedha na kukopeshwa na kifedha zitakazowawezesha zana Moshingi alisema utiaji saini kati benki hiyo kwa ajili ya uendelezaji za kisasa kwa ajili ya shughuli za ya benki hiyo na Chama Kikuu wa kazi zao

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega akishuhudia uzinduzi wa “Wavuvi Akaunti” uliofanywa na Benki ya Posta Tanzania (TPB) baada ya kutia saini makubaliano kati ya Benki hiyo na Chama Kikuu cha Ushirika wa Wavuvi Tanzania (CHAKUWATA). Kushoto aliyevaa suti ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Posta Tanzania (TPB) Bw. Sabasaba Moshingi.

27 MIFUGOUVUVI

NAIBU WAZIRI ULEGA ASHIRIKI MKUTANO WA MAWAZIRI WA AU MJINI ADDIS ABABA aibu Waziri wa Mifugo na na kusimamia na kuweza katika Josefa Correia Sacko Mkuu wa Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega wazo la uchumi wa bahari (Blue Kamisheni ya Afrika ya Kilimo na hiviN karibuni alipata fursa economy), mpango mkakati maendeleo vijijini, ambapo zaidi ya kuhudhuria mkutano wa wa miaka 10 kuendeleza uvuvi ya washiriki 300 kutoka nchi 49 mawaziri wa nchi wanachama mdogo mdogo (small scale za bara la Afrika wanahudhuria wa Umoja wa Afrika (AU) wenye fisheries) na mpango mkakati wa wakiwepo wawakilishi wa dhamana ya sekta za Kilimo, miaka 10 wa kuendeleza sekta mashirika ya kimataifa kama FAO, Mifugo, Uvuvi, Mazingira, Maji ya ukuzaji viumbe maji. Mkutano WWF, Benki ya Dunia na NEPAD na Maendeleo Vijijini uliofanyika huo ulifunguliwa na Balozi Bi. Addis Ababa nchini Ethiopia. Mkutano huo ulioitishwa na Kamisheni ya Afrika kupitia Shirika lake la kusimamia Maendeleo ya Rasilimali za Wanyama Barani Afrika (AU-IBAR), ulifanyika kwa siku mbili mjini Addis Ababa ambapo mbali na mambo mengine mkutano huo ulipokea ripoti na maazimio mbalimbali kutoka kwa wataalam wa sekta hizo ukazijadili, kupitisha na kupeleka Halmashauri Kuu ya AU kwa maamuzi na utekezaji. Moja ya mikakati, ripoti, maazimio na mapendekezo yalijadiliwa na kuridhiwa na baraza hilo la mawaziri wa Umoja wa Afrika (AU) wa Sekta ya Mifugo, Uvuvi, Kilimo, Mazingira na Maji ni ripoti ya miaka miwili ya Tathmni ya Azimio la Malabo (Malabo Declaration) Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega (katikati) akiwa kwenye lenye lengo la kuondoa njaa picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa mkutano huo kutoka Tanzania. katika bara la Afrika ifikapo Mwaka 2025 na ripoti ya Tathmini ya kukabiliana na Majanga ya asili kama mafuriko na ukame. Maazimio na mapendekezo mengine ilikuwa ni ripoti ya hali ya hewa na mabadiliko ya tabia nchi, juhudi za nchi wanachama kuzuia matumizi ya bidhaa za plastiki, mkakati wa kupanda mazao yenye viinilishe vya kutosha na mkakati wa kukabiliana na upotevu wa mazao ya mimea na samaki baada ya kuvuna (Post harvest Loss). Katika kikao hicho, pia kilijadili mkakati wa kupambana na magonjwa na vimelea sugu kwa mifugo, mpango wa kuanzisha maabara za kupima ubora wa chakula katika bara la Afrika, Picha ya pamoja ya mkutano wa mawaziri wa nchi wanachama wa Umoja wa mpango wa pamoja wa kuwa Afrika (AU) wanaohusika na kilimo, mifugo, uvuvi, mazingira, maji na maendeleo vijijini uliofanyika hivi karibuni Mjini Addis Ababa nchini Ethiopia. 28 MIFUGOUVUVI

MAOFISA UVUVI WA HALMASHAURI NCHINI WATAKIWA KUWATEMBELEA WAFUGAJI WA SAMAKI

aibu Waziri wa Mifugo na “Kuna mfugaji wa samaki yupo Kwa upande wake Mkurugenzi Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega sehemu fulani lakini hajui soko wa Shamba la kufuga samaki amewatakaN maofisa wa uvuvi la kuuza samaki wake. Tunataka la Big Fish, Abraham Mndeme wa halmashauri nchini kujenga kujua walipo wafugaji wa samaki aliishukuru serikali kwa kuonesha tabia ya kuwatembelea mara kwa na soko. Hatua hii itasaidia kukuza jitihada za kuwasaidia wafugaji mara wafugaji wa samaki ili kujua uchumi wetu.” Alifafanua Mhe. hao. Ulega wanavyotekeleza majukumu yao “Sina lawama kwa serikali kwa na changamoto zinazowakabili ili Alisema, kwa sasa Serikali sababu imekuwa msaada mkubwa wajue namna ya kuzitatua. imeruhusu samaki hao kuchakatwa kwenye sekta ya wafugaji wa Naibu Waziri Ulega alisema, sekta kwenye viwanda na kumekuwa na samaki, ili kuendeleza sekta hii ya ufugaji wa samaki inakua kwa mwamko mkubwa wa Watanzania katika shamba, tunatoa mafunzo kwa vijana ili wajikite kwenye fani kasi, ambapo ni vyema wadau kuingia kwenye sekta hiyo, hivyo hii. wakatembelewa ili kujulikana lazima iweke mazingira bora ya walipo na namna wanavyofanya kuwasaidia. Awali mkurugenzi wa manispaa shughuli zao za ufugaji. ya Kigamboni Bw. Ng’wilabuzu Mbali na hilo, alisema, kitendo cha Ludigija alimhakikishia Mhe. Ulega Naibu waziri alitoa rai hiyo Serikali kudhibiti uvuvi haramu kuwa manispaa hiyo itakuwa bega hivi karibuni wakati alipofanya na kuweka mazingira bora kwa kwa bega na wafugaji hao akisema ziara ya kutembelea shamba la wafugaji wa samaki kimesaidia wao wana mpango pia wa kujenga kufuga samaki la Big Fish lililopo kupunguza wimbi la uingizaji wa mabwawa kwa ajili ya shughuli manispaa ya Kigamboni jijini Dar samaki waliokuwa wakitoka nchi hiyo es Salaam linalomilikiwa na Bw. mbalimbali. Abraham Mndeme. Katika maelezo yake, Mhe. Ulega alisisitiza kuwa ni lazima maofisa uvuvi hao kufahamu idadi ya wafugaji wa samaki kwa data katika halmashauri husika. “Ofisa lazima ajue pia mfugaji ana bwawa lenye ukubwa gani na kiwango cha samaki anachokifuga na chakula anachowalisha anakitoa wapi? Aliongeza kuwa “Lazima ofisa uvuvi ajenge tabia ya kuwatembelea ili kujua changamoto zao, siyo, mfugaji amfuate yeye ofisini. “Ofisa mfuate anayefuga samaki na kila baada ya miezi mitatu atoe maelezo Wizarani,” alisema Mhe. Ulega. Alibainisha kuwa hatua hiyo itasaidia Wizara kujua idadi ya watu wanaojishughulisha na ufugaji ili kuwaunganisha na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega akikagua shamba wadau mbalimbali kwa ajili ya la kufugia samaki la Big Fish lililopo Kigamboni jijini Dar es Salaam hivi kupata masoko ya kitoweo hicho. karibuni. Kushoto kwa Mhe. Ulega ni Mkurugenzi wa Idara ya Ukuzaji Viumbe maji Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Dk. Nazael Madalla. 29 MIFUGOUVUVI

MAWAZIRI AFRIKA MASHARIKI WATOKA NA MAAZIMIO 42 KUBORESHA SEKTA ZA KILIMO, MIFUGO NA UVUVI aziri wa Mifugo na Uvuvi Tatu, vijana wanaoshughulika na lingine kuwa ni kutambua shughuli Mhe. Luhaga Mpina alishiriki kilimo, mifugo na uvuvi wengi za kilimo, mifugo na uvuvi ziende Wkwenye kikao cha kawaida cha wameshindwa kujiajiri na kuajiriwa sambamba na usimamizi wa Mawaziri wa Kilimo, Mifugo na nchi za Afrika Mashariki zimetoka matumizi ya kemikali hivyo Uvuvi katika Ukanda wa Afrika na azimio la kuandaa mikakati ya kuzitumia kwa umakini ili zisidhuru Mashariki kilichofanyika kwenye vijana kujiajiri na kuajiriwa katika wananchi na mifugo. ukumbi wa mikutano wa Afrika sekta walizosomea za kilimo, mifugo na uvuvi. Nchi zilizoshiriki kwenye kikao Mashariki (EACC) jijini Arusha hicho ni Tanzania, Kenya, Uganda, Septemba 27, 2019 ambacho Aidha, Waziri Mpina alitaja azimio Rwanda na Burundi kilitoka na maazimio 42. Akizungumza mara baada ya kutia saini makubaliano hayo, Waziri Mpina alitaja maazimio manne kati ya 42 ambayo yalilenga kuboresha sekta za Kilimo, Mifugo na Uvuvi. Waziri Mpina alisema, azimio la kwanza ni nchi za Afrika Mashariki kuhakikisha zinazalisha chakula kwa kuongeza uzalishaji na kuweka mikakati itakayowezesha kuwa na uzalishaji wa kutosha na kujitosheleza kwa chakula. Pili, kufanya biashara ya mazao ya chakula mifugo na uvuvi kwa nchi za Afrika Mashariki kuwa na takwimu za kujua kila nchi inafanya nini kwa kuwa na mfumo Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina akitoa tathmini mara baada wa kupata takwimu kwa kutumia ya kusainiwa kwa maazimio 42 kwa nchi za Afrika Mashariki yenye lengo la mfumo wa aina moja. kuboresha sekta za kilimo, mifugo na uvuvi .

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina akiwa kwenye kikao cha kawaida cha Mawaziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi katika Ukanda wa Afrika Mashariki kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Afrika Mashariki (EACC) jijini Arusha hivi karibuni. 30 MIFUGOUVUVI

UVUVI WA KUTUMIA MABOMU UMEBAKI HISTORIA NCHINI

vuvi haramu wa kutumia mabomu umepungua kwa Ukiasi kikubwa kutokana na takwimu kuonesha ndani ya mwaka huu kuwa hakuna tukio lolote lililojitokeza la uvuvi wa kutumia mabomu na hatua hii ni mojawapo ya mafanikio makubwa katika Sekta ya uvuvi nchini. Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mh. Abdallah Ulega aliyasema hayo baada ya kutembelea Mnada wa uuzaji Samaki Kunduchi Jijini Dar es Salaam na kuwapatia fursa wavuvi wa eneo hilo kueleza changamoto wanazokumbana nazo. Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mh. Abdallah Ulega akiongea na wakina Akizungumza katika mnada mama waliofika katika eneo la Mnada wa uuzaji wa Samaki Kunduchi huo Mh. Ulega alisema kuwa Jijini Dar es Salaam ushirikiano uliopo kati ya Serikali na wavuvi ndio chanzo cha haturudi nyuma. Serikali ya awamu Aidha, Mh. Ulega alisema kuwa kutokomeza uvuvi wa kutumia ya tano ipo kwa ajili ya kushirikiana suala la wavuvi kutumia Ringnet mabomu hapa nchini. na wananchi wake”. Alisema Mh. kuvua samaki aina ya dagaa, Ulega. Wizara bado inachukua maoni na “Hakuna mlipuko wa mabomu kuliangalia linavyoweza kuendelea kwa sasa, hivyo, tumefanikiwa Pamoja na hayo Mh. Ulega aliwataka pasipo kuathiri mazingira pamoja kwa kiasi kikubwa kupunguza wavuvi kuwa walinzi kati yao na na mvuvi mwenyewe. ama kutokomeza tatizo hili. Kuna kuhakikisha kila mmoja anafuata watu wamebaki vilema kwa ajili utaratibu na sheria zilizowekwa ili Aidha Mh. Ulega aliwatoa ya mabomu, nanyi mnatakiwa kuondokana na usumbufu. wasiwasi kuhusiana na ukataji mtuunge mkono kuhakikisha holela wa leseni na kisha kutembelea sehemu ya ukataji na kuwaambia Mheshimiwa Rais ameshaifuta hivyo wanaruhusiwa kutumia leseni hiyo waliyoikata kwa wakati kuitumia katika uvuvi sehemu mbalimbali hapa nchini, hivyo ,amewata kufuata utaratibu na sheria katika uvuvi. “Leseni ya uvuvi ni moja ukikata Mkuranga utatamba nayo mpaka Mtwara, ukikata Mtwara utatamba nayo mpaka Lindi mpaka Tanga”. Alisema Mh.Ulega. Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mh. Daniel Chongolo aliwaahidi wavuvi wa eneo hilo kushughulikia suala la Wavuvi wakimsikiliza Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mh. Abdallah ujenzi wa choo ambao utakamilika Ulega baada ya kutembelea mnada wa huuzaji Samaki Kunduchi Jijini kufikia mwezi Desemba mwaka Dar es Salaam kuu mpaka kumalizika ujenzi huo

31 MIFUGOUVUVI

WADAU WATOA MAPENDEKEZO YA KUBORESHA ZAIDI SEKTA YA MIFUGO NCHINI Kamati yaainisha maeneo sita ya uboreshaji sekta

ekta ya mifugo ni sekta Jonas Melewas, alimwambia uzalishaji na tija katika ufugaji muhimu sana katika Katibu Mkuu kuwa mapendekezo mbari za mifugo, mifumo ya Smaendeleo ya viwanda hapa yaliyotolewa na kamati yake ni sita ufugaji, uvunaji, biashara na nchini, kutokana na kuwa mazao ambayo yanatokana na maazimio masoko. yatokanayo na mifugo hutumika 14 yaliyotolewa kwenye kikao cha Akipokea mapendekezo hayo kama malighafi za viwanda. kwanza. Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Hivyo basi ili lengo la sekta la Dkt. Melewas aliyataja Uvuvi (Mifugo) Prof. Elisante Ole kutoa malighafi nyingi na zenye mapendekezo hayo sita kuwa Gabriel alisema wizara itatumia ubora kwa ajili ya kutumika ni: Kusimamia tozo mbalimbali taratibu mbalimbali kuhakikisha viwandani liweze kufanikiwa, ikiwemo ya zao la ngozi na mapendekezo yaliyotolewa na ni lazima mifugo nayo iwe ni kuimarisha usimamizi wa Sheria wastaafu hao na wadau wa yenye afya bora na iliyo kwenye na Kanuni kwa kuboresha sekta binafsi yanafanyiwa kazi mazingira salama. mifumo ya ukaguzi ya uendeshaji, na kwamba Wizara pia inafanya Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo uzalishaji na biashara katika sekta kila jitihada kuhakikisha afya na Uvuvi (Mifugo) Prof. Elisante ya mifugo. ya watanzania inaimarika kwa Ole Gabriel aliyasema hayo hivi kutumia mazao ya mifugo ikiwemo karibuni katika kikao cha kutafuta Aidha Dkt. Melewas alifafanua nyama na maziwa kutoka kwenye maoni na mapendekezo kutoka pendekezo la tatu kuwa ni mifugo isiyo na magonjwa. kwa wadau mbalimbali wakiwemo matumizi sahihi ya dawa za viongozi wastaafu wa wizara uogeshaji, kudhibiti kupe na Prof. Gabriel alisema kuwa asilimia ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo), magonjwa yaambukizwayo na 60 ya magonjwa ya binadamu wataalam na wafanyabiashara kupe, kuzuia usugu na hasara yanasababishwa na mifugo, hivyo kutoka sekta binafsi ili kuboresha kwa wafugaji. Wizara itahakikisha inadhibiti zaidi sekta ya mifugo nchini. magonjwa ya mifugo pamoja na Alibainisha mapendekezo kuhakikisha inasimamia vyema Katika kikao hicho cha kwanza na mengine kuwa ni udhibiti wa soko la mifugo nje ya nchi wadau hao kilichofanyika Oktoba magonjwa ya mifugo, kuongeza 14, 2019 Wizarani kwenye jengo la Mvuvi jijini Dar es salaam, Katibu Mkuu na wadau walijadiliana utaratibu wa kufanikisha azma hiyo ya kuboresha sekta ya mifugo nchini kwa kuunda Kamati na kuandaa maazimio 14. Kamati hiyo yenye wajumbe sita iliyoongozwa na Naibu Katibu Mkuu, Dkt. Jonas Melewas, ilikubaliana kuanza kazi na kuwasilisha mapema Wizarani mara baada ya kukamilika. Kamati hiyo iliwasilisha mapendekezo hayo kwa Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo), Prof. Elisante Ole Gabriel. Akizungumza wakati akimkabidhi Katibu Mkuu Prof. Gabriel mapendekezo hayo katika ofisi Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) Prof. Elisante Ole ndogo za Wizara ya Mifugo na Gabriel (Kushoto), akipokea ripoti yenye mapendekezo sita ya namna Uvuvi zilizopo jijini Dar Es Salaam, ya kuboresha zaidi sekta ya mifugo nchini kutoka kwa Mwenyekiti wa Mwenyekiti wa Kamati Teule Dkt. kamati Teule Dkt. Jonas Melewas

32 MIFUGOUVUVI

TASNIA YA UFUGAJI WA SAMAKI NCHINI YAPIGA HATUA Ndani ya miaka minne Uzalishaji umeongezeka toka tani 3,118 hadi tani 16,288

atika utekelezaji wa wa Taasisi ya ZOETIS A.L.P.H.A Uvuvi Dkt. Rashid Tamatamah maagizo ya ilani ya katika Bara la Afrika Dkt. Gabriel alisema, taasisi hiyo ambayo uchaguziK ya Chama tawala, Varga kupitia Makatibu wakuu wa katika bara la Afrika inafanya kazi ibara ya 27 (l), Wizara ya Mifugo Sekta ya Mifugo na Sekta ya Uvuvi na Taasisi ya Bill and Melinda na uvuvi imefanikiwa kuongeza kwa lengo la kujadiliana jinsi ya Gates (BMGF), malengo yao uzalishaji wa samaki kutoka kushirikiana katika kuboresha na yanafanana na mikakati ya tani 3,118 mwaka 2015 hadi kuendeleza sekta za mifugo na Wizara katika kuhudumia ukuzaji kufikia tani 18,084.606 Agosti uvuvi hapa nchini kupitia taasisi viumbe kwenye maji, hivyo wizara 2019. Ongezeko hili limetokana yake ambayo inatarajia kuanzisha inatarajia katika kipindi cha miaka na kuongezeka kwa mabwawa maabara hivi karibuni katika mikoa miwili au mitatu itafanya kazi na ya kufugia samaki kutoka ya Iringa, Dar es Salaam, Mwanza taasisi hiyo ya ZOETIS A.L.P.H.A. mabwawa 21,300 mwaka 2015 na Morogoro ili kuboresha afya ya katika sekta ya uvuvi. wanyama. hadi kufikia mabwawa 26,460 Kwa upande wa sekta ya Mifugo, Agosti, 2019. Dkt. Varga pamoja na mambo Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Aidha, vizimba vya kufugia samaki mengine, pia aliwaeleza makatibu Uvuvi anayeshughulikia Mifugo katika maziwa ya Victoria, Nyasa, wakuu hao kuwa taasisi hiyo Prof. Elisante Ole Gabriel alisema, na Tanganyika vimeongezeka ambayo kwa sasa inahudumia ili kufuga kisasa ni muhimu kutoka 0 mwaka 2015 hadi kufikia nchi zaidi ya 100 kote ulimwenguni kwa wafugaji kushirikishwa na 408 Agosti, 2019. Hivyo uzalishaji na imekuwa ikiwasaidia wafugaji wataalamu katika kutambua wa samaki unakadiriwa kufikia wa bara la Afrika kwa kuwapatia magonjwa ya mifugo yao na tani 15,000 kwa mwaka. Wizara elimu ya huduma ya wanyama ili kupatiwa elimu ya namna ya kwa kupitia TAFIRI imeandaa waweze kufuga kwa tija. kuwahudumia mifugo. andiko kwa ajili ya kuainisha Akizungumza katika kikao hicho Prof. Gabriel aliongeza kuwa maeneo yanayofaa kwa ufugaji na Mkurugenzi wa Taasisi ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi wa samaki katika vizimba ndani ZOETIS A.L.P.H.A katika Bara la imejipanga vyema katika katika ya ziwa Victoria. Afrika Dkt. Gabriel Varga ofisini kutekeleza majukumu yake kwa Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo kwake Mtumba jijini Dodoma, vitendo ili kuhakikisha matokeo na Uvuvi anayeshughulikia Uvuvi, Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo chanya yanapatikana katika sekta Dkt. Rashidi Tamatamah hivi na Uvuvi anayeshughulikia ya mifugo nchini karibuni alinukuliwa akisisitiza utekelezaji wa shughuli ya ufugaji wa samaki hapa nchini kama ambavyo ilani ya chama cha mapinduzi imeagiza. “Ufugaji wa samaki kwa sasa hapa nchini unapewa kipaumbele katika kuendeleza na kuongeza uzalishaji wa samaki kwa kuwa mahitaji ya ulaji wa samaki yameongezeka kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ya ongezeko la idadi ya watu.” Alisema Dkt. Rashid Tamatamah. Katika jitihada za kuhusisha Makatibu Wakuu wa Sekta za Mifugo na Uvuvi, Prof. Elisante Ole Gabriel wadau mbalimbali katika kufikia (Mifugo) wa nne kutoka kushoto na Dk. Rashid Tamatamah (Uvuvi) wa malengo tarajiwa, hivi karibuni, pili kulia wakiwa na mgeni wao Dkt. Gabriel Varga (wa tatu kulia) na Wizara ya mifugo na uvuvi ilikutana Wakurugenzi wa Wizara wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada na mdau ambaye ni Mkurugenzi ya kumaliza kikao kwenye ofisi za Wizara zilizopo Mtumba jijini Dodoma. 33 MIFUGOUVUVI

WIZARA YAPONGEZWA KWA KUANZISHA KOZI ZA SEKTA YA NYAMA, MAZIWA NA NGOZI NCHINI

anzania inatarajiwa kuwa iliamua kuandaa kozi hizo kwa kiasi kikubwa kuongeza thamani nchi yenye kipato cha kati kushirikisha wadau mbalimbali ya sekta ya ngozi, nyama na Tifikapo 2025 kupitia uchumi likiwemo Baraza la Taifa la Elimu maziwa kwa kuwa wafugaji wa Viwanda ambao azma hiyo ya Ufundi (NACTE). sasa wataongezewa taarifa na maarifa kupitia kwa wataalamu haiwezi kufanikiwa bila kuwa Akielezea umuhimu wa kuandaa watakaohitimu mafunzo hayo. na malighafi bora zikiwemo zile mitaala hiyo, Katibu wa Chama zitokanazo na mazao ya mifugo cha Wafugaji Tanzania Bw. Serikali kwa upande wake ambazo ni nyama, maziwa na Magembe Makoye aliipongeza imewasisitiza wadau kwenye ngozi. Hata hivyo, usimamizi wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa sekta ya ngozi, nyama na maziwa upatikanaji wa malighafi bora kuhakikisha sekta ya mifugo wanaoandaa mitaala kwa ajili unahitaji elimu na ujuzi mahsusi inasimamiwa vyema kupitia ya vyuo kufundisha kozi fupi katika eneo husika. mambo ya kisera na kisheria katika sekta hizo ngazi ya cheti Hayo yalibainishwa hivi karibuni pamoja na kutunga kanuni mpya na diploma kupitisha mitaala na Wizara ya Mifugo na Uvuvi zenye lengo la kuhakikisha sekta bora itakayohakikisha wanafunzi kupitia Wakala ya Vyuo vya Elimu ya mifugo inathaminiwa zaidi. watakaohitimu mafunzo wanaleta ya Mifugo nchini (LITA) baada matokeo chanya katika sekta Bw. Makoye alisema, sekta ya ya utafiti na kubaini mahitaji ya hizo kwa wananchi na taifa kwa mifugo ambayo imeajiri watu kozi fupi katika ngazi ya cheti na ujumla. nchi nzima kupitia mafunzo diploma kwa ajili ya wataalam yatakayoanza kutolewa vyuoni Akizungumza Jijini Dodoma wa usimamizi wa sekta ndogo za mara baada ya kupitishwa kwa wakati akifungua kikao nyama, maziwa na ngozi ambapo mitaala hiyo kutachangia kwa kilichowahusisha wadau katika

Katibu wa Chama cha Wafugaji nchini Bw. Magembe Makoye akiongea kwenye kikao cha wadau wa sekta ya ngozi, nyama na maziwa kujadili umahiri wa mitaala ya sekta hiyo ngazi ya cheti na diploma jijini Dodoma.

34 MIFUGOUVUVI sekta za ngozi, nyama na maziwa Aidha Prof. Gabriel aliwataka wadau, hivyo Wizara ikashirikisha kutoka serikalini na taasisi binafsi wadau hao kubainisha njia bora taasisi mbalimbali likiwemo Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo za kufundishia mara baada Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Uvuvi anayeshughulikia ya kupitishwa kwa mitaala (NACTE) ili kukamilisha mitaala Mifugo Prof. Elisante Ole Gabriel hiyo ili kuhakikisha wanafunzi hiyo. alisema, ili kupata malighafi bora watakaodahiliwa wanaelewa Dkt. Mwilawa alifafanua kuwa zinazotokana na sekta ya ngozi, vizuri pamoja na kuwa na utaratibu mara baada ya kukamilika kwa nyama na maziwa ni lazima mzuri wa kuwapata watu ambao taratibu za kuandaa mitaala hiyo wataalam ambao wamesomea wanafundishika na wawe tayari vyuo vya serikali kwa kushirikiana sekta hizo ngazi ya cheti na kupokea mafunzo hayo. na binafsi vitaanza kutekeleza diploma wawekewe mazingira ya Akibainisha juu ya jamii kuwa kwa kutoa mafunzo ya tasnia ya kuhakikisha wanatumia utaalamu na ufugaji wenye tija, Katibu ngozi, nyama na maziwa katika watakaoupata kupitia vyuo Mkuu aliwaasa wadau wa ngazi ya cheti na diploma. mbalimbali baada ya kupitishwa mifugo kujenga utamaduni wa kwa mitaala hiyo ili iwe na tija kwa Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa kuwatumia wataalam hususan wa taifa. kushirikiana na wadau wa sekta ya ngazi ili waweze kufuga kisasa ngozi, nyama na maziwa pamoja “Mitaala mnayokwenda kupitia na na kunufaika kupitia mifugo yao na taasisi mbalimbali likiwemo kuzungumzia lazima ijibu mahitaji badala ya kufuga kwa mazoea na Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi ya wadau katika sekta tatu yaani, hatimaye kupata hasara. (NACTE) inapitia mitaala kwa nyama, maziwa na ngozi, isiwe Kwa upande wake, Mkurugenzi ajili ya kuanzishwa kwa kozi fupi kuwa na cheti baada ya kuhitimu wa Utafiti, Ugani na Mafunzo ngazi ya cheti na diploma katika mafunzo ngazi ya cheti au diploma kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi sekta hizo kwenye vyuo vya hawa wataalamu wa ngazi ya Dkt. Angello Mwilawa alisema serikali na binafsi ili kuyaongezea kati ndiyo wanaotegemewa mjadala wa kuandaa mitaala kwa thamani zaidi mazao ya ngozi, kwenda kufanya kazi za vitendo. ajili ya kufundisha vyuoni kozi fupi nyama na maziwa kwa kuwa na Hakikisheni mnapata mitaala katika ngazi ya cheti na diploma waatalamu wengi zaidi ngazi ya ambayo itakuwa na manufaa.” kwenye kwenye sekta ya ngozi, kati waliobobea katika sekta za Alisema Prof. Gabriel nyama na maziwa ulitoka kwa ngozi, nyama na maziwa

Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) Prof. Elisante Ole Gabriel akiwa kwenye picha ya pamoja na wadau wa sekta ya ngozi, nyama na maziwa mara baada ya kufungua kikao kujadili umahiri wa mitaala ya sekta ya nyama, ngozi na maziwa.

35 MIFUGOUVUVI

TAFIRI YAZINDUA MRADI WA UFUATILIAJI ASIDI BAHARINI

ekta ya Uvuvi ni miongoni (NaFIRRI-Uganda) ulifanyika Kuongezeka kwa wastani mwa sekta za kiuchumi mwezi Septemba hadi Oktoba wa urefu wa Sangara kutoka Sambazo ni muhimu katika 2018. Miongoni mwa matokeo ya sentimeta 16 mwaka 2017 kuondoa umasikini na kukuza utafiti huu ni pamoja na:- hadi kufikia sentimeta 25.2 mwaka 2018. uchumi wa Taifa kwa ujumla. Kuwepo kwa ongezeko la Sekta hii ina mchango mkubwa Sangara kutoka tani 417,936 Kwa ujumla matokeo haya katika kuwapatia wananchi mwaka 2016 hadi kufikia tani yanaonesha kuongezeka kwa ajira, chakula, lishe, kipato na 553,770 mwaka 2018; Sangara ziwani sambamba na fedha za kigeni. Katika mwaka kuongezeka kwa Sangara wazazi Kupungua kwa Sangara 2018, Sekta ya Uvuvi ilichangia na kupungua kwa Sangara wenye urefu wa chini ya asilimia 1.71 katika pato la wachanga ikilinganishwa na sentimita 50 kutoka asilimia Taifa na imekua kwa asilimia mwaka 2017. Ongezeko hili ni 96.6 mwaka 2017 hadi kufikia 9.2. Aidha, samaki huchangia matokeo ya doria na operesheni asilimia 62.8 mwaka 2018; takriban asilimia 30 ya protini dhidi ya uvuvi haramu katika Ziwa inayotokana na wanyama. Kuongezeka kwa Sangara Victoria. Aidha, ongezeko hili la Wizara kupitia Taasisi ya Uvuvi wenye urefu wa kuanzia Sangara wakubwa linawanufaisha Tanzania (TAFIRI) imefanya utafiti sentimita 50 hadi 85 kutoka wavuvi, wenye viwanda na wa kujua rasilimali za uvuvi asilimia 3.3 mwaka 2017 hadi wafanyabiashara ya mabondo katika Ziwa Victoria kwa kutumia kufikia asilimia 32.0 mwaka kwa vile sangara wenye urefu wa teknolojia ya Hydro-acoustic 2018; na zaidi ya sentimita 85 hutoa minofu survey kwa kushirikiana na Taasisi na mabondo makubwa ambayo Kuongezeka kwa Sangara za Kenya Marine and Fisheries yana thamani ya juu katika soko. wenye urefu wa juu ya Research Institute (KMFRI- sentimenta 85 kutoka asilimia Katika kuendelea na jitihada za Kenya) na National Fisheries 0.4 mwaka 2017 hadi kufikia utafiti, Wizara imezindua mradi Resources Research Institute asilimia 5.2 mwaka 2018; na wa ufuatiliaji wa asidi baharini katika Pwani ya Tanzania ili kulinda rasilimali za uvuvi ziweze kuwa endelevu ambapo mradi huo utawezesha kuweka boya maalum umbali wa mita 50 chini ya Bahari ya Hindi katika Kisiwa cha Mbudya ili kufuatilia ubora wa maji katika Bahari ya Hindi hadi mwaka 2024. Akizungumza jijini Dar es Salaam wakati uzinduzi wa mradi wa Ufuatiliaji wa Asidi Baharini katika Pwani ya Tanzania, mtaalamu wa uvuvi kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi Dkt. Hamisi Nikuli akimwakilisha Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Uvuvi) Dkt. Rashid Tamatamah wakati wa kikao na wadau wa uvuvi katika Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania (TAFIRI), alisema Mtaalamu wa uvuvi kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi Dkt. Hamisi Nikuli kuwa boya hilo pia litafuatilia akimwakilisha Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Uvuvi) Dkt. mwenendo wa shughuli za Rashid Tamatamah wakati wa kikao na wadau wa uvuvi katika Taasisi ya kibinadamu zinazoongezeka Utafiti wa Uvuvi Tanzania (TAFIRI) kwenye kikao cha mradi wa Ufuatiliaji ambazo zinachangia uchafuzi wa Asidi Baharini katika Pwani ya Tanzania. wa maji, madhara ya matumizi 36 MIFUGOUVUVI ya plastiki, kilimo kinachochafua mazingira pamoja na ongezeko la hewa ya ukaa kwa kuwa mambo yote hayo yanachangia madhara kwa samaki na uharibifu wa mazalia yake. Aliongeza kuwa ili kukabiliana pia na uvuvi haramu, Wizara ya Mifugo na Uvuvi ipo kwenye mchakato wa kufanya marekebisho ya sheria na kanuni za uvuvi ambapo wizara inatengeneza sheria mpya ya ukuzaji viumbe kwenye maji ili kulinda rasilimali za uvuvi na Mtafiti Mkuu wa mradi wa Ufuatiliaji wa Asidi Baharini katika Pwani ya kuzifanya ziwe endelevu kwa Tanzania kutoka TAFIRI Dkt. Ismael Kimirei (kulia) akitoa maelezo kwa vizazi vya sasa na vijavyo. mtaalamu wa uvuvi Dkt. Hamisi Nikuli (katikati) aliyemwakilisha Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Uvuvi) Dkt. Rashid Tamatamah na Kwa upande wake aliyekuwa aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu TAFIRI Dkt. Semvua Mzighani Kaimu Mkurugenzi Mkuu TAFIRI (kushoto) namna boya litakalowekwa baharini karibu na Kisiwa cha Dkt. Semvua Mzighani alisema, Mbudya litakavyokuwa likikusanya taarifa mbalimbali ikiwemo ya wingi kupitia mradi huo unaofadhiliwa wa asidi baharini. na Taasisi ya Western Indian Ocean Marine Association (WIOMSA), boya hilo litasaidia kwa kiasi kikubwa taasisi yake kuwa na uwezo wa kupata taarifa za mara kwa mara juu ya mwenendo katika Bahari ya Hindi ikiwemo ya wingi wa asidi. Dkt. Mzighani aliongeza kuwa kupitia mradi huo Tanzania itakuwa na uwezo wa kuwa na taarifa ya namna Bahari ya Hindi inavyoweka mikakati ya kukabiliana na hewa ya ukaa tatizo ambalo limekuwa kubwa Baadhi ya wadau wa uvuvi waliohudhuria kikao cha mradi wa Ufuatiliaji kote duniani na hivyo kuamua pia wa Asidi baharini katika Pwani ya Tanzania kilichofanyika katika Taasisi kuwashirikisha wadau wakiwemo ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania (TAFIRI) kujadili namna ya kuondokana na wavuvi ili kulilinda boya hilo pindi wingi wa asidi iliyopo baharini inayosababishwa na ongezeko la hewa ya litakapowekwa baharini kwa ajili ukaa. ya kutoa taarifa mbalimbali

Wadau wa uvuvi waliohudhuria kikao cha mradi wa Ufuatiliaji wa Asidi baharini katika Pwani ya Tanzania katika picha ya pamoja mara baada ya kikao hicho kilichofanyika katika Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania (TAFIRI).

37 MIFUGOUVUVI

VIWANDA VINAVYOTUMIA MALIGHAFI ZA MIFUGO KUTAMBULIWA ILI KUFIKIA UCHUMI WA KATI

erikali imewataka maafisa mifugo wote nchini ya serikali kuhakikisha viwanda vya malighafi za katika maeneo yao ya kazi kufuatilia idadi mifugo vinafanya kazi na kutaka maafisa hao wa Sya viwanda vinavyotumia malighafi ya mifugo mifugo kushirikiana na maafisa kutoka Taasisi ya ambavyo vinafanya kazi pamoja na ambavyo Biashara, Viwanda na Kilimo (TCCIA) katika kubaini havifanyi pamoja kufahamu changamoto zake changamoto mbalimbali zinazovikabili viwanda ili ziweze kutafutiwa ufumbuzi na viwanda hivyo hivyo. vianze kufanya kazi kuendana na azma ya serikali “Kwa kushirikiana na ofisi ya mkuu wa Mkoa ya kufikia uchumi wa kati unaotegemea viwanda wa Manyara umuliki wa mitambo lazima uweze ifikapo Mwaka 2025. kufahamika kisheria umekaaje na kuhakikisha Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) viwanda ambavyo vimekuwa vikichakata mazao Prof. Elisante Ole Gabriel aliyasema hayo hivi karibuni ya mifugo vinafanya kazi ili mnyororo wa mazao ya katika Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara wakati mifugo uendelee kufanya kazi na kufikia uchumi wa alipotembelea kiwanda cha kuchakata mazao ya kati ifikapo 2025 kupitia viwanda.” Alisema Prof. mifugo cha “Rotiana Social Investment” ambacho Gabriel. kwa sasa hakifanyi kazi na baadhi ya mitambo yake Kuhusu kiwanda cha kuharibika na vifaa vingine kudaiwa kuibwa na baadhi Rotiana Social Investment chenye eneo la ekari 12,500, Prof. Gabriel aliutaka ya watu waliokuwa wakikisimamia kiwanda hicho. uongozi wa Mkoa wa Manyara kuendelea kufuatilia Prof. Gabriel alisema, lengo la Wizara ya Mifugo kwa kina umiliki wa ardhi wa eneo hilo kisheria na Uvuvi ni kuhakikisha inasimamia vyema azma kutokana na kiwanda hicho kutofanya kazi baada ya

Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) Prof. Elisante Ole Gabriel akiagua baadhi ya mitambo iliyopo katika kiwanda cha Rotiana Social Investmant ambapo baadhi ya mitambo imeharibiwa.

38 MIFUGOUVUVI

kununuliwa na Taasisi ya Ilaramatak Lorkornei na Alisema, katika kipindi chote mara baada ya kiwanda Stitching Her Groen Wout vya nchini Uholanzi na hicho kusimama kufanya kazi amekuwa akihakikisha kufunguliwa kiwanda mwaka 2011 ambapo kwa sasa mali za kiwanda hazizidi kuibwa au kuharibiwa na hakifanyi kazi. baadhi ya watu. Katibu Mkuu huyo aliutaka pia uongozi wa Mkoa wa Kwa upande wake, Katibu Mtendaji wa TCCIA Mkoa Manyara kufuatilia kwa kina umiliki wa mitambo hiyo wa Manyara Bibi Mwanahamisi Hussein alitoa wito kisheria na hatimaye kiwanda hicho ambacho kina kwa makatibu wenzake wa mikoa na wilaya kuzidi uwezo wa kuchinja ng’ombe zaidi ya 300 kwa siku kutoa ushirikiano kwa serikali na sekta binafsi na kujikita kuangalia fursa na changamtoto zilizopo pamoja na mifugo mingine wakiwemo mbuzi kiweze ili kuweza kuzitatua zikiwemo za wafugaji na kufanya kazi baada ya taratibu za kisheria kukamilika. kuhakikisha jamii inapata faida kutokana na yale Bibi Mary Kisyoki ambaye aliwahi kuwa mmoja wa wanayoyasimamia. viongozi wa Shamba la Rotiana linalomiliki kiwanda Aidha aliishukuru Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa cha Rotiana Social Invetment aliushukuru uongozi kuweza kufuatilia masuala mbalimbali kwa na wa Mkoa wa Manyara na TCCIA katika kufuatilia kuyafanyia kazi yale ambayo yamekuwa yakifikishwa kiwanda hicho ambapo alisema kupitia Serikali katika wizara hiyo likiwemo la kutofanya kazi kwa ya awamu ya tano ataendelea kusimamia ukweli kiwanda cha Rotiana Social Investmant suala ambalo ambao amekuwa akiusimamia katika kulinda mali za amekuwa akilisimamia ili kuhakikisha kiwanda hicho kiwanda hicho na kuhakikisha zinasimamiwa vyema kinafahamika umiliki wake na hatimaye kiweze na hatimaye kiweze kufanya kazi. kufanya kazi

Sehemu ya nje ya kiwanda cha kuchinja mifugo cha Rotiana Social Investment kilichopo Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara ambacho kwa sasa hakifanyi kazi baada ya kutelekezwa.

39 MIFUGOUVUVI

Jarida hili la Mtandaoni hutolewa na

Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Mifugo na Uvuvi, S.L.P. 40487, Dodoma,Tanzania Tovuti: www.mifugo.go.tz

40