Online Edition

JARIDA LA WAKALA WA HUDUMA ZA MISITU

Toleo Na. 1 Okt - Des, 2016

Hifadhi ya Mazingira Asilia Amani Mfano wa Uhifadhi Shirikishi nchini

Serikali yapiga marufuku usafirishaji holela wa mazao ya misitu Uk. 7

Imetolewa na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania, S.L.B 40832 Dar Es salaam, Tanzania Simu: +255 22 286 4249; Nukushi +255 22 286 4257; Barua pepe: [email protected]. Website: www.tfs.go.tz CHUMBA CHA HABARI Yaliyomo Uk. Wahariri: Glory Mziray 1. Kutokakwa Mtendaji Mkuu, Wakala Wa Huduma Za Misitu Hamza Temba Tanzania...... Uk. 3 Lusungu Helela 2. Viongozi wakuu wa Wizara ...... Uk.4 Sera ya Uhariri: Madhumuni ya jarida hili la MISITU NI 3. Hifadhi ya mazingira asilia Amani mfano wa uhifadhi MALI ni: shirikishi nchini...... Uk.5

(i) Kuhabarisha na kuelimisha wadau 4. Serikali yapiga marufuku usafirishaji holela wa mazao kuhusu masuala yanayohusu Misitu ya Misitu ...... Uk. 7 na Nyuki. 5 . Sao Hill injini ya maendeleo nyanda za Juu kusini...... Uk. 8 (ii) Kuwa jukwaa la mawasiliano baina ya watumishi na Wadau wa Misitu na 6. TFS yatoa miche ya miti 8,600 kwenye kampeni ya Nyuki. upandaji miti Dsm ...... Uk. 11 7. TFS yaimarisha kivutio cha utalii cha Mto (iii) Kufafanua sera za Taifa za Misitu na Kalambo...... Uk. 12 nyuki. 8. Msitu wa Magamba wapanda Isipokuwa pale ambapo itakatazwa kuwa Hifadhi ya Mazingira Asilia...... Uk. 14 makala za MISITU NI MALI zinaweza kunukuliwa kwa kutambua chanzo hiki 9. Mwongozo wa uvunaji endelevu na Biashara ya (acknowledgement). Mazao ya Misitu...... Uk.16

Limetolewa na: 10. Nishati mbadala mkombozi wa misitu Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania nchini...... Uk.18 Mpingo House, Barabara ya Nyerere S.L.B 40832 Dar Es salaam, Tanzania 11. Serikali kutatua migogoro maeneo ya Hifadhi Simu: +255 22 286 4249; Nukushi +255 22 kwa kutumia mbinu shirikishi ...... Uk.21 286 4257; Barua pepe: [email protected]. Website: www.tfs.go.tz 12. TFS kuanzisha hifadhi za Nyuki na Msitu Manyoni ...... Uk. 23

13. Hifadhi ya mazingira asilia Mkingu kivutio cha Utalii nchini ...... Uk. 25

14. Shamba la Miti la Shume linavyowanufaisha Wananchi Wilayani Lushoto...... Uk. 27

15 . Serikali ya Tanzania na Zambia zasaini makubaliano ya kulinda misitui...... Uk. 28

16. Mlima Rugwe, Umuhimu wa Hifadhi Asilia y...... Uk. 29

17. TFS yakamata lori likisafirisha mbao kinyume cha sheria jijini Dar es Salaam...... Uk. 31

18. Masharti ya usafirishaji wa vinyago nje ya nchi...... Uk. 32 Wizara ya Maliasili na Utalii Kutoka kwa Mtendaji Mkuu vya maji, ardhioevu na bioanuwai. ya Misitu ambazo zina madhumuni ya kuendeleza, kumiliki kisheria na kuwa na Ni Jambo linaloeleweka vizuri kuwa matumizi endelevu ya rasilimali za misitu rasilimali ya misitu ina umuhimu mkubwa kwa kushirikisha wadau mbalimbali. Pia katika ustawi wa jamii na maendeleo Miongozo, Kanuni, Matangazo ya Serikali ya Taifa. Inakadiriwa kuwa sekta hii na Maagizo ya Kiutawala huandaliwa inachangia hadi asilimia 3.5 kwenye pato au hufanyiwa mapitio na kusambazwa la Taifa. Aidha, shughuli mbalimbali katika nyakati mbalimbali ili kufafanua zinazofanywa katika maeneo ya misitu utekelezaji wa Sheria na Programu ya Taifa huchangia kupunguza umaskini miongoni ya Misitu katika kuhifadhi na kusimamia mwa jamii ya Watanzania. Misitu pia ni rasilimali za misitu kwa ufanisi na ufasaha chanzo muhimu cha nishati kwa kuwa zaidi. Ndugu wasomaji, napenda nitumie asilimia 95 ya nishati nchini hutokana na fursa hii kuwasalimu na kuwakaribisha mimea. Hivyo mchango wa sekta hii katika Kutokana na changamoto mbalimbali katika jarida letu la Misitu ni Mali ikiwa ustawi wa jamii nchini unaweza kufikia ambazo zilijitokeza kwenye shughuli za ni mara ya kwanza toka niteuliwe kuwa takribani asilimia 20. uvunaji na biashara ya mazao ya misitu, Kaimu Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Wizara ya Maliasili na Utalii ilidhibiti Huduma za Misitu Tanzania (TFS). Aidha Pamoja na umuhimu wake katika uvunaji wa baadhi ya miti au baadhi ya napenda kutumia fursa hii kutambua kuchangia pato la taifa na uhifadhi wa mazao ya misitu katika vipindi tofauti mchango wenu wa dhati katika mazingira, baadhi ya misitu iliyohifadhiwa kwenye miaka kati ya 1995 na 2000 kwa usimamizi na uhifadhi wa rasilimali na isiyohifadhiwa inaendelea kuvamiwa lengo la kutathmini rasilimali iliyopo. Vile za misitu na nyuki kwa maendeleo kwa ajili ya kilimo, malisho ya mifugo, vile kutokana na tathmini hizo, Mwongozo endelevu ya taifa letu. makazi, uvunaji holela wa mazao wa Uvunaji endelevu na Biashara ya mbalimbali, uchimbaji madini usiojali Mazao ya Misitu wa kwanza uliandaliwa Kupitia toleo hili, napenda nizungumzie hifadhi ya mazingira na uchomaji moto. mwaka 2007. umuhimu wa uhifadhi wa rasilimali za Kasi kubwa ya uvunaji wa miti kwa ajili misitu ikiwa ni pamoja na muongozo ya magogo, mbao, nguzo na mkaa katika Mapitio ya mwongozo wa 2007 wa uvunaji endelevu. Natoa wito kwa mikoa yote nchini, inapelekea uharibifu yamefanyika ili kukabiliana na wadau wote wa uhifadhi wa rasilimali mkubwa wa mazingira. Hivyo jamii changamoto zinazojitokeza na hivyo za asili kutupatia ushirikiano wa dhati ikumbuke kuwa kwa kufanya uharibifu kupatikana kwa mwongozo wa mwaka kabisa ili kuhakikisha malengo ya Wakala huu thamani ya misitu yetu hupotea au 2015. Utaratibu madhubuti unapaswa yanafikiwa. kupungua, hivyo kukosa faida zitokanazo kufuatwa ambao umewekwa katika na uwepo wa rasilimali hiyo. uvunaji na biashara ya mazao ya misitu Kama wengi wetu tunavyofahamu, nchi na kuainisha mikakati ya kuimarisha yetu ya Tanzania ina eneo la kilomita Wakati Wakala ukiendelea kupambana usimamizi wa rasilimali ya misitu ya asili za mraba 94,500 sawa na hekta milioni na uharibifu unaoendelea maeneo ili kudhibiti uvunaji usio endelevu. Sehemu 94.5. Kati ya hizo, takriban hekta milioni mbalimbali, takwimu zinaonyesha kuwa ya Muongozo huo ipo katika Ukurasa wa 48 zinabeba uoto na misitu ya aina kuna ongezekeko kubwa la mahitaji ya 16 Na muongozo mzima unapatikana mbalimbali. Kwa mfano, kati ya hekta hizo mazao ya misitu nchini. Kwa mfano, tafiti katika tovuti ya TFS www.tfs.g.tz na tovuti milioni 48, takribani hekta milioni 28 ni zimeonesha kuwa ongezeko la ujazo wa ya Wizara ya Maliasili na Utalii www.mnrt. misitu ya hifadhi na vyanzo vya maji, ardhi- miti kwa mwaka kutoka katika misitu go.tz. oevu na bioanuai. Uoto mwingine wa yote ya uzalishaji ni meta za ujazo milioni misitu uliobaki ambao unafikia takribani 42.8 Wakati huohuo matumizi ya miti Mwisho nitoe wito kwa wale wote ambao hekta milioni 20 ni misitu iliyo kwenye katika mwaka 2013 yalikadiriwa kufikia bado wanaendelea kufanya uharibifu miliki za vijiji pamoja na mataji wazi. meta za ujazo milioni 62.3, hivyo kuwa na wa misitu yetu aidha kwa kuvuna, upungufu wa meta za ujazo milioni 19.5. kuchunga mifugo au shughuli nyingine Misitu hii inajumuisha misitu Upungufu huu wa mahitaji au uvunaji wa zisizoruhusiwa kuacha mara moja. Hatua iliyohifadhiwa kwa ajili ya uvunaji ziadi ya kinachoruhusiwa kuvunwa kwa kali zitachukuliwa dhidi ya makundi haya na iliyopo kwenye maeneo ambayo mwaka ni kichochezi cha uharibifu katika kwa mujibu wa sheria na taratibu zilizopo. hayajahifadhiwa kisheria. Kwa mujibu wa misitu yetu na hasa ile isiyohifadhiwa kwa Sheria ya Misitu namba 14 Sura 323 ya mujibu wa sheria. Uhifadhi endelevu unawezekana, kila mwaka 2002 hairuhusiwi kuvuna miti au mmoja atimize wajibu wake. Sera ya Taifa ya Misitu inatekelezwa kufanya shughuli za kibinadamu kama Prof. Dos Santos Silayo ufugaji katika misitu ya hifadhi ya vyanzo kupitia Sheria na Programu ya Taifa Mtendaji Mkuu - TFS

Wakala wa Huduma za Misitu 3 Wizara ya Maliasili na Utalii Viongozi Wakuu wa Wizara

Prof. Waziri

Eng. Ramo Makani Maj. Gen. Gaudence Milanzi Naibu Waziri Katibu Mkuu

Eng. Angelina Madete Naibu Katibu Mkuu Menejimenti ya Wakala wa Huduma za Misitu

Emmanuel W. Kioboko Zawadi Mbwambo Prof. Dos Santos Silayo, Mohamed I. Kilongo Peter Mwakosya MKURUGENZI WA HUDUMA MKURUGENZI WA USIMAMIZI MKURUGENZI WA MIPANGO MKUU WA KITENGO ZA UENDESHAJI WA RASILIMALI ZA MISITU MTENDAJI MKUU NA MATUMIZI CHA UHASIBU

David Mng’ong’o Antony Gasper Mrema Festo Washa MENEJA - KITENGO CHA MKUU WA KITENGO CHA MENEJA - KITENGO CHA SHERIA UKAGUZI WA NDANI UGAVI NA MANUNUZI

4 Wakala wa Huduma za Misitu Wizara ya Maliasili na Utalii Hifadhi ya mazingira asilia Amani mfano wa Uhifadhi shirikishi shughuli hizo,” anasema.

Anaongeza: “Watu binafsi pia wananufaika na hifadhi hiyo kwa kuwekeza katika hoteli zinazowapatia kipato. Wananchi pia wanaotembeza watalii katika hifadhi hiyo wananufaika na ajira ambapo huchukua asilimia 60 ya mapato ya kutembeza watalii, asilimia 20 ikibaki katika hifadhi na asilimia 20 nyingine ikienda kwenye vijiji vinavyozunguka hifadhi hiyo.”

Sousa anasema kuna vivutio vingi vya utalii vilivyohifadhiwa vizuri ikiwemo misitu ya asili na wanyama mbalimbali Kituo cha Taarifa katika Hifadhi ya Mazingira Asilia Amani. Nyumba hii ilitumika na Kingozi wa Kituo kama vile kima wa bluu, mbega weupe cha Treni cha Mjerumani miaka 1904. na weusi, nyoka, vinyonga pembe tatu, vipepeo na ndege wa aina mbali mbali HIFADHI ya Mazingira Asilia hivyo wameelimishwa na kuuelewa ambao baadhi yao husafiri umbali mrefu Amani iliyopo wilayani Muheza umuhimu wa hifadhi hiyo ambayo ina kutoka barani Ulaya kwa ajili ya kukimbia na Korogwe, ikiwa ni kilomita 64 faida kubwa kwao, kwa serikali na kwa baridi kali na kuzaliana katika hifadhi kutoka Tanga mjini, ndiyo hifadhi wananchi wote wa mkoa wa Tanga. hiyo. Anaongeza: “Mfumo huo umesaidia kongwe kuliko hifadhi asilia zote kuimarisha uhifadhi katika msitu huo “Vivutio vingine vilivyopo katika nchini ambayo ilitangazwa rasmi ambapo matukio ya moto yamedhibitiwa kwenye gazeti la serikali mwaka kwa kiasi kikubwa ikiwa na pamoja na hifadhi hiyo ni maporomoko ya maji 1997. shughuli za uharibifu wa mazingira kwa ambayo ni Derema, Chemka, Ndola ujumla.” na Pacha. Pia kuna vivutio vya vilele Amani yenye ukubwa wa hekta 8,380 vya milima kama Kiganga, Ngua, ni moja kati ya maeneo ya mfano Sousa anaelezea faida za hifadhi hiyo ya Makanya, Mbomole na Kilimahewa. yaliyohifadhiwa vizuri nchini kwa Amani kwamba imekuwa chanzo kikuu Ukiwa katika vilele hivyo unaweza kutumia mfumo wa ushirikiano baina cha maji yanayotumika katika Jiji la kuona Mji wa Korogwe na Jiji la ya Serikali na wananchi wanaoishi na Tanga ambapo vyanzo vyake vinapeleka Tanga kwa juu,” anasema. kuzunguka katika hifadhi hiyo. Ofisa maji katika mto Zigi unaopeleka Misitu Mkuu wa Hifadhi hiyo, Angyelile maji hayo Jijini la Tanga. Vijiji vyote Sousa anasema Serikali kupitia Wakala 21 vinavyozunguka hifadhi hiyo pia wa Huduma za Misitu (TFS) imeingia vinanufaika na maji hayo. Anasema kuwa makubaliano ya kuhifadhi msitu huo na faida nyingine inayopatikana katika vijiji 21 vinavyozunguka hifadhi hiyo. hifadhi hiyo ni mchango wa asilimia 20 ya Vijiji vinne kati ya hivyo ni Shebomeza, mapato yanayotokana na utalii ambayo Mlesa, Chemka na Mikwinini ambavyo yanatolewa kwa vijiji 21 vinavyopakana vimo ndani ya hifadhi hiyo asilia. na hifadhi hiyo kwa ajili ya kusaidia katika shughuli za maendeleo za vijiji hivyo. Anasema katika mfumo huo, kila kijiji kimeunda kamati ya uhifadhi wa “Katika sehemu ya makubaliano mazingira ambayo inashirikiana kwa hayo, wananchi wa vijiji jirani karibu na uongozi wa hifadhi hiyo wanaruhusiwa kuokota kuni kavu, kwenye shughuli za uhifadhi ikiwemo ulinzi wa rasilimali zilizomo. matunda, mbogamboga pamoja na dawa za miti shamba. Wananchi “Kwa kiasi kikubwa makubaliano kati wanaruhusiwa kuingia hifadhini kwa umbali wa mita 100 kutoka Kima wa Rangi ya Bluu (Blue Monkey) ambao ya TFS na vijiji yamekuwa na manufaa wanapatikana katika Hifadhi ya Mazingira makubwa kwa kuwa wananchi wa vijiji maeneo yao ya vijiji kwa ajili ya Asilia Amani.

Wakala wa Huduma za Misitu 5 Wizara ya Maliasili na Utalii

Sousa anasema kivutio kingine ambacho ni cha kipekee katika hifadhi hiyo ni aina ya ua linaloitwa “Saintpaulia” ambalo lina rangi ya zambarau.

Upekee wa ua hilo ambalo linatumika kama nembo ya hifadhi hiyo, ni kuwa likipandwa sehemu nyingine yoyote duniani hubadilika rangi yake ya asili. Tafiti mbalimbali zimefanywa ikiwemo kujaribiwa kupandwa nchini Ujerumani na kutoa majibu ya kubadilika kwa rangi yake ya asili. “Kivutio kingine katika hifadhi hiyo ni mashine ya kusaga unga iliyokuwa ikitumia nishati ya nguvu ya kusukumwa na maji ya mwaka 1986 katika kijiji cha Kisiwani na mtambo wa kuzalisha umeme kwa kutumia maji iliyotumiwa na wakoloni wa Kijerumani katika kijiji cha Chemka,” anasema.

Sousa anazungumzia aina za utalii katika hifadhi hiyo kuwa ni utalii wa picha, Moja ya vyura aina ya Usumbara (Leptopelis vermiculatus) ambao wanaopatikana katika Hifadhi ya kuangalia ndege na viumbe hai usiku, Mazingira Asilia Amani pekee. utalii wa kiutafiti, utalii wa kiutamaduni na utalii wa kupanda Milima. “Kwa upande wa gharama za kutembelea hifadhi ya Amani kama kiingilio kwa mtalii mmoja kutoka nje ya nchi ni dola 10 za Marekani na Mtanzania ni Sh 10,000. Kwa upande wa gharama za watembeza watalii wa nje ni dola za Marekani 15,” alisema.

Kuhusu idadi ya watalii wanaotembelea hifadhi hiyo, Ofisa Misitu wa Hifadhi, Isack Bob Matunda anasema: “Mwaka wa fedha 2015/16 jumla ya watalii 545 walitembelea hifadhi hii ambao waliingiza kipato cha Sh milioni 50.

Anasema kuanzia mwezi Julai hadi Agosti katika mwaka huu wa fedha, watalii 121 wameshatembelea hifadhi hii na mapato ambayo yameshapatikana ni Sh milioni 7.3. Akizungumzia changamoto katika hifadhi hiyo, Sousa anasema changamoto ni shughuli za uchimbaji wa madini kwenye vyanzo vya maji, uharibifu wa Sehemu ya maporomoko ya maji katika hifadhi ya Msitu wa asili ya amani iliyopo Wilayani Muheza misitu ikiwa ni pamoja na uchomaji moto Mkoani Tanga ambayo imekuwa kivutio kwa watalii wanaotembelea eneo hilo. katika ukanda wa chini na miundombinu mibovu ya barabara zinaoingia katika hifadhi.

Vinyonga aina ya pembe tatu (three hornes chameleon) ambao hupatikana katika hifadhi ya Mazingira Asilia Amani tu.

6 Wakala wa Huduma za Misitu Wizara ya Maliasili na Utalii Marufuku kusafirisha mazao ya Misitu kiholela

Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) imepiga marufuku usafirishaji wa mazao ya misitu bila ya kufuata taratibu za kisheria zilizowekwa. Aidha Serikali imetoa onyo kali kwa watakaohusika na hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam hivi karibuni, Mtendaji Mkuu wa TFS, Profesa Dos Santos Silayo, alisema katazo hilo linahusisha usafirishaji wa magogo kwenda nje ya nchi, magari Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Prof. Dos Santos Silayo (kushoto) kubeba mbao yakiwa yamefunikwa, akizungumza na Waandishi wa habari (hawako pichani) Jijini Dar es Salaam hivi karibuni juu ya utaratibu wa kusafirisha mazao ya misitu. Kushoto ni Mkurugenzi wa Mipango na Matumizi Endelevu pikipiki na baiskeli kubeba mkaa kutoka ya Rasilimali za Misitu wa TFS, Mohammed Kilongo. sehemu moja hadi nyingine iwe mijini au vijijini. Silayo. Mkuu, hiyo ikiwa ni pamoja na kubana Kuhusu utaratibu alisema “Ni marufuku uvunaji holela wa mazao ya misitu. Prof. Silayo alisema kuwa uamuzi huo kusafirisha mazao ya misitu usiku, kama ni moja ya mkakati wa TFS kuhakikisha mtu ana vigezo vyote tunavyovihitaji “Tumeanza kutekeleza maagizo wanaboresha makusanyo ya maduhuli kusafirisha mazao ya misitu anatakiwa ya Waziri Mkuu, tayari tumeanza stahiki ya rasilimali za misitu na kuwabana kuyasafirisha kuanzia saa 12 asubuhi wakwepa kodi ambao wamekuwa mpaka saa 12 jioni, ikipita hapo, weka kutumia mashine za kielektroniki wakiikosesha Serikali. pembeni gari mpaka asubuhi”. za malipo yaani EFD kwenye vizuizi vyetu vya Mikoa ya Dar Alisema moja ya majukumu ya TFS, ni Mtendaji Mkuu huyo alisema TFS ina es Salaam, Pwani na Morogoro kuhakikisha inasimamia rasilimali za Mameneja wa Misitu katika Wilaya misitu ili zisaidie katika uchumi wa taifa zote nchini, ambao hufanya kazi kwa na tutaendelea kusambaza kwa kizazi cha sasa na kijacho, hivyo ni kushirikiana na Maofisa Watendaji wa maeneo mengine mara tu TRA lazima wananchi wafahamu kuwa ni kosa vijiji kwenye kutoa vibali vya kuvuna watakapokamilisha kuweka kuvuna hovyo misitu na bidhaa zake bila miti inayostahiki kuvunwa kisheria na programu yao ya malipo, Aidha vibali. kutoa risiti. watumishi wetu katika vituo vyote Mtendaji huyo alisema kila zao Alisema risiti hizo pamoja na vigezo vya ukaguzi wanatoa huduma linalotokana na misitu ni lazima lilipiwe vingine vilivyowekwa ikiwemo ya ukaguzi wakiwa sehemu ya ushuru stahiki na kukatiwa risiti, hivyo Usajili, Leseni ya Biashara, Namba ya wazi kama Polisi wa Usalama kukwepa kufanya hivyo kwa kutumia Utambulisho wa Mlipakodi (TIN) na Hati njia mbalimbali zilizokatazwa ni kuvunja ya Kusafirisha Mazao ya Misitu humfanya barabani” alisema. sheria za nchi na kuiibia serikali mapato. mfanyabiashara kuruhusiwa kuendelea na biashara ya mazao ya misitu nchini Alisema lengo la TFS kuweka vizuizi “Mazao ya misitu, ikiwemo mkaa bila kubughudhiwa. hivyo sio kukamata rasilimali za misitu baada ya kuvunwa bali ni kuzuia misitu ni kosa kuuzwa na kusafirishwa Profesa Silayo alisema, TFS inaendelea isiharibiwe na kuendeleza uhifadhi kama bila ya kuwepo kwa vibali na na majukumu yake kwa ufanisi ikiwa lengo la msingi la taasisi hiyo, na pale risiti. Muuza mkaa lazima awe ni pamoja na kutekeleza maagizo inapotokea uharibifu kufanyika vizuizi na risiti, na wewe mnunuzi yaliyotolewa hivi karibuni na Mhe. Waziri hivyo hutumika kukagua na kukamata tukikukamata na gunia la mkaa Mkuu, , alipozungumza rasilimali hizo ili kuongeza maduhuli ya Serikali kwa mujibu wa sheria. huna risiti utawajibika, Tunataka na watumishi wa wizara hiyo. kuhakikisha maduhuli ya mazao Baadhi ya maagizo hayo ilikuwa Prof. Silayo alisema wanakabiliwa na ya misitu yanakusanywa ili kupunguza vizuizi vya ukaguzi wa mazao changamoto kadhaa ikiwemo uhaba kupata matumizi endelevu ya ya misitu barabarani. Prof. Silayo alisema wa vitendea kazi hususan magari rasilimali hizo, hivyo biashara hii TFS inafanya utafiti kubaini ni vizuizi na watumishi. “Changamoto hizo zinatafutiwa ufumbuzi ili sekta ya misitu ya miti, mkaa na mazao ya nyuki gani vitolewe na vipi viboreshwe kwa kuzingatia maelekezo ya Mhe. Waziri itoe mchango stahiki kwenye pato la inatakiwa iwe wazi” Alisisitiza Prof.

Wakala wa Huduma za Misitu 7 Wizara ya Maliasili na Utalii taifa” alisema. Sao Hill: Injini ya maendeleo Nae Mkurugenzi wa Mipango na Matumizi ya Rasilimali za Misitu wa TFS, Mohammed Kilongo, alisema takwimu ya Nyanda za Juu kusini zinaonyesha asilimia 94 ya kaya zote nchini zinatumia nishati inayotokana na miti kama nishati kuu.

“Mahitaji ya miti ni mita za ujazo 62.3 huku uwezo wa uzalishaji ukiwa ni mita za ujazo 42.8 hivyo uharibifu wa misitu unafikia hekta 372,000 kwa mwaka sawa na asilimia 1.1 ya eneo lote lenye miti,” alisema bwana Kilongo.

Alisema kwa takwimu hizo, miti na misitu nchini imekuwa ikipungua kwa kiasi kikubwa na kusababisha uhitaji wa hekta mpya 185,000 za misitu inayotakiwa kupandwa maeneo mbalimbali ya nchi Sehemu ya kitalu cha miche ya miti aina ya Misindano ambacho kipo katika Kituo cha Ilundi ndani ya Shamba la Miti Sao Hill. Kitalu hicho kina jumla ya miche milioni tatu kwa ajili ya kupandwa katika kila mwaka. shamba hilo na mingine kupewa wananchi wa vijiji vinavyozunguka shamba kuhamasisha upandaji miti na uhifadhi wa mazingira. “Upungufu huu ni kichocheo cha Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Katika shamba hilo Jumla ya hekta uvunaji haramu na holela ndani ya Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania 55,617.22 zimepandwa miti aina ya misitu ya hifadhi, mapori ya akiba (TFS) ina jukumu la Kuanzisha na misindano na mikaratusi, hekta 48,200 ni kusimamia mashamba ya miti na maeneo ya misitu ya asili ambayo sehemu na hata ndani ya hifadhi za taifa manzuki za Serikali kuu, Kuna jumla kubwa ni kwa ajili ya vyanzo vya maji, hivyo suala la kuilinda ni jukumu ya mashamba 18 ya miti ambayo hekta 29,933 ni kwa ajili ya upanuzi wa yanaendeshwa na Serikali kupitia upandaji miti na hekta 1,700 ni maeneo letu sote” alisema Kilongo. Wakala huyo na kutoa mchango ya makazi na matumizi mengineyo. mkubwa kwenye uchumi wa taifa. Pia alisema katika jitihada za kurudisha Akizungumza na Mwandishi wa Makala misitu iliyopotea, upo mkakati wa kitaifa Mashamba hayo ni Buhindi, Kawetire, hii, Meneja wa Shamba hilo, Salehe Beleko wa kupanda miti ambapo kila wilaya Kiwira, Korongwe, Longuza, Mbizi, Meru/ alisema pamoja na kazi hiyo ya upandaji imepewa jukumu la kupanda miti milioni USA, Mtibwa, North Kilimanjaro, North miti pia wanashughulika na ufugaji nyuki moja na nusu kwa mwaka. Ruvu, Rondo, Rubare, Rubya, Sao Hill, kama mkakati wa kuongeza mapato ya Shume, Ukaguru, West Kilimanjaro na Serikali na kuboresha ulinzi wa misitu na Hivi karibuni Waziri Mkuu Mhe. Kassim Wino. mazingira. Majaliwa akizungumza na watumishi wa Wizara ya Maliasili na Utalii jijini Dar es Shamba la Miti Sao Hill ndilo shamba “Shamba letu lina jumla ya mizinga 1,298 Salaam, alisema nchi inageuka jangwa kubwa zaidi kati ya mashamba hayo 18 ya nyuki na kwa mwaka 2015/16 tulivuna kutokana na misitu mingi kukatwa ya Serikali ambayo yanasimamiwa na asali kilo 379 na baada ya kupima kiholela huku maduhuli ya serikali Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania sampuli ya asali hiyo vipimo vya maabara yakipotea. (TFS). Kwa sehemu kubwa Shamba hilo vilionesha kuwa asali inayotoka kwenye lipo katika Wilaya ya Mufindi Mkoani hifadhi ya msitu wetu ni asali halisi Kauli hiyo inaonekana kuanza kuzaa Iringa na baadhi ya eneo katika Wilaya ya isiyokuwa na kemikali” Alisema Beleko. matunda baada ya TFS kuamua Kilombero Mkoani Morogoro. kuongeza kasi ya usimamizi wa rasilimali Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na za misitu na nyuki nchini kwa siku za hivi Shamba hilo lilianzishwa kwa majaribio Mkuu wa Kitengo cha Ulinzi na Ufugaji karibuni hatua ambayo imeelezwa kuwa mwaka 1939 hadi 1951 na upandaji wa wa Nyuki wa Shamba hilo, Joseph Sondi endelevu. miti kwa kiwango kikubwa kuanza rasmi alisema katika kipindi cha Mwezi July – mwaka 1960 hadi 1990, Ukubwa wa August, 2016 jumla ya kilo 700 za asali TFS inasimamia jumla ya misitu 506 shamba hilo ni Hekta 135,903 ambazo zimeshavunwa katika shamba hilo. nchini ikiwemo ya asili na ya kupandwa zimehifadhiwa kwa ajili ya Upandaji wa Akizungumzia dhumuni la kuanzishwa na takriban hekta milioni 9.2 za Hifadhi Miti (Plantation) na Hifadhi ya Mazingira shamba hilo, Meneja Salehe Beleko za nyuki. Asilia (Nature Reserves). alisema ilikuwa kwa ajili ya kupunguza utegemezi wa misitu ya asili kama chanzo

8 Wakala wa Huduma za Misitu Wizara ya Maliasili na Utalii cha malighafi ya miti kwa matumizi mbalimbali na Kutoa malighafi kwa ajili ya viwanda vinavyotumia malighafi ya miti, kwa mfano viwanda vya mbao, karatasi, viberiti, nguzo za umeme na simu.

Alisema kuwa malengo mengine yalikuwa ni kuboresha hali ya mazingira kwa ujumla na uoto wa asili, Kuhifadhi ardhi na vyanzo vya maji, kuwapatia wananchi ajira zinazotokana na kazi za msimu za mashambani na kutokana na viwanda tegemezi vya mazao ya misitu pamoja na kuwa chanzo cha mapato ya Serikali.

Akizungumzia mafanikio juu ya Meneja wa Shamba la Miti Sao Hill, Salehe Beleko (kulia) akionesha sehemu ya madawati 4,112 ukusanyaji wa maduhuli ya Serikali katika yanayotengenezwa na shamba hilo kwa ajili kuunga Mkono Mpango wa Serikali ya awamu ya tano shamba hilo, alisema katika mwaka wa ya kuhakikisha Shule zote nchini zinakuwa na madawati ya kutosha. Wengine pichani ni watendaji katika shamba hilo. fedha 2015/16 makusanyo yaliongezeka na kuvuka malengo yaliyowekwa ya zinazokadiriwa kufikia 34,000, ajira hizo hivyo. Katika mwaka wa fedha 2015/2016 kukusanya shilingi bilioni 31.35 na ni katika shamba lenyewe, viwanda jumla ya kilometa 66 za barabara kufanikiwa kukusanya shilingi bilioni vya kuchakata magogo pamoja na zimelimwa kwenye vijiji vya Kinyanambo, 36.14, makusanyo ambayo ni ya juu ujasiriamali. Sehemu kubwa ya wananchi Itimbo-Lyasa, Ihalimba-Igomtwa- kabisa ukilinganisha na makusanyo ya katika ajira hizo ni wakazi wa Wilaya ya Usokami, Ugesa-Wami na Ludilo. miaka ya nyuma toka kuanzishwa kwa Mufindi. shamba hilo. Aliongeza kuwa shamba hilo linatekeleza Akizungumzia miradi ya maendeleo, dhana ya Kilimo Mseto ambapo Beleko alisema shamba la Sao Hill Beleko alisema Shamba hilo huchangia Wafanyakazi wa shamba na wanavijiji limekuwa na faida kubwa kwa jamii uendelezaji wa miradi ya maendeleo ya hugawiwa maeneo ya kulima katika ambapo kwa sasa limekuwa kichocheo afya, elimu, ujenzi wa ofisi za vijiji, kwa maeneo yaliyovunwa miti. kikubwa cha ukuaji wa sekta ya viwanda jamii zinazozunguka msitu. Pia ipo miradi vidogo na vikubwa vya uchakataji wa ya upandaji wa miti na ufugaji nyuki “Kilimo hiki hufanyika kwa msimu magogo katika Wilaya ya Mufindi na kwenye vijiji vinavyozunguka msitu. mmoja tu wakati wa kupanda miti mikoa ya Nyanda za Juu Kusini, hatua Katika kipindi cha mwaka 2010 hadi 2016 upya katika maeneo hayo. Wastani wa hiyo inaunga mkono mpango wa Serikali jumla ya shilingi milioni 110 zilitumika watu 600 hufaidika na huduma hiyo ya Awamu ya Tano wa kujenga uchumi kwa ajili ya miradi ya maendeleo ambapo ambapo takribani tani 2,000 za mahindi wa viwanda. vijiji kadhaa vilinufaika. yanayokadiriwa kuwa na thamani ya shilingi milioni 800 huvunwa kila mwaka” “Shamba hili limesaidia sana kuongezeka Miongoni mwa vijiji hivyo vilivyonufaika Alisema Beleko. kwa ari ya upandaji wa miti na utunzaji wa ni Kitasengwa, Ihalimba, Itimbo, Nyololo, mazingira kwa wananchi wanaozunguka Mninga, Mkalala, Vikula, Wami, Nundwe, Aidha Beleko alisema, jamii shamba na ukanda wote wa nyanda Ibatu, Mwitikilwa, Kasanga, Changarawe, zinazozunguka mashamba zinasaidiwa za juu kusini jambo ambalo limesaidia Ugesa, Ludilo na Usokami. kwa kupatiwa mahitaji muhimu ya kupunguza matukio ya moto kupitia kuanzisha vitalu vya miche ya miti na ulinzi shirikishi, Aidha limepelekea pia Katika kuboresha dhana ya ushirikishaji ufugaji nyuki kwa ajili ya shughuli zao za kupanda kwa thamani ya ardhi katika jamii kwenye ulinzi wa msitu, Beleko maendeleo. maeneo haya” alisema Beleko. alisema “Shamba limetoa vibali vya kuvuna miti kwa vijiji na kata kadhaa za “Ili kutekeleza azma hii, Shamba hugawa Aliongeza kuwa, shamba hilo pia lina Wilaya ya Mufindi katika kipindi cha miaka miche ya miti kwa jamii inayotuzunguka mchango mkubwa katika maendeleo ya mitano mfululizo (2012-2016). Jumla ya ambapo kwa mwaka 2014/15 jumla ya Wilaya za Mufindi na Kilombero na jamii miti yenye mita za ujazo 78,000 ambayo miche ya miti 300,000 yenye thamani jirani ambapo wamekuwa wakipatiwa thamani yake kwa bei ya soko baada ya ya shilingi milioni 120 iligawanywa na gawio la asilimia 5 ya mrahaba kila mwaka. kuchakatwa ni shilingi bilioni 3.9, fedha mwaka 2015/16 jumla ya miche 600,000 Kumbukumbu zinaonesha kuwa kuanzia hizo zimekusudiwa kwa ajili kutatua yenye thamani ya shilingi milioni 240 mwaka 2000 mpaka 2016 jumla ya wa changamoto mbalimbali zinazoikabili inatarajiwa kugawanywa” Alisema. shilingi bilioni 4.8 zimeshatolewa kwa jamii hiyo na shughuli za maendeleo”. ajili ya kusaidia shughuli za maendeleo Mchango mwingine wa shamba hilo katika jamii hizo kama mrahaba. Beleko alisema, kwa kuwa Shamba kwa Wananchi waishio jirani na shamba hilo limezungukwa na vijiji vingi, hilo ni fursa ya kuokota kuni kavu bure Alieleza kuwa, shamba hilo pia hutoa wamekuwa wakitoa mitambo ili kusaidia kwa ajili ya matumizi ya majumbani. ajira mbalimbali za muda mrefu na mfupi matengenezo ya barabara kwenye vijiji Vilevile wananchi wanaruhusiwa kuvuna

Wakala wa Huduma za Misitu 9 Wizara ya Maliasili na Utalii bure mazao yasio timbao kama vile katika Wilaya ya Mufindi na Mkoa wa maji pia inapatikana katika shamba hili uyoga, mbogamboga na matunda. Tafiti Iringa kwa ujumla. Alisema madawati kutokana na uwepo wa chem chem na iliyofanyika mwaka 2010 inaonesha kuwa hayo yakikamilika yatakabidhiwa kwa vyanzo mbalimbali vya maji. Yapo pia zaidi ya kilo 80,000 za matunda aina ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa na Mkuu wa maporomoko ambayo yanafaa kwenye pesheni (passion) yenye thamani ya Wilaya ya Mufindi. nishati ya umeme wa maji pamoja na shilingi milioni 240 huvunwa kila mwaka mabwawa kwa ajili ya ufugaji wa samaki, kutoka kwenye Shamba hilo. Akizungumzia kuhusu kukua kwa tunawakaribisha wawekezaji wenye nia uchumi wa Mji wa Mafinga Beleko ya kuwekeza katika sekta hizo” Alisema Katika kutoa mchango wa huduma za alisema Biashara ya magogo na mbao Beleko. afya alisema “Shamba lina zahanati moja imepelekea Mji wa Mafinga kukua na vituo vitatu vya huduma ya kwanza kwa kasi kiuchumi hadi kupewa hadhi Kwa upande wake Mkuu wa Kitengo kwa ajili ya huduma ya matibabu kwa ya Mamlaka ya Mji mdogo. Takribani cha Ulinzi na Ufugaji wa Nyuki, Joseph wafanyakazi na wanavijiji wanaozunguka asilimia 62 ya watu wenye vibali vya Sondi alisema pamoja na shughuli za shamba hili. Shamba huchangia katika kuvuna miti na kuchakata magogo katika uzalishaji wa mazao ya misitu na asali, ununuzi wa dawa kwa ajili ya zahanati na shamba la miti la Sao Hill ni wenyeji wa Sao Hill pia ni Kituo cha Mafunzo kwa vituo hivyo”. wilaya ya Mufindi kutoka katika vijiji vitendo ambapo kila mwaka hupokea vinavyozunguka msitu. wanafunzi mbalimbali kutoka vyuo vikuu Alisema baadhi ya vijiji vinavyonufaika vya Sokoine (SUA), Dar es Salaam (UDSM) na huduma hiyo ni Kihanga, Mninga, Beleko alisema kuwa pamoja na faida na Mipango Dodoma. Vilevile mashamba Matanana, Sao Hill, Ihalimba, Iheka, zote hizo shamba linahitaji gharama mapya ya miti yaliyoanzishwa kama vile Mwitikilwa, Nundwe, Vikula, Kitasengwa kubwa za uendeshaji ili liweze kuzalisha Wino na Mbizi hujifunza katika shamba na Makungu. Kwa wastani jumla ya ipasavyo ambapo bajeti yake kwa mwaka hilo. wananchi 2,000 kutoka kwenye vijiji ni takribani shilingi bilioni 10 mpaka 15. vinavyozunguka Shamba hupata Kwa upande wake Mwenyekiti wa huduma ya matibabu kutoka kwenye Kuhusu fursa za uwekezaji katika shamba Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi, Festo zahanati ya Shamba na vituo vyake. Elia Mgina alipotafutwa kwa njia ya simu kuzungumzia mahusiano baina ya shamba la Sao Hill na Halamshauri yake alisema, uwepo wa shamba hilo umeongeza mzunguko mkubwa wa fedha na ajira katika Halmashauri hiyo.

“Siasa za Mufindi ni Sao Hill, mtu mmoja anayenunua mita za ujazo 200 ambazo ni kiwango cha chini kabisa anaajiri watu wasiopungua 40 katika mfumo mzima wa uchakataji jambo ambalo linaongeza ajira kwa wakazi wa mufindi na wakati huo huo mzunguko mkubwa wa fedha” Alisema Mgina.

Aliongeza kuwa shamba hilo Uchakataji wa asali katika shamba la miti Sao Hill. Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Ulinzi na Ufugaji wa limehamasisha kwa kiwango Nyuki, Joseph Sondi na kulia ni Happyness Nandonde, Msaidizi. kikubwa upandaji wa miti kwa jamii inayolizunguka ambapo pia hutoa Katika mchango wa elimu, Shamba lina hilo, Beleko alisema uwepo wa shamba msaada wa mafunzo na miche ya shule ya msingi moja ambayo hutoa umeipa fani ya Misitu umaarufu mkubwa miti kwa ajili ya kupandwa. “Hamasa elimu kwa watoto wa wafanyakazi wa Wilayani Mufundi na Ukanda wote wa ya kupanda miti imekuwa kubwa shamba, kiwanda cha mbao cha Sao Hill Nyanda za Juuu Kusini, Hivyo kutoa kutokana na thamani inayoonekana na jamii inayozunguka shamba. Shamba fursa ya uwekezaji katika viwanda na Sao Hill kiasi kwamba imefikia hatua kwa kushirikiana na uongozi wa kiwanda vyuo mbalimbali vya Misitu kwa ajili ya sasa tunawaelimisha watu wetu waache cha mbao cha Sao Hill linahudumia kuzalisha wataalamu katika fani hiyo. baadhi ya maeneo kwa ajili ya kilimo cha shule kwa kuwapatia walimu nyumba mazao mengine ya chakula na biashara” za kuishi, madarasa ya wanafunzi na Alisema fursa nyingine ni pamoja na Alisema Mgina. ukarabati wa majengo yote pamoja na ufugaji wa nyuki kutokana na uwepo huduma nyingine muhimu kama vile wa misitu ya asili, ya kupandwa pamoja Akizungumzia misaada mingine maji, umeme, usafiri na matibabu. na vyanzo mbalimbali vya maji. Alieleza inayotoka Sao Hill alisema ni pamoja na kuwa asali inayozalishwa katika shamba elimu ya kukabiliana na moto ambayo Aidha Beleko alisema kuwa katika kuunga hilo ilipimwa katika moja ya maabara ya kwa kiasi kikubwa imesaidia kuondoa mkono sera ya Serikali ya awamu ya tano kimataifa nchini Ujerumani na kuthibitika tatizo hilo, Msaada wa mitambo ya ya elimu bure, jumla ya madawati 4,112 kuwa haina kemikakali yeyoye. kutengeneza barabara na vifaa mbali yanatengenezwa kwa ajili ya kutatua mbali vya ujenzi, zahanati na mashule. changamoto ya uhaba wa madawati “Fursa ya kuwekeza katika viwanda vya

10 Wakala wa Huduma za Misitu Wizara ya Maliasili na Utalii TFS yatoa miche ya miti 8,600 kwenye kampeni ya upandaji miti Dar es Salaam

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), Prof. Dos Santos Silayo (kulia) akimkabidhi Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira na Muungano, (wa pili kulia) miche ya miti kwa ajili ya shule ya Sekondani ya Mama Salma Kikwete Jijini Dar es Salaam hivi karibuni.

Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania miaka mitano wa kitaifa wa upandaji miti -TFS umechangia miche ya miti 8,600 Awali akizungumza na wanafunzi wa ambapo kila Wilaya nchini imepangiwa katika Kampeni ya Upandaji Miti Jijini Shule ya Sekondari ya Mama Salma kupanda miti milioni 2 kwa mwaka. Dar es Salaam iliyozinduliwa hivi Kikwete, Kijitonyama Jijini Dar es Salaam karibuni na Makamu wa Rais, Samia ambapo pia alikabidhi miche ya miti 600 Mpina alisema kuwa baadhi ya viongozi Suluhu Hassan. kwa ajili ya shule hiyo, Kaimu Mtendaji wa vijiji na halmashauri wamekua Mkuu huyo aliwaasa wanafunzi hao wakifanya kazi kwa mazoea kwa kutoa Akizungumza na vyombo vya habari kuwa mstari wa mbele katika kupenda taarifa za uongo kuhusu kazi za upandaji Jijini Dar es Salaam hivi karibuni, Kaimu mazingira, kupanda miti na kuitunza. wa miti katika maeneo yao, hivyo kuahidi Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Huduma Pia aliiasa jamii kwa ujumla kuacha mara kutembelea kila Mkoa na Wilaya kuona za Misitu Tanzania, Prof. Dos Santos moja uharibifu wa misitu kwakuwa ni kama kweli miti inayotolewa na Serikali Silayo alisema hatua hiyo ni kuunga kinyume cha sheria. inapandwa ipasavyo. Mkono Kampeni ya Mkuu wa Mkoa huo, Paul Makonda ambayo imetambuliwa Naye Naibu Waziri katika Ofisi ya Makamu “Sitokubali kuona Ilani ya uchaguzi kwa jina la “Mti Wangu” kwa ajili ya wa Rais, Mazingira na Muungano, Luhaga ikichakachuliwa na baadhi ya viongozi kupendezesha na kuhifadhi Mazingira ya Mpina akizungumza na waandishi wa wasio waadilifu, tutafuatilia kila Wilaya Jiji hilo. habari katika tukio hilo, alisema asilimia na Mkoa kuona kama agizo hilo 61 ya nchi inakaribia kuwa jangwa linatekelezwa” alisema Mpina. “Sisi Wakala wa Huduma za Misitu kutokana na uharibifu wa mazingira Tanzania tuna jukumu la kuanzisha na unaosababishwa na ukataji wa miti kwa Aliongeza kuwa mpango mwingine kusimamia misitu na rasilimali zake ajili nishati ya mkaa na rasilimali nyingine ya Serikali ni kupeleka nishati ya gesi nchini, katika kumuunga Mkono Mkuu wa za misitu. kwenye kaya zaidi ya milioni 30 nchini Mkoa wa Dar es Salaam kwenye upandaji ili ziondokane na matumizi ya mkaa wa miti leo tutakabidhi miche ya miti 600 “Takriban hekta laki 3.72 za msitu kwa kunusuru misitu na mazingira. Alisema kwa ajili ya shule hii na kesho tutatoa mwaka zinaharibiwa hapa nchini jambo kuwa mpango huo utazishirikisha Wizara miche ya miti 3,000 katika uzinduzi wa linalopelekea asilimia 61 ya ardhi kuwa mbalimbali ikiwemo Nishati na Madini. kampeni hiyo, miche mingine 5,000 hatarini kuwa jangwa hivyo Serikali tutaitoa kwa ajili ya kupandwa wakati wa imeamua kuchukua hatua za makusudi Alitoa wito kwa wananchi kushirikiana na masika, tunaomba wananchi wajitokeze kunusuru hali hiyo” alisema. Serikali katika zoezi la upandaji wa miti kwa wingi na kutuunga mkono katika kutunza mazingira na kuepuka uharibifu kampeni hizi za upandaji wa miti” alisema Akizungumzia hatua hizo za Serikali wa misitu. prof. Dos Santos. alisema umeandaliwa mpango wa

Wakala wa Huduma za Misitu 11 Wizara ya Maliasili na Utalii

uboreshaji wa hifadhi zilizo chini yake na TFS yaimarisha kivutio cha vivutio vilivyomo. utalii cha Mto Kalambo Msitu wa Hifadhi wa Maporomoko ya Mto Kalambo ni moja ya Msitu wa Hifadhi wenye kivutio kikubwa cha utalii barani Afrika. Katika hifadhi hii ndipo yalipo Maporomoko ya Mto Kalambo (Kalambo Falls) ambayo ni ya pili kwa urefu barani Afrika yakitanguliwa na Tugela iliyopo nchini Afrika Kusini.

Hifadhi hiyo ya Maporomoko ya Mto Kalambo ilianzishwa rasmi kwa tangazo la Serikali namba 347 (GN) la Oktoba 25, 1957 na ina ukubwa hekta 543.9. Ndani ya hifadhi hiyo kuna vivutio vingi vya utalii ikiwemo uoto wa asili, viumbe hai kama Nyani na Ndege mbalimbali na kubwa zaidi kuliko yote ni Maporomoko ya Mto Kalambo (Kalambo Falls).

Maporomoko hayo yana urefu wa mita 235 na upana wa mita 800 na yanapatikana katika Kijiji cha Kapozwa, Kata ya Kisumba, Wilaya ya Kalambo Mkoani Rukwa ikiwa ni umbali wa Kilomita 110 kutoka Sumbawanga Mjini yalipo Makao Makuu ya Mkoa huo na Kilomita 70 kutoka Mjini Matai ambapo ni Makao Makuu ya Wilaya ya Kalambo .

Maporomoko ya Mto Kalambo yamekuwa na sifa ya kipekee duniani kwa kuwa yanatumika kama mpaka wa nchi mbili za Tanzania na Zambia.

Mafundi wa kampuni ya ujenzi ya “Greens Construction Limited’” wakiendelea na ujenzi wa njia za Akizungumza na Mwandishi wa Jarida kitalii kwa ajili ya kufungua njia kuwezesha watalii kufika hadi kwenye kilele (kitako) cha Maporomoko ya Mto Kalambo. hili, Meneja wa Wakala wa Huduma za Misitu Wilaya ya Kalambo, Samwel Wizara ya Maliasili na Utalii (foreign currency) kwa asilimia 25 na Matura alisema kwa sasa kuna Mpango kupitia Idara na Taasisi zake kutoa mchango katika pato la taifa kwa Kabambe wa kuendeleza kivutio hicho inaendelea na mpango wake asilimi 17.5. Lengo la Wizara ni kuona ambacho ni muhimu katika kukuza sekta wa kuboresha na kuendeleza kiwango hicho kinaimarika kila mwaka ili ya utalii nchini na kuongeza maduhuli ya vivutio vya utalii vilivyopo hapa rasilimali zilizopo ziweze kuwanufaisha Serikali, Mpaka kukamilika kwake Mradi Watanzania wote. nchini ili kuwavutia watalii wengi huo utagharimu shilingi Milioni 500 za zaidi, kukuza utalii wa ndani na kitanzania. Katika kutekeleza mipango hiyo, hatimaye kuongeza ukusanyaji Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania Alisema bajeti hiyo ni kwa ajili ya ujenzi wa mapato ya Serikali. (TFS) una majukumu ya kusimamia wa geti la kuingilia na kutoza ushuru misitu ya hifadhi pamoja na kukusanya ambao umekamilika kwa zaidi ya asilimia Kwa sasa Utalii ndiyo sekta inayoongoza maduhuli yanayotokana na mazao ya 75. Mradi mwingine ni ujenzi wa njia za kwa kuliingizia taifa mapato ya nje misitu , imekua ikitekeleza kwa vitendo kitalii (eco-tourism trails) zenye urefu wa

12 Wakala wa Huduma za Misitu Wizara ya Maliasili na Utalii

Kufunguka kwa njia kuelekea katika kina cha Maporomoko ya Mto Kalambo kutatoa fursa pana ya kukua kwa sekta ya utalii katika ukanda wa Ziwa Tanganyika (Lake Tanganyika Zone Tourism Sacket) na taifa kwa ujumla kwa kuwa ukanda huo umebarikiwa vivutio vingi vya utalii ambavyo bado havijatumika ipasavyo kuchangia kwenye uchumi wa taifa. Vivutio hivyo ni pamoja na Maporomoko yenyewe (Kalambo Falls), Fukwe za Ziwa Tanganyika, Hifadhi ya Taifa ya Katavi, Hifadhi ya Taifa ya Milima ya Mahale na Hifadhi ya Taifa ya Gombe.

Kwa upande wa Wataalamu wa Mambo ya Kale wanataja eneo Geti la kuingilia katika eneo la Hifadhi ya Msitu wa Maporomoko ya Mto la Maporomoko ya Mto Kalambo kuwa na mabaki mbali mbali Kalambo. ya Malikale, Mabaki hayo ni pamoja na vifaa mbalimbali vya kilomita mbili na ukikamilika watalii wataweza kushuka hadi kale vilivyochongwa kwa mawe vinavyodaiwa kutumiwa na kwenye kina cha maporomoko hayo. binadamu wa kale. Mabaki hayo yanaelezwa kugunduliwa katika eneo hilo zaidi ya miaka 300,000 kabla ya Kristo na pia Matura alisema Mpango huo pia utahusisha ujenzi wa kituo maporomoko hayo yanadaiwa kuonekana kwa mara ya kwanza cha taarifa cha Hifadhi hiyo ya Maporomoko ya Mto Kalambo na wavumbuzi wa Kizungu mwaka 1913. (Information Centre) ambacho kitakuwa na kazi ya kuhifadhi na kutoa taarifa mbalimbali za hifadhi hiyo kwa watalii. Wataalamu wa malikale wanayaelezea maporomoko ya Mto Kalambo kuwa ni eneo lenye umuhimu wa kipekee barani Afrika Katika kufanikisha mpango huo Wakala wa Huduma za Misitu na kwamba ni hazina kubwa ya kihistoria ikiwa na ushuhuda (TFS) katika mwaka wa fedha 2015/16 ilitenga shilingi milioni wa shughuli kadhaa zilizokuwa zikifanywa na binadamu katika 89 kwa ajili kutekeleza mradi huo. Meneja Matura alisema fedha eneo hilo zaidi ya miaka 250,000 iliyopita. Baadhi ya mabaki hizo zimetumika kwa ajili ya kufungua njia za kitalii (Trails) yenye vielelezo vya kihistoria yalifukuliwa mwaka 1953 na kwenye sehemu korofi yenye urefu wa mita 120 kuwezesha Mvumbuzi John Desmond katika eneo hilo. watalii kufika kwenye kina cha maporomoko hayo, njia hiyo kwa ujumla mpaka itakapokamilika ina urefu wa kilomita mbili.

“Kwa mara ya kwanza tumefanikiwa kufika katika kitako cha maporomoko ya mto kalambo. Wakati wa kufanya utafiti wa njia hiyo ya kitalii tulibaini kuwa ujenzi wa njia hiyo kutoka juu hadi chini yenye urefu wa Kilomita mbili ni ghali kulingana na fedha iliyotengwa, hivyo tukaamua kujenga sehemu ambayo tuliita korofi, Mkandarasi“Greens Construction Limited’” anaendelea na ujenzi “alisema Matura.

Akizungumzia kuhusu fursa za uwekezaji katika kivutio hicho Matura alisema, “wakati wa ujenzi wa njia ya kitalii unaoendelea, wadau wengi wamejitokeza kutaka kuwekeza katika kujenga hoteli wazo ambalo kwetu sisi tuliona ni jema hasa wakati huu ambao serikali inasisitiza sera ya Ushirikiano baina yake na Sekta Binafsi – PPP (Public Private Partnership)”.

“Kwa kufanya hivyo tutawapita wenzetu wa upande wa Zambia ambao tayari wameshajenga hoteli. Hata hivyo kwa upande wa Tanzania kunabaki kuwa bora kuliko upande wa Zambia baada ya kufungua njia mpaka chini ya maporomoko ambapo kwa upande wao bado hawajaweza na hata wakijaribu itakua ngumu kutokana na mazingira ya upande Maporomoko ya Mto Kalambo (Kalmbo Falls), Mto huo na maporomoko wao kuwa magumu kupata njia hadi kufikia kitako yake ndio mpaka wa nchi ya Tanzania na Zambia. cha maporomoko hayo” Alisema Matura.

Wakala wa Huduma za Misitu 13 Wizara ya Maliasili na Utalii

MsituMsitu wawa MagambaMagamba wapandawapanda kuwakuwa HifadhiHifadhi yaya MazingiraMazingira AsiliaAsilia

Uoto wa asili (Msitu) katika hifadhi ya Mazingira Asilia Magamba ambao ni kivutio kikubwa cha utalii katika hifadhi hiyo..

TANZANIA inatajwa duniani kuwa nchi ya pili Ina ukubwa wa hekta 92,839 na ipo katika safu za Milima ya yenye vivutio vingi vya utalii vyenye ubora zaidi Tao la Mashariki katika wilaya za Lushoto na Korogwe mkoani ikitanguliwa na Brazil. Vivutio hivyo ni pamoja Tanga huku ikizungukwa na vijiji 21 vya wilaya hizo. na hifadhi za taifa, hifadhi za misitu asilia, Hifadhi hiyo ambayo inasimamiwa na kuendeshwa na Wizara mapori ya akiba, mapori tengefu, fukwe za kitalii, ya Maliasili na Utalii kupitia Wakala wa Huduma za Misitu maeneo ya urithi wa dunia na wanyama pori Tanzania (TFS) ilipewa hadhi ya kuwa Hifadhi ya Mazingira mbalimbali. Vivutio hivyo kupitia sekta ya utalii Asilia 25 Machi, 2016 kwa Tangazo la Serikali Namba (GN) 103. vinatoa mchango mkubwa katika pato la taifa Kabla ya hapo hifadhi hiyo ilijulikana kama Hifadhi ya Msitu wa Shume Magamba. kwa kuchangia asilimia 17.5 ya vyanzo vyote vya mapato. Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi hiyo, Getrude Nganyangwa anasema Hifadhi ya Magamba ina umuhimu na faida kubwa kwenye Aidha mchango wake unaongoza katika mapato yote ya fedha uhifadhi wa mazingira na viumbe hai pamoja na uendelezaji za kigeni ambayo ni asilimia 25. Hifadhi ya mazingira asilia ya wa sekta ya utalii nchini. Nganyangwa anasema Hifadhi ya Magamba ni moja kati ya vivutio vya utalii ambavyo Tanzania Magamba ina vivutio vingi vya utalii ukiwemo uoto wa asili imebarikiwa kuwa navyo. ambao haupatikani sehemu nyingine duniani na wanyamapori kama vile nguruwe pori, digidigi, nyoka na mbega weupe na weusi.

“Vivutio vingine vinavyopatikana katika hifadhi hii ni ndege wa aina mbalimbali ambao baadhi yao hufika katika hifadhi hii wakitokea barani Ulaya kwa ajili ya kukimbia baridi, pia kuna vinyonga, wadudu na vipepeo aina mbalimbali,” anasema.

Hifadhi hiyo ina vivutio vingine ambavyo ni maporomoko ya mito ambayo ni Sungwi na Mkusu. Pia yapo mabwawa matatu ambayo yanaweza kutumika kwa ajili ya utalii wa uvuvi nayo ni Kibohelo, Hambalawei na Grewal.

Mhifadhi huyo anasema mbali na maporomoko hayo, kivutio kingine ni vituo maalumu kwa ajili kutazama taswira ya jumla Moja ya njia ya kitalii katika Hifadhi ya Mazingira Asilia Magamba ambazo ya juu ya uoto wa asili wa hifadhi hiyo pamoja na taswira ya juu pia ni kivutio kikubwa cha utalii hifadhini hapo . ya miji ya Lushoto, Mombo na Korogwe.

14 Wakala wa Huduma za Misitu Wizara ya Maliasili na Utalii

Uwepo wa mapango ya kale katika hifadhi hiyo pia umetajwa kuwa moja ya kivutio kikubwa cha utalii katika hifadhi hiyo, Pango la Wajerumani ambalo linaaminika kuchimbwa na watawala hao wakati wa vita ya kwanza ya dunia kati ya mwaka 1914 na 1918 na kutumiwa na vikosi vyao kwa ajili ya kujificha pamoja na kutafuta madini aina Bauxite. Nganyangwa anasema mbali na pango hilo kuna pango lingine kwenye hifadhi hiyo ambalo linaitwa Jiwe la Mungu.

“Pango hilo hupendelewa kutumiwa kwa ajili ya matambiko mbalimbali na wageni hususan Wahindi na baadhi ya wenyeji wa mkoa wa Tanga,” anaeleza.

Kwa upande wa huduma za kitalii zinazopatikana katika hifadhi Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Mazingira Asilia Magamba, Getrude Nganyangwa (kulia) akiwa na watumishi wa hifadhi hiyo nje ya pango la hiyo anasema, upo utalii wa picha, kupanda milima, kutembea, Wakoloni wa Kijerumani . uvuvi, kutazama makundi ya ndege, kuweka kambi, utalii wa kiutamaduni na kutembelea mapango.

Kuhusu watalii wanaotembelea hifadhi hiyo, Nganyagwa anasema katika mwaka wa fedha ulioisha 2015/16, jumla ya watalii wa kigeni 523 walitembelea hifadhi hiyo na watalii wa ndani wakiwa 170.

Anasema idadi hiyo ya watalii ilisaidia upatikanaji wa makusanyo ya Sh milioni 11.65 huku mapato ya jumla ambayo ni pamoja na vyanzo vingine yakiwa Sh milioni 13.27. Katika mwaka huu wa fedha 2016/17 wameweka malengo ya kukusanya zaidi ya Sh milioni 17.

Mhifadhi huyo anatoa mwito kwa Watanzania kutembelea hifadhi hiyo wapate kuona na kujifunza mambo mbalimbali Muonekano wa ndani wa pango la Wajerumani. yanayohusu uhifadhi pamoja na kuona vivutio mbalimbali vya utalii. Ofisa Utalii na Utafiti wa Hifadhi hiyo, Samiji Mlemba anafafanua kwamba katika mwaka huu wa fedha (2016/17) kipindi cha mwezi Julai hadi Agosti jumla ya watalii 212 wametembelea hifadhi hiyo na kuwezesha upatikanaji wa mapato ya Sh milioni 4.2.

Mlemba anasema gharama za mtalii mmoja wa kigeni kuingia katika hifadhi hiyo ni dola 10 za Kimarekani wakati wa ndani Sh 3,000.

Ikiachwa mapato ambayo serikali inapata, hifadhi hiyo ina faida pia kwa jamii inayoizunguka. Vijiji 21 vinavyozunguka hifadhi hiyo pamoja na mji mdogo wa Lushoto wakazi wake wanategemea maji kutoka katika vyanzo mbalimbali vilivyopo Baadhi ya mahema kwa ajili ya malazi ya utalii katika Hifadhi ya Mazingira kwenye hifadhi hiyo. Faida nyingine ni upatikanaji wa kuni. Asilia Magamba.

Wananchi wanaruhusiwa kuokota kuni kavu katika hifadhi hiyo pamoja na matunda, mboga za majani na dawa za mitishamba ambazo wananchi walio wengi wanaozunguka hifadhi hiyo huzitumia.

Hifadhi hiyo pia imetoa mchango wa mizinga ya kisasa 45, vifaa na mafunzo kwa ajili ya ufugaji wa nyuki kwa wananchi wa vijiji vinavyozunguka hifadhi, aidha imechangia uanzishwaji wa vitalu 27 vya miche ya miti kwa ajili ya mashamba ya wananchi hao.

Wananchi pia wameanzishiwa mradi wa ufugaji wa mbuzi wa maziwa 20 pamoja na kupatiwa mafunzo ya ufugaji. Bwawa la Hambalawei lililopo katika Hifadhi ya Mazingira Asilia Magamba.

Wakala wa Huduma za Misitu 15 Wizara ya Maliasili na Utalii

MWONGOZO WA UVUNAJI ENDELEVU NA BIASHARA YA MAZAO YA MISITU

Wizara ya Maliasili na Utalii iliandaa kwa mara ya kwanza mwaka 2007 mwongozo wa kuvuna, kusafirisha na kufanya biashara ya mazao ya misitu. Lengo kuu la mwongozo ni kuweka utaratibu madhubuti wa kufuatwa katika uvunaji endelevu na biashara ya mazao ya misitu na kuainisha mikakati ya kuimarisha usimamizi wa rasilimali za misitu ya asili. Mwongozo huu unatokana na Sera ya Taifa ya Misitu na Sheria ya Misitu Sura 323 ya mwaka 2002, pamoja na Matangazo ya Serikali (Government Notices) Namba 69 na 70 ya mwaka 2006.

Msingi mkuu wa uandaaji na utekelezaji wa Mwongozo utazingatiaji wa Mpango wa Usimamizi wa Misitu (Forest Management Plan) ambao ni dira ya usimamizi na uvunaji kwa matumizi mbalimbali katika msitu wenye ukumbwa wa kuanzia hektari 50. Mpango huu unabainisha, pamoja na mambo mengine, kiasi cha miti kinachoruhusiwa kuvunwa kwa mwaka katika kila eneo na kiasi cha miti itakayopandwa. Aidha, kila misitu unapaswa kuwa na mpango wa uvunaji (harvesting plan) ili kusimamia uvu- naji endelevu. Inasisitizwa kuwa uvunaji wa mazao ya misitu utafanywa kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Miongozo.

Mwongozo huu unawaelekeza wadau na wananchi kwa ujumla: utaratibu wa kuvuna na kufanya biashara ya mazao ya misitu; masharti ya kuanzisha viwanda vya kuchakata mazao ya misitu; masharti ya kufanya biashara ya mazao ya misitu ndani na nje ya nchi; na nyaraka mbalimbali zinazokubalika kisheria wakati wa kuvuna, kusafirisha na kufanya biashara ya mazao ya misitu.

TARATIBU ZA UVUNAJI WA MAZAO YA MISITU Kuni na Mkaa Uvunaji miti kwa ajili ya nishati kama vile utengenezaji mkaa; kukaushia tumbaku; kukaushia samaki; kuchoma matofali; ku- choma chokaa; na kuoka mikate utafanyika kwa utaratibu ufuatao:

a) Kutambua na kutenga maeneo ya msitu kwa ajili ya kutengeneza mkaa, ukaushaji tumbaku, ukaushaji samaki, uchomaji matofali, uchomaji chokaa na uokaji mikate kila mwaka.

b) Kila atakayehusika na shughuli za utengenezaji mkaa, kukausha tumbaku, kukausha samaki, kuchoma matofali, ku- choma chokaa na kuoka mikate atatakiwa kuwa na leseni.

c) Maombi ya usajili na leseni yatapelekwa kwa Afisa Misitu au Meneja Misitu wa Wilaya na kujadiliwa na kutolewa maa- muzi na Kamati ya Kusimamia Uvunaji ya Wilaya.

d) Kila Afisa misitu na Meneja Misitu wa Wilaya atatakiwa kuwa na orodha ya wavunaji na wafanyabiashara wa mkaa, ku- kausha tumbaku, kukausha samaki, uchomaji matofali, uchomaji chokaa na uokaji mikate.

e) Serikali ya kijiji itatunza Daftari la Orodha ya watu ambao watakuwa wanashughulika na kutengeneza mkaa, kukausha tumbaku, kukausha samaki, uchomaji matofali, uchomaji chokaa na uokaji mikate. Daftari hilo litakuwa pia na kumbu- kumbu ya idadi ya mifuko ya mkaa na saini kwa kila mvunaji Kila mvunaji wa miti kwa ajili ya biashara ya mkaa na kuni, kukausha tumbaku, kukausha samaki, kuchoma matofali, kuchoma chokaa, uokaji mikate au biashara inayofanana na hiyo anapaswa kulipia mrahaba kama ilivyoainishwa kwenye Jedwali lililoainishwa kwenye Kanuni za Misitu, Zabuni na Mnada au Makubaliano maalum kwa kuzingatia Sheria ya Misitu na Kanuni zake pamoja na Sheria za manunuzi na usimamizi fedha za umma.

f) Hali kadhalika, mvunaji atatakiwa kuchangia kwenye kifungu cha upandaji miti kwa kulipa asilimia tano (5%) ya mra- baha na fedha hizo zitawekwa katika Mfuko wa Misitu (Tanzania Forest Fund -TaFF).

g) Ukataji wa miti kwa ajili ya kuni, utengenezaji wa mkaa, ukaushaji tumbaku, ukaushaji samaki, uchomaji matofali, ucho- maji chokaa na uokaji mikate utafanyika kwa kuchagua miti inayofaa kwa shughuli hiyo tu kama inavyoelekeza kwenye sheria ya Misitu sura ya 323.

h) Utengenezaji wa mkaa utafanywa kwa kutumia tekinolojia yenye ufanisi kwa mfano matanuru ya kujengwa (half-or- ange au Casamanse Kiln).

i) Serikali ya kijiji itahakikisha kuwa hifadhi ya mazingira inazingatiwa katika eneo la uvunaji.

j) Kibali cha kuvuna na kutumia miti ya asili kwa ajili ya nishati ya kuendesha mitambo ya viwandani hakitatolewa.

Magogo Utaratibu wa uvunaji wa magogo ni:

a) Kupima kipenyo cha mti kabla ya kuangusha mti kulingana na kanuni inavyoelekeza;

16 Wakala wa Huduma za Misitu Wizara ya Maliasili na Utalii

b) Visiki vya miti yote iliyovunwa vitawekwa alama ya nyundo;

c) Magogo yote yanatakiwa kuwa na alama ya nyundo katika ncha zote mbili za gogo;

d) Watakaovuna miti katika misitu ya asili watatakiwa kuchangia kwenye kifungu cha upandaji miti kwa kulipa asilimia tano (5%) ya mrabaha na fedha hizo zitawekwa katika Mfuko wa Misitu (Tanzania Forest Fund -TaFF).

e) Maeneo ya uvunaji yatafuata utaratibu wa kutenga maeneo mahsusi kila mwaka; na

f) Ukataji na ulengetaji wa magogo utafanyika kwa kutumia misumeno yenye ufanisi na inayoruhusiwa kisheria.

Nguzo Uvunaji wa miti kwa ajili ya nguzo utafuata utaratibu ufuatao:

a) Uvunaji miti kwa ajili ya nguzo utafanyika kwa kuzingatia vipimo vya nguzo;

b) Mvunaji ataoneshwa eneo la kuvuna na Afisa Misitu baada ya kupata kibali. Uvunaji utafanyika kwa kuchagua miti in- ayofaa kwa shughuli hiyo kama inavyoelekeza kwenye sheria ya Misitu sura ya 323;

c) Nguzo za miti ya asili hazitaruhusiwa kuuzwa nje ya nchi.

d) Wakandarasi hawaruhusiwi kutumia nguzo za miti ya asili kwa ajili ya ujenzi.

e) Mfanyabiashara wa nguzo, pamoja na kuwa na leseni, atatakiwa kulipia asilimia tano (5%) ya mrabaha katika Mfuko wa Misitu (Tanzania Forest Fund - TFF) kwenye kifungu cha upandaji miti.

UVUNAJI KATIKA MISITU YA JAMII, WATU BINAFSI NA TAASISI Utaratibu ufuatao utatumika: a) Watu binafsi watatakiwa kutoa uthibitisho wa uhalali wa kumiliki msitu/miti husika kupitia Serikali ya Kijiji na Afisa Mis- itu wa Wilaya.

b) Uvunaji utaruhusiwa mara baada ya ukaguzi wa miti kufanyika na kuthibitishwa na Afisa Misitu kuwa miti hiyo imefikia kiwango cha kuvunwa. Afisa Misitu wa Wilaya au Meneja Misitu wa Wilaya atapima kipenyo cha mti kabla haujaangush- wa;

c) Maombi ya uvunaji yatapelekwa kwa mmiliki wa msitu husika kwa maandishi na kuthibitishwa na Serikali ya Kijiji na Afisa Misitu au Meneja Misitu wa Wilaya;

d) Uvunaji utafanyika kwa mujibu wa mpango wa usimamizi wa msitu husika;

e) Mvunaji awe na hati ya kusafirisha mazao ya misitu (Transit Pass - TP) inayotambuliwa na Wakala wa Huduma za Misitu;

f) Kuweka alama ya nyundo iliyoidhinishwa na Wakala katika visiki vya miti yote iliyovunwa;

g) Kuweka alama ya nyundo katika ncha zote mbili za gogo;

UVUNAJI WA MITI ILIYOHIFADHIWA KISHERIA

Miti iliyohifadhiwa kisheria (reserved trees) ambayo imeota kwenye mashamba ya watu binafsi itavunwa kwa kuzingatia Waraka Na. 1 wa mwaka 2001 ambao unaelekeza ifuatavyo:

a) Asilimia ishirini (20%) ya mrabaha ulioainishwa kwenye Jedwali Na. 14 uliotajwa kisheria itatozwa kama gharama za huduma atakazotoa Afisa Misitu kwa ajili ya ukaguzi, upimaji, uwekaji alama ya nyundo, utoaji wa leseni na hati ya kusa- firishia mazao yaliyovunwa na usimamizi kwa ujumla.

b) Kama mwenye kumiliki ardhi ataamua kutoa idhini ya kuvuna miti hiyo kwa mtu mwingine kupewa leseni ya kuvuna miti iliyohifadhiwa kutoka kwenye shamba analomiliki, mtu au watu waliopewa ruhusa hiyo watalazimika kulipa ushuru wote (100%) uliopangwa na serikali kisheria bila kujali kiasi cha fedha ambacho watakuwa wamemlipa mwenye ardhi.

Kusoma au kupakua (download) nakala tete ya Mwongozo mzima wa Uvunaji Endelevu na Biashara ya Mazao ya Misitu tembe- lea tovuti ya Wizara ya Maliasili na Utalii www.mnrt.go.tz au www.tfs.go.tz .

Wakala wa Huduma za Misitu 17 Wizara ya Maliasili na Utalii Nishati Mbadala Mkombozi wa misitu nchini Misitu ni uhai kwa kuwa hukidhi mahitaji mbalimbali ya binadamu, kama vile kuhifadhi vyanzo vya maji, kuboresha hali ya hewa, kuzuia mmomonyoko wa ardhi, upatikanaji wa kuni, mbao, madawa, malisho ya mifugo, kuboresha shughuli za kilimo na kuboresha mandhari ya nchi yetu mijini na vijijini. Aidha, misitu pia ni chanzo muhimu cha mapato kwa wananchi wengi wa vijijini na mijini.

Ni kutokana na umuhimu huo wa Misitu ndio maana Wakala wa Huduma za Misitu nchini (TFS) ikapewa jukumu la kusimamia misitu na rasilimali zake kwa niaba ya Serikali Kuu ili iweze kuwanufaisha Watanzania wa leo na wa kesho.

Iko wazi kuwa kuna utegemezi mkubwa wa misitu kama chanzo rahisi na kikuu cha nishati nchini, ambapo zaidi ya asilimia 90 ya nishati inayotumika nchini inatokana na miti. Uvunaji mkubwa wa mkaa umeathiri sana ubora wa misitu. Kuni zinatumika zaidi vijijini na mkaa unatumika zaidi mijini.

Matumizi ya nishati mbadala yanatajwa kama moja ya suluhisho la tatizo hilo, Katika kukabiliana na tatizo la uharibifu Moja ya mashine inayotumika kutengeneza makaa ya mawe baada kupitishwa kwenye tanuru la wa Misitu Wizara ya Maliasili na Utalii uchakataji tayari kwa ajili ya matumizi ya majumbani. kupitia Wakala wa Huduma za Misitu nchini (TFS) inafanya ushirikiano na Shirika hilo limejikita katika uwezeshwaji juu ya matumizi ya nishati hiyo mbadala. wadau wa sekta mbalimbali hasa Wizara wa vikundi vya wanawake kiujisiliamali Akizungumza na gazeti hili Meneja wa ya Nishati na madini na jamii kwa ujumla ili waweze kujikwamua kiuchumi hasa Uzalishaji wa shirika hilo, Harid Kapinga ili kupunguza utegemezi wa misitu kama wanawake ambao wanazunguka mgodi aliitaja miradi mingine ambayo inafanywa chanzo kikuu cha nishati. wa makaa ya mawe wa Ngaka uliopo na shirika hilo kuwa ni huduma ya chakula Kata ya Ruanda wilayani Mbinga, wengi na usafi katika kambi ya mgodi wa makaa Miongoni mwa asasi za kiraia ambazo wao wameshindwa kuajiriwa na mgodi ya mawe wa Ngaka, programu ya shule, Wizara inashirikiana nazo katika huo kutokana na ugumu wa shughuli bustani ya mboga na matunda, shamba kuhamasisha matumizi ya nishati husika ambazo hufanywa na wanaume. la mpunga na ufinyanzi wa vyungu. mbadala ni Shirika Lisilo la Kiserikali (NGO) la Mbalawala Women Organization Likiwa limejikita na shughuli za miradi ya Akizungumzia uongezaji wa thamani wa (MWO) ambalo lipo katika wilaya ya utengenezaji wa vitofali vya kupikia vya makaa ya mawe ili yaweze kutumika kwa Mbinga Mkoani Ruvuma, Makao yake makaa ya mawe pia lina lengo la kutunza matumizi ya majumbani, Meneja huyo makuu yakiwa katika kijiji cha Ruanda mazingira kwa kupunguza ukataji wa miti wa Uzalishaji alisema, awali wananchi eneo maarufu kwa jina la Center D. kwa kutengeneza na kuhamasisha jamii walikuwa wanaokota makaa ya mawe

18 Wakala wa Huduma za Misitu Wizara ya Maliasili na Utalii

Akizungumzia hali ya soko alisema kuwa ulifanyika utafiti wa mwaka mmoja na baada ya hapo wakaanza uzalishaji kisha elimu kwa wananchi ikatolewa katika vitongoji 8 ambavyo vina zunguka mgodi huo kuhusu matumizi bora ya makaa ya mawe, pia elimu hiyo ilitolewa kwenye vikundi mbalimbali ambavyo vinauza mkaa wa kuni, kwenye maonesho mbalimbali kama Saba Saba na makongamano.

“Watumiaji wengi wamehamasika sana kutumia mkaa huu na mawakala pia wamepatikana kwa ajili ya kusambaza mkaa huu Jengo pamoja na tanuri la kuchakata makaa ya mawe ambalo limejengwa kwa msaada wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) ikiwa moja ya mkakati wake wa kushirikiana nchi nzima na sasa tunajipanga kwa uzalishaji mkubwa zaidi pembezoni na mgodi na kwenda kupikia 2,225,000 lakini mkaa huu unaotokana kwani majaribio ya utengenezaji bila kujua madhara yake kwa maisha na makaa ya mawe tani moja ni shilingi ya binadamu na uharibifu wa vyombo 200,000 ukiyanunua kiwandani kwetu” yameshafanyika na kukamilika” ambavyo walikuwa wanavitumia katika alisema Kapinga. kupikia vyakula vyao. Alifafanua kuwa makaa ya mawe yenye umbo dogo kwa bei ya rejareja huuzwa Alisema kuwa matokeo ya majaribio “Kutokana na umuhimu wa jambo shilingi 200 kwa kilo na kwa ule wenye hayo yameonyesha mafanikio makubwa hilo Kampuni ya Tancoal Energy kwa umbo kubwa ambao unafaa kwa matumizi kutokana na mwitikio wa wananchi kwani kushirikiana na Mbalawala waliamua makubwa huuzwa kwa shilingi 350, na vitofali vina ubora vimetengenezwa kuchukua hatua ya kuongeza thamani kwa kipande kimoja cha mkaa unaweza kwa kutumia mavumbi ya makaa ya ya makaa ya mawe kupitia wataalam na ukapikia vitu vingi kwakuwa toka kuwaka mawe na malighafi zingine na wananchi maabara ya mgodi ili yaweze kufaa kwa kwake mpaka kuwa jivu huchukua zaidi wanaendelea kuvitumia katika shughuli kupikia majumbani” alisema Kapinga. ya masaa manane. zao za kila siku kuzunguka mgodi.

Alisema kuwa huwa wanatumia vumbi Alitaja faida nyingine kuwa ni uhifadhi na Akizungumzia ushirikiano baina yao ambalo linatokana na kukatwa kwa utunzaji wa misitu kwakuwa matumizi ya na Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia mkaa wa mawe na kupelekwa maabara makaa ya mawe yataepusha utegemezi Wakala wa Huduma za Misitu nchini ili kuweza kubaini kiasi cha athari ya joto wa rasilmali za misitu kama nishati (TFS) alisema, ushirikiano wao ni mzuri lililopo kabla ya kuongezewa thamani pekee ya kupikia, aliongeza kuwa utafiti sana kwa kuwa wamepatiwa fedha za kwa ajili ya matumizi ya kawaida ya uliofanywa unaonyesha kuwa uchimbaji kujengea jengo na tanuri la kuchakatia majumbani. wa makaa ya mawe unaweza kuchukua makaa ya mawe, ingawa bado kuna zaidi ya miaka 100, hivyo ukitumika changamoto ya mitambo ya kuzalishia Alieleza kuwa joto la Makaa wa mawe ipasavyo unaweza kuokoa uharibifu wa pamoja na umeme wa uhakika. ya Ngaka lipo juu sana kati ya Calorific misitu. Value (CV) 5800 hadi 6200 wakati joto linalotakiwa kwa ajili ya kupikia ni kati ya CV - 4200 mpaka 4500 hivyo wataalamu wa maabara huuingiza kwenye mitambo maalum na kuuongezea thamani kwa ya kurekebisha joto linalotakiwa kabla ya matumizi ya majumbani.

Alieleza kuwa wanatengeneza aina mbili za mkaa, wenye umbo dogo kwa ajili ya matumizi ya majumbani na wenye umbo kubwa kwa ajili ya matumizi ya taasisi kubwa kama Shule, Hoteli, Vyuo na Magereza.

Akielezea faida za mkaa huo Kapinga alisema “Miongoni mwa faida za makaa haya ya mawe ni pamoja na unafuu wa bei katika manunuzi, kwa mfano Wanafunzi wa shule mbalimbali za msingi na sekondari Mkoani Ruvuma hutembelea asasi ya tani moja ya mkaa wa miti ni shilingi Mbalawala kwa ajili ya kujifunza kuhusu nishati ya makaa ya mawe.

Wakala wa Huduma za Misitu 19 Wizara ya Maliasili na Utalii

“Mradi huu ni muhimu sana hivyo tunaziomba Taasisi na Serikali ziweze kutusaidia kukabiliana na changamoto zinazotukabili katika uzalishaji ili tuweze kufanikiwa kusambaza mkaa huu nchi nzima na kufanikisha kampeni ya utunzaji wa misitu kwa kutumia nishati mbadala kwani bila nishati mbadala kamwe vita ya utunzaji wa misitu haiwezi kushinda” alisema Kapinga.

Awali Meneja huyo wa Uzalishaji alisema kuwa Mbalawala Women Organization ni matokeo ya juhudi za Tancoal Energy Limited katika kuisaidia jamii inayozunguka mgodi wa makaa ya mawe wa Ngaka na kwamba Shirika la Mbalawala Women Organization limeundwa na vijiji vya Ruanda na Ntunduwaro, Tancoal Energy Limited na kikundi cha Umoja wa Wanawake Mbalawala (Mbalawala Women Association).

Alisema kuwa Ruanda na Ntunduwaro ni vijiji jirani vinavyozunguka mgodi wa makaa ya mawe wa Ngaka ambapo Umoja wa Wanawake Mbalawala ni kikundi cha wanawake walioungana kutoka vijiji vya Ruanda na Ntunduwaro Meneja wa Uzalishaji wa Shirika Lisilo la Kiserikali (NGO) la Mbalawala Women Organization (MWO), Tancoal ni mwekezaji wa mgodi wa Harid Kapinga akiwa ofisini kwake. makaa ya mawe ya Ngaka na maana natumia nishati ya gesi kupikia ambapo shilingi 70,000 pamoja na jiko lake na ya neno Mbalawala limetokana na jina kwa wiki mbili hutumia mtungi wa gesi hujazwa kwa shilingi 18,000. la mto uliopo karibu na eneo la mgodi wa kilo sita ambao kuujaza hunigharimu mmojawapo wa machimbo ya Ngaka shilingi 18,000 tu, hiyo ni faida kubwa” Alisema ukipiga mahesabu ya matumizi wilayani Mbinga. alisema Ntiina. ya kawaida, mtungi wa kilo 15 huweza kutosha familia ya watu watano kwa Wakati huo huo baadhi ya wananchi wa Alisema kwa sasa ameacha kabisa zaidi ya mwezi mmoja. Akifananisha Dar es Salaam wametoa maoni yao tofauti matumizi ya mkaa kwa kuwa hayana matumizi hayo na yale ya mkaa alisema juu ya dhana ya rasilimali za misitu kuwa faida kiuchumi na athari zake kimazingira kiwango cha mkaa kwa mwezi kwa ndiyo nishati rahisi zaidi nchini na kueleza ni kubwa ukilinganisha na gesi ambayo ukubwa wa familia kama hiyo hata kama kuwa matumizi ya nishati mbadala matumizi yake ni rahisi na hupika kwa wanatumia kiwango cha chini kabisa cha hususani gesi asilia katika matumizi ya haraka zaidi. 2,000 kwa siku, kwa mwezi itakua shilingi kupikia ni rahisi zaidi na ina faida nyingi 60,000 matumizi ambayo ni ghali zaidi kuliko matumizi ya mkaa wa miti. Kwa upande wake mfanyabiashara, ukilinganisha na bei ya kujaza mtungi wa Hassan Rashid Ally ambaye ni wakala wa kilo 15 ambao ni shilingi 45,000 na bado Anthony Ntiina ni Mkazi wa Kata mitungi ya Oryx maeneo ya Mkwajuni matumizi yake huweza kuzidi mwezi Mwinjuma Wilaya ya Kinondoni, Wilaya ya Kinondoni, amesema tatizo mmoja. amesema yeye na familia yake ya watu lililopo kwa baadhi ya wananchi ni uoga watano hutumia nishati ya gesi kupikia wa kuingia kwenye matumizi ya gesi Aliongeza kuwa kinachotakiwa ni na wamegundua faida nyingi za kiuchumi wakiamini kuwa nishati hiyo ni ghali wananchi kuacha uoga na kuwa na mtaji kwakuwa hutumia kiasi kidogo cha fedha zaidi kuliko matumizi ya mkaa ambayo kidogo wa kuweza kumiliki mtungi wa katika nishati hiyo kuliko walivyokuwa wameyazoea jambo ambalo sio la kweli. gesi na jiko lake kwa wale watakaotumia wakitumia nishati ya mkaa hapo awali. Hassan alisema kuwa kwa sasa bei ya mitungi mikubwa kuanzia kilo 15 kwenda kununua mtungi na gesi ya kilo 15 ni juu na kuanza mara moja matumizi ya “Nilikuwa natumia karibu 4,000 kila siku shiingi 85,000 na bei ya kujaza mtungi nishati ya gesi ambapo wataona faida kununua mkaa wa reja reja, kwa wiki mbili mtupu ni shilingi 45,000. Kwa upande zake kiuchumi na kimazingira. ilinigharimu shilingi 60,000. Kwa sasa wa mtungi wa kilo 6 alisema unauzwa

20 Wakala wa Huduma za Misitu Wizara ya Maliasili na Utalii Serikali kutatua migogoro maeneo ya Hifadhi kwa kutumia mbinu shirikishi

Naibu Waziri wa Maliasili, Eng. Ramo Makani (wa sita kushoto) akioneshwa Kigingi cha mpaka na Afisa Misitu na Nyuki TFS Wilaya ya Magu, Ayoub Mikae kinachodaiwa kusogezwa mbele na wananchi wa eneo hilo kwa ajili ya kumega eneo la Hifadhi ya Msitu Sayaka Wilayani Magu alipotembelea hifadhi hiyo yenye mgogoro hivi karibuni. Wengine katika picha ni wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Magu. Serikali kupitia Wizara ya “Maeneo yote yenye migogoro Hifadhi ya Msitu wa Sayaka, Eng. Makani Maliasili na Utalii imeahidi tunaenda kuyapitia upya, tukija alisema kuwa, uamuzi wa kufika katika kupitia upya maeneo yote ya kwenye utatuzi tutawashirikisha eneo hilo la mgogoro ni kuona uhalisia kabla ya kuchukuliwa hatua za kumaliza Hifadhi nchini yenye migogoro wananchi kupitia Serikali zao mgogoro huo ikiwa ni utekelezaji wa ya ardhi kwa ajili ya kuyatafutia za Vijiji ambazo wajumbe ahadi ya Serikali aliyoitoa bungeni hivi suluhu ya kudumu kwa kutumia wake watahusika kwenye karibuni kwa Mbunge wa Jimbo la Magu, mbinu shirikishi. makubaliano kwa kuzingatia Boniventure Kiswaga. umuhimu na faida za Uhifadhi Hayo yamesemwa hivi karibuni na Naibu lakini huku tukihakikisha Katika mgogoro huo wananchi wa vijiji Waziri wa Wizara hiyo, Eng. Ramo Makani vinavyozunguka Hifadhi hiyo walitoa tunajibu kero zinazowakabili” wakati akizungumza na Wananchi wa malalamiko yao kwa Naibu Waziri vijiji vinavyozunguka Hifadhi ya Msitu wa Aliesema Eng. Makani. Makani kuwa maofisa wa TFS wamekuwa Sayaka katika Kijiji cha Busega Wilayani wakisogeza vigingi vya mpaka wa eneo Aliongeza kuwa wakati wa kutatua Magu Mkoani Mwanza. hilo ili kumega maeneo ya vijiji bila migogoro hiyo yataainishwa maeneo kuwashirikisha. Eng. Makani alisema kuwa Serikali ya kwa ajili ya shughuli za ufugaji na kilimo kuepusha muingiliano kati ya wakulima awamu ya tano imekusudia kubadilisha “Sio kwamba tunapinga Uhifadhi, na wafugaji pamoja na kuepusha mfumo wa utendaji Serikali ambapo lakini tunauliza kwanini vigingi kwenye utatuzi wa migogoro iliyopo uvamizi kwenye maeneo ya Hifadhi yaliyoainishwa, utaratibu huo utazingatia vinahama kila mwaka kusogelea kwenye maeneo ya hifadhi nchini maeneo yetu” itatatuliwa kwa kuwashirikisha sheria, kanuni, taratibu na miongozo wananchi wa maeneo husika na kuweka mbalimbali ya Serikali. kumbukumbu sahihi za makubaliano Alihoji Mwanyekiti wa Kijiji cha kufikia suluhu ya kudumu. Awali akizungumzia mgogoro wa Bugatu, Charles Kusenza.

Wakala wa Huduma za Misitu 21 Wizara ya Maliasili na Utalii

Akijibu malalamiko hayo Afisa Misitu na Nyuki wa TFS Wilaya ya Magu, Ayoub Mikae alisema kuwa, kilichokuwa kinafanyika sio kusogeza vigingi bali na kuimarisha vigingi vilivyokuwepo ambapo utambuzi wake ulifanyika kitaalam kwa kutumia teknolojia ya GPS. Aliongeza kuwa baadhi ya wananchi wasio waadilifu walidaiwa kusogeza vigingi vya mpaka wa Hifadhi hiyo ili wapate eneo la kulima jambo lililoleta taswira tofauti wakati wa kufanya marekebisho sahihi kwa kutumia mtambo wa GPS uliosaidia kubaini mpaka asilia.

Ayoub alisema kuwa sababu ya kuanzishwa kwa Hifadhi ya Msitu Sayaka ilikuwa ni kuhifadhi uoto wa asili, kutunza vyanzo vya maji na kuhifadhi samaki wa Ziwa Victoria kwa kuwa mto uliopo Naibu Waziri Maliasili, Eng. Ramo Makani (kulia) akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Bugatu, Wilaya katika hifadhi hiyo unapeleka maji Ziwa ya Magu, Mkoani Mwanza hivi karibuni wakati akikagua ramani ya Hifadhi ya Msitu wa Sayaka kubaini maeneo ya mpaka yenye mgogoro. Eng. Makani aliahidi kwa niaba ya Serikali kupitiwa upya maeneo Victoria. yoye ya Hifadhi yenye migogoro nchini kwa ajili ya kutafutiwa suluhu ya kudumu.

Baada ya kusikiliza hoja mbalimbali Alisema kuwa “Tunahitaji kuiomba Serikali kupitia Naibu Waziri za wananchi wa vijiji vinavyozunguka uhifadhi endelevu, peke yetu bila huyo kuwasaidia maeneo ya kufuga na Hifadhi hiyo katika mkutano uliofanyika wananchi hatuwezi, tunahitaji kulima kutokana na ufinyu wa maeneo katika Kijiji cha Bugatu, Eng. Makani uhifadhi rafiki, tukiwa na uelewa uliosababishwa na ongezeko kubwa la alisema kuwa tatizo kubwa aliloliona watu. katika mgogoro huo ni changamoto ya wa pamoja juu ya umuhimu wa uelewa hafifu wa baadhi ya wananchi juu uhifadhi na tukajibu kero zenu Naibu Waziri Makani Aliahidi kwa niaba ya umuhimu wa uhifadhi, ushirikishwaji mtatusaidia kulinda na kuhifadhi ya Serikali kupitiwa upya maeneo yoye hafifu wa wananchi kwenye uwekaji Maliasili zetu”. ya Hifadhi nchini yenye migogoro na wa vigingi na baadhi ya wananchi kuyatafutiwa suluhu ya kudumu kwa kuchanganya vigingi vya hifadhi ya maji Kwa upande wa Wananchi wa vijiji kuzingatia sheria, kanuni, taratibu na na hifadhi ya Msitu, changamoto ambazo vinavyozunguka hifadhi hiyo waliopewa miongozo mbalimbali ya Serikali. alisema zitazingatiwa kwa kina wakati wa fursa ya kuchangia na kuuliza maswali utatuzi wa mgogoro huo. kwenye mkutano huo walipaza sauti zao

“Maeneo yote yenye migogoro tunaenda kuyapitia upya, tukija kwenye utatuzi tutawashirikisha wananchi kupitia Serikali zao za Vijiji ambazo wajumbe wake watahusika kwenye makubaliano kwa kuzingatia umuhimu na faida za Uhifadhi lakini huku tukihakikisha tunajibu kero zinazowakabili” Aliesema Eng. Makani.

22 Wakala wa Huduma za Misitu Wizara ya Maliasili na Utalii

TFSTFS kuanzishakuanzisha HifadhiHifadhi zaza NyukiNyuki nana MsituMsitu ManyoniManyoni

Miongoni mwa majukumu ya Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) ni pamoja na kuanzisha na kusimamia Misitu ya hifadhi na Hifadhi za Nyuki za Serikali kuu, Kusimamia utekelezaji wa Sheria za Misitu na Ufugaji Nyuki katika maeneo yaliyo chini ya Wakala, Kukusanya Maduhuli yatokanayo na mazao ya misitu pamoja na Kufanya biashara ya mazao na huduma za Misitu na Ufugaji Nyuki.

Wakala wa Huduma za Misitu Wilaya ya Manyoni Mkoani Singida hutekeleza majukumu hayo kwa vitendo, Mkuu wa Kitengo cha Nyuki wa Wilaya hiyo, Juma Mchaf ambaye pia ni Afisa Nyuki Mwandamizi alisema kituo hicho Mkuu wa Kitengo cha Nyuki, Wakala wa Huduma za Misitu Wilaya ya Manyoni, Juma Mchaf ambaye kinafanya kazi ya uhifadhi kwa ujumla, pia ni Afisa Nyuki Mwandamizi akionesha baadhi ya mizinga ya kisasa wanayoitumia katika ufugaji wa ukusanyaji wa maduhuli ya Serikali, Kutoa nyuki Wilayani humo. elimu kwenye uhifadhi wa Misitu na Alisema hifadhi hizo za nyuki ni Angondi Nyuki, Kufuga Nyuki ambapo huzalisha hifadhi hizo itakua chachu ya kuimarisha yenye ukubwa wa hekta 1740 ambayo Asali na Nta pamoja na kusimamia sheria uhifadhi Mkoani Singida kwa kuwa Mkoa ilipendekezwa tarehe 19 Oktoba 2005 na za Misitu na Nyuki Wilayani humo. huo ni miongoni mwa Mikoa ambayo Hifadhi ya Nyuki ya Msemembo yenye haina Msitu wa Hifadhi uliohifadhiwa hekta 1,000 iliyopendekezwa mwaka Katika kutekeleza majukumu hayo kisheria. Hifadhi hizo zote zipo katika 2012. Kwa upande wa Hifadhi ya Msitu alisema, kwa sasa wapo katika hatua Wilaya ya Manyoni. ambao upo katika hatua za mwisho za mwisho za kukamilisha mchakato kutangazwa rasmi ni Msitu wa 5,000 wa kuanzisha hifadhi mbili za nyuki na Akizungumzia kazi za Ufugaji Nyuki Kilinga yenye ukubwa wa hekta ambayo hifadhi moja ya Msitu ambapo taratibu Mchaf alisema katika kituo cha Manyoni ilipendekezwa mwaka 2015. Hifadhi hizo za kuanzishwa kwake zimekamilika na wanazalisha Asali pamoja na Nta ambazo zote zimesharidhiwa na vijiji husika kwa sasa inasubiriwa kutangazwa kwenye mapato yake yanaingia Serikalini kama ajili ya matumizi hayo. gazeti la Serikali ziweze kutambuliwa maduhuli. Alisema kwa sasa wana rasmi kisheria. mizinga 800 ya nyuki na uzalishaji wa Kukamilika mchakato wa kuanzisha Asali katika kipindi cha mwaka 2014/15

Wakala wa Huduma za Misitu 23 Wizara ya Maliasili na Utalii ulikuwa kilo 1,687 na Nta kilo 48. Alisema wa sasa bei ya asali bei ya soko ni shilingi 10,000 kwa kilo na Nta shilingii 10,000 hadi 12,000 kwa kilo.

“Kwa upande wa mwaka wa fedha uliopita 2015/16 tulizalisha Asali kilo 1,078.5 na Nta kilo 97.1, unaweza ukauliza kwanini kiwango hicho kimepungua ukilinganisha na mwaka uliotangulia, hiyo ilisababishwa na mabadiliko ya hali ya hewa, mvua zikiwa nyingi au jua huathiri uzalishaji, ili yapatikane mavuno mazuri inatakiwa mvua na jua la wastani” Alisema Mchaf.

Aliongeza kuwa pamoja na kazi ya ufugaji wa nyuki, huelimisha pia jamii juu ya uhifadhi wa misitu na ufugaji wa nyuki, katika kipindi cha mwaka 2015/16 jumla Afisa Nyuki Msaidizi wa Wakala wa Huduma za Misitu Wilaya ya Manyoni, Shukurani Bonamali ya vikundi sita (6) vilipatiwa mafunzo akionesha asali na nta ambayo imeshachakatwa na kupakiwa vizuri kwa ajili kupelekwa sokoni. na kupewa mizinga kumi na mbili kwa imekosa usimamizi mzuri kutokana na uwepo wa malengo na vipaombele tofauti kila kikundi kimoja. Thamani ya mzinga katika sekta hiyo ya uhifadhi kwa baadhi ya wahusika ambao ni wasimamizi na mmoja ikiwa shilingi 80,000 hivyo jumla wamiliki. ya fedha zilizotumika ni shilingi milioni 5.8. Mchaf alisema changamoto nyingine ya uhifadhi iliyopo ni upewaji kipaombele wa ukusanyaji wa maduhuli ambayo kwa namna moja ama nyengine hushawishi uvunaji Akizungumzia faida za asali na nta wa Misitu. Alisema kuwa Lengo kuu la Wakala wa Huduma za Misitu ni Uhifadhi alisema, zina faida nyingi za kiafya na hivyo ili kunusuru misitu kuna haja ya kuweka mkazo kwenye uhifadhi zaidi kuliko za kiuchumi ambapo huweza kutumika ukusanyaji wa maduhuri ambao kwa namna moja ama nyingine unachochea uvunaji kama kiambata cha dawa, kutengenezea wa misitu kiholela. mafuta, vipodozi, madawa mbalimbali ya ngozi, mishumaa, batiki na dawa za viatu Aidha alisema changamoto nyingine inatokana na ukubwa wa maeneo yaliyohifadhiwa (shoe polish). Pia alieleza kuwa asilimia ukilinganisha na idadi ya watumishi na vitendea kazi. Alisema watumishi ni wachache 80 ya mimea yote duniani hutegemea kiasi cha kutosha kulinda na kuhifadhi maeneo yote kikamilifu. nyuki kwa ajili ya uchevushaji, hivyo bila nyuki hakuna maisha ya mimea. Kwa upande wake Afisa Misitu wa Wakala wa Huduma za Misitu Wilaya ya Manyoni, Walter Kiyanga alisema katika kipindi cha mwaka 2015/16 walipanda miti 3,200 katika Akizungumzia changamoto za uhifadhi kijiji cha Hika kwa ajili ya kuhamasisha upandaji miti katika Wilaya hiyo pamoja na na ufugaji wa nyuki, Mchaf alisema, kwa kuboresha mazingira ya uhifadhi. Alisema katika kipindi hicho walikuasanya maduhuli sasa kuna changamoto kubwa ya uvunaji ya shilingi milioni 112.9. holela wa rasilimali za misitu hususani kwenye misitu ya Halmshauri na ya Watu Binafsi tofauti na ilivyo kwenye Misitu ya Serikali Kuu inayosimamiwa na Wakala wa Huduma za Misitu.

Alisema ili kukabiliana na changamoto hiyo ni vema mfumo wa sasa wa Wakala wa Huduma za Misitu ukabadilishwa na kuwa Mamlaka kamili itakayokuwa na meno ya kusimamia misitu yote ya hifadhi nchini ikiwemo ya Serikali Kuu, Serikali za Mitaa, Watu Binafsi na iliyo sehemu za wazi kama ilivyokuwa zamani kwenye Idara ya Misitu na Nyuki (FBD) kabla ya kuundwa Wakala wa Huduma za Misitu (TFS).

Alisema mfumo wa kuwa na Mamlaka moja iliyo kamili kwa ajili ya kusimamia Misitu yote nchini itaondoa mkanganyiko Madawati Manyoni uliopo hivi sasa ambapo baadhi ya Misitu

24 Wakala wa Huduma za Misitu Wizara ya Maliasili na Utalii

HifadhiHifadhi yaya mazingiramazingira asiliaasilia MkinguMkingu kivutiokivutio chacha UtaliiUtalii

Baadhi ya sehemu za kuvutia katika Hifadhi ya Mazingira Asilia Mkingu ambayo ni njia mojawapo inayotumiwa na watalii kwenda kijiji cha Maskati kuangalia vivutio vya Utalii vinavyopatikana katika Hifadhi hiyo.

Tanzania ni miongoni mwa nchi Kindo alisema Hifadhi hiyo ilianzishwa isipokuwa katika hifadhi hiyo. chache barani Afrika na duniani rasmi mwaka huu 2016 na inasimamiwa ambazo zimejaaliwa kuwa na na kuendeshwa na Wakala wa Huduma Pamoja na hayo alisema, ndani ya Maliasili nyingi zenye ubora za Misitu Tanzania (TFS). hifadhi hiyo kuna msitu unaotumika ambazo kwa kiasi kikubwa kwa masuala ya mila na matambiko ya huchangia kwenye pato la taifa. Alisema Hifadhi hiyo ina umuhimu wa kabila la Waluguru, aidha msitu huo pia pekee kwa kuwa ndio chanzo cha Mto una uzuri wa kipekee unaoufanya uwe Maliasili hizo zipo katika makundi Wami, Mto Ruvu na Mto Mkingu ambayo kivutio kikubwa ndani ya hifadhi hiyo. mbalimbali ikiwemo Hifadhi za Misitu maji yake yamekuwa yakitumika katika na Nyuki, Malikale na Wanyamapori, shughuli mbali mbali za kiuchumi kama Mhifadhi huyo alisema kivutio kingine Kwa pamoja sekta hizo huliingizia taifa vile kilimo, uvuvi, mazalia na makazi ya ambacho kipo ndani ya hifadhi hiyo mapato kupitia Utalii na Maduhuli. mimea na wanyama bila kusahau maji ni pango la Malolo ambalo lipo kama hayo ndiyo hutumiwa na wakazi wa Dar nyumba iliyojengwa na lina historia Moja ya Maliasili hizo ni Hifadhi ya es Salaam na mikoa ya jirani. kubwa kwa wenyeji wa kijiji cha Mkindo. Mazingira Asilia Mkingu ambayo ipo Moja ya historia ya pango hilo ni tukio la katika Wilaya ya Mvomero Mkoani Akizungumzia upekee wa hifadhi hiyo mwanaume mmoja aliyeiba Mke wa Mtu Morogoro. Hifadhi hii yenye ukubwa wa Kindo alisema, hifadhi hiyo ina wanyama na kuishi naye ndani ya pango hilo kwa hekta 26,334 ni ya kipekee kutokana na wenye uti wa mgongo 392, 32 kati yao muda wa miaka 3 bila ya kujulikana na maisha ya viumbe vilivyomo, mimea pamoja na ndege na vyura hawapatikani wanakijiji wa kijiji hicho. asilia ambayo haipatikani kwingineko mahali popote duniani isipokuwa katika duniani na maisha ya binadamu kwa hifadhi hiyo “endemic species”. Alisema kuwa sio pango la Malolo pekee ujumla. ambalo lipo ndani ya hifadhi hiyo bali Aliongeza kuwa hifadhi hiyo ina kuna pango lingine ambalo mtu akikaa Akizungumza na Mwandishi wa Jarida wanyama wanaotambaa 42, kati yao 14 kwenye lango la kuingilia kuna upepo hili, Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi hiyo, Abeid hawapatikani mahali popote duniani unaotoka ndani ukiwa unapuliza hivyo

Wakala wa Huduma za Misitu 25 Wizara ya Maliasili na Utalii kutoa ishara kuwa ndani ya pango hilo kuna uhai.

Tofauti na vivutio hivyo Mhifadhi huyo alisema katika hifadhi hiyo kuna jiwe lenye alama za nyayo za binadamu na kwato za mifugo ikiwa ni ishara tosha kuwa maisha ya binadamu wa kale yalianzia pia katika hifadhi hiyo.

Aliongeza kuwa mbali na jiwe hilo ndani ya hifadhi hiyo kuna maporomoko ya Lusingizo yenye urefu wa mita zaidi ya 50 ambayo mpaka sasa kuna wawekezaji ambao wameshajitokeza kwa ajili ya kuwekeza kwenye uzalishaji wa umeme katika kivutio hicho.

Pia kuna magofu ya kale ya Wajerumani ambayo waliishi ndani ya hifadhi hiyo Aina mojawapo ya chura ambaye anapatikana katika hifadhi ya Mazingira Asilia Mkingu pekee ambao kabla vita vya pili vya dunia na baada ni kivutio kikubwa cha utalii katika hifadhi hiyo. ya kuondoka kwa Wajerumani iligeuzwa kuwa shule ya msingi ya kijiji cha Mafuta, na baadae eneo hilo likatangazwa na Serikali kuwa hifadhi.

Mhifadhi Kindo alisema licha ya hifadhi hiyo kuwa na vivutio vingi vya utalii bado imekuwa ikitembelewa na idadi ndogo ya watalii ambayo hairidhishi ambapo kwa mwaka jana pekee wameweza kupata watalii 75 wa kigeni kutoka nchini Ujerumani.

“Toka mapema mwaka jana hadi hivi sasa tumeweza kugundua vivutio saba vya utalii ndani ya hifadhi hii na tunaendelea kufanya jitihada za makusudi kuhakikisha tunakuwa na vivutio Maporomoko Lusingizo yenye urefu wa mita zaidi ya 50 ambayo yapo katika Hifadhi ya Mazingira vingi zaidi kuweza kuwavutia Asilia Mkingu ambayo ni mojawapo ya kivutio cha Utalii katika Hifadhi hiyo, Wawekezaji mbalimbali wamejitokeza katika uzalishaji wa umeme katika maporomoko hayo. watalii wa ndani na wa nje ili kuongeza mapato ya Serikali”. Alisema. ... hifadhi hiyo kuna jiwe lenye alama Mhifadhi huyo amewataka wanafunzi za nyayo za binadamu na kwato za wa vyuo mbalimbali nchini kutosubiri watafiti kutoka nje ya nchi kufanya utafiti mifugo ikiwa ni ishara tosha kuwa katika Hifadhi hiyo badala yake wawe mstari wa mbele kutafiti na kuvumbua maisha ya binadamu wa kale yalianzia vitu mbalimbali vinavyopatikana katika hifadhi hiyo ya Mkingu. pia katika hifadhi hiyo!

26 Wakala wa Huduma za Misitu Wizara ya Maliasili na Utalii

Shamba la Miti Shume linavyowanufaisha Wananchi Wilayani Lushoto

Kuanzisha na kusimamia mashamba ya Manolo, Sunga, Nkelei, Lupozi, Magamba, uvunaji, kufyeka na kumwagilia miche. miti na manzuki za Serikali kuu ni moja Mshelemule, Malimbwi, Kifungilo, ya jukumu kuu la Wakala wa Huduma Ndabwa na Zumbai. Aliongeza kuwa, kupitia mfumo wa za Misitu Tanzania (TFS). Shamba la Tangia wananchi wa vijiji hivyo hunufaika Miti la Shume ambalo lipo katika Wilaya Akizungumza na jarida hili, Afisa uvunaji ambapo baada ya mavuno ya miti ya Lushoto Mkoani Tanga ni moja ya wa Shamba hilo, Straton Chedelo alisema hupewa mashamba kwa ajili kilimo cha mafanikio ya utekelezaji wa jukumu wananchi wa vijiji hivyo wamenufaika mazao ya chakula na biashara. Miongoni hilo. Kwa ujumla Wakala anasimamia na misaada mbalimbali kutoka katika mwa mazao ambayo hupandwa ni mashamba 18 ya Miti ya Serikali nchini. shamba hilo, ikiwemo vifaa vya kuanzisha mahindi, maharage na viazi, hata hivyo vitalu vya miti kwa ajili ya mashamba mfumo huo husaidia utunzaji wa miche Shamba hilo lilianzishwa mwaka 1900 yao na mbegu ambavyo kwa pamoja ya miti ambayo imeshapandwa kwa likiwa ni shamba la miti ya asilia, upandaji viligharimu shilingi milioni 6.4. Misaada kuwa wananchi hao pia huihudumia. wa miti ulianza rasmi mwaka 1907. hiyo hutolewa kwa ajili ya kuhamasisha Shamba hilo lenye ukubwa wa Hekta upandaji wa miti na uhifadhi wa mazingira Ilielezwa kuwa Faida nyingine 4,365 lilitangazwa rasmi kwa Tangazo la kwa ujumla ambapo pia huwaongezea wanayoipata wananchi hao ni upewaji Serikali Namba 417 la tarehe 6 Septemba, kipato. wa kipambele kwenye mauzo ya vitalu 1963. vya miti, Utaratibu ambao hufanyika Katika kuunga mkono Uongozi wa kwa ajili ya kuimarisha mahusiano mema Shamba hilo limepandwa miti aina mbali Serikali ya awamu ya tano kwenye na wananchi wa vijiji hivyo hususani mbali ambayo hutumika kwa ajili ya mchango wa madawati mashuleni, katika ulinzi wa misitu. Vibali hivyo matumizi mbalimbali ikiwemo uzalishaji Alieleza kuwa katika bajeti yao ya mwaka huwawezesha pia kutatua changamoto wa mbao, nguzo na Samani mbalimbali. wa fedha 2015/16 waliweza kutengeneza zao za kila siku na kusaidia kwenye Aina hiyo ya miti kitaalamu ni Pine madawati 200 yenye thamani ya shilingi shughuli za maendeleo. Patula, Grevillea Rubusta, Cypress, Acacia milioni 15 kwa ajili shule za vijiji jirani. Mearinsii na Eucalyptus. Shamba la Miti Shume limetajwa Chedelo aliongeza kuwa Wananchi wa kuwa muhimu sana katika utunzaji wa Kupitia shamba hilo Serikali inapata vijiji hivyo vinavyozunguka shamba vyanzo mbalimbali vya maji ambayo mapato mbali mbali yanayotokana na wananufaika pia na ajira za muda mfupi ndiyo hunywesha wananchi wa vijiji 16 mauzo ya vitalu vya miti katika shamba za mkataba zaidi ya 400 kwa ajili ya kazi vinavyozunguka shamba hilo pamoja na hilo. Katika mwaka wa fedha 2015/16 mbalimbali ikiwemo upandaji wa miti, wakazi wa Mji wa Lushoto Mkoani Tanga. Shamba hilo liliuza miti yenye ujazo wa mita 27,568.05m3 na kukusanya maduhuli ya shilingi bilioni 1. 4.

Shamba hilo linazungukwa na vijiji 16 vya Wilaya ya Lushoto ambavyo vinanufaika kwa namna mbalimbali na uwepo wa shamba hilo.

Vijiji hivyo ni Gologolo, Mavuno, Kapalawei, Viti, Shume, Nywelo, Mkunki,

Wakala wa Huduma za Misitu 27 Wizara ya Maliasili na Utalii Serikali ya Tanzania na Zambia zasaini makubaliano ya kulinda misitu Maj. Gen. Milanzi alisema kuwa jumla ya makontena ya magogo hayo ni 103 ambapo makotena 56 yalikamatwa kuanzia mwezi Novemba mwaka jana yakidaiwa kutoka nchini Zambia na makontena mengine 47 yaliyodaiwa kutoka DRC ambayo yamekamwatwa kuanzia mwezi Januari mwaka huu.

Akizungumza na waandishi wa habari baada kukagua makontena hayo, Maj. Gen. Milanzi alisema “Napenda kuwaasa wananchi wanaojihusisha na biashara hii haramu ya kusafirisha magogo waache mara moja kwani inasababisha uharibifu mkubwa wa misitu na endapo tutawakamata tutawachukulia hatua kali za kisheria”.

Kwa upande wake Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili, Ardhi na Mazingira wa Zambia, Bw. Trevol Kaunda alisema kuwa “Ushirikiano baina ya pande hizi mbili utaleta ufanisi katika Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili, Maj. Gen. Gaudence Milanzi (kushoto) na Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Maliasili na Hifadhi ya Mazingira wa suala la uhifadhi wa misitu yetu kwa kuwa baadhi ya watu Serikali ya Zambia, Trevor Kaunda wakibadilishana hati ya makubaliano wamekuwa wakisafirisha magogo na mazao ya misitu kwa ya kukabiliana na changamoto za udhibiti wa usafirishaji wa mazao ya kutumia njia danganyifu, umoja huu utatusaidia kuwabaini ni misitu hususani magogo kwenye mipaka wa nchi hizo hivi karibuni jijini Dar es Salaam. kuwachukulia hatua stahiki”.

Serikali ya Tanzania na Zambia zimesaini makubaliano Aliongeza kuwa makubaliano hayo ni mwanzo mzuri wa kuweza ya kukabiliana na changamoto za udhibiti wa kufanya kazi kwa ushirikiano na Serikali ya Tanzania katika usafirishaji wa mazao ya misitu hususani magogo mpaka wa Tunduma ambako mazao ya misitu na magogo toka katika maeneo ya mpakani kwa lengo la kulinda misitu nchini Zambia yamekuwa yakipitishwa kwenda bandari ya Dar na kuimarisha uhifadhi katika nchi hizo. es Salaam na baadae nje ya nchi.

Makubaliano hayo yalitiwa saini hivi kaibuni jijini Dar es Salaam Akizungumzia hatima ya magogo hayo Mkurugenzi wa Mipango na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Maj. Gen. na Matumizi Endelevu ya Rasilimali za Misitu wa Wakala wa Gaudence Milanzi na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili, Ardhi Huduma za Misitu Tanzania (TFS), Mohammed Kilongo alisema na Hifadhi ya Mazingira ya nchini Zambia, Bw. Trevol Kaunda kuwa na kushuhudiwa na Wajumbe kutoka Zambia na Tanzania. “Wafanyabishara wote waliokamatwa na magogo Akizungumza na Waandishi wa Habari mara baada ya kusaini haya wametakiwa kuleta vielelezo halali vya uvunaji makubaliano hayo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii na usafirishaji wake jambo ambalo wameshindwa Maj. Gen. Gaudence Milanzi alisema hatua hiyo imefikiwa ili kutekeleza mpaka sasa, muda tuliowapa ukiisha kukabiliana na changamoto mbali mbali zilizopo za uharibifu utaratibu wa kuwafungulia mashitaka utafuata ili wa misitu na usafirishaji wa mazao ya misitu na magogo kupitia sheria ichukue mkondo wake”. mipaka ya nchi hizo.

Makubaliano hayo yalifikiwa mara baada ya kumalizika kwa kikao cha siku tatu cha wajumbe kutoka nchi hizo mbili cha kujadili changamoto mbalimbali zinazoikabili sekta misitu maeneo ya mpakani. katika kikao hicho Tanzania iliwakilishwa na wajumbe kutoka taasisi za Serikali ambazo ni Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Mamlaka ya Bandari (TPA), Ofisi ya Mwendesha Mashitaka Mkuu wa Serikali na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS).

Katika hatua nyingine mara baada ya kusaini makubaliano Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili, Maj. Gen. Gaudence Milanzi (kushoto) na hayo, msafara wa Makatibu Wakuu hao ulitembelea Bandari Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Maliasili na Hifadhi ya Mazingira wa Serikali ya Dar es Salaam kukagua shehena ya magogo yaliyokamatwa ya Zambia, Trevor Kaunda wakiangalia sehemu ya magogo yaliyokamatwa hivi karibuni katika bandari ya Dar es Salaam kutoka nchini Zambia na katika bandari hiyo kuanzia mwezi Novemba mwaka jana kwa DRC. Kulia ni Mkurugenzi wa Mipango na Matumizi Endelevu ya Rasilimali ajili ya kusafirishwa nje ya nchi. za Misitu wa TFS, Mohammed Kilongo.

28 Wakala wa Huduma za Misitu Wizara ya Maliasili na Utalii

MlimaMlima Rungwe...Rungwe... UmuhimuUmuhimu wawa HifadhiHifadhi yaya MazingiraMazingira AsiliaAsilia

Msitu wa asili ambao upo ndani ya Hifadhi ya Mazingira Asilia ya Mlima Rungwe.

Utangulizi Umuhimu wa Hifadhi ya Mazingira Asilia ya Mlima Rungwe; Hifadhi ya mazingira asilia ya Mlima Rungwe ina ukubwa wa 13652 Ha na ipo katika Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya. Eneo Chanzo cha maji (mito inayo tiririka kutoka kwenye hifadhi) hili lilihifadhiwa kama msitu wa hifadhi tangu mwaka 1949, na Hii ina umuhimu mkubwa kwa vijiji na miji kadhaa kama kutangazwa rasmi kuwa hifadhi ya msitu kwa tangazo la serikali Katumba, Kiwira, Kandete na sehemu zingine. Mito hii ni kama; namba 773 la tarehe 26/5/1949. Hifadhi hii ilipandishwa hadhi siniki, marogala, kipoki, kilasi, mulagala na mingineyo ambayo kutoka msitu wa hifadhi wa kawaida na kuwa Hifadhi Asilia ya maji yake yanaingia Ziwa Nyasa. Imefahamika kuwa mito hii Mlima Rungwe (Mount Rungwe Nature Reserve –MRNR) mwaka huchangia asilimia 48 ya maji ya ziwa Nyasa. Aidha kilimo katika 2009 kwa tangazo la Serikali namba 386 la tarehe 21/12/2009. bonde la ziwa Nyasa hutegemea sana maji kutoka hifadhi hii Hifadhi hii ipo chini ya Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania pamoja na Kiwanda cha Maji cha Rungwe. (Tanzania Forest Services - TFS), chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii. Uchumi kutokana na Utalii

Lengo la Uhifadhi wa Mlima Rungwe Kutokana na sifa za pekee za hifadhi hii ya mlima Rungwe: ikiwemo urefu wa mlima, mashimo ya volukano (paluvalutali, Mlima Rungwe hadi sasa unajulikana kuwa ndio mlima mrefu Lusiba na Ng’ombe), kipunji, na maji moto. Vyote hivi vimekuwa zaidi katika Nyanda za Juu Kusini wenye urefu wa meta 2981 na vinashawishi watalii kutembelea hifadhi yetu ya mazingira asilia ni mlima wa tatu kwa urefu baada ya Mlima Kilimanjaro wenye ya mlima Rungwe. Utalii huu unawapatia wanavijiji ajira (hasa urefu wa meta 5595 na mlima Meru wenye urefu wa meta 4600. wale wanao pata nafasi za kuwaongoza watalii), mapato kwa Ni eneo lenye msitu mnene wa Kitropiki wenye aina nyingi za Halmashauari ya Wilaya na Wakala wa huduma za misitu. mimea na wanyama. Mingi ya mimea hii na baadhi ya wanyama hawa hupatikana hapa Rungwe tu na siyo mahali pengine Kurekebisha Hali ya hewa duniani. Aidha, mito mingi inayoingia ziwa Nyasa huanzia kwenye misitu ya mlima huu. Kwa kuzingatia haya na mengine Uwepo wa hifadhi hii umepelekea kuwa na hali ya hewa safi mengi, Serikali ya Mkoloni wakati huo ikaamua kuuhifadhi ndani ya wilaya ya Rungwe na maeneo mengine ambayo mlima huu na bioanuai zilizopo humo. Bioanuai hizi zina imechujwa na mimea, pia kumekuwa na mvua za kutosha kama umuhimu wa kitaifa na kimataifa, hivyo ni lazima zihifadhiwe. matokeo ya uhifadhi wa mazingira ukilinganisha na sehemu Ndiyo maana Wakala wa huduma za Misitu Tanzania ukaamua zingine ambako kuna uhaba wa misitu na kama ipo haitunzwi kupandisha hadhi ya uhifadhi huu kuwa Hifadhi Asilia – Uhifadhi vizuri. wa ngazi ya juu katika hifadhi za misitu. Hifadhi nyingine za aina hii ni Amani, Kilombero, Magamba, Chome, Nilo, Rondo na Kama ilivyoelezwa hapo juu, Hifadhi hii ina wanyama na mimea Udzungwa. ya pekee duniani kama vile Kipunji na Minde, na mimea kama

Wakala wa Huduma za Misitu 29 Wizara ya Maliasili na Utalii vile Mrungwe na Mturunga huwavuta Watafiti wengi duniani Eneo la Mazoezi na Kilele cha Kufurahia Fahari za kuja kufanya utafiti wao katika Hifadhi hii. Mfano mzuri ni WCS Wilaya ya Rungwe na Mkoa wa Mbeya. ambao kwa wananchi wengi wa Rungwe wanawafahamu na wamekuwa nao kwa muda mrefu na faida zao za kuwepo hapa Kwa wapanda milima, Mlima Rungwe ni eneo la Mazoezi na kwa wanazifahamu. Aidha Wanafunzi wa Shule na Vyuo mbalimbali wale wanaopenda kuangalia mandhari nzuri za Mlima Mbeya hapa nchini na nje huja kufanya mafunzo yao katika hifadhi hii. na maeneo ya Kitulo, Mlima Poroto, Ziwa Nyasa na Bonde la Utafiti huu hulipiwa na Serikali hupata mapato. Kyela. Aidha, Mlima Rungwe ni lindi la hewa ya Ukaa kutokana na wingi wa aina mbalimbali za mimea. Sehemu maalumu kwa Ibada za jadi

Imefahamika kuwa makabila yanayoishi kuzunguka hifadhi hii, hutumia maeneo Fulani katika hifadhi hii kwa ajili ya ibada zao za jadi(masieto kwa Wanyakyusa). Aidha hifadhi hii ni fahari ya Wilaya kwani hata jina la Wilaya linatokana na jina la hifadhi hii – RUNGWE.

Moja ya chanzo cha maji (Kalimba) ambacho kimo ndani ya Hifadhi ya Mazingira Asilia ya Mlima Rugwe. Changamoto katika Uhifadhi wa Mlima Rungwe.

Pamoja na umuhimu wake kama tulivyoona hapa juu, hifadhi yetu hii inakabiliwa na changamoto zifuatazo: • Ufinyu wa bajeti kwa ajili ya kufanikisha uhifadhi; mfano: Cebus Kapunji, Mnyama anayepatikana katika Hifadhi ya Mazingira Asilia ya Mlima Rugwe pekee ambaye ni kivutio kikubwa cha utalii. kusafisha mipaka, kufanya doria na tahadhari ya moto. • Upungufu wa vitendea kazi; mfano magari na watumishi. Rungwe. • Miundo mbinu ya barabara na majengo kwa ajili ya ofisi. • Kuibua shughuli mbadala za kiuchumi mfano ufugaji • Miti vamizi (pine) nyuki, ufugaji kuku na mifugo mingine kama ng’ombe • Uvunaji haramu wa mbao, mkaa, na mazao mengine ya mbuzi nk. misitu. Aidha uwindaji haramu wa wanyama kama Kipunji • Ujenzi wa ofisi wilayani Rungwe na kuboresha vituo vya na minde. Isongole na Kandete • Moto kutoka kwenye mashamba ya watu na urinaji asali • Kutengeneza mkakati na kuondoa miti vamizi ndani ya hifadhi Nini Kifanyike • Kushirikiana na Hifadhi ya Kitulo, Bonde la ziwa Nyasa, shirika la hifadhi la wanyamapori (WCS) na halimashauri Kutokana na changamoto ambazo baadhi yake zimetajwa ya wilaya ya Rungwe katika kuendeleza uhifadhi hapa juu, ni wazi kuwa shughuli za kuhifadhi eneo hili muhimu hazifanyiki kama ilivyokusudiwa. Hivyo sisi wote kama wadau wa kuhifadhi eneo hili lazima tushirikiane kuziondoa changamoto Hitimisho hizo kwa kufanya yafuatayo: • Elimu kwa jamii inayo zunguka hifadhi ambayo ni muhimu Hifadhi ya mazingira asilia ya Mlima Rungwe ni urithi wetu kutolewa mara kwa mara juu ya umuhimu wa hifadhi hii wa thamani kubwa kutoka kwa Mungu, hivyo tuamue sasa na hatua za kuchukuliwa na kila mdau. kuunganisha nguvu zetu ili kufikia malengo ya kiuhifadhi kwa manufaa ya kizazi cha sasa na kizazi kijacho. Tunapaswa • Kutangaza hifadhi yetu ili ijulikane zaidi kwa lengo la kufanya hivi kwa sababu waliotutangulia walihihifadhi na sisi kukuza utalii na kuongeza idadi ya wadau wa uhifadhi. tumeiona na tunafaidi matunda ya kuwepo kwa hifadhi hii. • Kuimarisha na kuendeleza ushirikishwaji wa jamii na Sisi pia tunalazimika tulihifadhi eneo hili ili vizazi vijavyo waje wadau wengine katika uhifadhi wa hifadhi ya mlima waione.

30 Wakala wa Huduma za Misitu Wizara ya Maliasili na Utalii TFS yakamata lori likisafirisha mbao kinyume cha sheria jijini Dar es Salaam

Kaimu Afisa Habari na Mawasiliano wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania, Nurdin chamuya (Kushoto) na Afisa wa Himasheria wa Wakala huyo, Arjason Mloge wakionesha sehemu ya mbao zilizokuwa zimefunikwa na katoni za sabuni ndani ya lori lenye namba za usajili T676 ANQ lililokuwa linasafirisha mbao hizo kinyume cha sheria kutoka Mkoani Kigoma kuja Jijini Dar es Salaam. Kikosi cha Kufuatilia na Kuzuia Uharibifu na funguo za lori hilo, Hatimaye Utalii kwa hatua zaidi za kisheria. wa Misitu cha Wakala wa Huduma za waliwasiliana na mmlikiwa wa eneo Misitu Tanzania kwa kushirikiana na ambaye alikuwa amekabidhiwa funguo “Kufuatia tukio hili, Wizara ya Maliasili na Kikosi Dhidi ya Ujangili kanda ya Dar kwa ajili ya ulinzi” alisema Chamuya. Utalii kupitia kwa Wakala wa Huduma za es Salaam kimefanikiwa kukamata Misitu Tanzania tunatoa onyo kali kwa lori lenye namba za usajili T 676 ANQ Alieleza kuwa mmiliki huyo alipofika wale wote wanaojihusisha na vitendo vya lililokuwa likisafirisha mbao kinyume alisema, anamfahamu mwenye gari uvunaji na usafirishaji wa mazao ya misitu cha sheria huku zikiwa zimefichwa ambaye ndiye mpangaji wa eneo kinyume cha sheria ya misitu namba 14 kwa kufunikwa na bidhaa mbalimbali lilipokutwa gari na kwamba anazo taarifa ya mwaka 2002 pamoja na kanuni zake za ikiwemo sabuni ili zisionekane kiurahisi za gari hilo, na ameombwa apokee mwaka 2004 na kwamba watakaobainika kwenye vituo vya ukaguzi. mzigo na kuutunza hadi atakaporudi watachukuliwa hatua kali kwa mujibu wa kutoka safari ya Mwanza kwa tatizo la sheria za nchi” alisema Chamuya. Akizungumza na waandishi wa habari msiba wa Baba yake. Jijini Dar es Salaam hivi karibuni, Kaimu Akizungumzia athari mbalimbali za Afisa Habari wa Wakala huyo, Nurdin Baada ya mmiliki wa eneo hilo kufanya vitendo hivyo vya uvunaji holela wa Chamuya alisema tukio hilo limetokea mawasiliano na mwenye gari kuhusu mazao ya misitu bila ya kufuata taratibu tarehe 14 Oktoba, 2016 majira ya saa mzigo uliokuwa kwenye gari hilo, mwenye za kisheria za uvunaji endelevu alisema kumi usiku maeneo ya Amana, Ilala Jijini gari alieleza kuwa kwa taarifa za dereva vitendo hivyo vinatishia nchi kuwa Dar es Salaam baada ya kupata taarifa wake na ajenti aliyepakia mzigo Kigoma, jangwa ambapo takwimu zinaonyesha kutoka kwa raia wema juu ya uwepo lori gari lake lilikuwa na chupa chakavu na jumla ya hekta 372,000 za misitu nchini hilo katika maeneo hayo. sabuni kutoka Kigoma na hakuna aina hupotea kila mwaka kutokana na nyingine ya mzigo kwa ufahamu wake na matumizi makubwa ya rasilimali hizo Chamuya alisema baada ya kupata akaruhusu gari hilo kufunguliwa mbele ambayo yanazidi uzalishaji wake kwa taarifa hizo vikosi hivyo vilifika eneo la ya mwenye eneo. ujazo wa mita 19.5 milioni kwa mwaka. tukio na kufanya mahojiano na baadhi ya wananchi waliokuwa karibu na lori “Baada ya gari hilo kufunguliwa, Chamuya ametoa wito kwa wananchi hilo ambapo mmoja kati ya wahudumu kilichoonekana kwa urahisi ni sabuni na wote nchini kushirikiana na Serikali katika wa lori hilo alieleza kuwa lori hilo lilitokea mifuko michache inayosomeka kwa nje uhifadhi na ulinzi wa rasilimali za misitu Mkoani Kigoma na kwamba lilikuwa kuwa ni dawa ya kuku. Baada ya upekuzi na kuacha fikra potofu kuwa kazi hiyo ni limepakia mzigo wa sabuni na chupa za ndipo zilionekana mbao zilizokuwa ya Serikali pekee na taasisi zake kwakuwa maji zilizotumika. zimefichwa chini ya katoni za sabuni. faida zake hunufaisha jamii yote na Mwenye eneo aliyashuhudia haya yote hivyo hivyo kama athari zitajitokeza basi “Wahudumu hao walipotakiwa kufungua na kuwasiliana na mwenye gari na zitaikumba jamii yote bila kubagua. mlango wa lori hilo kwa ajili ya upekuzi hatimaye Kikosi kiliamuru gari lipelekwe zaidi walisita kwa madai kuwa hawakuwa Makao makuu ya Wizara ya Maliasili na

Wakala wa Huduma za Misitu 31