Toleo Namba 1 AGOSTI 2020

Kasi Ukuaji na Mchango wa NDANI/INSIDE Sekta ya Madini kwenye UJUMBE WA WAZIRI Uchumi wa Nchi wapaa! Ni kutokana na Mageuzi Makubwa kwenye Sekta

UK. 8

Namna Serikali Inavyowawezesha Wachimbaji Wadogo Kuchimba kwa Tija

UK. 13

Barrick Company Mchimbaji Mdogo wa Madini ya Tanzanite, Saniniu Laizer akifurahia Madini ya Tanzanite yaliyozalishwa katika Mgodi wake yenye Uzito Mkubwa kabla ya kuyakabidhi kwa Serikali. responds positively to the government’s management of the Tanzanite zenye Uzito Mkubwa mining sector kuwahi kutokea Zachimbwa UK. Tanzanite zenye Uzito Mkubwa Zachimbwa, Serikali Yazinunua 4 UK. 18

KITENGO HA MAASIIANO SERIKAINI, IARA YA MADINI JARIDA LA MADINI MAKALA Kasi Ukuaji na Mchango wa Sekta ya Madini kwenye Uchumi wa Nchi wapaa!

Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Profesa akiagana na bilionea wa Tanzanite, Saniniu Laizer mara baada ya kutembelea mabanda wakati wa maonesho ya Kimataifa ya 44 ya Biashara jijini Dar es Salaam. Na Nuru Mwasampeta Januari hadi Machi mwaka 2019. Kwa hicho mwaka 2019. kiasi kikubwa pamoja na sababu zingine Mafanikio haya yalichangia ekta ya madini ni miongoni ukuaji huo umetokana na kuongezeka kuongezeka kwa mchango wa sekta mwa sekta zilizokua kwa kasi kwa uzalishaji wa madini ya dhahabu, kwenye Pato la Taifa na yametokana na katika uongozi wa Serikali fedha na chumvi nchini. mabadiliko makubwa yaliyofanywa na ya Awamu ya Tano chini ya Aidha, katika kipindi cha mwaka Serikali ya Awamu ya Tano katika suala Rais Dkt. John Joseph Pombe mzima wa 2019 sekta ya madini ilikua zima la usimamizi wa sekta ya madini. Magufuli na kupelekea mchango wake kwa kasi ya asilimia 17.7 ikilinganishwa Awali ya yote, ikumbukwe kwamba Skwenye Pato la Taifa kupanda. na ukuaji wa asilimia 1.5 mwaka mnamo mwezi Februari 2019 Rais Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa 2018 na ukuaji huo uliifanya sekta ya Dkt. John Pombe Magufuli alifanya na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) madini kushika nafasi ya kwanza kwa mkutano mkubwa uliomkutanisha na mchango wa sekta ya madini kwenye ikilinganishwa na sekta nyingine za wadau wa madini uliolenga kujadili Pato la Taifa umepaa na kufikia asilimia kiuchumi. mbinu zitakazosaidia kuboresha sekta 5.8 kwa kipindi cha Januari hadi Machi Kipindi cha Januari hadi Machi 2019 ya madini kuifanya iongeze mchango 2020 ikilinganishwa na mchango wa uzalishaji wa dhahabu uliongezeka wake si kwenye Pato la Taifa pekee bali kutoka kilo 8,656 na kufikia kilo 12,404 asilimia 4.2 kipindi kama hicho mwaka pia kumnufaisha mchimbaji na mfanya kwa kipindi hicho mwaka 2020 wakati 2019. biashara ya madini. Katika kipindi hicho, Sekta ya kwa upande wa madini ya fedha (silver) madini iliongeza kasi ya ukuaji kwa uzalishaji ulifikia kilo 3,128 katika asilimia 15.3 ikilinganishwa na ukuaji kipindi cha Januari hadi Machi mwaka Endelea Uk. 3 wa asilimia 10.0 katika kipindi cha 2020 kutoka kilo 2,856 kipindi kama

2 JARIDA LA MADINI MAKALA Kasi Ukuaji na Mchango wa Sekta ya Madini kwenye Uchumi wa Nchi wapaa!

Moja kati ya maboresho makusanyo yatokanayo na wachimbaji madini Bwana Saniniu Laizer katika yaliyofanyika katika sekta ya madini ni wadogo yalifikia shilingi bilioni 102.44 maonesho ya 44 ya Kimataifa ya pamoja na kuwapunguzia mzigo wa kodi ukilinganishwa na shilingi bilioni 16.23 Biashara katika viwanja vya sabasaba wachimbaji wadogo kwa kufuta kodi ya zilizokusanywa kuanzia Machi 2018 Jijini Dar es Salaam. zuio (Withholding tax) ya asilimia 5 na hadi Februari 2019. Bwana Laizer kwa mara yake ya kodi ya ongezeko la thamani yaani VAT Kwa mujibu wa Katibu Mtendaji kwanza alifanikiwa kuchimba madini ya asilimia 18 walizokuwa wanatozwa wa Tume ya Madini, Profesa Shukrani ya Tanzanite ndani ya Ukuta wa wachimbaji wadogo. Punguzo hilo Manya, uanzishwaji wa masoko ya Mirerani yenye ukubwa wa jumla ya la kodi liliwavutia sana wachimbaji madini kila mkoa hapa nchini, ujenzi kilo 14.37 na thamani ya Billioni wadogo na kuwafanya washirikiane wa ukuta wa Mirerani, urasimishaji 7,744,152,703.82 kutokana na madini vizuri na serikali katika biashara wa wachimbaji wadogo, uelimishaji wa hiyo. Aidha serikali ilikusanya mrahaba yao ya madini na hivyo kupelekea wachimbaji wadogo juu ya namna bora wa shilingi milioni 464,649,200.00 na ongezeko kubwa la mapato ya Serikali ya uchimbaji na uchenjuaji wa madini malipo ya ukaguzi kiasi cha shilingi unaofanywa na serikali ya awamu ya milioni 77,441,550.0, huu ni ushahidi kutoka kwa wachimbaji wadogo. tano vimeongeza udhibiti na kuchangia kuwa mazingira ya uchimbaji mdogo Mathalani, kwa mwaka 2019 pekee sana katika kukuza sekta hii muhimu. yameboreshwa sana na kila mchimbaji Profesa Manya alieleza hayo hivi hufanya kazi yake kwa uhuru, uwazi na Inatoka Uk. 2 karibuni alipokuwa akizungumza usalama kuliko hali ilivyokuwa hapo mbele ya Bilionea mpya wa sekta ya awali.

Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Prof. Shukrani Manya (mwenye tai) akiwa katika picha ya pamoja na bilionea wa Madini ya tanzanite Saniniu Laizer (katikati) na waonyeshaji katika banda la Kituo cha Uongezaji Thamani Mandini (TGC) kilicho chini ya Wizara ya Madini.

3 JARIDA LA MADINI MAKALA UKUTA WA MAGUFULI WAANDIKA HISTORIA MPYA Asteria Muhozya na 3.375,280 na hivyo yote mawili kuwa na Tito Mselem, Mirerani thamani ya shilingi 4.946,537,271.12. Kupatikana kwa Tanzanite hizo atimaye manufaa ya ambazo zimemfanya Laizer kuwa Ukuta wenye urefu wa bilionea zimedhihirisha umadhubuti kilomita 24.5 uliojengwa ya Serikali wa kuweka usimamizi na Serikali kuzunguka imara wa kuyalinda madini hayo Migodi ya Tanzanite yanayopatikana Tanzania pekee Mirerani, yamezidi kuzaa matunda huku jitihada za kudhibiti utoroshaji Hbaada ya kuandikwa kwa Historia Mpya wa madini, ikiwemo manufaa na duniani ya kuzalishwa kwa Madini ya maboresho yaliyofanywa na Serikali Tanzanite yenye Uzito Mkubwa kuwahi ya Awamu ya Tano kwenye Sheria ya kutokea katika historia ya uchimbaji wa Madini yakionekana sawia. madini hayo nchini. Aidha, kuzalishwa kwa madini Madini hayo yaliyochimbwa na hayo kupitia kwa mchimbaji mdogo Mchimbaji Mdogo wa Madini Saniniu kumedhihirisha namna ambavyo Laizer tarehe 17 Juni yana uzito wa wachimbaji wadogo wanavyoweza kilo, 9.27, na kilo 5.108 na jiwe moja kupata kipato kikubwa cha fedha Mchimbaji Mdogo wa Madini ya lililopatikana tarehe 29 Juni lina kilo halali kupitia sekta ya madini huhusan Tanzanite, Saniniu Laizer akifurahia 6.33. Aidha, jiwe lenye uzito wa kilo 9.27 pindi wanapopatiwa fursa kama Madini ya Tanzanite yaliyozalishwa limetajwa kuwa na thamani ya shilingi ambavyo serikali imekuwa ikihakikisha katika Mgodi wake yenye Uzito bilioni 4.649,470 na jiwe lenye kilo wachimbaji wadogo wanarasimishwa na kuwekewa mazingira mazuri na Mkubwa kabla ya kuyakabidhi kwa 5.108 lina thamani ya shilingi bilioni Serikali. bora ili kazi zao kuwa na tija na kufanya biashara ya madini kwa manufaa yao na serikali. Vilevile, dhamira ya serikali kutaka uchimbaji wa madini ya vito kufanywa na wazawa na kama ambavyo sheria inavyotaka pamoja na dhamira ya Rais kutaka uchumi wa madini urudi kwa watanzania na kuwanufaisha wananchi wenyewe na taifa umeonekana. Akizungumza kwa njia ya simu wakati Serikali ikikabidhiwa madini hayo katika hafla iliyofanyika awali baada ya Serikali kuyanunua madini hayo kutoka kwa mchimbaji Saniniu Laizer, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. alionesha furaha yake kutokana na kile ambacho kimefanywa na mchimbaji mdogo huku madini hayo yakidhihirisha utajiri ambao taifa hili limejaliwa. Alitoa pongezi kwa Waziri wa Madini , mchimbaji huyo, wananchi wa Simajiro na Gavana Mchimbaji Mdogo Saniniu Lazer akiwa ameshika Hundi yenye thamani ya shilingi bilioni 7,744,152,703.82 ambayo alikabidhiwa na Serikali tarehe 24 Endelea Uk. 5 Juni, 2020 baada ya Serikali kununua madini yake ya tanzanite aliyoyazalisha

4 JARIDA LA MADINI MAKALA UKUTA WA MAGUFULI WAANDIKA HISTORIA MPYA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli akiwa ameshika mfano wa funguo kuashiria Uzinduzi wa Ukuta wenye urefu wa km 24.5 inazunguka Migodi ya Tanzanite, Mirerani. Kushoto anaayeshuhudia Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujengwa Taifa Dkt. . Akijibu ombi la wachimbaji hilo, Mkuu wa Wilaya ya Simajiro Inatoka Uk. 4 kupatiwa eneo la Kitalu C ili wachimbe Mhandisi Zephania Chaula, kwa kama lilivyowasilishwa na Rais wa niaba ya Mkuu wa Mkoa huo alisema Shirikisho la Wachimbaji Madini tanzanite hizo zimeonesha matunda wa Benki Kuu ya Tanzania Prof. Florens Tanzania (FEMATA) John Bina, ya udhibiti wa rasilimali madini Luoga kwa kuhakikisha madini hayo Waziri Biteko amewataka wachimbaji unaofanywa na Rais Magufuli huku yananunuliwa na Serikali na kusisitiza kutovamia kitalu hicho wakati serikali tangu kujengwa kwa ukuta huo mapato mchimbaji Laizer kutodhulumiwa ikiweka mazingira ya namna eneo hilo ya Tanzanite yameongezeka tofauti na hata shilingi. ‘‘nilikuwa naangalia hapa litakavyofanyiwa kazi. ilivyokuwa awali. nawafuatilia, nimefurahi sana,’’ alisema Kwa upande wake, Naibu Waziri Kwa mujibu wa maelezo ya Waziri Rais Magufuli. wa Wizara ya Fedha na Mipango, Biteko tanzanite hizo zimepatikana Naye, Waziri wa Madini anaelezea Dkt. Ashatu Kijaji alisema kuwa, Rais kwenye eneo la umbali wa zaidi ya mita ndoto ya Rais Magufuli ambayo wengi Magufuli ametengeneza mabilioni 1,800. waliiona haiwezekani sasa imewezekana kutokana na namna anavyosimamia Tukio la Serikali kukabidhiwa na tukio la Laizer kuzalisha madini ya Sekta ya Madini na kuongeza kwamba, madini hayo lilfanyika tarehe 24 Juni, uzito mkubwa ni kielelezo kwamba tangu uhuru tanzanite ya kiwango 2020 katika eneo la Mirerani ndani wachimbaji wanaweza na ndoto za hicho haikuwahi kuzalishwa nchini ya ukuta unaozunguka migodi ya Rais Magufuli kuhusu Sekta ya Madini na kueleza kuwa, Serikali itamkabidhi tanzanite, Wilayani Simanjiro, Mkoa wa zinatekelezeka. Aidha, Waziri Biteko mchimbaji Laizer fedha zake zote. Manyara na kushuhudiwa na viongozi anayaelezea madini hayo kuwa tangu Naye, Naibu Waziri wa Madini, mbalimbali wa Kitaifa, Vyama vya yaanze kuchimbwa hapa nchini, anasema Serikali Wachimbaji, Wachimbaji, Viongozi wa tanzanite ya uzito huo haijawahi imepata kodi mbalimbali kupitia Dini na wananchi. kuzalishwa. shughuli za uchimbaji madini Kwa hakika Tanzanite ya Saniniu “Ninawapongeza sana wananchi wa unaofanywa na Laizer, huku katika Laizer zimeonesha matokeo ya Serikali Simanjiro, mengi yalisemwa hawawezi kipindi chake cha uchimbaji akiwa kuwawezesha wachimbaji wadogo na na kwamba wanaoweza ni wageni tu, amezalisha kilo 108. usimamizi madhubuti wa rasilimali leo wametuvisha nguo. Tangu kuanza ‘’Naendelea kumshkuru Rais madini unaofanywa, hivyo wananchi kuchimbwa kwa tanzanite, haijatokea Magufuli kutokana na maelekezo yake wa Tanzania hawana budi kuunga ya uzito na ukubwa huu. Tumefanikiwa anayotupatia ya kusimamia sekta ya mkono juhudi hizi ili madini yazidi sana katika Sekta ya Madini mapato madini, Rais wetu ni Game changer kulinufaisha taifa hili. yameongezeka sana, mpaka leo na mimi huwa namwita kimoyomoyo, tumekusanya shilingi Bilioni 520 sawa record breaker,’’ anasema Naibu Waziri. # Madini Yetu, Uchumi Wetu, na asilimia 111,’’anasema Waziri Biteko. Awali, akizungumza katika tukio Tuyalinde

5 JARIDA LA MADINI MAKALA Barrick yatekeleza matakwa ya Serikali, yaanza kulipa fidia ya kodi ya dola milioni 300 Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, kwa niaba ya Serikali, alikabidhiwa mfano wa hundi ya malipo hayo na kubainisha kuwa kiasi kilichobaki kitalipwa kwa awamu. Na hapo ndipo serikali ilidhihirisha kwamba iwe usiku, iwe mchana, lije jua, ije mvua, bila uoga itapambana kuhakikisha rasilimali za Taifa zinamnufaisha mwananchi. Aidha, pamoja na makubaliano hayo, Timu ya Majadiliano ya Serikali iliyokuwa ikiongozwa na Mwenyekiti wake Prof. Palamagamba Kabudi, ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, iliazimia kuundwa kwa kampuni ya pamoja kati ya Serikali na kampuni ya Barrick itakayosimamia uendeshwaji wa migodi ya Buzwagi, Bulyanhulu na Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. (wa pili kutoka kulia) na North Mara ambapo Serikali ina hisa ya (kushoto) ni Naibu Waziri wa Madini Stanslaus Nyongo, Waziri wa Mambo asilimia 16 na Barrick ina asilimia 84. ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba Kabudi (wa “Tulikubaliana kuhakikisha kuwa kwanza kulia) wakiwa katika picha baada ya kukabidhiwa hundi ya Dola faida za kiuchumi zinazotokana na za Kimarekani milioni 100 kwa niaba ya Serikali kutoka kwa Mwakilishi wa migodi ya Bulyanhulu, Buzwagi pamoja Kampuni ya Barrick Hilaire, Diarra (wa kwanza kushoto) na North Mara zigawanywe kwa msingi wa usawa wa asilimia 50 kwa 50 kati Nuru Mwasampeta kampuni ya Barrick yalifikia tamati ya washirika, ambapo hisa za Serikali na Tito Mselem, tarehe 19 Disemba 2019 na hatimaye zinazotokana na faida za kiuchumi kusainiwa rasmi kwa makubaliano zitatolewa katika mfumo wa mrabaha, kodi pamoja na kupata asilimia 16 ya erikali ya Awamu ya Tano hayo tarehe 24 Januari 2020. Kupitia maridhiano hayo, kampuni ya Barrick faida kutokana na makampuni hayo inayoongozwa na Dkt. John kufanya kazi nchini” Dkt. Mpango Joseph Pombe Magufuli, Rais iliridhia kuipa Serikali Hisa ya asilimia wa Jamhuri ya Muungano wa 16 na pia kugawana faida nyingine alidadavua. Tanzania, hakika imefanya za kiuchumi kwa miradi hiyo kwa Dkt. Mpango alizidi kufafanua maboresho makubwa kwenye Sekta mfumo wa 50/50. Aidha, pande hizo kwamba, mbali na makubaliano hayo, Sya Madini nchini, yenye lengo la mbili ziliafikiana kwamba, kampuni katika majadiliano yao, kampuni ya kuhakikisha rasilimali madini ya Barrick itailipa Serikali kiasi cha Barrick ilikubali kutoa kiasi cha dola za zinawanufaisha watanzania na Taifa dola milioni 300 kama fidia ya kodi Marekani milioni 5 kwa ajili ya kufanya kwa ujumla. kutokana na ukiukwaji wa sheria na upembuzi yakinifu kuhusu ujenzi wa Moja ya hatua ambazo Serikali taratibu uliofanywa na kampuni ya Mtambo wa kuyeyusha madini nchini ya Awamu ya Tano ilichukua ili Accacia. (smelter). kuhakikisha Watanzania wananufaika Utekelezaji wa makubaliano hayo “Kampuni ya Barrick pia imekubali na utajiri mkubwa wa madini yaliyopo ulianza kuonekana mnamo tarehe kuanzisha ushirikiano na Chuo Kikuu nchini, ni majadiliano na hatimaye 26 Mei, 2020, ambapo kampuni ya cha Dar es Salaam, na kuahidi kutoa kufikia maridhiano na kampuni kubwa Barrick waliilipa Serikali kiasi cha dola milioni 10 kwa kipindi cha miaka ya uchimbaji dhahabu duniani ya dola za kimarekani milioni 100 sawa na Barrick Gold Corporation. shilingi bilioni 250 ikiwa ni malipo ya Endelea Uk 7 Majadiliano kati ya Serikali na awali ya dola 300 zilizoridhiwa.

6 JARIDA LA MADINI MAKALA Barrick yatekeleza matakwa ya Serikali, yaanza kulipa fidia ya kodi ya dola milioni 300 Inatoka Uk. 6 kumi kwa ajili ya utoaji wa mafunzo yanayohusu masuala ya madini ili kuzalisha wataalam wengi zaidi kwenye sekta ya madini”, aliongeza Dkt. Mpango. Hata hivyo, Dkt.Mpango alisema kampuni ya Barrick pia ilikubali kutoa dola 6 kwa kila wakia ya dhahabu itakayouzwa (ikijumuisha mchango kwenye Mfuko wa Mandeleo ulioanzishwa na Kampuni ya Barrick Tanzania), ili kusaidia jamii zinazozunguka maeneo ya migodi pamoja na kutoa kiasi cha dola milioni 40, kwa ajili ya kuboresha kipande cha barabara kati ya Bulyanhulu na Mwanza na kujenga nyumba na miundombinu yake. Naipongeza Kampuni ya Barrick kwa Katibu Mkuu Wizara ya Madini Prof. Simon Msanjila (Kulia) na (kushoto) kuanza kutekeleza makubaliano haya, ni Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha na Mipango Dkt. Ashatu Kijaji pia natoa wito kwa kampuni nyingine wakifuatilia makabidhiano ya hundi Dola za Kimerekani milioni 100 za madini pamoja na wawekezaji kutoka Kampuni ya Barrick. wengine katika sekta hiyo, kuiga mfano mzuri uliooneshwa na Kampuni hii wanayomiliki nchini, na kueleza kuwa Magufuli, ni kuhakikisha kwamba taifa katika kuhakikisha kunakuwa na hali wanajiolojia wanafanya kazi kwa bidii hili linakua kiuchumi kupitia Sekta ya ya usawa katika uendeshaji wa shughuli ili kuirudisha hadhi ya Tanzania kuwa Madini na wananchi wake wananufaika za madini nchini kwa faida ya pande kituo kikubwa cha uzalishaji dhahabu ipasavyo huku Serikali ikiweka zote mbili” alisisitiza Dkt. Mpango. duniani. mazingira bora ya wananchi wake Kwa upande wake, Rais na Mtendaji Kimsingi, ukiangalia matokeo ya kushiriki katika uchumi wa Madini. Mkuu wa Kampuni ya Barrick, Dkt. majadiliano haya ni dhahiri yameleta Wadau mbalimbali wa sekta ya Dennis Mark Bristow ambaye alikuwa tija kubwa kwa maendeleo ya uchumi madini wameonesha kuridhishwa na akifuatilia makabidhiano hayo kwa njia wa taifa letu kupitia rasilimali hizi za mabadiliko yaliyofanywa na serikali ya mtandao na kutoa hotuba yake akiwa madini. katika Sekta ya Madini wakieleza kuwa nchini Afrika Kusini, alimpongeza Hatua hii kubwa ambayo ni ya Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli kihistoria kwa nchi yetu, juhudi zake changamoto zilizokuwa zikiikabili sekta pamoja na Timu yake kwa kufanikisha zinapaswa kupongezwa na kuungwa ya madini kutatuliwa kwa asilimia 80. majadiliano yaliyosaidia kuanzishwa mkono na wananchi wote wa Tanzania Wamesema mabadiliko kwa ushirikiano wa dhati kati ya hususan katika usimamizi madhubuti yaliyofanywa kwenye Sekta kwa kipindi Kampuni yake na Serikali. wa rasilimali madini uliofanywa cha mwaka mmoja tangu kufayika kwa Aliahidi kwamba, wataendeleza na Serikali ya Awamu ya Tano, mkutano mkubwa baina ya Rais wa ushirikiano wao na serikali ya Tanzania, ukisimamiwa na Raisi wetu makini Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na pia wanaamini kuwa ushirikano huo na mwenye nia ya kukuza uchumi wa wadau wa Sekta ya Madini hususani utakuwa wa mfano wa kuigwa si tu kwa Tanzania maradufu, kongole kwa Dkt. wachimbaji wadogo ilithibitisha Afrika bali kwa Dunia nzima. John Pombe Magufuli, pongezi nyingi nia njema ya serikali kuhakikisha Aliahidi kuendelea kuboresha katika jambo hili. watanzania wananufaika na rasilimali miundombinu ya maeneo ya migodi Lengo kubwa la Mh. Rais Dkt madini zilizopo nchini.

7 JARIDA LA MADINI UJUMBE WA WAZIRI MIAKA MITANO YA JPM, Uchumi wa Madini Unaonekana serikali imekamilisha ujenzi wa Kituo wadogo ili kuwawezesha wachimbe cha Pamoja cha Biashara ya Tanzanite, kwa tija. Matokeo ya mkutano wa (One Stop center), Mirerani mkoani wizara na wadau wa madini Mwaka Manyara. 2019 yalipelekea Serikali kufuta baadhi Tumeshuhudia Marekebisho ya ya kodi zenye kero katika biashara ya Sheria ya Madini ambayo yamepelekea madini kwa wachimbaji wadogo. Kodi mabadiliko makubwa ikiwemo hizo ni kodi ya zuio (Withholding Tax Mikataba ya Uwekezaji, kubwa ikiwa – 5%) na kodi ya ongezeko la thamani ni kuingiwa kwa makubaliano kati ya (Value Added Tax -18%). Kufutwa Serikali ya Tanzania na Kampuni ya kwa kodi hizo kunawezesha mazingira Barrick Gold ambayo yamepelekea bora na wezeshi ya biashara ya madini kuanzishwa kwa Kampuni Mpya ya nchini. Twiga Minerals Corporation Limited Aidha, katika kipindi hiki inayomilikiwa kwa ubia baina ya tumeshuhudia juhudi za Serikali Serikali inayomiliki hisa kwa asilimia ya kuanzisha migodi mikubwa ya 16 na Barrick asilimia 84. Si hivyo uchimbaji madini ambayo kwa miaka tu, mabadiliko hayo pia yamepelekea mingi migodi hiyo haijaanzishwa Serikali kumiliki hisa asilimia 16 kwa nchini. Aidha, wizara imehamasisha migodi mikubwa itakayoanzishwa shughuli za uongezaji thamani madini uni 30, 2020 wakati Serikali ya nchini. Aidha, haya si mafanikio haba ya metali, madini ya viwandani, ujenzi Awamu ya Tano ikikamilisha kutokana na makubaliano yaliyoingiwa na vito kufanyika nchini na katika utekelezaji wa Bajeti yake ya ambapo taifa letu linakwenda kunufaika kipindi cha Mwaka 2019/2020 Leseni Mwaka 2019/2020 Sekta ya ipasavyo kama ambavyo makala ndani mbili za Uyeyushaji Madini (Smelters) Madini inakamilisha utekelezaji ya toleo hili inavyoelezea manufaa ya na Leseni tatu za usafishaji Madini wa kipindi cha Miaka 2 na Miezi makubaliano hayo. (Refinery) zimetolewa. J8 tangu kuanzishwa kwake Mwezi Kwa upande wa madini ya tanzanite, Ukiachia mbali manufaa hayo, Sekta Oktoba Mwaka 2017. Ndani ya tangu kujengwa kwa ukuta wa kilomita yenyewe imezidi kujiimarisha ambapo kipindi hiki cha miaka Mitano (5) ya 24.5 unaozunguka migodi ya tanzanite kwa Mwaka 2019, Sekta ya Madini Serikali hii, tumeshuhudia historia umezuia utoroshaji wa madini hayo na iliongoza kwa kasi ya ukuaji wa asilimia kubwa ya kimapinduzi katika Sekta hivyo kupelekea kuongezeka mapato 17.7 ikifuatiwa na Ujenzi asilimia 14. ya Madini ambayo mafanikio yake ya serikali. Takwimu za uzalishaji wa 1 Sanaa na Burudani asilimia 11.2 na yamekuwa si tu simulizi kwa Tanzania Tanzanite kwa wachimbaji wadogo na usafirishaji na uhifadhi wa Mizigo bali ulimwenguni kote kutokana wa kati miaka miwili nyuma kabla ya asilimia 8.7. na namna Serikali chini ya Rais wa Ukuta mwaka 2016 na 2017 zilikuwa Haya ni baadhi tu ya mageuzi Jamhuri ya Muungano wa Tanzania takriban kilo 312.3 zenye thamani ya makubwa ambayo yamefanyika kwa Dkt. John Magufuli inavyosimamia takribani Shilingi bilioni 4.2 mapato ya kipindi cha Miaka 5 ya Serikali ya kikamilifu Sekta hii na hivyo kulipatia serikali yalikuwa shilingi milioni 238, Awamu ya Tano na miaka miwili (2) taifa manufaa makubwa ya Kiuchumi, baada ya kujengwa ukuta, mwaka 2018 ya utekelezaji wa Wizara ya Madini. Kijamii na Maendeleo kupitia Sekta ya uzalishaji ulikuwa kilo 781.204 zenye Hakika haya ni mafanikio makubwa Madini. thamani ya takribani Shilingi bilioni ambayo hayana budi kuungwa mkono Tumeshuhudia kuongezeka kwa 20.1 na mapato ya serikali ilikuwa na wadau wa madini, wananchi na ukusanyaji wa maduhuli kutoka Shilingi Shilingi bilioni 1.437. mwaka 2019 wapenda maendeleo kwa kuwa haina bilioni 196.0 kwa mwaka 2015/16 hadi uzalishaji ulikuwa kilo 2,772.17 zenye shaka kwa manufaa haya, sasa Sekta ya shilingi bilioni 479 mwezi Mei, 30, 2020 thamani ya takriban Shilingi bilioni Madini inajifungamanisha kikamilifu na hivyo kuvuka lengo la kukusanya 30.075 na mapato ya serikali ilikuwa na sekta nyingine kiuchumi kwa shilingi bilioni 528.2 kwa asilimia 112 Shilingi bilioni 2.15. mafanikio makubwa. Mwaka 2019/2020. Kuongezeka huku Aidha, kutokana na umuhimu wa Aidha, ili kuhakikisha sekta kwa makusanyo kumechangiwa na wachimbaji wadogo katika maendeleo nyingine zinafungamana na sekta hii, usimamizi mzuri wa Sekta ikiwemo na ukuaji wa Sekta ya Madini, na watanzania hawana budi kuchangamkia pia na uanzishwaji wa Masoko ya katika kuhakikisha serikali inawawekea fursa zilizopo katika sekta hii ili kwa Madini ambayo yameanzishwa katika mazingira mazuri ili waweze kuchimba pamoja waweze kushiriki kikamilifu kila mkoa ambapo hadi sasa kuna kwa tija, serikali imeanzisha vituo 7 katika uchumi wa madini. jumla ya Masoko 28 na Vituo vidogo vya Umahiri na Vitatu (3) vya Mfano vya ununuzi wa madini 28, vilevile, vikilenga kutoa elimu kwa wachimbaji # Tumeboresha Sekta

8 JARIDA LA MADINI MAKALA Sekta ya madini inavyochangia ukuaji wa sekta nyingine za kiuchumi mei 2020 jumla ya shilingi ya bilioni uchimbaji wa madini kunawafaya 479 sawa na asilimia 102 za lengo la watanzania kuongeza mapato makusanyo. yao pamoja na mapato ya serikali Ongezeko hili halitakuwa na maana yanayochangia katika kuboresha sekta endapo sekta nyingine za kiuchumi nyingine za kiuchumi kwani pesa zitashindwa kukua kupitia rasilimali hizo zinaingizwa katika utekelezaji wa madini zinazopatikana nchini, na kwa miradi mingine ya maendeleo. kuzingatia kuwa mchango wa sekta Tumekuwa tukimsikia Waziri unapaswa kuwezesha sekta nyingine wa Madini, Doto Biteko na viongozi kukua, Mwezi Julai 2017 Serikali wengine wa wizara na Serikali ilipitisha Sheria ya Kulinda Rasilimali wakitamani mchango wa sekta ya za Taifa (The Natural Wealth and madini kutazamwa kwa namna Resources – Permanent Sovereignty unavyofungamanishwa na sekta - Act 2017), ikiwemo madini ili nyingine za kiuchumi kama vile kunufaisha nchi na wananchi. barabara, biashara, utalii, usafirishaji, Kupitishwa kwa Sheria hiyo ajira, ujenzi na nyinginezo. Waziri wa Madini, Doto Biteko kumepelekea kuwezesha kwa mara ya Kama ambavyo Sheria inatamka na akizungumza na wafanyabiashara kwanza Watanzania kumiliki rasilimali ambavyo viongozi wa Wizara wamekuwa wa madini wa Mkoa wa Geita zao kwa nguvu za kisheria. Aidha, wakisisitiza, uwepo wa madini nchini (hawako pichani) hivi karibuni Sheria hiyo pia ndiyo imefanikisha uwafanye wafanyabiashara wengine kuanzishwa kwa Kampuni ya Twiga alipofanya ziara ili kukagua nchini kupata soko la kuuza bidhaa Minerals Company, ambayo Serikali maendeleo ya ujenzi wa miradi zao kama vile vyakula, vipuli, mavazi, yetu inamiliki hisa asilimia 16 na ya maendeleo inayofanywa uwepo wa madini usaidie kuboresha Kampuni ya Barrick asilimia 84 ya kwa fedha za huduma za jamii miundombinu ya barabara na reli. (CSR) zinazotolewa na Mgodi wa Hisa. Dhahabu wa Geita (GGML) mwezi Watanzania kuweza kumiliki Juni, 2020 rasilimali zao kisheria na Serikali kuwa Endelea Uk. 8 na hisa kwenye migodi mikubwa ya Na Nuru Mwasampeta

atika kipindi cha uongozi wa Serikali ya Awamu ya Tano Kumekuwa na ongezeko kubwa la makusanyo ya kodi yanayoingizwa kwenye mfuko wa Serikali kupitia Kmirabaha, ada ya ukaguzi na ushuru wa huduma inayotolewa na wachimbaji wakubwa kwa wadogo nchini. Mapato yatokanayo na madini yameongezeka, ambapo kwa mwaka wa Fedha 2018/2019 zilikusanywa shilingi bilioni 346 kutoka shilingi bilioni 194 zilizokusanywa mwaka 2016/2017. Ambapo kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 kuna makadirio ya kukusanya shilingi bilioni 470, Jengo jipya litakalotumiwa na wafanyabiashara wa madini mkoani Geita ambapo mwezi Aprili 2020 pekee, licha ambalo lilijengwa kwa fedha za huduma kwa jamii (CSR) zilizotolewa na ya kuwepo kwa tatizo la ugonjwa wa Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGML) na kusimamiwa kwa ushirikiano corona, zilikusanywa shilingi bilioni 58. baina ya mgodi huo na Halimashauri ya Mji wa Geita. (Picha na Wizara ya Makusanyo ya mpaka kufikia mwezi Madini).

9 JARIDA LA MADINI MAKALA Sekta ya madini inavyochangia ukuaji wa sekta nyingine za kiuchumi mnyororo wa uchumi wa madini (Local adui namba moja katika ukuaji wa Inatoka Uk. 9 Content). maendeleo ya nchi, na kueleza “hivyo Mpango huo ni pamoja na kuwataka sisi kama Wizara ya Madini tumejipanga Aidha, Waziri Biteko alipokuwa wawekezaji hao kuweka kipaumbele kuchukua hatua za kisheria nia ikiwa akizungumza wakati wa ziara yake ya katika matumizi ya bidhaa na huduma ni kutaka kila mwananchi anufaike na hivi karibuni mkoani Geita aliwataka zinazozalishwa hapa nchini, kuajiri rasilimali za madini kupitia uboreshaji watanzania kuutazama mchango watanzania na kuondoa tofauti kubwa wa huduma mbalimbali”. Nyongo wa sekta ya madini kwa namna ya mishahara kwa kazi zinazofanana na alisisitiza. unavyosaidia kuinua sekta nyingine kufanywa Halikadhalika kama ambavyo za uchumi na kubainisha kuwa kwa Serikali imeagiza manunuzi Sheria ya Mamlaka ya Nchi kuhusiana upande wa kuongezeka kwa ukusanyaji yote yafanyike katika maeneo na Umiliki wa Maliasili ya Mwaka 2017 wa maduhuli sekta hiyo imeonesha yanayozunguka mgodi isipokuwa (Permanent Sovereignty Act 2017) mafanikio makubwa. endapo bidhaa inayohitajika inawezesha watanzania kuwa sehemu Anaendelea kusisitiza kuwa uwepo haipatikani nchini itaagizwa nje ya ya wamiliki na washiriki katika uchumi wa migodi umuwezeshe mkulima wa nchi huku wazabuni wanaotumika wa madini hivyo ni nafasi sasa kwa mchele, mbogamboga, mifugo, wavuvi kuwa ni wazawa hali itakayoikuza sekta watanzania katika kuhakikisha Sekta kuwa na uhakika wa wanunuzi kwa ya biashara nchini na hivyo kukuza nyingine zinajifungamanisha na sekta sababu wachimbaji wapo, na kubainisha uchumii wa mtu mmoja mmoja na taifa ya madini katika kukuza uchumi wa kuwa huo ndio ufungamanishaji wa kwa ujumla. nchi na wananchi. uchumi wa madini na sekta nyingine. Wakati fulani, Naibu Waziri Kwa upande, Uwajibikaji wa Pamoja na hayo, Serikali kupitia wa Madini, Stanslaus Nyongo Makampuni na Wamiliki wa Leseni Bunge lake tukufu iliridhia na kupitisha aliwatembelea wachimbaji wadogo za Madini katika Jamii inayozunguka mabadiliko ya sheria ya madini sura wa madini katika Mkoa wa Katavi na migodi yaani (Corporate Social ya 23 ambayo yamesaidia katika kuonya kuwa kumekuwa na tabia ya Responsibility –CSR) ambapo katika kuimarisha na kukuza Sekta ya Madini baadhi ya wachimbaji wadogo kukwepa eneo hili sekta ya madini imeweza na kuiwezesha kuongeza mchango kulipa kodi serikalini na kubainisha kutekeleza miradi ya maendeleo katika wake katika pato la taifa. kuwa hali hiyo inakwamisha upatikanaji Jamii zinazozunguka migodi (host Pia, Serikali kupitia Wizara ya wa huduma nyingine muhimu kama community) kupitia makampuni ya Madini imeendelea kusimamia na vile elimu, maji, barabara, hospitali na madini. kuhakikisha wamiliki wa leseni za nyinginezo. Aidha, katika mgodi wa Dhahabu uchimbaji mkubwa na wa kati wa Aliendelea kusema mchimbaji wa Geita kwa mwaka 2018 ulitekeleza madini pamoja na wakandarasi ambaye anakwepa kulipa kodi mpango wake wenye thamani ya wanawasilisha na kutekeleza Mipango mbalimbali kama Sheria ya Madini shilingi Bilioni 9.2 na shilingi bilioni ya Ushirikishwaji wa Watanzania katika na Kanuni zake zinavyofafanua ni 9.5 kwa mwaka 2019. Miradi hiyo ni pamoja na ujenzi wa Masoko ya wajasiriamali, soko la dhahabu, mradi wa ushonaji na kilimo cha mpunga na Alizeti katika vijiji vya Salagurwa na Katundu ambapo miradi imesaidia kukuza uchumi wa wananchi kupitia kilimo na biashara. Ni ukweli usiopingika kuwa, ikiwa watanzania watatumia vema fursa zilizopo katika sekta ya madini zitawezesha kukuza uchumi wao na wa sekta nyingine na hivyo kunufaika ipasavyo na kuwa sehemu ya wamiliki Waziri wa Madini, Doto Biteko (wa tatu kutoka kulia) na ujumbe wa uchumi huo. Kama ambavyo alioambatana nao ikiwa ni pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Geita, Robert nimeeleza, tayari Serikali imeweka Gabriel (kulia kwake) wakikagua ujenzi wa kiwanda cha kuchakata mazingira wezeshi yanayotoa nafasi za dhahabu kinachojengwa na mwekezaji binafsi mkoani humo. (Picha na kukuza sekta nyingine kupitia uwepo Wizara ya Madini). wa rasilimali madini.

10 JARIDA LA MADINI MAKALA

pamoja na kwamba wawekezaji hao Serikali inavyowajengea wanalazimika kuuza asilimia kubwa ya chumvi yao nje ya nchi kutokana na sababu za kijiografia na miundombinu Fursa Wazalishaji wa ya usafirishaji, Serikali inaona suala hilo si sawa, hivyo inaweka mikakati kuhakikisha wazalishaji hao na wengine Chumvi na Chokaa Kigoma wote wanatosheleza soko la ndani ya nchi kwanza ambalo ni kubwa, kabla ya kuuza nje ya nchi. “Mahitaji ya Chumvi Tanzania bado ni makubwa sana, takwimu zilizopo zinaonesha tunaagiza kiasi kikubwa cha Chumvi kutoka nje ya nchi, hususan nchi jirani ya Kenya, wakati hii ya kwetu tunayozalisha nchini, tunaiuza nje, hii sio sawa hata kidogo, lazima sasa tuweke mikakati itakayowezesha wawekezaji wetu kutosheleza soko la ndani kwanza kitakachobaki ndiyo tupeleke kuuza katika masoko ya nje,” Prof. Msanjila alisisitiza. Kuhusu mikakati ambayo Serikali inaifanya katika kuboresha Sekta ya Chumvi, Prof. Msanjila anasema kuwa, ni pamoja na kuanzisha Soko la Chumvi katika Wilaya ya Uvinza na kuwawezesha wazalishaji wadogo, waweze kuzalisha chumvi nyingi Katibu Mkuu Wizara ya Madini Prof, Simon Msanjila katikati akitoa itakayotosheleza soko la ndani na la Nje maelekezo kwa watumishi wa Ofisi ya Madini Mkoani Kigoma mara ya nchi. baada ya kutembelea viwanda mbalimbali vya Chumvi na Chokaa Aidha, Prof. msanjila anasema vilivyopo Mkoani humo. kuwa, ili kuwawezesha zaidi wawekezaji katika Sekta ya Chumvi na Chokaa, Na Tito Mselem, ya kutembelea Migodi mbalimbali Serikali kupitia Wizara ya Madini Wizara ya Madini ya Madini ya Chumvi na Chokaa inafuatilia suala la kupelekewa nishati ikiwemo Viwanda vya Uvinza Jam Salt ya umeme katika viwanda vya Chokaa koa wa Kigoma Mines (T) Ltd, Nyanza Salt na Makere na Chumvi visivyo kuwa na nishati hiyo ni miongoni mwa Lime, Katibu Mkuu Wizara ya Madini ili kuwapunguzia gharama za uzalishaji mikoa iliyobarikiwa Prof. Simon Msanjila anaeleza kuwa wanapotumia nishati ya mafuta katika kuwa na madini upatikanaji wa Madini ya Chumvi na kuendesha mitambo yao ili waweze mbalimbali yakiwemo Chokaa ni neema kwa wananchi wa kufanya biashara hiyo kwa tija zaidi. Madini ya Chumvi na Chokaa ambayo mkoa wa Kigoma kutokana na mahitaji Pamoja na kuwepo kwa ugonjwa Myanapatikana kwa kiwango kikubwa yake makubwa katika maisha ya kila Covid-19, Rais Dkt. John Pombe mkoani humo. siku. Magufuli ameingoza vyema nchi katika Katika kuelekea Uchumi wa Imeelezwa kuwa, Kampuni ya mapambano bila ya kuathiri sekta za Viwanda nchini Tanzania, ikiwa kuzalisha Chumvi ya Nyanza Salt, kiuchumi ikiwemo Sekta ya Madini. wananchi wa Kigoma watatumia iliyopo Wilayani Uvinza Mkoa wa “Namshukuru Mhe. Rais, Dkt. vyema fursa za upatikanaji wa Madini Kigoma inafanya kazi nzuri katika John Pombe Magufuli kwa kutuongoza ya Chumvi na Chokaa, yaliyopo katika uzalishaji, lakini zaidi ya asilimia 70 ya vyema katika mapambano ya Covid-19 Mkoa huo, hakika wanaweza kuinua bidhaa inauzwa nje ya nchi hususan bila kuathiri sekta za kiuchumi uchumi wa viwanda kutokana na katika nchi jirani za Kongo na Burundi ikiwemo Sekta ya Madini, ndiyo maana madini hayo kwa kiwango kikubwa na kitu ambacho wizara inaona si sawa tumekuwa tukieleza dhamira ya Wizara yakawatajirisha. kutokana na mahitaji ya bidhaa hiyo Akihitimisha ziara yake ya kikazi nchini kutojitosheleza. Endelea Uk. 10 katika Mkoa huo hivi karibuni, baada Prof. Msanjila anasema kuwa,

11 JARIDA LA MADINI MAKALA Wachimbaji Wadogo wanavyowezeshwa kuchimba kwa tija Inatoka Uk. 11 ya Madini ya kuhakikisha uchangiaji wa Sekta katika Pato la Taifa unakua zaidi ya ilivyo sasa, kupitia usimamizi mzuri utakaowezesha ongezeko la wawekezaji wenye kulipa kodi na tozo zote stahiki za Serikali,” anasema Prof. Msanjila. Aidha, Prof. Msanjila anawahamasisha zaidi wananchi wa mkoa huo kuangalia fursa nyingine ikiwemo madini na si kwa mawese na Mtambo wa Kuchakata Chumvi uliopo katika kampuni ya uzalishaji uvuvi peke yake. chumvi ya Uvinza Jam Salt (T) Ltd. Akiwasilisha Taarifa ya Mgodi fedha hizo kupanua kiwanda chake, hivi sasa wanachimba kwa kutozwa wa Uvunaji Chumvi wa Uvinza Jam, pia changamoto ya nishati ya umeme gharama kubwa. Salt Mines (T) Ltd kwa Katibu Mkuu, imekuwa ni kigezo kutofikia malengo Kutokana na mikakati ya wizara ya Mkurugenzi wa Kampuni hiyo Marbul ya kampuni hiyo na hivyo kuomba kuhakikisha Soko la Madini ya Chumvi Mohamedraza Jaffer, anasema kampuni serikali kuangalia suala hilo. linaanzishwa Uvinza Mkoani Kigoma yake inakabiriwa na changamoto ya Naye, Mkurugenzi wa Kiwanda cha miundombinu hususan ubovu wa Chokaa cha Makere Lime, Pius Kipeche na ikilinganishwa na mahitaji ya barabara inayotoka wilayani Uvinza anaiomba Serikali kupitia Wizara ya madini hayo ndani ya nchi, wananchi mpaka eneo la kiwanda chake ambapo Madini kuwasaidia upatikanaji wa wa Kigoma wanapaswa kuiona fursa anatumia gharama kubwa kutengeneza vibali vya kuchimba katika hifadhi hiyo ya uzalishaji wa madini ya chumvi barabara kila wakati badala ya kutumia ya pori lilipo Wilayani Kasulu kwani kupitia Sekta madini.

Katibu Mkuu Wizara ya Madini, Prof, Simon Msanjila wapili kutoka kulia, Mhandisi Mwandamizi Heri Gumbo (wapili kutoka kushoto) na Mkurugenzi Katibu Mkuu Wizara ya Madini Prof, Simon Msanjila Mtendaji wa Uvinza Jam Salt Mines (T) Ltd mbele kushoto akioneshwa jambo na Mkurugenzi Marbul Mohamedraza Jaffer (wa kwanza kulia) , Mtendaji wa Uvinza Jam Salt Mines (T) Ltd, Marbul walipotembele mgodi wa Chumvi Uvinza Jam Salt (T) Mohamedraza Jaffer. Ltd.

12 JARIDA LA MADINI MAKALA Namna Serikali Inavyowawezesha Wachimbaji Wadogo Kuchimba kwa Tija

Wachimbaji wadogo wa madini wakiwa katika shughuli za uchimbaji.

Na Nuru Mwasampeta Wizara ya Madini pamoja na taasisi wamekuwa wakijikita katika kufanya nyingine mbalimbali za kiserikali ili utafiti yakinifu ili kutambua mahitaji erikali ya awamu ya kuboresha mfumo wa urasimishaji ya wachimbaji wadogo wa madini tano imeonesha juhudi katika sekta ya uchimbaji mdogo wa na kuwasiliana na watoa huduma kubwa katika kusimamia madini nchini. mbalimbali ili wafikishe huduma na kuhakikisha Sekta ya Miongoni mwa maboresho stahiki na kutatua changamoto uchimbaji mdogo wa madini makubwa yaliyofanyika kwenye sekta zinazowakabili wachimbaji wadogo. inachangia ipasavyo kukuza uchumi ya uchimbaji mdogo wa madini, Ndugu Midelo, amebainisha kuwa Swa nchi na kuchangia kwenye kwanza ni kuwahakikishia wachimbaji yeye pamoja na jopo la wataalamu pato la taifa. Aidha imeendelea wadogo wa madini upatikanaji wa anaoambatana nao katika maeneo ya kuhakikisha wachimbaji wadogo wa masoko yakudumu ya kuuza madini machimbo, wamekuwa wakiendesha madini wanaboresha maendeleo yao yao. Mpaka sasa jumla ya masoko 28 mafunzo mbalimbali kwa wachimbaji kiuchumi kupitia shughuli zao za yameanzishwa nchi nzima pamoja na wadogo ikiwa ni pamoja na namna ya uchimbaji wa madini. vituo 28 vidogovidogo vya kuuzia kupata mitaji ya kuendesha shughuli Kwa kuzingatia utajiri na wingi madini. zao, lakini pia elimu juu ya umuhimu wa rasilimali za madini aina tofauti Aidha, jambo jingine lililofanyika wa kujiunga kwenye mifuko ya jamii ambazo Tanzania imebarikiwa kuwa katika kuhakikisha maboresho kwa manufaa yao kwa sasa na kwa nazo, Serikali ya Awamu ya Tano kwenye sekta ya uchimbaji mdogo baadaye. Pia wanawahamasisha chini ya uongozi wa Raisi John Pombe wa madini nchini, ni mfumo wa kujiunga na bima za afya pamoja na Magufuli, kila jitihada zimeendelea urasimishaji wa wachimbaji wadogo kuwakutanisha na watoa huduma kufanyika katika kuhakikisha wa madini. mbalimbali za kifedha na kijamii wachimbaji wadogo wa madini nchini Kufuatia uratibu uliofanywa zinazohitajika katika maeneo yao. wanawekewa mazingira mazuri na Mshauri Mwelekezi kutoka Kwa mujibu wa Ndugu Midelo, na wezeshi ili kuwasaidia kufanya kampuni ya Godtec, Ndugu Aloyce alisema awali ya yote wanawasaidia shughuli zao kwa tija na ufanisi Midelo, ambaye pia ni Mtendaji wachimbaji hao kuunda makundi ya mkubwa ili kujinufaisha wao binafsi Mkuu wa kampuni hiyo ya Godtec umoja, pia wanatoa elimu na kuongeza mchango wao kwenye wanaofanya kazi chini ya Mpango wa mbalimbali ikiwemo elimu ya mapato ya serikali. Kurasimisha Rasilimali na Biashara afya, kujiunga na mifuko ya jamii, Aidha, ili kuhakikisha sekta ya (MKURABITA), taasisi ambayo ndiyo utunzaji wa mazingira. Baada ya madini nchini inaongeza mchango Mratibu Mkuu wa elimu na utambuzi wake katika ukuaji wa uchumi wa taifa, wa wachimbaji katika maeneo yao Endelea Uk. 14 kumekuwa na mikakati iliyowekwa na ya machimbo. Wataalamu hawa

13 JARIDA LA MADINI MAKALA Namna Serikali Inavyowawezesha Wachimbaji Wadogo Kuchimba kwa Tija

ya machimbo, Bw Midelo alisema “ni vema kujikita katika eneo moja na kuhakikisha huduma zote za msingi zimefikishwa katika eneo hilo na kuleta manufaa kwa jamii husika kuliko kufikisha huduma moja na nyingine za msingi zikakosekana”. Bw Midelo aliongeza kwamba, ni wajibu wa Serikali kuhakikisha huduma zote za msingi zinafikishwa kwa wananchi hivyo kuwanyima sababu ya kutokuendelea maana kwa kufanya hivyo unawanyima sababu ya wao kutowajibika kwenye kazi na kujiongezea kipato. Hatahivyo, amewataka wananchi kuunga mkono mabadiriko na maboresho mbalimbali yanayofanywa na serikali katika kuhakikisha maendeleo ya kiuchumi yanapatikana kwa maslahi ya taifa. Waziri wa Madini akiwa katika uzinduzi wa kiwanda cha kuchakata Ili kuwasaidia wachimbaji wadogo dhahabu cha Katente mkoani Geita. serikali kupitia Mkurabita imeendelea kuratibu utoaji wa elimu ya masuala na wachimbaji wadogo wa madini ya mitaji na biashara kwa kushirikiana Inatoka Uk. 13 ilikuwa ni Wakala wa Barabara za na Benki ya Taifa ya Biashara (NMB) Mijini na Vijijini (TARURA), ambao benki iliyoonesha nia ya kuwawezesha mafunzo hayo wachimbaji wanaeleza walibaini kuwepo kwa changamoto wachimbaji wadogo kwa kuwapa jambo wanalolihitaji, hivyo Mkurabita ya miundombinu ya barabara kwa mikopo ili kuendeleza shughuli zao. inawasaidia kuwakutanisha na taasisi wachimbaji wadogo wa madini, Vilevile, Wizara kwa upande husika ili kuweza kupewa huduma hivyo kufanya taratibu za kuboresha wake, imekuwa ikiendelea kuwezesha stahiki. miundombinu ya barabara katika mazingira ya kukutana na Mabenki ili Mshauri Mwelekekezi huyo maeneo ya machimbo. kuyaelezea kuhusu fursa za kibenki alitoa mfano wa baadhi ya taasisi Pia Shirika la Umeme Nchini zilizopo katika Sekta ya Madini walizowasiliana nazo mara baada (TANESCO), ni miongoni mwa taasisi ikiwemo kuweka mazingira ya ya kutoa elimu kwa wachimbaji zilizokutanishwa na wachimbaji kuzikutanisha benki na wachimbaji wadogo wa madini, ni pamoja Aloyce wadogo wa madini waliofika kusikiliza kupitia maonesho, mikutano, alisema ni pamoja na Shirika la changamoto zao na mapendekezo yao makongamano lengo kuona nmana Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF). ili kuboresha kazi yao ya uchimbaji pande hizo mbili zinavyoweza kufanya Wataalamu hao kutoka mfuko wa madini. kazi pamoja ili kuleta maendeleo. jamii walikutanishwa na wachimbaji Aidha, Tanesco walifanya Katika kuhakikisha inaendelea wadogo wa madini na kuwaelimisha tathmini ya gharama na nguzo kuboresha mazingira ya kazi ya juu kazi za mfuko na manufaa zitakazohitajika ili kuweza kufikisha uchimbaji kwa wachimbaji wadogo anayoyapata mwanachama. Aidha huduma ya umeme katika maeneo ya wa madini, hivi karibuni Wizara baada ya elimu hiyo wachimbaji machimbo na wako katika mpango imezindua viwanda viwili vya Mfano wadogo walihamasishwa na baadaye wa pamoja kufikisha huduma hizo vya Kuchenjua madini aina ya kujiunga na mfuko huo ambapo katika machimbo. wachimbaji wengi waliitikia wito wa Katika kuhakikisha wachimbaji kujiunga na mfuko wa NSSF. wadogo wananufaika na uwepo wa Endelea Uk. 15 Taasisi nyingine iliyokutanishwa huduma mbalimbali katika maeneo

14 JARIDA LA MADINI MAKALA Namna Serikali Inavyowawezesha Wachimbaji Wadogo Kuchimba kwa Tija

Inatoka Uk. 14 dhahabu vya Kantente – Bukombe na Lwamgasa- Geita, wakati huohuo wizara inaendelea na ujenzi wa kiwanda kingine cha kuchenjua dhahabu katika eneo la Itumbi Chunya mkoani Mbeya. Pamoja na shughuli za uchenjuaji wa madini, shabaha ya viwanda hivyo ni kutoa elimu ya uchenjuaji na uchimbaji bora wa madini ili kuwezesha na kufanikisha uchimbaji madini wenye tija na mafanikio kwa taifa. Licha ya kuwepo kwa viwanda hivyo, pia, Serikali imejenga vituo 7 vya Umahiri, katika Mikoa Tangu kuanzishwa kwa Masoko ya Madini Mwezi Machi 2019 hadi Mei 2020 mbalimbali nchini lengo ni kutoa makusanyo ya Mapato ya Serikali yatokanayo na uchimbaji mdogo wa mafunzo kwa wachimbaji wadogo Madini yameongezeka kufikia shilingi Bilioni 102.44 ikilinganishwa na sh ikiwemo elimu ya biashara ya madini, Bilioni 16.23 zilizokusanywa kuanzia Machi 2018 Hadi Februari 2019. jiolojia, utafiti na uchimbaji bora wa madini. Hayo yote yanalenga katika hizi za Serikali ya Awamu ya Tano, kuendelea kuboresha zaidi mazingira kuwawezesha wachimbaji kukua chini ya uongozi makini wa Rais Dkt ya kazi ili kuwawezesha kufanya kimaendeleo ya kiuchumi na kupitia John Pombe Magufuli, ni wasaa sasa uchimbaji wa madini wenye tija kwa shughuli zao za uchimbaji mdogo wa wachimbaji wadogo wa madini maendeleo ya uchumi wao na taifa mdogo wa madini. Kufuatia juhudi kushirikiana kinagaubaga na serikali kwa ujumla.

Waziri wa Madini akiwa katika uzinduzi wa kiwanda cha kuchakata dhahabu cha Katente mkoani Geita.

15 MADINI BULLETIN MINISTER’S MESSAGE FIVE YRS OF JPM, MINING ECONOMY REVEALED the sector, including the formation for them, the government has set of Mineral Markets which have been up 7 training centres and 3 Centers established in each region; to date a of Excellence aimed at providing total of 28 markets and 28 Mineral education for small-scale miners to purchasing centers have been created. enable them to mine productively. The In addition, the construction of a One outcome of the ministry’s conference Stop Centre in Mirerani, Manyara with mining stakeholders in 2018 Region has been completed. was the elimination of annoying taxes We have witnessed the amendment on the mining sector for small-scale of the Mineral Law which has led miners. These taxes are withholding to major changes, including the tax (-5%) and Value Added Tax (-18%). Investment Agreements, with the The elimination of these taxes enables signing of an agreement between the a better and more efficient mining Government of Tanzania and the industry in the country. Barrick Gold Corporation LTD. The During this period, the Government signing of the agreement resulted in has also made substantial efforts the establishment of a new subsidiary, to establish large-scale mining Twiga Minerals Corporation Limited, operations, which for many years in which the government owns 16% have not been established in the of stock and Barrick owns 84%. This country. Furthermore, the ministry has means that the government now owns encouraged the activities of metallurgy, 16% of the country’s largest mining industrial mining, and construction n June 30, 2020 the investment. This is a significant and jewelry in the country. Moreover, Tanzanian government, achievement, due to the agreement in the year 2019/2020 two smelters under its fifth phase entered into, which our nation is going mining licenses and three Mining leadership, completes the to benefit from accordingly. The articles licenses have been issued. implementation of its in this edition of the journal explain the Apart from these benefits, growth in Annual Budget for the year 2019/2020. benefits of the agreement. the sector itself has steadily improved. OAt this time, it is 2 years and 8 months In the case of tanzanite minerals, In 2019 the mining industry had a since the was the construction of a 24.5 kilometer growth rate of 17.7 percent, followed founded in October 2017. wall surrounding the tanzanite mines by construction (14 percent), arts During the five-year period of the has prevented the illegal distribution of and entertainment (11.2 percent) and fifth phase government, we witnessed these minerals, resulting in increased freight shipping (8.7). revolutionary developments in the government revenue. These are just some of the major Mining Industry, which have led to Tanzanite production figures for reforms that have been taken place benefits not only in Tanzania but small and medium miners two years during the 5 years of the 5th Phase of also worldwide. These beneficialbefore the construction of a wall in Government, led by Dr. John Joseph developments have come about as a 2016/2017 amounted to 312.3 kilograms Pombe Magufuli and the implemented result of the efforts of the Government worth approximately 4.2 billion over a two year period by the Ministry of under the President of the United shillings worth. Government revenue Minerals. These are great achievements Republic of Tanzania, Dr. John Pombe was 238 million after the construction that need to be supported by mining Magufuli, who has effectively managed of a wall by 2018 while production stakeholders, citizens and development the sector and, thus, provided the was 781.204 kg worth approximately enthusiasts. As these reforms have led nation with significant economic, 20.1 billion shillings and government to the mining industry fully integrating social and development benefits from revenue was 1.437 billion Shillings in with other sectors economically the the Mining Industry. 2019 while production was 2,772.17 benefits can be seen clearly. There has been an increase in kilograms valued at approximately In addition, in order to ensure revenue collection from TZS196 billion 30.075 billion shillings and government that other sectors are aligned with the in 2015/2016 to TZS 479 billion in revenue was 2.15 billion shillings. mining sector, Tanzanians must take 30th May, 2020, thus exceeding the In addition, due to the importance advantage of the opportunities available target of collecting TZS 470 billion of the small-scale miners in the to become fully involved in the mining which is 101.93 percent in 2019/2020. development and growth of the Mining economy. This increase in collections has been Industry, and to ensure the provision attributed to good management of of a better working environment # We have improved the sector

16 MADINI BULLETIN FEATURE STORY MAGUFULI WALL WRITE A NEW HISTORY Asteria Muhozya and The discovery of those heavy over of heavy tanzanite minerals to Tito Mselem, Mirerani stones of tanzanite mined by Laizer the government, a billionaire has shown the ability of Dr. John Magufuli expressed his joy at inally, the benefits of the the fifth government to put in place what the miner did while the minerals 24.5 kilometer long wall effective management and security of reflected the nation wealth. He constructed by the Fifthminerals found in Tanzania. congratulated the Minister of Minerals, government around the In addition, the extraction of those Doto Biteko, miners, Simanjiro citizen tanzanite mining area shows heavy stone done by small-scale miner as well as the governor of Tanzania great impact after the production of the has shown the ability of small scale Bank Prof. Florens Luoga for making Flargest mineral and form a new history miners to earn more income through sure the minerals are bought by the Government and insisting that Laizer in the country since tanzanite start to mining industry as long as they got an opportunity to do so and provided with should be given all money as the value be mined in the country. a better environment and ensure they of tanzanite stones. “I am watching The mines mined by Saniniu Laizer are organized and engage in mining here and I am so exited”, said President at the mine have a gross weight of business productively for their and magufuli. 14.14kg, while one stone weighing government benefit. In turn, the Minister of Minerals 9.27 kg and the second weighing 5.108 Similarly, the government’s explains President Magufuli’s dream kgs. In addition, a stone weighing 9.27 intention to require gemstone mining that many thought was impossible now said to be worth of 4.649,470 billion activities to be owned by indigenous, and Laizer’s prospect of producing shillings while the one weighing 5.108 as long as the intention of president to heavy metals is an indication that have worth of 3.375,280 billion shillings make sure mining economy owned by miners can and President Magufuli’s that make both stone to possess a worth Tanzanian citizens has been proved . dreams about the Mining Industry are of 7,744,152,703.82 shillings. Speaking by phone during handing being fulfilled.

Holding a tanzanite stone, Minister for Minerals, Doto Biteko (second left), Deputy Minister for Minerals, Stanslaus Nyongo, followed by Saniniu Laizer a Billionaire and FEMATA President, John Bina, First Right is Parmanent Secretary for Minerals, Prof. Simon Msanjila during handing over of tanzanite stones mined by small scale miner to the government.

17 MADINI BULLETIN FEATURE STORY Barrick started implementing agreement with Government by paying USD 100 million as first tranche of USD 300 million

Some of Government Official witnessing the $ 100 million check handover in the function done at the Treasurer’s Hall in Dodoma Region which done by 26th May, 2020

By, Nuru Mwasampeta & inherited disputes from its subsidiary parties, on 26th of May, 2020 Tanzania Tito Mselem Acacia Mining which Tanzania Government received $ 100 million government in 2017 accused of (equivalent to 230 billion shillings) he fifth Phase Government operating illegally and understating from Barrick Gold Corporation which under His Excellency gold exports. However, along the is a first tranche of $300 million agreed Dr. John Joseph Pombe course of the said negotiations, Barrick as goodwill gesture to end disputes Magufuli, President of Gold Corporation bought out Acacia in between the two parties. On behalf the United Republic of a $1.2 billion transaction. of the government of Tanzania, the Tanzania has undertaken astonishing During the renegotiation, Barrick Minister for Finance and planning Treformations in the Mining Sector. Gold Corporation and the government honorable Dr. Philip Isdor Mpango The reformations aimed at enhancing through Government Negotiation received a dummy cheque from the control and compliance, ensuring Team (GNT) agreed to settle the tax company’s representatives. maximum collection of revenues and at dispute. The deal included payment of We agreed to share the economic large securing national interests. $300 million to settle outstanding tax benefits from Bulyanhulu, Buzwagi One of the steps taken by the fifth and other disputes, the lifting of the and North Mara mining projects on phase government was to convene the concentrate export ban, and the sharing a 50/50 principal based on the life of renegotiation of the mining agreements of future economic benefits from mines mine plans. Government shall receive with Barrick Gold Corporation. It has on a 50-50 basis. The agreement was its share of the economic benefits to be noted that the previous mining officially signed by both parties on 24 through the payment by Barrick Gold agreements between the two parties of January 2019 at the state house in Corporation of taxes, royalties, fees and were very unfair to Tanzania. Dar es Salaam and was witnessed by other fiscal levies as described in fiscal The renegotiation followed the His Excellency Dr. John Joseph Pombe measures and through the government’s Government’s ban on the export of Magufuli, the President of the United 16 percent Free Carried Interest in minerals concentrates in 2017 after Republic of Tanzania. accusing Acacia of tax evasion and In the course of implementing Continue Pg. 19 much other misconduct. Barrick what was agreed and signed by the

18 MADINI BULLETIN FEATURE STORY Barrick started implementing agreement with Government by paying USD 100 million as first tranche of USD 300 million

Barrick also agreed to establish a by President Magufuli during the From Pg. 18 partnership with University of Dar es negotiation, that has led into exemplary Salaam (UDSM) and committing up partnership between his company and the shareholder loans, which together to USD 10 million in funding over a the government of Tanzania. Either, entitle the government to participate 10 years period for training and skills Dr. Bristol promised that his company development relevant to the mining will make sure that the partnership in any cash distributions (whether industry, insisted honorable Mpango. with government exist as agreed and by the repayment of shareholder Honorable Dr. Mpango added that, becomes a model in Africa and the loans, dividends or returns of capital), Barrick will provide local community whole world. He promised to improve elaborated Dr. Mpango. support by committing upt to USD the infrastructures around their mines Furthermore, the Government 6 per ounce of contained gold sold in in Tanzania; and also making sure Negotiation Team (GNT) under the concentrates and dore from the Mines. satisfactory geological information chairmanship of honorable Prof. Moreover, Barrick has committed up to related to gold mineralization is Palamagamba Kabudi, agreed with USED 40 million to upgrade the road obtained and applied accordingly to Barrick Gold Corporation to form currently in use between Bulyanhulu make the country one of the main gold jointly owned Twiga Minerals Limited and Mwanza and constructing a hosing producer globally. to manage North Mara, Bulyanhulu compound and related infrastructure, The initiatives taken by fifth and Buzwagi mines. In this newly concluded Dr. Mpango. government under the leadership formed company, Government of While concluding his remarks, of His Excellency Dr. John Joseph Tanzania has 16% non- dilutable Free honorable Mpango congratulated Pombe Magufuli, President of United Carried shares and 84 % shares are left Barrick by starting implementing the Republic of Tanzania to improve for Parent parties including Barrick. agreement and call upon the mining performance of the Mining Sector In addition to that, Barrick Gold firms to emulate the move in ensuring needs to be applauded and supported Corporation agreed to make an win – win situation. by all Tanzanians. President Magufuli aggregate contribution of USD 5 On the other hand, the President stood firm throughout the negotiations million to support further studies of the and CEO of Barrick Gold Corporation to make sure the mineral resources feasibility of in-country beneficiation Dr. Mark Bristol commended on benefiting Tanzanians and Tanzania by the Government. excellent and visionary leadership accordingly. We are highly indebted by his extraordinary patriotism and we thank God for having him as our leader. Under the leadership of President Magufuli, Mining Sector is now one of the highly contributing sectors in our economy. The country has experienced significant increase in revenues collected in miming sector since her independence as well as increased participation of the Tanzania and Tanzanians in the sector. Most of the interviewed people commended the fifth government by its effort to improve the performance of mining sector. They explained that during this regime much reformation have been done to increase the performance and contribution of the Small Scale Miners in the national economy. This include establishment of Mineral Markets, exemption of withholding and Value added Tax to the Some of Government Official witnessing the $ 100 million check handover Small Scale Miners and demarcation of in the function done at the Treasurer’s Hall in Dodoma Region which done geologically potential areas to the Small by 26th May, 2020 Scale Miners.

19 MADINI BULLETIN FEATURE STORY

their income as well as increase the Mining Sector and its collection of revenues that contribute to the improvement of other economic sectors as long as the collected revenue contribution to the growth used in implementation of other development projects. We have been hearing the Minister of other economic sectors of Minerals, Doto Biteko and other officials of the Ministry of energy aspiring for the contribution of the mining sector to be viewed in a way the sector linked with other economic sector sectors such as roads, trade, tourism, transportation, employment, construction and others. As the Act and Ministry Officials have been emphasized, the presence of minerals in the country should attribute to other traders in the country to benefit by selling their products such as food, cosmetics, clothing, availability of improved roads and rail infrastructure. In addition, while Minister of Minerals while speaking recent during an official visit in Geita he urged Tanzanias to look at the contribution of the mining sector in a way that contribute to lift up other economic sector as long as the sector shows great success in revenue collection. Minister of Minerals, Doto Biteko speaking with Geita Regional Miners He further emphasized that the recently on a tour to review the development of construction projects for presence of mines should enable rice community-based financing (CSR) projects provided by the Geita Gold farmers, vegetable, livestock, fishermen Mine (GGML) in the region Geita. (Photo by Ministry of Mining). etc to be confident of buyers because miners are present, pointing out that uring the Fifth phase through the mineral resources available there is link between mining and other Administration there has in the country, and considering that, economic activities been a significant increase industry contribution should enable However, the Government through in tax collections imposed other sector to grow. In July 2017 the its esteemed Parliament approved the on the government fund Government adopted the National amendment of the Mining Act chapter through tariffs, inspection fees and Wealth and Resources – Permanent 23 which has helped to strengthen and Dservice tax provided by the major Sovereignty Act of 2017,) including grow the Mining industry and enable it miners in the country. mining for the benefit of countries and to increase its contribution to national Revenue collection from mining citizens. income. sector increased whereas for financial The adoption of the Act has, for the In addition, the government through year 2018/2019 total of 346 billion first time, enabled Tanzanians to own the Ministry of Minerals has continued collected from 194 billion collect their resources through legal power. to regulate and ensure licensees for large in 2026/2017. In this financial year In addition, The Act also facilitated and medium mining and contractors 2019/2020 the ministry Of Minerals the establishment of the Twiga Mining submit and implement participation in was expected to collect total of 470 Company, of which our government the local content economic chain. billion and in April 2020 alone owns 16 percent shares and Barrick The plan includes calling on those despite the existence of a Covid-19, Company own the remaining 84 investors to assure the use of locally the ministry collected 58 billion percent of shares. produces goods and services, to hire shillings. Collections till May 2020 For the Tanzanians’ to have legal Tanzanians and to divert high salaries were Tanzanian Shillings 479 billion right in owning mining resources for similar jobs. equivalent to 102 percent of the target. together with Government owning This increase will not make sense shares in large – scale mining company Continue Pg. 21 if other economic sectors fail to grow enable the Tanzanians’ to increase

20 MADINI BULLETIN FEATURE STORY Mining Sector and its contribution to the growth of other economic sectors define the number one enemy in the by 2019 they use Tanzanian shillings From Pg. 20 development of the country, explaining 9.5 billion. Among the implemented “so we as the Ministry of Mines are project include Construction of normal The government has ordered all ready to take legal action with the market, construction of mining market purchases to be made in the areas intention of wanting every citizen to in Geita Region, involve in a sewing around the mine unless there is no benefit from the mining resources project and invest in rice crop and such item within the country but also through the improvement of various sunflower farms in Salagurwa and supplier deemed to be indigenous so services”. Nyongo insists. Katundu villages where projects help to Similarly as the Permanent as business sector is promoted in the boost people’s economy. Sovereignty Act of 2017 enables It is undeniable fact that, if country and thus promote individual Tanzanians to become part of the Tanzanians make good use of the and nation-wide prosperity. owners and participants in the mining opportunities in the mining sector they At one point, Deputy Minister of economy, it is now an opportunity for will enable them to grow their economy Minerals, stanslaus Nyongo visited Tanzanians to make sure that other through mining as well as other small-scale miners in Katavi Region sectors promotes and be part of the economic activities and finally become and warned that there has been a mining industry economy. part of beneficial through mining tendency of some small-scale miners to On the other hand, corporate Social economy. As I have already mentioned, avoid paying taxes in the government Responsibility need owners of large the Government has already created an and noted that the situation impedes and middle scale Mining Company are enabling environment that provides access to other essential services such supposed to implement by engaging opportunities to promote other sectors as education, water, roads, hospitals in development projects in areas through the availability of mineral and others. surrounding mining communities. resources. He went on saying that a miner In addition, the Geita Gold Mine who avoids paying various taxes as for 2018 implement its plan worth Mining sector dared and have the Mining Act and its Regulations Tanzanian shillings 9.2 billion and been able

21 MADINI BULLETIN FEATURE STORY Government Initiatives in creating conducive Environment for Salt and Limestone Producers in Kigoma Region and lime deposits in the region it’s a privilege and blessing. In addition, Prof. Msanjila insisted that if these resources are properly utilized could significantly improve the economy of the region. It was revealed that Nyanza Salt and Makere Lime produce best quality and reasonable amount of salt and lime respectively however, over 70% of its production is exported to the neighboring countries of Congo and Burundi, that make Prof. Msanjila was unhappy with the exportation of over 70% of the products outside the country while there is shortage of these commodities within the country. Prof. Msanjila argues that, despite the fact that investors are forced to sell their products to the accessible neighboring countries justified by poor Permanent Secretary for the Ministry of Minerals, Prof. Simon Msanjila provided with report from Nyanza Salt Company Manager shortly after Continue Pg. 23 visiting the company By Tito Mselem, Ministry of Minerals

igoma is among the region in the country endowed with numerous mineral resources including precious and base metals and industrial minerals. One of the Kcommonest industrial minerals found in the region are table salt (sodium chloride) and limestone. Presence of these potential industrial minerals in the region will surely accelerate the industrialization and ultimately improve the social- economic well being of the people in the region and country at large. Speaking as ending his official tour to the region after visiting Jam Salt Mines (T) Ltd, Nyanza Salt and Makere Lime, Prof Simon Msanjila a Permanent Secretary for the Ministry of Minerals, Prof. Simon Msanjila Permanent Secretary to the Ministry of Minerals said the the presence of salt speaking to the lime miners in the Makere Lime factory area in Kasulu district in Kigoma.

22 MADINI BULLETIN FEATURE STORY Government Initiatives in creating conducive Environment for Salt and Limestone Producers in Kigoma Region

From Pg. 22 transportation infrastructure within the country, however, the government considers the act as unfair because they are supposed to satisfy domestic demands before they export. The demand for salt in Tanzania is still very high, existing data shows that most of the salt consumed within the country is imported from outside the country mostly from Kenya. He argued to the investor to give a first priority to the domestic market before considering foreign markets. Regarding government strategy to improve salt industry, Prof Msanjila explained that the government has established salt market at Uvinza to empower small scale producers of salt to have a reliable place to sell their products at reasonable prices. In addition, Prof. Msanjila assured the investors that the Ministry is Some of the participants who participated in the meeting with Permanent working closely with other responsible Secretary for the Ministry of Minerals, Prof. Simon Msanjila held at Makere government organs in making sure that Limestone factory while observing social distance. their projects are electrified either from Minerals is still highly committed in been spending much of its budget in national grid or other available sources. ensuring that the sector contributes maintenance of the road as compared He believes, once the projects are remarkably in social-economic to what is allocated in production supplied by reliable power source, it directly. In addition to that, he also will lower down the operational costs development of our people through and hence improve productivity and increased revenue collections and other explained the challenges they are facing hence profitability. related social –economic benefits. due to lack of electricity and ask the He also pointed out that, despite the In addition, Prof Msanjila government to intervene the situation. presence of deadly Covid-19 pandemic, encouraged Kigoma residents to fully In turn, the Director of Makere His Excellency Dr. John Pombe Joseph participate in other available economic Lime factory, Mr. Pius Kipeche is Magufuli, The President of the United opportunities including mining and appealing to the Government through Republic of Tanzania has successfully not just palm oil and fishing industries. the Ministry of Minerals to assist them led the country evidenced by relatively Presenting the progress report on to get permission from the responsible stability of the most of the economic the salt production by the Jam Salt government entities to mine lime sectors including Mining Sector. Mines (T) Ltd, the company’s Director within the reserved area in Kasulu I humbly thank and congratulate Mr. Marbul Mohameddraza Jaffer District at reasonable charges. his Excellency Dr. John Pombe Joseph said his company is facing serious Given the ministry’s strategies to Magufuli, President of United Republic challenges in running the project due establish reliable salt markets in the area of Tanzania for his outstanding and to poor transportation infrastructure and high demand of salt domestically, visional leadership during this terrible network from the factory to the Uvinza Prof. Msanjila encouraged Kigoma period of Covid – 19 pandemic. District and other parts of the country. residents to utilize this economic He added that, the Ministry of He added that, the company has opportunity to improve their livelihood.

23 MADINI BULLETIN FEATURE STORY How the government enables small- scale miners to work profitably

By Nuru Mwasampeta

mong the efforts of the Fifth Government Phase, under the strong leadership of Dr. John Pombe Magufuli, with initiative to support small scale Aminers to work profitably to improve their personal economic status, as well as to boost the country’s economy. The government, through the Ministry of Minerals with other stakeholders, has made an effort to ensure small miners engage in profitable mining activities, which has not only greatly benefitted the miners themselves but also helped the Government by increasing revenue markets have been set up across the different service providers to bring collection. In the context of the richness country and 25 small reservations for services needed in their areas. and abundance of mineral resources miners have been created where they According to Mr. Midelo, they are with which the nation is blessed, can sell their minerals produced in helping miners to form partnership the Fifth Government has made their mining sites. groups and providing them with every necessary effort to ensure that The other great governmenta wide range of knowledge about small scale miners countrywide are initiative to improve small-scale different issues including health provided with a conducive working mining is the formalization of the safety, social security, environmental environment, which is safe and lead sector. Through a consultationpreservation and investment, as well to profitable outcome. undertaken by the Institute for as business matters. Moreover, in ensuring that the Growth and Poverty Reduction Citing some of the institutions they contribution of the mining sector in Tanzania (MKURABITA), Mr. contacted soon after starting initiative to the national income increases, Aloyce Midelo, who is also the Chief to transform small-scale miners, Mr. different strategies have been put in Coordinator for education and Midelo said they linked miners with place by the Ministry in cooperation awareness in the mining sector, said some experts from the National Social with other Government institutions. their duty is to identify miner’s needs Security Fund (NSSF). These NSSF These strategies ensure that small- and consult with a responsible service specialists described to miners on the scale mining sector improve and provider to solve different challenges benefits of joining the Social Security contribute fully to the Government’s facing miners. Fund to protect their health. After the income through the increase in Mr. Midelo further noted completion of educating them, miners revenues and various charges that, along with his colleagues in were asked to join the fund and most collected. the mining areas, they have been of them responded positively. The following are amongconducting various forms of training The Urban and Rural Roads improvements made by the for small-scale miners, including Agency (TARURA), was among the Government and other stakeholders courses on how they can earn capital institution that has committed itself in shaping the small-scale mining to run mining operations profitably. to support the small-scale mining sector in the country. Firstly, to Moreover, small-scale miners have sector. TARURA has committing ensure that small-scale mining sector been trained on the importance of improves, mineral markets have been joining community health insurance Continue Pg. 25 introduced. To date, a total of 28 schemes, as well as connecting with

24 MADINI BULLETIN FEATURE STORY How the government enables small- scale miners to work profitably

was responsible for running the The constructed refineries aim at From Pg. 24 training courses. providing better mining knowledge The Ministry of Minerals has that will help small-scale miners itself to finding a solution to poor continued to organize separate to engage in effective mining and road infrastructure in small-scale meetings with the NMB Bank to to ensure safety during mineral mining areas. TARURA is still in the discuss ways in which the two parties processing. process of implementing procedures can work together to provide effective In addition, the government to improve the road infrastructure support for the small-scale miners. has built 7 Centers of Excellence in to enable reliable transportation of The Ministry, together with the Bank, various regions countrywide for the products and tools within the area. plans to identify various opportunities purpose of transmitting knowledge Mr. Midelo and his team also in the sector, including setting up a on geology, research and mineral linked the Electricity Corporation banking network with miners and extraction to small-scale miners. (TANESCO) with the small miners. by using exhibitions, meetings and These Centers of Excellence will conferences plan to create awareness TANESCO has listened to the enable small-scale miners to improve programs on the benefits of banking requests of the small-scale miners their businesses and boost the wider regarding their need to electrify their to small miners. In improving the working economy. mining areas so as to reduce cost Following the fifth Phase during mining operations. TANESCO environment as well as imparting knowledge on mining to small-scale Government effort, under the conducted an assessment to know the guidance of President Dr. John Pombe costs needed to cover the process of miners, the Ministry has recently established two gold refineries in Magufuli, there is now a clear case supply electricity services to small- for small scale miners to collaborate scale mining areas. Geita Region; one is located at Katente in the Bukombe District and the other fully with the government to further In ensuring that small-scale improve their working environment miners benefit from the presence of is located at Lwamgasa in Geita. Apart from that, the ministry continues with to enable efficient mining, which a variety of services in the mining the construction of gold refineries at will increase income for the miners areas, Mr Midelo said that it is better Itumbi-Chunya, which is in Mbeya themselves and boost the economic to focus on one area and ensure all region. development of the nation as a whole. basic services are delivered to the area and bring benefits to the communities rather than committing to support small scale miner in a wide range that will take a long time to accomplish the mission of improving miners working environment. Furthermore, Mr. Midelo advised that, it is the government responsibility to ensure that small-scale miners have all basic services, so as to produce and increase their income, instead of organizing public demonstrations. He also emphasized those small miners to support the government by following the procedures set to run the sector. In the process of ensuring a good working environment for miners, the government, through MKURABITA, coordinates separate training courses on use of capital and investment. National Microfinance Bank (NMB)

25 MADINI BULLETIN NUKUU ZA VIONGOZI

Safari ya Maendeleo katika Sekta ya Madini siyo ya siku moja na kama mnavyofahamu Mhe. Rais Dkt. John Magufuli amekuwa Serikalini kwa muda usiopungua miaka 20, kwa hiyo alikuwa anayaona yote yaliyokuwa yanatokea katika Sekta ya Madini, na ukumbuke kwamba anatokea ukanda wenye madini hivyo anajua utajiri uliopo kwenye madini na alijua akiingia madarakani atafanya nini.’’ “Baada ya Marekebisho ya Sheria ya Madini tukasema hapana sekta hii inatembea peke yake lazima tuifungamanishe na chumi nyingine kwa maana kwamba kama madini yanachimbwa kwenye eneo fulani basi uchimbwaji huo ukuze aina nyingine za uchumi katika eneo husika’’. “Rasilimali Madini si kitu kinachojizalisha, yakichimbwa itafika siku yataisha, hivyo lazima tujipangie mikakati ambayo itatusaidia baada ya madini kuisha tuweze kuonesha tumefanya nini kupitia madini hayo. Hatutaki historia ituhukumu’’.

Nawaomba wadau wote wa madini nchini kutekeleza shughuli zenu kwa kufuata Sheria na taratibu zilizowekwa na Serikali. Wizara inataka kuona wafanyabiashara wanafanya biashara zao bila kukamatwa kamatwa na itaendelea kuboresha mazingira ya biashara na shughuli za madini kuwawezesha watanzania zaidi kushiriki na kumiliki uchumi wa madini’’. Ninawahakikishia wawekezaji kuwa Serikali ya Awamu ya Tano imeweka mazingira mazuri ya kuwekeza nchini kupitia Sekta ya Madini na ninawasihi kutosita kutembelea maeneo mbalimbali ili kujionea fursa zilizopo na kuwekeza nchini Tanzania.”

Sekta ya Madini imekua kwa kasi kubwa na kuvuka lengo la ukusanyaji maduhuli ya Wizara kwa kiwango kikubwa na hivyo kuchangia kukuza pato la Taifa kupitia madini. Pamoja na kuvuka lengo la ukusanyaji maduhuli ya Serikali ni wajibu wa kila mchimbaji kufuata Sheria Kanuni na Taratibu zilizowekwa kwa mujibu wa Sheria’’. “Wizara ya Madini ilijiwekea mkakati wa kuwaendeleza watumishi na kuwajengea uwezo na baadhi wako nchi mbalimbali kwa ajili ya kujifunza masuala ya Jimolojia ambayo yanahusisha pia masuala ya utambuzi wa madini na uthaminishaji madini na pia, wizara itaendelea kuangalia nafasi zaidi katika nchi nyingine ikilenga kuwajengea uwezo watumishi kuweza kusimamia sekta hii.’’

BODI YA UHARIRI MHARIRI WAKALIMANI WAANDISHI Mhariri Mkuu Terence Ngole - Asteria Muhozya Prof. Simon Msanjila Kamishna Msaidizi wa Madini -LC&CSR Nuru Mwasampeta Mhariri Msaidizi Nuru Mwasampeta - Tito Mselem Asteria Muhozya Afisa Habari Issa Mtuwa

26